Ninyi nyote mnae muhukumu huyu Dada naona Kama pia mna Pepo kwani kamaninyi mna Mungu wakweli nayeye mnamuona anapepo kwanini msiombe mabaya yamtoke mmebakia kukosoa naona Kama niroho mbaya inawasumbua ninyi ndani yenu, Mungu tumuache yeye ndio atakae hukumu , kwani ninyi wote mko sawa hamna mabaya mnayafanya ebu kila mmoja aweke kioo ajitazame jee mko sawa? Ulie nelewa gonga like hapa,
Jini zumaridi hilo, hujuhi..... Hapo ni sura ya jini sio yule Diana Bundala wa Gerezani..... Hata kama ni mecup hapana aisee!!! Mchawi huyo Hujaona ile misukule iliyo pambana na police!!! ...
Wote nyinyi ni Wana damu muna uwezo gani wa kumuelewa mungu ,hivyo wote msio muelewa ni mawakala wa shetani ,wapinga Kristo ,msjali mutaelewa Tu Saa yaja ni sekunde Tu zimebakia ,roho ya Tomaso kutoka ndani yenu , mkombozi wetu yu hai,mbarikiwe
Hii ndio tofauti kubwa ya dini ya kiislamu na kikristo Jidai wewe ni Mungu upande wa kiislamu yaani utamalizwa muda mfupi huohuo Ila ukisto utasikia nabii wa Mungu huku kajichubua mara kimini ,mara ufufuo na uzima wakat hajawahi fufua hata mama yake na watu wanashangilia na kumwamini. Mara story za uongo anawaambia niliota mara niliona mara nilinusurika japo tu aweze kupata wafusi wengi. Yote hayo ni kutafuta kiki na kujaza tumbo bila ya kujali athari anazowaachia waumini wake. Leo kuna mafuta na maji kina mama na wafanyabishara wanaodanganywa. Hivi mtu anapofanya kongamano na akakuambia uje na wagonjwa lkn anajua wagonjwa wapo hospitalini huoni anakuchezea akili? Mbona hospitali hawaendi kwakua wanajua pale hawawezi kufanya usanii pale km wanavyopanga watu wa kutoa ushuhuda wa uongo
Kwahiyo nyinyi waislam ndo mnamjua sana MUNGU? Usihukumu Usiku ukahukumiwa, Mambo mengine mwachie MUNGU mwenyewe , na hakuna dini itayoenda mbinguni, Ila MUNGU anawajua walio wake hizo zingine ni porojo tu,aliyekudanyanya Nani dini Fulani itaenda mbinguni? Jidanganye.
Mahabusu hakuna utaratibu wa kienyeji kama huu! Waandishi kwa nini hamuulizi maswali ya msingi? mnasababisha content za hovyo kuwa aired kwa sababu manzojua nyinyi!
Uyu malaya ange nyongwa tu kwamaana akuna mfalme anae kwenda hedhi au anavaa pedi uyo ni mbwa dar es salaam vpo viwanja vya ufalme wake uwanja wa fisi lidazi masiki pia
Hiyo rangi tu aliyovaa ya nguo ndio inampa nguvu ya kichawi na utawala wa kuamua au kufanya lolote mbele ya watu kwel huyu ni pepo wa kuzimu amekuja kupotosha jamii
Mim tu ndo sielewi Yan maasikar ninavyowajua gerezan wakague vitu vyote halaf ukatalie kimoja na wakuruhusu umpe mlengwa, maana ya kukaguliwa ni nn usituone wapumbavu et we vp hayo maneno hata mtoto wa chekechea hatokuelewa
Et wakristo wanamuita mwenzao shetani😄😄😄 huyu mama hana tatizo ni kama Mwamposa na wengine.....Dini ya haqi ni uislamu tu ndio hauna haya mambo Ni vita ya kidini baina yenu wakristo kwann mumchukie wakat anawaumin wake na anatumia bible hiyo hiyo Alhamdulilah kuwa ktk neema ya uislamu
Jidanganye kama hiyo dini yako ni ya haki, hivi kuna watu wenye matusi kama nyinyi, na Wala MUNGU haitaji dini, MUNGU anachotaka ni kuacha uovu na kila anakitaka yeye ukifanye hapo uaiona pepo tofauti na hapo baba utaula wa chuya na kama hauamini endelelea kufanya uovu halafu siku ukifa ukitegemea utafika peponi kwasababu ya dini yako, utakuwa kama wimbo wa dulla makabila
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Hivi kwanini huyu Shetani ameachiwa au Niamuri ya kutoka Marekani na Mashoga wenzake wameamuru aachiwe Daa bac 2.
