KIKWETE Asimulia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • KIKWETE azungumzia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma, zoezi lililohudhuriwa na marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete sambamba na viongozi wengine wa sasa na wastaafu.
    Pia Rais Magufuli amekabidhi ndege aina ya tausi kwa Mama Maria Nyerere, mke wa baba wa taifa, marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete. Wastaafu wote wamezungumza kwenye hafla hiyo, huku mama Maria akiwakilishwa na mwanaye Makongoro Nyerere na kwa pamoja wamemshukuru mheshimiwa rais.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 116

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 3 роки тому +8

    Ulituchelewesha sana Wewe mwanadamu

    • @karamarwamugema335
      @karamarwamugema335 3 роки тому +1

      Maneno tu na kuchekacheka kama fara, wewe ulikuwa mtalii hakuna la maana umefanya licha ya kukuza ufisadi. Mnafiki mkubwa.

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 роки тому +9

    Ndo maana kunawakati nawaambia bila udketa mambo mengine hayawezekani.Hata maandiko matakatifu yansema mambo mengine hayawezekani ila kwa kufunga na kusali.JPM ameweza kwakuamua bila kushirikisha watu wenye ubinafsi.Unafikiri jambo hili lingepelekwa bungeni,namengine kama ununuzi wa ndege ujenzi wa meri na Reli bwawa la umeme nk vingefanikiwa???Nawaambieni nilazima uwe na msuri wa maamuzi magumu kama Rais JPM ndo unaweza fikia malengo.Nakilichotuchelewesha kuwa na maisha bora kwa wote watanzania ni kila jambo tushirikishane nawanaoshirikishwa niwale wapigaji wenye kugikiria matumbo yao.Ndo maana kwa mambo anayoyafanya JPM kwa wanasiasa anaonekana ni dikteta kwasababu anaamua bila kusubiri maviakao amabayo miaka yote yamefanyika bila kuleta tija.Watanzania wenzangu Tumuunge mkono Raisi wetu JPM.tumpende tumuombee atatufikisha ng'ambo ya mafanikio tutashangilia kama wana wa Israeli walivyoshangilia walipovuka bahari ya shamu.

  • @mrishogange4276
    @mrishogange4276 3 роки тому +6

    Umetuchelewesha sana we jamaa

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 3 роки тому

      Amekuchelewesha mwl.nyerere mwinyi na mkapa sio jk acha dhuruma

  • @amirmahundi3730
    @amirmahundi3730 4 роки тому +8

    Naipenda Tanzania naipenda nchi yangu na nawapenda sana marais wangu

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 3 роки тому +3

    Uligomea kuhamia dodoma kwa sababu hukuwa na uwezo huo mwanaumea aliweza licha ya miradi mingi kuwepo

  • @willgabrio8292
    @willgabrio8292 4 роки тому +2

    Im proud tanzanian proud to be dodoma tribe

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 4 роки тому +20

    Nchi nyingine Maraisi wa Tz hao,kwingine hakuna. Nchi yangu naipenda. Hakuna kama Tanzania

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 роки тому +2

    Jamani. Mpeni mama janeth mjane wa rais wetu hayati JPM tausi pia. Furaha na faraja kwa mema ya JPM kwa Tz. Mungu tubariki watoto wa Tz

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 роки тому +5

    Wale ambao wanajisahaulisha kazi zilizofanywa na Kikwete..."Chuo Kikuu Cha Dodoma" moja ya Kazi zake..kaunganisha mikoa yote kwa barabara za kudumu

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 2 роки тому +1

    Nyerere tutakukumbuka daima. Na yule aliyetimiza ndoto ya kuhamia Dodoma, jpm, wengine walizidisha maneno kuliko vitendo.

