SIRI ZA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - Pastor Sunbella Kyando

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Kila kitu kabla hakijafika kwenye ulimwengu wa mwili kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.Na pia vita yoyote ukitaka kuishinda lazima uanzie kupigana katika ulimwengu wa roho,ulimwengu wa mwili ni matokeo ya kile kinachotokea rohoni.Kuna siri za kuweza kuutawala huu ulimwengu(wa roho).Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando ambalo litabadilisha sana mtazamo wako na kukusaidia kushinda vita ulizonazo.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our UA-cam: www.youtube.co....
    #Dodoma

КОМЕНТАРІ • 123

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 роки тому +15

    Ww pastor ubarikiwe mm nimuislam bt umenifunza umenipa ujuzi jazzakallah khairan Allah akujaze nuru

  • @happinessakim2889
    @happinessakim2889 3 роки тому +7

    Nifundishe kuvua samaki baba,,,Wala usinipe samaki ,,,,huu ndiyo urithi tosha kwang,,,,,,,🙏🙌🙌🙌

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 роки тому +8

    Ameen.yani Roho mtakatifu ametumia lugha nyepesi kutufundisha hili somo ili tuelewe ulimwengu wa Roho vizuri bcause its important.Hallelujah Pastor be blesed.

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Рік тому +1

    😭😭kwa hakika hili neno ni langu kabisa juu nguvu za giza kiroho zinanisumbua sana.Natamani 🙏 nikutane na huyu mtumishi wa Mungu aniekee tuu mkono 🥹🥹

  • @JoshuaJonas-v8e
    @JoshuaJonas-v8e 5 днів тому

    Ameeeen mtumishi

  • @dorothyshiyyo3370
    @dorothyshiyyo3370 Рік тому

    Mafundisho mazuri sana.Mungu aendelee kukupa neema ya kufundisha,Roho ya ufunuo zaidi hekima na maarifa yote. Mungu akubariki sana mchungaji. Nimejifunza sana kutoka kwako.

  • @godwinsimba1603
    @godwinsimba1603 3 роки тому +4

    Hakika Mungu anawatu hapa Duniani.
    Very powerful teachings

  • @dorothyshiyyo3370
    @dorothyshiyyo3370 Рік тому +1

    Napenda sana vipindi vya neno la Mungu kupitia mtumishi wake.

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Рік тому +1

    Ubarikiwe sana mtumushi kwa mafundisho yako mazuri

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 3 роки тому +1

    AMEN Mutumishi ubarikiwe baba kwa marifa unayo nipa

  • @marckkish3304
    @marckkish3304 Рік тому +1

    Following u Pastor

  • @nehemiahsima1389
    @nehemiahsima1389 10 місяців тому +1

    Naendelea kubarikiwa kupitia Ministry na watumishi wako Baba....

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 3 роки тому +2

    Asante Mungu kwa huduma hii imenilisha siku ya leo.
    Mtumishi Mungu akubariki

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 роки тому +2

    Mungu Baba nakushukuru kwa neema kubwa kama iyi ya kusikiliza mafundisho haya

  • @fridaalexanda6170
    @fridaalexanda6170 3 роки тому +5

    Ubarikiwe sana sana Mtumishi
    Heri tumbo la Mama yako aliekuzaa

  • @greetysiame-vr7yg
    @greetysiame-vr7yg Рік тому

    Ahsante yesu kwa kumtuma msaidizi uliyetuahidi

  • @jeanrenengbebou7989
    @jeanrenengbebou7989 2 роки тому

    82 Hakuna kitu kinachoweza kutufanya tukatae Ujumbe huu. Wala jela wala mateso kwa sababu Ujumbe huu wa Mwana-Kondoo ni kitu kikubwa zaidi ambacho Mungu ametupa hapa duniani na ni kupitia kwake tutamwona Mungu. Yeye ni nira na mzigo kwa wana wa giza, lakini yeye ni umande mtamu na furaha kwa wana wa nuru.

