HAPA NDIPO ALIPOANZIA BAKHRESA KUSHONA VIATU KARIAKOO, HUYU HAPA ALIEANZA NAE
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2019
- #millardayo#AyoTVEXCLUSIVE#Bakhresa
Ayo TV, millardayo.com imekutana na Mzee Ally Msusa ambaye amekuwepo tangu Mzee Bakhresa anaanza na biashara yake ya kwanza ya kushona viatu mtaa wa Agrey na Livinstone Dar es Salaam miaka ya 1970, ametuonesha eneo alipoanzia Bilionea huyo.
Nimekuja kuiangalia hii taarifa kwakua imetolewa na millard ayo ila ingekua tv nyingine wala nisingefikiria hata kubonyeza.kama unakubalia namimi gonga like.
Hata mm ingekua tv nyingn nisingeangalia
Mimi niliiona jana nikaipuuza , nikawa nafikiria,' hivi Millard Ayo naye ameanza kufanana na zile channel za kichoko ???"
Sana
😊😊😊😊😀
Ata Mm Habr yyt Huwa siiamin labd kwa Millard tu! 🔥🔥🔥🔥
Hiyi interview yte watu wamekosa kugundua kitu kikubwa mno kutoka kwa huyu Mzee, huyu Mzee inaonaonekana Mungu kampa kipaji cha kukinai, wallah ingelikuwa ni mswahili mwengine apo ungemsikia tu "tumekula msoto pamoja ila anashindwa kunisaidia mtaji" ila Mzee hana shobo hizo yaani mwenyewe karidhika na kuokota mabox akiuza pamoja na miwa kama ckupewa hili koromeo la kiume, ningelia kama mtoto leo kwa imani nilomuonea huyu Mzee, yaa Allah! Tukoseshe yte hapa duniani ila utupe msimamo wa ibada na roho zenye kinai
Mashaallah nimependa sana hilo
Watu wa zamani walikuwa na aibu sana ya kuombaomba hiyo iliwasaidia sana kutunza utu wawo.
Lakini ingekuwa hawa vijana wa sasa loh utawakimbia
Kweli kabisa na inaonekana mungu kampa afya nzuri maana kwa miaka 81 anaonekana vizuri sana na kichwa inakumbuka vizuri sana, mungu aendelee kumweka vizuri tuu
@@kamanda007 amin
Ka jamaa umesema point kwelikweli yan
81yrs and he is very strong Mashaallah Allah akupe nguvu zaidi Mzee
Ni kumushukuru tuu mungu baba angu now katimiza miaka 78 na bado yupo strong kabisaa
Swaumu Kea keel 2 much Keya, yeah
Broo tupunguz na hii michez mipya
Punyeto
Na hata ngoni za mara kwa mara
Then tujitahid san kuwaig wazee wet vykul walivyokuwa wanakula naamin tutafik ata 70 iv
Pia dua muimu
yasco mdoe ; wewe ni ng’ombe!
Kama Umesikia Mzee Wa Mjini kasema Siwezi kuhesabu Mifuko nahesabu hela , Elfu saba, Nane
gonga like hapa twende Sawa
Ahhahahahahhaha
Allah anasema anae pewa hekima bas kapewa kitu kikubwa na anae kinae bas atafaulu baba umekinae Allah akuzidishie huna wasi wasi moyo umepoa masha Allah
M nimejifunza kuwa na moyo wa kutoa kwa ajili ya MUNGU utafanikiwa sana
Sanaa mustakimu
Kwel
Sana. Ila usiwe na ndugu wenye kijicho. Unawapa bado wanataka ufilisike wafaidike wao
Kweli brooo
Allah anamruzuku anae mtaka bila kipimu.mungu amuongezee bakresa na sisi pia atupe
Viatu gia tu kama ilivyo gia namba moja ya gari.Gia namba 2 sukari gunia 200 bila VAT,yaani gia bila kukanyaga cluch.Gia namba 3 kuvua samaki,gia namba 4 hoteli.Na zamani gari nyingi zilikuwa na gia 4 ya 5 ni rivers Hivyo alirudi kwenye gia namba 2 ambayo ni gunia 200 baada ya Mzee Nyerere kustafu ikaja ruksa.Kwa hiyo alikuwa anacheza na gia tu,mpaka hapo alipo sasa. Pili hakuwa na roho mbaya,alisaidia watu kwa kadiri Mungu alivyomjalia.Hata mke wake ni mchango mkubwa sana.Maana alikuwa anamtia moyo.