  • @juliusmzengaboma9892
    @juliusmzengaboma9892 4 роки тому +8

    Mie binafsi nafurahia Historia inavyonijia vizuri. Mwaka 1973 Mwalimu Nyerere alipotangaza Makao Makuu ya Nchi kuhamia Dodoma nilikuwa nasoma Shule ya Msingi Ibihwa Dodoma darasa la tatu. Leo nashukudia utekelezaji kamili na ujenzi wa Makao Makuu Kama alivyotangaza Mwalimu Nyerere. Mungu anipe nini Mie maana nimeyashuhudia yote na sio kwa kusimuliwa. Ni kama Nicodemu alivyoshuhudia uwepo wa Kristo. JPM hoyee kwa utekelezaji. Muwaha John Malecela na wewe ulijitahidi chini ya Mzee Mwinyi kuihamisha Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Dodoma, ingawaje baadae wajanja wakairejesha Dar es Salaam. Mungu ibarika Africa Mungu ibariki Tanzania.

    • @florianhenry7198
      @florianhenry7198 4 роки тому

      Ayubu 45:2 nilikuwa nikikusikia kwa masikio Leo hii nakuona kwa macho

  • @jonathanjocksonmushi9518
    @jonathanjocksonmushi9518 4 роки тому +9

    N wapi utaona wastafu Marais na Rais wa awam ya tano JPM wakiwa wamekaa pamoja ni Tanzania utayaona haya idumu Aman tz na Mungu awe Mungu juu ya nch Tz

  • @conradmwingira684
    @conradmwingira684 4 роки тому +14

    My Country Tanzania My Mother Tanzania Thank you.

  • @raphaeldayos5662
    @raphaeldayos5662 4 роки тому +9

    Safii saana international mediator, diplomatic man and international conflict solver bravo kikwete

  • @stevenobillo7100
    @stevenobillo7100 4 роки тому +10

    Kikwete umeongea poa sana Rais wetu

  • @chrispinemabwenga5187
    @chrispinemabwenga5187 4 роки тому +7

    Naisikia lafudhi ya Ridhiwani toka kwa Sauti ya Mzee JK, hongera sana Mzee wetu Mungu azidi kukupa afya pamoja na watangulizi wako, nyie ni majemedari wetu endeleeni kumsaidia Mheshimiwa Rais JPM kwa ushauri ili tusonge mbele kimaendeleo kuelekea Uchumi wa Kati.

  • @bulunjamalimikulwa4876
    @bulunjamalimikulwa4876 4 роки тому +3

    Wala,!!!!! Wackubezu mzee wangu Raisi msitaafu MRISHO JAKAYA KIKWETE, Ulifanyanya mambo makubwa sana kwa walio wapofu ndo muda wao wa kuona.

  • @donforexindustry6516
    @donforexindustry6516 4 роки тому +2

    Nice baba

  • @maigechagu7324
    @maigechagu7324 4 роки тому +21

    Hongera JPM kwa kutimiza ndoto za mwalimu Nyerere.

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 4 роки тому +8

    Upendo ndo utamaduni wetu

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 4 роки тому +12

    Kweli ubinasu ndo kikwazo

  • @malipulachalamila110
    @malipulachalamila110 4 роки тому +5

    nakupenda nchi yangu Tanzania
    nawapenda marais wote, upendo wenu unamaana kubwa kwetu

  • @muddymaulid2771
    @muddymaulid2771 4 роки тому +6

    Good

  • @moseschilumba7907
    @moseschilumba7907 4 роки тому +19

    Hongera inchi yangu, hongera raisi wangu John Magufuli

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 4 роки тому +7

    Kwa speech huwa nakuelewa sn kweli ni sauti ya mstaafu

  • @christophermsabi8184
    @christophermsabi8184 4 роки тому +8

    Nikweli unacho sema mweshimiwa kikwete

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 3 роки тому +1

    Rip president John pombe magufuli, hakuna mtu hapa alijua uko karibu kufaa😢

  • @isayakilangi5888
    @isayakilangi5888 4 роки тому +4

    My dad my sun my father my presdent nakupendaga Sana JK

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 3 роки тому +3

    Jakaya kama unakachuk na kawivu ivi?🤔

    • @jumamnumbwa9483
      @jumamnumbwa9483 3 роки тому

      Amefanya makubwa sana mzee huyu inshort magu na jk ni viongozi bora kabisa wa maisha yangu tumuombe mungu bi samia nae awe zaidi ya hawa

    • @kshdbzjnxksksw6567
      @kshdbzjnxksksw6567 3 роки тому

      Anao asa ananikaza tu

  • @jaredmutego6884
    @jaredmutego6884 4 роки тому +4

    hongera sana viongozi wa Tanzania

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 4 роки тому +6

    Hekima,Umoja na Amani..Mungu ibariki Tanzania na watu wake
    ...