Ilo ziwa lote lako au maana naliona hapo juu linacheza mnoo
NINAJITAHIDI SANA NITULIE NKUELEWE LAKINI WAPI !!!
Mm pia sielew anaongea Nini naona anabwabwaja tu🤣
Ata mimi sielewi kabisa
🤣🤣
Kueleweka anaeleweka isipokua haaminiki
Piga nyeto mbili kwanza
Hizo stori mapepo wenzio tu ndio watakuelewa.
😂😂
Ninyi nyote mnae muhukumu huyu Dada naona Kama pia mna Pepo kwani kamaninyi mna Mungu wakweli nayeye mnamuona anapepo kwanini msiombe mabaya yamtoke mmebakia kukosoa naona Kama niroho mbaya inawasumbua ninyi ndani yenu, Mungu tumuache yeye ndio atakae hukumu , kwani ninyi wote mko sawa hamna mabaya mnayafanya ebu kila mmoja aweke kioo ajitazame jee mko sawa? Ulie nelewa gonga like hapa,
Uko sahihi kabisaaaaaa
Acha ninyamaze nisubiri wakati Mungu atakuja kutenganisha magugu na ngano
Aminaa🙏
Kichaa kaachiwa kuharibu watu😢
Like naomba tusiomwamini zumaridi
Sidhani kama tutakuelewa wewe
God bless you mama , love from Zambia
Ata unavyoongea inaonyesha waz ww ni Shetani
Imeongea ukwel
Umepewa siku saba na Mama Kanumba umletee. La sivyo utarudi ulipotoka fala wewe😰😰
🤝🤣
Kabisa yan nyau huyu😕😕
🤣🤣 mwenyewe anaka mizimwi WA jangwani
@@user-cg3vf2bl6b 🤣🤣🤣🤣
Pole sana
Hivi ni gereza gani ukatae kutoa kitu ulicho peleka kwa mfungwa afu wakuache😁😁😁huyu mama ni kiazi kumbe
Ukiazi wake uko wapi hapo wewe ulikuwepo?
@@halfaniabdallah2131 we nawe hakuna gereza lolote duniani upeleke kitu kisikaguliwe ni lazima kikagukiwe ndo umpelekee muhusika mzee
Kwanza yeye hakuwepo ,anasema aliitwa alijuaje kama zawadi haijakaguliwa
@@mathaagustino316 shangaaa😁😁😁
@@manjaruu1575 nikweli je unazijua vizuri magereza zetu Sasa Mimi nakwambia inawezekana sema nyinyi niwapinzani wa Zumarid .
Wasabato hatuko hivyo, neverrrrrr....
Ndio mko hvyo ss zuma anawachana 😃😃😃
@@hamisimussa5238 cnaga muda na wehu
Mara hii tu umeshatakata we mama kiboko
Jini zumaridi hilo, hujuhi.....
Hapo ni sura ya jini sio yule Diana Bundala wa Gerezani.....
Hata kama ni mecup hapana aisee!!!
Mchawi huyo Hujaona ile misukule iliyo pambana na police!!! ...
@@florangido202 hhaha atar na nusu
@@florangido202😂😂😂
😃🤣
Hili Tapeli wangelifunga Maisha jela
Uyo sio mzm kweli
Iyo mikono usichubue tena magereza imekurudishia rangi yako ya asili
Kama kuna kaukweli ujiandae kutolea ushahidi hili lazimq lifuatiliwe
😂
Zumalidi hongela
Huyu Mama hana Akili nyieee Amini ....Anachokiongea hata hakielewi
Siku utakuja kuifia jela muogope Mungu acha uongo hufai kuwa mchungaji wala mhubiri hazikutoshi
Mbali na dini,huyu mama akiwadhalilidha sana vijana saana,Nyote mmeyaona hali zao.
