Usibabaishe maneno, uwezo wako ni mdogo sana kwenye hili, hivyo basi achana nalo, usishawishi watu wamchukie Shekh Muhammad, bali kaa kimya maana huna hoja wala huwezi kujadiliana na Shekh Muhammad Bachu ktk hili. Kunyamaza kwako nibora kuliko kusema.
watu waachemzaa na mtumie wetu Muhammad allahumma Salim wasalim alei hiinimakosa makubwa Sana hery watuwakaekimia kulikohoja za kusononesha uislamu nimakosa
Ukisema watu wana sikiliza na wanapima, wewe ndie uliekuja na kuunga mkono daawa ya Ibliis ya kuwashawishi watu wawaabudu viumbe wenzao na kuwategemea na kukitisha Imani zao ktk kuona kua hao viumbe wenzao wana uwezo na nafasi kama alio nayo Allaah Azza Wajalla!!! Kwaio wamemuacha Allaah na kuwaelekea viumbe kwa matatizo yao yote. Na ndio mana yana tokea haya, watu wanaoneshwa kua hii njia ni ya makosa ndani yake kuna haki za Mola Mlezi peke yake zimeondolewa kwake na kupelekwa kwa viumbe wake.
Shekh unajua ww watu wanakuona kama hujui kusema kwa maana hutoi hoja watu wanataka hoja za kielimu Bachu katoa hoja kwa elimu vipengelee kadhaa ktk kutan ktk hadith na maneno ya wanazuon juu ya ufafsnuz wa baadh ya maneno ndan ya barzanj sasa na ww tupe vipengele aya hadith maneno ya kutetea barzanj il tuone barzanj aliandika maneno hayo kwa kuzingati Aya hadth na maneno ya wanazuoni Mbona unalalamika tuuu ! Hapo hutaweza kuwashawish watu kukuelewa karne hii watu wamesoma hawapelekw pelekw kama ulivyosoma ww zamaniiii kila alhamis dufu mtu unakesha usku kujifunza kuimba ili ukaonekane unajua kuimba ktk maulid ijao hahahahs Sasa hiv huwez kumpeleka peleka mtu kiputula putila hapa lete hoja tukuone kweli Wewe umemudoma Barzanj na kumuelewa
Sasa wwe watetea mauliditu toahoja maulidi nibidaa nabora kitupwe ichokitabu wwe Alhatimi hojayako kubwa nikusema kimeandikwa na mwanachuonimkubwa hata kama kaandika mwanchuoni kikiwa nashirki hakifai semaupendavo ongeza kilemba cc twaona chuki unazowwe usokua nahoja
Mimi sio Islamic Ila sheikh Mohammed unajiziba uyo jamaa anatoa hoja za wazi wazi na Wala hataji watu wengine zaidi yako wewe mpinge kwa hoja sio kuingiza watu wengine au wewe ni mshirikina kweli
Huyu kijana wa Bachu ni wa kusamehewa hajui afanyalo na asemalo miaka nenda rudi watu tynanasoma MAULIDI huyu ni LANATULAHA muachieni ALLAH atamuadhibu
UKWELI KIJANA WA BACHU ALLA NDIE ATAEKULIPA NAKUKUWEKASAWA WEWE KUTUPILILIA KITABU KIMO NDANIMO ( JINA LA ALLAH ,BISMILAHI)ALLAH ASIKUFISHI ILA UIPATE THAMANI YAKUDHARAU KITABU ULICHO TUPA NA ULIMIWAKO HUYO ,Allahhumma amin .
SIJAWAHI KUONA SHEKHE MPOTOFU KAMA HUYU SUBHANALLAH SIO KUHUSU MAULID PEKEYAKE FUNGUWEZI VIDEO ZAKE ZOTE MPOTOFU MTUME ALKUA AKITOA DAWA KWA UPOTOFU KAMA WAKE YY
Assalamualaikum bahati mbaya sana masheikh wengi wanaopingana kuhusu maulid,arobaini,karamu n.k,Hua hawana nidhamu ya mazungumzo,unapokuja hadharani heshimu kwanza nafasi ya uislam na waislam masheikh zetu pande zote mbili huja kwamlengo wakupata ushindi ktk jamii wakati hakutokua na mshindi ktk malumbano km haya pia tunaoshabikia haya malumbano hatuutendei haki uislam hawa masheik niwanadamu wakati mwengine wanaongozwa na matamanio yao kuliko elimu.
