Maashallah sheikh allah akuzidishie na umri wenye afya tuzidi kunufaika. Allah allah ummati muhammad huyu sheikh hapa lengo la kufanya hivi ni kutuelimisha sisi ili tutoke kwenye mashaka na kuhemewa lakini kwa njia ya kumjibu sheikh bachu kwa sababu njia zipo nyinhi kwahiyo kazi ninkwetu kutafuta njia ilokuwa ya sawasawa kwenda kwa allah.. Sikiliza elimu hiyoo ondoa hasadi kwenye moyo wako utanufaika saana dini haihitaji ushabiki.
@@kasimubangu1875 daaah !!. Kaka hakuna mwalimu anataka kujinasibisha na Huyo kijana kabsaa,niambie mwalimu mmoja anaweza kusema Huyo kijana ni mwanafunzi wake sidhani kwasababu ya kutotaka kujihusisha na mtu anae toa maneno machafu ,mashekhe wengi wanaweza kusema alhatimy ni mwanafunzi wao.
Maasha Allah tabaaraka Allah, Ndiomaana Mtume alituambia tuombe Aah atupe elimu na ufahamu wa tulichokisoma Kinachomtesa huyu Bachu ni ufahamu wa kile alichosoma Haelewi alichosoma, na hii ni tawfiq ya Allah, humpa amtakaye Tunamuomba Allah atuepushe na uzito wa kufahamu kwa kile tulichosoma
Wewe ndugu yangu unaonekana si muelewa alisema malaika wote narejea malaika wote kwenye majibu yake anaongelea mengine hata hajaligusia tena hilo jee unaonaje hapo ? Au na wewe ndugu yangu unamapenzi na mtu ?Si kutaka kufuatilia hoja?Kiukweli kabisa hajajibu dhaidi ni kujidhalilisha tu kwa wenye kutumia akili na tafakuri wasalam
@@maulidimuhammed7851 Kama kweli kasema neno *MALAIKA WOTE* kama unavyodai, basi pia hilo sio tatizo, hiyo ni katika matumizi ya lugha tu. Aliposema malaika wote alikusudia malaika wote wanaohusika na masuala ya utolewaji roho na kuisafirisha kuipeleka mahala pake ima ILLIYYIINA AU SIJJIIINA Namna hii ya kutumia neno *WOTE* hata Allah amesema hivyo ndani ya Qur'an Rejea Surat Sajda aya nambari 13 Allah anasema *NA LAU TUNGELITAKA TUNGEWAPA KILA MMOJA UONGOFU WAKE, LAKINI IMESHAKWISHA KAULI YANGU KUWA KWA YAKINI NITAWAJAZA JAHANNAMU WOTE HAWA, MAJINI NA WATU* Sasa hapo Allah kasema atawajaza Motoni majini na watu wote. JE NI KWELI WATU WOTE NA MAJINI WOTE WATAJAZWA MOTONI?
Subhana Allah ewe kijana wa bachu chunga ndimi zako ...soma dini vizuri kabla mauti yako.... Allah akusemee Sana na kauli zako....hujui kitu acha ubishi .....elewa mfano mdogo huo mtu mumiin tu anapelekwa na malaika ....upo sheik bachu..
Masha Allah ahsant alhabib alhatimy naam darsa limeeleweka kama atakuwa hajafahamu itakuwa matatizo yake binafsi. Ikiwa swahaba wa mtume Muhammad صل الله عليه وسلم kafa katika jihad kaoshwa na malaika Una stajaabu habibu rrahman roho yake kugombania na malaika.
@@rommyshabby3959 حَنْظَلَةُ بْنُ أَبِي عَامِرٍ (المتوفي سنة 3 هـ) صحابي من الأنصار من بني ضبيعة من الأوس، أسلم، وخرج إلى غزوة أحد بعد أن سمع النفير وهو جُنُب، فقُتل يومها، قتلهُ شداد بن الأسود الليثي وأبو سفيان بن حرب اشتركا فيهِ. وقال النبي محمد أن الملائكة غسّلته، فسُمّي غِسِّيل الملائكة
Uislamu ni kusoma naamini aliesoma hawezi kubishana Bali atajenga hoja. Haya nakupa na nyingine kuna watu wakifa mbingu zinamlilia Una sema je ni kweli au hakuna hadithi
Hapa hii hadithi haihusiani na jawabu la swali lililotolewa na hii hadithi haina shaka tatizo lilikuwa la kusema walikuwa wakisema nipe mimi nipe mimi ndivyo nimeelewa na masuala ya hadithi hayatakiwi kubuni au kutia kiasi chumvi. Na kila.mtu anajua daraja ya mtume na kudai kuwa.mtu anamdhaarau mtume S.A.W kwa kuwa eti hasomi maulidi au hasemi ila kile kilicho wazi katika hadithi bila.kuzidisha wala kupunguza. hapa bado suala la kungangania roho halipo katika kumvunjia mtume S.A.W maana manaswara walisema.wanamuongelea Isa wakavuka mipaka wakajikuta wanamvunjia heshima wakidhani ndio wanamuheshimu
@@mohammedmkoma9288 ukosaji wa hoja hultatusi na tusi ni dalili ya kuwa mtu hana nguvu ya kielimu. Jahili jibu zake huwa matusi kwa kuwa hana elimu. Toa dalili wacha matusi kama wewe ni mtu wa elimu ikiwa jaahili tafuta watu wa kutukanana nao. Tupe dalili juu ya hiyo maulidi na hayo unayoyatetea kwa dalil za Quran na sunna na kama hujui huwezi kaa kimya kasome au ukatukanane mitaani na watu wa saiz yako huko usiingilie dini maana huna.kitu kichwani bali matusi mara mbwa koko mara uchafu uliopo.kichwani mwako badala ya elimu
Sheikh umemjibu kifaswaha huyu kijana mwenzetu..ambapo ntasema ameteleza kidogo ki elmu .. walakin angemtafuta sheikh alhatimy wakajaribu kusuluhisha ki ubinadamu si Kwa kupigizana na kupingana mitandaoni...Allah atunusuru Ummaty Mohammad!
Swali zuri Sheikh.sasa kwetu sisi tunge baki na dhana hiyo hiyo nzuri kuwa Mtume Rehema na Amani zimshukie.kwake ni zaidi lakini tusiongezee kwa kusema moja kwa moja.kwamba kwamtume ilikuwa kadha wakadha.
Lakini haja mchamba huyu amechukua njia nzuri yakuelekeza na kufafanua ila mtoto wa bachu ndie alie namakosa. Nakumuita mtu muongo sio vizuri hata katika dini
Mm ni mwana twariqa nasoma maulidi na nitasoma maulidi hadi nife hadithi ipo al hatimy ameitoa kama hamkufahamu ni nyinyi akili zenu ni changa kuelewa kitu haraka kwahio ndugu yangu kabige goti usome vzr
إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم
Mimi sina elimu lakini ni Muislamu najielewa. Lakini sheikh Bachu pamoja na elimu yako uliyojaaliwa lakini huna busara kabisa na jazba imekutawala. Jazba ya kisheitwan ukiongea kwa namna hiyo utaketa mifarakano katika uislamu maana utawagawa. Elimu ni pana na elimu mnayotoa ni kusudi la sisi tulionyuma uenu kuipokee na kuoamini. Mkianza kutukanana siye tutaanza kugawana na kufata upande mmoja. Sie ni maamuma na nyie ni viongozi wetu, tafuteni maneno mazuri ya kukosoana ili msitugawanye. Nyote tunawapenda maana mnayulisha kiti kitamu ambacho utamu wake haushi hasi peponi. Allah atufikishe. Jazba Lugha uliyotumia mwanangu ni kali sana. Unafata nyayo za baba yako badala ya kuelimisha tu matusi juu. Muongo ni matusi makubwa sana. Kama unapata mtu mwenye kujua neno muongo likitafsiriwa kisheria unalokosa la kujibu ama kuomba rdhi kama utakuwa na akili ya kupambanua jna malezi bora uliyoleleqa na wazazi na walimu wako. Punguza jazba tupe elimu tukukubali.
Shehe alhatimy umeeleza vizuli na umenifuraisha sana amekuita muongo lakin ww haukuwq na jazba wala ujamtukana shehe kwa jambo ilo tu inaonesha dhahir una imani ya ali juu .mungu akuongoze na akujaalie elim zaidi na busara zaidi ya iyo
نسأل الله العافية والسلامة، Nilikuwa nikimdhania kheri huyu alhatimy kumbe ni msanii namna hii, Allah amuongoze,ila sikutarajia kama anaweza kucheza na akili za wafuasi wake kiasi hiki,cha ajabu zaidi ni kuona watu wanatetea huu usanii katika dini ya Allah anaoufanya alhatimy,muogopeni Allah jamani,huko kuna moto,musifikirie tu kufurahisha nafsi zenu kwenye kubishana.
Sheikh zimenukuliwa hadith hapo Afalaa tafakkarun? Leta TAFAKARI basi MUUMINI wa kawaida Yule wa kweli Malaika hupokea ROHO yake na kuisindikiza mpaka mbingu ya saba VIPI ROHO ZA mitume?? Tusishabikie tutafakari
@@haridyhillaryndembo1946 Wapi Hadithi imesema roho za waumini wa "kawaida"??? Unauliza "Vipi roho za Mitume? Nakujibu " Vipi kwenye nini? Kwani Hadithi aliyoisoma alhaatimy umesikia Hadithi hiyo imezungumzia chochote kuhusu roho za Mitume? Mimi nimemsikiza kwenye hiyo Hadithi na vile vile nimeisoma ilichozungumzia ni roho za Mtu Muumini kwa ujumla bila ya kukhusisha, sasa wewe unaemtetea leta TAKHSWISI ya Maneno ya Mtume إن كنتم صادقين
Kwa hapo usijali! Wakati Bachu zanzibar alipo sema akitokea mtu anaeweza kushindana nae kuhusu maulid kiganja chake ni halali yake, punde tu akajitokeza Sheikh Yusuf diwani. Naona bachu kakimbia. Kaenda kutafuta mengine. Ngoja asuuzwe kama mwenzake kishki. Bachu Hana elimu hata kidogo isipokuwa ni mropokwaji. Elimu yake ipo mitandaoni
@@nassirmohd2851 akhi kukosea kuandika hai maanishi mtu hajui Kwanza jifunze hicho kitu mfano wewe hapo tayari uko na makosa ya kiuandishi katika maandishi maneno yako ulio andika hapo 👈👉kwaiyo tukiende hivyo kwa kukosea kuandika mtu unampa Jina au una mkejri au kumtusi dharau hatuto fika kwaiyo chunga maneno yako Sana ndugu ✍️
Watu wa bidaa mashaikh wao ukiwaona tu unajua hapa hamna kitu. Sasa huyu utamkuta anajifanya anampenda mtume sanaaa halafu ndevu hafugi amenyoa kama wahuni mnyoo wa 'O'. Watu wa bidaa mtihani sana 😊😊
Me naona haina haja ya kugombana zaidi nyinyi mashekhe kwa ajil ya vitabu vya Allah sabbu nyinyi nivioo vya jamii,na shekhe kwanza kabla hajasema neno awe na uhakika nahilo jambo,ama anapomkosoa mwenzake amfuate pekee ukamulize nasio ktk mitandao munatufundisha vibaya,na ukimkosoa mwenzako usiseme kwa maneno makali sio hekma nzur.