Wote nyinyi ni Wana damu muna uwezo gani wa kumuelewa mungu ,hivyo wote msio muelewa ni mawakala wa shetani ,wapinga Kristo ,msjali mutaelewa Tu Saa yaja ni sekunde Tu zimebakia ,roho ya Tomaso kutoka ndani yenu , mkombozi wetu yu hai,mbarikiwe
Shetani yuko kazini
Innalilah wainna iray'h raajiun
Fisad mkubwa ww natak urudishwe tena uko jela mana hujakoma .
Jinga ww
Mjinga wew
Ila huyu mama haishi visa 😂😂
🤣
Huyo maman nikimutizama kusema ivyo vituko vikwishe aje nimuowe awe muke wangu wasiku moja tu nikamupe kacumali kidogo ivyo vituko vitakwisha
Amekuzidi KILA kitu akili, pesa, umaarufu utamuweza
Uwongo mtupu!!!! Hatukuelewi ww
🤣
Ni kweli wachungaji ndo humsakama huyu mama na kwa mini wasishugulike na makanisa yao?
Wewe ninani mbona sikujuwi
GLOBA TV MMEKWISHA 😂 PIMENI MAUDHUI YA KURUSHA
Hii ndio tofauti kubwa ya dini ya kiislamu na kikristo
Jidai wewe ni Mungu upande wa kiislamu yaani utamalizwa muda mfupi huohuo
Ila ukisto utasikia nabii wa Mungu huku kajichubua mara kimini ,mara ufufuo na uzima wakat hajawahi fufua hata mama yake na watu wanashangilia na kumwamini.
Mara story za uongo anawaambia niliota mara niliona mara nilinusurika japo tu aweze kupata wafusi wengi.
Yote hayo ni kutafuta kiki na kujaza tumbo bila ya kujali athari anazowaachia waumini wake.
Leo kuna mafuta na maji kina mama na wafanyabishara wanaodanganywa.
Hivi mtu anapofanya kongamano na akakuambia uje na wagonjwa lkn anajua wagonjwa wapo hospitalini huoni anakuchezea akili?
Mbona hospitali hawaendi kwakua wanajua pale hawawezi kufanya usanii pale km wanavyopanga watu wa kutoa ushuhuda wa uongo
Kwahiyo nyinyi waislam ndo mnamjua sana MUNGU? Usihukumu Usiku ukahukumiwa, Mambo mengine mwachie MUNGU mwenyewe , na hakuna dini itayoenda mbinguni, Ila MUNGU anawajua walio wake hizo zingine ni porojo tu,aliyekudanyanya Nani dini Fulani itaenda mbinguni? Jidanganye.
Acheni magugu yakuwe na ngano.Bwana wa mavuno ataweka wazi siku hiyo
Mahabusu hakuna utaratibu wa kienyeji kama huu! Waandishi kwa nini hamuulizi maswali ya msingi? mnasababisha content za hovyo kuwa aired kwa sababu manzojua nyinyi!
Wamekunyoosha .. umekuwa mjelajela
Kuzimu haina akili kabisa ulikuwa jeusi sahizi umeanza kuvaa mamekap looo shetani Hana akili kabisa
Umejikoroga tena!!
Story yako haieleweki
Huyu mama sijui ana matatzo gani kwakweli
Huyu Hana tatizo ,tatizo ni wale wanao mwambudu,na kumpigia makofi kama mungu wao ,
Kumbe Ana vita ya kidini? Ckujua
Hii inaitwa kichaa kapewa rungu
kama zombi mxiuuuuuuu
Uyu malaya ange nyongwa tu kwamaana akuna mfalme anae kwenda hedhi au anavaa pedi uyo ni mbwa dar es salaam vpo viwanja vya ufalme wake uwanja wa fisi lidazi masiki pia
shetani unayeipotosha Dunia jione sura la mkorogo hilo, Shetwaaaaniiii mkubwa
Aende akamuadisie mamamake drama qmmmamayo.
