MTOTO WA BACHU AMTUSI HABIB JUFRI | TAZAMA ALIVYOKITUPA KITABU CHA BARZANJ | SHEIKH ALHATIMY AMRIPUA
Вставка
- Опубліковано 14 лют 2023
- MTOTO WA BACHU AMTUSI HABIB JUFRI | TAZAMA ALIVYOKITUPA KITABU CHA BARZANJ | SHEIKH ALHATIMY AMRIPUA
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
UA-cam: / @babdeomiladu - Розваги
بارك الله فيكم سيدي العلامة الشيخ محمد الهاتمي حفظه الله تعالى ورعاه
Ati wasifu washirikina
Sheikh Mohamed Al hatimy Jazakallah kheyr Seyidii
Kz hii shekh bachu katow ushahid hakifaw ss ww unatkiwa utow ushahdi km kinafaa shekh
@@khamismajlo9333Huyo mtoto wa Bachu ni mpuuzi sana.
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh,Allah akujaze kheri sheikh wetu mohammad Alhatimy Allah akulipe kheri usichoke kuwatetea wanazuoni wetuu ndugu yetu
Wallahu yaalam anil ghaib. Muhim ni kubaki ndani ya msingi wa uislam tofaut kila mtu anazake .... Tupendane kma ma imam wetu wa 4 walivo iahi mbali na tofaut zetu
Allah amsameh... وفوق كل ذي علم عليم..Allah akueke Al hatmiy kwa kutetea cheo ya maulamaa wa kubwa km barzanj
Subhanallah ewe kijana wa zanzibar mmwogope mwenyezimungu usivuke mipaka ikakukuta ballaa.kama sisi ni watu wa mowlid na hicho kitabu cha mowlid tukiwa tunamswalia mtume Muhammad sallallahu aleyhi wasallam.kila usiku.wa ijumaa.mungu anakuona.inshaalah
Shirki mwafanya kwenye kitabu
ALLA AMUHUKUMU KIJANA WAA BACHU KWAKUTUPA JINA LAALLAH KAMA KINYESI YAARABI YUKATIKA HUKUUZAAKO SISI HATUNA LAKUFANYA .
kijana wa zanzibar atoa maelezo,
yasikie ndugu na ufungue kifua chako na utafakari, hii ni dini sio timu ya mpira kushikamana nayo hata wakikosea nyinyi mwawatetea bila dalili.
hebu isikize hii 👇
ua-cam.com/video/r96M_M7SLDk/v-deo.html
Yote hii ni kukosa hikma. Maana kuna elimu (inasomwa) na hikma (Anatoa Allah), kama Anavyosema SW kwamba "Na aliyepewa hikma amepewa kheri kubwa". Sasa hivi kweli vijana wamesoma lkn hawana hekima.
@@mchagagaspar6649 kwani anrusha Quran ata useme hivyo kitabu ni Quran ndio mwuongozo wetu sio hicho kitabu cha barzanji useless
Subhanallah, Allah akusimamie shekh wetu, usikasirike msamehe, Allah, atakulipa ujira wak.
Wwe na shekhe wako zuzu
@@hayberidris5684na ww mpotofu mtume alikwambie usitusi wanazuoni sasa ww wamfuata nani mtoto wa iblis
قل إن كنتم تحبون الله فاتبعوني يحببكم الله ويغفر لكم ذنوبكم والله غفور رحيم
[ AL I'MRAN - 31 ]
Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu.
Hii aya umeielewa vizuri?
أيها المشايخ كونوا منصفين في دعوتكم أ زيلوا الحقد في قلوبكم،وأصلحوا أنفسكم قبل أن تصلحوا الآخرين.
١_تعلموا الفنون التي ينقصكم
١_كالبلاغة ،علم العروض،راجعوا كتب السير والتاريخ لتساعدكم في تفسير القرآن والسنة وفهم عبارات اللغة العربية ،ولا يتم هذا بإزالة الحقد ثم الإنصاف.
mungu hapendelei shehk uchwara malemba kama kapu la mbaazi pumbavuu
Kazi ya wahabi matusi tuu huu siyo uislamu,huyo mwalimu wenu awafunza matusi sasa wasiyo kuwa waislamu mnawapa ulinganizi wa matusi .....
Mtume s.a.w asema
"سباب مسلم فسوق و قتاله كفر"chagua pako bro
Jamani hii dini ni ya haki musilumbane mwenge tumia hekima mukaogea kwa siri mukasomeshana na kuelimishana na hata Kama mtu ana tofauti zake basi asiweke hadharani ni aibu munawapa picha gani watu wanataka kuingia katika uislamu jamani hivyo sio vyema allah sw) awape imani na mapenzi ya kutolumbana Kama hivi ni aibu sana
Mashallah!shukran shekh langu Hathmy Allah akupe subra na jazaa njema
Doh sasa haya ndiyo mafundishow ya uwislamu kwa wale hawakusoma sheikh muhamad mungu amekupa kipaji kikubwana allah akuzidishiye basi ushasema mungu atahukumu 🤲 tafadhali mwachiye mungu chuki na matusi si mafundishow mazuri 🙏
Allah Atampa LA Kumpa Uyu Muhamed bachu ndivyo Alivyo fundishwa NA baba yak na mama yak
Utapewa ww lakupwwa n allah kwa husda zako yye Allah atamlinda n mahasid
Al hatimy endelea nao jamaa hao maana hawatak kusoma wasomeshe kuingiza sumu
Uyu hafai kuitwa Muhammad...aitwe medi tu..
