Uwiiii
ZUMALID ASIWASUMBUE ANATATIZO LA AKILI
😂😂😂😂😂yaan huyo hajaenda mbingun huyo anachukuliwa na majin anapelekwa huko kweny ulimweng wa hao viumbe sema hajajijua tu😂😂😂
😂😂😂safii sanaaa pastor fact sanaaaa
Maaskofu he nanyi mko kimya kwa upotovu huu wa zumalid
😂😂😂 nikweli kabisa 🙏
Kuna viroja duniani😁
Wasukuma kwann wasimtie viboko huyo zumaridi au Wana muogopa
Mtashuka tuu, maana mmekalili maandiko
😂😂😂😂😂😂😂make kwanza ncheke😂😂😂😂
Wewe mzee ni chizi na Moshi wa bangi umekuzuru unatafuta Kiki kupitia jina la Mfalme Zumaridi
Eti tuna uhuru wa kuabudù, kwa jinsi hii ya ķina zumaridì hakika wengi wataangamia
😂😂😂😂
😂😂😂😂
IKIWA SERIKALI I.EMUAMINI HUYU BASI IFAFANUE VZR, HAKUNA UKWELI HUO ILA KUDHSLILISHA N KUPOTOSHA
Huyo amechaganyikiwa jela
Zumaridi ilibidi arudishwe jela haraka
wakristo mna tabu kwelikweli
Kifupi huyu mzee mwenyewe kama ana tatizo la afya ya akili ...wote tu kama Zumaridi
Kweli kabisa maana wanamuona Zumaridi tu akat matapeli yamejazana hawayasemi
Gwajima nae kamuona Yesu huko sijui Yesu rangi yake ikoje au ndiyo wakwenye filamu
@@bennyngoye8707 walio muona Yesu huko hamuwasemi watuambie rangi yake ni ipi je ninyeusi au nyeupe ama ndy wanamuona wa kwenye filamu
Kwa maoni yangu ukibisha Zumaridi hakwenda Mbinguni ni kwamba nawe ulikuwepo huko. Ungekuwepo ni rahisi kuthibitisha ulikuwepo na hakuwepo. Kama hukuwepo huko huwezi kutwambia hakuwepo. Kila mtu ana Karama zake alizopewa na Mungu. This is simple logic. Anayeweza kusema hakufika huko ni kwamba alikuwepo huko na hakumuona
Hakuna cha GerDav,Mwamposa,Gwajima,Kakobe,Mzee wa Upako,Mwakasege wala Mzee wa Neema habari ya mjini ni ZUMARIDI kama ni utapeli basi wote hawa ni matapeli
Mnamuona Zumaridi tu hao matapeli wengine hamuwaoni ndy maana huwa narudia kusema Dini ni ufinyu wa fikra kila mtu anakuwa anajiona yuko sawa kwa upande wake lakini ukweli ni kwamba miongoni mwa watu wanalirudisha taifa hili ni viongozi wa Dini.
Askofu kakobe thanks neno Katina Hil I mtokambali tamka neno Katina Holi
Yan zumalid Anaugongwa waakili so bure amerogwa
Hujasikia huko na Gwajima kamuona Yesu me shida yangu siyo kumuona ila rangi yake ikoje au ndiyo wakwenye filamu ndiyo kamuona
Askofu kakobe tamka neno Katika Hil
Mnatumia nguvu kubwa sana kumponda Zumaridi, fanyeni kazi zenu
Tokapa napepo renzio zumaridi😡