Mashaallah maneno mazuri kabisa yenye kutia faraja na raha ktk nyoyo za waislam siyo yale ya upande wa pili ya kujivimbisha vifua eti atamaliza mjadala kwa dakika 5 kwa dalili gani alizokuwa nazo au ndo hizo za kukaririshwa? Cha ajabu hata jina la shekh wetu pia anakosea eti anasema Bacho sisi tulidhani kiarabu tu kumbe hata kiswahili kinampiga chenga! Allah akulipe kheri shekh wetu Muhammad Bachu
Hii ni vita baina ya Haqqi na Batili, na watu wa Haqqi siku zote hawaachi kuitetea Haqqi na Watu wa Batili siku zote hawaachi batili yao. Allaah akupe nguvu na ulimi nyoofu uweze kuwatandika hawa jamaa mpaka tujuwe moja, kukaa ktk usawa au kukengeuka kabisaa kila mmoja ajuwe kua hawa watu ni waovu kweli. Na munaaqasha tuna hamu nao sana Wallaah
Sheikh siku ume points kitu kizuri kusema munakasha ufanywe kila sehemu natamani kumuona alhatmiy kuja zanzibar alipopeleka salam umepokea salamu sheikh Allah akuhifadhi
Me naweka kabisa pesa yangu ya mchango na bando, haqi itasimama tu. Allah atusafishie nafsi zetu mjadala ufanyike kwa ikhrasi na atuondolee chembechembe zote za ria, kwa wasemaji na wasikilizaji ili wote tupate faida fidunia walakhera
Sheikh Muhammad wallah unatupa nguvu sana sisi watu wa sunna kwa durusu zako na rudud zako Allah akupambe kwa siha na uvumilivu na akujaze Ilmu zaidi.....
InshaaAllah Allah atueke hai tuskilizeni Kwa makini tufaidike,kigogo wetu twakusubiri watu wailimike jamani Kwa hadith sahih na sunnah,naamini Allah ataonyesha Haki iko wapi .
Maasha Allah tabarakallah sheikh Muhammad Allah akupe afya njema na umri mrefu na ilmu zaidi tunaomba munaqasha uwe live sisi tulio nnje ya nchi tuweze kupata faida in shaa Allah
Hakika Allah akujalie mengi zaidi inshallah natamani ningekua na elimu Kwa Hawa wasio muogopa Allah bali wanaogopa Ukweli hakika natamani elimu insha Allah
Maashaallah tabarakallah. Allah atujaalie Afya na umli wenyeheri. Na munakasha ufanyike na tuelimike maana watuwa maulidi wanakela kuchezacheza bilayahaibu na mingoma yao
Allhamdhullillaih hapo ndipo tutamaliza na kukata na kujua MAULIDI yapo katika UISLAM na mafundisho aliotuletea MWALIMU wetu MTUME WETU MUHAMMAD( swala na salamu ziwe juu yake)
Watu wanaeneza ushoga, kuijaza makosa dini yetu, nyinyi mnabaki mashallah , pumbavu, tutafute mambo ya msingi ya dini vipi tutawakinga watoto wetu na mashakili yalotuzunguka na kusimama na kalima LAILAHA ILLA LLAH MUHAMADA RASUULULLAH. Maulidi , hitima, muandamo wa mwezi sio mada za kujiona wewe unaelimu ya dini, chako ni kiburi tu kujiona unjua zaidi ya wengine,MOH'D ALLAH AKUONESHE NJIA SAHIHI, NA USIWAPOTEZE WENGINE
Sawa inshaa Allah atupe Allah atuwepesishie maana huku shekh Diwani anatoa Darsa hakuna tauhidi Aina tatu ni kugawa Allah sehemu 3 kama wa Kristo atahaiendani
Shukurani najua wao Hawa Akina shekh Diwani wanaendekeza Dunia lkn mm uoni wangu, Shekh Muhammad Nassoro Bachu kesha wa Maliza na wesha kiri kwamba kesha waweza wote ndio maana hawataki aendelee na hizi nakashi kwa ajili watazidi kuadhirika
Hapa Ashshaykh Muhammad Bachu anaanza kutuangusha. Sababu Ashshaykh Sabasi al Qubra amekuomba mufanye Munaqasha baina yako weye na yeye, Lakini weye unaposema kuwa unaomba Munaqasha huo wajumlishwe Mashaykh wengine. Hapo unanza kutuonyesha kuwa huwezi au unajaribu kuleta uzito ili Munaqasha huu usifanyike. LAKINI ALLWAHU LMUSTAAN.