Icho kitabu kina mpaka swala za mtume....kwa alivokitupa......Allah amlaani
Ehee Kuna mpk Majina ya Allah mpk swala za mtume Nazan ndio ka fundishwa NA baba yak nasor bachu NA mama yak
Safi sana Shehe baacho, hakuna chuki bali ni ukweli. Jibu hoja kwanza Umeshika umetukanwa😂
Kwani haja tukanwa!!! We kwani washabikia boli
Ujaelewa baba kasema mskilizeni Kwanza Kisha nimuweke saw
Waambie hao mrithi wa baba ako hoja hawawezi kuzijibu
umeshika umetukanwa
Wenawemjingatuyanishekheamembiwanimushriq badowashikilia
ALLAH NI MKUBWA!
ALLAH HAWANUSURU WASHIRIKINA!!
Asalaam aleikum masheikh zetu , tufundishe tu alichotufundisha mtume wetu.(s.w.a) msilete debate hii sio Sanaa, mnatuudhi sisi talib Al ilmu . Nyote mmekosea someni wanazuoni wetu walikuwa wanakhitalifiana vip . Toeni porojo zenu😢
Safi sana shekhe bachu allah akuhfadhi hana hoja huyu mkenya
sema huyu sheikh fulani, wacha kusema mkenya babaa... kwa sababu ukisema mkenya umegawanya waislamu kwa hoja ya kitaifa na wala sio hoja ya ki ilmu alonayo mtu
Allahuma aamin
Ww ndo kibaraka wake
Hana hoja vooo mushrik😂
Itakua ww bendela fata upepo ndomana waendelea kufata ujinga huyo anamwita mtu mushriki unajua kwer hukumu yahilo kaaa darsan kwanza usikulupuke ukafaaata mapenz yamaskio yako
Uyu Muhamed bachu mjinga sanaa mtovuadabu sanaa mshenz
Sababu yake hana ilmu
utovu wake wa adabu na ushenz ni up?
@@mwanakheri2880 utovu wake wa adabu na ushenz ni up?
utovu wake wa adabu na ushenz ni up?
utovu wake wa adabu na ushenz ni up?
SubhanAllah huyo Ana laana ni mkosefu wa dini mwenye zemungu atampe adhabu
Nashindwa kumuelewa sheikh alhatimy yy ana makusudio Gani ktk uelewa wa kusoma maulidi juu ya barzanji
Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
Sasa alichokusudia nini?
Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
Mfano Allah Anasema katika Quran:
يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
Ikisha kwingine Allah Anasema:
الله يتوفى الأنفس حين موتها
Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali
Assalaam Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh, bwana Haatimy, toa dalili usizungumze bila dalili, jitetee kwa hoja, M Bachu Anatoa dalili, na sisi tunafahamu vizuri, kwa hio jogoo limekwisha wika, mimi mwenyewe nilikua nikisoma maulidi, Alhamdulillaahi Allaahu Ameniongoza nimeuona ukweli nimewacha bid'a hizo, namuomba Allaahu Akuongoze na atuongoze sote. aamiin
Hahaha 🤣🤣🤣 umeuona ukweli umeokoka, tusomeni jamani tuache siasa katika dini. Hii ni dini ya Allah, sio siasa
Amiin amiin amiin
Kwahiyo ukipewa hoja thabiti utarudi kupiga maulidi?
niliyaacha kwa sababu nilipoziona dalili za kweli na nikauona ukweli nilijua tu kwamba tulikua katika upotofu,
dalili gani nitakazopewa na huyu kijana wa bachu awaambia mwende uso kwa uso na mada muchagueni nyinyi mwashindwa kuandaa hilo?
nyinyi ndio mwaleta siasa,
قل هاتو برهانكم
leteni dalili wacheni ushabiki
@@mwalimumwanyongo880
naam nineuona ukweli,
INA LILAH WAINA ILAH RAJIUN HUYU MADEVU BACHU ANA MATATIZO YA UBONG'O NA ALLAH ATAMPA CHA KUFANYA WALLAH MTIHANI MKBWA UNAMKUFURISHA SHEKH WETU DIYO DINI GANI ULIO SOMA WW ALLAH ATAKUHUKUM WW
Sheikh AlHatimy, Huyu Ana Laana na mkosefu Adabu, Mpotofu, Wote Wapotofu, Mwenyezi Mungu atawapa Adhabu zao In Shaa Alaah
Hapa kila mtu abaki kwa imani yake kuwa mimi ni muislam kama nimetoka katika maulid nitabaki huku huku na kumswalia mtume muhammad s.w.m vinginevyo tunakwenda kukufuru allah atustiri
Al-hatmiiiiiii, mbona hujib hoja ulizoletewa, unanichekesha sana mie.
