MCHUNGAJI HANANJA AMCHARUKIA MFALME ZUMARIDI, UMEENDA KUZUNGUMZA NA MUNGU KIKAO CHA BAJETI?
Вставка
- Опубліковано 14 бер 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - Розваги
Du! Nilikuwa namsikia tu. Kwa Vijana kanisani kasema ukweli. Big up Mchungaji.
Mungu akuzidishie maneno ya hekima na busara.
Ubarkiwe zaidi Mr. ANANJA
Huyu Pastor huwa ananikosha pale anapo rejea maandiko matakatifu. Anaongea point sana na amebarikiwa maarifa, uwezo na uelewa wa kuzitetea point zake kwa njia ya maandiko matakatifu.
Ahsante kwa somo zuri 🤝🤝
Jamani huyu Hananje ana akili Safi sana.Abarikiwe
Mchungaji yuko sawa jaman duuh mungu akuzidishie uhai duh umenikosha hatar khaaaa
@@tundacute740 ;iuoiizziiuu? Uouii😅uiuiuuou😅zuuuuiuuuiu😊
Huyu mzee anaongea point sana🙌🙌
Ubarikiwe baba mchungaji Kwa maono yake
Very very wise.I do respect you Hananja.Remain blessed,
Grt good leader to this generation we are blessed by you may God add you more years to help this generation ❤
Yani kila nikiona interview ya uyu mzee lazima niiangalie madini ya kutosha sana
Kabisa huyu mzee namielewaga sana na mzee wa upako
Sana uyu mzee anajua kucheza angle zote z maisha
😆😆😂
Dah!!! Huyu Mwamba Huwa Namkubali na Kumuelewa sana Dah!!!
Asante mtumishi wa Mungu ww ni msema kweli
Ubarikiwe sana Mchungaji.
ZUMALID ASIWASUMBUE ANATATIZO LA AKILI NA ANATAFUTA KIKI PASIPO KIKI MILEMBE INAMUHUSU
Ameeni pastor yuko vizuri sanaa
Respect to Pr. Hananja
maisha marefu hannanja
Huyu mzee is very intelligent hakurupuki kuongea
Safi sana mchungaji
Dishi la huyu mchungaji huyu liko vzr
Gwajima unamuonaje naye ?
Ngoja tuliweke sawa hahaa
Huyu mchungaji akikaa na vijana wengi watarudi imani zao❤…. Anasema ukweli na huku akitumia biblia …. Ni kwa Roho Mtakatifu tunarhusiwa kujua kweli na Huo ukweli Utatuweka Huru 😊
Father mungu akuweke
Barkiwa Sana Mchungaji
Mtu wa Mungu, Vijana tusitafute kamseleleko kwa Manabii wa uwongo.
Very impressive👍
Aaa hiyo komediiii...Asante Baba mchungaji
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA milele.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Daaaah Chama Kubwaaa
Mungu akuzidishie hekima
Akili mingi sana mchungaji,nakuelewa san.
Namuelewa sana kwakweli
Asante mtumishi
Nakubali sana @Madini ya uyu mzee
Akili nyingi sana 💪🏿
Mzeee ana akili sana
Ishu ya Sadaka umenigusa Mtumishi . Uku kwetu wanaita harambee yan ni shda kwa aibu unajikuta unaahid Sunday inayo fata huendi Ibada kwsbabu sina . Mwishoe ndo najikuta siendi kbx
Swala ni kuwa ukristo uko kwenye 2 Timotheo 2:1-7; hakuna ukristo ila mmoja tu LDS Church mkalitafitiiiii ndilo pekeee alilorejesha.
Great...akili kubwa hii
Sawa mchungaji Hananja
NAMKUBALI SANA, HAPO KUUSU MBIGU, Kiukweli kabisa nilifikiri hapa duniani wakristo hawamini hilo, wengi wanahamini “mtu akifa anakwenda mbiguni“ mbiguni hakuendi mfu sasa hivi, the heaven still under construction 🚧😂😂😂😂
Big up pastor
Yan umeongea point sana tuna maswali mengi sana
True
Safii mzee
Barikiwa mtumish wa Mungu
Nikiona tuu sura ya Mch Hanja lazima niangalie
Aaaah hiyo comedy 🤣 😂 😆 😄 😅 👌 🤣 😂 😆 😄 😅 👌
🤣🤣🤣🤣👍
🤣🤣🤣🤣🤣uyumzee namuelewa
Pastor uko saw a! Mafundisho yamekosekana!
Prof hananja umetiiiiiishaaaaa
Very Bright person.