Mimi napinga kabisa kabisa hili jambo linalofanywa na hawa Mashekhe wet sio sahihi, tabia ya kurushiana maneno mitandaoni si miongon mwa maagizo ya Allah kwenye Quran yake tukufu wala hizo Sunna wanazo zipigia zogo siku zote, "mtakapo tofautiana katika jambo lolote la dini rudini kwenye Quran na Sunna zangu mimi MUHAMMAD S.A.W" kwa kukaa shuura kwanza ndip mtangaze kwa watu kip sahihi kifuatwe. Mambo hayo waachiwe wasanii na wengineo...😔😔 ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA INSHALLAH 🤲🤲
Sheikh Muhammad, Alhamdulillah tumenufaika na mtiririko wote wa mjadala huu wa maulid, kwa mwenye kusikiliza bila ya shaka ameshajua ni ipi haqqi na batil ni ipi Ivi ni kweli kuna haja ya hili jambo kuliwekea munakasha coz kwa uelewa wangu mdogo wa hay mamb mwisho wa mumakasha hua haun mshindi pamoja na itakavokua kila mtu anaondok na msimamo wake ule ule. Mi nahic tu elimu ishawafkia wengi na huu mjadala ungeishia hapa coz hata ufanye nn wew kazi yako ni kuelimisha tu uwezo wa kuongoa anao Allah Subhaanahuu Wataala peke yake Allaah akubarik kwa jitihada zako zote
Waislamu kuweni makini Sana Asaivi kuna njia nyingi watu kutafuta ama kukusanya pesa. Kama ni kuchangia kwaajili ya munakasha Kwanini Tusiwasaidie Majatima,, Masikini na Wajane.......
Toka niliposikia mtoto wa Bachu anamdharau baba yake Nassor Bachu mtandaoni nasema huyu kijana sio mzima kichwani. Anadhani kumsema marehemu ni thawabu, tena marehemu mwenyewe ni baba yake mzazi! Tena anamdharaulisha mtandaoni? Waislam tuwe makini. Uislam ni dini ya Allah sio ya mtoto wa Bachu. Muone tu anavyojitukuza na kujifanya ndio kiongozi wa Waislam. Subhaanallah!
Njoon na Tumbatu nako tunahitaji kujua uharam na uongo wa Mauludi kwasababu huku imekuw ibada kubwa n madrsa zetu zilizokuwa za kuhifadhish qoran saiv imebakia mizik na maulidi Innalillah wainna ilaih rajioun msib mkubwa
Burundi 🇧🇮 Tumeshaga vunja hao watu wa bid'a ila karibu saana kwetu Bujumbura
MTOTO wa bachu binti yangu angekuws mkubwa ningekuozesha !!
Maulidy nimeacha juzi kati baada yakubainishiwa haki Alhamdulillah kuwa mtu wa sunna
Masha'allah tabarakallah,Allah aendelee kupa istiqama kwa Hilo akhui
Hukuw mtu wa maulid tokea kale
@@muslihallyiddi kwa sababu ulikuwaga na unamjua toka kale?
Mashaallah maneno mazuri kabisa yenye kutia faraja na raha ktk nyoyo za waislam siyo yale ya upande wa pili ya kujivimbisha vifua eti atamaliza mjadala kwa dakika 5 kwa dalili gani alizokuwa nazo au ndo hizo za kukaririshwa? Cha ajabu hata jina la shekh wetu pia anakosea eti anasema Bacho sisi tulidhani kiarabu tu kumbe hata kiswahili kinampiga chenga! Allah akulipe kheri shekh wetu Muhammad Bachu
Hii ni vita baina ya Haqqi na Batili, na watu wa Haqqi siku zote hawaachi kuitetea Haqqi na Watu wa Batili siku zote hawaachi batili yao.