Ndugu yangu hapo ulipo tupa kitabu tu ndipo uliponikera kwa sababu ndan Kuna jina la Allah na mtume wake let's istikhifar kwa Hilo Kwan si Jambo dogo ulilolifanya Anglia
Mashekhe wamekosa yakufanaya mtihani kweli makafiri wana uvuruga uislam kwa nje nawao wana uvutuga kwandani amakweli nikama mapovu yabahari lakini yana maan yoyote ila ilio kusudiwa
Mbwa ataendelea kua mbwa tu hata ukimvisha joho na dhahabu, huyo mtoto ana kibri sana, yaani anajiona hakuna msomi zaidi yake yeye na marehemu baba yake, yeye mshomi sana lakini ameshindwa kujua Mungu amesema nini juu ya kumuita Muislam mwenzio (Kafiri) Mushrik
Hatimi ameshindwa hoja sasa watafuta vimakosa makosa makosa nisawa wewe pia unayo mengi sanatu wajifanya unahikma lkni nibure tu, toa hoja zakueleweka tutakuelewa lkn kinyume bado elmu nindogo tu
Ww ndie hulorukwa na akili kwa kutetea mijisheikh isiyojielewa chanzo Cha maulidi ni mashia na ndio waanzilishi na miongoni mwa baaddh ya mashia ni makafir
@@hassanmohamedigo9021 tusome kweli, maulid sio mazuri na hayana msingi wowote lakini na yeye hana lugha nzuri ya kumbadilisha mtu yeye anawadharau na kuwafanyia kejeli hali inayosababisha waislamu kwa waislamu kutukanana wenyewe kwa wenyewe sio vizuri hata kidogo
Alhaatimi usitake kuwaaminisha watu kitu ambacho sicho wala hakipo. Hakuna mahala Shekh Muhammad Bachou alisema kua wewe na wasoma maulid ni makafiri, sio kweli, nawala hakuna chuki za sampuli hii, bali huko ni kukimbia nondo ulizo tandikwa nazo.
Ni masikitiko yangu kuona waislam wanatofautiana ktk kitu ambacho hakina msingi mitandaoni.Mi naona iwapo kuna tofauti juu ya jambo lolote ni bora kukutana na kujadiliana na kufikia muwafaka au kuachia kila mtu na lake kuliko malumbano yasio na maana
inasikitisha mtume alikuwa mwerevu sanna na mvumilivu lakini mashekh wetu wanakuja mitandaoni kuonyesha ujinga ulio vichwani mwao, huku kuna wajinga wasioelewa kama sisi tunataka kuelimishwa mtatuelimisha nini ikiwa nyinyi wenyewe mnatoleana lunga mbaya na kudharauliana kama vile huo ndo msingi wa dini ya kiislam watajifunza nini wasiokuwa waislam kwa kweli dini ni akhlaki njema turudini tuangalie tulipojikwaa.
@@abduomar8438 dah nakuonea huruma Kwa usemayo unasema jambo amabalo hulijui na hili utalipa mbele ya Allah ...IKIWA Kam hujui bachu kafungiwa Kwa Nini Bora unyamaze tu .. kuliko kusema yasio ya kweli .. nenda kasikilize muhadhara wa uharamu wa anasheed ndio utajua Kwa nini amefungiwa ametaja humo sababu ya kufungiwa ...ndugu yangu muogope Allah
@@abduomar8438 kafungiwa Kwa sababu ya kupiga vita vitendo vya kihanithi .... Vp unafurahia ww hilo ... IKIWA utafurahia hilo basi ntakua na shaka na ww ....
@@abduomar8438 kupiga vita ushoga ndio kafungiwa we unafurahia hilo kufungiwa kwake ndio hio sababu ... Allah amlipe Kwa anayoyafanya amejitoa muhanga basi Allah atamplipa ...
