HANANJA HAKUBALIANI NA ZUMARIDI, ASIMULIA ALIVYOWEKWA JELA RWANDA KUCHEZA BOXING NA KUISHI NA MATEJA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 264

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Рік тому +48

    Tumbo la mama nyumba, Mgongo na mama Gari, Maziwa ya mama Chakula

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Рік тому +20

    Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Рік тому +25

    Nakupenda sana mchungaji wangu, sijawahi kuchoka kukusikiliza😂😂

  • @omaryrashidiboga4651
    @omaryrashidiboga4651 Рік тому +9

    🤣🤣🤣 Nimecheka eti wa2 wanashida nying Unaweza kuwauzia Dona la upako

  • @frankmalesa9226
    @frankmalesa9226 Рік тому +17

    Jamaa huwa ampingi mtu hata kama chizi yeye anaamin maandiko tu

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 Рік тому +41

    Huyu mzee namuelewa sana na sikosi kumsikiliza

    • @juliusmshana7187
      @juliusmshana7187 Рік тому

      Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few

  • @ezevisionmediastudioezevis7855

    Hii interview ina zaidi ya dakika 25 lakini nimeona kama ni dakika 5 tu, mchungaji hau boi.

  • @prime_215beatz
    @prime_215beatz Рік тому +64

    Hard to understand this Pastor but always he's talking deeply messages 👏

    • @Reginajohnson19884
      @Reginajohnson19884 Рік тому

      Huyu sio pastor ni msemaji wa watu but anajifanya pastor

    • @medeljoram5325
      @medeljoram5325 Рік тому

      Nakubali s2kizzy

    • @bawirieto4391
      @bawirieto4391 Рік тому +1

      P

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Рік тому

      Namwelewa balaa

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Рік тому

      Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada.
      Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

  • @dankhany3385
    @dankhany3385 Рік тому +18

    maisha marefu hannanja

  • @musason1680
    @musason1680 Рік тому +9

    Uyu mchungaji akili kubwa sana hasa alivyoelezea kwa nn adili na mateja

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o Рік тому +8

    SICHOKI MIMI KUKUANGALIYA NA KUANGALIYA INTERVIEW ZAKO.. MANENO YAKO YAPO SAHIHI KABISAA UPO SAWA KIONGOZ.

  • @MILTONKALYEMBE
    @MILTONKALYEMBE Рік тому +6

    MUNGU akubariki sana pastor kwa neno lako ulilotupatia

  • @dottohami
    @dottohami Рік тому +6

    Huyu mzee mm namuelewa sana naongea ukweli wake 😘

  • @Babu.Suwa.Yoshua01
    @Babu.Suwa.Yoshua01 Рік тому +6

    😂😂😂 huyu ndo pastor sasa

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 Рік тому +5

    😂😂😂Umefika mbingun kwenye kila kitu urud tena Dunian utake book 2 yangu😂😂

  • @irinikoipai3936
    @irinikoipai3936 Рік тому +8

    Mchungaji Mimi napenda sana unavyosema mmmmmh af nd ivo ujue

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Рік тому +14

    Sichoki kumsikiliza Hananja ❤

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Рік тому +12

    Mungu akupe maisha marefu baba yangu Hananja nimejifunza mambo mengi kupitia wewe

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Рік тому

      Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

  • @naomchristopher
    @naomchristopher Рік тому +8

    🤣🤣🤣🤣😂 ama kwel afy ya akili🤭🤭. Ohoo! Balaa lingine hilo!😂😂😂

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Рік тому

      Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada.
      Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Рік тому +14

    Wewe mzee ni #bilionea wa mari
    Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa
    Mzee #ananja nakukubal kinomaa
    Mzee wangu upo na roho safi sana
    MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Рік тому +3

    ZUMA RIDI NI DADA WA KIFREEMASON
    Na siyo kitu kingine

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 Рік тому +40

    Nimekua wakwanza butuen Like zangu

  • @paulnzilo7252
    @paulnzilo7252 Рік тому +25

    Pastor Hananja wewe ni sauti ya waliotengwa 😂😂 nakupenda sana.

  • @erastompongo8400
    @erastompongo8400 Рік тому +7

    Kuna mungu wa masela
    Na mchungaji wawashikaji

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Рік тому +2

    Daaah huyu mwamba si wa mchezo mchezo.. namkubar sana tena sana... Makavu live🤣🤣🤣🤣

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Рік тому +1

    Huyu mchungaji yuko vizuri sana yaan anaenda nje ya box anaokoa wwngi sana nikiwemo mimi

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 Рік тому +11

    hananjaaaa pastor safiii sana 😍❤

  • @husnajuma6452
    @husnajuma6452 Рік тому +9

    😅😅😅😅😂😂😂ila huyu baba

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Рік тому +2

    Hyu mwamba ukimwuliza swali moja anakujibu na nyongeza 😂😂😂😂

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S Рік тому +27

    😂😂😂😂😂😂ukiwa mgeni na biblia Zumaridi utamuona mkweli 🏃🏃🏃

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Рік тому +1

      Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
      Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽

    • @Peaceman-S
      @Peaceman-S Рік тому +1

      @@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Рік тому +1

      @@Peaceman-S Sad 😔

  • @mozasalum8742
    @mozasalum8742 Рік тому +1

    Sina cha kusema kwakweli zaidi yakucheka2 HAHAAA

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa3728 Рік тому +1

    Mungu anaviumbevyake!
    Yaani mchungaji hananja bible yooote iko kichwani!!!

