SIRI ZA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - Pastor Sunbella Kyando
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Kila kitu kabla hakijafika kwenye ulimwengu wa mwili kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.Na pia vita yoyote ukitaka kuishinda lazima uanzie kupigana katika ulimwengu wa roho,ulimwengu wa mwili ni matokeo ya kile kinachotokea rohoni.Kuna siri za kuweza kuutawala huu ulimwengu(wa roho).Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando ambalo litabadilisha sana mtazamo wako na kukusaidia kushinda vita ulizonazo.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our UA-cam: www.youtube.co....
#Dodoma
Ww pastor ubarikiwe mm nimuislam bt umenifunza umenipa ujuzi jazzakallah khairan Allah akujaze nuru
Nifundishe kuvua samaki baba,,,Wala usinipe samaki ,,,,huu ndiyo urithi tosha kwang,,,,,,,🙏🙌🙌🙌
Ameen.yani Roho mtakatifu ametumia lugha nyepesi kutufundisha hili somo ili tuelewe ulimwengu wa Roho vizuri bcause its important.Hallelujah Pastor be blesed.
😭😭kwa hakika hili neno ni langu kabisa juu nguvu za giza kiroho zinanisumbua sana.Natamani 🙏 nikutane na huyu mtumishi wa Mungu aniekee tuu mkono 🥹🥹
Ameeeen mtumishi
Mafundisho mazuri sana.Mungu aendelee kukupa neema ya kufundisha,Roho ya ufunuo zaidi hekima na maarifa yote. Mungu akubariki sana mchungaji. Nimejifunza sana kutoka kwako.
Hakika Mungu anawatu hapa Duniani.
Very powerful teachings
Napenda sana vipindi vya neno la Mungu kupitia mtumishi wake.
Ubarikiwe sana mtumushi kwa mafundisho yako mazuri
AMEN Mutumishi ubarikiwe baba kwa marifa unayo nipa
Following u Pastor
Naendelea kubarikiwa kupitia Ministry na watumishi wako Baba....
Asante Mungu kwa huduma hii imenilisha siku ya leo.
Mtumishi Mungu akubariki
Mungu Baba nakushukuru kwa neema kubwa kama iyi ya kusikiliza mafundisho haya
Ubarikiwe sana sana Mtumishi
Heri tumbo la Mama yako aliekuzaa
Ahsante yesu kwa kumtuma msaidizi uliyetuahidi
82 Hakuna kitu kinachoweza kutufanya tukatae Ujumbe huu. Wala jela wala mateso kwa sababu Ujumbe huu wa Mwana-Kondoo ni kitu kikubwa zaidi ambacho Mungu ametupa hapa duniani na ni kupitia kwake tutamwona Mungu. Yeye ni nira na mzigo kwa wana wa giza, lakini yeye ni umande mtamu na furaha kwa wana wa nuru.
l am blessed Sana, God bless you pastor
Kiukweli mafundisho yako yananibariki sana..barikiwa sana mtumishi wa MUNGU..by happygrolly Maige from kahama
Mungu akubariki pastor good lesson
Nlchelewa wap kuijua hii account👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😢😢😢
I am bleased sana man of God
Nashukuru sana na neno mungu apewe sifa najegwa sana
God is good somo jamani n nzuri sana
Injili ya baraka kweli ❤️
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
I,m so blessed..daaaaah!GOD bless u pstr
Amina baba ubalikiwe unanibaliki sana
Kupitia kisa hiki Mungu ukanifungue nianze ujenzi kwenye eneo langu
Amen mtumishi
Nabarikiwa sana mtumishi na mafundisho haya 🙏
Safi sana, mtumishi...umeokoa wengi katika kipengele hiki.Mungu akubariki
May God bless you beyond your boundaries man of God
AMEN UBARIKIWE SANAA MTUMISHI
Thanks alot sir now l have understood kwamba kuna simba kwenye njia yangu ya ndoa
Amen
Nabarikiwa Sana namafundisho yako mtumishi wa Mungu!
Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mema ,nabatikiwa nikiwa 973
Asante kwa SoMo zuri ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏🙏
Namshukuru Bwana Yesu kwa huu ufunuo. Bwana Yesu namuomba azidishe nguvu na mafunuo yake kwa Pastor Sunbella
O Lord ,God of mercy my strength restore my life to live in a spiritual world
Well have got something there. MUNGU anisaidie nianzie rohoni kwanZa
Barikiwa kwa somo hili nimejifunza kitu hapa
May GOD bless you
Mtumishi wa Mungu Bwana akutumie vema!