Ujaelewa baba kasema mskilizeni Kwanza Kisha nimuweke saw
Hoja umetoawee.ama mjinga mwenzio.usiwe benderafuata upepo
Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
Sasa alichokusudia nini?
Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
Mfano Allah Anasema katika Quran:
يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
Ikisha kwingine Allah Anasema:
الله يتوفى الأنفس حين موتها
Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali
Wallahi huyu kijana wa bachu ana shida sana wallahi mungu amswaameh
Ukweli wawa shida
Wewe ndo mwenye shida wallahi
@@ramadhanomar8093 huyu kijan din hailinganiwi kwa jazba lazim hapana bwan
Elimu ndo changamoto hapa kaka
Soma din usifate mkumbo
Aaaamiiina
Umemjibu vizuri kabisaaaaa
Mungu atujalie tusome na tuelewe na tujue sikurukia rukia tusio yajua tusiseme tusio yajua tunadhalilika kwa wasomi na watu wanajua kumbe huyu yuko hivi uwezo wake mndogo? tulijua bingwa wafani kumbe mweupe? mwengine aliekua anakuheshim atakudharau na kusema kumbe huyu hajui hatamiye ninamshinda? tujitambue kilamtu ajue sehemu yake sio lasima sisisote tue dhehebu moja dunianzima nasiolazima tulingane elimu na uelewa na ufahamu wewemwenyewe hapo mkonowako mwenyewe vidole vipo vitano nikuulize vimelingana? kwanini visilingane wakati vyote navyowewe? kwahio unayegemea kwasababu mtume tunaemfuata ni mmoja akili inakutuma elimuzetu na akili zetu na uwelewa wetu utakua sawa sawa?
Mchamungu ningumu kumjua na dhehebu sahihi na watu sahihi wachamungu anawajua Mungu pekee anaejua ninani kapatia au kakosea tuepuke kuingia katika nafasi ya Mungu:
Mohamad Bachu ww umepata kuzijua Siri za Mbinguni ndani ya moyo wako sioni unafiki ktk kumuabudu Allah. Mungu akuinue zaidi na zaid
Kukosa adabu na jeuri nyingi haiwezi kuvunja hadhi ya sh.Barazanji Mwenyeezi Mngu amekitilia taufiq chasomwa ulimengu mzima.
Acha kujibu ujinga, maulid ni shirki,Tena msitafute kujifaharisha na Hawa watu,hakuna kitu
@@mwajumamohd7930 Maulidi sio shirki kabisa tuko na dalili na hujja na haya ni masaala ya ikhtilaf yaweza kuwa bidaa lakini kwetu ni bidaa hasana lakini hakuna mambo ya ujinga.
Ndugu yangu, kusomwa ulimwengu mzima si hoja ya kuwa ni halali. Wengi wanasoma kitabu kile bila kujua maana ya maneno yaliyo andikwa. Wanasoma na kukiamini vile wanaamini ndani yake amesifiwa Mtume (SAW). Lakini, Je, amesifiwa kihalali? Au amepewa sifa ambazo mmiliki wa sifa hizo ni Allah (SW) pekee?
Point ya msingi hapo ni Sheikh kuacha jeuri kwenye kuongoza wale ambao anadhani wamekosea au wale walio kosea kweli.
@@rushu1232 hakuna bidaa Hassan katika dini Bidaa ni Bidaa na MTUME alikuwa ashawajuwa watu Kama nyinyi ndio Akasema WAKULLA BID'ATUN DHWALALA , WAKULLA DHWALALTIN FIL NAAR....
Mumeshakanywa na MTUME (S.A.W) kuhusu BID'AA...
@@MuhammadMuhammad-gr2qv kapande ngamia,usitumie spika msikitini,usisalie kwenye zuria maana mtume hakufanya hivyo,usitumie mitandao ya makafiri kama hii ya simu mtume hakutumia.hata Quran zama za mtume iliandikwa kwenye mawe,magome ya miti,ngozi, Leo mbona INA muonekano tofauti na asili yake?hebu rudini mkasome vinginevyo pandeni ngamia au punda ndiyo ulikuwa usafiri wa mtume.
Hizi ni hitilafu katika dini, usivuke mipaka kuhisi wewe ndio upo sahihi kuliko wao, Allah atupe mwisho mwema inshaAllah, Nakupenda kwa ajili ya Allah🙏
ua-cam.com/video/r96M_M7SLDk/v-deo.html
Brother hakuna hitilafu ya uzushi na shirki. Maulid ni shirki na uzushi mtupu
Brother hakuna hitilafu ya uzushi na shirki. Maulid ni shirki na uzushi mtupu
Msiseme Mambo msiyoyajuwa
Unataka fata hutaki acha
Mimi nasikitika saaaana kuona munajiangika kwenye mitandaoni, mauudhu ya dini ni uso kwa uso mukarekebishana, Ile yausawa tukafundishwa, ni aibu kubwa maneno makali na vitendo vichafu mashekhi, kwani hakuna mashekhi wakubwa waku ya hukumu makosa hayo, tafadhalini mukae chini utaratibu wa kidini, alhamdulilah bi neema tul Islam, wa allah yahdikum,,,,
Hapa hakuna mazungumzo.