@@mawaidha386 ww bado mtoto mm nakuzidi kw umri toka nizaliwe sijawahi kuona kijana yoyote aliyelelewa kw adabu na heshima akakulia ktk dini akawa km muhammad bachu hana adabu mashekhe hakuna hata baba ake alikuwa anaheshimu mashekhe kaishi na watu vizuri kila mmoja na msimamo wake na alikuwa na mashekhe wengi wamesomesha akienda vibaya wanamrekebisha sasa muhammad bachu kwanza hana shekhe ndio maana hana adabu wala heshima km angelikuwa ana shekhe bc shekhe wake angemwita akampa nasaha sasa anawadharau hadi mashekhe waliomsomesha baba ake
Waislamu wacheni kuzozana kwa kila mtu kujiona bora kiliko mwengine.. Hebu fwateni Quran vizuri kwa maana haikusaza kitu.... Pendaneni ndugu zangu Waislamu..
Huko kutupa kwake kwa kitabu ambacho ndani yake mna maneno ya Allah na mtume wake bila shaka balaa ime anza toka siku hiyo mpaka qiyam . Ujinga kitu kibaya saana ...
Asslm alkm ndugu zangu Allah atuongoze sote lkn ewe muislamu mwenye akili timamu wewe usiyepelekwa pelekwa ebu msikilize Muhammad Bachu umsikilize na huyo mwingine utaona haqi iko wapi Huyo shekhe hana hoja kabisa Ana ujanja ujanja tu kiswahili kingi
Asalam alaikum tunaacha kupambana na makafiri badalayake tunatengeneza makafir ndotupambanenao hakika sote tutakua niwanafiki kutumia akili na uwezo aliotujaalia allah kufanya mambo km haya hekima haipo kwa masheikh wetu nasisi wafuasi tunakubali kila neno km tupo kanisani vile.
Shida uliianza wewe inatakiwa usiwaone wenzio hawajielewi kwa wanavyovisema sasa Leo umejibiwa unarudi kwa jazba. Kama Mtu anasema Maulid ni Bidaa si umuache na kuamini kwake kwani lazima umjibu?
Huu ni unafiqi .MASWAHABA WANATUKANWA MPO KIMYA MNAKUJA JITETEA NYINYI TU NA KITABU CHENU NA VIREMBA MNAPEWA NA MTUME????????????? AJIBU HOJA NA SIO KUKWEP NA KUJITETEA KUTAFUTA HURUMA ZA WANANCHI. ATOE HOJA ATUAMBIE MTUME NI REHMA KIVIPI???? MADA AMEIP9GA PANDE AMEKWEPA
jina ya mtumie wetu Mohammad Allah hummasalim wasalim alei kieshimiwe yye hakutudhalikisha Hana m8fano mibayakwetu watu kabla yakufanya jmbo watuwafikirie makosa jamani inakera
@@hutiswalehe2444 kwani barzanji ni katika vitabu vya mungu ? Je ni Quran taurat zabur au injili hata visitupwe?. Au ni hadith za mtume s aw.hata kisitupwe.
Kafungiwa Kwa sababu ya kupiga vita vitendo vya kujifananisha na makhanithi ... Vp we uko upande Gani wa kumsapot bachu kupiga vita hivo vitendo au upo upande wa kushoto ???
Musitukanane Wala msikasirikiane na msigombane namba hiyo uislam sivyo unavyotuongoza hivo.bora mnyamaze au mmoja wenu anyamaze huyo ni mbora .Allah karim
Barzanj ni kufru na ni uongo,toeni ushahidi kuwa maneno msomayo ni ukweli
Sheikh Muhammad al Khatim. Naomba Achana na huyo mgonjwa.
Usijibizane nae, ukimya utakueka pazuri inshallah.
Usibabaishe maneno, uwezo wako ni mdogo sana kwenye hili, hivyo basi achana nalo, usishawishi watu wamchukie Shekh Muhammad, bali kaa kimya maana huna hoja wala huwezi kujadiliana na Shekh Muhammad Bachu ktk hili.
Kunyamaza kwako nibora kuliko kusema.
Hatutoacha kusoma maulidi mpaka qiyama,ww mtoto wa bacho kielim bado saanaa...unachokiweza ni kukosa adabu kwa wanazuoni
KWENDA KASOME ILMU NA NAHW KISHA UTOKE KUTOA DAWA MUNGU AKUONGOZEE
MAULID YALIKUA TOKA MYAKA NA MIKAKA NA INAKUA NA ITAZIDI TUONE NYINYI WAPOTOFU KAMA KWELI MWAWEZA WAZUIA WATU KWELI.. MAULID MPAKA QIYAMAH
Ikiwa mwanafunzi yupo hivi hasira na jazba je mwalimu wake yukoje
Elimu ni nuru nuru haimuongozi aaswi.
