Mkali wa Bongo Movie, Jacob Steven (JB) katika NYUNDO YA BARUAN MUHUZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 сер 2018
  • .

КОМЕНТАРІ • 23

  • @UjusMukandama
    @UjusMukandama 9 місяців тому

    Good sana tunawa fatilia 🇨🇩🇨🇩

  • @user-wl8fg8ne1f
    @user-wl8fg8ne1f 8 місяців тому

    Safi sana waigizaji hao ni hatari

  • @kalumapapaakalumapapaa8989
    @kalumapapaakalumapapaa8989 5 років тому +1

    Nakukubali sana bro jb umetisha sannaa mungu akutangulie katka swafar yako

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 4 роки тому +1

    Huyo kaka nampenda bure..

  • @jumakifua4347
    @jumakifua4347 5 років тому +1

    uko vzur ww mi msanii khaswa,Tanzania one

  • @petermassawe8604
    @petermassawe8604 5 років тому +2

    Uko vizuri bro

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery4654 5 років тому +3

    Baruan Muhuza , Much appreciation to you

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 4 роки тому

    Amejibu vema sana mwanzo. I liked it!

  • @seifshaaban9275
    @seifshaaban9275 5 років тому +2

    Nimekuelewa sna Bonge la Bwana

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 5 років тому

    Baruan Muhuza big up. Ila ushauri wangu naona kama utaweza kutupia vipande ( clips ) mbalimbali za muhusika ndani ya mahojiano ingependeza zaidi

  • @kasangamrisho3405
    @kasangamrisho3405 5 років тому

    Kazi Nzuri Jb Namkubali Sana

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce889 5 років тому +3

    Sio uzungu JB ila ni tabia ya middle class people popote duniani, iwe ulaya au Africa. Kuna wazungu ambao ni low income earners na wanatabia sawa na low income earners in afrika.

  • @byamungushewe1178
    @byamungushewe1178 5 років тому

    Bwana mtangazaji, umwambie bwana JB kwamba raïa wengi tunapenda film zake kwahiyo asiondoke katika kucheza film tafadhali maana akiondoka ataumiza wengi roho zao

  • @sylviemutwale9527
    @sylviemutwale9527 5 років тому

    Namkubali sana jb

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 5 років тому +2

    Usimuache Nyuma Single Mtambalike

  • @hadijamatimbwa5195
    @hadijamatimbwa5195 5 років тому +3

    Baruani utuletee na MO siku moja

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce889 5 років тому

    Juu ya subtitles pelekeni idara ya lugha chuo kikuu.

  • @seifshaaban9275
    @seifshaaban9275 5 років тому +1

    Nimekuelewa sna Bonge la Bwana