  • @sabitintaganda9115
    @sabitintaganda9115 Рік тому +2

    Kazi nzuri

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Рік тому +4

    Namkubali Sana huyu mwamba yuko social sana

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 Рік тому +6

    Jamni anasauti nzur sana kama nasikiliza sijui kitu gani😋😋😍😍😍🤗🤗🤗

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Рік тому +1

      Mahaba hayo.. Mzee huyo. Tutafute sisi vijana tukusemeshe kwa sauti uipendayo

    • @batulii1248
      @batulii1248 Рік тому +1

      ​@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂

  • @jacksonkimaro3751
    @jacksonkimaro3751 Рік тому +4

    Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine

  • @gracious6317
    @gracious6317 Рік тому +1

    Huyu pastor mkweli kabisa

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Рік тому +3

    Atapofuka huyo zumalidi akimuona Mungu anafikili Mungu ni mizuka yake tena utulie usije ukaadhibiwa km Brazil Santa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +4

    Richard billions 🤣🤣iyo biashara zuri mbna ugali bure 😂😂😂😂😂🤣🤣😂

  • @pettyzumamhina6583
    @pettyzumamhina6583 Рік тому +8

    🤣🤣🤣afya ya akili!!!

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Рік тому +3

    Kweli hiyo afya ya akili eti kuolewa na Petro,kumuona Mungu hahaaaa hiyo mbingu ingine sio ilitosemwa kwa Biblia takatifu

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr Рік тому +8

    Mashaallah

  • @clintonarnold6291
    @clintonarnold6291 Рік тому +4

    Mawe ndo sisi😅🙋

  • @justfad_026
    @justfad_026 Рік тому +2

    Kama ni MB Mch. Hananja wee zimalize tu ivi kanisa liko wapi niende tu maana wew ni mchungaji wa kwel

  • @mwandudickson8156
    @mwandudickson8156 Рік тому +5

    Mbinguni au bafun😂😂

  • @khayratmhina3735
    @khayratmhina3735 Рік тому +1

    Mtamgaxaji hajui kuendanda na mazingira, mzee mcheshi yeye yupo serious..

  • @hubbihubbi869
    @hubbihubbi869 Рік тому +2

    Mchungaji Hananja is Real….. Huyu jamaa ni wa kipekee…

  • @salomemhalule5213
    @salomemhalule5213 Рік тому +1

    Namkubali sana maana amepitia mengi hata anachoongea ameki experience.

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 Рік тому +1

    Dah 😂😂😂 hili balaa lingine,,,, sema ushauri mnzuri wakaangaliwe akili

  • @noelngowitechnicalsolution
    @noelngowitechnicalsolution 3 місяці тому

    Mchungaji Hananja, tunajifunza mengi kwako

  • @allyking9814
    @allyking9814 Рік тому +3

    Sima namkubali sana huyu mjuba

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Рік тому +6

    MY NIGGA

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 Рік тому +3

    nikupune 2000 yako 😂😂😂😂😂

  • @calvindonalds5373
    @calvindonalds5373 Рік тому +3

    Millard should have done this one also, good interview though

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa Рік тому

    Nimependa uliposema kwamba umeoa una miaka 40, vijana wa leo wanaooa na miaka 20, 25, tujifunze kitu hapa.

  • @ahmedkharis9471
    @ahmedkharis9471 Рік тому +1

    Uyo mzee uyo daaa namuelewa sana tuuu mm ni shekhe ila namuelewa sana tuu na yeye anaukubali uislam

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 Рік тому +1

    Mazungumzo mazuri sana

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Рік тому +3

    Hunasinzia kama kuku wa kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Рік тому +1

    Barikiwa sana Mchungaji Hananja, nahangaika kukariri fungu moja wewe unatiririka na mafungu kibao! Una baraka, hekima na upendeleo wa Mungu🙏🏾

  • @musason1680
    @musason1680 Рік тому +4

    Sema tu mzee sijajua kanisa laki ningekja walau siku Moja nishiriki ibada

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 Рік тому +2

      Ashastaafu, yupo cct udsm

  • @nassobrownog
    @nassobrownog Рік тому +6

    Ukiwa na baba kama huyu yaani akili yako itakuwa imenyooka ❤❤

  • @AthumanHajji
    @AthumanHajji 2 місяці тому

    Nakubari sana uyu mzeee anajuwa sana

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 Рік тому +3

    Sasa Zuma alienda mbigu gani 😂😂😂

  • @ndossi90
    @ndossi90 Рік тому +8

    Inaitaji akili kubwa sana kumuelewa Ananja

  • @omariputto3315
    @omariputto3315 Рік тому +1

    😂😂😂😂

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Рік тому +1

    kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani?
    bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Рік тому +2

    Jamani milady ayo mbona nzuri sana ikaisha mapema??

