KANUNI MUHIMU ZA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 90

  • @khamiomar7844
    @khamiomar7844 9 днів тому +1

    Mr Joel mm nakupa big up San uko vym .🙏

  • @NickGamba-ft8tl
    @NickGamba-ft8tl 13 днів тому

    ASANTE MENTOR, MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏

  • @user-zc9dp6zx7m
    @user-zc9dp6zx7m 2 місяці тому

    Umeua kwenye hii elimu unayotupatia bureee Arafati Tz nanyumbu mtwara

  • @marymkamwa3779
    @marymkamwa3779 8 місяців тому +1

    Am 50 yrs old now
    Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu

  • @fanikiwamaishaonlinetv6827
    @fanikiwamaishaonlinetv6827 9 місяців тому +3

    Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.

  • @enockiradukunda1174
    @enockiradukunda1174 10 місяців тому +2

    Asante sana Mr Joel , Nina mshukuru Mngu mwenye kutupa mutu kama wewe🙏
    (ENOCK from Rwand🇷🇼)

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 10 місяців тому +3

    Mungu akubariki sana wasema kweli umeniumbia kitu ndani ya maisha ya ngu🇨🇩

  • @veronicawangari8089
    @veronicawangari8089 10 місяців тому +2

    Ukweli kabisa mungu akubaliki sana . Kupitia mafudisho yako sai najitabua sana .

  • @neemalyimo9244
    @neemalyimo9244 7 місяців тому

    Ahsante sana kaka Joel leo nimejifunza kitu kikubwa sana MUNGU akubariki

  • @wilbertmlyuka5723
    @wilbertmlyuka5723 10 місяців тому +2

    Kiukweli speech zako huwa nazikubali sana. Hasa kwa jinsi unavyotoa mifano

  • @filipetoll6112
    @filipetoll6112 10 місяців тому +1

    Maneno ya kiingereza mm cyaelewi, muwe mnajikita kwenye lugha zetu zilizonyooka ili tuwe tunaelewa zaidi.

  • @user-dp9qx8oe8l
    @user-dp9qx8oe8l 4 місяці тому

    Ni kweli baba mafundisho yako mazuri sana

  • @matengamboho5098
    @matengamboho5098 10 місяців тому

    Watu watatu kama wewe dunia inakuwa sehemu nzuri yaku ishi 🤝❤️🫴

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist 10 місяців тому +2

    You never disappointed daddy 👏🏼👏🏼🙏🏻 be blessed

  • @Makofiatz
    @Makofiatz 4 місяці тому

    That's what you said ni vizuri ❤

  • @Nguzofurniture
    @Nguzofurniture 10 місяців тому

    Ahsante sana kaka nina jambo langu nitakushirikisha kama unaniruhusu maana umekua mtu muhimu sana kwangu.
    Ahsante 🙏