WAISLAMU WOTE WENYE KUSOMA DUA, UISLAMU UMEDHALILISHWA. ATAKAELIWACHA HILI KUMUOMBA MUNGU AWADHALILISHE WALIOTUPA UZAO WA MTUME SAW, BASI ATAHUKUMIWA.
Bachu mungu akajalie uwambuwe mashehe wa mchongo
Naam
Ndo nyinyi hao,na nyinyi ndo mnafanya hakunyeshi mvua
Watu wanajipa utukufu na kuzusha masuala ya maulidi
Hakufanya Mtume Muhamad S.A.W
Wala maswahaba hawakufanya
Tabiina
Wala
Tabii tabiina
Maulidi ni Mila za mashiaza kuwakashifu maswahaba WA Mtume na watu WA maulidi wanasema asiepiga maulidi hawampendi Mtume tofauti na mashi ipo wapi hapo
Maana wasiopiga maulidi ni maswahaba hivyo tunawatukana
Shia wanatumia DIRECT SPEECH
WATU WA BIDAA WA MAULID WANATUMIA INDIRECT SPEECH
Uislam wa hivyo wa majivuno haupo wa bachu
Wallahi ukisoma ukafahamu raha sanaaa kwa hakika anavyo tafsiri barzenjiii ananifurahishaa sanaaa manaaa hakuna anacho patiaaa katika tafsiri yakee Maulidi ni yakwetu kitabu chetu lakini Maana anatoa yye asiehusika Wee unafikiri atapatiaaaa
kwel barzenjii ni kitabu chenu nyie masufi
Lazima mujitetee kama munavopindua tafsiri za ayaa na hadithi ili mutetee uzushi wenu.
Mtume gani alipewa hicho kitabu chenu?
Inalilalah wainailaih rajiun shekh bachu mungu atakuadhibu
Ukitizama picha kubwa tuwape hongera maadui wa kiislamu namna wamefaulu kutugonganisha! Na hapa utakuta hizo fitna za Najdi zafanya kazi. Mawahabbi wana ukosefu wa ilmu Kisha na adabu!
Babake alipoambiwa kafa na hakua mtu wa sunna aliteta sana lkn yy akufurisha na kutusi wazazi na mashekh wa wenzake anaona ni vzur tu yani hajafunzwa adabu kbsaaaa huyu bachu
BAARAKALLAHU FIYKUM. Aina hizi za video zinatuelimisha
Kwani hajui kilicho mfika babake na yy aendelee kutukana mashekhe na maulamaa
zinatuaibisha japo zaelimisha aibu8 mafunzo2, ki mimi kama ni jihadi bora nipigane kupinga ufiraun na sio wenyewe kwa wenyewe ajili ya sifa za UKUBWA astaghafirullah mungu ametunusuru tunahepuka NUSURA Subhanallah
@@khaleedabubakar4403 Kilimfika Nini?
Sheikh bachu yupo sawa Allah amuhifadhi
Kukufurisha umma mzima ni kosa kubwa sana na lugha mbaya siyo katika uislam.
Njoo Kenya tukusomeshe Nathmi ni nini Sajg'hi n nini ndio uje umkosoe barzanj😂
Sheikh Bachu yupo tayar uje umsomeshe lakini ulipoona jamaa yupo serious sabab kibaooo😜
Hujibu hoja unadokoa dokoa t sehem ndogo ndogo kama ww una amini Elimu yako kubali kukaa na Muhammad Bachu mfundishane
Mtusafi hawezi kukaa na mtu mchafu na asiyekuwa na heshima.upo
Hata mm sikai na bangi huyu bachu
Fahamisheni watu musilumbane, akikosea njia ni wajib kumuelekeza.
KITABU CHENYE USHIRIKINA NDANII NI MAKOSA KUKISOMA NA KUSOMESHA WATOTO.
WATU LAZMA WAAMBIANE UKWELI NA UKWELI SIKU ZOTE UNAUMA SANAA .
Tunapoteza wakati wetu kukashifiana na kutukanana badala ya kulingania suluhisho la kisawa Al-khilafah. Masheikh wetu wameghafilika na kuzama katika mijadala isiyo na maana. Lau nguvu hizi zingetumika kwa njia ya sawa, Wallahy Uislamu ungekuwa unatabikishwa katika mgongo wa ardhi.
NI KWELI HATA KUSHIKA HII KITABU NA KUSOMA KWA MUDA UTAPOTEA HAWA WATU WA MAULID NI HATARI ILIKUWA ZAMAN WANATEMEA CHAKULA MATE WANASEMA NI BARAKA
Ushaidi wako ukowap
Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
Sasa alichokusudia nini?
Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
Mfano Allah Anasema katika Quran:
يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
Ikisha kwingine Allah Anasema:
الله يتوفى الأنفس حين موتها
Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali
SUBHAANA LLAH,Mtihani kwakweli .
Hakika kijana hata kama wewe Mohamed Bachu hukubaliani na Barzanji, haina haja ya kuita wenzako Mushriik, Jaribu kuwa funza, ndio sawa, hicho nikiburi
Eeeh Muhammad bachu hio sio tabia ya mtume wetu Muhammad
صل الله عليه وآله وسلم
Bachu ana lana huyo kijana very disrespectful...kwa qawli..
Mimi nataka kuuliza sheikh Othmani maalim na sheik mohammed bachu, nani alie soma zaidi na mwenye elimu zaid.. acheni kupelekeshwa na bachu kwani machache anayo yasema ni ya kweli na mengi yao anayasemea jinsi unavo mtuma moyo wake kusema ivo.. Alhatimy nawe jifunze jinsi gani ya kuielewesha jamiii ili uweleweke unacho ongea, kwan kushindwa kwako kufafanua ndo kunapelekea lawama nyingi sana kwa watu wasio soma sana elimu ya dini kuangukia kwako japo kua upo sahihi..
Huyu kijana ni muhuni mkubwa kumbe hafai hata kukaa mbele ya jamii hana adabu kbsaaaa anatukana watu hajali hata ukubwa wao na elimu zao shenz fedholi sana huyu jamaa
Shekhe nataka utupe dalil kuwa roho ya mtume sallalahu alayhi wasallam ilipotolewa malaika walipiga laini mpaka mbinguni
Hahaha
😅😅😅😅😅
Fikra iko chini
Hebu iulize tu AKILI yako
Inawezekana au haiwezekani
Kabla hujapata dalili, ikiwa kama mtu wa kawaida hupokewa na Malaika wa heri na kuogelea na ROHO yake hata wakaipeleka ROHO wanakoipeleka "wannashitwat nashata"
Kwani Quran haikusema utafakari "Afalaa tafakkarun"
Hebu TAFAKARI inawezekana au haiwezekani?
😁😂😂
@@haridyhillaryndembo1946tunatakiwa tutangulize kitabu na sunna sio akili
Inalilahi wainailayhi rajiuna Dunia imeisha mashekhe wapigana vita mpk lini jamani
Mi nlidhani utajibu hio hoja kuwa hio ibara inayosema kuwa amani iwe juu yako ewe mwenye kufuta madhambi.. Msituchanganye kwa sababu sisi wengine alhamdulilah tunajua kiarabu.. Mi sisemi kuwa maulidi yanafaa au hayafai kwa sababu sina dalili.. Ila kama mnataka mufanye maulidi basi tafuteni kitabu Chengine sio hicho kimejaa uongo na shirki.. Mtume hasamehe madhambi Bali Allah ndio anasamehe madhambi
WEWE BACHU KASOME., USIZARAU
Hata ww nenda ww piaya ukasome
Hyu kijana balehe ya elimu inamsumbua
@@abubakarsaid8606 mi najielew ni ww tuuu
Adabu ni chombo muhimu katika elimu.
Sahihi kabisa ndugu yangu. Ila bid'aa za mambo ya maulidi ni jambo ovu mno kwenye uislam mzima
Kumbe hawalali umekuwa mauwui kwao mashallah hiyo ni neema kubwa sana
SubhanaaAllah hyo n kitabu bachu anarusha hvyoo😢😢😢
Kitabu kina ushirikina ndani
Jufri ni mshrikinaaaa
We namba moja 1 dunian
Wee wamuita mshirikana wewe wajuwa kizazi Chako kiukamilifu
Mtume s.a.w, alisema zitafika zama dunia itachafuka yaani wenye ilmu wataonekana hawajui kitu na amabao hawana ilmu ndio wataonekana wajuwa na kupata wafuasi.... vijana wadogo wanaosoma sasa wana hamasa sana na kujifamya wao ndio wajuwa kila kitu ilhali mtu amesoma kodogo tu. Hao wazee waliopita walifanya mengi na maisha yalikuwa mazuri na heshima na adabu kwa kila umri angalia leo mambo yalivyo kuwa kila mtu hajui wao ndio wajuwa. Na huyu kijana bachu yeye kazi yake kukosow tuuuu yaani yiwafwatilia kila mtu kumtowa dowa badala yakutowa darsa zake. Msubiri imam mahdi aje kukukosowa na kukutekebisha na wewe
Mahdi ??? Kwa ushahidi gani
@@saidbajoun4374 nimekutajia mtume amesema bado wauliza ushahidi...... wataka kujuwa ama wataka ushindani?? Fwata unavyotaka kaburi kila mtu na amali yake hulazimishwi kama wajuwa na wajitosheleza haina haja ulize......