Mtihani kweli nyie ndo mumesoma munatuletea maajabu ndo mumesoma nini upuuzi tu
watu waachemzaa na mtumie wetu Muhammad allahumma Salim wasalim alei hiinimakosa makubwa Sana hery watuwakaekimia kulikohoja za kusononesha uislamu nimakosa
Ukisema watu wana sikiliza na wanapima, wewe ndie uliekuja na kuunga mkono daawa ya Ibliis ya kuwashawishi watu wawaabudu viumbe wenzao na kuwategemea na kukitisha Imani zao ktk kuona kua hao viumbe wenzao wana uwezo na nafasi kama alio nayo Allaah Azza Wajalla!!!
Kwaio wamemuacha Allaah na kuwaelekea viumbe kwa matatizo yao yote.
Na ndio mana yana tokea haya, watu wanaoneshwa kua hii njia ni ya makosa ndani yake kuna haki za Mola Mlezi peke yake zimeondolewa kwake na kupelekwa kwa viumbe wake.
Shekh unajua ww watu wanakuona kama hujui kusema kwa maana
hutoi hoja watu wanataka hoja za kielimu
Bachu katoa hoja kwa elimu vipengelee kadhaa ktk kutan ktk hadith na maneno ya wanazuon juu ya ufafsnuz wa baadh ya maneno ndan ya barzanj
sasa na ww tupe vipengele aya hadith maneno ya kutetea barzanj il tuone barzanj aliandika maneno hayo kwa kuzingati Aya hadth na maneno ya wanazuoni
Mbona unalalamika tuuu !
Hapo hutaweza kuwashawish watu kukuelewa
karne hii watu wamesoma hawapelekw pelekw kama ulivyosoma ww zamaniiii
kila alhamis dufu mtu unakesha usku kujifunza kuimba ili ukaonekane unajua kuimba ktk maulid ijao
hahahahs
Sasa hiv huwez kumpeleka peleka mtu kiputula putila hapa
lete hoja tukuone kweli Wewe umemudoma Barzanj na kumuelewa
Sasa wwe watetea mauliditu toahoja maulidi nibidaa nabora kitupwe ichokitabu wwe Alhatimi hojayako kubwa nikusema kimeandikwa na mwanachuonimkubwa hata kama kaandika mwanchuoni kikiwa nashirki hakifai semaupendavo ongeza kilemba cc twaona chuki unazowwe usokua nahoja
Na SS tunabaki ku comment
Mimi sio Islamic Ila sheikh Mohammed unajiziba uyo jamaa anatoa hoja za wazi wazi na Wala hataji watu wengine zaidi yako wewe mpinge kwa hoja sio kuingiza watu wengine au wewe ni mshirikina kweli
Yan kila mada unayoleta wajibiwa kielemu Kisha unahama hii nayo utahama Tena inshallah
Huyu kijana wa Bachu ni wa kusamehewa hajui afanyalo na asemalo miaka nenda rudi watu tynanasoma MAULIDI huyu ni LANATULAHA muachieni ALLAH atamuadhibu
Kwahiyo ushikamane na baranji halafu ujione uko sahihi!!!?
Kafiri ni yeye na huyo alo mfundisha kwasababu ni mtoto mjinga
Huyu bachu hakusoma hebu mpuuzeni zime mshote
Uyo Shee wa Zanzibar somzim akapimwe akili ayupo saw kabisa
UKWELI KIJANA WA BACHU ALLA NDIE ATAEKULIPA NAKUKUWEKASAWA WEWE KUTUPILILIA KITABU KIMO NDANIMO ( JINA LA ALLAH ,BISMILAHI)ALLAH ASIKUFISHI ILA UIPATE THAMANI YAKUDHARAU KITABU ULICHO TUPA NA ULIMIWAKO HUYO ,Allahhumma amin .