Alhaatimy anajaribu kujitoa kwenye Madai ya Uongo kwa mbinu chafu na watu wasio na maarifa wanaona kana kwamba amemjibu Muhammad Bachu kwa Majibu ya sawa kumbe hamna kitu Iko hivi alhaatimy amedai malaika walijipanga "kila mmoja aking'angania Roho" ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam Hadithi aliyo itoa haisemi "kila mmoja anang'ang'ania Roho ya Mtume" Hadithi inasema hukusanyika malaika na mwenye jukumu la kutoa Roho ni malakul mauti pekee. Wapi Dalili ya kugombania Roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam? Dalili toka Qur'an na Sunna zinatuonesha Roho za Viumbe hutolewa na malaika wa Kifo akishirikiana na malaika wengine waliopewa jukumu la kutoa roho za viumbe tu, na wengine husindikiza tu na hawana jukumu la kugombania roho. Haya ndio Mafundisho na Hadithi alio inukuu inasema hivyo kwambamalaikawakifo huja na kuichukua, kwa hiyo alhaatimy kusema "kila mmoja wanang'ang'ania" hili halipo na ndicho anacho kisema Muhammad Bachu kuwa huu ni Uongo.
Sasa Muhammed bachu yeye amejuaje kama icho kitu halipo? Yeye alikuwepo wakati Mtume anatolewa Roho mpaka kumwita mwenzake muongo? Hiyo ni fimbo ya kwanza nyengine zinakuja.
unajua unach sema ww mbn hueleweki iy hadithi ushaisom na sherhe yak ww mpumbav au mjing kwel km uy bach anajua angalichemka ذهب mas dari mimi ذهاب vichekesh t naakavue dagaa huk
@@makamekhalfan5968 kama sieleweki kwako basi acha walioelewa watajibu! Kwani lazima uandike kwenye comment yangu? Pili kama mimi ni mpumbavu una comment nini ?
AL KAMAALU LILLAAH ... Mkamilifu ni ALLAH pekee ... Hili jambo Kila mtu ataliona mtazamo wake lakini shida ipo sehemu ndogo sana , aliyezungumza mwanzo aliongea Kwa kumwaga sifa Kwa mtume s.a.w kwamba mapokezi yake hayawezi yakawa kawaida kwasababu yeye ni HABIBULLAH (KIPENZI CHA ALLAH ) Nia yake ilikua ni njema ... Majibu ya Kijana ya kumkosoa yalikua ni SAWA ya kwamba iweje anaetupa khabari za ghaib amekufa na hizi khabari zimejulikana wapi mpaka ukanogesha alikua sahihi ila majibu yake yalikua makali kidogo ... Lakini mwisho wa siku wote wamekosea kukosoana Kwa majawabu yaliyopitiliza ...
@@hawrajehan2398 Hii dini haitegemei akili tu maana inatakiwa ianze dalili Kisha akili kwa ajili ya upambanuzi na akili yenyewe isiwe ni yenye kuharibu makusudio kwa kupunguza Wala kuongeza chochote( Tahwiil)
wew sheikh muongo na mche allah sheikh bachu alichosema ni kungangania roho ya mtume, ishu sio kuja kwa malaika nilazima waje kwa mbora wa viumbe wacha kumchafua sheikh bachu
Me nadhan ichi wanachokifanya mashekh wetu c kitu sahih, ukiangalia dini nyngn wanaotumia kila njia kutangaza dini Yao na sio km mashekh wetu kukaa wakakosoana mitandaoni, tukikaa tukaangalia mamb haya dini haitofika mbal, yapo mamb ya msingi like muslims wenzet wanateswa uko nchi zao lakin wamekaa kmy kuongelea hili, muslims wa nchi nyngn maashaaALLAH wanafight kuitangaza dini ya ALLAH lkn awa wetu baadh yao cjui kwnn😢
Na sasa hivi mashekh ndio wanaogombana Kila ukiangalia ,mi nahisi Kila mmoja aseme anachokijua sio kubishana alichokisema mwenzio,pia Kuna kauli zitumike nzur hata kama mtu kakosea,maana Kila binaadam anamapungufu yake
@@abdulabdulathumani5992 hana nidhamu ya kuzungumza Kila kitu anasema kama mlevi,kama hakusoma kiswahili,ukifatilia mawaidha yake kama kavuta bangi kama Pana mtu unamuheshimu huwezi kusikiliza ,masheikh wote wanatoa mawaidha lkn Kwa lugha ya heshima yenye kusitiri matusi,lkn yeye hafichi,anaonesha mjuba Wala haambiliki,uyo mke anakoma Cha moto,awepole
Astaghafirullah usirudie kusema tena kua dini yetu haitofika mbali. Hii ni dini ya Allah (sw) Na hii dini imekamilika na Allah mwenyewe kasema ata ilinda.
Huyu kijana ndiyo mwenye matatizo, kwanini hatoi mawaidha ila kuwasema Mashekhe wenzie? Nani atakubali kudharauliwa bila ya sababu? Ndiyo maana shekhe Alhatimi anamjibu, ili jamii ijuwe mapungufu yake
Mi nadhani masheikh mvumilieni huyu kijana hajielewi, inawezekana ana elimu lakini busara yake ipo chini sana katika dini. Mungu amuongoe kwa uwezo wake
Kuna kitu kinaitwa kutawasa ila kwajinsi alivyo elezea hadith yaonye washuka kweli . Yupo sawa ukitaka kuamini sikiliza visa utaona kuna maneno wanaongeza lakin yasiyo haribu maana sasa bachu wakumtolea maneno machafu eti kijamaa muongo mkubwa na waumini Allah kasema ni wanyenyekevu kwawaumin wenzao na mtume anasema muumin niyule ambae muumin mwenzake amenusulika na ulimi wake huyo bacho kila cku anawatoa masheikh wenzake akili pasi nasabab yamsingi hasa inaweza ikawa Allah kamkasilikia kwakuwauzi kwakewaumin nakujivuna kwake
Unaposhindana na wenye elimu basi daima watakuelewa na utaishinda ila ukishindana na wajinga daima watashinda wao. Hivyo, bachu hashindiki kwa ujinga wake wa mambo ya kielimu. Mambo madogo tu yanampiga chenga seuze mengine yaliyozama kielimu. Tatizo la mawahabi wakisoma vitabu vyao vichache tu na lugha ya kiarabu wanajifanya washakuwa mamufti na kuanza kutoa fatwa. Waliobobea kwenye elimu wamezama kwa miaka kadhaa kwa masheikh hata walipoanza kutoa darsa za kielimu tumefaidika kwa kubobea kwako. Bachu na mshauri kwanza, aendelee kusoma fani zote kisha nae tumuite Imamu Bachu..........
@@babayaoyega2540 ama kwel kumbe humu wajinga wpo weng kwahyo na siku aliyozaliwa malaika waligombana na Mungu si ndio kwasbb siku alozaliwa mtume malaika wote waliteremka hpa dunian kwajinsi nuruilivyotanda kwenye mbingu na Ardhi had aarshi ya Allah ilitingishika kwa ujio wa Mtume muhammad kwann ilitingishika aarshi ya Allah kwasbb wale malaika waliokua wamebeba Aarahi ya Allah walitaman wa uwone uso wa mtume. Hem tzma sehem yengine pale Mtume alipo kwenda Mbingun Mtume ibrahim as alivyo kua akimrejesha Mtume muhammad mara kwa mara ili tu arud tena Mtume ibrahim aone ile sura ya Mtume muhammad ilivyokua na nuru ya ajabu..Achen ujinga wenu wakusoma mitandaon pia elimu zenu mulizo soma ukubwan zina wasumbua mm nahisi wote nyie munao ungana na mohd bachu kwanza mumesoma ukubwan pili nahisi nyie mulikua wakiristu mumesilimu juz kat
Sasa wewe unapiga domo tu ati asia alikuja kumzalisha mamake mtume na bibi mariam pia na maurulayn acheni kudanganya watu lete dalili ya maneno haya kwa hadithi ama quran wewe omar omar tafadhal
Mimi iyo video ya uliyosema kuwa MALAIKA walitelemka kipindi mtume MOHAMMAD anakata roho. Niliiyonaga siku nyingi na nilijiuliza mwenyewe ilikuaje ni nani aliyekuwa anahadithia wakati mtume mwenyewe ndo amekata roho nikakosa jibu ile Leo ndo nimeelewa ulivyoleta hadith
@@abdallahismael3993 si kwamba elimu yake ndogo lkn hata wakati mtume alikuwa hai jibril akimjia hakuna swahaba aliyemjua ila mtumi kawaambia yule alikuwa nami ni jibril itakuwa mtume amelala roho inatoka ndio maswahaba wataona malaika wako foleni uwongo mtupu huyu jama na masira ya uzushi
MAJIBU MAZURI TENA YA KIELIMU ONGERA SAANA SHEKH ALHATIMY HUYU MTOTO WA BACHU ALIKURUPUKA NI MBAYA SAANA KUKURUPUKA KATIKA MAMBO YA KIELIMU KWA KWELI SHEKH ALHATIMY TUNAMUOMBA ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AKUKINGE NA SHARI ZA MAADUI UNAO WAJUA NA USIO WAJUA
Mm sina ushabiki,hapo huenda ukawa sawa kwa mujibu wa hadithi uliyoitoa,lkn aliongelea na mambo ya ushirikina wa maulidi mbona hupngelei tena, inamana ni kweli Kuna ushirikina kwenye maulidi na hapo Muhammad bachu yupo right 100%
Usiseme hivi waachie wenyewe wenye elimu hapo kuna kitu cha kielimu wanapishana kuhs khabar inayohusika kwa wakati uliopo au ubashiri aloutoa mtume s.a.s kwa waja wema
M/Mungu atupe umoja siye waislam kwa tulipofika kujibishana ktk mitandao daahh wakristo wanatucheka kwelii wallah inaumiza kweli si kla mmoja afanye lake tuwe kitu kimoja
@@allymwinkyambi9689 nashindwa kabisa kuwaelewa, juzi tumemaliza jamaa tukiwa ktk nyiradi kijana mmoja wa upande wao kajigeuza akalala palepale kwenye safu, waumini hawakumuacha salama.
Waislamu tusomeni ndugu zangu, tutambue ya kwamba kuna dini halafu kuna masheikh. Siku hizi masheikh wetu wanatumia nguvu kubwa kukosoana na kuoneshana umwambwa katika elimu, je hilo ndio lengo la elimu katika dini? Siku hizi kila sheikh ana msikiti wake madh'hab yake. Zamani ilikuwa waweza kwenda kuswali msikiti wowote na usione tofauti zozote lakini siku hizi mambo kibao yaqni tafrani mpaka unajiuliza mimi tu ndo siendi na wakati? Kwa zama hizi ni bora ufanye ibada ndogo ambayo una maarifa nayo kuliko hivi vya kusikia sikia tu kwa hawa masheikh. Mara utasikia sheikh flani kasema hivi mara mwingine kasema vile kwenye jambo lile lile......ukiwa wa kufata fata utayumbishwa mpaka mwisho wa maisha yako.
@@ghcgreenhealthcaretanzania7527 Naam, ndio maana tuhamasishane katika kusoma wenyewe maana kila anaekuja na hayo madhehebu anasema lake ndio sahihi na kuwaambia wenzake ni waongo na wataingia motoni. Ni bora usome na uone wanapotofautiana wao halafu uchanganye na zako. Allah atuzidishie elimu, aturuzuku ufahamu na hekima. Aamiin.
Maneno safi kabisa, inapaswa mtu aujifunze Dini yake lkn kuto kwa mashekhe wa uhakika ambao wanafuata Sunna za mtume na mafundisjo ya mtume, sio kila anaye juwa kusoma kidogo na mavazi ya kishekhe anakuwa shekhe wa kuaminika, wengine wanapenda yale mavazi na kila mtu akitaka atavaa. Muhimu Elimu ya Dini ya kisawa sawa iliyotoka kwa Mtume (S.A.W) na Swahaba zake licha ya hapo ni mambo mengi ya kuzushwa kama hivi sasa🚫🚫 Allah atunusuru.
