Bagamoyo Sugar || Kiwanda cha sukari cha Said Salim Bakhresa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2022
  • Ni wazi kuwa Tanzania imekuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakabiliwa na upungufu wa baadhi ya bidhaa muhimu za matumizi ya kila siku ikiwemo Sukari.
    Kutokana na upungufu huo kampuni za Said Salim Bakhresa zikakubali ombi la Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, hayati John Magufuli la kupewa eneo la kuanzisha kiwanda ili kuondoa tatizo hilo upungufu wa sukari.
    Baada ya kuridhia huko kampuni za Said Salim Bakhresa zikaja na kiwanda kipya cha uzalishaji sukari BAGAMOYO SUGAR.
    Tazama namna kiwanda hivyo kilivyoanza na namna kinavyofanya kazi ili kuondoa upungufu wa sukari nchini.

КОМЕНТАРІ • 103

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 Рік тому +24

    Mimi mkenya lakini napenda Watanzania. You guys are very serious in whatever you do; Sgr ya umeme, Daraja la mwanza, bagamoyo sugar and more. But the speed of Tanzanian development has been slowing since Magufuli died. Mungu ibariki Tz

    • @cr7tz770
      @cr7tz770 Рік тому +1

      Thank's

    • @allygibu7003
      @allygibu7003 Рік тому +1

      Asante sana kwa kutupongeza🙏

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому

      Yah sure now we are going in a very sluggish move, if he would have been alive to date , I think tungekua mbali sana aisee

  • @shetijay
    @shetijay Рік тому +6

    The late magufuli's economic efforts will never be forget,may his soul rest in eternal peace,God bless tanzania🇹🇿,much love from kenya🇰🇪#eastafricalove🇰🇪🇹🇿🇺🇬

  • @bongo39
    @bongo39 Рік тому +5

    Mashaallah nafurahi kila naposikia bakhresa co imeanzisha bidhaa mpya kwa sababu najua kila mwananchi wa juu mpaka wachini inamfikia na kwa gharama nafuu haangalii faida kubwa yeye anatoa huduma zaidi ili kila mwananchi(mtanzania) aweze kufurahia kwa ujio au huduma za bakhresa group of companies asilimia kubwa ya watanzania tunapenda sana huduma zenu kwa sababu mnatujali sana na mafuta ya kula pia mungeangalia kufungua kiwanda endeleeni tupo pamoja

  • @revokachira119
    @revokachira119 Рік тому +12

    SAFI SANA. UKIWA NA PESA WEKEZA KUSAIDIA WENGI. R.I.P DR. MAGUFULI

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Рік тому

      Sasa hapa magufuli anahusika nini hajachangia ht senti 1

  • @richardmwaja24
    @richardmwaja24 Рік тому +6

    R.I.P JPM 🕯️ tungepata viwanda kumi km hv tungeuza sukari afrika n dunia n ajira toooopuuuu pumzik kwa aman mbeba maono ulikuw mzalendo halisi.

    • @sudigombela8761
      @sudigombela8761 Рік тому

      yah sure lakini sukari ni mojawapo ya bidhaa yenye barrier nyingi zinazolenga kulinda viwanda vya ndani

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Рік тому +12

    Magufuli ni mwamba daima

  • @meshackmadema781
    @meshackmadema781 Рік тому +9

    #JPM 🔥🔥🔥🔥 Hakika alikuwa na maono na hii nchi R.I.P MAGUFULI

    • @amosicronery7730
      @amosicronery7730 Рік тому

      Hakika. Kuna vitu vinahitaji maamuzi ya kidikteta. Hebu fikiria Mzee Bakhresa alikuwa hajafikiria kuzalisha sukari, ila kapewa shamba bure (ambalo angelinunua kwa 150,000/eka x 10,000 = 1,500,000,000) na kashawishiwa. Hapo hakuna mambo ya upembuzi yakinifu, sijui Utafiti wa kimazingira.

  • @wakatv3704
    @wakatv3704 Рік тому +15

    tuki pata rais kama magufuli tena nchi itaenda mbali sanaaa

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Рік тому +6

    Yote Hayo Mzee Magu Aliona Mbali R.I.P Magufuli

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Рік тому

      Amna lolote wamemfidia asara waliompa kipindi cha mkapa walimwaga ngano yake serikali ilishindwa kesi ikatakiwa kulipa fidia magu amekuta mizigo mezani akacheza na akili za wasioweza kufikiri

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Рік тому

      @@kisangageorgethomasi2830 Sijui niseme? Au basi!

    • @kmotivation1130
      @kmotivation1130 Рік тому

      @@kisangageorgethomasi2830 sawa but kumbuka ,wema unatenda mwenyewe na ubaya hivyo hivyo so Magufuli ametenda alivyo stahili kwake

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Рік тому

      @@kmotivation1130 ametenda kwa kulipa fidia au ilikuwa zawadi?

