Jamani mnatushtuwa cc wengine mioyo imechoka kwa mitihani ya dunia,, MUNGU AWAREHEMU MAITI ZETU NA WAISLAMU WOTE...NA CC TULIOKO HAI MUNGU ATUPE AFYA NA AFUWA NA UMRI WENYE TWAÀ NA HUSNIL KHAATIMA WAQT WAKUFA KWETU...AAMIIIN AAMIIIN...
Uongo kwenye vichwa vya habari ni mambo ya wasanii hayo kutafuta wafuasi wapate tuzo youtube sasa na huku kwenye mambo ya Dini pia watu sasa hivi wanaharibu Sana ibada zao watatoka patupu kwa sifa
Habari tumeiona ila dhambi ya uongo wa ulichokiandika ktk kichwa cha habari unayo . Na kama hukubadilisha basi dhambi hii unayo kwa kila uliemvuta kwa njia ya uongo kufungua video hii
Someone with their right sense is saying "alikuwa dariiqa". What is this nonsense called dariiqa??? Mfuate mtume s.a.w sio vikundi na mabid'a Cha kila aina
@@uthmaanally418 shirki kubwa ni ile mliomgawa Mungu sehemu Tatu kwa Kusingizia ni tawheed ambapo hakufunza Mtume saw wala maswahaba wake. Mumeipata katika sunna gani tawheed 3?. NYIE mnakalia Mavi halafu hamuyaoni mnawaambia wenzenu wasikalie mavi😂. Kweli nyie majuha. Nani alosema kuwa picha ni shirki? Lete dalili na hoja na uache upumbavu wa kutoa hukumu za uongo
@@hilalkhalfan1452 Kama Mungu Wako Anaitwa Tawheed Basi Kagawanywa Mafungu matatu... Kama Sio Hivyo Basi Endelea Kubaki Na Ujinga Wako Ulioupokea Kwenye Kitabu Cha Mashia Kilichochapishwa Na Al Itra Foundation Dar Es Salaam Na Kusambazwa Na Wao Na Watu Wasiojielewa Na Mfano wako Kuchukulia Ndio Hoja.
@@uthmaanally418 Masufi Wana Maajabu Sana Wallah. Ila Alhamdulillah Kikubwa Elimu Ndio Dawa ya Ujinga Kwa Watu Hawa Hasa Wale ‘Awaamul Muslimiyn Wanaowala Pesa Zao.
@@muddymtoro3929 anajielewa huyu fauz jibaba ni kweli anachokisema masufi wanaabudu makaburi na kuwafanya masharifu ni watu wasio na makosa na kuwaomba na hili ni shirk shirk Allah atukinge na watu hawa
Sufi ni watu wa twariqa ni watu wa dhirk za kukohoa pia watu wanaowatukuza masharif pia sufi watu wanaoadhimisha maulid pia ni watu wanao omba dua zao na kutaka msaada kwa watu waliokufa ila si watu wote ni watu wao maalum wanaowaita masharifu hao ndo masufi sijui na ww umo ktk twariqa hii ya kisufii pia wanasifa nyingi zaidi ya hizo hao masufi kiufupi masufi ni watu walioikataa njia ya mtume na masahaba zake wakajizulia njia zao za bidaa ktk dini hii hao ndo masufi uliokuwa unataka uambiwe ✍️✍️ wallahulmustaan
MaashaaAllah. Allah amng'arishiye kaburi lake Sayyid...
Mashaallah Allah amjaliye umri mrefu ya kuukuza jina lake Allah s.w na pia wote wengine wanao fanya hiyo kazi
MaashaAllah Allah awakutanishe tena na sie pia twaomba tupate zao mabwana wakubwa Kama Hawa🙏🙏🙏🙏
allahu akbaru mungu awahidi maana mmepotea wazi wazi
MashaAllah mapenzi ya hali yajuu Allah awahifadhi walimu wety na awarahamu maiti wety wrote kwa jumla allahumma ameen yaarab
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html guza
Mashaallah nimefurahi sana hayo mapenzi ya kuwaenzi wanazuoni wetu . Sheikh Khatim m mungu akuweke
ua-cam.com/video/4Ir9IA1dxOc/v-deo.html
Mashaallah! Allah atuzidishie mahaba na Mashekh wetu
ua-cam.com/video/4Ir9IA1dxOc/v-deo.html
Masha Allah masha Allah shekh ana thamani kweli na huko ndo kumtukuza
Masharifu ukwaju
Jamani mnatushtuwa cc wengine mioyo imechoka kwa mitihani ya dunia,, MUNGU AWAREHEMU MAITI ZETU NA WAISLAMU WOTE...NA CC TULIOKO HAI MUNGU ATUPE AFYA NA AFUWA NA UMRI WENYE TWAÀ NA HUSNIL KHAATIMA WAQT WAKUFA KWETU...AAMIIIN AAMIIIN...