Sheikh Shukrani sana Tunakuelewa sana. Huyu wala Asikushuhulishe Maana Inaonekana Hayuko sawa Huyu kama Kamkosoa Mpaka baba yake tena aliyeko kaburini basi Kiakili tu. Unajua ni MTU ambaye Pengine Anamapungufu fulani na kama si mapungufu basi anatafuta Umarufu. Hivyo Sheikh waweza Kumwacha tu. Usijibizane naye maana Kunyamaza napo Nijibu kubwa sana Kuliko kumjibu akajiona kama anaongea Point kumbe Ni Utopolo tu.😡😡😡😠😠
Mche mwenyezi mungu.Unaitumia hadithi ukitetea fikra zako na imagination wakati wa sakaratil_maut ya mtume muhammad(saw).sawa basi tueleze nani kaelezea mambo haya.Tahadhari huko siko kumpenda mtume.
إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم
إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم
Muhamad bachu alikosea, tena alikosea, hata kama alikuwa na ushahid hakupaswa kutumia lugha ya kutumia, Muongo. Si jambo jema kumuita mtu mzima Muongo, khasa ukizingatia huyu ni Sheikh na Mashekh ndio warithi wa mitume. Mwenyezi mungu Atulinde waislam.
Hamumjui nyie huyu Muhammad Bachu........apo huyu kajibu kitu gani? Ameulizwa taarifa za hao malaika kazitoa wapi... ajibu izo kwa dalili km anazo aache porojo la baraza za kahawa
Ust humuwezi bachu. kwaza hukujibu hoja zake. Ww lete hadithi ya hayo maneno yko usilete fujo. Na km hukuleta jibu itakuwa ni ktk watu wa aya ya 7 سورة الحجرات بعد أعوذ بالله "يآأيها الذين ءآمنوا إن جائكم فاسق بنبإ فتبينوا........." Lkn mwisho wake bachu atakuumbuwa.
Hadithi hii inaelezea mtu mwema anapokata roho vipi roho yake itapokelewa na malaika kupepekwa mbinguni na haisemi alipokufa bwana mtume malaika walipanga swafu
Kwa hio mja mwema afanyiwe hayo na mungu lakini mtume wa Allah asifanyuwe hayo? Yaan mtume na daraja yake yote au mtume yeye s katika wema. Elimu hatuna Basi hata kufikiri tu
Hadithi hii haihusu juu kifo Cha mtume, Bali ni kwa kila mtu mwema, na sio kwa mtume pekee, faham kuwa sh. Moh'd yy amekuuliza juu ya picha uliojenga kwa nabii Muhammad
Nilicho gunduwa mimi ni elimu ndogo alio nayo bachu ana taka kujifananisha na baba yake baba yake alikuwa na elimu kubwa sasa uyu mtoto kumbe ufahamu tu mimi nime muelewa vizuri sana shekh kumbe mtume ali simulia mwenywe akiwa hai kwaiyo hapa una tembea narojik tu uko sahii
Shekhe...!!! Swali lilikuwa rahisi tu apo swali lilikuwa ivi...!!! Ni nani aliyesimulia maneno ya mtume wakati mtume mwenye kafa....!!!?? Yani huyu aliyesema roho ya mtume yang'ang'aniwa na malaika ni nani wakati mtume kafafa na malaika ni mambo ya ghaib hawaonekani ila tu kwa yule ambae kwamba tukio likk kwake...??? Wacha kuruka mada shekhe we watueleza yale mtu aliyasema wakati wa uhai wake...!!! Elewa swali kwanza ndo ujibu sio kujibu tuu ovyo ovyo...!!
Kwa hiyo kama ni mkweli alete Dalili ya kwamba malaika waliacha kazi zao walizo kalifishwa na kila mmoja akaanza kugombea roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam, na wakati hayo yakiendea Malaika wa kifo na wenzake walikuwa na jukumu gani? Walikuwa wanapambana na malaika wengine au ilikuwaje? Na je kuna wakati roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam ilishikiliwa na malaika wasio na jukumu la roho? Halafu ilipofika mwisho nani aliikabidhi panapohusika? Yote kama kuna Dalili za wazi hakuna mtu atakataa kabisa wala kubisha, lakini kama ni Mtu anajizungumzia toka kichwani mwake tu hiyo lazima iwekwe sawa ili Waislamu wachukue dini yao kwa Dalili na si kubebeshwa Uzushi wa watu wenye Maslahi yao kwa Kisingizio cha KUMPENDA MTUME , MUHAMMAD BACHU NA WENGINE WA SAMBULI YAKE WANAMPENDA SANA MTUME SWALA ALLAAH ALAYHI WASALLAM NA NDIO MAANA WANATETEA ALICHO SEMA AU KUFUNDISHA .
Mara nyingine muwe munajiongeza kidogo mawahabi heshima ya malaika jibril yatosha kuonyesha kama mtume ni nani ktk kifo chake kulikuwa na habar gani ikiwa kashindwa kufika na kutambuka alipo tambuka sayyidil bashar kwenda kuonana na allah na jibril alibaki nyuma vp roho yake ispokelewe na malaika UNAJUA UNAWEZA UKAWA NA ELIMU KUBWA LAKINI UKAKOSA UFAHAMU WA ELIMU YAKO NA NN KINAMAANISHWA
Tuwekee na ile aliojibiwa alhatimiy tayari ameshajibiwa inabidi uwe na uadilifu utupostie pande zote 2 sio upande mmoja laa sivyo hutokuwa unafanya uadilifu na utakuwa na dhimma ya kujibu Nas'aluLLAHA ssalaamah
Watu was one na mungu aruzuku ufahamu mffano mungu ktk kiarabu chake kitukufu ana sema wake watakao sema. Mungu ndio mola wetu kisha wakawa na msimamo simu ya kids kwao hushuuka malai je siku ya kufa mtume watashuka wangapi
Ushauri wangu Kwa SHEIKH Hatimiy, Ndugu yangu unaelimu na uelewa mpana Sana wengi wenye kuelew Huwa tunakuelewa Sana. Ushauri wangu Huyu Mtoto wa Bachu inaonekana amesoma ilaa Hana uelewa kabisa Kisha anaamini anachosea yeye ndo sahihi, elimu haipo ivyoo Muulize mwenzako mdiskasi kwanza kabla hujamrusha kwenye Media.
Bachu yuko vizur Hataki kuongeza wala kupunguza maneno. Alkhatmy katoa ujumla wa watu wema wakitolewa roho...hii iko sawa nimefurahi hata sheikh Mohamed Islam alitoa kama hivi kwa watu wema wakitolewa roho. Lakin clip yake ya mwanzo alinasibisha sana hiyo kana kwamba ni kwa mtume tuuu. Lakin alichoongeza Alhatimy ni MALAIKA KUGOMBANIA ROHO YA MTUME... Hii ikaleta ukakasi. Allah awajaze elimu Masheikh wetu wote..wanatumia muda mwingi kwa ajili ya waislam wenzao na wao wenyewe.
Alafu kua makini sana, hini ni dini. Muhammad Bachu hakumzungumzia Mtume Muhammad SAW kwa dharau, chunga sana mdomo wako sheikh vilemba. Usimkufurishe mwenzio kwasababu ya ushindani kutaka kuonekana una elmu. Toa hadithi hiyo ya siku ya mtume alipokua anakufa malaika wakaigombania roho yake. Mpk sasa hujatoa hadith . Unakuja kutupa hadith maarufu sana hiyo mi mwenyewe sina ilmu kubwa na ilkua naijua hiyo hadith.
Atawekewa taswira mbaya kama alivyoweka .. na hapo kafundishwa Elimu pamoja na Ubachu wake .. kama ni Muumin atakaa na kusoma .. kama ndonili mradi tena .. basi ATAZUSHA JENGINE.. SUALA LA MALAIKA LIMETHIBITI KWA KAULI YA MTUME S.A.W . LAKINI HILI BACHU HALIJUI.. HAKULISOMA . AKAMWITA MWENZIE MUONGO . SASA TUNAPATA PICHA ELIMU YA BACHU NI NDOGO . NA BADALA YA KUPINGA . BORA ANGEULIZA HUU NDIO UISLAM . TUUJUAO . HAYO MENGINE NI KUTAKA SIFA KUWA UNAJUA SASA UNAKUTANA NA MJUZI .. NDO HIVYO SOMA SASA .. AU AJE AKANUSHE HADITHI HIYO HAIPO
Hichi kibachu noma,kila kitu anakijua yeye tuuuu, pumba kwelii, AMEKOSA ELIMU LADAU, KUMUITAMWENGINE MUONGO MKWELI WEWE TUU, JIFUNZE TARBIA YA KUMKOSOA MTU. BADO SANA. HII NI AIBU KUJIFANYA ALIMU KUMBE UNATUMIA MAWAZO YAKO NADALA YA. DALILI. ALLAH AKUUONNGAOE
Mwajua dini yetu ya uislamu ni dini ya hakki na inatufunza tuwe hekma ssa hawa mashekh hata kama n kuwarekebsha lakn tusiongee vtu vya chuki wakati ni sisi kwa sisi kama pangekuwa na mkristo ndani yake pengne lakn mapungufu yako hakuna alie kamili mungu atuongoze sote inshaallah
HII NI ROHO YA MTU MUUMIN tu SASA JE MTUME NA NI MBORA WA VIUMBE wote..... Jamani Elimu ni Busara pia....😥..... TUSIPOANGALIA HIZI RADDI MWISHO TUTAMKUFURU ALLAH.... SASA WASHINDWIJE MALAIKA KUMPOKEA MTUME SAW KWA HALI HII NANI MBORA KULIKO VIUMBE WOTE.... Subhanallah Subhanallah 😥😥
Sawa je hilo amelishuhudia nan,hadithi imesema roho za waja wema husindikizwa na malaika,sasa hao ni watu wema je mtume?sasa nani anajua kuwa roho ya mtume iligombaniwa na malaika?pengine ilipelekwa tofauti na hivyo vya waja wema wengine kutokana na ubora wake,tusipende ushabiki hadithi inasema vingine mtu anaongeza vingine.
Huyu muhamad bachu ni kweli hana adabu ,ila pia elimu ndogo,uwezo wa kifikiri pia mdogo,darja ya mtume s.a.w hainafanani na kiumbe yoyote alieumbwa na Mungu,na ndio maana baba yetu adam a.s alipokutana na mama yetu hawa kwa mara ya kwanza toka waliposhushwa ktk dunia baada ya miaka 40 ya kutafutana ,aliambiwa na Mungu asimguse hawa mpaka amsalie mtume s.a.w mara kumi ndio amguse na ndio ikawa mahari yake ya kumuoa hawa ,leo anamchukulia mtume s.a.w kirahisi tu,
Maashallah sheikh allah akuzidishie na umri wenye afya tuzidi kunufaika.
Allah allah ummati muhammad huyu sheikh hapa lengo la kufanya hivi ni kutuelimisha sisi ili tutoke kwenye mashaka na kuhemewa lakini kwa njia ya kumjibu sheikh bachu kwa sababu njia zipo nyinhi kwahiyo kazi ninkwetu kutafuta njia ilokuwa ya sawasawa kwenda kwa allah..
Sikiliza elimu hiyoo ondoa hasadi kwenye moyo wako utanufaika saana dini haihitaji ushabiki.
Asante sana kwa darsa hii muhimu.
Allah akuhifadhi Sheikh.
Ni jawabu tosha na ya kunyamazisha.
Asaa Allah atampa kijana taufiki ya kutubia.