SIJAWAHI KUONA SHEKHE MPOTOFU KAMA HUYU SUBHANALLAH SIO KUHUSU MAULID PEKEYAKE FUNGUWEZI VIDEO ZAKE ZOTE MPOTOFU MTUME ALKUA AKITOA DAWA KWA UPOTOFU KAMA WAKE YY
Assalamualaikum bahati mbaya sana masheikh wengi wanaopingana kuhusu maulid,arobaini,karamu n.k,Hua hawana nidhamu ya mazungumzo,unapokuja hadharani heshimu kwanza nafasi ya uislam na waislam masheikh zetu pande zote mbili huja kwamlengo wakupata ushindi ktk jamii wakati hakutokua na mshindi ktk malumbano km haya pia tunaoshabikia haya malumbano hatuutendei haki uislam hawa masheik niwanadamu wakati mwengine wanaongozwa na matamanio yao kuliko elimu.
Safi Sana Ali Abubakar
Mtandao wafaa tuutumie vizuri lakini naoma nikudhalilishana hamtufunzi elimu
Sasa hivi bidaa imeelemewa sana kwa kukosa hoja, na bado tu Allah Atazidi kuidhalilisha, eti kaumia kutupa chin barzanji angekichana napo,
Kama anvyokudhaliliaha wewe
Ni kwel hatumii hekma Ila hujatuambia kwanin anakuita kafir mushrik
Subhanallah
Ndugu yangu hapo ulipo tupa kitabu tu ndipo uliponikera kwa sababu ndan Kuna jina la Allah na mtume wake let's istikhifar kwa Hilo Kwan si Jambo dogo ulilolifanya Anglia
Maulidi sio dini . Yatosha hawafunya masahaba . Na sisi hauezi kua bora kuliko masahaba mpaka kiama kisimame . Maulidi sio dini.
Mashekhe wamekosa yakufanaya mtihani kweli makafiri wana uvuruga uislam kwa nje nawao wana uvutuga kwandani amakweli nikama mapovu yabahari lakini yana maan yoyote ila ilio kusudiwa
Huu ndo uislam ulobakia!
Mbwa ataendelea kua mbwa tu hata ukimvisha joho na dhahabu, huyo mtoto ana kibri sana, yaani anajiona hakuna msomi zaidi yake yeye na marehemu baba yake, yeye mshomi sana lakini ameshindwa kujua Mungu amesema nini juu ya kumuita Muislam mwenzio (Kafiri) Mushrik
Hatimy amepewa offer ya MJADALA USO KWA USO mpaka Leo kimya. Shirki iko wazi hapo haihitaji tochi
Borojo uwache uende kuwake ana ku ana u vunje hoja
My friends mbona mwaitana majina ya makafiri na munaswali ?c muende mkawasilimishe ambao c waislam
Hahaha malalamiko tu unaruka rukaa malemba hamna kitu apo.
Anafuta kweli madhambi mtume?
Hicho kilemba imetoka kweli kwa mtume?
Cha pili sioni mafunzo hapa. Elimu ni Pana.
Al hatimy ungekua na busara ungetueleza mwanzilishi wa maulidi nani?
Kwani maulid mtume au maswahaba walifanya? Mbona majibu hatupati .na nini maana ya maulid,
Hatimi ameshindwa hoja sasa watafuta vimakosa makosa makosa nisawa wewe pia unayo mengi sanatu wajifanya unahikma lkni nibure tu, toa hoja zakueleweka tutakuelewa lkn kinyume bado elmu nindogo tu
SINA SHAKA HUYU KIJANA WA NASUOR BACHU ZIMEMRUKA AKILIZAKE .
Ww ndie hulorukwa na akili kwa kutetea mijisheikh isiyojielewa chanzo Cha maulidi ni mashia na ndio waanzilishi na miongoni mwa baaddh ya mashia ni makafir
Wacheni kuharibu dini kama kitu hakipo kwenye dini musikitie.
Wewe sheikh auna lijiwalo
Bachu ni mkosefu wa heshima kwa kila mtu Allah atamchapa si mbali.
Atakufa vibaya kama baba yake Inshaallah
Tusome kaka tusikurupuke na tusipate madhambi tuombe sana tawfiiq ya Allaah atuongoze na atuoneshe njia ya haqi
@@hassanmohamedigo9021 tusome kweli, maulid sio mazuri na hayana msingi wowote lakini na yeye hana lugha nzuri ya kumbadilisha mtu yeye anawadharau na kuwafanyia kejeli hali inayosababisha waislamu kwa waislamu kutukanana wenyewe kwa wenyewe sio vizuri hata kidogo
Wakosefu wa heshima ni hao mushrik kina hatimy na wapigao maulidi wote
Alkhatmy mbona kuna Mambo unayakimbia unazusha mengine
Sio kila msikilizaji alisomeshwa peke yake. wangine baada ya kusomeshwa walisoma .kueni makini baada ya kusomeshwa musome.
