ROHO YA UMASIKINI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Roho ya umaskini haikuzuii KUNENA kwa lugha, lakini itahakikisha kwenye eneo la fedha hausogei.
    Kilichomfanya huyu mtu atoke kwenye makaburi ni kwa sababu ya uwepo wa Yesu, Ulimuhamisha kutoka sehemu ya mauti aliyokaa muda mrefu.
    Kuna watu kwenye ulimwengu wa roho wamehamishwa na kuwekwa kwenye location(maeneo) ambapo wakiwa kwenye hayo maeneo chochote wanachokifanya KINAKUFA.
    Shetani ili afanye uharibifu kwako huhakikisha kwanza amekuweka kwenye eneo ambalo anapata access na wewe wakati wowote akihitaji, vilevile huhakikisha wale ambao ni msaada kwako anakutenga nao.Ndio maana kuna aina fulani ya watu kila wakija karibu na wewe ndani yako kunainuka tabia ambazo hata hujui zimetoka wapi..kiburi, hasira iliyopitiliza,majivuno n.k na kipindi watu hawa wakiondoka unarudi katika hali yako ya kawaida.Na watu wengi jambo hili limewatesa sana kwa sababu hawajui chanzo ni nini.
    Ukiwa kwenye eneo la namna hiyo kila atakaye kuja kwenye maisha yako ana tatizo kama lako,na ndio maana wewe na rafiki yako wote mnapitia changamoto zinazofanana.
    #PastorSunbella#RohoYa#Umasikini

КОМЕНТАРІ • 111

  • @sumathedony8245
    @sumathedony8245 2 роки тому +21

    Mimi ni mwislam ila nakufatilia sana pastor

  • @floraahdrea1729
    @floraahdrea1729 2 роки тому +11

    Nakataa roho ya umaskini kwa jina la Yesu Amen.

  • @dadprince1490
    @dadprince1490 21 день тому +1

    Nimekataa roho ya umaskini kwa jina la yesu aliye hai

  • @jefwakalama4336
    @jefwakalama4336 22 дні тому

    MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri, Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya

  • @dottoanselmo8420
    @dottoanselmo8420 2 роки тому +3

    Mafundisho yako ni mazuri mtumishi wa mungu na yanagusa Sana maisha yetu.Nataman sku moja nipate mda wa kufika kanisani kwako kujifunza na kupata maombi namuomba mungu ajalie Hilo litimie.

  • @Attitude_gurl-t5l
    @Attitude_gurl-t5l 21 день тому

    Asante mtumishi wa mungu.Umenifungua macho,napitia hayo naomba mungu anikomboe

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabrice 2 місяці тому

    Nakataa roho za umaskini katika maisha yangu kuanzia sasa ivi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja kila kilisho shikilia hata uchumi wangu na kazi yangu katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth minavunja Amen Amen Amen Amen

  • @LeahKidenya
    @LeahKidenya 15 днів тому

    Amina sana mtumishi nakuelewa

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon4453 2 роки тому +5

    Mtumishi wa Mungu napenda sana mahubiri yako Mungu akubariki

  • @user-vc8he3gf4m
    @user-vc8he3gf4m 6 місяців тому

    Eewee Roho ya umasikini skiaaa mimi na familia yangu kuanzia leoo Sasa ivi ni matajri Tena wakubwa wala syo masikini Tena katka Jina LA YESU KRISTO alie Hai eee MUNGU sikiaa maombi yangu na dua zangu nautoaa mwili na moyo wangu kuwa dhabihu Hai kwako nitumiee vile upendavyo ktka Jina LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU AMENI

  • @markmwau8387
    @markmwau8387 2 роки тому +14

    kama ukoo wetu hakuna mtu hata mmoja aliwahi fanikiwa...kama vile Mungu aishivyo nimekataa kuwa muhathiriwa kwa Jina La Yesu aliye hai

  • @justingeorge2451
    @justingeorge2451 Рік тому

    roho ya Umaskini iachie familia yangu katika jina la YESU KRISTO WANAZARETI ALIYE HAI

  • @RizikiKarisa-u7m
    @RizikiKarisa-u7m 2 місяці тому

    Be bless pastor

  • @BenitaAli-o8x
    @BenitaAli-o8x 2 місяці тому

    Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Рік тому

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, napenda sana masomo yako,mimi heaven nachukia sana umasikini,kwetu ni mimi peke yangu nimesoma,na MUNGU akanisaidia nikapata kazi,nikamshukuru MUNGU nitawasomesha wadogo zangu,lakini sasa huku kazini nimekua wa madeni,naweza hesabu laki 3,naweka juu ya meza ofisini kufumba na kufumbua sizioni, ntatafuta hadi kwenye viatu sizipati, nimekua mtumwa wa madeni na mimi ni cashier.