Natumia umeelewa vipi bacho elimu yake ni ndogo ambayo pia yeye inamhangaisha.ubaya WA elimu ndogo
@@abdallahismael3993 bado mwenye elm ndogo hapo ni alkhatimy sio bachu kilillahi
@@kasimubangu1875 Haswaa
@@kasimubangu1875 daaah !!. Kaka hakuna mwalimu anataka kujinasibisha na Huyo kijana kabsaa,niambie mwalimu mmoja anaweza kusema Huyo kijana ni mwanafunzi wake sidhani kwasababu ya kutotaka kujihusisha na mtu anae toa maneno machafu ,mashekhe wengi wanaweza kusema alhatimy ni mwanafunzi wao.
@@abdallahismael3993 kinachoangaliwa siokujinasibisha tunaangalia maneno aliyo yasema bachu na khatimy akhii
Ahsante sheikhe ALHATIMY kwa ufafanuzi wako, huyu kijana wa bachu sio sheikh ni mpuuzi tu yupo, mimi ni mzanzibar namjua vizur tu huyu mshenzi sana.
Sheikh uko sahihi. Mtume Muhammad ni aula zaidi waumini wote.
Sikiliza vodeo ya meisho ya bachu na elewa kiswahili usitete upande
Maasha Allah tabaaraka Allah,
Ndiomaana Mtume alituambia tuombe Aah atupe elimu na ufahamu wa tulichokisoma
Kinachomtesa huyu Bachu ni ufahamu wa kile alichosoma
Haelewi alichosoma, na hii ni tawfiq ya Allah, humpa amtakaye
Tunamuomba Allah atuepushe na uzito wa kufahamu kwa kile tulichosoma
Wew kasome bhn maan unafanya Ishkali zako ambazo hazina mashiko
Naam kaka.
Ndugu zetu wengi waislamu suala la ufahamu linatupiga chenga
Haya ndo Majibu jaman
Wewe ndugu yangu unaonekana si muelewa alisema malaika wote narejea malaika wote kwenye majibu yake anaongelea mengine hata hajaligusia tena hilo jee unaonaje hapo ? Au na wewe ndugu yangu unamapenzi na mtu ?Si kutaka kufuatilia hoja?Kiukweli kabisa hajajibu dhaidi ni kujidhalilisha tu kwa wenye kutumia akili na tafakuri wasalam
@@maulidimuhammed7851
Kama kweli kasema neno *MALAIKA WOTE* kama unavyodai, basi pia hilo sio tatizo, hiyo ni katika matumizi ya lugha tu. Aliposema malaika wote alikusudia malaika wote wanaohusika na masuala ya utolewaji roho na kuisafirisha kuipeleka mahala pake ima ILLIYYIINA AU SIJJIIINA
Namna hii ya kutumia neno *WOTE* hata Allah amesema hivyo ndani ya Qur'an
Rejea Surat Sajda aya nambari 13 Allah anasema *NA LAU TUNGELITAKA TUNGEWAPA KILA MMOJA UONGOFU WAKE, LAKINI IMESHAKWISHA KAULI YANGU KUWA KWA YAKINI NITAWAJAZA JAHANNAMU WOTE HAWA, MAJINI NA WATU*
Sasa hapo Allah kasema atawajaza Motoni majini na watu wote. JE NI KWELI WATU WOTE NA MAJINI WOTE WATAJAZWA MOTONI?
subhanaallah ewe kijana wa mtoto wa bachu kuwa makini na ndimi zako kama tulivyoambiwa na mtume kuwa tulinde ndimi zetu
Subhana Allah ewe kijana wa bachu chunga ndimi zako ...soma dini vizuri kabla mauti yako.... Allah akusemee Sana na kauli zako....hujui kitu acha ubishi .....elewa mfano mdogo huo mtu mumiin tu anapelekwa na malaika ....upo sheik bachu..
Mwenyezi mungu msamh muhmadu bachu ameghafilika umpe ufahamu zaidi
sheikh Bacho yuko swahihi
Usitetee upande wowote wikiza hoja za wote wawili kisha chagua njia sahihi ,
Unatetea ujinga nawewe anausahihi gani kukosa adabu ndio sahihi sema bacho anatafuta kik@@أستاذإبراهیميسین
Masha Allah ahsant alhabib alhatimy naam darsa limeeleweka kama atakuwa hajafahamu itakuwa matatizo yake binafsi.
Ikiwa swahaba wa mtume Muhammad صل الله عليه وسلم kafa katika jihad kaoshwa na malaika Una stajaabu habibu rrahman roho yake kugombania na malaika.
Shahidi gani huyo aliyeoshwa
@@rommyshabby3959 حَنْظَلَةُ بْنُ أَبِي عَامِرٍ (المتوفي سنة 3 هـ) صحابي من الأنصار من بني ضبيعة من الأوس، أسلم، وخرج إلى غزوة أحد بعد أن سمع النفير وهو جُنُب، فقُتل يومها، قتلهُ شداد بن الأسود الليثي وأبو سفيان بن حرب اشتركا فيهِ. وقال النبي محمد أن الملائكة غسّلته، فسُمّي غِسِّيل الملائكة
Uislamu ni kusoma naamini aliesoma hawezi kubishana Bali atajenga hoja.
Haya nakupa na nyingine kuna watu wakifa mbingu zinamlilia Una sema je ni kweli au hakuna hadithi
Wally bwana hatmy wajikoroga sana sheikh m bachu ako sahihi
Kweli kunawatu hawampendi mtume 😢😢
Brother someni
Mashallah sheikh upo sawa kabisa!
Mwenyezimungu awasamehe kwakweli na ALLAH ndo mjuzii zaidi 🧡🧡
بارك الله فيك وجزاك الله خيرا Muhammad bachu hajajua cheo Cha MTUME iyo Hadith yataka ufahamu nauezi fahamu Kama ujui daraja ya MTUME
Bacho Yuko sahh laknihuyubwana kaongea mengine hiyodthi mtumekaisema akiwamekufa au alifufuka akaongea au ilikuwkuwaje
Mfundishe kijana huyo Al Alamaa,,Swaluu Alaa Nabii...❤
jazallah khaira shekhe alhatim hajui ktu huyo
Hapa hii hadithi haihusiani na jawabu la swali lililotolewa na hii hadithi haina shaka tatizo lilikuwa la kusema walikuwa wakisema nipe mimi nipe mimi ndivyo nimeelewa na masuala ya hadithi hayatakiwi kubuni au kutia kiasi chumvi. Na kila.mtu anajua daraja ya mtume na kudai kuwa.mtu anamdhaarau mtume S.A.W kwa kuwa eti hasomi maulidi au hasemi ila kile kilicho wazi katika hadithi bila.kuzidisha wala kupunguza. hapa bado suala la kungangania roho halipo katika kumvunjia mtume S.A.W maana manaswara walisema.wanamuongelea Isa wakavuka mipaka wakajikuta wanamvunjia heshima wakidhani ndio wanamuheshimu
Miwahabi hamna tofaouti na mijibwa koko
@@mohammedmkoma9288 ukosaji wa hoja hultatusi na tusi ni dalili ya kuwa mtu hana nguvu ya kielimu. Jahili jibu zake huwa matusi kwa kuwa hana elimu. Toa dalili wacha matusi kama wewe ni mtu wa elimu ikiwa jaahili tafuta watu wa kutukanana nao. Tupe dalili juu ya hiyo maulidi na hayo unayoyatetea kwa dalil za Quran na sunna na kama hujui huwezi kaa kimya kasome au ukatukanane mitaani na watu wa saiz yako huko usiingilie dini maana huna.kitu kichwani bali matusi mara mbwa koko mara uchafu uliopo.kichwani mwako badala ya elimu
Nipe mm ni maneno ya huyo mhabi wenu na chuki zake
Mtume alikua wahabi, sufi, sunni au Shia??
Madhehebu ya nn
Inauhusiana sana inahitaji akili yako ifanye kazi kuona uhusiano...
Wallaahi inasikitisha saana. Mashekhe wanang'ang'ania wapi kwenye hadith hio maneno "Malaika wanang'ang'ania roho". Tafadhali tumieni Logic su msitumie, dini yetu ni kamili, tusizidishe wala kupunguza. M/Mungu awape Masheikh wetu mioyo ya subra na kushikamana.
Allaah amrehemu sheikh Abud rogo na wenzi wake
Nenda somalia ukapigane jihadi🤣🤣🤣
Ameen thuma ameen
Aamin
Inshallah 🤲 Amin ya Rabb 🙏❤
Sheikh umemjibu kifaswaha huyu kijana mwenzetu..ambapo ntasema ameteleza kidogo ki elmu .. walakin angemtafuta sheikh alhatimy wakajaribu kusuluhisha ki ubinadamu si Kwa kupigizana na kupingana mitandaoni...Allah atunusuru Ummaty Mohammad!
Shekhe Muhammad bachu Yuko sawa ila tuu mimi ninachoweza kumsihi ni kupunguza ukali wa Maneno kidogo kwasababu sote ni binadam na elim ni Pana sana
Umesema sawa Allah akuzidishie elm
yuko sawa tena unamsih? babu vipi?
مشاءالله
الله يحفظكم سيد
Maashaallaah allaah akubariki SHEKHE alhaatimiyy
ALLAHU MMA AMYN
Aamina
Huyu mtoto was Bachu hajasoma kitabu kiitwacho" Anwaarul Muhammadiyya min mawaahibil laduniyya" Al Haatimiy yuko SAHIHI na ni mchambuzi mahiri.
Hakuna kitu huna elmu ya kutosha dogo lakuonesha unàvowatukana madààwatt Bure kabisa
Swali zuri Sheikh.sasa kwetu sisi tunge baki na dhana hiyo hiyo nzuri kuwa Mtume Rehema na Amani zimshukie.kwake ni zaidi lakini tusiongezee kwa kusema moja kwa moja.kwamba kwamtume ilikuwa kadha wakadha.
Masheikh siku hizi mukuwa mwachambana badala kukosoana kwa njia nzuri,mwatutatiza
Lakini haja mchamba huyu amechukua njia nzuri yakuelekeza na kufafanua ila mtoto wa bachu ndie alie namakosa. Nakumuita mtu muongo sio vizuri hata katika dini
Umesema kwel mwalm Wang Allah akubaarik sana
Yeye amekurekebisha vizuri. Wewe alhatimy watoka kwa madaa
Kumwita shekhe mwenzake muongo tena hadharani kwenye media ndo kumrekebisha?
@@awadhawadh5895 ndio hata yeye ndivyo alivyo alhatimy
Wacha uzuka nawe tizama vzr alafu ucoment mzuka unae danganywa ww
@@habibumuhammad730 akhii mm msimamo wangu hatababaangu mzazi akisema isiyohaki sitoikubal acha tu huyo ibni bachu ila kwahili Alhatimy hayupo kwenyehaq mm huwaga sicoment kwamatamanio yanafsi natizama haqi ukitaka ustafidi kaa katikati usiegemee upande wowote halfu pimia maneno yapandezote kilillah
Mm ni mwana twariqa nasoma maulidi na nitasoma maulidi hadi nife hadithi ipo al hatimy ameitoa kama hamkufahamu ni nyinyi akili zenu ni changa kuelewa kitu haraka kwahio ndugu yangu kabige goti usome vzr
Mashaallah shekh Allah Skype umr mref
إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ
الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم
Kaka angu mm nmekuelewa
na nahic hukumuelewa İbn Bachu
Subir akuelimishe
@@twaibumikidadi7377 ehe hakueleweka vipi
Maxalhh sheikh al khattimy upo sahhh
Umemjibu vzr sna
Mimi sina elimu lakini ni Muislamu najielewa. Lakini sheikh Bachu pamoja na elimu yako uliyojaaliwa lakini huna busara kabisa na jazba imekutawala. Jazba ya kisheitwan ukiongea kwa namna hiyo utaketa mifarakano katika uislamu maana utawagawa. Elimu ni pana na elimu mnayotoa ni kusudi la sisi tulionyuma uenu kuipokee na kuoamini. Mkianza kutukanana siye tutaanza kugawana na kufata upande mmoja. Sie ni maamuma na nyie ni viongozi wetu, tafuteni maneno mazuri ya kukosoana ili msitugawanye. Nyote tunawapenda maana mnayulisha kiti kitamu ambacho utamu wake haushi hasi peponi. Allah atufikishe. Jazba Lugha uliyotumia mwanangu ni kali sana. Unafata nyayo za baba yako badala ya kuelimisha tu matusi juu. Muongo ni matusi makubwa sana. Kama unapata mtu mwenye kujua neno muongo likitafsiriwa kisheria unalokosa la kujibu ama kuomba rdhi kama utakuwa na akili ya kupambanua jna malezi bora uliyoleleqa na wazazi na walimu wako. Punguza jazba tupe elimu tukukubali.
