Sio uzungu JB ila ni tabia ya middle class people popote duniani, iwe ulaya au Africa. Kuna wazungu ambao ni low income earners na wanatabia sawa na low income earners in afrika.
Bwana mtangazaji, umwambie bwana JB kwamba raïa wengi tunapenda film zake kwahiyo asiondoke katika kucheza film tafadhali maana akiondoka ataumiza wengi roho zao
Good sana tunawa fatilia 🇨🇩🇨🇩
Safi sana waigizaji hao ni hatari
Nakukubali sana bro jb umetisha sannaa mungu akutangulie katka swafar yako
Huyo kaka nampenda bure..
uko vzur ww mi msanii khaswa,Tanzania one
Uko vizuri bro
Baruan Muhuza , Much appreciation to you
Amejibu vema sana mwanzo. I liked it!
Nimekuelewa sna Bonge la Bwana
Kajibu vema sana maswali!
Baruan Muhuza big up. Ila ushauri wangu naona kama utaweza kutupia vipande ( clips ) mbalimbali za muhusika ndani ya mahojiano ingependeza zaidi
Kazi Nzuri Jb Namkubali Sana
Sio uzungu JB ila ni tabia ya middle class people popote duniani, iwe ulaya au Africa. Kuna wazungu ambao ni low income earners na wanatabia sawa na low income earners in afrika.
Base ya hiyo middle class ni huo uzungu.
Bwana mtangazaji, umwambie bwana JB kwamba raïa wengi tunapenda film zake kwahiyo asiondoke katika kucheza film tafadhali maana akiondoka ataumiza wengi roho zao
Namkubali sana jb
Usimuache Nyuma Single Mtambalike
Jb unaongea ukweli waambie ukweri watanzania
Baruani utuletee na MO siku moja
Juu ya subtitles pelekeni idara ya lugha chuo kikuu.
Nimekuelewa sna Bonge la Bwana
Naye bonge la bwana kweli!