КОМЕНТАРІ •

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Рік тому +1

    Mnatumia nguvu kubwa sana kumponda Zumaridi, fanyeni kazi zenu

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Рік тому

    Uwiiii

  • @joelyjoely7827
    @joelyjoely7827 Рік тому +4

    ZUMALID ASIWASUMBUE ANATATIZO LA AKILI

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂yaan huyo hajaenda mbingun huyo anachukuliwa na majin anapelekwa huko kweny ulimweng wa hao viumbe sema hajajijua tu😂😂😂

  • @mozespatnam7469
    @mozespatnam7469 Рік тому +3

    😂😂😂safii sanaaa pastor fact sanaaaa

  • @zawaddembe9667
    @zawaddembe9667 Рік тому +1

    Maaskofu he nanyi mko kimya kwa upotovu huu wa zumalid

  • @fransisnyandoa8163
    @fransisnyandoa8163 Рік тому +1

    😂😂😂 nikweli kabisa 🙏

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Рік тому

    Kuna viroja duniani😁

  • @ibrahipupa6231
    @ibrahipupa6231 Рік тому +1

    Wasukuma kwann wasimtie viboko huyo zumaridi au Wana muogopa

  • @godsonprosper6657
    @godsonprosper6657 5 місяців тому

    Mtashuka tuu, maana mmekalili maandiko

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂make kwanza ncheke😂😂😂😂

  • @vero57
    @vero57 Рік тому +3

    Kwanini serikali ina ruhusu zumaridi kuzindi kupotosha wanaichi??

  • @siwemamohamedi2119
    @siwemamohamedi2119 Рік тому

    Wewe mzee ni chizi na Moshi wa bangi umekuzuru unatafuta Kiki kupitia jina la Mfalme Zumaridi

  • @sophiamvungi1425
    @sophiamvungi1425 Рік тому

    Eti tuna uhuru wa kuabudù, kwa jinsi hii ya ķina zumaridì hakika wengi wataangamia

  • @kimboo-nc2og
    @kimboo-nc2og Рік тому +2

    😂😂😂😂
    😂😂😂😂

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому

    IKIWA SERIKALI I.EMUAMINI HUYU BASI IFAFANUE VZR, HAKUNA UKWELI HUO ILA KUDHSLILISHA N KUPOTOSHA

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe5654 Рік тому +3

    Huyo amechaganyikiwa jela

  • @bahatibushiri1610
    @bahatibushiri1610 Рік тому

    Zumaridi ilibidi arudishwe jela haraka

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 Рік тому +2

    wakristo mna tabu kwelikweli

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Рік тому +2

    Kifupi huyu mzee mwenyewe kama ana tatizo la afya ya akili ...wote tu kama Zumaridi

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Рік тому +1

      Kweli kabisa maana wanamuona Zumaridi tu akat matapeli yamejazana hawayasemi

    • @bennyngoye8707
      @bennyngoye8707 Рік тому

      Ina onekana na nyinyi mna matatizo ya akili😁😁😁😁

    • @perepetuasenga3875
      @perepetuasenga3875 Рік тому

      😁😁😁😁

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Рік тому +1

      Gwajima nae kamuona Yesu huko sijui Yesu rangi yake ikoje au ndiyo wakwenye filamu

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Рік тому

      @@bennyngoye8707 walio muona Yesu huko hamuwasemi watuambie rangi yake ni ipi je ninyeusi au nyeupe ama ndy wanamuona wa kwenye filamu

  • @masoudmasoud9345
    @masoudmasoud9345 Рік тому

    Kwa maoni yangu ukibisha Zumaridi hakwenda Mbinguni ni kwamba nawe ulikuwepo huko. Ungekuwepo ni rahisi kuthibitisha ulikuwepo na hakuwepo. Kama hukuwepo huko huwezi kutwambia hakuwepo. Kila mtu ana Karama zake alizopewa na Mungu. This is simple logic. Anayeweza kusema hakufika huko ni kwamba alikuwepo huko na hakumuona

  • @ZagambaMnubi
    @ZagambaMnubi Рік тому

    Hakuna cha GerDav,Mwamposa,Gwajima,Kakobe,Mzee wa Upako,Mwakasege wala Mzee wa Neema habari ya mjini ni ZUMARIDI kama ni utapeli basi wote hawa ni matapeli

  • @ZagambaMnubi
    @ZagambaMnubi Рік тому

    Mnamuona Zumaridi tu hao matapeli wengine hamuwaoni ndy maana huwa narudia kusema Dini ni ufinyu wa fikra kila mtu anakuwa anajiona yuko sawa kwa upande wake lakini ukweli ni kwamba miongoni mwa watu wanalirudisha taifa hili ni viongozi wa Dini.

  • @zawaddembe9667
    @zawaddembe9667 Рік тому

    Askofu kakobe thanks neno Katina Hil I mtokambali tamka neno Katina Holi

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Рік тому

    Yan zumalid Anaugongwa waakili so bure amerogwa

    • @ZagambaMnubi
      @ZagambaMnubi Рік тому

      Hujasikia huko na Gwajima kamuona Yesu me shida yangu siyo kumuona ila rangi yake ikoje au ndiyo wakwenye filamu ndiyo kamuona

  • @zawaddembe9667
    @zawaddembe9667 Рік тому +1

    Askofu kakobe tamka neno Katika Hil