Asanteni viongoz kwa kuliona hilo,hayo majumba naona tu yafungwe.Tunatengeneza kizazi cha uharibifu xana.
Vita hii ni Kali na Ngumu Mheshimiwa Mwenyezi Mungu akutie Nguvu
Asanteni sana viongozi wetu kwa msimamo wenu maana nishida unakuta mtoto mdogo mwenye miaka 15 anaenda kufanya mapenzi namtu mkubwa pesa ndogo tena wengi wanafunzi nandio maana wanafunzi wengi shuleni wanakua vicho box baadae tunawalaumu walim kumbe wanashindwa kufanya vizuri kumbe wameanza kufanya ngono zembe mapema
Wallahy mtihani c mdg dah! ???? Mwenyezmungu tuswameh waja wko. Vikuze vizazi vyetu kwenye maadili mema.
Daaaah uyo chapombe msemaji wa kwanza ameongea vzuri sana,hao wadada wanaharbu Sana jamniii iliyowaznguka!!
Lkini viongozi wanapata manufaa Sana na hao wadada wanaojiuza hapo,haiwezkani wawaache tu wafnye uchfu wao
Huyu mayor anatumia haki za binadamu, maadili na sheria Ya nchi. Safi Sana.
Laana hii itaisha lini ni jukumu kwa kila mtanzania wasione wengine mungu atawaacha hapana ukiwa na uwezo wa kukemea au kuzuia na ukakaa kimya kulizuia hili basi na ww unahusika kuadhibiwa na mungu moto mkali ,
HONGERA sana mh stahiki mayor songoro kwa jambo hili kwakweri hali si hali ndani ya jiji hili la dar es salaam na si hapo tu hili zoezi Liwe la jiji zima maadili ya momonyoka
Mm nadhani hata hoteli kubwa kubwa wanazoenda kina Kajala na irene uwoya pia ni danguro tu..utofauti ni mazingira tu..hata mtandao wa Instagram na tiktok ni danguro mana madada wengi wanazitumia kujiuza mitandaoni na kujiadvertise kama kina gigy..nadhani ni bora sheria iwe msumeno sio kwa wanyonge tu
Safi sana Mstahiki Meya. Lkn itakapotokea hapo acha watu wako kimya kimya wasiojulikana kwa wenyeji ili iwe rahisi kusafisha wachafuzi wa jamii. Maana hao viongozi wenyeji usiwategemee watakudanganya.
Makahaba DAR wapo wengi sana kila mahali ukienda manzese,kimara,temeke,buguruni yani wapo kibao na walio wengi wanatoka mikoani
@@loner_wolf Hapana nakataa WA dar wamezoea mji ila WA mikoani wengi wanavamia mji Wanakuja na ulimbukeni na wengi wanaambiwa Kuna kazi za ndani wakiona maisha hayapo Sawa ndiyo hivyo wanaanza kujiuza
Atuwezi fanya kazi aina moja waacheni wanasaidia watu mmesha halibu maisha toga juuu
Safi sana mstahiki mayor umeongea vizuri sana.. kazi iendelee
SubhanaAllah 😭😭😭 ndiyomaana mvua hainyeshi mazao yamekauka Wallah huu mtihani
Mtihani dah😢😢😢😢
Situnataka haki sawa
Wafanye nini wakati hata biashara ni shida tu acheni hizo dada huduma. zenu ni nzuri
Halafu vjumba vyenyewe vbovu vnachafua hadhi ya Jiji letu ,Bora vivunjwe ,
Yaan mashallah hongera sana
sio sawa
maisha magumu dada zetu wafnyaje yaan. acheni usengne viongoz mnakurupuka sana. hamtoi suluhisho nyie mnajua kukataza tu.
Ili jambo liishe mpaka Mama asemee au bunge liseme maana ndoa nyingi leo zinazofungwa zimekufa kwasababu hiyo
Wanunuzi wanalalamika kwenye comment bongo bhana
Safi
ni hatari sana si ukimwi tu kuna hepatitis B ni mbaya kuliko ukimwi
Na hivo vyumba vimejengwa kwa hivo tu au subhnaAllah
Safi sana mkuu
Ahsante meya umesomeka
Tunahtaji Viongoz wenye Mitazamo na hofu na Mungu,Namuona atafika mbali
Jambo zuri sana hilo,chukueni hatua yasibaki maneno tu. Wengine wenu ni wateja🤔
Toeni kwanza elimu kwao then mfanye mpango wakuwapa mikopo kwa ajili ya biashara kwa ataye hitaji
HONGERA MH WANAWAKE WAMEKUWA NA MABALAA NA WAMESAHAU KAMA KUNAMUNGU
Hatari sana!! Hongera sana Meya Kwa kujitoa muhanga!!