@@majidsaid08 bado hujatoa dalili ukisema mtume amesema ata mimi nitasema mtume amesema nipe Aya au Hadithi ata dhaifu kaka sasa ukisema mtume amesema na hakuna isnad matin wala rawi utakua wewe ndo umesema njoo na dalili kaka haina haja ya kukasirika
@@majidsaid08 mambo ya Imam Mahdi ni Uzushi mtupu
Kwelii Hawa vijana wanatusumbuaa Sanaa wanajifanya sana wajuwajii
MaashaAllah baaraka Allah
Wallah yasikitisha SUBHANALAH. ,Mkumbushe ...اياكموظن...kama pia wanakumbuka hadithi za mtume ...waonekana Wana Mtume wao
Baaraka llahu fyka m.n.bachu.
Bachu mtume hakufanya da’wa ya namna hiyo kumbuka hicho kitabu ulichokitupa ndani yake kuna jina la Allah 😭😭😭ebu fikiria mara Muhammad alafu acha chuki na dharau mihadhara yako imejaa chuki binafsi badilika Muhammad
Subhanallah huu n mtihan mkubwa kwa ummah Wa kiislam ,kukashfiana ktk mitandao mnachangany watu hasa weny elimu ndogo.tafuta njia nzur ya kufany ummah upate faida nzr
Hata upike chakula kizuri vipi ila kikiingia kinyesi utatoa kinyesi au utakimwaga?
Allah atustiri Inshaallah heeeeeh ila hiy bachu anatumia maneno makali akaaaaa 🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Kwan watu wa maulidi wanamuabudu Mtume S.A.W. Hicho barzanj shirk tupu
Ata baba ake hakuwa hivi fedhuli ijapo Haku support maulidi hakufika kufru hiii
Huyo Mtoto wa Bachu anapo alipoteleza hayo ndyo Matunda yake na kipo kitakacho mpata labda arudi nyuma na kuacha kutukana wanachuoni
Kabsaa
Hakuna mwanachuoni hapo hao ni makuhani
Acha kujitetea acha maulidi uwe muislamu muumin asie mzulia mtume S.a.w
Mungu amsaidie bachu kwa elimu yake chache na potofu. tumeona wengi walotangulia kama yeye mwisho wao ulikua vipi
🤣😂😆 Shariff ukweli usemwe!
Si elimu ndogo Hana hata hiyo chache
Hoja hamna
Bangi bachu
ELIMU INAENDANA NA HEKMA HANA ELIMU NA HANA HEKMA HUYU BACHU BWANA MTUME MUHAMMAD S A W KUWALINGANIA MAKAFILI MIAKA YOTE HAJAWAII KUWAKASHFU HIVI MAKAFILI WA KUWATUPIA VITABUVYAO WANAVYO VIAMINI HIVII HUYU BACHU HAJIELEWIII
Muhammad bachu Allah amhifadhi
Alhatimy imekuuma eeeh
We ukiambiwa kafiri utajiskiaje?
{ لَمۡ يَكُنِ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ مِنۡ أَهۡلِ ٱلۡكِتَٰبِ وَٱلۡمُشۡرِكِينَ مُنفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأۡتِيَهُمُ ٱلۡبَيِّنَةُ }
[Surah Al-Bayyinah: 1]
Ali Muhsin Al-Barwani:
Hawakuwa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina waache walio nayo mpaka iwajie bayana,
{ رَسُولٞ مِّنَ ٱللَّهِ يَتۡلُواْ صُحُفٗا مُّطَهَّرَةٗ }
[Surah Al-Bayyinah: 2]
Ali Muhsin Al-Barwani:
Yaani Mtume aliye toka kwa Mwenyezi Mungu anaye wasomea kurasa zilizo takasika,
Leo Mtume huyo yametupwa history yake na makafiri. Kama alivyoyafanya aboud rogo. Yakamkuta
Twayiiib
baadae ya kuwaingiza watu kwenye uislam mnapigakelele wenyewekwawenyewe
kwani ww maulid umeyatowawapi
@@saidyiddy1770 maulid (mazawa ya Mtume saw) tumeyatoa katika SIRA ya Mtume saw
Na kama unasema daawa ya mtume s.a.w , Mtume Muhammad s.a.w hakulingania maulid. Acha makorokoro hayo na tosheka na yale aliyokujanayo mtume Muhammad s.a.w.
Hii ni fitna kubwa sana Kwa ummah na mujtamaa wetu. Mambo Yako mengi tu ya kunasihiana bal ni maudhi yalioje mtu na kijiilimu chake tayari ashambulia na kukashif Bali na kukufurisha mashekhe na Wanachuoni wengine.
Inna Lilah...