Maulid ya nafaa si bidaa
Toa dalili
@@yunusmussa7980 Hzo Dalili azitoe wp,Hana watu wa bidaa wana taabu
@@yunusmussa7980 hata mukielezwa vipi hamuelewi
@@maccabilal4868 wewe jielewe unavyozungumza hakuna mwalimu yoyote hata huyo bachu hawezi walimu wa twarika
@@yunusmussa7980 ww hutaki dalili we ushapotea tu
Alhaatimi usitake kuwaaminisha watu kitu ambacho sicho wala hakipo.
Hakuna mahala Shekh Muhammad Bachou alisema kua wewe na wasoma maulid ni makafiri, sio kweli, nawala hakuna chuki za sampuli hii, bali huko ni kukimbia nondo ulizo tandikwa nazo.
Ni masikitiko yangu kuona waislam wanatofautiana ktk kitu ambacho hakina msingi mitandaoni.Mi naona iwapo kuna tofauti juu ya jambo lolote ni bora kukutana na kujadiliana na kufikia muwafaka au kuachia kila mtu na lake kuliko malumbano yasio na maana
inasikitisha mtume alikuwa mwerevu sanna na mvumilivu lakini mashekh wetu wanakuja mitandaoni kuonyesha ujinga ulio vichwani mwao, huku kuna wajinga wasioelewa kama sisi tunataka kuelimishwa mtatuelimisha nini ikiwa nyinyi wenyewe mnatoleana lunga mbaya na kudharauliana kama vile huo ndo msingi wa dini ya kiislam watajifunza nini wasiokuwa waislam kwa kweli dini ni akhlaki njema turudini tuangalie tulipojikwaa.
umeamua kuhamia kwa shekh mwingne Bachu humuwez
Hahahah
Mwisho atakuwa chizi bachu sisi zanzibar amefungiwa mtovu wa adabu muhammad bachu
@@abduomar8438 dah nakuonea huruma Kwa usemayo unasema jambo amabalo hulijui na hili utalipa mbele ya Allah ...IKIWA Kam hujui bachu kafungiwa Kwa Nini Bora unyamaze tu .. kuliko kusema yasio ya kweli .. nenda kasikilize muhadhara wa uharamu wa anasheed ndio utajua Kwa nini amefungiwa ametaja humo sababu ya kufungiwa ...ndugu yangu muogope Allah
@@abduomar8438 kafungiwa Kwa sababu ya kupiga vita vitendo vya kihanithi .... Vp unafurahia ww hilo ... IKIWA utafurahia hilo basi ntakua na shaka na ww ....
@@abduomar8438 kupiga vita ushoga ndio kafungiwa we unafurahia hilo kufungiwa kwake ndio hio sababu ... Allah amlipe Kwa anayoyafanya amejitoa muhanga basi Allah atamplipa ...
@@mawaidha386 ww bado mtoto mm nakuzidi kw umri toka nizaliwe sijawahi kuona kijana yoyote aliyelelewa kw adabu na heshima akakulia ktk dini akawa km muhammad bachu hana adabu mashekhe hakuna hata baba ake alikuwa anaheshimu mashekhe kaishi na watu vizuri kila mmoja na msimamo wake na alikuwa na mashekhe wengi wamesomesha akienda vibaya wanamrekebisha sasa muhammad bachu kwanza hana shekhe ndio maana hana adabu wala heshima km angelikuwa ana shekhe bc shekhe wake angemwita akampa nasaha sasa anawadharau hadi mashekhe waliomsomesha baba ake
jufri na wewe ukiangaliwa ilimu yako na akili yako ndo sawa na sheikh jufri, hahahaha kajiangalie kijana, wapenda kiki
Waislamu wacheni kuzozana kwa kila mtu kujiona bora kiliko mwengine.. Hebu fwateni Quran vizuri kwa maana haikusaza kitu.... Pendaneni ndugu zangu Waislamu..
Huko kutupa kwake kwa kitabu ambacho ndani yake mna maneno ya Allah na mtume wake bila shaka balaa ime anza toka siku hiyo mpaka qiyam . Ujinga kitu kibaya saana ...