Allaah akupe nguvu na ulimi nyoofu uweze kuwatandika hawa jamaa mpaka tujuwe moja, kukaa ktk usawa au kukengeuka kabisaa kila mmoja ajuwe kua hawa watu ni waovu kweli.
Na munaaqasha tuna hamu nao sana Wallaah
Hakika naamini watajua mwanakulitafuta mwana kulipa shkh Allah akuhifadhi na wahirikina.
Sheikh siku ume points kitu kizuri kusema munakasha ufanywe kila sehemu natamani kumuona alhatmiy kuja zanzibar alipopeleka salam umepokea salamu sheikh Allah akuhifadhi
Shekh Bachu hili Sakata watalikimbia wanasema tu wala hawatahudhuria. Mungu akuzidishie kila lenye kheri
ASALAM ALEY KUM SHEIKH MUHMAD BACHU MTATUJULISHA MUNAKASHA UTAKUA WAPI
Safi sana Muhammad bachu sheikh mwenye alimu safi Allah ukulipe kher nyingi kwa kutuelimisha swahihi
Naama sheikh mashaallah
Safi sana sheikh bachu munakasha uwe live tutafaidaka nimefrahi sana
Allah Akbar, Allah yuko nawe nina imani hawata kuja
Me naweka kabisa pesa yangu ya mchango na bando, haqi itasimama tu.
Allah atusafishie nafsi zetu mjadala ufanyike kwa ikhrasi na atuondolee chembechembe zote za ria, kwa wasemaji na wasikilizaji ili wote tupate faida fidunia walakhera
Ma Shaa Allah sheikh Muhammad Nasor bachu Allah akuhifadhi nakupenda kwa ajili ya Allah
Mungu akuhifadhi cheikh wangu wewe pamoja na mzee wetu Nador bachu
Sheikh Muhammad wallah unatupa nguvu sana sisi watu wa sunna kwa durusu zako na rudud zako Allah akupambe kwa siha na uvumilivu na akujaze Ilmu zaidi.....
Sheikh bachu Allah akujaalie umri..... Shukran tuko nyuma yako na kusimama na haki
Jazaaka-llaahu khaira,Shekh tunakuombea Kwa Allah akuzidishie kila la kheri insha Allah
nimechelewa kidogo ila sasa ngoja niskilize maneno mazuri Allah atuwafikishe kuona haki na kuweza kuifata na batili kuweza kuiwacha .amin amin amin
Huyu atadhalilishwa subiri mtaona hamuezi yule sheikh sabas ata robo. Huyu ni msemaji tu sio msomi na ukitaka muulize Kassim mafuta anamjuwa
@@ausatmwangi6464 shekh sabas ndo yupi ?
Allahu Akbar,Allah azza wa jal akuhifadhi Sheikh wetu.Huku Kenya twangoja kwa hamu na ghamu!In shaa Allah
Kwa kweli rudud zakweny mitandao bila kuika mueleweshane nikinyume sana sana Allah awahifadhi
InshaaAllah Allah atueke hai tuskilizeni Kwa makini tufaidike,kigogo wetu twakusubiri watu wailimike jamani Kwa hadith sahih na sunnah,naamini Allah ataonyesha Haki iko wapi .
Maasha Allah tabarakallah sheikh Muhammad Allah akupe afya njema na umri mrefu na ilmu zaidi tunaomba munaqasha uwe live sisi tulio nnje ya nchi tuweze kupata faida in shaa Allah
Ama hapa moyo wangu baridi❤️
Aje sas huyo mpambe anaependa kujipakulia minyama mara oooh nilimnyamazisha mara nilimpiga KO😀
Tukotayari kwa mchango shekh muhammad bachu siku yoyote inshaallah
Allah akuhifadhi sheikh sheikh wetu, namini wata elewa tuuuu hawa masufi
Maashallah sheikh Allah azidi kukupa nguvu ya kueneza da'awa
Hapo quran na sunnah bas thumb up Allah akuhifadhi.
