#KANUNI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 чер 2023

КОМЕНТАРІ • 224

  • @mokombapomobisaop6946
    @mokombapomobisaop6946 8 місяців тому +2

    Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.

  • @KendiLydia-tf2ii
    @KendiLydia-tf2ii 7 днів тому

    Mungu akuongezee hio neheema Pst

  • @sarahezekiel3301
    @sarahezekiel3301 Рік тому +17

    Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .

  • @rachelissa115
    @rachelissa115 Рік тому +9

    Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰

    • @ibrahimmalabeja3692
      @ibrahimmalabeja3692 Рік тому

      Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.

    • @ibrahimmalabeja3692
      @ibrahimmalabeja3692 Рік тому

      Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.

  • @mildredkhavayi6033
    @mildredkhavayi6033 Рік тому +6

    Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏

  • @user-pn2ob4vd4j
    @user-pn2ob4vd4j 7 місяців тому +3

    God bless you pastor. Thanks for your nice sermon

  • @EliaSimoni-ye6lv
    @EliaSimoni-ye6lv Рік тому +6

    Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @InnocentDominoes-nc3kz
    @InnocentDominoes-nc3kz 14 днів тому

    Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina

  • @CHRISTINEONESMO
    @CHRISTINEONESMO Місяць тому

    Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu

  • @osorosamuel2023
    @osorosamuel2023 Рік тому +5

    Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church

  • @Faith-zc1hs
    @Faith-zc1hs Рік тому +3

    Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi

  • @JusterKendi-si9wo
    @JusterKendi-si9wo 8 місяців тому +1

    Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake

  • @alice-sd1sv
    @alice-sd1sv 7 місяців тому

    Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed

  • @FfFf-yb9cp
    @FfFf-yb9cp 8 місяців тому

    Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉

  • @graceb2398
    @graceb2398 Місяць тому

    Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐

  • @user-go1zz5ml7j
    @user-go1zz5ml7j 9 місяців тому +3

    Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤

  • @RachealMndambi-kv9sd
    @RachealMndambi-kv9sd 9 місяців тому

    Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Рік тому +4

    Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 Рік тому +4

    Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤

  • @cerealisfelician3807
    @cerealisfelician3807 Рік тому +3

    Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya

  • @matildamwakatuma1206
    @matildamwakatuma1206 8 місяців тому

    Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 9 місяців тому

    Asanteee kw somo mungu akujalie pastor

  • @DrChief-xw8ei
    @DrChief-xw8ei Рік тому

    Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema

  • @kasokihortense7313
    @kasokihortense7313 3 місяці тому

    unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 Рік тому +3

    Great massage

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 8 місяців тому

    Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi

  • @JohnJohn-ql2kf
    @JohnJohn-ql2kf 8 місяців тому +2

    Ubarikiwe sana pastor

  • @RehemaMuhagama-es3bj
    @RehemaMuhagama-es3bj Рік тому +1

    Mungu akubarik sana mchungaj

  • @HarrisonMuriithi-bd2jo
    @HarrisonMuriithi-bd2jo Рік тому +4

    Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.

  • @treziambukwa8978
    @treziambukwa8978 8 місяців тому +1

    Be blessed pastor

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 8 місяців тому +2

    Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili.
    Kama hautavielezea kibiblia
    Msingi wa ndoa kibiblia
    Ni
    Moja kwa mwanamke 1-utii
    Mbili kwa mwanaume
    2-upendo kwa mwanaume
    Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema
    Sasa utakuja
    Kufundisha
    Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk

  • @user-pe3cc3oq2i
    @user-pe3cc3oq2i 7 місяців тому

    Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉

  • @cosmaskabila3058
    @cosmaskabila3058 Рік тому +3

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @user-ni3nw6mt8y
    @user-ni3nw6mt8y 9 місяців тому +1

    Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤

  • @magrethclement500
    @magrethclement500 9 місяців тому

    Amen MUNGU akubariki

  • @elizabethyaadzomboelizabeth
    @elizabethyaadzomboelizabeth Рік тому +1

    Ubarikiwee mchungaji

  • @RehemaEmanueli-so2kv
    @RehemaEmanueli-so2kv 7 місяців тому

    Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana

  • @user-ys5ux2fr6v
    @user-ys5ux2fr6v 11 місяців тому

    Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo

  • @user-pp5lm7cr5r
    @user-pp5lm7cr5r 7 місяців тому +1

    Amina Sana mungu akubariki

  • @graceakech1826
    @graceakech1826 8 місяців тому

    Powerful message

  • @moniquenimbabazi4528
    @moniquenimbabazi4528 Рік тому +2

    Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga
    Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo
    Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza

  • @user-iz8vi4ty9d
    @user-iz8vi4ty9d 7 місяців тому +1

    Your sermon is very encouraging paster

  • @user-wl9bz1pt9c
    @user-wl9bz1pt9c 6 місяців тому

    Pastor Barikiwa sana

  • @sindanosamson5144
    @sindanosamson5144 Рік тому

    Mahubiri mazur Ahsante

  • @dicksonkarithi5637
    @dicksonkarithi5637 8 місяців тому +1

    You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya

  • @FainesKitinusa
    @FainesKitinusa Місяць тому

    Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu

  • @florencekanze
    @florencekanze 7 місяців тому

    Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁

  • @matireke556
    @matireke556 Рік тому +1

    Amina pastor mmbaga

  • @tumaininestory4037
    @tumaininestory4037 Рік тому +1

    Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri

  • @user-xk4wf2xp4d
    @user-xk4wf2xp4d 10 місяців тому

    Barikiwa sana pr

  • @christinapeter7131
    @christinapeter7131 Рік тому +1

    Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga

  • @user-jq6on6pw3c
    @user-jq6on6pw3c 6 місяців тому

    Asante pastor

  • @ScolaMujaki
    @ScolaMujaki 3 місяці тому

    Barikiwa Pastor

  • @PhionaAbdallah-uv5fl
    @PhionaAbdallah-uv5fl 10 місяців тому

    Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri

  • @user-ws6ws7md7b
    @user-ws6ws7md7b 3 місяці тому

    Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako

  • @alundalubuku9021
    @alundalubuku9021 Рік тому +3

    Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.