Powerful teachings
God Bless You. Asante kwa ajili ya somo hili
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi
Mungu akubariki
Amen barkiwa. Sana
Ubarikiwe Sana Mtumishi
Nimejifunza mengi kuhusu Somo Hili.
Nimebarikiwa sana
Blessed teachings, Mungu azidi kukutumia Minister Sunbella Kyando
Powerful🙏🙏
Ameen
Lakini waimbaji wa sanbela mnaharibu sana pambio zakuabudu yani mpaka basii yani pambio inaimbwa na mwimbishaji mpka mwisho yani waumini hawapati ladha ya pambio kabisaa maana inaimbwa kwa kupindishwa pindisbwa mpka basi. Lakini mahubiri yanabariki mpka mipaka ya 🇹🇿 🥰🥰.
Be blessed pastor 🙏
Huyo ni mimi kabisa baba. Ndoa.
Mungu apewe sifa kwa ukweli huu🙏🙏
Tokea nimeanza kukufuatilia ktk you tuble MUNGU amekua akinifungua sana namboyangu yanaendasana kiukweli unaneema kubwasana baba atakae kuelewe atafanikiwasana
Amina Sana mtumishi
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Hallelujah 🙏😍
Tangia nianze kusiliza mafundisho yako kwel kabisa kunavitu ndo nimegundua Sasa mungu azid kukutumia
Amen amen hallelujah
Mafundisho mazuri sana mtumishi wa Mungu
Amen Kenya tunabalikiwa na Mahubili yako Mchungaji je Mtu anaezaje pata Number yako?
Jumatano ya tarehe ngapi mtumishi.
I'm so blessed with this lesson God bless you pastor
Ubarikiwe sana mtumishi
Asante pastor
naomba uje mbeya pia pastor
tuned
Blessings to you
My loard
Sauti iko chini Sana sikupati
Cz nafunga naswali bt nilikua sijui mda maalum wakupigana bt saa hii nimejua mda kamili
Maarifa na neno la Mungu pia ni muhimu sana!na mamlaka uliyonayo ktk ulimwengu wa Roho ktk jina la Yesu Kristo hakuna kitakushinda
Msaada mtupu!
ASANTE YESU
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Very powerful
🙏🙏🙏
Shalom
Bwana tusaidiye
Baba thanks
Powerful sermon
PASTOR UBARIKIWE SANA HAKIKA NIMEGUNDUA KITU KUNA ENEO NINA CHALLENGE YAANI HATA SIOMBAGI. NITAOMBA VITU VINGI SANA ILA ENEO LILE SIKUMBUKI KABISA.
I connect to collect
Pastor Sunbella Kyando.
Chanell gani IPO huduma katika tv
Mwendelezo Wa hili somo tunaomba .
Mwendelezo wa Somo hili itafanyika jumatano ijayo Dodoma
Asant nalisubir Kwa hamu sana.
14 Na wewe, tangu wakati uliposikia jina Kacou Philippe duniani, ingawa hukuniamini, ujue kuwa uko chini ya hukumu ya Mungu na ikiwa hutatii yote niliyoamuru kutoka kwa Mungu hadi binadamu, jua kwamba dhambi zako zitakuwa juu yako mpaka utakapokufa. Huwezi kujua kwamba kitu ni kibaya na nenda kafanye hivyo. Hii sio sababu ya kifo cha Bwana Yesu Kristo msalabani. Na ikiwa hukuwa unajua, sasa unajua leo.
Mtumish mtu anajuaje unapotaka kwenda mahar kufundisha? Tunapitwa
"Bwana wajua hitaji la moyo wangu" hahaha.. halleluJah
That statement has made me happy. Thanks so much mchungaji b blessed
Nataman siku moja ni kasali hapo
Yupo dodoma sehemu gani? Uyu Pastor pls
DODOMA tuna ibada kila siku ya Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.
Amen🙏🏻🙏🏻🤲🤲👏
Naomba kujua dodoma semina huwa unafanyia wapi!?
Kila siku ya Jumatano kuanzia saa 11 jioni, Dear mama njia panda ya Area C
Be Blessed Sana Mpakwa mafuta wa Bwana,,,,,,nimeshaanza kuhudhuria,,,,,nabarikiwa Sana🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Au nalipataje???