الله يبارك في دينك وعمرك وبدنك وأهلك ومالك
أشهد الله أني أحبك فيه .
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad Nassor bachu
Twayiib.may Allah make the muslim umma in the right form of belief. Ameen ya malikul quddus.
Hakika Allah akujalie mengi zaidi inshallah natamani ningekua na elimu
Kwa Hawa wasio muogopa Allah bali wanaogopa
Ukweli hakika natamani elimu insha Allah
Yuko pamoja Sheikh wangu Simba mwana wa Simba, tutachangia kama usemavo mijadala ndani ya nchi za East Africa.
Maashaallah tabarakallah. Allah atujaalie Afya na umli wenyeheri. Na munakasha ufanyike na tuelimike maana watuwa maulidi wanakela kuchezacheza bilayahaibu na mingoma yao
Allhamdhullillaih hapo ndipo tutamaliza na kukata na kujua MAULIDI yapo katika UISLAM na mafundisho aliotuletea MWALIMU wetu MTUME WETU MUHAMMAD( swala na salamu ziwe juu yake)
ربنا يبارك فيك يا اخي العزيز استاذ محمد
Hehehehe,kwanza nacheka kidogo! Sawa sisi tunajiandaa kwa NAULI na BANDO na kuisubiria siku ifike inshaallah.
Mashallh Sheikh Muhammed Allah akubarik
Allah atuongize na atuepushe na Shirk pamoja na bid'aa hakika mawili haya ni yenye kuangamiza
Mungu akuweke akupe umri mrefu shehe Muhammad bachu ..wafundishe hao watu wa maulid
Watu wanaeneza ushoga, kuijaza makosa dini yetu, nyinyi mnabaki mashallah , pumbavu, tutafute mambo ya msingi ya dini vipi tutawakinga watoto wetu na mashakili yalotuzunguka na kusimama na kalima LAILAHA ILLA LLAH MUHAMADA RASUULULLAH. Maulidi , hitima, muandamo wa mwezi sio mada za kujiona wewe unaelimu ya dini, chako ni kiburi tu kujiona unjua zaidi ya wengine,MOH'D ALLAH AKUONESHE NJIA SAHIHI, NA USIWAPOTEZE WENGINE
SINA HAKIKA KABISA KAMA SHEIKH DIWANI OMBI LAKE NI LA KWELI. (ALLAH AALAM)
Tuko nyuma yako sheikh Muhammad usijihisi mnyonge wallah tunakufuatilia sana na tunakuunga mkono wa sunna
MASHA~ALLAH
Allah akulinde al-Akhi Muhammad
Sawa inshaa Allah atupe Allah atuwepesishie maana huku shekh Diwani anatoa Darsa hakuna tauhidi Aina tatu ni kugawa Allah sehemu 3 kama wa Kristo atahaiendani
@@shadhilfaki1457kitu Cha kwnza nakusih usome iyo tauhid kwnza halaf uone km kwl Allah kagawiwa ktk sehem 3 hio sio kwl kabsa kaisome utaelewa mwenyewe
Shukurani najua wao Hawa Akina shekh Diwani wanaendekeza Dunia lkn mm uoni wangu, Shekh Muhammad Nassoro Bachu kesha wa Maliza na wesha kiri kwamba kesha waweza wote ndio maana hawataki aendelee na hizi nakashi kwa ajili watazidi kuadhirika
Mashaallah
Ila natamani uongee tu sichoki kukusikiliza sheikh wangu kipenzi ila hata ukiwa safarini naomba uwe unawajibu hawa masufi bhana
Allah ajaalie kila lenye ukwel lidhihirike hiyo sk inshaallah hlf iwe ndio mwiwsho wa maulid ambayo hayana ushahid wwte ktk qur an na sunnah
KWA KWELI SHEIKH MOHAMED IKIWA WANATAKA HIVO NAONA ITAKUWA JAMBBO ZURI SANA ITAWEZA KUJULIKANA MBIVU NA MBICHI IPI..