Dah nimechka sana gia tu
Ni bora muwaulize watu wa Zanzibar (Unguja) kuhusu Bwana Bakhresa watakuwa wanajuwa zaidi kuhusu Bakhrasa . Ni mtu hodari wa kazi kutafuta maisha. Na mengi sana. Mungu amhifadhi na ambariki. kwa sote....
Miaka 15 anashona viatu lakin siku izi vijana tunataka maendeleo ya haraka kupita maelezo tunaajiriwa tuna mwaka Mara tunataka kujenga kwa feza za kumuibia muajiri wako mwisho hufanikishi na kibarua huna unabaki unatangatanga hii interview imenifunza jinsi ya kuwa mvumilivu kwenye maisha Allah anipe mwisho mwema inshaallah
Acha kuongea mbanga wewe unafikili Kuna Tajiri anajali wewe unapitia nini ukiona anaibiwa na yeye ni zuruma ishi maisha yako kama ujawai kupita misoto ya waajiri wa nchi hii
Bakhresa wazee wake walimlea Mh Rais wa kwanza wa Zanzibar kabla ya kuwa Rais huko Mwera Zanzibar, baaada ya kuwa Rais kuna tukio lilitokea kwa mzee wake bakhresa ambae alikua hawezi kuona vizuri ambapo alipata ajali na kwa bahati mbaya na kupelekea kuupoteza uhai wake, aliposikia Mh Karume alisikitishwa sn na tukio hilo ndo ikambidi kuwapatia pesa ya kina Bakhresa yaani bkharesa mwenyewe na kakaake Mohamed Bakhresa ndio akanza kufanya biashara hiyo ya kushona viatu huko Zanzibar karibu na kwao Mbuyuni, baadae akahamia Dar es salam kuendeleza biashara yake, hiyo, Allah amzidishie na wengine ambao wanatamani kuwa km yeye, pia Allah amzidishie na huyu mzee wetu pa1 na afya njema Inshallah
Mohamed Faris ww ni mkweli kabisa kwan unaijuwa2historia vzur ya zanzibar asante
Ahmed albahry, babu yangu uyo
Mohamed Faris ,p kaka ahsante
Mohamed Faris ok
Umeongea sahihi na iyo ndio historia ya kweli bana
kama waamini mungu akupi unachotaka na kukiomba anakupa anachotaka yeye gonga lyje apa
Bakhresa muangalie mzee mwenzio usisubiri afe najua utakuwa umemsaidia lkn mfanyie kitu cha kuweza kukukumbuka... Allah akizidishie Said Bakhresa
Mungu awalinde nyote uyu mzee na mzee bakelesa mungu awalinde tuombeane jamani amina
Asante mzee kwa ushuhuda japo ni vyema yeye mwenyewe muhusika akajishuhudia,ingawa amekuwa Kama tajiri aliye mafichoni au uhamishoni tofauti na matajiri wakubwa hata zaidi yake duniani.ndo maana hata baadhi wanasita kuamini asili ya utajr wake. Binafs Jack ma ni miongon mwa matajr wachesh ninayependezwa naye.
kaka watu hawawezi fanana wote hiyo ni tabia yake - nani vizuri tu mi naona watu wakakushuhudia kuliko kujishuhudia mwenyewe ..
Nimejifunza kitu hapa. Usikate tamaa na Utowe sadaka kwa Ajiri ya Mungu.Mungu Atakupa M badara wake.InshaAllah Allah Atufanyie wepesi sote .