Ana jazba kwasababu hataki kupata dhimah me é ta Allha
ushasema huna elimu hasa unajielewa vipi wakati kinyume na elimu ni ujinga
Hapa mtukanaji ni mmoja tu wala sio wote wawili mmoja ansongea ki hikma.
Ww huna elimu kinachokufanya unaingia waliosoma ni kipi
Sijasikia jibu mm ila naskia ni kama ni fikra zako tu binafsi ulidhania sasa waeleza watu
Shehe alhatimy umeeleza vizuli na umenifuraisha sana amekuita muongo lakin ww haukuwq na jazba wala ujamtukana shehe kwa jambo ilo tu inaonesha dhahir una imani ya ali juu .mungu akuongoze na akujaalie elim zaidi na busara zaidi ya iyo
نسأل الله العافية والسلامة،
Nilikuwa nikimdhania kheri huyu alhatimy kumbe ni msanii namna hii, Allah amuongoze,ila sikutarajia kama anaweza kucheza na akili za wafuasi wake kiasi hiki,cha ajabu zaidi ni kuona watu wanatetea huu usanii katika dini ya Allah anaoufanya alhatimy,muogopeni Allah jamani,huko kuna moto,musifikirie tu kufurahisha nafsi zenu kwenye kubishana.
Ukiwa kipofu utakuwa kipofu tu na nyiny wahhaabiyya mufsidiin matusi ndio mnayoyajua
Sheikh zimenukuliwa hadith hapo
Afalaa tafakkarun?
Leta TAFAKARI basi
MUUMINI wa kawaida Yule wa kweli Malaika hupokea ROHO yake na kuisindikiza mpaka mbingu ya saba
VIPI ROHO ZA mitume??
Tusishabikie tutafakari
@@haridyhillaryndembo1946
Wapi Hadithi imesema roho za waumini wa "kawaida"???
Unauliza "Vipi roho za Mitume?
Nakujibu " Vipi kwenye nini? Kwani Hadithi aliyoisoma alhaatimy umesikia Hadithi hiyo imezungumzia chochote kuhusu roho za Mitume?
Mimi nimemsikiza kwenye hiyo Hadithi na vile vile nimeisoma ilichozungumzia ni roho za Mtu Muumini kwa ujumla bila ya kukhusisha, sasa wewe unaemtetea leta TAKHSWISI ya Maneno ya Mtume إن كنتم صادقين
@@nassirmohd2851
Lete wapi umetukanwa?
Vp mtume sio muumini
Maashaallaahh tusimeni jaman
Hiyo hadith ni sahih ndiyo ukweli ❤
Maàsha Allah umemuelewesha shekh Allah kuhifadhi lakin hasira wacha tafuta mbinu ya kuregebisha afwan
Assalamu aleykum kwaiyo kwenye swala la barzanji umeshindwa kujibu tunataka uukubari mjadala wa Hana kwa Hana kuhusu barzanji sheikhe ✍️
Kwa hapo usijali! Wakati Bachu zanzibar alipo sema akitokea mtu anaeweza kushindana nae kuhusu maulid kiganja chake ni halali yake, punde tu akajitokeza Sheikh Yusuf diwani. Naona bachu kakimbia. Kaenda kutafuta mengine. Ngoja asuuzwe kama mwenzake kishki. Bachu Hana elimu hata kidogo isipokuwa ni mropokwaji. Elimu yake ipo mitandaoni
Kwanza jifunze kutamka hilo neno Barzanj Ahmaq weww
@@nassirmohd2851 akhi kukosea kuandika hai maanishi mtu hajui Kwanza jifunze hicho kitu mfano wewe hapo tayari uko na makosa ya kiuandishi katika maandishi maneno yako ulio andika hapo 👈👉kwaiyo tukiende hivyo kwa kukosea kuandika mtu unampa Jina au una mkejri au kumtusi dharau hatuto fika kwaiyo chunga maneno yako Sana ndugu ✍️
@@user412 ngoja tusubiri ✍️
Hawezi uyu hatimi ana matatizo
Watu wa bidaa mashaikh wao ukiwaona tu unajua hapa hamna kitu. Sasa huyu utamkuta anajifanya anampenda mtume sanaaa halafu ndevu hafugi amenyoa kama wahuni mnyoo wa 'O'. Watu wa bidaa mtihani sana 😊😊
Nikulize mtume muhammad ni muumini au sio muumini
Shekh Wangu Alkhatmy usiumize moyo kwa watu kama hawa hakukuwa na Haja yakumjibu
Kweli kabisa alikuwa asiwajibu maana ndio msimamo wala hawataki kusikia jengine Bora tusikilize sie wakubwa zuka tumia hekima za kunyamaza
Bachu anataka sifa na umaarufu keshaupata maana Baba ake alikuwa ana hekima
Bachu kabachuka huo heshima hana hekima hana Allaah amsaidie
Hao malaika Kwani kawaumba yeye huyo Bachu au anawateremsha yeye au huyo mja muumin anamjuwa yeye Huyo Bachu
Me naona haina haja ya kugombana zaidi nyinyi mashekhe kwa ajil ya vitabu vya Allah sabbu nyinyi nivioo vya jamii,na shekhe kwanza kabla hajasema neno awe na uhakika nahilo jambo,ama anapomkosoa mwenzake amfuate pekee ukamulize nasio ktk mitandao munatufundisha vibaya,na ukimkosoa mwenzako usiseme kwa maneno makali sio hekma nzur.
Alhaatimy anajaribu kujitoa kwenye Madai ya Uongo kwa mbinu chafu na watu wasio na maarifa wanaona kana kwamba amemjibu Muhammad Bachu kwa Majibu ya sawa kumbe hamna kitu
Iko hivi alhaatimy amedai malaika walijipanga "kila mmoja aking'angania Roho" ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam
Hadithi aliyo itoa haisemi "kila mmoja anang'ang'ania Roho ya Mtume"
Hadithi inasema hukusanyika malaika na mwenye jukumu la kutoa Roho ni malakul mauti pekee.
Wapi Dalili ya kugombania Roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam?
Dalili toka Qur'an na Sunna zinatuonesha Roho za Viumbe hutolewa na malaika wa Kifo akishirikiana na malaika wengine waliopewa jukumu la kutoa roho za viumbe tu, na wengine husindikiza tu na hawana jukumu la kugombania roho.
Haya ndio Mafundisho na Hadithi alio inukuu inasema hivyo kwambamalaikawakifo huja na kuichukua, kwa hiyo alhaatimy kusema "kila mmoja wanang'ang'ania" hili halipo na ndicho anacho kisema Muhammad Bachu kuwa huu ni Uongo.
Ona majibu hayo ndugu
Sasa Muhammed bachu yeye amejuaje kama icho kitu halipo? Yeye alikuwepo wakati Mtume anatolewa Roho mpaka kumwita mwenzake muongo? Hiyo ni fimbo ya kwanza nyengine zinakuja.
unajua unach sema ww mbn hueleweki iy hadithi ushaisom na sherhe yak ww mpumbav au mjing kwel km uy bach anajua angalichemka ذهب mas dari mimi ذهاب vichekesh t naakavue dagaa huk
@@makamekhalfan5968 kama sieleweki kwako basi acha walioelewa watajibu! Kwani lazima uandike kwenye comment yangu?
Pili kama mimi ni mpumbavu una comment nini ?
@@user412
Sina cha kukujibu Ndugu maana ulichoandika kinaonesha uko mbali sana na hayo masaili.
AL KAMAALU LILLAAH ... Mkamilifu ni ALLAH pekee ... Hili jambo Kila mtu ataliona mtazamo wake lakini shida ipo sehemu ndogo sana , aliyezungumza mwanzo aliongea Kwa kumwaga sifa Kwa mtume s.a.w kwamba mapokezi yake hayawezi yakawa kawaida kwasababu yeye ni HABIBULLAH (KIPENZI CHA ALLAH ) Nia yake ilikua ni njema ... Majibu ya Kijana ya kumkosoa yalikua ni SAWA ya kwamba iweje anaetupa khabari za ghaib amekufa na hizi khabari zimejulikana wapi mpaka ukanogesha alikua sahihi ila majibu yake yalikua makali kidogo ... Lakini mwisho wa siku wote wamekosea kukosoana Kwa majawabu yaliyopitiliza ...
Swali alijajibiwa lkn yeye amesema mtume ameshakufa hio habari ya malaika kugombania roho ametoa nani
Tumia akili,shkh jibu ameshakitoa,mskilize kw makini then acha akil yako ifanye kazi
@@hawrajehan2398 kwa uwelewa wako wewe lbda lkn mm sijaona alicho jibu
@@hawrajehan2398 Hii dini haitegemei akili tu maana inatakiwa ianze dalili Kisha akili kwa ajili ya upambanuzi na akili yenyewe isiwe ni yenye kuharibu makusudio kwa kupunguza Wala kuongeza chochote( Tahwiil)
wew sheikh muongo na mche allah sheikh bachu alichosema ni kungangania roho ya mtume, ishu sio kuja kwa malaika nilazima waje kwa mbora wa viumbe wacha kumchafua sheikh bachu
Acheni kuifanya dini kama vyama vya mpira. Ushabiki ni moja ya hatari sana.
hivi ww sheikhe umeelewa swali ulo ulizwa mbona imejibu tofauti na ulivo ulizwa jibu swali huko umeenda siko rudia kumsikiliza kijana asemaje kisha irudi kujibu acha ubabaishaji jibu swali
Tatizo lenu mawahabi Hamuna ufahamu kabisa. Ushindani tu ndio kazi yenu
makhurafi mwaelewa nn
Shk Alhatimy uko sawa cc pia twalujua Hilo, kijana apitie vitabu vya Hadith aone ukweli
Huyu kijana hana ilimu wala adabu
Mbona baba yake hakuwa hivo yeye ndio anajifanya kasoma sannna
tatzo lako hujafatilia mawaiza y marehemu
ALLAHU yaalam
Me nadhan ichi wanachokifanya mashekh wetu c kitu sahih, ukiangalia dini nyngn wanaotumia kila njia kutangaza dini Yao na sio km mashekh wetu kukaa wakakosoana mitandaoni, tukikaa tukaangalia mamb haya dini haitofika mbal, yapo mamb ya msingi like muslims wenzet wanateswa uko nchi zao lakin wamekaa kmy kuongelea hili, muslims wa nchi nyngn maashaaALLAH wanafight kuitangaza dini ya ALLAH lkn awa wetu baadh yao cjui kwnn😢
Na sasa hivi mashekh ndio wanaogombana Kila ukiangalia ,mi nahisi Kila mmoja aseme anachokijua sio kubishana alichokisema mwenzio,pia Kuna kauli zitumike nzur hata kama mtu kakosea,maana Kila binaadam anamapungufu yake
Bachu ndo anamatatizo anamuita mwenzie kijamaa na kila mtu anagombana nae
@@abdulabdulathumani5992 hana nidhamu ya kuzungumza Kila kitu anasema kama mlevi,kama hakusoma kiswahili,ukifatilia mawaidha yake kama kavuta bangi kama Pana mtu unamuheshimu huwezi kusikiliza ,masheikh wote wanatoa mawaidha lkn Kwa lugha ya heshima yenye kusitiri matusi,lkn yeye hafichi,anaonesha mjuba Wala haambiliki,uyo mke anakoma Cha moto,awepole
Astaghafirullah usirudie kusema tena kua dini yetu haitofika mbali. Hii ni dini ya Allah (sw) Na hii dini imekamilika na Allah mwenyewe kasema ata ilinda.