Asslm alkm ndugu zangu Allah atuongoze sote lkn ewe muislamu mwenye akili timamu wewe usiyepelekwa pelekwa ebu msikilize Muhammad Bachu umsikilize na huyo mwingine utaona haqi iko wapi
Huyo shekhe hana hoja kabisa
Ana ujanja ujanja tu kiswahili kingi
Yani hichi kihatmiy kinatia huruma ivo kinavozungumza hahahha
Nyie wa soma maulidi amjielewi nyie mna wafata wakristo
Mzee wa porojo umeshindwa kwa bachu umeamia kwingine
Mimi pia nafuta madhambi wachilia mbali mtume Muhammad
Hatotukana lakini tayari katukana
bachu soma sio watukana watu, unawakufurisha watu,,,, acha ujinga ulo nao wewe jinga zaidi ya wajinga sema hujielewi wewe kijana, mjinga mmoja weeeee, zuka kuku
Ndio wewe ni mushirik wa soma maulidi ni wa shirikina ndio ni mamakafiri
Asalam alaikum tunaacha kupambana na makafiri badalayake tunatengeneza makafir ndotupambanenao hakika sote tutakua niwanafiki kutumia akili na uwezo aliotujaalia allah kufanya mambo km haya hekima haipo kwa masheikh wetu nasisi wafuasi tunakubali kila neno km tupo kanisani vile.
Shida uliianza wewe inatakiwa usiwaone wenzio hawajielewi kwa wanavyovisema sasa Leo umejibiwa unarudi kwa jazba. Kama Mtu anasema Maulid ni Bidaa si umuache na kuamini kwake kwani lazima umjibu?
Huu ni unafiqi .MASWAHABA WANATUKANWA MPO KIMYA MNAKUJA JITETEA NYINYI TU NA KITABU CHENU NA VIREMBA MNAPEWA NA MTUME????????????? AJIBU HOJA NA SIO KUKWEP NA KUJITETEA KUTAFUTA HURUMA ZA WANANCHI. ATOE HOJA ATUAMBIE MTUME NI REHMA KIVIPI???? MADA AMEIP9GA PANDE AMEKWEPA
Mtoto wa bacho laana inamsumbua
Huyu laana itamkuta na atakufa vibaya Kwa laana mtt wa bachu
jina ya mtumie wetu Mohammad Allah hummasalim wasalim alei kieshimiwe yye hakutudhalikisha Hana m8fano mibayakwetu watu kabla yakufanya jmbo watuwafikirie makosa jamani inakera
Kwani barzanji ni Quran hata kisitupwe.
Wewe sio mzima ndugu
@@hutiswalehe2444 kwani barzanji ni katika vitabu vya mungu ? Je ni Quran taurat zabur au injili hata visitupwe?. Au ni hadith za mtume s aw.hata kisitupwe.
Hafaa mtafutane mchmbue vitabu sio kudhalilishana kwenye media
Shule ulienda kufanya?
@@hanafanysociety7405 sio swala la shule ndio nyie mbao hamuelewi mada
Au kama wewe umeenda shule ss inaruhusu na nn?
@@carolinemrinji9605 hapo Sasa ndio mahali kwenye shida
Asalaam aleykum ndugu siona elimu kama yako kutupa kitabu wewe uko na lako la chuki haya sio mafunzo
Huyo kijana zanzibar kafungiwa asijihusishe na mambo ya dini
@@abduomar8438 unajua ni kwanini amefungiwa ????
Unavo SEMA hivo unafurahia au vp ?
Kafungiwa Kwa sababu ya kupiga vita vitendo vya kujifananisha na makhanithi ... Vp we uko upande Gani wa kumsapot bachu kupiga vita hivo vitendo au upo upande wa kushoto ???
@@mawaidha386 wanajuwa wao waliomfungia
Hoja ndo muhimu usituleee ushehe wako ya maulid ,
Maulid ni uzushi. Bidaa tupu. Fundisheni arkan islam!! Mmefanya maulid ni ibada?
Yaaan likitabu limetungwa na Mtu tu ulipe heshma kama Qur'an?
Hili ndio zuzu kwel
Musitukanane Wala msikasirikiane na msigombane namba hiyo uislam sivyo unavyotuongoza hivo.bora mnyamaze au mmoja wenu anyamaze huyo ni mbora .Allah karim