Kweli husen
Amin
kuwa tajiri mkubwa inawezekana kabisa/1.zitambue nguvu za asili za ulimwengu/2.fanya kazi kwa malengo makubwa ya kimkakati/nidhamu/muda/akiba.,,,,,,,,,,,,,,gonga like kama unaamini
Hapo kwenye nguvu za asili bro hapo sijakuelewa
@@elishaalex1747 ulimwengu wa roho.(spirit realm)
Dunia hii tunamoishi inapokea nguvu na maamuzi yote kutoka katika ulimwengu wa roho,huwezi kufanikiwa kufika lever za juu kwa ujanja tu ,lazima ama umshirikishe mungu mwenyewe au viumbe waasi.
@@imagepower3641 kweli hapo kaka
Hata hii sunset TZ ni noumaa
Jamani katika kazi hakuna ushirikina muacheni milad ayo azidi kuwa juu maana kazi zake sio za kubahatisha wala kuandika kitu ambacho huta kikuta katika vidio zake kitakacho andikwa basi ndicho kilichomo hongera sana sana kaka mungu akubariki chapa kazi ukituma tutaangalia wasio taka kujua ukweli wakafuata mitandao ya kuwadanganya wasikutishe hawakuwezi hata wafanyaje
Mliyemuhoji mtu sahihi kabisa
Allah amlipe huyu baba aliyehojiwa inshaallah Hana roho ya ubinafsi kabisa
100%√
Ukinyosha mkono unabarikiwa zaidi.
Ukikunja mkono riziki inabana.
Nyie wengine wote mmekuja tu Dar. Mzee kazaliwa downtown na anazeekea downtown :)
❤️
Umeonaeee eeeee huyu ndo wa town sasaa
Mnasema haiwezekani maana mmeshakata tamaa ya maisha,,, kumbuka kila kitu kinawezekana hakuna mtu aliyekuja na kitu
Kweli vyote tunavikuta duniani
🙌
@@maryammaram2612 👍
Godbless Mushi ..yaaan kaka big like ur name Gobbles mashallah una IQ..and thinking capacity never die poor br.
True be Godbless.
Mtangazaji hongera sana
Ama kweli maisha ni safari ndefu mno,kwani hata wazamia lulu(wazibua vyoo)mwanzoni walokua na ndoto za kua matajiri wakubwa ila ndio kila mja mungu ameshamuekea riski yake,maana huyu mzee pamoja na ukaribu huo wake yy mua mpaka leo hajaubrandi,namuomba bakhresa amkuze rafki yake kibiashara😀😀😀😀 nae atajike
Mzeee mungu akujalie ujaficha kitu sema hapo kwa manara umenikosha
Katika maisha usikate tamaa ila bakheresa amepita mbali mpaka akafanikiwa anaeamini agonge Like chini
@Ali Ali iyo habari ni ya ukweli
Mungu ampe bakherasa maisha marefu mashaallah ana roho nzuri
Hiyo ni.miaka ya 1970's...ila sasa hivi wewe shona viatu tuone kama utakuja kuwa bakhresa...kipind hicho matajiri walikuwa wachache na fursa zilikuwa nyingii...sasa hivii hapana kwa kweliii....🙌🙌
Kwa vyovyote vile kulikuwa na dili zingine!!!