Huyu kijana ndiyo mwenye matatizo, kwanini hatoi mawaidha ila kuwasema Mashekhe wenzie?
Nani atakubali kudharauliwa bila ya sababu?
Ndiyo maana shekhe Alhatimi anamjibu, ili jamii ijuwe mapungufu yake
Mi nadhani masheikh mvumilieni huyu kijana hajielewi, inawezekana ana elimu lakini busara yake ipo chini sana katika dini. Mungu amuongoe kwa uwezo wake
elimu pia hana angekua anayo bac angekua na busala yani kinatembelea nyuta marehemu babake bachu anadhani ndo kitakachomfanya aaminike mjinga sana
Hakuna Hadith yasema waling'angania roho ya mtume .... Muhammad bachu Yuko sawa kabisa
Kuna kitu kinaitwa kutawasa ila kwajinsi alivyo elezea hadith yaonye washuka kweli . Yupo sawa ukitaka kuamini sikiliza visa utaona kuna maneno wanaongeza lakin yasiyo haribu maana sasa bachu wakumtolea maneno machafu eti kijamaa muongo mkubwa na waumini Allah kasema ni wanyenyekevu kwawaumin wenzao na mtume anasema muumin niyule ambae muumin mwenzake amenusulika na ulimi wake huyo bacho kila cku anawatoa masheikh wenzake akili pasi nasabab yamsingi hasa inaweza ikawa Allah kamkasilikia kwakuwauzi kwakewaumin nakujivuna kwake
Nyote nyinyi hamufahamu daraja ya Mtume.Kama Roho ya mtu muumin inang'ang'aniwa je ya Mtume.
Wacheni dharau ndugu zangu waislam.
A alkm Ahsante Sheikh Alhatimy mpe kweli huyo kijana asipoteze wtu.
Hujajibu hoja bado
Vip mtume muhammad sio muumini
Naona anazu
Nguka2
Nyinyi ndio mnao chochea ugomvi muogopeni mungu nyie
Allaah ndie mjuzi zaidi
Unaposhindana na wenye elimu basi daima watakuelewa na utaishinda ila ukishindana na wajinga daima watashinda wao. Hivyo, bachu hashindiki kwa ujinga wake wa mambo ya kielimu. Mambo madogo tu yanampiga chenga seuze mengine yaliyozama kielimu. Tatizo la mawahabi wakisoma vitabu vyao vichache tu na lugha ya kiarabu wanajifanya washakuwa mamufti na kuanza kutoa fatwa.
Waliobobea kwenye elimu wamezama kwa miaka kadhaa kwa masheikh hata walipoanza kutoa darsa za kielimu tumefaidika kwa kubobea kwako.
Bachu na mshauri kwanza, aendelee kusoma fani zote kisha nae tumuite Imamu Bachu..........
Akhy ama kweli nyie nyote na shehena wenyu al hatimy elmu hamna malaika walimuasi Allah nakuacha kazi zao wakaenda kugombea roho ya mtume S.A.W
@@babayaoyega2540 kwani malaika kazi yao ipi? NA je unajua idadi yao wewe NA kopo lako huyo bachu
Mashehena mko kibao mnao leta ufisadi kwa dini ila yenyu moja tu njaa itawatoa katika dini chungeni
@@babayaoyega2540 ama kwel kumbe humu wajinga wpo weng kwahyo na siku aliyozaliwa malaika waligombana na Mungu si ndio kwasbb siku alozaliwa mtume malaika wote waliteremka hpa dunian kwajinsi nuruilivyotanda kwenye mbingu na Ardhi had aarshi ya Allah ilitingishika kwa ujio wa Mtume muhammad kwann ilitingishika aarshi ya Allah kwasbb wale malaika waliokua wamebeba Aarahi ya Allah walitaman wa uwone uso wa mtume.
Hem tzma sehem yengine pale Mtume alipo kwenda Mbingun Mtume ibrahim as alivyo kua akimrejesha Mtume muhammad mara kwa mara ili tu arud tena Mtume ibrahim aone ile sura ya Mtume muhammad ilivyokua na nuru ya ajabu..Achen ujinga wenu wakusoma mitandaon pia elimu zenu mulizo soma ukubwan zina wasumbua mm nahisi wote nyie munao ungana na mohd bachu kwanza mumesoma ukubwan pili nahisi nyie mulikua wakiristu mumesilimu juz kat
Sasa wewe unapiga domo tu ati asia alikuja kumzalisha mamake mtume na bibi mariam pia na maurulayn acheni kudanganya watu lete dalili ya maneno haya kwa hadithi ama quran wewe omar omar tafadhal
Jazakkallaahulkhayran
Shekh iyo Hadithi haijaonesha hoja ya kung'ang'ania roho hebu lete uo ushahidi wa Malaika kung'ang'ania roho Basi na wewe haugopi kumsingizia Mtume !
Mimi iyo video ya uliyosema kuwa MALAIKA walitelemka kipindi mtume MOHAMMAD anakata roho. Niliiyonaga siku nyingi na nilijiuliza mwenyewe ilikuaje ni nani aliyekuwa anahadithia wakati mtume mwenyewe ndo amekata roho nikakosa jibu ile Leo ndo nimeelewa ulivyoleta hadith
Natumia umeelewa vipi bacho elimu yake ni ndogo ambayo pia yeye inamhangaisha.ubaya WA elimu ndogo
@@abdallahismael3993 si kwamba elimu yake ndogo lkn hata wakati mtume alikuwa hai jibril akimjia hakuna swahaba aliyemjua ila mtumi kawaambia yule alikuwa nami ni jibril itakuwa mtume amelala roho inatoka ndio maswahaba wataona malaika wako foleni uwongo mtupu huyu jama na masira ya uzushi
Muhammad bachu ni muuza sura tu hana jipya zaidi ya karaad mashekh tu
dogo kama huna elimu kaa pembeni waachie wanaume wazungumze acha kuuza sura mtandaoni
MAJIBU MAZURI TENA YA KIELIMU ONGERA SAANA SHEKH ALHATIMY
HUYU MTOTO WA BACHU ALIKURUPUKA NI MBAYA SAANA KUKURUPUKA KATIKA MAMBO YA KIELIMU
KWA KWELI SHEKH ALHATIMY TUNAMUOMBA ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA AKUKINGE NA SHARI ZA MAADUI UNAO WAJUA NA USIO WAJUA
Mashaallah
Hamna kitu apa...hata kwa kutumia akili tu skh bado unapuyunga...hakuna dalili wala nini...
Alaa kumbe simba na Yanga .. ? Kasome basi . Ili nawe uwe na elimu japo ya kuongea mbele za watu ..
Mm sina ushabiki,hapo huenda ukawa sawa kwa mujibu wa hadithi uliyoitoa,lkn aliongelea na mambo ya ushirikina wa maulidi mbona hupngelei tena, inamana ni kweli Kuna ushirikina kwenye maulidi na hapo Muhammad bachu yupo right 100%
HUYU BACHO MABACHO HAFAI HATA KUJIBIWA LAKINI INABIDI AJIBIWE ILI WATU WAMUELEWE UJUHA NA UJAAHILI WAKE JAAHIL MURAKKAB MAJRUURUN BIHI
Usiseme hivi waachie wenyewe wenye elimu hapo kuna kitu cha kielimu wanapishana kuhs khabar inayohusika kwa wakati uliopo au ubashiri aloutoa mtume s.a.s kwa waja wema
Apumzike apishe wenye Elim zako Bwan Bachuu
@@khamisjuma7616 hakuna chochote kikubwa cha elimu ambacho hakieleweki hapo.sema mawahabi ni majahili wasiojitambua
M/Mungu atupe umoja siye waislam kwa tulipofika kujibishana ktk mitandao daahh wakristo wanatucheka kwelii wallah inaumiza kweli si kla mmoja afanye lake tuwe kitu kimoja
Hawa vijana wanaoinukia hawana adabu na hawafundishwi adabu na mashk zao, wanapandikizwa kibri na dharau
wanajazba tuh hawana walilonalo
@@allymwinkyambi9689 nashindwa kabisa kuwaelewa, juzi tumemaliza jamaa tukiwa ktk nyiradi kijana mmoja wa upande wao kajigeuza akalala palepale kwenye safu, waumini hawakumuacha salama.
Sheikh Muhammad Al khatim, huyu mtoto bora ulivomuelimisha huenda ALLAH akamuongoza, NA Muombee dua ALLAH amuongoe huenda hajui alinenalo.
Kuna haja ya kusikiliza tena clip zao vizuri ndio ucoment
Waislamu tusomeni ndugu zangu, tutambue ya kwamba kuna dini halafu kuna masheikh. Siku hizi masheikh wetu wanatumia nguvu kubwa kukosoana na kuoneshana umwambwa katika elimu, je hilo ndio lengo la elimu katika dini? Siku hizi kila sheikh ana msikiti wake madh'hab yake. Zamani ilikuwa waweza kwenda kuswali msikiti wowote na usione tofauti zozote lakini siku hizi mambo kibao yaqni tafrani mpaka unajiuliza mimi tu ndo siendi na wakati? Kwa zama hizi ni bora ufanye ibada ndogo ambayo una maarifa nayo kuliko hivi vya kusikia sikia tu kwa hawa masheikh. Mara utasikia sheikh flani kasema hivi mara mwingine kasema vile kwenye jambo lile lile......ukiwa wa kufata fata utayumbishwa mpaka mwisho wa maisha yako.
Allah Tunakuomba Tuongoze njia ilonyooka Tuwe naadabu tusiambize Muongo tuwenaadaabu Allah tutazame kwa Jicho la Rehma
Hivi sasa madhehebu yameongezeka, na mengine yanatofauti kubwa baina yao.
Kuona tofauti ni jambo lisiloepukika.
@@ghcgreenhealthcaretanzania7527 Naam, ndio maana tuhamasishane katika kusoma wenyewe maana kila anaekuja na hayo madhehebu anasema lake ndio sahihi na kuwaambia wenzake ni waongo na wataingia motoni. Ni bora usome na uone wanapotofautiana wao halafu uchanganye na zako. Allah atuzidishie elimu, aturuzuku ufahamu na hekima. Aamiin.
Maneno safi kabisa, inapaswa mtu aujifunze Dini yake lkn kuto kwa mashekhe wa uhakika ambao wanafuata Sunna za mtume na mafundisjo ya mtume, sio kila anaye juwa kusoma kidogo na mavazi ya kishekhe anakuwa shekhe wa kuaminika, wengine wanapenda yale mavazi na kila mtu akitaka atavaa. Muhimu Elimu ya Dini ya kisawa sawa iliyotoka kwa Mtume (S.A.W) na Swahaba zake licha ya hapo ni mambo mengi ya kuzushwa kama hivi sasa🚫🚫 Allah atunusuru.
Mijadala hii hufaidi wanafunzi kuelewa upotovu.