  • @laziertipay7463
    @laziertipay7463 4 роки тому +2

    do we have double white house now coz naona kama Dar bado inatumika

  • @mako331
    @mako331 4 роки тому +19

    Hivi nyie mlikuwa mnashindwaje? Mambo mengi Jpm anayafanya sielewi yalikuwa yanakwama vipi? Thank you God for Jpm he is a Leader

    • @edwinpaul9930
      @edwinpaul9930 4 роки тому +8

      Sidhani kama kuna tofauti yoyote kati ya marais waliopita na wa sasa. Kila mtu alifanya kwa nafasi yake. Mengi anayofanya raisi wa sasa yalianza toka vipindi vilivyo tangulia.

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 4 роки тому

      Pumzika

    • @hassanmirambo564
      @hassanmirambo564 4 роки тому +2

      Edwin Paul acha pumba

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 роки тому +1

      Kikwete mwenyewe leo kaongea jinsi mabadiliko makubwa aliyoyaona wakati anapita eneo la Ikulu mpya.. Ama kweli watu wana macho ..lakini ni macho bandia tu..
      Hivi kweli jamani .Rais anayejenga reli ya kisasa na bwawa la umeme... Utamfananisha na watangulizi wake kweli ?
      Aaaa.. Nashukuru bwana.. Macho yangu yanaona. Sijawa kipofu mie

    • @harriethkinjoli7545
      @harriethkinjoli7545 4 роки тому

      @@edwinpaul9930 ni kweli kabisa.

  • @stevenobillo7100
    @stevenobillo7100 4 роки тому +6

    Kikwete umeongea poa sana Rais wetu

  • @malikiorybajuta9830
    @malikiorybajuta9830 4 роки тому +1

    JPM amefany kazi Ila amekwama tu kutotoa ajira Ila kwngine kote yupo vzr

  • @festobosco6642
    @festobosco6642 2 роки тому +1

    munafiki uyoooooooo

  • @salumsalum8261
    @salumsalum8261 2 роки тому

    Muuwaji anasema nakuombea kwa mungu akupe maisha uje kukata utepe......for sure he has something to do with his death

  • @bumbazladas4369
    @bumbazladas4369 4 роки тому +5

    MUNGU akulinde na HUSUDA jakaya napenda speech zako

  • @mechanistzegreat1224
    @mechanistzegreat1224 4 роки тому +7

    Well done

  • @johnkomba2774
    @johnkomba2774 4 роки тому +2

    True

  • @kazungukakiyo8560
    @kazungukakiyo8560 4 роки тому +2

    Mbiiyuuu;:mbiiyuu yamugambo ikilia ina jambo.Kweli Jpm your laegersy are the dreams of the founder JULIUS MWALIMU KABARAGE NYERERE.weldone.Ukisema tuende wote nituende hakuna kubaki nyuma chapa kazi.

  • @saisaikalyasi5998
    @saisaikalyasi5998 4 роки тому +21

    Kikwete umemfanyia nn Mungu, mbona huzeeki

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 4 роки тому +1

      😂😂😂

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 4 роки тому +3

      Kuishi ni watu vizuri brother!! Ukiwapenda watu na ukaishi nao vizuri, Mungu anakubariki kwenye mambo mengi

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 4 роки тому +2

      Pinda nae kazeek vibaya

    • @aprgg
      @aprgg 4 роки тому +3

      Achoke amefanya kazi gani???????

