AINA10 ZA WANAWAKE WASIOPENDWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 1,2 тис.

  • @ColomboSamora
    @ColomboSamora 10 місяців тому +25

    Jaman ndoa ngum kwel 😮😮😮yote hayo afanyiwe mume mke anafanyiwa nn❤❤❤mwanamme hajui anachokitaka katika mapenzi

    • @HappyMakame
      @HappyMakame 9 місяців тому

      Kwakwel aliziki

    • @TijaraAbdallah
      @TijaraAbdallah 3 місяці тому

      Umeonaeeeeeeeeee, mara nyingibwanaume hawa timizi majukumu yao ila mke anajiongeza tu, ila wanaume hakuna kujiongeza wala nini

    • @SabinaChacha-dy2yg
      @SabinaChacha-dy2yg 3 місяці тому +1

      Wananataka mazur waoooo tu😢😢😢 wapo wanawake walojitahidi Kila sector lakin mwanaume anaamua kuchepuka na mtu ambae Hana nyuma Wala mbele mhhh mapenziiiii yaacheni tu kama yalivo

    • @tida3727
      @tida3727 3 місяці тому

      Nashangaa pia

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 місяці тому

      ​@@SabinaChacha-dy2ygmwanaume hataumpe nini atachepukatu. Huwa awaliziki na mwanamke mmoja hayondiyo maumbile yao

  • @AngelAfric
    @AngelAfric 10 місяців тому +21

    😂😂 hapo kwenye dira ma chupi 😅 jaman kaka nimecheka sana, namshukuru Mungu niko msafi kwakweli nauchukia uchafu, ila kuna wanaume wachafu sana pia

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 3 місяці тому

      ​@@mbekitv693utakuta wewe ndo nimchafu namba 1

  • @gracemosha5634
    @gracemosha5634 11 місяців тому +26

    Wanaume wanataka kupendwa wao tu lakini hawana upendo wa kweli kwa wake zao.kama ww ni mkristo ukumbuke biblia inasema wawapende wake zao km Kristo alivyolipdnda kanisa.

  • @AnagraceLutaiwa
    @AnagraceLutaiwa 10 місяців тому +22

    Kwa sasa wanawake changamkia fursa ninachoamini hakuna mwanamke asiependa kumpendeza ni maisha tu mwanamke jitafute ujipate sali,mwamini Mungu heshimu watu . Utapendwa tu .

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому +2

      Amen🙏

    • @FurahaThadeus
      @FurahaThadeus 9 місяців тому +2

      Wenye hizo sifa hatuna bahati 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 why God

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому +3

      @@FurahaThadeus Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 8 місяців тому

      ​@@mbekitv693 hzo darasa unalipia au

    • @NyandwiAran
      @NyandwiAran 7 місяців тому

      Baba asante kwama fundisho munatowa mungu akubariki zayidi​@@mbekitv693

  • @VeledianaKalolo
    @VeledianaKalolo 10 місяців тому +11

    Asante kaka kwa elimu zuri unayo tupa me bado sijaolewa ila kunavitu nimejifunza sana

  • @josephinerajabu8657
    @josephinerajabu8657 10 місяців тому +8

    Vizur na mtununulie na nguo pafyum salon nadhan hakuna ambaye hapend kuoendeza

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 11 місяців тому +22

    Ndio sitaki ndoa hizo kazi nyingi sana. Watoto, kazi za nyumbani, jumlisha na huyo mtoto mtu mzima mwe😅😅

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Ndoa haikwepeki ni kama hatma tu wakati ukifika ama riziki yako ikifika hautakuwa na chaguo. So no vyema ujiandae 😀

    • @AshaAlfred
      @AshaAlfred 11 місяців тому +1

      😂😂😂

    • @JoyceJohn-n7l
      @JoyceJohn-n7l 9 місяців тому +1

      Kama unanipa pesa sawa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

    • @evalineemmanuel8178
      @evalineemmanuel8178 9 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂

  • @AdmiringChameleon-uw6ol
    @AdmiringChameleon-uw6ol 2 місяці тому +1

    Asante kaka kwa elimu zuri unayo tupa me bado sijaolewa but nimejifuza vitu mingi sana kutoka kwako may god bless you