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Рік тому

      Ni zawadi iliomgharim billions of money yani pesa alizotoa fidia kuwahamisha wanakijiji ni nyingi ni bora kama angenunua kiwanja

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 Рік тому +5

    Huyu ndio MWAMBA mwenye maono ya mbali daaah chema hakidumu biriani JPM

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Рік тому +3

    Na ile bandari ya Bagamoyo ikikamilika, Bagamoyo itakuwa tofauti kwelikweli

  • @barakakadiva5746
    @barakakadiva5746 Рік тому +1

    Very inspired. Great work Azam

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Рік тому +4

    Shikamoo Kaka Said Salim Bakhressa,

  • @bobrudala3784
    @bobrudala3784 Рік тому +5

    R.I.P Jembe Mungu IBARIKI Tanzania KAZI IENDELEE

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Рік тому +4

    R.I.P mzee baba magu. tunaomba sasa sukari ipatikane kwa uhakika.

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 Рік тому +1

    Ndoto yangu "Amina"

  • @yassersahin6639
    @yassersahin6639 9 місяців тому

    Hongera bahresa kwa kazi nzuri

  • @kwamefidel736
    @kwamefidel736 Рік тому +1

    Kazi nzuri

  • @paulnjau5317
    @paulnjau5317 Рік тому

    Bakhresa family are great entrepreneurs. invest in my country kenya.

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 Рік тому

    Asante MUNGU 🙏🏻

  • @tycoonpiro8980
    @tycoonpiro8980 Рік тому +3

    Jamani jitahidini sukari yenu ipatikane nchi nzima

  • @gsonshafu1459
    @gsonshafu1459 Рік тому +1

    Hongereni sana kwa uwekezaji wenye tija.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Рік тому

    Huyu Mkuu wa Wilaya anaota kuvuna kodi tu ambazo essentially zinakwenda kuhudumia life style za wanasiasa. Na ndiyo akili fupi zilivyo. Zinakuja mwiisho baada ya mtu kufanya kazi zote. Humsikii akisema tutatoa ushirikiano kwa kiwanda, kukilea na kulea uwekezaji huu na kushirikiana kuondoa changamoto!
    Ndiyo mentality ya wanasiasa wa Afrika wote. Si ajabu uwekezaji mwingi unakufa. RIP Magu.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Рік тому

    Manshallah

  • @jessendungu2334
    @jessendungu2334 Місяць тому

    I feel very bad coz of my country kenya,when i see this

  • @eliudottonatus4265
    @eliudottonatus4265 Рік тому +2

    Tunaweza kukidhi mahitaji yetu,tukiwawezesha watanzania wenzetu,Magufuli kaonyesha njia.

  • @saimonstephen7250
    @saimonstephen7250 Рік тому +1

    Tunaposema kiongozi Awe na maono tunaamanisha Kama Magufuli, faida tunasubr baadae

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 Рік тому

    Maa Shaa Allah

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 Рік тому

    Asanteeee

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Рік тому +2

    R.i p magu

  • @juliussweetberth6474
    @juliussweetberth6474 Рік тому +1

    Ongeza sana

  • @MuhammedAli-zp3cy
    @MuhammedAli-zp3cy Рік тому +2

    Kazi ni nzuri na inavutia.Big up Bakhresa

    • @daniellyimo378
      @daniellyimo378 Рік тому

      Bagamoyo imefunguka na biashara zote sasa zinakua.thumbs up bakressa

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 Рік тому +2

    Aisee magufuli nani tena atatokea kama yeye

  • @aminasaeedsaeed8288
    @aminasaeedsaeed8288 Рік тому

    Jina magufuli litadumu daima. Pumzika kwa Amani mbeba maono yetu. Mbele yako nyuma yetu baba. Jemedari wa Africa.

  • @tensotv
    @tensotv Рік тому +1

    Bahati mbaya mkihitaji kufanya certification..operator atawafelisha kwenye masaa ya kazi😁😁😄 am kidin

    • @aggu08
      @aggu08 Рік тому

      Mtu mmoja kufanya kazi masaa 12 si mchezo😄

  • @bongotrends255
    @bongotrends255 Рік тому

    respect

  • @mrndundugurushi9782
    @mrndundugurushi9782 Рік тому +1

    Tunalima sukari nchi hii lakini kila kiru kipo juu daaaa ni shidaaa sanaaaa

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Рік тому

      Inshu sio kulima unalima kwa wingi gani unawezalima kiasi ambocho akitoshi lkn pia sukari ilikufika mahala lazima ibebwe na gari gari linatumia mafuta

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Рік тому

      Sasa unalima Miwa halafu wataka mafuta yawe rahisi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mohammedikingazi5109
    @mohammedikingazi5109 Рік тому