Kama unamutumikia mungu waukweli mbona wanakulinda ao mungu ambae unatumikia sio ule amabae tunajua 🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️🤔🤔🤔🤔
Mi ninavyomuona huyu kama sio mtu vile jmn au macho yangu
Huyu uenda akawa misikule
🤣🤣🤣🤣🤣
Hao maaskari walikubali kabsa kutokukagua mtu anaeingiq jela basi ni kweli
Kila mtu ameutwa kwa aina yake hakuna haja ya kumtukana Wala kumkashifu
Tunataka walioitwa na Mungu na sio watoka kuzimu
@@fatmaallyabdul1732 unauthibitisho kwamba katoka kuzimu?? Au unafuata mkumbo
Hiyo rangi tu aliyovaa ya nguo ndio inampa nguvu ya kichawi na utawala wa kuamua au kufanya lolote mbele ya watu kwel huyu ni pepo wa kuzimu amekuja kupotosha jamii
Zuumaudaku
Mim tu ndo sielewi Yan maasikar ninavyowajua gerezan wakague vitu vyote halaf ukatalie kimoja na wakuruhusu umpe mlengwa, maana ya kukaguliwa ni nn usituone wapumbavu et we vp hayo maneno hata mtoto wa chekechea hatokuelewa
Global mmeanza kujipunguza ufaham na nyie
Police walichofanya ni kumpa umaarufu
Sana, hata ambao hatukuwa tukimfahamu sasa tumemfahamu. Kawa celebrity all of a sudden, sasa hivi ndiyo atapata wafuasi🤣🤣 kuliko mwanzo.
HUYO ZUMARIDI NI MUONGO SANA KILA KUNAPO KUCHA HAISHI VITUKO.
MANINAAAA !!!
😳😳😳😳😳
Bora tu huyo mchungaji angefanikiwa nia yake km ni kweli,maana Huna faida wewe
Awezi mtu yoyote duniani wa kumuwa Zumaridi
Mpuuzi mkubwa c
Wewe acha ujinga sehemu yakukaguliwa vitu nijera
CHANGUD.
Pepo mkubwaa weweeh wa kuzimu mludie MUNGU utakufa vibaya ukiendelea na uwo ushetan wako
Hivi hii ng'ombe wameiachia kwanini
KWA sababu walimuonea
anaongea uongo
MALAYA SHETANI
Muongo mkubwa wewe shenzi taip
Nyoko wewe unaweza fufua mtu ariekufa fufua.sasa atamama yangu mwehuwewe unatupa machungu tu
MUTU MJINGA HUYU,
Acha uongo mshenzi wewe unapotosha umma shetani wewe.
Et wakristo wanamuita mwenzao shetani😄😄😄 huyu mama hana tatizo ni kama Mwamposa na wengine.....Dini ya haqi ni uislamu tu ndio hauna haya mambo
Ni vita ya kidini baina yenu wakristo kwann mumchukie wakat anawaumin wake na anatumia bible hiyo hiyo
Alhamdulilah kuwa ktk neema ya uislamu
Jidanganye kama hiyo dini yako ni ya haki, hivi kuna watu wenye matusi kama nyinyi, na Wala MUNGU haitaji dini, MUNGU anachotaka ni kuacha uovu na kila anakitaka yeye ukifanye hapo uaiona pepo tofauti na hapo baba utaula wa chuya na kama hauamini endelelea kufanya uovu halafu siku ukifa ukitegemea utafika peponi kwasababu ya dini yako, utakuwa kama wimbo wa dulla makabila
@@stevensimon5642 sasa mnampinga kwann Zumarid tena kwa matusi ya hali yajuuu......kwetu sisi hakuna kiongoz wa dini mwanamke
Walikuonea bure hawakuwa na ushahidi zaidi ya uonevu na wivu
Milembe imejaaaa au