Kabisaaa saidi
Wewe usiwe muoga wa maisha, mtegemee Allah wangapi wa jana na juzi wako vizuri, uaminifu, ukweli ndo mtaji, fikra sahihi huleta matendo na matokeo sahihi, ukifikiri kimakosa utaenda kimakosa na matokeo ni makosa, kitume kichwa tafakari hakuna lisilowezekana mtangulize Allah na u jiamini inawezekana
@@mohamedsheikh6618 Allah tunamtegemea a ndie anaekadiria maisha yetu.lakin mimi sio muoga na pia nimezungumzia uhalisia...kila mtu anajua uhakisia wake na uwezo wake wa kiuchumi...Mengneo ni tunaongea tu kiimani,,ila imani pia inataka mtu ujiambue na Uwe na akili za kufanya kazi kwa usahihi
@@sayman158 wewe kama umeelewa inatosha, chapa kazi, heshimu wakati, heshimu taratibu zako kufa.nikiwa au la hiyo ni siri ya Allah usibweteke wala usiangalie mtu kila mtu kivyake kama sura zetu, pambana, kuwa mwaminifu na mkweli you will be champion, nothing else
daaaaah huyu jamaaa anahadisia vizue saaf sana milad ayoo mana chaneli zingine zinaweka picha ukiingia unakutana kingine good kwenu milaa ayoo
Barhesa tafuta mtaalam mzuri wa kuabdika.historia yako sasa. Mungu alikujalia kuweza kufikia hapo ulipo na umeweza kufanya maajabu ktk biashara. Hakuna aliyeamini lawalawa tamtam ice cream nk vinaweza kumtoamo mtu. Mf ukwaju ulikuwa umedharaulika. Ni utundu wa kibiashara unafa kuigwa. Hongera sana.
Km unaamini maisha ni mzunguko ht ww ipo siku utakuwa km huyo tajiri twende kazi🙏🙏🙏🙏🙏
Mzee wa taun,hongera hupindishi maneno🙏🏼
Kumbe bakresa simba ndo nimejua leo ❤️
Saiz Azam😂
Anae amini zamani hakukua na tuma na ya kutolea ndo maana barhesa alitoboa gonga like
Infact nothing easy we must struggle. "No pain no gain"
Mungu aendelee kumuongezea iliaendelee kuwasaidia na wengine!!
Ni vema kumpa mtu sifa kabla hajafa hongereniii
*Mzee hali yako siyo mbaya uko sawa shukuru mungu!* 😊
Ma shaa Allah unapotoa kwa ajil ya Allah bs jua Allah anakuongezea zaid na zaid.... Na hata ww chunguza ukitoa japo sh.50 bs unapata zaid y hyo hata nguo.
Allah amzaidishie
Bakhresa Anawalipa kla mwsho wa mwezi wezke wote aliocheza nao kwa mbuyuni,malindi na mchangani Zanzibar. Na wnpta kuwasomshea watoto wao kptia icho icho wnchopewa pia ameweza kutoa ajira kwa watoto wengi wa kizanzibar, nakutngneza mckti. Mengi ktk mjii wa Zanzibar na kuwalpa maimamu,wadhini na wanaosafsha mckti na kla ktu knacho husiana na mckti hutoa yy,na kila ikifika ckuku ya idii hutoa pesa kwa watu.mungu ampe khatima njema na awe na moyo uwo uwo wa kutoa zaidi na zaidi
Tudanganye Sasa mhhh ww kuweza
Very inspirational
Ili utoboe kwenye hili life nilazima kupamban🙆
Munira nitumie Namba yako please
Ndo hivyo
Tena haswa imagine mtu anashona viatu Kwa Zaid ya miaka15🤔
Umeonaeee 💪
Muni girl
Allah insist people to be tollerant..Almost 15 years man stay as a show shiner 🙏🙏
Sawa lkn bro Bakhresa Kihistoria alisaidiwa na Mzee karume rais wa Zanzibar na kipindi kile ilikua ukiwa na mali basi biashara unatusua. Walisaidiwa na ndo sababu ya kutisua.
Kwa siku alikuwa anashona viatu vingapi lo msidanganyike
@@blandinamwarabu5025 kamulize babak0,,,👎😔 🖕
Shoe shiner...malaka
Inatufundisha katika maisha ishi kwa wema na kila mtu, hujui kesho atakuwa nani!
Bongo watu wanatoka mbali usifikilie freemanson maza faka 😆😂😅😁
bress fabians hashuolo kwan hakharesa mbongo huyo kuyalo huyu ni Mzanzibari pure na kuanzia kwao Zanzibari hyu hajui kit ila sahv anchukuwa bara anaweka kwao Zanzibari Hahahahahaha
Sure.umenena.
