ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
#PastorSunbella#RohoYa#Umasikini
Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor
Karibu Yesu anaweza na wala habagui mkiri tu na umwamini
Barikiwa Sana Yesu anakupenda sana
Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.
Nimekataa roho ya umaskini kwa jina la yesu aliye hai
MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri, Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya
Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.
Asante mtumishi wa mungu.Umenifungua macho,napitia hayo naomba mungu anikomboe
Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen
Amina sana mtumishi nakuelewa
Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki
Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI
kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai
Sioni nyuma Wala mbele
roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI
Be bless pastor
Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.
Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho
Kiuchumi na maisha
Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu
Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana
hali inatisha sanaa 😢😢😢
Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie
Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu
AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU
😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊
Amen
Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini
Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa
Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa
Amen mtumishi barikiwa sana
Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen
Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help
Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.
Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana
Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU
amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu
Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha
Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake
your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya
Amina
Be blessed Kyando
Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu
Amen mtumishi wa mungu.
Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏
Ameen Pastor
Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin
Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi
Amen Amen 🙏🙏
Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau
Amen amen amen
Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela
Asante Mungu
Iam being blessed.
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Amen mchungaji😭🙏🏾
Ameeen Yesu niponye
Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa
AMINA mtumishi wa mungu
Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì
Yesu fanya jambo
Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa
Hasee mafundisho mazuri Sana haya
nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang
Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu
Roho ya umaskini initoke in Jesus Name
Hallelujah hallelujah
Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi
Amina Mungu atusaidie Sana.
Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal
God bless you pastor
pastor karibu sana na Mbeya pia
Nikweli man of God
Ubarikiwe Mtumishi.
Amen 🙏🙏🙏
Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu
Ameen
Najifunza Sana hakika napata nguvu
Nakataa rohoya umasikin
Huo mfano wa Mtumishi ambaye anafuatiliwa na roho ya umaskini umenitafakarisha sana 12:50
Ni kweli mtumishi
Pasta naomba uniombee familia yetu tuweze kuolewa na kuowa tufike madhabahuni.
Amen 🙏😭
GOD BLESS YOU TEACHERS
Wadada wa Tanzanian wanapendeza mno. Nywele zimeshukwa poa na wako smart. Mumebarikiwa
Dah 😪😪Mungu Tusaidie hakikaa
🙏🙏🙏
Be blessed man of God
Sijakata tamaa ila nimechoka sijui nn nifanyie YESU nisaidie wewe pekee unanijua nakujua maitaji yangu vyema sistaili ila nisaidie mwanao
So touching
Amen
🙌
WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE
Ukisikiliza kwa makini machozi 😭 lazima yakutoke 😭
Pastor nina kaka yangu amefungwa na roho hiyo kabisa naomba musaada plz
❣️
Kanisan ni wapi na ratiba za ibada zikoje
Naomba location ya kanisa lenu
Naomba namba za huyu mtumishi...
Kanisa liko wapi?
Je mwalimu na pastor unaposoma,ufunuo:2:8:11,unajifunza nini?mafunzo mengine aitusaidii kitu
Kyando nahitaji mawasiliano yako
Naomba kujua kanisani kwake naomba mtu yeyote anielekeze plz
Kanisa lipo sinza mori mkabala na ofisini za Tamwa au karibu na bar ya lachaz, tumia namba hii kwa kutuma ujumbe whatsup kwa msaada zaidi 0657173322
@@pastorsunbellakyando Nashukuru sana sana
Amen
Amen Amen
🙏🙏
Amen
Amen
Amina