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Рік тому +1

    Yan somo hili ndio maisha ninayoyapitia kila nacho kifanya hakifiki mwisho
    Kiuchumi na maisha
    Mungu ajizihishe ndan ya maisha yangu

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Рік тому

      Naogopa Mimi naogopa niniii ndugu yangu Mungu atusaidie sana

    • @antybakary953
      @antybakary953 2 місяці тому

      hali inatisha sanaa 😢😢😢

  • @user-lf2bw5wp5r
    @user-lf2bw5wp5r 9 місяців тому

    Nimekuelewa sana mtumishi MUNGU akubariki mno, naona kama unayazungumzia maisha yangu hapo yaani MUNGU anisaidie

  • @breakingnewstz8396
    @breakingnewstz8396 7 місяців тому

    Roho ya umaskini niache Mimi na familia yangu kwa Damu ya Yesu na kwa Jina la Yesu

  • @meriajshxx3223
    @meriajshxx3223 2 роки тому +1

    AMENI na roho ya umaskini initoke katika jina la YESU

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Рік тому

    😭😭😭😭roho ya umaskini na mapooza hebu achilia familia yangu katika jina la yesu kristo wa nazareth aliye hai 😊

  • @user-vl8uu1wb3j
    @user-vl8uu1wb3j Рік тому

    Amen

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 8 місяців тому

    Baba naomba niombee mungu aniwezeshe kujenga nyumba hivi nina miaka hamsina tatu naishi kwenye nyumba ya kupanga We mungu nisaidie niondolee riho ya umaskini

  • @mildredwekesa5844
    @mildredwekesa5844 2 роки тому +3

    Asante sana mtumishi kwa somo ,amen nmepata somo kabisa

  • @BizimanaInnocent-gv4kz
    @BizimanaInnocent-gv4kz 4 місяці тому

    Heee yesu unirehemu, kweli mkono wakuume umefunguliwa ila wa koshoto umefungwa

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 роки тому +4

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @miriammuller2845
    @miriammuller2845 2 роки тому

    Muchungaji, ubarikiwe Sana, hili Somo limeniguza, naomba uniweke kwa maombi, ili Roho ya umasikini iniondokehe, na nipate location mpya nimeishi miaka mingi sana hapa , sioni nyuma Wala nyuma Mungu anifungulie kupitia kwa maombi yako na nitakushukuru,Amen

  • @FurahaNgatena
    @FurahaNgatena 3 місяці тому

    Asifiwe yesu mm Huwa sipati kazi nikipata napata za ndani lkni hizo za ndan pia siwezi kudumu zako mwanzoni au baada ya mda Fulani nitapendwa sana ila akiweka Nia ya kunisaidia ataanza kupigwa kiuchumi gafla anaanza kunichukia 😢nikijiajiri sifanikiwi nikikaa kwenye biashara ya mtu hata wale wateja wake wanamuhama pastor I really need help

  • @francisshekifu8020
    @francisshekifu8020 Рік тому

    Jina la bw. Yesu lihimidiwe! Ni mfuatiliaji makini wa mafundisho yako! Mungu akubariki.

  • @silvatondayizeyendayizeye7874
    @silvatondayizeyendayizeye7874 2 роки тому

    Nawafuata 100%nikiwa Burundi Mubalikiwe sana pasta Sanbella nimesaidiwa sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +1

    Daddy 😪❣️Una nibariki sana😪😪Ahsante YESU WANGU

  • @suzaynalusambo7083
    @suzaynalusambo7083 2 роки тому

    amen mtumish...mungu aniondolee roho ya umaskin kwa jina yesu

  • @victorishunga2893
    @victorishunga2893 2 роки тому +1

    Barikiwa napokea kitu kipya kunamahali ananivusha

  • @josephlazaro5406
    @josephlazaro5406 Рік тому

    Mafundisho mazuri sana mtumishi na ni kweli ww ni mwalimu kweli kweli maana mwalimu sahihi lazima afundishe Kwa mafundisho yenye uhai ndani yake

