Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩
Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.
Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.
Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération
Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.
Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii
Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee
Nakupenda pasta MUNGU aendeleee kukutunza uzidii kutupa mafundisho
Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
Asantii pst mahubiri haya yananifanya kusogea mbele za mungu,God bless you
Mafunzo mazuri sana mchunguja, Barikiwa🤲🙏🏿🙏🏿
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Barikiwa pastor; kwa neema zake Mungu baraka hizi zikawafikie na wengine sote tuongozwe katika njia zake
Ur always my favorite and best.Uzidi kubarikiwa na uishi miaka mingi naheri duniani
Hujui tu pastor vile huwa natafuta mahubiri yako nabarikiwa sana sana
Nakukubali sana Mungu azidi kukupa hekima na maarifa
Mungu atakubaliki Sana mtumishi na Mimi niombe kunakitu kinaleta ukuta katika kufikia malengo yangu ya chuo
Mungu akutendee
Uishi miaka 150 uokoe roho nyingi
Mungu fungua fikira zangu nitoke kwenye machungu
Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.
Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.
Mungu atukuzwe
MUNGU BABA na azidi kuku jaza roho mtakatifu na hekima ili ulimwengu uwone utukufu wa MUNGU
Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération
MUNGU ATENDE MUUJIZA
Mungu nihirume baba yesus nihirume 😢
ushindi kwa Yesu ni hakika
Pr barikiwa sana mahubiri haya Mungu anifungue macho nione mbele 🙏🙏🙏🙏🙏
Pasta unanipa mafundisho mema yananifanya nibadilike
Balikiwa sana mchunganji kwa mafundisho unayo towa
Pastor Mmbaga nakupenda sana kutoka Rwanda
Kwa hekima zako wewe ndiye Ps Rutayisire Antoine wa Rwanda
Amina Amina nimebarikiwa sana na somo hili nimerudia zaidi ya mara2 ❤❤❤ Mungu akubariki pastor mbanga pamoja na family yako
Amen amen 🙏 be blessed pst May God protect you and u family
Hakika,Umenibariki Pastor. Mungu baba akutangulie na kukupa maisha marefu.
Ulichosema pasta ni kweli
Barikiwa paster
Mungu alinionyesha njia za haki
Halleluyah yesu niongeze katika njia zako nimeteseka kwa mda mrefu lakini Leo utaniongoza katika njia sahihi Amina
Aki mchungaji MUNGU WA mbinguni awabariki sana,
Ila Leo umenichekesha sana bendi 1😂😂😂😂😂
Niseme je ila kushukuru mungu na akukubuke sana Pastor Mbaga umenisaidia sana kwa mahubiri yako🙏🙏🙏🙏
Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.
Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii
Ameeeen
Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee
Amen
Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu...we love you so much!..
Nko na uraibu wa zinaa lakini baada ya kukusikiza niliacha kabisa na ninaichukia hiyo tabia sana
Mnda wote napokusikiliza uwa na barikiwa sawa when you preaching can’t get tiyed of you god bless you pastor
God bless you pastor ,I'm growing daily, may God continue using you and keep you in good health.
l
Amina
amen sana mchungaji nakupenda sana mungu akupe siku nyingi za kuishi ili utufundishe neno la mungu
pasta ubarikiwenabwana,
AMEEEN MTUMISHI
Ninamshukuru MUNGU WETU wa MBINGUNI nimepokea uponyaji katika ombi hili🙏
Pastor I like your preaching because hakuna sehem unapaluka unagusa kila seem am so blessing
Stay blessings pastor Mbaga am so blessed only God can give your need 🙏
Pr niombee nitoke kwenye uraibu wa machungu
I connected for my children to stop substance abuse.
In Jesus mighty name
Baba nifinike mm na family yangu na damu ya Yesu kristu
Sa mchungaji je ukiwa ume fanya zinaaa na mchumba wako kabla ya ndoa hiyo nayo Bado ni dhambi mbele za mungu?????😔 please tujibu 🧎
Kutoka 20:14 Usizini. Thou shalt not commit adultery.
Bwana akubariki sana pr. Huwa unanibariki sana nikikusikiliza
Amina 🇨🇩
Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga
Mungu akubariki sana pr mmbaga
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa sana
Amina mtushii mungu aendelee kukutumia baba
Amen pastor ubarikiwe
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa Mtumishi
Toka songea
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen amen 🙏🙏,be blessed pastor
Nahis furaha
Mungu akubariki sana Pr.
Asante aba kwa mtu huyu maishani mwetu
Lead me in your ways ooh Lord
Thanks pastor for the good message. God continually bless you
Amina
I say waweka wazi kabisa tutupu
Amen
Mchungaji ulisema hivyo ndoa zote zitavunjika maana mme mnaaza kujadili vizuri lakini mwisho wake ni shidaaa
BWANA AKUBARIKI PASTOR
amina pastor
Amen and Amen
Amen Amen
Amen 🙏
Pastor umenichekesha eti ukichwa wiki mambo hayashiki😅😅😅😅😅
Amina Amina
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAko
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
🙏👊✌️.
MUNGU atusaidie AMINA
Nataka kuongea na yeye please
Hii church ya pastor mmbaga Iko side gani hiku Nairobi plz
Uliza s.d.a church utakuwa umefika
Gehazi bwana 😂 alikua anatabia kama za wasaidizi wa waganga wa kienyeji, wana mikwara
Mnisaindie number ya pastor mmbaga plz.niko kenya
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Amen
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
Amen