  • @christophermlaki5828
    @christophermlaki5828 10 місяців тому +2

    Nimekuelewa sana kaka

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 6 місяців тому

    My MENTOR, God bless you

  • @shigongodaniel-uz3vz
    @shigongodaniel-uz3vz 9 місяців тому

    Asante kwa mafundisho yako Mr.Joel

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 9 місяців тому

    Safi sana okoa jamii n kazi ya Mungu iyo

  • @pontianrweyongeza6240
    @pontianrweyongeza6240 9 місяців тому

    Kaka nakupenda sana unafundisha Mambo mazurió sana

  • @annedaniel4451
    @annedaniel4451 10 місяців тому

    Barikiwa sana kaka,na Mungu azidi kukujaza maarifa ili wengine tunufaike❤❤❤

  • @MaryGodfrey-hd9bn
    @MaryGodfrey-hd9bn 10 місяців тому

    Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏

  • @ShuwenaHajji-zc5hz
    @ShuwenaHajji-zc5hz 10 місяців тому

    Asante san umetfunua san mung akuwek maish marefu

  • @DanielMbaka-qw3uf
    @DanielMbaka-qw3uf 10 місяців тому

    we jamaa uishi milele najivunia sana kuwa haki kipindi kimoja n wwe

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 8 місяців тому

    God bless you servant of God

  • @EstherAlphonce-bm2kj
    @EstherAlphonce-bm2kj 10 місяців тому

    Uko vzr unafaa kuwa kiongoz wa taifa

  • @ndimyakekapusi8146
    @ndimyakekapusi8146 10 місяців тому

    Barikiwa Sana bro unatupa madini imara

  • @user-fv6pq9oj1s
    @user-fv6pq9oj1s 9 місяців тому

    Kaka Mung anakutumia kushape zone

  • @HildaPetro
    @HildaPetro 9 місяців тому

    Mi nakukubali sana mungu akubariki

  • @aksapeter5181
    @aksapeter5181 10 місяців тому

    Mungu akubariki sana sana ki ukweli Huwa unanifanya kupiga hatua kubwa

  • @user-yd1zh4pe7q
    @user-yd1zh4pe7q 7 місяців тому

    Unanifungua Sana ubongo na maneno yako na vitabu vyako usichoke kutupa maarifa

  • @chegemazuku2623
    @chegemazuku2623 9 місяців тому

    Mungu akubaliki sana!

  • @EmanuelEsopa
    @EmanuelEsopa 10 місяців тому

    Neno moja tu kaka Nashua sana

  • @methuselasamson2611
    @methuselasamson2611 6 місяців тому

    Brain Vitamins from this man is such an awesome❤

  • @theodosiaramadhan5626
    @theodosiaramadhan5626 4 місяці тому

    Kweli kabisa

  • @frankkagosso3093
    @frankkagosso3093 9 місяців тому

    asante kaka @nanauka ❤

  • @aliyukagambo
    @aliyukagambo 10 місяців тому +1

    Noel tunashukuru Tanzania lazima tupambane tuzishinde roho za umasikini 😢

  • @UshindiBulambo
    @UshindiBulambo 10 місяців тому

    Facts and inspires for really get u from malawi as a refugee in dzaleka dowa

  • @user-fw5jq6bp2t
    @user-fw5jq6bp2t 9 місяців тому

    Jamani uko sahihi mmmh penye kusaidia ndugu hapo hakika yakikukuata hata kama uliwasaidia vipi hawakusaidii dah Wacha nichukue hatua binafsi nimeshuhudia

  • @modestaflowin-iz9ok
    @modestaflowin-iz9ok 8 місяців тому

    Hakika umenifungua Leo

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 10 місяців тому

    Unatakiwa utumie Lugha moja wapo,Kama Kiingereza au kiswahili

  • @khamisomarhassan6483
    @khamisomarhassan6483 8 місяців тому

    Nakutakia kila la kher

  • @user-hp5by1cd4n
    @user-hp5by1cd4n 10 місяців тому

    Brother Mungu akubariki sana

  • @user-te6ej9mb3l
    @user-te6ej9mb3l 9 місяців тому

    Kaka ubarikiwe sana

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty 10 місяців тому +1

    Kila siku napenda kuchukua point zako, napenda unachokifanya bro. Mungu akubariki sana Ili uzidi na uzidi kutupa hayo madini.

