Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅
Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few
Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Wewe mzee ni #bilionea wa mari Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa Mzee #ananja nakukubal kinomaa Mzee wangu upo na roho safi sana MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....
kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani? bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?
Mchungaji wewe umetumwa na Mungu yupi ...make km usikui sauti yake.umekuwaje mchungaji...ushauri wangu base n kanisa lako n Imani yako... Serikali yetu Tukufu aina huo ujinga unaoushabikia.mchungaji gn una hekima.unakuwaje unampinga mtumishi wa Mungu am aye watu zaid ya 1000 wanakiamini kile alichobacho....comedy..Zumaridi atawaumbua sana wakina wachungaji km wewe.
Tumbo la mama nyumba, Mgongo na mama Gari, Maziwa ya mama Chakula
Nuru Raymond umenichekesha ulivyomkariri Mch Hananja pamoja na anavyoongea haraka du!
😁😁😀😀
Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅
Nakupenda sana mchungaji wangu, sijawahi kuchoka kukusikiliza😂😂
Daudi michael
🤣🤣🤣 Nimecheka eti wa2 wanashida nying Unaweza kuwauzia Dona la upako
Jamaa huwa ampingi mtu hata kama chizi yeye anaamin maandiko tu
Na ndio tunapaswa kuishi kweli ya Maandiko 🤣
Huyu mzee namuelewa sana na sikosi kumsikiliza
Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few
Hii interview ina zaidi ya dakika 25 lakini nimeona kama ni dakika 5 tu, mchungaji hau boi.
Umeonaeee
Hard to understand this Pastor but always he's talking deeply messages 👏
Huyu sio pastor ni msemaji wa watu but anajifanya pastor
Nakubali s2kizzy
P
Namwelewa balaa
Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada.
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
maisha marefu hannanja
Uyu mchungaji akili kubwa sana hasa alivyoelezea kwa nn adili na mateja
SICHOKI MIMI KUKUANGALIYA NA KUANGALIYA INTERVIEW ZAKO.. MANENO YAKO YAPO SAHIHI KABISAA UPO SAWA KIONGOZ.
MUNGU akubariki sana pastor kwa neno lako ulilotupatia
Huyu mzee mm namuelewa sana naongea ukweli wake 😘
😂😂😂 huyu ndo pastor sasa
😂😂😂Umefika mbingun kwenye kila kitu urud tena Dunian utake book 2 yangu😂😂
Mchungaji Mimi napenda sana unavyosema mmmmmh af nd ivo ujue
Sichoki kumsikiliza Hananja ❤
Mungu akupe maisha marefu baba yangu Hananja nimejifunza mambo mengi kupitia wewe
Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
🤣🤣🤣🤣😂 ama kwel afy ya akili🤭🤭. Ohoo! Balaa lingine hilo!😂😂😂
Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada.
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
Wewe mzee ni #bilionea wa mari
Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa
Mzee #ananja nakukubal kinomaa
Mzee wangu upo na roho safi sana
MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA
ZUMA RIDI NI DADA WA KIFREEMASON
Na siyo kitu kingine
Nimekua wakwanza butuen Like zangu
Kusema umekua wa kwanza upewe wa like ni moja ya ushamba..
@@victorjames3730 😁😁
We penda kula bata uta batuliwa
@@victorjames3730 hahahahahha😂😂😂😂
Like zann toa coment
Pastor Hananja wewe ni sauti ya waliotengwa 😂😂 nakupenda sana.
Kuna mungu wa masela
Na mchungaji wawashikaji
Umeeeleweka mkali😃😃😃👊👊
Daaah huyu mwamba si wa mchezo mchezo.. namkubar sana tena sana... Makavu live🤣🤣🤣🤣
Huyu mchungaji yuko vizuri sana yaan anaenda nje ya box anaokoa wwngi sana nikiwemo mimi
hananjaaaa pastor safiii sana 😍❤
😅😅😅😅😂😂😂ila huyu baba
Hyu mwamba ukimwuliza swali moja anakujibu na nyongeza 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂ukiwa mgeni na biblia Zumaridi utamuona mkweli 🏃🏃🏃
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli.
Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....
@@Peaceman-S Sad 😔
Sina cha kusema kwakweli zaidi yakucheka2 HAHAAA
Mungu anaviumbevyake!
Yaani mchungaji hananja bible yooote iko kichwani!!!
Kazi nzuri
Namkubali Sana huyu mwamba yuko social sana
Jamni anasauti nzur sana kama nasikiliza sijui kitu gani😋😋😍😍😍🤗🤗🤗
Mahaba hayo.. Mzee huyo. Tutafute sisi vijana tukusemeshe kwa sauti uipendayo
@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂
Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine
Huyu pastor mkweli kabisa
Atapofuka huyo zumalidi akimuona Mungu anafikili Mungu ni mizuka yake tena utulie usije ukaadhibiwa km Brazil Santa
Richard billions 🤣🤣iyo biashara zuri mbna ugali bure 😂😂😂😂😂🤣🤣😂
Ugali jero😂
🤣🤣🤣afya ya akili!!!