Hananja yuko vizuri
Yan namkubali Sana huyu mwamba
Mchungaji. 😁😁😁🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Fact
Ww muogope mungu ukiristo sio dini na yesu alikua muislamu
Yuko vizuri mchungaji! Akiongea usipocheka utakuwa na matatizo😁😃
😂😂😂
Haswaaaaa
👍👍
Huyu mzee anajua
Ana akili
🙏
mzee anajuw sana
Huyu Mchungaji amesema kweli vijana tunataka majibu ya haraka cyo unasali miaka 20 alafu kanisa halina msaada kwako Unatoa sadakaafungu la kumi lakin mwisho Mh mbaya
Kweli itawaweka huru
Hahaha nampenda sana
Hiyo Comedy😃
Eheeee
Namkubali sanaaa😂😂
Huyu mzeee ameadhilika na Moshi wa bangi akili zake azioo sawa kama wewe unaongoza kanisa bila Mungu Muache Zumaridi aseme na Mungu acha chuki zisizo na msingi kaaaa utulie mambo ya Imani ya mtu usiingilie usije ukafa umesimama
Busara zimelala kiongozi
Hapo kwenye shoro mwamba Sasa 😀😀
Huyu Mtu ana elimu Gani ? Maana akili aliyonayo zaid ya PHD
Huyu jmn kisimbuzi hakisumbui
Hahahahaha....hiyo comedy
Hahaha kumbe Zumaridi anaota😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
anaoteshwa na shetani .
Hananja inaonyesha anapenda sana chipsi na soseji hahahaha
UKITULIZA AKILI YAKO VIZURI BASI HUYU JAMAAA UTAMFAHAMU VIZURITU ANACHOKISEMA...
ILA UKIWA KICHWA KIBOVU BASI HUWEZI JUWA JAMAA ANAONGEYA NINI NAANAMAANISHA NINI.
Sadaka Kama round about 🤣🤣🤣🤣🤣
MZEE ANANJA UPO VYEMA SANAA
VIJANA TUNAFELI TUNA HALAKA YA MAISHA SANAA
Hahahahahaha nacheka sana
Hahaha 😀😀😀 kwamba kikao cha bagte
Et hiii komedy
Wawe wanamlipa sasa kuongea nako n kaz
Hehehhh 😀😀
😅
Kama muzima huwezi kuabudu kwahuyo
Kwan huyu anakanisa?
😂😂😂😂ati unaenda kukaa kikao na Mungu cha ndoa ama bajeti
🤣🤣🤣🤣 kikao cha budget
Huyu mchungaji ana nondo za moto!
Samahan kwakusema hili....wakristo nduguzetu mhhh sujui muda mwingine mnaufaham gan.....mfano huyo Zamarad hahahaha sitapeli yule na mnamuona hahahaha lakini mijitu mipumbavu hahahaha Bado.....dah hiii Dunia hiiii hahhaha dh nomah....
Hivi hata mwazungu wanakufa kwaajili yakujua kiswahiri?
Dah umewaza mbali sana big up sana na sis wabongo tunakufa kwa kuitafuta mh🤫🤫😁 mungu azid kutupa uzima
Huyu baba namkubal sana
Hahaa
Zumaridi mbona unasema comedy!! Mbona maneno ya paulo wa kwnye biblia mnayaamini? Na mbona hamkubaliani na pita aliyesema paulo ni mwehu?
Kama Mungu anaendelea kufanya kazi kwanini hamtaki manabii wengine watokee?
Kwa hiyo mchungaji ww hujawahi kuongea na Mungu ila ni umefundishwa tu chuoni?
Bado kidogo tu tutajua ukweli na wote mtaumbuka🤨
🤣🤣🤣🤣
Lijue sana neno la Mungu utakua zaidi ya nondo ila ukiyakosa mafundisho utakua kama bendera fuata upepo
@@viviantarimo7440 haujaeleweka
🤣🤣🤣
Uyu Mzee noma
Kama Musa Elia na Elisha wote waliongea na Mungu kwanini tusiamini hukusu mwamba Zamaradi
ANAITWA SHE KING ZUMARIDI , MUHUBIRI MWENYE ELIMU YA KUZIMU.
Wewe mzee ameenda kiroho sio kimwili muwe mnaelewa
Acha uchizi
Ona huyu nae kalogwa na Zumalidi🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙆
😄😄😄😄
Hahaha 😂😂😂
Huyo Zumaridi ANAITWA SHEQUEEN, HUYO NI MUNGU WA KUZIMU ANAEMWABUDU
Hamna mchungaji hapo mchungaji azungumzia madem??
Masikio yako yanashida,
Yaani katika yooote aliyoyaongea pastor umrsikia hilo tu
Utasubiri sana kuelewa