  • @Nicholousmwanyangala
    @Nicholousmwanyangala 10 місяців тому

    Brave one day I'll meet with you for more conversation sir brace

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 10 місяців тому

    Mr joel nmekuelewa

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 10 місяців тому +1

    Asante sana

  • @user-ne4ks4yy8n
    @user-ne4ks4yy8n 6 місяців тому

    Kweli ndugu yangu

  • @user-lp6ft5bf5j
    @user-lp6ft5bf5j 9 місяців тому

    Fact sana bro

  • @user-ee8xb1tl5n
    @user-ee8xb1tl5n 5 місяців тому

    Mm nilikua nataka no Yako kaka

  • @user-cn8zl3ww5r
    @user-cn8zl3ww5r 5 місяців тому

    Fact😢😢😢

  • @GeophreyMwalyolo-hi9vy
    @GeophreyMwalyolo-hi9vy 10 місяців тому +1

    Thanks a lot a man of God

  • @DenismushiMushi
    @DenismushiMushi 6 місяців тому

    Hakika ❤

  • @user-mi4tu1zs5b
    @user-mi4tu1zs5b 10 місяців тому

    Barkiwa sana

  • @GivenMwakalikene-xb1ww
    @GivenMwakalikene-xb1ww 8 місяців тому

    Good advice broh I want to be alike oneday🙏🙏

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 9 місяців тому

    Sensa ya nchi gani hyo kaka

  • @hakuzwebirinda
    @hakuzwebirinda 10 місяців тому

    BE BLESSED.

  • @mwanaomary3034
    @mwanaomary3034 7 місяців тому

    Be blessed

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 10 місяців тому

    I'm speechless!

  • @evelynmsoma764
    @evelynmsoma764 10 місяців тому

    ❤ asante Kwa kweli

  • @eliamartine4720
    @eliamartine4720 10 місяців тому

    Nakuelewa sana

  • @matengamboho5098
    @matengamboho5098 10 місяців тому

    Mwalimu ❤😊

  • @mozoupcommingartist7779
    @mozoupcommingartist7779 10 місяців тому

    Mwalimu wanqu huyu 👨‍🏫

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 10 місяців тому

    UBARIKIWE KAKA

  • @ZIP255-j6r
    @ZIP255-j6r 5 місяців тому

    KAKA WEWE MTU BORA SANA

  • @user-bj4vy1wn4t
    @user-bj4vy1wn4t 7 місяців тому

    Blessed

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 10 місяців тому

    Tatizo Unachanganya Lugha,

  • @abdalahmtimbe5960
    @abdalahmtimbe5960 10 місяців тому

    Madini ya kutosha

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 10 місяців тому

    Nimekupata kaka

  • @user-ml6ro6lo6o
    @user-ml6ro6lo6o 10 місяців тому

    Asante brother ❤

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 10 місяців тому

    Shukrani somo nzur la kujifunza 🙏🙏

  • @user-np6rl5tv7m
    @user-np6rl5tv7m 10 місяців тому

    Good bro

  • @user-cb4yj6ul2d
    @user-cb4yj6ul2d 6 місяців тому

    Vitabu vinapatikana wapi na vinauzwaje

  • @AmaniKilona-gl8df
    @AmaniKilona-gl8df 9 місяців тому

    Great

  • @user-qh6bq9ex8q
    @user-qh6bq9ex8q 10 місяців тому +1

    naitaji namba zako braza joel

  • @faudhiaGombaeka-kf7oe
    @faudhiaGombaeka-kf7oe 10 місяців тому

    Asntee

  • @mozolijei
    @mozolijei 9 місяців тому

    Kaka nilikuwa naomba unisaidie kwa kutoa ushauri kuhusu upambanaji kwa eneo la shule

  • @emmanuelmashaka1769
    @emmanuelmashaka1769 10 місяців тому +1

    🙏🙏🙏

  • @zabronmarco1430
    @zabronmarco1430 10 місяців тому

    💯💯

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 9 місяців тому

    ❤❤❤❤🎉

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 10 місяців тому

    ✍️

  • @Its_Tokyootz
    @Its_Tokyootz 10 місяців тому

    🧠🧠🧠🧠

  • @Its_Tokyootz
    @Its_Tokyootz 10 місяців тому

    😆😆😆😆💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @Mfungo
    @Mfungo 8 місяців тому

    👍👍👍👍👍

  • @Makofiatz
    @Makofiatz 4 місяці тому

    That's what you said ni vizuri ❤

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 10 місяців тому

    Asante sana