  • @margretmumbi43
    @margretmumbi43 3 роки тому +2

    l am blessed Sana, God bless you pastor

  • @amosenock5096
    @amosenock5096 3 роки тому

    Kiukweli mafundisho yako yananibariki sana..barikiwa sana mtumishi wa MUNGU..by happygrolly Maige from kahama

  • @bishoperickgodfrey4290
    @bishoperickgodfrey4290 Рік тому

    Mungu akubariki pastor good lesson

  • @rodageoffrey8556
    @rodageoffrey8556 2 роки тому +2

    Nlchelewa wap kuijua hii account👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😢😢😢

  • @josphinejosphine8439
    @josphinejosphine8439 3 роки тому +1

    I am bleased sana man of God

  • @mporanzikarasharira
    @mporanzikarasharira Рік тому

    Nashukuru sana na neno mungu apewe sifa najegwa sana

  • @anordlaurent8751
    @anordlaurent8751 3 роки тому +2

    God is good somo jamani n nzuri sana

  • @demarianiccky5812
    @demarianiccky5812 2 роки тому +1

    Injili ya baraka kweli ❤️

  • @dianamahundi4464
    @dianamahundi4464 8 місяців тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @amosenock5096
    @amosenock5096 3 роки тому +1

    I,m so blessed..daaaaah!GOD bless u pstr

  • @JacoboPhilipoJacobo
    @JacoboPhilipoJacobo 2 місяці тому

    Amina baba ubalikiwe unanibaliki sana

  • @raysjames1776
    @raysjames1776 2 місяці тому

    Kupitia kisa hiki Mungu ukanifungue nianze ujenzi kwenye eneo langu

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 роки тому +1

    Amen mtumishi

  • @winfridamahali6349
    @winfridamahali6349 2 роки тому

    Nabarikiwa sana mtumishi na mafundisho haya 🙏

  • @jonaskilima1711
    @jonaskilima1711 3 роки тому

    Safi sana, mtumishi...umeokoa wengi katika kipengele hiki.Mungu akubariki

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 2 роки тому +1

    May God bless you beyond your boundaries man of God

  • @carenmsafiri8498
    @carenmsafiri8498 Рік тому

    AMEN UBARIKIWE SANAA MTUMISHI

  • @irenemakokha2560
    @irenemakokha2560 3 роки тому +5

    Thanks alot sir now l have understood kwamba kuna simba kwenye njia yangu ya ndoa

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 роки тому +1

    Amen

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 2 роки тому

    Nabarikiwa Sana namafundisho yako mtumishi wa Mungu!

  • @everlineeva594
    @everlineeva594 3 роки тому

    Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mema ,nabatikiwa nikiwa 973

  • @prettybraids3079
    @prettybraids3079 2 роки тому +1

    Asante kwa SoMo zuri ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @vivienshubi8746
    @vivienshubi8746 2 роки тому

    Namshukuru Bwana Yesu kwa huu ufunuo. Bwana Yesu namuomba azidishe nguvu na mafunuo yake kwa Pastor Sunbella

  • @abigaelnyanchera7694
    @abigaelnyanchera7694 2 роки тому +1

    O Lord ,God of mercy my strength restore my life to live in a spiritual world

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 3 роки тому

    Well have got something there. MUNGU anisaidie nianzie rohoni kwanZa

  • @irenemwamfupe8994
    @irenemwamfupe8994 3 роки тому

    Barikiwa kwa somo hili nimejifunza kitu hapa

  • @marygrory8268
    @marygrory8268 Рік тому

    May GOD bless you

  • @elizabethrabanus3990
    @elizabethrabanus3990 3 роки тому

    Mtumishi wa Mungu Bwana akutumie vema!