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 2 роки тому +5

    your teachings bless me alot Mungu akupe kibali uje na Mbeya

  • @NicholausMtawa
    @NicholausMtawa Рік тому +1

    Be blessed Kyando

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian3808 2 роки тому

    Roho ya umauti unitoke ndani ya kwa jina la Yesu

  • @paulmwangi294
    @paulmwangi294 Рік тому +1

    Amen mtumishi wa mungu.

  • @jacintasyombua7512
    @jacintasyombua7512 2 роки тому +2

    Amen Amen barikiwa sana man of God 🙏🙏

  • @MagdalenaMsoma-us8qv
    @MagdalenaMsoma-us8qv 4 місяці тому

    Ameen Pastor

  • @user-uv6nx5mx1l
    @user-uv6nx5mx1l 11 місяців тому

    Ee mungu wangu isimamie famiria yangu itoke kwenye umasikin

  • @amosnzumbi-mu6vv
    @amosnzumbi-mu6vv Рік тому

    Nakumbali Sanaa zaidi ya sanaaaa!!!!!!mtumishi

  • @shemmunene4675
    @shemmunene4675 2 роки тому +3

    Amen Amen 🙏🙏

    • @angelambondelo2836
      @angelambondelo2836 Рік тому

      Nakataa umaskini mim na family yangu natoka kwa jina la yeau

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +1

    Amen amen amen

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 2 роки тому

    Asante nashukuru Kwa mafundisho yako pastor sanbela

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Рік тому

    Asante Mungu

  • @peteroyando1627
    @peteroyando1627 2 роки тому +1

    Iam being blessed.

  • @EmaOliva
    @EmaOliva Рік тому

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @lavendanekesa5404
    @lavendanekesa5404 2 роки тому +1

    Amen mchungaji😭🙏🏾

  • @benignanindi7492
    @benignanindi7492 2 роки тому +1

    Ameeen Yesu niponye

  • @agnethahaule508
    @agnethahaule508 2 роки тому

    Pasto mafundisho yanagusa maisha yangu kabisa

  • @malangoyaushindideliveranc969

    AMINA mtumishi wa mungu

  • @zachariashurura7226
    @zachariashurura7226 2 роки тому

    Nakuelewa vizuri sana mtumishi , ila Kuna jambo la kufanya hapa....ì

  • @emmymtambo5974
    @emmymtambo5974 6 місяців тому

    Yesu fanya jambo

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 2 роки тому

    Amen and Amen Pastol ,ujumbe unabarikiii sanaa

  • @edgerperes5950
    @edgerperes5950 2 роки тому

    Hasee mafundisho mazuri Sana haya

  • @moseschungu4002
    @moseschungu4002 2 роки тому

    nimepend mafundisho yak nataman nije kanisan kwak sik moj kyando mwenzang

  • @daviddulle8291
    @daviddulle8291 11 місяців тому

    Nakataa roho ya umaskini maishan mwanguu

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 2 роки тому

    Roho ya umaskini initoke in Jesus Name

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    Hallelujah hallelujah

  • @hugoncosmasmallya4661
    @hugoncosmasmallya4661 2 роки тому

    Hugoni kutoka tanga... Barikiwa Mtumishi

  • @jeniphambinda2888
    @jeniphambinda2888 2 роки тому

    Amina Mungu atusaidie Sana.

  • @rahelyusufu3661
    @rahelyusufu3661 2 роки тому

    Ndio mchungaji nakuelewa sana nipo simiyu naitwa Rachal

  • @victorvicent6036
    @victorvicent6036 Рік тому

    God bless you pastor

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 2 роки тому

    pastor karibu sana na Mbeya pia

  • @juliuskaliunga2879
    @juliuskaliunga2879 8 місяців тому

    Nikweli man of God

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 2 роки тому

    Ubarikiwe Mtumishi.