Ahmed Albahry hovyooo jahil ww
Huyu ndo backhresa wa Azam yule tajir wa Tim ya azam?
Ila watu wa zanzibar akili ziro kweli Kwan apo ye kasema je mtazid kuwa watumwa
Napenda Sana taarifa zenu nizauhakika hamudanganyi
Simbaaaaaa,Nguvu moja.
Respect kwa huyu mzee
Masha Allah nimependa maongezi ya uyu baba angu ni mtu alie kinai wallah
MashaAllah.
Mashaallah mzee bado yupo fiti kabisa mashaallah
Huyu mzee picha linaanza kazaliwa town
Mzee wa Mjini huyo
kaachwa mbali saaana so kabaki na historia kweli akili ni nywele kila mtu ana zake
Joyce Nganyule
NI KWELI, LAKINI WOTE WENYE BUSARA HUONA NA KUBAKI KIMYA, HUENDA NA WEWE KUNA WATU WAMEKUPITA SANA NA ULISOMA NAO, NA KAMA NOW UPO KILELE OMBA YASIKUKUTE🤔
uyu tumuie babu town😅😅😅 toka enz izo yeye na baharesa marafik aisee sifa njema anastahiki aliye tuumba.mzee bado strong kabisa aisee na umli miaka 81.
Lol
Dah! uyumzeee anakinaa yaroho kinaa yaroho nimojakatiyahatuwa ktk maisha mungu mbarikiuyu babu umpekilala kheri
Safi ,hard work pays
Mungu akubariki Mzee wangu unaongea vzr bila uoga wala kinyongo wala matamanio
Mzee Bakhresa ikikupendeza muwezeshe huyu mzee mwenzio naye hata asitajirike sana lakini angalau amalizie malizie na maisha ya furaha kumbuka mliko toka inawaza kuwa anaona haya kukuomba mpaka augue wewe fanya kher kwa mtani na rafiki yako.
Kweli kabisa
Masha Allah 🤲
gonga like kama umelisikia neno kula kulala
Mungu awajaliee awaweke miaka miamoja asanteee
Nakutakia maisha marefu mzeee
very charming
Nd zangu ni kweli hii stori huku zanbari suma ni tajiri na kaanzia kuuza kahawa tu
Prisca tatizo watu hawamwamini Mungu,
Priskas Antony usilolijuwa
Mngemhoji Bakhresa mwenyew
Namfahamu huyu mzee toka miaka ya 90 anakuaga opposite na ofisi ya azam hapo alikuwa anauza miwa na tulikuwa tukitoka kununua mikate na ice cream mzee alikuwa anatupeleka kwa huyu mzee tunamsalimia na alikuwa akitusisitiza tusome sana kwa bidiii
Milad ayo utaendelea kuwa juu na mungu akuzidishie upeo wa ko wa kazi yako nandio maana watu wanakufuatilia sana kaka hongera sana ila hao wajinga wengine unacho kisoma tofauti na unacho kiangalia ila ww hakuna kama ww
Inshaallah kher, Ila sishangai Sana Saidi ndugu zake wanavisima vya mafuta omani,ilo mlijuwe.
Huyo babu ...namfahamu kitambo ....anauza miwa mtaa wa living ston ...pembeni ya bakhresa... siku moja niliwahi piga nae story ...akaniambia mwanangu kikubwa ukijaliwa kupata ridhki.. kula kdogo weka ....baada ya kuweka tafuta ardhi nunuwa kisha jenga nyumba usipokuwa na sehemu yako unayo imiliki mwenyewe hata watoto wako uliowazaa mwenyewe watakuzarau sn. ...
Fact
Bakhresa mungu anakutumiaa ubarikiwe
Allah amjaalie kher mzee wetu bakhresa
Nice interview 👌
Nashindwa kitu kimoja...huyu bakhresa millionea mungu akustiri...yaani huyu baba mulikotoka ni mbali mno..ila ulishindwa kumstiri jirani yako mpendwa... baba wawatu mpaka kafika umri 81 mungu akueke na akubariki uwe na moyo uliotosheka ....
barikiwa sana
Kama wewe ume zaliwa k/koo gonga like tujuane.