    • @kazembally6032
      @kazembally6032 4 роки тому +2

      hana roho mbaya ndyo maana azeeki

  • @samkivuyo9385
    @samkivuyo9385 3 роки тому +1

    Napenda Tanzania xna coz ni nchi ya amani kabixa

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 4 роки тому +3

    Mstaafu

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 4 роки тому +8

    Asante kwa chuo baba

  • @stevenmwaiko801
    @stevenmwaiko801 4 роки тому +3

    Umeongea vizuri sana JK kuweka wazi hatua ilivyokwenda... kuna aliesema amekuta li nchi la hovyo hakuna kilichofanyika

  • @jazzcellc6563
    @jazzcellc6563 4 роки тому +2

    Allah bless you mzee jakaya

  • @josephmpiluka6381
    @josephmpiluka6381 4 роки тому +2

    Mmh

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed5133 4 роки тому +7

    Nimependa kilicho fanyika,,😍😍

  • @mansurfadhil3749
    @mansurfadhil3749 4 роки тому +1

    Best naso wanawake wabay

  • @yahyajuma8793
    @yahyajuma8793 4 роки тому +1

    i love it

  • @PhilibetLadislaus
    @PhilibetLadislaus 6 місяців тому

    Ni ujinga kutoa ndege kwa mjane alitaka nn.h

  • @nameiztv7870
    @nameiztv7870 4 роки тому +1

    Jakaya

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed5133 4 роки тому +7

    Ubinafsi uliwakwamisha nchi moja mnataka kuanza kuvutana ndomana mlikuwa mnakwama,,🤔

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 роки тому

    Jk was a good politician

  • @jamalnahdi5984
    @jamalnahdi5984 4 роки тому

    Ukimtoa mwinyi anafata kikwete,, ishi maisha marefu

  • @maxamedsaalax7194
    @maxamedsaalax7194 4 роки тому +2

    Ft. F fry

  • @fatmakhamis580
    @fatmakhamis580 4 роки тому +1

    Kalale pema mkapa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому +1

    Mungu awabariki Wastaafu wote kwa mliyoyatendea nchi hii. Mungu awajalie afya njema na muendelee kushirikiana na watakaotawala mkiwa hai.

  • @janviersentama2437
    @janviersentama2437 3 роки тому

    Mzee Kikwete safi sana.

  • @rajabkhaji7826
    @rajabkhaji7826 4 роки тому +4

    Nice

  • @kombomwazini7748
    @kombomwazini7748 4 роки тому +4

    Nice

  • @selijusgasper1274
    @selijusgasper1274 4 роки тому

    Tunakukumbuka sana jakaya

  • @daudhenry6212
    @daudhenry6212 4 роки тому +12

    Tubadili katiba wastaaaf waruhusiwe kurudia kuwania urais

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 4 роки тому +4

      Lbd wabadili katiba jpm aendeleee, sio huyo mwenye IPTL

    • @mohamedmotte1519
      @mohamedmotte1519 4 роки тому

      Mhe. Rais mstafu Jk usituache kwa ushauri ili tuweze songa mbele.

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 4 роки тому

      @@mohamedmotte1519 alishindwa kutuendeleza happy zamani ataweza leo? Wakati kipindupindu kinatumaliza Leo kipo wapi maji bwena. Lbd mrudie kupishana hewani huku wanainchi wanatabika. Kikwete gogo

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 4 роки тому

      @Humphrey Msengi kunywa maji machafu

    • @michaeltito971
      @michaeltito971 4 роки тому

      Acha mawazo mgando

  • @bedamassawe8107
    @bedamassawe8107 4 роки тому +2

    Katikati ni singida sio dodomaa

    • @lewismpangala927
      @lewismpangala927 4 роки тому

      Wasingida wanakula punda

    • @sele2507
      @sele2507 4 роки тому

      Ni sindiga pamoja na dodoma

    • @andrewjohn2404
      @andrewjohn2404 4 роки тому +1

      Singida Ingekuwaa Tanganyika Sawa Lakini Kumbuk Zanzibar pia Ni tz Iliyopo feat vzr kutoka Zanzibar mpak kigoma Ni Dodoma Umenielewa nafkilii