HUYU KIJANA HANA ADABU KABISA HATA KAMA..amewadhalilisha sana MASHEIKH
Iko siku atapigwa km alivyopigwa bahero
Yupo sawa Sema tu chuki za kiwahabi
Sheikh Shukrani sana Tunakuelewa sana. Huyu wala Asikushuhulishe Maana Inaonekana Hayuko sawa Huyu kama Kamkosoa Mpaka baba yake tena aliyeko kaburini basi Kiakili tu. Unajua ni MTU ambaye Pengine Anamapungufu fulani na kama si mapungufu basi anatafuta Umarufu. Hivyo Sheikh waweza Kumwacha tu. Usijibizane naye maana Kunyamaza napo Nijibu kubwa sana Kuliko kumjibu akajiona kama anaongea Point kumbe Ni Utopolo tu.😡😡😡😠😠
Mashekhe kwan munafeli wap jmn
Mche mwenyezi mungu.Unaitumia hadithi ukitetea fikra zako na imagination wakati wa sakaratil_maut ya mtume muhammad(saw).sawa basi tueleze nani kaelezea mambo haya.Tahadhari huko siko kumpenda mtume.
Umejilipua mwenyewe Muongo
Duh, hata hii hadithi huamini jamani hatari
إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ
الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم
إِنَّ العبدَ المؤْمن إذا كان في انْقِطَاعٍ من الدُّنْيَا، وإِقْبالٍ من الْآخِرَةِ، نزل إليه من السَّمَاءِ ملائكةٌ بِيضُ الوجُوهِ، كأَنَّ وجوهَهُمُ الشمسُ ، معهُمْ كفنٌ من أكْفَانِ الجنَّةِ، وحَنُوطٌ من حَنُوطِ الجَنَّةِ ، حتى يَجْلِسُوا منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ المَوْتِ حتى يَجلِسَ عندَ رأسِه فيَقولُ : أيَّتُهَا النَّفْسُ الطَّيِّبَةُ اخْرُجِي إلى مغْفِرةٍ من اللَّهِ ورِضْوَانٍ، فتخْرُجُ تَسِيلُ كما تسِيلُ القَطْرَةُ من فِي السِّقَاءِ ، فيَأْخذُها ، فإذا أخَذَها ، لم يَدَعُوها في يَدِه طَرْفَةَ عَيْنٍ، حتى يَأْخُذُوها فيَجْعَلُوهَا في ذلكَ الكَفَنِ وفي ذلكَ الحَنُوطِ ، فيَخْرُجُ منها كأَطيَبِ نَفْخَةِ مِسْكٍ، وُجِدَتْ على وجْهِ الأرضِ، فيَصْعَدُونَ بِها فلا يمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ، إلَّا قالُوا: ما هذا الرُّوحُ الطَّيِّبُ؟ فيقولُونَ : فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَحْسَنِ أسمائِه التي كانُوا يُسَمُّونَه بها في الدُّنْيَا - حتى ينْتَهُوا بها إلى السَّمَاءِ الدُّنْيَا فَيَسْتَفْتِحون له فَيُفْتَحُ له ، فيُشَيِّعُهُ من كلِّ سماءٍ مُقَرَّبُوها إلى السماءِ التِي تلِيها ، حتى يُنتَهَي إلى السماءِ السابِعةِ ، فيقولُ اللهُ عزَّ وجلَّ : اكْتُبُوا كِتابَ عبدِي في علِّيِّينَ ، وأَعِيدُوا عَبدِي إلى الأرضِ ، فإِنِّي مِنها خَلَقتُهم ، وفِيها أُعِيدُهُم ، ومِنها أُخْرِجُهم تارةً أُخْرَى . فتُعادُ رُوحُه ، فيَأتِيهِ مَلَكانِ ، فيُجْلِسانِه ، فيَقولانِ له : مَن ربُّكَ ؟ فيقولُ : رَبِّيَ اللهُ ، فيَقولانِ له : ما دِينُكَ ؟ فيَقولُ : دِينِيَ الإِسلامُ ، فيَقولانِ له : ما هذا الرجلُ الذِي بُعِثَ فِيكُمْ ؟ فيَقولُ : هو رسولُ اللهِ ، فيَقولانِ له ومَا عِلْمُكَ ؟ فيَقولُ : قَرأتُ كِتابَ اللهِ فآمَنتُ به وصَدَّقْتُ ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ أنْ صَدَقَ عَبدِي ، فَأفْرِشُوه من الجنةِ ، وألْبِسُوهُ من الجنةِ ، وافْتَحُوا له بابًا إلى الجنةِ ، فيَأتِيهِ من رَوْحِها وطِيبِها ، ويُفسحُ له في قَبرِهِ مَدَّ بَصرِهِ ، ويَأتِيهِ رَجلٌ حَسَنُ الوَجهِ ، حَسنُ الثِّيابِ ، طَيِّبُ الرِّيحِ ، فيَقولُ : أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُرُّكَ ، هذا يَومُكَ الذي كُنتَ تُوعَدُ ، فيقولُ لهُ : مَن أنتَ ؟ فوجْهُكَ الوَجْهُ يَجِيءُ بِالخيرِ ، فيَقولُ : أنَا عَملُك الصالِحُ ، فيَقولُ : رَبِّ أقِمِ السَّاعَةَ ، رَبِّ أقِمِ الساعَةَ ، وإنَّ العبدَ الكافِرَ إذا كان في انقِطَاعٍ من الدنيا، وإقبالٍ من الآخِرةِ ، نزل إليه من السماءِ ملائكةٌ سُودُ الوجُوهِ معَهُمُ المُسُوحُ ، فيجلِسُونَ منه مَدَّ البَصَرِ ، ثُمَّ يَجِيءُ مَلَكُ الموتِ حتى يَجْلِسَ عِنْدَ رَأْسِهِ فَيَقُولُ: يَا أيَّتُهَا النَّفْسُ الْخَبِيثَةُ اخْرُجِي إلى سَخَطٍ من اللَّهِ وغَضَبٍ ، فَتَفْرُقُ في جَسَدِهِ فيَنتَزِعُهَا كَما يُنتَزَعُ السَّفُّودُ من الصُّوفِ المَبْلُولِ ، فيَأْخذَها ، فإذا أخذَها لَم يَدعُوها في يَدِهِ طَرْفَةَ عَينٍ حتى يَجْعَلُوهَا في تِلْكَ الْمُسُوحِ ، يخرجُ منها كأَنْتَنِ ريحِ جِيفَةٍ، وُجِدَتْ على ظَهْرِ الأَرضِ فيصْعَدُونَ بِها، فلا يَمُرُّونَ بها على مَلَكٍ من الملائِكَةِ إلَّا قَالُوا: ما هذا الرُّوحُ الْخَبِيثُ؟ فيَقُولُونَ: فُلَانُ بنُ فُلَانٍ بأَقْبَحِ أسْمَائِهِ التي كان يُسَمَّى بِهَا في الدُّنْيَا، حتى يَنْتَهِيَ بِهَا إلى سمَاءِ الدُّنْيَا فَيُسْتَفْتَحُ لهُ، فلا يُفْتَحُ لهُ، ثُمَّ قَرَأَ لَا تُفَتَّحُ لَهُمْ أبْوَابُ السَّمَاءِ قال : فَيَقُولُ اللَّهُ عَزَّ وجَلَّ: اكْتُبُوا كِتَابَه في سِجِّينٍ في الْأَرْضِ السُّفْلَى، قال : فَتُطْرَحُ رُوحُهُ طَرْحًا، قال : فتُعَادُ رُوحُهُ في جَسَدِهِ، ويَأْتِيهِ ملَكَانِ فَيُجْلِسَانِه، فيَقُولَانِ لَهُ: مَنْ رَبُّكَ؟ فيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي، فَيَقُولَانِ لَهُ: ومَا دِينُكَ؟، فَيَقُولُ: هَاهَا لا أدْرِي فيَقُولانِ له : ما هذا الرَّجلُ الذي بُعِثَ فِيكُم ؟ فيَقولُ : هَاه هَاه لا أدْرِي ، فيُنادِي مُنادٍ من السماءِ : أنْ كَذَبَ عَبدِي ، فأفْرِشُوهُ من النارِ، وافْتَحُوا له بابًا إلى النَّارِ، قال : فَيَأْتِيهِ من حَرِّهَا وسَمُومِهَا، ويُضَيَّقُ عَلَيْهِ قَبْرُهُ، حتى تَخْتَلِفَ عَلَيْهِ أضْلَاعُهُ، ويَأْتِيهِ رَجُلٌ قَبِيحُ الْوَجْهِ، وقَبِيحُ الثِّيَابِ، مُنْتِنُ الرِّيحِ، فَيَقُولُ: أبْشِرْ بِالَّذِي يَسُوءُكَ هذا يَوْمُكَ الذي كُنْتُ تُوعَدُ، فَيَقُولُ: مَنْ أنْتَ؟ فَوَجْهُكَ الْوَجْهُ يَجِيءُ بِالشَّرِّ، فَيَقُولُ: أنا عَمَلُكَ الخَبِيثُ فيَقُولُ: ربِّ لا تُقِمِ السَّاعةَ
الراوي : البراء بن عازب | المحدث : الألباني | المصدر : صحيح الجامع | الصفحة أو الرقم
@@khelefomary4486 kwani hadithi hiyo ilimtaja mtume au Mtu mwema
Muhamad bachu alikosea, tena alikosea, hata kama alikuwa na ushahid hakupaswa kutumia lugha ya kutumia, Muongo. Si jambo jema kumuita mtu mzima Muongo, khasa ukizingatia huyu ni Sheikh na Mashekh ndio warithi wa mitume.
Mwenyezi mungu Atulinde waislam.
Bachu kaingia kwenye kumi na nane😂😂,,ngoja Asomeshwe
Ngoja tutamuanza mpaka kwenye lugha maana ata kutafsiri anashindwa. Bachu elimu yake ni mtandaoni na sio kupitia kwa wanawazuoni
Hamumjui nyie huyu Muhammad Bachu........apo huyu kajibu kitu gani?
Ameulizwa taarifa za hao malaika kazitoa wapi... ajibu izo kwa dalili km anazo aache porojo la baraza za kahawa
Ust humuwezi bachu.
kwaza hukujibu hoja zake.
Ww lete hadithi ya hayo maneno yko usilete fujo.
Na km hukuleta jibu itakuwa ni ktk watu wa aya ya 7 سورة الحجرات
بعد أعوذ بالله "يآأيها الذين ءآمنوا إن جائكم فاسق بنبإ فتبينوا........."
Lkn mwisho wake bachu atakuumbuwa.
Hadithi hii inaelezea mtu mwema anapokata roho vipi roho yake itapokelewa na malaika kupepekwa mbinguni na haisemi alipokufa bwana mtume malaika walipanga swafu
Kwa hio mja mwema afanyiwe hayo na mungu lakini mtume wa Allah asifanyuwe hayo?
Yaan mtume na daraja yake yote au mtume yeye s katika wema.
Elimu hatuna Basi hata kufikiri tu
HUYO AMESHIKWA NA VIRUS CORONA BACHU MUOMBEE MUNGU
Vita yenyu mahabi ni kumpiga vita Mtume wetu mohammad S.A.W)
Kwani weye ulichoelewa kwa mnasaba wa Hadithi hiyo,Mtume hakuwa mwema?!Yawa vipi ikiwa ni mwema roho yake isigombaniwe?
Huyo kijana atawaumiza vichwa hamumuwezi Kwa ubishi , kalishwa .malezi.