  • @Christinamuhuga
    @Christinamuhuga Рік тому

    Powerful teachings

  • @hildergardmehrab5857
    @hildergardmehrab5857 2 роки тому

    God Bless You. Asante kwa ajili ya somo hili

  • @gomarakimwanzaro9903
    @gomarakimwanzaro9903 3 роки тому

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi

  • @simagalikani3850
    @simagalikani3850 Рік тому

    Mungu akubariki

  • @onelovedjonlinetz5989
    @onelovedjonlinetz5989 2 роки тому

    Amen barkiwa. Sana

  • @ayoubmwaitebele9174
    @ayoubmwaitebele9174 2 роки тому

    Ubarikiwe Sana Mtumishi

  • @danielzablon8388
    @danielzablon8388 2 роки тому

    Nimejifunza mengi kuhusu Somo Hili.

  • @magdalenamagdalena8263
    @magdalenamagdalena8263 Рік тому

    Nimebarikiwa sana

  • @chinatanzania7133
    @chinatanzania7133 3 роки тому +2

    Blessed teachings, Mungu azidi kukutumia Minister Sunbella Kyando

  • @tevymgalla4360
    @tevymgalla4360 3 роки тому +3

    Powerful🙏🙏

  • @philipojangama
    @philipojangama 3 роки тому +1

    Ameen

  • @reginakirway3626
    @reginakirway3626 2 роки тому

    Lakini waimbaji wa sanbela mnaharibu sana pambio zakuabudu yani mpaka basii yani pambio inaimbwa na mwimbishaji mpka mwisho yani waumini hawapati ladha ya pambio kabisaa maana inaimbwa kwa kupindishwa pindisbwa mpka basi. Lakini mahubiri yanabariki mpka mipaka ya 🇹🇿 🥰🥰.

  • @matabsjay0919
    @matabsjay0919 2 роки тому

    Be blessed pastor 🙏

  • @agnesmbilo7270
    @agnesmbilo7270 2 роки тому +1

    Huyo ni mimi kabisa baba. Ndoa.

  • @rwesimbibicharles8994
    @rwesimbibicharles8994 3 роки тому

    Mungu apewe sifa kwa ukweli huu🙏🙏

  • @meshackmanofgod8151
    @meshackmanofgod8151 2 роки тому

    Tokea nimeanza kukufuatilia ktk you tuble MUNGU amekua akinifungua sana namboyangu yanaendasana kiukweli unaneema kubwasana baba atakae kuelewe atafanikiwasana

  • @dionicyndelwa663
    @dionicyndelwa663 3 роки тому

    Amina Sana mtumishi

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 роки тому

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +1

    Hallelujah 🙏😍

  • @tatukadope7213
    @tatukadope7213 2 роки тому

    Tangia nianze kusiliza mafundisho yako kwel kabisa kunavitu ndo nimegundua Sasa mungu azid kukutumia

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 роки тому +1

    Amen amen hallelujah

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 роки тому

    Mafundisho mazuri sana mtumishi wa Mungu

  • @deogratias1253
    @deogratias1253 Місяць тому

    Amen Kenya tunabalikiwa na Mahubili yako Mchungaji je Mtu anaezaje pata Number yako?

  • @kakadkarima2448
    @kakadkarima2448 3 роки тому

    Jumatano ya tarehe ngapi mtumishi.

  • @vumiliamaturo9991
    @vumiliamaturo9991 3 роки тому +3

    I'm so blessed with this lesson God bless you pastor

  • @godlovewarwa
    @godlovewarwa 3 роки тому

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 3 роки тому

    Asante pastor

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 3 роки тому

    naomba uje mbeya pia pastor

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 2 роки тому

    tuned

  • @meylcebenjamin2429
    @meylcebenjamin2429 3 роки тому

    Blessings to you

  • @babalao910
    @babalao910 2 роки тому

    My loard

  • @naomifavor2887
    @naomifavor2887 3 роки тому +1

    Sauti iko chini Sana sikupati

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 роки тому +2

    Cz nafunga naswali bt nilikua sijui mda maalum wakupigana bt saa hii nimejua mda kamili

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 роки тому

      Maarifa na neno la Mungu pia ni muhimu sana!na mamlaka uliyonayo ktk ulimwengu wa Roho ktk jina la Yesu Kristo hakuna kitakushinda

  • @chedielnyirenda9664
    @chedielnyirenda9664 2 роки тому

    Msaada mtupu!