  • @victoriasezi2469
    @victoriasezi2469 Рік тому

    Amen 🙏🙏🙏

  • @silvatondayizeyendayizeye7874
    @silvatondayizeyendayizeye7874 2 роки тому

    Nakata logo ya umasikini katika jina la Yesu

  • @gemakaremela489
    @gemakaremela489 2 роки тому

    Ameen

  • @venanceolomi7858
    @venanceolomi7858 2 роки тому

    Najifunza Sana hakika napata nguvu

  • @user-uv6nx5mx1l
    @user-uv6nx5mx1l 11 місяців тому

    Nakataa rohoya umasikin

  • @El9a
    @El9a 6 місяців тому

    Huo mfano wa Mtumishi ambaye anafuatiliwa na roho ya umaskini umenitafakarisha sana 12:50

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa441 2 роки тому

    Ni kweli mtumishi

  • @catherinekiondo955
    @catherinekiondo955 6 місяців тому

    Pasta naomba uniombee familia yetu tuweze kuolewa na kuowa tufike madhabahuni.

  • @husnakibwana1859
    @husnakibwana1859 2 роки тому +1

    Amen 🙏😭

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 2 роки тому +1

    GOD BLESS YOU TEACHERS

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 роки тому

    Wadada wa Tanzanian wanapendeza mno. Nywele zimeshukwa poa na wako smart. Mumebarikiwa

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 2 роки тому +1

    Dah 😪😪Mungu Tusaidie hakikaa

  • @user-vf3ql5og8g
    @user-vf3ql5og8g Рік тому

    🙏🙏🙏

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 роки тому

    Be blessed man of God

  • @aminakabuka8700
    @aminakabuka8700 Рік тому

    Sijakata tamaa ila nimechoka sijui nn nifanyie YESU nisaidie wewe pekee unanijua nakujua maitaji yangu vyema sistaili ila nisaidie mwanao

  • @benjaminmutuku-vq2ur
    @benjaminmutuku-vq2ur Рік тому

    So touching

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    🙌

  • @petermwawa5769
    @petermwawa5769 Рік тому

    WAKATI SAHIHI KABISA NILIKUWA NAJIULIZA SANA MAISHA YANGU YATAKUWAJE

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Рік тому

    Ukisikiliza kwa makini machozi 😭 lazima yakutoke 😭

  • @enoceruganga5435
    @enoceruganga5435 2 роки тому

    Pastor nina kaka yangu amefungwa na roho hiyo kabisa naomba musaada plz

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    ❣️

  • @DoriceDeus
    @DoriceDeus 6 днів тому

    Kanisan ni wapi na ratiba za ibada zikoje

  • @user-iq4oy6uz6y
    @user-iq4oy6uz6y 6 місяців тому

    Naomba location ya kanisa lenu

  • @user-hy9hh1zg4y
    @user-hy9hh1zg4y 3 місяці тому

    Naomba namba za huyu mtumishi...

  • @AdventinaNdyanabo
    @AdventinaNdyanabo 4 місяці тому

    Kanisa liko wapi?

  • @erickkisindja2670
    @erickkisindja2670 2 роки тому

    Je mwalimu na pastor unaposoma,ufunuo:2:8:11,unajifunza nini?mafunzo mengine aitusaidii kitu

  • @pascaledward295
    @pascaledward295 2 роки тому

    Kyando nahitaji mawasiliano yako

  • @mankarichard5851
    @mankarichard5851 2 роки тому

    Naomba kujua kanisani kwake naomba mtu yeyote anielekeze plz

    • @pastorsunbellakyando
      @pastorsunbellakyando  2 роки тому +1

      Kanisa lipo sinza mori mkabala na ofisini za Tamwa au karibu na bar ya lachaz, tumia namba hii kwa kutuma ujumbe whatsup kwa msaada zaidi 0657173322

    • @mankarichard5851
      @mankarichard5851 2 роки тому

      @@pastorsunbellakyando Nashukuru sana sana

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 роки тому +3

    Amen

  • @oliversebastian3808
    @oliversebastian3808 2 роки тому

    Amen Amen

  • @veronicaromwald8311
    @veronicaromwald8311 Рік тому

    🙏🙏

  • @geoffreysimiyu7386
    @geoffreysimiyu7386 10 місяців тому

    Amen

  • @elizabethmwachiti7987
    @elizabethmwachiti7987 2 роки тому

    Amen

  • @yohanamayegi5861
    @yohanamayegi5861 2 роки тому

    Amina