Muhammad Haya mambo yatakuja kukutia kwenye majuto siku zambele ujute ukijutia badilika Ndugu yangu
Acha mikwara ww
@@mwaramimwarami1479 Mimi sfanyi mikwara Endeleeni tu kumponza
Hakuna kitakachomfanya ajute huyo jamaa na wenziwe ni wanaoabudu makaburi hapana asiejua kwanza kusema kilemba chake ni tangu kutoka kwa Mtume huo ni uongo wa mchana
@@abdulwahabbakar8677 shida hamtaki kufatilia madamu shehe kasema bc ww unatosheka... fatilia ili ujue sheikh alisema ukwli au shehe wako kamsingizia na kumuita muongo bila ya sbbu.... afwan
jibu hoja usilete malalamiko
Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
Sasa alichokusudia nini?
Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
Mfano Allah Anasema katika Quran:
يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
Ikisha kwingine Allah Anasema:
الله يتوفى الأنفس حين موتها
Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali
Masha Allah alhamdulillah
Atatupa korowan ya Allah kweli wew nichizi ane tupa korowan ya Allah basi huyo kamkataa Allah kwaiyo huyu ni kibuli mungu akuhukum wew na walimu wako raana ya mwenyezi mungu ziwashukie
Jibu hoja alizozitoa sheikh Muhammad bachu ,usizunguke ukayawacha zile hoja zote za msingi alizozizungumza
Kama huziwezi sema hoja ZAKE huziwezi
Allah Akuongozeni watu wa maulidi murudi katika haki
Sishangai kwa mtoto wa Bachu kwa kitendo hicho maana nishawahi kumsikia kwenye moja ya clip yake akisema wazazi wa Mtume Mohammad wamekufa hali ya kuwa ni makafir na wataingia motoni
sasa shida iko wapii hapoo?? na dalili zipo tatizo ninii ama vile hujasoma waskiza tuu
Ndio ilivyo hivyo mbona hajatajwa mwengine
Watoto wa zinaa ndivyo walivyo mumsamehe tu yule dogo hajitambui
@@halimakassimngare4873 tuekee huo ushahidi
Weee vp sasa wazaz wa mtume walkua waislam au,? Hem ustoe lawama wakt Elim yako ndogo
kweli huyu kakosa adabu ya elimu ... Mungu akuongoze bachu mdogo
Na mkubwa pia Hana adabu
Asalaam alaykum...uislam umetufundisha usitarabu..vip tena...tukose hekima ya kuambiana....yaani alhatimy..alimkosoa sheik Muhammad Nassor Bachu..kwa kielimu na aya ndani ya qur'an...na ushahidi kabisa...vip tena amuite mwenzake...mushrik...
Umewekwa sawa mushrik.
shekhe unatutia wasiwasi kuhusu akili Yako kweli nimzima weweee hamna kilevi chochote unatumia aaa sio Bure umedata kijana pole sana duuu
Basi andaeni mijadala tuje tupate elim,,
Bachu anajifnya yupo perfect si uislamu unavyotak
Nashangaa sana mashekhe mnapoteza muda wenu kujibizana na kijana mdogo ambae bd ana mambo mengi maana vijana wadogo mala nyingi balehe inawasumbuwa ndo maana mashekhe wengi hawakubaliyani na mauridi ila hawajarusha kitabu ila huyo muhammed karusha hamuoni ni balehe inamsumbuwa elimisheni watu siyo kujibizana mitandaoni kila siku radi jifunzeni kwa shekhe othumani maalim yy kimywa hajibizani na watu ni shekhe wa kuigwa kule kunyamaza kimywa kwa mtu mjinga ndo jibu lako
من جهل شيأ عداه
Al Hatimy. Wacha maongezi mengi!!!
Wewe msomi na Sheikh Bachu msomi. Panga siku, wakati na eneo. Macho kwaacho Uso kwa Uso. Hii video nusu nusu waaachaaaa!!!
Kidume wewe na Bachu kudume.
#facethereality 😎
Innalillah wainnaailyh raajiun daawa ndo imefikia hapa kibri Cha wazi hiki hata hao wasio waisilam hawalinganiwi hiv dah mtihan tumeacha kuwalingania watu wasio swali tunatukanan leo dah
mashia mnatabu elim ndogo hta huna uelewa hlf eti shekhe mchamungu anamjua allah
SubhanAllah...mbon najisikia vibay mim
KISA?
Muhammedy bachu hana adabu
Umeshindwa hoja sasa watafta vijisabab hahahaha
Hana hoja wallah,sioni anachoongea,na maulidi siendi tena
@@mwaramimwarami1479 kwahyo kuwaita waislam washrikina ni sahihi
@@mwaramimwarami1479 Ulikazimishwa kwenda??
Kweli kabixa
@@adamhashim3352 Kwa dalili ni sawa nyinyi ni washirikina sio waislamu, muislamu humuomba ALLAH tuu hapitii kwengine kama wakristo (kwajina la yesu), au umesahau (laa-tadduu maa-llahi ahada)?
Pasuwa akhiy usihofu Allah Allah Yuko nawe bn bachu
Allah hayuko na majuhalaah
Maulid shirk kweliii
Alhatimy keshaelewa SoMo ila anatafuta njia ya kutokea
Achaga ujinga
Huko ndiyo kushikamana ktk kamba ya Allah?