Huyu Muhammad bachu ,anajiona sana kasoma ,
Kila siku ukweli utamuweka mtu huru Allah akupe nguvu wengi wanakuwelewa
Wanao Pata Shida niao majahir tunakupenda sana sheh mohammadi bachu
Jairi ni ww ama wengine
@@zakariasuleiman4113 🤣🤣🤣🤣mwi a uo tafuta sindano utoe hhhh jahula mkubwa ww
MashaAllah Allah atufikishe na mchago tutatoa InshaAllah
Asalaam Aleykum Alhamdulullah sumah Alhamdulullah sasa tunaelekea mwisho wa bidaa
Allah akuhifadhi na akuafikishe tupopamoja Kwa ajili ya allah
MashaaAllah umenena vyema
Tutachangia INNSHAALLAH mzizi wa fitna tuung'oe, tupe number zako sheikh Mohamed.
Sheikh Mohammed nassor bachu Allah atakusaidia na atakuifadhi
فسيعلمون غدًا من الكذاب الأشر
Allah akupenguvu kwa kuidondosha bidaa
sheikh wetu zetu Dua tu tunakuombea Allah akupe thibati ktk huo mnakasha.
Sasa watapoteza wale wafuwasi wachache wamebaki. Alhamdulillah
Barakallahu fiik ya sheikhunaa
Inshaallah Allah akuhifadhi n'a akulinde n'a shari zao.munakasha endapo utafanyika ndo njia nzuri.yusufu diwani hana lake kujiaminiaminitu
Hapa Ashshaykh Muhammad Bachu anaanza kutuangusha.
Sababu Ashshaykh Sabasi al Qubra amekuomba mufanye Munaqasha baina yako weye na yeye,
Lakini weye unaposema kuwa unaomba Munaqasha huo wajumlishwe Mashaykh wengine.
Hapo unanza kutuonyesha kuwa huwezi au unajaribu kuleta uzito ili Munaqasha huu usifanyike.
LAKINI ALLWAHU LMUSTAAN.
Allahu Akibaru Allah atuweke inshaallah
Allah akbar maaashaalah bachu
Hakuna kisichoezekana sheikh kwa uwezo wake Allah dini lazma inyoke
Mimi napinga kabisa kabisa hili jambo linalofanywa na hawa Mashekhe wet sio sahihi, tabia ya kurushiana maneno mitandaoni si miongon mwa maagizo ya Allah kwenye Quran yake tukufu wala hizo Sunna wanazo zipigia zogo siku zote, "mtakapo tofautiana katika jambo lolote la dini rudini kwenye Quran na Sunna zangu mimi MUHAMMAD S.A.W" kwa kukaa shuura kwanza ndip mtangaze kwa watu kip sahihi kifuatwe.
Mambo hayo waachiwe wasanii na wengineo...😔😔
ALLAH ATUONGOZE KATIKA NJIA ILIO NYOOKA INSHALLAH 🤲🤲
Lazima wafahamishwe hawa wanawapotosha watu au naww ndiomingonimwao
Hawaelewi Sunna hawa lazima waelekezwe
Sheikh Muhammad, Alhamdulillah tumenufaika na mtiririko wote wa mjadala huu wa maulid, kwa mwenye kusikiliza bila ya shaka ameshajua ni ipi haqqi na batil ni ipi
Ivi ni kweli kuna haja ya hili jambo kuliwekea munakasha coz kwa uelewa wangu mdogo wa hay mamb mwisho wa mumakasha hua haun mshindi pamoja na itakavokua kila mtu anaondok na msimamo wake ule ule.
Mi nahic tu elimu ishawafkia wengi na huu mjadala ungeishia hapa coz hata ufanye nn wew kazi yako ni kuelimisha tu uwezo wa kuongoa anao Allah Subhaanahuu Wataala peke yake
Allaah akubarik kwa jitihada zako zote
TUNAUSUBIRI KWA HAMU HUO MUNAKASHA ILI QURAN NA SUNNA VIPATE KUTAMALAKI MIONGONI MWA MAISHA YA WAISLAAM.
