Ni somo nililokuwa nalisubiri muda wote. Nmewai kuota zaidi ya mara mbili ndoto inayousiana na miguu na nyoka. Mtumishi sunbella naomba namba kwa ajili ya maombi. Naomba tafadhali
Mtumishi mumgu akubariki,kila ninapokukuskiza kila wakati ni kama unaubiria familia yetu,sababu imefungwa pande zote,magonjwa,chuki,ulevi na umaskini umekita mizizi kwetu but nimesimama kwa ajili ya familia yetu and i believe and i trust God minyororo yote, mungu atafungua.I trust God for healing.Ann KENYA.
Bishop sunbella nakutazama kutoka Kenya na mahubiri yako yamenijenga sana, hasa mateso ya kifamilia,niombee Bishop nataka kufungua biashara mashinani na Kuna changa moto za kupata nyumba ya biashara.
BWANA YESU ASIFIWE ,Napenda kumushukuru mungu kwa mafundisho ya mungu hasa somo la roho ya umasikini jinsi shetani anavyo haribu mahusiano ya mtu na mungu nimefunguliwa sasa amen 🙏
Ameni kwaimani mungu niponye magojwa yote mwilini mwangu 🙏 kwaimani mungu waponye familia yangu esta jackrini bitrice waponye wazazi wangu Ameni kwaimani Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni 🙏
Nashukuru kuwa waminifu na kuonyesha upendo kwa gusaidia wa Kristo usingefunga pamoja nae ungegunduwa sili ya gifungo ca huyu mutu .asanté Yesu Kristo kwa upendo wako . kwako upendo ni musingi wa gutumika nawe
Kupitia ushuhuda huo nami najiunganisha na madhabahu hayo ya ROC napokea mrejesho🙏🙏Tiba ya wazazi Mungu akawaondolee maradhi yanayowasumbua na mdogo wangu apate kazi🙏
Amina baba.Najiungamanisha na mafundisho haya na yajayo.Nahisi nimeshatiwa katka mkatale na niko ktk hatua ya kusinyaa.Eee Mungu nisaidie kupitia madhabahu hii.Amina
Ni somo nililokuwa nalisubiri muda wote. Nmewai kuota zaidi ya mara mbili ndoto inayousiana na miguu na nyoka. Mtumishi sunbella naomba namba kwa ajili ya maombi. Naomba tafadhali
Mtumishi mumgu akubariki,kila ninapokukuskiza kila wakati ni kama unaubiria familia yetu,sababu imefungwa pande zote,magonjwa,chuki,ulevi na umaskini umekita mizizi kwetu but nimesimama kwa ajili ya familia yetu and i believe and i trust God minyororo yote, mungu atafungua.I trust God for healing.Ann KENYA.
Amen kwamafuzo mungu atukuzwe na hainuliwe amen
Bishop sunbella nakutazama kutoka Kenya na mahubiri yako yamenijenga sana, hasa mateso ya kifamilia,niombee Bishop nataka kufungua biashara mashinani na Kuna changa moto za kupata nyumba ya biashara.
BWANA YESU ASIFIWE ,Napenda kumushukuru mungu kwa mafundisho ya mungu hasa somo la roho ya umasikini jinsi shetani anavyo haribu mahusiano ya mtu na mungu nimefunguliwa sasa amen 🙏
Mungu awabariki watumishi waMungu.Mimi ni muumini wenu kupitia UA-cam.Nawaombea Mungu wa.Mbinguni asiwapungukie Mema yake.AMINA
Amen Asante Sana Bishop Sanbella 🙏🙏 nakuelewa BABA 🙌🙌.natendea kazi pia mafundisho haya mazur ya kunifungua ufaham wangu.barikiwa Sana Bishop Sanbella
sijachelewa kwakweli, nabarikiwaa
Ameni kwaimani mungu niponye magojwa yote mwilini mwangu 🙏 kwaimani mungu waponye familia yangu esta jackrini bitrice waponye wazazi wangu Ameni kwaimani Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni 🙏
Ameen
Amen
My mentor
Amen....
🙏🙏huyu mtumishi wa Mungu namuelewa kabisa mimi ameniokoa sana na maisha ya ulimwengu wa kiroho .
Mungu akutunze baba
Kwaimani mungu nafunguliwa kiuchumi mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye biashala yangu mungu naomba simama pamoja nami Amen 🙏
Nashukuru kuwa waminifu na kuonyesha upendo kwa gusaidia wa Kristo usingefunga pamoja nae ungegunduwa sili ya gifungo ca huyu mutu .asanté Yesu Kristo kwa upendo wako . kwako upendo ni musingi wa gutumika nawe
Kupitia ushuhuda huo nami najiunganisha na madhabahu hayo ya ROC napokea mrejesho🙏🙏Tiba ya wazazi Mungu akawaondolee maradhi yanayowasumbua na mdogo wangu apate kazi🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana amen
Amen nikumbe Kwa maombi pamoja na familia yangu 🙏🙏
Jesus am here touch me with this annointing🙏
Amina baba.Najiungamanisha na mafundisho haya na yajayo.Nahisi nimeshatiwa katka mkatale na niko ktk hatua ya kusinyaa.Eee Mungu nisaidie kupitia madhabahu hii.Amina
Kupitia ushuhuda huu naimani kaka yangu atapona palalize
Kwetu.congo.lumbu.mbashi.asate.mutusahidiyeko.mahombi.
Sauti ipo chini sana
Hallelujah hallelujah Glory to God Ahsante YESU WANGU
Pasta unaeleweka Sana mungu akupe maisha malefu
Kitu Cha kiroho hakiondoki kwa bidii ya kimwili...Duuu YUKO NDANI YA SHABIBY...Mungu tuokoe.
Kwetu kenya..
Hallelujah, hallelujah, hallelujah..
AMEN
AMEN
AMEN..🙏🙏🙏
Eee Mungu naomba wote walomloga mama yangu na kizazi chake,Moto wa Mungu uwateketeze.
Barikiwa Mtumishi Neema ya Mungu ni kubwa napata kitu
Amen mtumishi barikiwa sana
Eee mungu kwaimani nami nafunguliwa leo 🙏
Barikiwa kwa Somo zuri mtumishi wa Mungu
Namshukuru sana mungu kwaajili yako mtumishi
Nisaidie mtumishi kama vile ni mimi
Naomba uniombee nipo Kagera Mleba
Asante mchungaji na Mungu akubariki
Amen🙏🙏🙏
Amen nakuelewa mtumishi wa mungu
Hakika wewe ni mwalim nabarikiwa mnoooh
Mtumishi wa Mungu lini unakuja morogoro
Familia yangu inamatatizo San natamani siku nikutane nawe mtumishi mungu akubariki
Barikiwa sana baba
Ameeen 🙏
Very powerful
Amina
Aminaa mtumishi Mungu akubariki
Ninawashukuru kwa walimu na wachungaji kwa kutupa chakula kizuri
Tuko pamoja mtumishi wa mugu
Lini mnakuja Dodoma pastor
Tuko kila jumatano pale dear mama hoteli kuanzia kumi na koja jioni
@@pastorsunbellakyando
Arusha sehemu gani na siku gan pastor!
🙏
Nimebarikiwa na kujifuza mengi
Amen
Ameeen 🙏
Amen
Amen
Amen