  • @loveandnature2821
    @loveandnature2821 2 роки тому

    ASANTE YESU

  • @veronicanyalinga2845
    @veronicanyalinga2845 2 роки тому

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 роки тому

    Very powerful

  • @mariakingu1221
    @mariakingu1221 2 роки тому

    🙏🙏🙏

  • @estherfaidamalkia4021
    @estherfaidamalkia4021 3 роки тому

    Shalom

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 роки тому

    Bwana tusaidiye

  • @onesmoemmanuel5821
    @onesmoemmanuel5821 Рік тому

    Baba thanks

  • @bensonmenyi9158
    @bensonmenyi9158 2 роки тому

    Powerful sermon

  • @aquilineanthony1115
    @aquilineanthony1115 3 роки тому +1

    PASTOR UBARIKIWE SANA HAKIKA NIMEGUNDUA KITU KUNA ENEO NINA CHALLENGE YAANI HATA SIOMBAGI. NITAOMBA VITU VINGI SANA ILA ENEO LILE SIKUMBUKI KABISA.

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 2 роки тому

    I connect to collect

  • @derrickboaz5099
    @derrickboaz5099 3 роки тому +1

    Pastor Sunbella Kyando.

  • @prosmacharius7074
    @prosmacharius7074 Рік тому

    Chanell gani IPO huduma katika tv

  • @evainnocent9520
    @evainnocent9520 3 роки тому

    Mwendelezo Wa hili somo tunaomba .

  • @jeanrenengbebou7989
    @jeanrenengbebou7989 2 роки тому

    14 Na wewe, tangu wakati uliposikia jina Kacou Philippe duniani, ingawa hukuniamini, ujue kuwa uko chini ya hukumu ya Mungu na ikiwa hutatii yote niliyoamuru kutoka kwa Mungu hadi binadamu, jua kwamba dhambi zako zitakuwa juu yako mpaka utakapokufa. Huwezi kujua kwamba kitu ni kibaya na nenda kafanye hivyo. Hii sio sababu ya kifo cha Bwana Yesu Kristo msalabani. Na ikiwa hukuwa unajua, sasa unajua leo.

  • @marthaselemani173
    @marthaselemani173 2 роки тому

    Mtumish mtu anajuaje unapotaka kwenda mahar kufundisha? Tunapitwa

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439 2 роки тому

    "Bwana wajua hitaji la moyo wangu" hahaha.. halleluJah

    • @lydiawasai9439
      @lydiawasai9439 2 роки тому

      That statement has made me happy. Thanks so much mchungaji b blessed

  • @julianalawrence5327
    @julianalawrence5327 2 роки тому

    Nataman siku moja ni kasali hapo

  • @rachelbahahazo6362
    @rachelbahahazo6362 3 роки тому

    Yupo dodoma sehemu gani? Uyu Pastor pls

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому +1

      DODOMA tuna ibada kila siku ya Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.

  • @linetayuma202
    @linetayuma202 2 роки тому

    Amen🙏🏻🙏🏻🤲🤲👏

  • @happinessakim2889
    @happinessakim2889 3 роки тому +1

    Naomba kujua dodoma semina huwa unafanyia wapi!?

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому +1

      Kila siku ya Jumatano kuanzia saa 11 jioni, Dear mama njia panda ya Area C

    • @happinessakim2889
      @happinessakim2889 3 роки тому

      Be Blessed Sana Mpakwa mafuta wa Bwana,,,,,,nimeshaanza kuhudhuria,,,,,nabarikiwa Sana🔥🔥🔥🙏🙏🙏

  • @evainnocent9520
    @evainnocent9520 3 роки тому

    Au nalipataje???