    Mashaallah SSB

  • @mohamediidd1964
    @mohamediidd1964 Рік тому

    Hela napata wap? Mmmh wengine tusubir tu .hongera sana bakhresa

  • @amanidicksoni3945
    @amanidicksoni3945 Рік тому +1

    Magufuli ni mshindi ameshinda acha apumzike mbeba maono

  • @benedictmwanyika6798
    @benedictmwanyika6798 Рік тому +1

    Dah mmejua kumhenzi the late magufuli

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 Рік тому

    Walai Magufuli angalikua hai, sijui watanzania wangekua wapi....huyu mama ni kinyume cha JPM.... Kenya hatuja wahi barikiwa na kiongozi tangu enzi za ukoloni

  • @jafaryahmad4224
    @jafaryahmad4224 Рік тому

    if you are belongs to the people u will always be the peoples life

  • @user-kl7rt7pj5d
    @user-kl7rt7pj5d 8 місяців тому

    Habar apo kwandani naulizia kazii

  • @SophiaOmary-ss6nj
    @SophiaOmary-ss6nj 8 місяців тому

    Jamani Mimi nipo mbeya naomba kazi

  • @jamesmsokwa2635
    @jamesmsokwa2635 Рік тому

    Jpm super brain

  • @brownpatrickkaduma7106
    @brownpatrickkaduma7106 Рік тому

    Pambaneni na Bei iwe rafiki kwa watanzania

  • @abdallahsaid641
    @abdallahsaid641 Рік тому

    MARAIS WA NCHI ZA AFRIKA WANGEHEZI KAZI ZA UZALENDO WA NCHI ZA MAREHEMU RAIS MAGUFULI.

  • @kombafocus6996
    @kombafocus6996 Рік тому

    Wabaguzi wa kidini mnaajili waislamu tu hapo.kiwandanimu

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Рік тому

      We ajira itakayokufaa labda kukata miwa shambani manaake hata kuandika hujui

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Рік тому

    Hapo alotoa wazo na eneo ndio washamsahau hivyo .. dah

  • @salmayusuph227
    @salmayusuph227 Рік тому

    Naomba wausika wa kiwanda naomba nipatiwe kaz mm mjane

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Рік тому

      Unachekesha sana wewe yaani wataka kazi kwenye comment??? Nenda kiwandani🗣️🗣️🗣️

  • @husseinkarim9211
    @husseinkarim9211 Рік тому +1

    Wahindi wako Mbele sana, wazawa tumepata ujuzi mkubwa watekelezaji ni wazawa ni wengi.

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Рік тому +2

    Hiki ndo kiwanda kikubwa Tanzania

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Рік тому +1

    Waficha sukari watakomeshwa

  • @kombafocus6996
    @kombafocus6996 Рік тому

    AJILIJINI NA NA WAKRISTO LAKINI SASA MNAAJILI WAISLAMU TU HAKUNA HATA MKRISTO HUO UBAGUZI W dini

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 Рік тому

    Jpm daima

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Рік тому +1

    Ndomaana bagamoyo viwanja ghali sana ...

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Рік тому +1

      wee

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Рік тому

      @@asmarajabu5786 kweli

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Рік тому +1

      @@highzacknnko9685 mie ndiyo nilitaka kuja huko lakini basi ngoja nikomae yombo bagamoyo

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Рік тому

      @@asmarajabu5786 lakini sio sehemu zote kuna pahala pengine ndani ndani maeneo sio ghali sana

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 Рік тому

      @@highzacknnko9685 sawa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Рік тому +1

    Utackia ni juhudi za mama 😂😂😂

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Рік тому

      Ni juhud za bakhresa hakuna mwengine

  • @morismongera6722
    @morismongera6722 Рік тому +1

    As

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Рік тому +1

    bakhresa ni tegemeo kwa taifa

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Рік тому

    mbona bado ghali sukari

  • @johanesbagenzi2486
    @johanesbagenzi2486 Рік тому

    Tunaombaje kazi?

  • @alybakari9046
    @alybakari9046 Рік тому

    Safi hii itakuja zanzibar yamahonda imefungiwa kwenda bara

  • @johnboscobiguli7692
    @johnboscobiguli7692 Рік тому

    Laimu ya'nini kwenye sukali Tena?

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Рік тому

    Tatizo. Bahsresa. Mnaubaguzi. Wa. Kutowa. Akira

  • @ngisianbn
    @ngisianbn Рік тому

    .

  • @mnyamatv505
    @mnyamatv505 Рік тому

    AJALI MBAYA YATOKEA MUDA HUU SUPERFEO / SONGEA -TUNDURU ua-cam.com/video/Fg6kFUlHs3I/v-deo.html

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Рік тому

    Tunataka cha serikali sio cha walio tajiriga kwa kukwepa kodi na kutusababishia umasikini na mahangaiko

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Рік тому

      Acha kuropoka serikali yenyewe ndio inahimiza uwekezaji na ni nzuri wawekezaji wakiwa wazawa

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Рік тому

      Wacha makasiriko weweeee kuwa na roho nzuri angalau Mungu atakufikiria vinginevyo utakufa na umaskin wako