Kwahiyo ndugu yangu kuuza mwili nikazi mbona kazi zipo nyingi tuu ukiamua @@WAASINASTYCRAZY
@@WAASINASTYCRAZY Hahahaha,,,,,kama Una elimu basi ni ya kimchongomchongo, haiwezekani mtu msomi kutoa hoja ya kipumbavu kabisa, ,,,, there are so many Hustlers in this country who are struggling legally to earning their lives!!! We unatuambia eti Kwa kuwa hawana kazi basi wakauze miili Yao! Mjinga sana wewe, tena usirudie tena kudai usomi Kwa Hoja za kijinga, maana unaiangusha tasnia ya kisomi
Innalillah waina ilayhi raj un
Mola awasimamie mpaka, biashara hii ikome, inshaallah safi sana meya.
hii biashara haitokaa ifutike kaka, iwe saudia, dubai, Vatican, itali, American na kwingine kote, ni vile zinafanyika kwa siri sana, niliwahi kupelekwa kwenye dangulo moja Zanzibar kama wew ni mgeni haujui. wenyeji wanapajua
Mh. Diwani Kata ya Makunusho Mohd. mwogope Mungu. Hela yangu uliyonitapeli wakati unatoa gari langu Bandarini uliahidi utanilipa kwanini hunilipi???? Wewe sasa ni kiongozi je unafuraha kudhulumu.
Wanafanya ukimwi uzid vijana watt zetu sijui k watapona badae uko,,Allah tupo mwisho mwema
Safi mkuu
Hii ndio faida ya kuwachagua viongozi wanaomcha Mungu
Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba
@@WAASINASTYCRAZY Mikopo ya akina mama, vijana na walemavu, ni 10% ya mapato yote ya Halmashauri kwa mwaka. Mfano Halmashauri ya Kinondoni asilimia 10 huwa ni bilioni 2 mpaka tatu. HIZO WANAKOPESHWA BILA RIBA WALA DHAMANA YOYOTE
@@christianchando7041 kukopa mpaka uwe na kitu chakuweka rehani,kama tanzania haina dini mnakatazia nini watu kujiuza kwani kakuuza wewe? kwan si anajiuza ilin apate pesa yakula sasa unataka uwe unampa wewe pesa yakula au unataka afe? mikopo sipanka niwe na akili ya biashara ? serekali haiwezi kuongoza wananch wake ,hasa wewe raia unaongelea hivyo wananch wenzako waliojikimu kwa kujiuza ili wasife njaa> sasa mnataka wawe majambazi au? kama mnauwezo si muwasomeshe au muwape kazi waitakayo? mnajua nch ipo kwenye umasikini uliokithioli na wananch waacheni wafanye wanachoona kinawawezehsa kimaisha ,au mnataka mtu weke sote jela au tufe sote ? nyie mmesomeshwa na mpo maoffisin mkitaka malaya mnaenda bar kubwa na mahotelini sasa sisi walala hoi mnataka tuwabale watoto wa watu au? mnataka tuwanajisi watoto wenu wakiume au? mbona viongozi hawana akili ?wao wameshiba sisi tiukijikwamua kiuchumi kwa njia tuziojuazo nyie mnatukataza kwan nch mmeumbiwa nyie pekeyenu?
Ni zaidi ya miaka 40 hizo nyumba zipo, kazi ipo.