Kweli hiyo afya ya akili eti kuolewa na Petro,kumuona Mungu hahaaaa hiyo mbingu ingine sio ilitosemwa kwa Biblia takatifu
😂😂😂😂😂😂
😂
Mashaallah
Mawe ndo sisi😅🙋
Kama ni MB Mch. Hananja wee zimalize tu ivi kanisa liko wapi niende tu maana wew ni mchungaji wa kwel
Mbinguni au bafun😂😂
Mtamgaxaji hajui kuendanda na mazingira, mzee mcheshi yeye yupo serious..
Mchungaji Hananja is Real….. Huyu jamaa ni wa kipekee…
Namkubali sana maana amepitia mengi hata anachoongea ameki experience.
Dah 😂😂😂 hili balaa lingine,,,, sema ushauri mnzuri wakaangaliwe akili
Mchungaji Hananja, tunajifunza mengi kwako
Sima namkubali sana huyu mjuba
MY NIGGA
nikupune 2000 yako 😂😂😂😂😂
Millard should have done this one also, good interview though
Nimependa uliposema kwamba umeoa una miaka 40, vijana wa leo wanaooa na miaka 20, 25, tujifunze kitu hapa.
Uyo mzee uyo daaa namuelewa sana tuuu mm ni shekhe ila namuelewa sana tuu na yeye anaukubali uislam
Mazungumzo mazuri sana
Hunasinzia kama kuku wa kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Barikiwa sana Mchungaji Hananja, nahangaika kukariri fungu moja wewe unatiririka na mafungu kibao! Una baraka, hekima na upendeleo wa Mungu🙏🏾
Sema tu mzee sijajua kanisa laki ningekja walau siku Moja nishiriki ibada
Ashastaafu, yupo cct udsm
Ukiwa na baba kama huyu yaani akili yako itakuwa imenyooka ❤❤
Nakubari sana uyu mzeee anajuwa sana
Sasa Zuma alienda mbigu gani 😂😂😂
Inaitaji akili kubwa sana kumuelewa Ananja
😂😂😂😂
kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani?
bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?
Jamani milady ayo mbona nzuri sana ikaisha mapema??
Huyu apewe udocta wa mezani jamani
Huyu Mzee nampenda Bure 🤣🤣🤣🤣
Mchungaji bora sana 🙌
Pastor Kama pastor 🤔😄😄duuh tuliombee Kanisa na watumishi wa MUNGU 📌❤️🙌
Uyu Faza Inaonekana Bible Iko kichwani
Mchungaji wewe umetumwa na Mungu yupi ...make km usikui sauti yake.umekuwaje mchungaji...ushauri wangu base n kanisa lako n Imani yako... Serikali yetu Tukufu aina huo ujinga unaoushabikia.mchungaji gn una hekima.unakuwaje unampinga mtumishi wa Mungu am aye watu zaid ya 1000 wanakiamini kile alichobacho....comedy..Zumaridi atawaumbua sana wakina wachungaji km wewe.
Huyu pastor yuko vizuri sanaa
Nakukubali cna pasta Ananja 😂
Mchungaji wangu nae mkubali akifatiwa na yule wa tabora
Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine
Rich bilionea
Amina
Mzee namuelewa
Mwambie hananja yesu kashludi ypo kenya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣ananja we ni top kwel mana huna mbambamba
Daah,1989 nilikua sijazaliwa, we ulikua unapambana, leo nina miaka 32 ......Mungu akuweke mchungaji 🙏.🎉🎉
Upande ujana UOTE uzee nakukubali san mchungaji wang
Kuku wa mazingaumbwe 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtumish mungu akubariki historia yko tu ni injili tosha tuombee angalau watu ht wachache wapate hicho kipaji namshukuru mungu Kwa ajili yko
Af Vido wewe na Millard mbona mnafanana sana style zenu🙄🙄
Umeongea ukweli baba
Mzee kanyooka sana ✋
Asanteee baba eeet mtu anaenda marekani anagoma kurudi Tanzania ndio yeye atoke mbinguni arudi Tnzania jehanamu
MashAllah anaongea huyo😅
Huyu mzee wamaana sana
Etii Ili uwe nyauu south kuliko mtu tz
😂😂😂 daah
👏👏👏👏👏👏
Huyo Zumaridi muongo kwa nini anafunika macho dalili za hana confidence tapeli.
😂😂😂😂😂
Vidox usicheke😂😂😂 mwenzio millard acheki cheki
Nadhani ni Ruanda sio Rwanda au?
Rwanda🇷🇼
Vido hufai kumuhoji zumaridi maana wewe utacheka sana😂