Safi sana mzee
Tithing/Sadaqa uwe mwislamu au mkristo toa sadaqa uone tofauti the likes of bakhresa and bamburi cement they will never go bankrupt from that one thing.
Kumbe bhakresa naye ni simba ndio najua Leo ase
Kuna kipindi alitkaga simba iwe chini yake viongoz wa simba wakagoma ndio akaamua kuanzisha timu yake
Kabla ya Azam alitaka kuinunua Simba wakamzingua na alishawahi kuwa kiongozi ndani ya Simba. Yule ni mnyama lialia
Leo mulimkuta kigogo kwel kwel
Duh Mzee SAID LEO kaanikwa
Adharan kwel kwel
Kamuanika jamali. Ati yeye kula kulala tu. Hafanyi chochote lol
Wato wapo sooo negative...huyu mzee hanasababu ya kudanganya.
Kweli
Basi Bakhresa ampe mtaji huyo mzee
Mzee huyo anamajengo k/koo
kweli kabisa
mashaAllah
Muachen bakhresa azidi kuwa juu kifedha maan kutoa msaada kwa kila cku kwa omba omba co mchezo
maa shaa Allwah
Tutoe Sadaka ndugu ni Muhimu Sana.
Kwa hiyo unaamini huo utajiri umetokana kwa kushona viatu aaaaaa wapi there is something behind that will never be told. Kwanza tu kwa kudokeza umeshasema aliwahi kukamatwa na sukari gunia 200 wakati wa kampeni za Sokoine za uhujumu uchumi. Utasema alinunuwa kwa pesa zake halali Sasa alipataje gunia 200 kinyume na utaratibu wa wakati huo!!!?? Kuna mambo mengi matajiri wanafanya kuwa hapo walipo hawatayaamsema kamwe
Nakubala sn dullah tz
Poa sana mi naamini ukijituma utatoka na mafanikio makubwa hata madili Mengine yatajileta yenyewe ,,,,
Mashallah nice story hii 💖👍
Inatupa nguvu
babu Allah akuweke zaidi
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha..
Ila mchicha auwez kua mbuyu
Na huwezi amini, kwamba kuna watu wamezikariri hizo siku zao za kuomba msaada badala ya kutaka akili za kuzalisha hiko kidogo !
Kwa maana hiyo kuna shida hapo....kama kipinde kile cha mwalimu Nyerere sukari ikuwa shida wakati huo yeye Bakresa alikuwa na gunia karibu 200 wakati mtu mwingine hana hata kilo 2. Huoni hapo tayari kuna alama za kuuliza, ???????
kuna behind scene kuhusu bakhresa ndioo maana hataki kuogelea kuhusu mafaniko yake
Huyu mzee wa Ki Bara Mungu amhifadhi anamjuwa Bw. Bakhresa kwa miaka 40 ni kidogo sana. Ni bora mwende Zanzibar (Unguja) kwao kwenye mitaa inayo itwa Malindi, Mchangani na Mbuyuni hapo ndipo mtajuwa wapi Bw. Bakhresa kaanziya biashara yake...pesa hazikuja kwa USIKU MMOJA. Mungu amhifadhi na ampe afya na sihaa yake. Kwa sote. Amin.
Original diagonal inafanyakazi leo hii🤣🤣🤣🤣
Yaan nimezaliwa tz nimekulia na kusomea tz lakin simfaham bakhresa hata kwenye gazet hajulikan ni tajir ambaye hujificha hapend aonekane hata kwenye waandish wa habari
Na mm nafikiria kuanza kushona viatu 🧐
ili utoke kimaisha ety eee eee
Utaota sugu
Nimekuja apa kujua bakhresa ni unga au ni mtu ☺☺☺☺☺☺☺
kwikwikwi
Ni unga wa mtu
Hahahahahahahahahahah
Original diagonal. Naikumbuka sana!
Hiyo ndio faisal ya sadaka