ALLAHUMMA BAARIK
Safi sana tunasubir Insha Allah
Sheikh huwezani na Bachu...acha utajiabisha bure, nyinyi hamna hoja
اللهم اعز الاسلام والمسلمين و اذل الشرك و المشركين 🤲🏼
Ewe Mola uheshimishe
Amin
Allah akulipe Khair Sheikh
Mashallah mashallah al alkh muhammad
Sasa ndio utadhalilishwa nguo zikuanguke
Wa kwanza leo kuview
😀😀😀😀
Waislamu kuweni makini Sana Asaivi kuna njia nyingi watu kutafuta ama kukusanya pesa. Kama ni kuchangia kwaajili ya munakasha Kwanini Tusiwasaidie Majatima,, Masikini na Wajane.......
Nitakuepo insha Allah 😊
Ishaa alla alla atazidi kuku ongoza sheikh bachu tunasubiri kwa hamu. Ilanijuavyo hawana hoja. Niliwahi kusikia munakasha uliofanyika mwanga Kilimanjaro katiyao na qasim mafuta. Hawana hoja yoyote ya kiilmu ila ubishi tu.
Nataman siku hiyo niwepo km utafanyikia dar Inshallah
Inshaa allah. Allah atuwafiq.
Inshaallah haki itajitenga na batwili
SHEKHE HAO LAZIMA WAKIMBIE HAWAWEZI MUNAKASHA
Allah akuhifadhi muhammad bachu
Toka niliposikia mtoto wa Bachu anamdharau baba yake Nassor Bachu mtandaoni nasema huyu kijana sio mzima kichwani. Anadhani kumsema marehemu ni thawabu, tena marehemu mwenyewe ni baba yake mzazi! Tena anamdharaulisha mtandaoni? Waislam tuwe makini. Uislam ni dini ya Allah sio ya mtoto wa Bachu. Muone tu anavyojitukuza na kujifanya ndio kiongozi wa Waislam. Subhaanallah!
Mola Akupe Ushindi Akhui Na Utashinda Kwani Mola Hayupamoja Na Madhalimu
Baaaraka Allah fiiika
Sheikh Mohammed bachu , kote uko muufanye Munakasha huo lkn usikose kuieka kenyya ndani ya listi za izo inchi aswa Mombasa kenya 🇰🇪
That's absolutely right
اللهم وفقه معلمنا على الثواب وعذه من الحاسدين
Assalam Alaykum, tunaomba nasi tuone mnakasha huo online sisi tuliyoko nje.
InshaAllah nipo tayari kuchangia ili mpango uwede vyema
Masha Allah
Akhee mhamadi hatuna uoganawewe tunakuamini kabisa na tunachokifahamu hawawatu hawatoweza kusimama mbeleyahoja zako wanachokijua kuweka hasirambele namatusi nakejeli kuitetea maulidi nabarzanji kwa aya nahadithi walishindwa na niliwambia wasipokuamakini watavuliwa nguo kiilim nawatatembea peku kiilim wawemakini nahilo nasi tutazidi kufatilia mihadhara yoote hadimwisho tutaona hatimaenu watuwamaulidi
Baaraka llahu fik
Natamani uwepo huo munaqasha na niwepo
Allah atuhifadhi shekhe bachu wewe sawa na dhaabu atawakutie mchanga hawawezi kukuchafua kanyaga wangaao kutwa kuvunja nazi
Tunakupenda sababu unapenda haqq
Njoon na Tumbatu nako tunahitaji kujua uharam na uongo wa Mauludi kwasababu huku imekuw ibada kubwa n madrsa zetu zilizokuwa za kuhifadhish qoran saiv imebakia mizik na maulidi Innalillah wainna ilaih rajioun msib mkubwa
Huyu jamaa na diwani wote waganga wa kienyeji
shhe bachu hao watu achana nao wababishaji t...
Bachu ni ngwamba✌🏻
Inshaallah sheikh wangu michango ipo tayari sema tu lini