Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
Mungu akuongezee hio neheema Pst
Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
Mungu akuongoze
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina
Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
Great massage
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
Ubarikiwe sana pastor
Mungu akubarik sana mchungaj
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
Be blessed pastor
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili.
Kama hautavielezea kibiblia
Msingi wa ndoa kibiblia
Ni
Moja kwa mwanamke 1-utii
Mbili kwa mwanaume
2-upendo kwa mwanaume
Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema
Sasa utakuja
Kufundisha
Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
Ubarikiwe sana mchungaji
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
Amen MUNGU akubariki
Ubarikiwee mchungaji
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
Amina Sana mungu akubariki
Powerful message
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga
Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo
Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
Your sermon is very encouraging paster
Pastor Barikiwa sana
Mahubiri mazur Ahsante
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
Very true darling
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
Amina pastor mmbaga
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
Barikiwa sana pr
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
Asante pastor
Barikiwa Pastor
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
Pastor uko vizuri
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
Mungu awabark
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka
I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
Barikiwa sana
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
Unanibariki sana paster
Amen mtumish❤❤❤ 3:36
Hakika mchungaji uko vizuri saana
Ahsante sana kwa somo zuri pastor
Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman
Amina mra hii nimejifunza kitu hapa
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
powerful message
Powerful message.thanks
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
Amen 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
Amina sana kwa somo
Amina 🙏🙏🙏
😂😂, mvua itanyesha leo.
Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki Mchungaji
Naipenda sana
Amina ❤❤
Asante sana mchungaji kwa hekima hii kubwa.
Stay blessed pastor
Amina pastor somo zuri. Ila wamevaa ovyo sana jamani😢😢😢
Si Kila mtu ni msabato
Mung akubalik ❤
Uk sawa
Whouah 👊
Nimebarikiwa sana na mafundisho ya ndoa
Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu
Somo zuri sana limenijenga
Eeeee,Mungu tusaidie tujue hiyo
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
Asantemtumishi
Mungo akubaliki
Amina
Amen..
True