  • @samuelkusina3755
    @samuelkusina3755 11 місяців тому

    Pastor uko vizuri

  • @timothymuthomi1618
    @timothymuthomi1618 Рік тому +5

    It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.

  • @user-ef2om7ep1z
    @user-ef2om7ep1z 10 місяців тому +1

    Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...

  • @user-bd9dv7mj9m
    @user-bd9dv7mj9m 11 місяців тому

    Mungu awabark

  • @user-cl3gq1xp8r
    @user-cl3gq1xp8r 10 місяців тому

    Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo

  • @fredrickasoya7987
    @fredrickasoya7987 Рік тому +4

    Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka
    I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa

    • @RAHELIDARABE
      @RAHELIDARABE 11 місяців тому

      Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi

    • @virginianduhia691
      @virginianduhia691 10 місяців тому

      Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato

  • @pastmutokabijiramungu9513
    @pastmutokabijiramungu9513 Рік тому

    Barikiwa sana

  • @josephinesanita4904
    @josephinesanita4904 Рік тому

    Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr

  • @evoski3
    @evoski3 11 місяців тому +1

    Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.

  • @IRENEMasisi-hm1cb
    @IRENEMasisi-hm1cb Місяць тому

    asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu

  • @TammyNickolas
    @TammyNickolas 3 місяці тому

    Unanibariki sana paster

  • @user-xl8nb4we4s
    @user-xl8nb4we4s Рік тому

    Amen mtumish❤❤❤ 3:36

  • @user-hw5yr5wb2s
    @user-hw5yr5wb2s 11 місяців тому

    Hakika mchungaji uko vizuri saana

  • @stephenmpembwa6627
    @stephenmpembwa6627 Рік тому

    Ahsante sana kwa somo zuri pastor

    • @jackmasiko2583
      @jackmasiko2583 9 місяців тому

      Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman

  • @elienew3788
    @elienew3788 Рік тому +1

    Amina mra hii nimejifunza kitu hapa

  • @innocentkabeya2498
    @innocentkabeya2498 Рік тому +11

    You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.

  • @mujumbemtiifu1908
    @mujumbemtiifu1908 Рік тому +1

    Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah

  • @taizcitynam-nu8hk
    @taizcitynam-nu8hk Рік тому +6

    powerful message

    • @Allan-rg2bp
      @Allan-rg2bp 11 місяців тому

      Powerful message.thanks

    • @betrs5285
      @betrs5285 11 місяців тому

      Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭

  • @anzurunimmj9462
    @anzurunimmj9462 9 місяців тому +1

    ❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤

  • @user-kn7sr9sm6i
    @user-kn7sr9sm6i 9 місяців тому

    Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta

  • @florencebosire1352
    @florencebosire1352 Рік тому +1

    Amen 🙏

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 Рік тому +1

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @user-up6yf7vy4c
    @user-up6yf7vy4c 11 місяців тому

    Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga

  • @stivenmika5921
    @stivenmika5921 11 місяців тому

    Amina sana kwa somo

  • @nyancheraann4976
    @nyancheraann4976 Рік тому

    Amina 🙏🙏🙏

  • @rachelstephano4529
    @rachelstephano4529 Рік тому

    😂😂, mvua itanyesha leo.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Рік тому +1

    Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki Mchungaji

  • @hildamkongwa2156
    @hildamkongwa2156 10 місяців тому

    Naipenda sana

  • @anzurunimmj9462
    @anzurunimmj9462 9 місяців тому

    Amina ❤❤

  • @happyelly8575
    @happyelly8575 Рік тому +1

    Asante sana mchungaji kwa hekima hii kubwa.

  • @BarakaLatoi
    @BarakaLatoi 9 місяців тому

    Stay blessed pastor

  • @eliadaroswe5025
    @eliadaroswe5025 Рік тому +2

    Amina pastor somo zuri. Ila wamevaa ovyo sana jamani😢😢😢

  • @user-dx6rz7iu7k
    @user-dx6rz7iu7k 7 місяців тому

    Mung akubalik ❤

  • @charlessumuni9112
    @charlessumuni9112 9 місяців тому

    Uk sawa

  • @shedomumbere2044
    @shedomumbere2044 5 місяців тому

    Whouah 👊

  • @user-zz8hk3dw2z
    @user-zz8hk3dw2z 11 місяців тому

    Nimebarikiwa sana na mafundisho ya ndoa

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Рік тому +1

    Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu

  • @mercykassile363
    @mercykassile363 Місяць тому

    Somo zuri sana limenijenga

  • @TALIGU_ONLINE_TV
    @TALIGU_ONLINE_TV 8 місяців тому +1

    Eeeee,Mungu tusaidie tujue hiyo

  • @THERESIANDIMI-te6rm
    @THERESIANDIMI-te6rm Рік тому +4

    Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu

  • @HappyArcticWolf-vy7iy
    @HappyArcticWolf-vy7iy 7 місяців тому

    Mungo akubaliki

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Рік тому

    Amina

  • @estherkisamo1351
    @estherkisamo1351 7 місяців тому

    Amen..

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Рік тому

    True