Amin
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html
MashaAllah MashaAllah
Nimeshtuka ma Shaa Allah sheikh
Masha Allah
Allah atuongoze kwa namna tunavo ichukulia dini kama bongo fleva
Wanaojiita mashekh wanataka kutred kama wasani
Ah nawe usianze tn
Kwahiyo kubandika picha ukutani yafaa? Hamuwezi kufata Sunnah za Mtume, munaenda kinyume na Mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم.
Maa Shaa Allah 😧
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html guza link ukhty
Wallaah hii ndio sababu ya shirki kuingia duniani
dah ndo hapo ndugu watu waona mambo haya sahali sana
Mashaallah Allah awazidishie kupendana Kwa ajili ya Allah
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html
Sasa sauti ya kivoto niyanini
Mashallh na mimi ni hatimi
Mbona kichwa cha Habari hakiendani na Habari yenyew
Bwanaweee
Hizo zumari sio katika uislamu
Kichwa chahabar kimenishtua
Huu ndio uongo na ujinga wa baadhi ya warusha khabari
Allah atujaalie mapenzi ya kweli katika nyoyo zetu
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html guza
Nampenda Sana badawi na
hatmi
Mashaallah
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html guzaa link
jamani dini yetu imetuharamisha kubandika mapicha ukutani waislamu tumcheni mwenyezimungu
Sisi wengine presha zetu zipo juu kwa iyo munapo andika vichwa vya habari musitumie maneno yenye kustusha kwa hicho mulichoandika
Nimeshtuka kichwa cha khabari mwenzenu
Uongo kwenye vichwa vya habari ni mambo ya wasanii hayo kutafuta wafuasi wapate tuzo youtube sasa na huku kwenye mambo ya Dini pia watu sasa hivi wanaharibu Sana ibada zao watatoka patupu kwa sifa
Unwani inapotosha na si katika sifa za kiislamu mtu kuwapotosha watu Kwa niya yoyote ile,hata kama ni views tunatafuta jamani.
Mambo ya upuzi tuu
Hahaaaa Hebu ianze tena hiii videos utagundua hili Sufi lilitaka kubusu mkono wa Maalim apo lkini hlikupta limepokonywa mkono. Hahaaa
Nyinyi mnajua maana ya Usufi? Mnajua ni nani Sufi?
Habari tumeiona ila dhambi ya uongo wa ulichokiandika ktk kichwa cha habari unayo . Na kama hukubadilisha basi dhambi hii unayo kwa kila uliemvuta kwa njia ya uongo kufungua video hii
Twarika twarika itaendelea
Masufi ni watu wengine mujuwe sio watu wa kuchezea
Nahitaj kaswida inayoimbwa nyuma ya video
Tembelea Kule kumbea pole na sio sababu ya shariff mwenye acha aga.
Mcheni Allah! munabandika mapicha katika kuta za nyumba hivi hamjui kama jambo hili limekatazwa
Hakika kharam kabisaa
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html
Kwahio picha haifai lakini muko youtube munatizama videos.🤣🤣
Wee pia unaetizama video na mapicha fec hayafai
Kam hazifai nyie mbona mnamapicha kwny sim zenu na mnaangalia youtube na kupost...mnafanya din ionekane ngumu mpk wasiokuwa waislam wanakimbia
Hio ndio raha ya sufi🙏
Sufi ni watu dhikri yan dhikri tusema maka kukohowa vile ndio sufi wanao umiz vifua
Sufi ni watu wale wanao umiza zijua vyao kwa kukorota saut zao na kucheza hao ndio sufi wanaitwa ahlu sufi wenyewao wanaita dhikri wanaimba na kucheza
@@talhamohamed5606 kwaio kinacho kuuma nini?