  • @NicholusMwandambo-mc4ms
    @NicholusMwandambo-mc4ms Рік тому

    Huyu apewe udocta wa mezani jamani

  • @jehudavid6370
    @jehudavid6370 Рік тому +1

    Huyu Mzee nampenda Bure 🤣🤣🤣🤣

  • @clynemorgan9741
    @clynemorgan9741 Рік тому +1

    Mchungaji bora sana 🙌

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Рік тому +1

    Pastor Kama pastor 🤔😄😄duuh tuliombee Kanisa na watumishi wa MUNGU 📌❤️🙌

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Рік тому +5

    Uyu Faza Inaonekana Bible Iko kichwani

  • @marthaholela6938
    @marthaholela6938 Рік тому

    Mchungaji wewe umetumwa na Mungu yupi ...make km usikui sauti yake.umekuwaje mchungaji...ushauri wangu base n kanisa lako n Imani yako... Serikali yetu Tukufu aina huo ujinga unaoushabikia.mchungaji gn una hekima.unakuwaje unampinga mtumishi wa Mungu am aye watu zaid ya 1000 wanakiamini kile alichobacho....comedy..Zumaridi atawaumbua sana wakina wachungaji km wewe.

  • @SienaMkolwe-px1nq
    @SienaMkolwe-px1nq Рік тому +1

    Huyu pastor yuko vizuri sanaa

  • @BarakaJulius-x8k
    @BarakaJulius-x8k 8 місяців тому

    Nakukubali cna pasta Ananja 😂

  • @Juke995
    @Juke995 Рік тому +1

    Mchungaji wangu nae mkubali akifatiwa na yule wa tabora

  • @jacksonkimaro3751
    @jacksonkimaro3751 Рік тому +1

    Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine

  • @NyakoremaNyakorema-ze5cy
    @NyakoremaNyakorema-ze5cy 11 місяців тому

    Rich bilionea

  • @JohnMzeru
    @JohnMzeru Рік тому

    Amina

  • @HassanShaban-ru2nb
    @HassanShaban-ru2nb Рік тому

    Mzee namuelewa

  • @mkenyaog3170
    @mkenyaog3170 Рік тому +1

    Mwambie hananja yesu kashludi ypo kenya

  • @allyking9814
    @allyking9814 Рік тому +6

    😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣ananja we ni top kwel mana huna mbambamba

  • @Boaz22
    @Boaz22 Рік тому

    Daah,1989 nilikua sijazaliwa, we ulikua unapambana, leo nina miaka 32 ......Mungu akuweke mchungaji 🙏.🎉🎉

  • @devienockaericka1914
    @devienockaericka1914 Рік тому

    Upande ujana UOTE uzee nakukubali san mchungaji wang

  • @sophiaemmanuel7999
    @sophiaemmanuel7999 Рік тому +1

    Kuku wa mazingaumbwe 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Рік тому

    Mtumish mungu akubariki historia yko tu ni injili tosha tuombee angalau watu ht wachache wapate hicho kipaji namshukuru mungu Kwa ajili yko

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 Рік тому

    Af Vido wewe na Millard mbona mnafanana sana style zenu🙄🙄

  • @sharommiriam2674
    @sharommiriam2674 Рік тому +2

    Umeongea ukweli baba

  • @maturanking752
    @maturanking752 Рік тому +1

    Mzee kanyooka sana ✋

  • @rehemabakari4150
    @rehemabakari4150 Рік тому

    Asanteee baba eeet mtu anaenda marekani anagoma kurudi Tanzania ndio yeye atoke mbinguni arudi Tnzania jehanamu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Рік тому +1

    MashAllah anaongea huyo😅

  • @moganfred6473
    @moganfred6473 Рік тому +1

    Huyu mzee wamaana sana

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 Рік тому +1

    Etii Ili uwe nyauu south kuliko mtu tz

  • @elmonfunago2267
    @elmonfunago2267 9 місяців тому

    😂😂😂 daah

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Рік тому +3

    👏👏👏👏👏👏

  • @crispinakimaro3821
    @crispinakimaro3821 Рік тому

    Huyo Zumaridi muongo kwa nini anafunika macho dalili za hana confidence tapeli.

  • @HerryMohammed-o5q
    @HerryMohammed-o5q 11 днів тому

    😂😂😂😂😂

  • @jaymalleytz
    @jaymalleytz Рік тому

    Vidox usicheke😂😂😂 mwenzio millard acheki cheki

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Рік тому +1

    Nadhani ni Ruanda sio Rwanda au?

  • @stamilabel6176
    @stamilabel6176 Рік тому

    Vido hufai kumuhoji zumaridi maana wewe utacheka sana😂