Fukuzilia hao wote wanatuharibia ndugu zetu
Mtihani!mvua hazinyeshi!maisha magumu!matendo yetu!hizi sio asili yetu!nyakati za mwisho!mungu tusamehe tuongoze!
si vyema kuwafukuza wanatoa huduma kwa watu ambao hawawezi kupata huduma hiyo hasa vijana wasio na ndoa muhim wapimwe afya ili wasiwe chanzo cha maradhi kwa jamii. pia kama inawezekana wawezeshwe mwanamke akiwezeshwa basi jamii imewezeshwa
Mhh hatari ila hii hapana nimezunguka Arusha sijawahi ona huu ujenzi vyumba utadhani mabanda ya kuku😭🙆🏽♂️🙆🏽♂️
Mkuu Wa Mkoa Sijui Anapambana Nanini Ndani Ya Dar .Uchafu Kila Kona Mbona Wakati Wa Makonda Mengi Yalikua Kwenye Kupotea Viongozi Wenye Kupokea Pesa Kamata Ndani Sasaivi Mpaka Wazazi Awaley Watoto Wa Kike Kwasababu Wanajua Unalea Malaya Kumbe Watoto Halisi
Hongera Sanaa Mh Songoro kwa hekima yk na busara zakoo Allah akujaze nguvu ya uongozi wk
Duh
Anaefanya ivyo sio kama anapenda kazidiwa na maisha magumu
Kwel jaman jamii inaangamia embu serikali iingilie kati na ikiwezekana sheria ziwe Kali kuhusu wanawake wanaojiuza
Hii ni siasa tu amna kitu hapo waishapita viongozi wengi ilo eneo amna kitu wanafanya amna solution wanoyokuja nayo Amna Kitu Hapo
Subuhaanah lahu kama badae ya kuku jomani 😢😢😢😢😢
Sema Mmeamua Nyote
wanasiasa bwana eti mwenye nyumba asipojitokeza tutavunja tuweke kituo cha afya hiyo kesi yake utakimbia familia hawa ma meya si ndo wanatokana na madiwani sasa kuna diwani gani mwenye akili timamu
Haha machoko Hao wananunua vibint vya insta na tiktok na Twitter wanajifanya kutumia mtandao wa Twitter kama vile sehemu special kumbe kule Twitter Kuna laana kufuru utamkuta eti account yangu ya Twitter kumbe ni bora anaetumia Facebook yupo OK kuliko huko Twitter
Kaka meya kafanye kazi maji shida barabara shida unakuja kataka kuharibu raha zetu mbwa wew
Sisi wanaume ndo hatuelewiki unakuta mtu yupo hapo analalamika na yeye ndo mteja wa hao watu anafikiri hayo mambo yataisha vipi inatkiwa kwanza wanaume tuache kununua hao watu mwisho wasiku wafanye kazi waache uvivu
Na sisi tusiyo na hela za kuhonba unadhani tutaacha kwenda kwa hao watu?
Ongera sana meya wa kinondoni
Hao wanaojiuza,maana yake wana wateja.Wateja wao ni wanaume...Hivyo nawaomba,muwaambie wanaume.Kama wanaume hawataenda kwa hao wadada,hao wadada hawatapata wateja itakuwa ni rahisi kutafuta kazi zingine za halali.
Sasa dada angu nyie mnataka pesa ndefu mara ya kusukia mara hujala mambo kibao ila nikienda kwa hao madada poa napata kwa buku tatu tu aisee
@@emanuelleopod3949 kweli broo , pia madem wengine wanajikuta wanaliinga Sana
daaah allha anusuru vizazi vyetu lnshallha na haya mambo maana hao wanao jiuza wapo sehemu ya jamii kabisa mtt akitumwa dukani hapo ndo njia na temeke pia maeneo ya dabo kibini kwa chacha pale na maeneo ya wailes masangati kwa nyuma yamejaa kama yote😭
Inawezekana kukemea na yasiendelee kama hivyo ni sisi majirani tunapuuzia ndio hivyo yanaonekana kawaida tu.TUBADILIKE
acheni wafanye kazi yao wanasaidia jamii makahaba walikuwepo kabla na baada ya kuzaliwa Kwa yesu
Natamani huyu awe waziri ili maono yake yafanye kazi nchi nzima. Big up bro💪
Mnawafukuza kwan si wapo nchini kwao ,mnawafukuza badala ya kuwataftia kazi ,hao ni watanzania walioshindwa na maisha wakaona wajikimu kwa kujiuza ,serekali inawaona kheri wafe njaaa,hawana thaman ndanio ya taifa yao,hao wanasaidia familia zao kwa kazi hiyo na hiyo nch haina kazi sasa watu waishi vp wakati serekali mmeshindwa kuwaudumikia wala kuwaajili wananch wake? acheni ukilitimba mikopo mnapeana wenyewe wenye nyumba dadazetu tuwataftie chakufanya msiwafungie biashara zao kwan tupo kwenye umasikini uliokithili ,acheni ukilitimba
Wapewe million 40 pia
Hata kama Wana maisha magumu..waangalie Kaz za kufanya sio hiyo..
mheshimiwa meya, kutoa mikopo siyo vibaya ila changamoto ni kwamba hao watu wanaenda kufanya biashara gani, na wamejiandaa vipi kuwapa elimu ya ujasiriamali kabla ya kuwapa mikopo,
hii issue ni ngumu sana na haiwezi kuleta matokeo chanya, watakula hiyo mikopo na kurudi kwenye madanguro tena
Hata kama kazi ya ukahaba upo basi usiwe wazi namna hii, yani hawa wanafanya kaz km duka......