@@talhamohamed5606 Alhamdulillah asante mm nilikuwa sijui nini maana ya Sufi na ni ipi maana ya salafi maana nasikiaga tu
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html guza tu link
Someone with their right sense is saying "alikuwa dariiqa". What is this nonsense called dariiqa??? Mfuate mtume s.a.w sio vikundi na mabid'a Cha kila aina
Masufi watabaki kuwa masufi tu Allah awaongeze watu hawa waache usufi wafuate sunna
امين يرب العالمين
Aso Sufi pepo hana
Mtume Swala Llahu Alayhi Wasalim amesema hawaingi malaika wa rehma ndani ya nyumba iliowekwa picha.
Kama malaika hawaingii nyumba yenye picha bc jaribu uone kama malakul maut hatokuja kukutowa roho
Album lako zunguka nalo kila mahali kisha ndio utajuwa vzr 😂😂😂
@@hussainahmad7833 hhhhhhhhhh......what a reply?
@@hussainahmad7833 😂😂😂😂
@@hussainahmad7833 😜😜😂😂Hatar sana
ipo fursa na watu wengine kuwa nayo hio picha???
Ndugu yangu fanya juhudi usome dini yako unaitaka picha ikusaidie nn huelewi hayo mambo ya picha ndo mwanzo wa shirki.....
@@uthmaanally418 shirki kubwa ni ile mliomgawa Mungu sehemu Tatu kwa Kusingizia ni tawheed ambapo hakufunza Mtume saw wala maswahaba wake. Mumeipata katika sunna gani tawheed 3?. NYIE mnakalia Mavi halafu hamuyaoni mnawaambia wenzenu wasikalie mavi😂. Kweli nyie majuha. Nani alosema kuwa picha ni shirki? Lete dalili na hoja na uache upumbavu wa kutoa hukumu za uongo
@@hilalkhalfan1452
Mungu Wako anaitwa Tawheed?
@@hilalkhalfan1452
Kama Mungu Wako Anaitwa Tawheed Basi Kagawanywa Mafungu matatu... Kama Sio Hivyo Basi Endelea Kubaki Na Ujinga Wako Ulioupokea Kwenye Kitabu Cha Mashia Kilichochapishwa Na Al Itra Foundation Dar Es Salaam Na Kusambazwa Na Wao Na Watu Wasiojielewa Na Mfano wako Kuchukulia Ndio Hoja.
@@uthmaanally418
Masufi Wana Maajabu Sana Wallah. Ila Alhamdulillah Kikubwa Elimu Ndio Dawa ya Ujinga Kwa Watu Hawa Hasa Wale ‘Awaamul Muslimiyn Wanaowala Pesa Zao.
Ndio yanavyo anza mwisho mtamuabudu kama mnavyo abudu makaburi ya masharifu wa mambrui
hujielewi wew mwanamke mungu akusameh!..🙏🙏🙏
@@muddymtoro3929 anajielewa huyu fauz jibaba ni kweli anachokisema masufi wanaabudu makaburi na kuwafanya masharifu ni watu wasio na makosa na kuwaomba na hili ni shirk shirk Allah atukinge na watu hawa
@@alikhamis6326 kwani maxufi ni wa2 gani..?
Sufi ni watu wa twariqa ni watu wa dhirk za kukohoa pia watu wanaowatukuza masharif pia sufi watu wanaoadhimisha maulid pia ni watu wanao omba dua zao na kutaka msaada kwa watu waliokufa ila si watu wote ni watu wao maalum wanaowaita masharifu hao ndo masufi sijui na ww umo ktk twariqa hii ya kisufii pia wanasifa nyingi zaidi ya hizo hao masufi kiufupi masufi ni watu walioikataa njia ya mtume na masahaba zake wakajizulia njia zao za bidaa ktk dini hii hao ndo masufi uliokuwa unataka uambiwe ✍️✍️ wallahulmustaan
@@alikhamis6326 mbon huwa wanaomba dua kutoka kwa mungu xio kwa masharif ndug ang..
Masha Allah ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html
☝️☝️ Ndio kheir sote
Masha Allah
ua-cam.com/video/AaW2ZgcVrRA/v-deo.html