Hadithi hii haihusu juu kifo Cha mtume, Bali ni kwa kila mtu mwema, na sio kwa mtume pekee, faham kuwa sh. Moh'd yy amekuuliza juu ya picha uliojenga kwa nabii Muhammad
Duuh ngoja tu tusome
Nilicho gunduwa mimi ni elimu ndogo alio nayo bachu ana taka kujifananisha na baba yake baba yake alikuwa na elimu kubwa sasa uyu mtoto kumbe ufahamu tu mimi nime muelewa vizuri sana shekh kumbe mtume ali simulia mwenywe akiwa hai kwaiyo hapa una tembea narojik tu uko sahii
Kwhyo shekh we hapo umetumia akili yako bc. Mana hio hadith uliosoma haionyesh kugombaniwa kw roho ya mtume wetu swala nasalam zimfikie.
Mawahabi mbona mnamtitio wa ubongo.anaposema kugombaniwa maanake nikila malaika aliitaka. Sasa malaika wasigombanie roho ya mtume.ulitaka wagombanie roho zenu chafu Mawahabi zilizojaa chuki
Sheikh Alhatmy mpuuze huyu Bachu. Hawa ni Mawahabi. Wameletwa kuudhoofisha Uislamu. Wana modernize uislamu
Shekhe...!!! Swali lilikuwa rahisi tu apo swali lilikuwa ivi...!!!
Ni nani aliyesimulia maneno ya mtume wakati mtume mwenye kafa....!!!?? Yani huyu aliyesema roho ya mtume yang'ang'aniwa na malaika ni nani wakati mtume kafafa na malaika ni mambo ya ghaib hawaonekani ila tu kwa yule ambae kwamba tukio likk kwake...??? Wacha kuruka mada shekhe we watueleza yale mtu aliyasema wakati wa uhai wake...!!! Elewa swali kwanza ndo ujibu sio kujibu tuu ovyo ovyo...!!
We inaonekana mgumu kuelewa
Kw hiyo mtume muhammad sio muumini
Lakini ww bachu c vzr kama una elimu kumwambia mwenzako muongo.hizo kauli ni za makafiri walivyokuwa wanampinga mtume s.a.w
Sikiliza vizur hapo utaelewa
Shekhe ukosahh Nimesoma kometi nyingii nimegunduwa wengi hatuna elimu swali lilikuwadogotu huyu bado hajamjibu bocho
Muombeeni sana dua kwamngu asije akafa vibaya mana katukana sana wanazuoni pia wengi wao wanaopenda kutukana wanazuoni hufa ndimi zipo nje kama mnyama
Bachu bado kijana mdogo😂
Inshallah Majibu Ya Huyu Alhatmy Yanakujaaa Dhidi Ya Huyu Muongo Alhaatmy
Huna hoja
Kwa hiyo kama ni mkweli alete Dalili ya kwamba malaika waliacha kazi zao walizo kalifishwa na kila mmoja akaanza kugombea roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam, na wakati hayo yakiendea Malaika wa kifo na wenzake walikuwa na jukumu gani? Walikuwa wanapambana na malaika wengine au ilikuwaje? Na je kuna wakati roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam ilishikiliwa na malaika wasio na jukumu la roho? Halafu ilipofika mwisho nani aliikabidhi panapohusika?
Yote kama kuna Dalili za wazi hakuna mtu atakataa kabisa wala kubisha, lakini kama ni Mtu anajizungumzia toka kichwani mwake tu hiyo lazima iwekwe sawa ili Waislamu wachukue dini yao kwa Dalili na si kubebeshwa Uzushi wa watu wenye Maslahi yao kwa Kisingizio cha KUMPENDA MTUME , MUHAMMAD BACHU NA WENGINE WA SAMBULI YAKE WANAMPENDA SANA MTUME SWALA ALLAAH ALAYHI WASALLAM NA NDIO MAANA WANATETEA ALICHO SEMA AU KUFUNDISHA .
Sio bure
Mara nyingine muwe munajiongeza kidogo mawahabi heshima ya malaika jibril yatosha kuonyesha kama mtume ni nani ktk kifo chake kulikuwa na habar gani ikiwa kashindwa kufika na kutambuka alipo tambuka sayyidil bashar kwenda kuonana na allah na jibril alibaki nyuma vp roho yake ispokelewe na malaika UNAJUA UNAWEZA UKAWA NA ELIMU KUBWA LAKINI UKAKOSA UFAHAMU WA ELIMU YAKO NA NN KINAMAANISHWA
Wataka dalili ipi ww
@@fikratulmuhibbonlinetvismail
Dalili ya kwamba malaika kila mmoja aking'angania Roho ya Mtume Swala Allaah alayhi wasallam
Du wewe jamaa sijui darasani huwa unapata ngapi. Yani hiyo hadithi inataja malaika mmoja au malaika wengi?
Tuwekee na ile aliojibiwa alhatimiy tayari ameshajibiwa inabidi uwe na uadilifu utupostie pande zote 2 sio upande mmoja laa sivyo hutokuwa unafanya uadilifu na utakuwa na dhimma ya kujibu
Nas'aluLLAHA ssalaamah
Huyu mhamedi bachu chizi
Vipi cizi?
wemwenyewe chizi
@@rashidnassoro6753 😂😂😂
Muhammad Bachu ni zaidi ya chizi. Yaani kawaida ya uwahabi ni kujiona yeye Ashakuwa mtu wa peponi moja kwa moja
Me naona shekh Alkhatiny anajisumbua tu sbb masheikh wa kisalaf wengi hukosa hekma ht ya kulingania
Maashaallah
Watu was one na mungu aruzuku ufahamu mffano mungu ktk kiarabu chake kitukufu ana sema wake watakao sema. Mungu ndio mola wetu kisha wakawa na msimamo simu ya kids kwao hushuuka malai je siku ya kufa mtume watashuka wangapi
Natumia umeelewa vipi bacho elimu yake ni ndogo ambayo pia yeye inamhangaisha.ubaya WA elimu ndogo
Mtoto wa bachu anatafuta umaarufu kwa jina la baba yake ALLAH amrehemu hadith ipo wazi hapo kama alivoeleza alhatmiy ALLAH amhifadhi
Ushauri wangu Kwa SHEIKH Hatimiy, Ndugu yangu unaelimu na uelewa mpana Sana wengi wenye kuelew Huwa tunakuelewa Sana. Ushauri wangu Huyu Mtoto wa Bachu inaonekana amesoma ilaa Hana uelewa kabisa Kisha anaamini anachosea yeye ndo sahihi, elimu haipo ivyoo Muulize mwenzako mdiskasi kwanza kabla hujamrusha kwenye Media.
Bachu yuko vizur
Hataki kuongeza wala kupunguza maneno.
Alkhatmy katoa ujumla wa watu wema wakitolewa roho...hii iko sawa nimefurahi hata sheikh Mohamed Islam alitoa kama hivi kwa watu wema wakitolewa roho.
Lakin clip yake ya mwanzo alinasibisha sana hiyo kana kwamba ni kwa mtume tuuu.
Lakin alichoongeza Alhatimy ni MALAIKA KUGOMBANIA ROHO YA MTUME...
Hii ikaleta ukakasi.
Allah awajaze elimu Masheikh wetu wote..wanatumia muda mwingi kwa ajili ya waislam wenzao na wao wenyewe.
Alafu kua makini sana, hini ni dini. Muhammad Bachu hakumzungumzia Mtume Muhammad SAW kwa dharau, chunga sana mdomo wako sheikh vilemba. Usimkufurishe mwenzio kwasababu ya ushindani kutaka kuonekana una elmu. Toa hadithi hiyo ya siku ya mtume alipokua anakufa malaika wakaigombania roho yake. Mpk sasa hujatoa hadith . Unakuja kutupa hadith maarufu sana hiyo mi mwenyewe sina ilmu kubwa na ilkua naijua hiyo hadith.
SubhanaAllah ww walazimisha kumuekea taswira mbaya Sheikh bachu hafidahuallah
Atawekewa taswira mbaya kama alivyoweka .. na hapo kafundishwa Elimu pamoja na Ubachu wake .. kama ni Muumin atakaa na kusoma .. kama ndonili mradi tena .. basi ATAZUSHA JENGINE.. SUALA LA MALAIKA LIMETHIBITI KWA KAULI YA MTUME S.A.W . LAKINI HILI BACHU HALIJUI.. HAKULISOMA . AKAMWITA MWENZIE MUONGO . SASA TUNAPATA PICHA ELIMU YA BACHU NI NDOGO . NA BADALA YA KUPINGA . BORA ANGEULIZA HUU NDIO UISLAM . TUUJUAO . HAYO MENGINE NI KUTAKA SIFA KUWA UNAJUA SASA UNAKUTANA NA MJUZI .. NDO HIVYO SOMA SASA .. AU AJE AKANUSHE HADITHI HIYO HAIPO
Taswira kivipi na yeye bachu Alikuweko mtume s.a.w Alipokuwa yuwakata Roho
@@aidarusahdaly5516 mnapenda mizozo lkn tunamuomba Allah awafahamisheni Hakki
Hafidahuallah ndo nini jifunze hta kuandika kwanza km elimu huna huna to jitahidi kusoma
Sawa Ndugu ukijua ww inatosha
Hichi kibachu noma,kila kitu anakijua yeye tuuuu, pumba kwelii, AMEKOSA ELIMU LADAU, KUMUITAMWENGINE MUONGO MKWELI WEWE TUU, JIFUNZE TARBIA YA KUMKOSOA MTU. BADO SANA. HII NI AIBU KUJIFANYA ALIMU KUMBE UNATUMIA MAWAZO YAKO NADALA YA. DALILI. ALLAH AKUUONNGAOE
Humuwez Muhammad Bacho we Rudi Kenya ukaendeleze Daawa zingine
Naona umemmaliza hatorudi tena. Sheikh Bachu amekurupuka. Mimi majibu swali lako HAYUKO SAWA hamjui Mtume Muhamad (saw) ndiyo maana anapinga.
Subhana Allah
Mwajua dini yetu ya uislamu ni dini ya hakki na inatufunza tuwe hekma ssa hawa mashekh hata kama n kuwarekebsha lakn tusiongee vtu vya chuki wakati ni sisi kwa sisi kama pangekuwa na mkristo ndani yake pengne lakn mapungufu yako hakuna alie kamili mungu atuongoze sote inshaallah
HII NI ROHO YA MTU MUUMIN tu SASA JE MTUME NA NI MBORA WA VIUMBE wote..... Jamani Elimu ni Busara pia....😥..... TUSIPOANGALIA HIZI RADDI MWISHO TUTAMKUFURU ALLAH.... SASA WASHINDWIJE MALAIKA KUMPOKEA MTUME SAW KWA HALI HII NANI MBORA KULIKO VIUMBE WOTE.... Subhanallah Subhanallah 😥😥
Sawa je hilo amelishuhudia nan,hadithi imesema roho za waja wema husindikizwa na malaika,sasa hao ni watu wema je mtume?sasa nani anajua kuwa roho ya mtume iligombaniwa na malaika?pengine ilipelekwa tofauti na hivyo vya waja wema wengine kutokana na ubora wake,tusipende ushabiki hadithi inasema vingine mtu anaongeza vingine.
BACHU KASHINDWA KUELEWA
KUWA KILA KITU KILICHOPO
NA KITAKACHOKUWEPO
MTUME KAISHAFUNDISHA
Huyu muhamad bachu ni kweli hana adabu ,ila pia elimu ndogo,uwezo wa kifikiri pia mdogo,darja ya mtume s.a.w hainafanani na kiumbe yoyote alieumbwa na Mungu,na ndio maana baba yetu adam a.s alipokutana na mama yetu hawa kwa mara ya kwanza toka waliposhushwa ktk dunia baada ya miaka 40 ya kutafutana ,aliambiwa na Mungu asimguse hawa mpaka amsalie mtume s.a.w mara kumi ndio amguse na ndio ikawa mahari yake ya kumuoa hawa ,leo anamchukulia mtume s.a.w kirahisi tu,