Meya uwamzi wako ni mzuri sana na tena hivyo viwanja vya hizo nyumba ni kiolela hazina hata hati za sehemu hiyo ni wavamizi walio jenga maeneo hayo
@@WAASINASTYCRAZY wwe kweli hamnazo wewe unapenda ujinga wanao fanya kuuza uchi ni kazi watoto watajifunza nini badae.wanaka mikoa na vijijini kuja kuza miili wanawacha mashamba kulima hata ni mtanzania ndio ufanye maovu ndani ya nchi
Kwani uchaguzi lini tz
Maana huyu jamaa alikua akiishi jirani na hilo eneo kabla ya kua diwani hadi leo ni meya
Na hakuwahi kukemea tatizo la tz viongozi hufanya kazi kwa mihemko
Kikubwa tuone utekelezaji
Maana waandishi wa habari washawahoji sana na hakuna khatua yoyote
Ngoja tuone.....mwisho wake
Hiiiiiiiiii Nchi tamu sana
Hiyo sehemu kongwe
Mnaanzaga vizuri ila mwisho huwa mbiyo za sakafuni. Hao hata kwenye vitabu vyadini wapo kuzuiya ni ngumu maana watatafta njia yoyote kaziyao iendelee mtumie akili na lisiwe zoezi la skumoja araf mnapoa
Mzee kuishinda ihi biashara ni ngumu kuliko kitu chochote dunia ihi,biashara ambazo huwezi kuzitokomeza dunia ihi ni madawa ya kulevya,umalaya,(kuuza mwili),kuuza viungo vya binadamu,uwezi zuia ata siku moja,kingine kilichoikumba dunia ni ush..ga
Serikali ingebomoa haya maeneo na kuwajengea wananchi nyumba Safi za bei nafuu na mazingira bora. Wangejenga ghorofa kadhaa za vyumba viwili mpaka viatu au vinne. Mpango mji, na kupawekuea hadhi hizo biashara za ovyo zingeisha. Maadili yazingatiwe.
Mama ntilie wanafanya kaz afu Wana kamatwa na site afu kuna ombaomba wa naitwa wagogo wazima hawana tatizo wanaombaomba hapa mjini kwann serkal isiwakamate iwapeleke maporin wana fanya nn hapa mjin wamechanganyana na vilema kilema aombe nawaoo wambe
Hapo labda wavunje nyumba zote hizoooo ndy wataondoka...
Biashara itakua inawalipa vizuri coz mademu wa mitandaoni bei zao juu
wateja waache kwenda kununua hizo ngono tuone kama watakuwepo. shida si hao bali ni wateja, pia hizo pesa za mikopo mkakopeshe watu waliozoea kupata pesa kwa kufanya ngono mnautani kweli aisee, hakuna atakaefanya biashara hapo ya kupigwa na jua siku nzima wakati alizoea kukaa kivulini na kupata pesa, watafutieni Kazi viandani huko mkawapeleke, mikopo ni kuchezea tu pesa kodi zetu.