Subhanallah huyu kijana naona anapersonal issues...hana nidhamu kabisa...
Ni mpuuzi huyo Bwana mdogo
Bachu ako sawa kabisa...watu wa maulidi wanakufuru kabisa...Hana hoja anatafa huruma huyu shehe wa maulidi
Unataka nidham ipi kama m2 anapotosha wa2 kwenye dini
@@kassimali2273 Basi wakwanza kuwapotosha watu katika dini ni Allah, ukifanya Dhambi watakiwa umuelekee Allah akusamehe au wende Kwa Mtume Muhammad saw? Kasome Suratun nisaai Aya ya 64, acheni chuki hii ni dini ya Allah, tusomeni tuelewa then ndio tukatafute huo ukubwa mitandaoni na kwenye mimbari.
Mavitabu yamejaa shirk hayo maneno wanayomsifia mtume yafaa asifiwe nayo Allah ko sheikh Allah akuongoze ujue tofaut ya Allah na mtume .
Acha masheikh wakemee uzushii maulidiii harammm
Alhatimy wewe ni mbabaishaji tuu
Assalam Alayka Yaa Mahiya dhunubi
Amani juu yako ewe mfuta dhambi.
Je Mtume saw anauwezo wa kufuta dhambi? Hapana. Yeye kama yeyw hana uwezo huo.
Sasa kwanini Imam Barzanj kasema maneno haya? Kwanini ampe Mtume saw ambayo hana? Tena sifa ambayo anasifika nayo Allah?
Hakumpa sifa ya Mungu na wala hakukusudia kuwa yeye Mtume saw mwenyewe ndie mfuta dhambi.
Sasa alichokusudia nini?
Kakusudia kuwa Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi. Hii katika ilmu ya balagha inaitwa “majaz mursal na alaqa yake ni sababiya”. Yaani, Mtume saw ni sababu ya kufutwa dhambi.
Mfano Allah Anasema katika Quran:
يتوفاكم ماك الموت الذي وكل بكم
Atawafisha malakul mawt ambae amewakilishwa kwenu
Ikisha kwingine Allah Anasema:
الله يتوفى الأنفس حين موتها
Allah Anafisha nafsi wakati wa kufa kwake.
Sasa anaefisha Allah au malakul mawt? Tunasema Anaefisha hakika ni Allah ila malakul mawt kutajwa ni majaz mursal alaqa sababiya, yaani, yeyw ni sababu ila simfishaji.
Law si hivyo utasema kuna kupingana katika Quran jambo ambalo ni muhali
HIZO BIBLIA HAZITUPWI CHINI 😭😭😭
ABDUROGO ALIDHURIKA BAADA YA KUKIKEJELI KITABU CHA MAULID
@@hilalkhalfan1452 Ndoo Shirki hizi maswahaba waliuawa waliteseka na barzanji haikuwepo nao walikejeli nini. Kheri na shari zatoka kwa Allaah. Unatukuza hiki kitabu kana kwamba kinatoka kwa Allaahu. Nyie kama mnataka kumdhuru alfu mjifichie eti barzanji mmefeli
@@suleymansalim5732 kheri na Shari anaepanga ni ALLAH SW. kwaio wewe ni mshirikina wa kwanza kuamini Shari zinatoka mikononi mwetu. Abdurogo alidharau maulid na AKADHURIKA, kwaio kudhurika kupo njia nyingi. Sasa subiri uwone utabiri wangu kama utaanguka chini.
Msahafu unatupwa chini Kila Leo na hamsemi et Leo barzanji ndio mumekuja JUU Kila ni kitabu kama Vitabu vyengine au Kuna nabii kapewa brzanji ... Naona unakujua JUU na mambo ya kitoto kabisa alhatim ww ndie ulianza hii mijadala na yaonesha wazi ulikua hulala tangu 2017 uliopoiona ILE video ikawa unasema tu Muhammad bachu ntamjibu lin hilo ndio lilikua mdomoni mwako maiaka yote io duh
@@mawaidha386 kama msahafu umetupwa basi hujaja juu wewe tu, uliza tulinfanya nini yule mkiristo alioukejeli msahafu. Nenda kaulize. Sasa wewe naona unatafuta sababu za maksudi kuona ni jambo la kawaida tu kuikanyaga kitabu kilichohifadhiwa mazazi ya Mtume saw. HILO ATALIPIA UCHUNGU WAKE KILA ATAKAE FANYA. endelea kufuatilia
Roho inauma sana hivi ikishindikan ki daawa hakun ingin njia yakumuelewesh huu ambae anae chafua wanazuoni
Asalaam alaykum warahmatullah, Mimi ni mfuasi wa Hadharat Mirza Ghulam Ahmad as imamul Mahd na Massih aliyeahidiwa, natoa maoni kuwa,Imamu Mahdi amefika, sawa na khabari alizotufahamisha mtume Muhammad saw, wacheni malumbano na kutukanana na kudharauliana, mpokeeni Mahdi wenu enyi waislamu,