sasa wateje tukiacha kwenda kununua ! mnataka tuanze kubaka au! na nyinyi mnatulingia, mkitongozwa tu mnaanza kutupatia majukumu makubwa kama wazazi wenu sasa si bola nikanunue alfu 3
@@gockoomzawa226 na nyie mnaogoa majukumu ndio maana mnaenda kununua vya harakaharaka na bei nafuu
@@issasulleman8573 ndio wawaache sasa ili nyie msiotaka majukumu mpate pakwenda
muwaache wadada wafanye biashara zao kwa amani, nyinyi ni wauzaji wa mihadarati lakin wananchi wametulia
Wana habar kweli mnakazi hatal
nimekubali kiongozi jambo unalo lizungumza ni lamsingi kabisa endelea kulipigania hilo
Duuuh hiyo milango Sasa ilivyo!! Bei ya elfu 2 Ni ukimwi,Na Magonjwa mengi
Sema lkn ukiangalia kwa upande mwingine izo pis zina tu save sana maana nikiwa na arosto naruka hapo chap na buku mbili
@@Mina.15 Hamna magonjwa mama nachumvini nazama fresh to nawaungisha to jmn Kwan kuna baya
Sitetei ukahaba Ila iyo mikopo ni ubabaifu wengi hupati iyo pesa kwa haraka Kona nyingi mpk unakata tamaa unaamua kuacha
Jamani sasa wanawake mtaani wanatulingia Huko watu walikuwa wanapunguza haja zao sasa ukiwatoa itakuwaje
Binafsi bado sijaona kama hiyo njia itasaidia kwakweli kwasababu badp kuna maswali mengi yanakosa majibu kwenye, naogopa kumlaumu au kumshitaki mtu , itoshe tu kusema kila mmoja atekeleze wajibu wake ipasavyo kama ni serikali na pia kama mwananchi vivuo hivyo
@@richardbenny156 Hujui kutofautisha wewe ,Ushoga na umalaya ni vitu viwili tofauti malaya wanasaidia watoto wasigeuzwe mashoga na wasibakwe.Hivi hujui kama kuna wanaumme hawajui kutongoza au wakitongoza hawakubaliwi .Ila kwa malaya ni fedha yako tu na watu kama hao ndio hatari kwa kubaka vichwaa wa kike na watoto. Malaya wawekeeni kihalali walipe kodi ,kwani kuna mtu analazimishwa kwenda kwa malaya ?ni mapendekezo ya mtu kwenda kutimiziwa haja zake
@@leokamil6284 ah sjawahi kuona mtu akili hna kma hizo zko hujui maradhi ypo mengi hjui familia ngap zitaanguka na kuarhirika unatka wawe kma Thailand
Hapo ni karibu kabisa na hospital ya mwananyamala,,Yan utakuta Bango kabisa linakuelekeza hapo limeandikwa BIASHARA YA MAJENEZA,ila biashara ni watu Wala huon hayo majeneza
Subuhanallah
@@bernadolaugostino7590 sifanyi huwo uchafu mm, labda keshelia ya Diniyangu na si kujiuza
Ata temeke sudan wapo
Mi uyu jamaa wakwnza kuhojiwa sijaelewa alikuwa anakataa wawepo au anakubali maana inaonekana nimteja pia 😂😂😂😂😂
@@eashaeasha9776 😁😁😁😁 anakwambia unakuta mnakubaliana 3000 au 5000 lakin ukimalza anachukua yote 10000 me sikubaliani nahuduma yao 😂😂😂😂
@@Yo_tune-tb5sn halafu anasema wajumbe wa mtaa watazame swala Hilo yaani hapo anauchungu Tu na pesa zake lakini haoneshi kuchukizwa na hiyo biashara😆😆😆🤣
Selikali fanyeni mpango wa kuzuia ushoga hawa wahaya walikua wanatutoa baridi kwenye mvua hii
Saf sana Meya
Kama mulifungia mitandao ya x vipi hawa panya
Eeh! Wanashindwa nn kuwafungia kama X waliweza kuwafungia watu wasione??
Dawa ni ajira
Harafu msiseme makahaba tu na wanunuzi pia je mnawafahamu maana ni wengi kuliko wanaouza kama mmoja anaweza kuuza watano hadi kumi wako mia sasa zidisha mara hiyo ni ngapi? Halafu wateja wengi ni hao wa serikalini ndio wanaopandisha na bei 10000 harafu kahaba akisha kuwa staa wananunua wafanya biashara na wakubwa kuanzia 50000 mpaka ...… Mi naboeka na serikali yetu wala siwalaumu makahaba chanzo ni nini mpaka mtu akawe kahaba hamjiulizi?
Hii kitu kwa kiongozi uyu haiwez bora afanye mambo mengne tu maana majibu ya maswali hatakayoulizwa ana
Movie bado inaendelea hahahaha juhudi za makonda hii itakuwa season ya ngapi vile???
Mgosi nimekukubali
Upande wa pili wamesaidia kupunguza kesi za ubakaji😂😂😂 Uganda hao wanalipa Kodi.
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