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@AdmiringChameleon-uw6ol asante sn

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 10 місяців тому +53

    Huyo mke anaekaa Madela mabovu Huyo mume Kazi yake nn kama SI kumtunza mkewe kula mavazi na maradhi Au hulitambui Hilo muhudimie Atakuwa vizuri.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому +2

      Kama hauna mwanaume utavaa vizuri au rafurafu? Kama utajitunza ata kama ukiwa single başı kujitunza ndio iwe tabia yako sio mpaka ukiwa na mume cos hiyo itakuwa rahisi ata ukipata mume utaendelea na usafi wako bila kungoja hadi afanye yeye

    • @nyahumuresoleil1901
      @nyahumuresoleil1901 10 місяців тому +3

      p😅p😅p😅p😅😂

    • @StellaroseMabula
      @StellaroseMabula 10 місяців тому

      ​@@nyahumuresoleil1901M

    • @johamrisho8637
      @johamrisho8637 9 місяців тому +1

      Wanaume hamjui kuvisha wake zenu mnaubinafsi. Wapendezesheni wake zenu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому +1

      @@johamrisho8637 Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @PrinceBenjamin-b7w
    @PrinceBenjamin-b7w 24 дні тому +1

    Jaman nimependa p0kea maua yako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  22 дні тому

      @@PrinceBenjamin-b7w heri ya mwaka mpya, nakukaribisha kutazama Somo letu jipya lakufungulia mwaka, tayari video ipo hapa karibu utazame na tuendelee kujifunza pamoja, asante.

  • @NdayishimiyeAgnes-of2tn
    @NdayishimiyeAgnes-of2tn 4 місяці тому +3

    Kaka ushauri mzuri,ila kakangu kuna wanaume wengine vicheche,mtu unajitaidi kufanya kila kitu,usafi,mahaba lakini bado utareswa na maneno juu,anakwambia mim sishitushwi na mambo yako,mpaka anakwambia sipendeki wakati kuja alikuja mwenyew kuku aproji😢Dah we acha tu😢😢anatumia hayo mapochopocho unayomfanyia kukuadhibu😢wengin waseme mim mmmmh 🤐

  • @AnnathNjohole
    @AnnathNjohole 3 місяці тому +1

    Ni kweli usemayo mwanamke akisimamia hapo utaskia kamroga kumbe wao hawana na hawayajui hayo, safi sana mwenye kujifunza na ajifunze upendo hutengenezwa kwa juhudi maalum pande zote. Wanawake wengi wa sasa hawayakubali haya wanaona yote ya nini wakati ndio kazi yao dunian kuwa kitulizo cha mume.

  • @AsiaAlly-m8w
    @AsiaAlly-m8w 2 місяці тому +4

    Hivi huyo mwanamke mtumwa au mke kama kubembe leza hata mwanamme abembelexe mapenzi sio mwanamke peke yake usijifagilie mnapenda sana sifa AkiendA aende

  • @WelluNangali-b6j
    @WelluNangali-b6j 3 місяці тому +2

    ❤basi ninae mwanaume shetani, namfanyia kila kitu kizuri lkn kwa kujitegemea kwa hela yangu mwenyewe. Hela yake anamtunza nayo Dada yake anayemwita ni muhitaji wake na alimtoa mwenye kwa mume wake eti alikuwa anateswa na mumewe. Kwa hiyo yeye ndiye anamtunza yaani kamtoa kwenye mateso. Lkn mimi mkewe najitunza mwenyewe nikimwomba hela yeyote ananiambia mimi sio wa kumwomba hela yeye anatoa hela yake kwa wahitaji na wahitaji ni dadake na watoto wa dadake (wapwa) zake. Nikimuuliza shida na mahitaji yangu nikapate wapi ananiambia yeye ananipenda na mimi natakiwa kitii chochote anachokifanya ni Amri ya Mungu hiyo. Jamani huyu mwanaume umfanyie nini? Nisaidieni.

  • @RachelAisha-y3d
    @RachelAisha-y3d 11 місяців тому +4

    Asante brother kwa ushauri Thanks you for Everyting

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karibu saana mpendwa

  • @JudithLoserian
    @JudithLoserian 2 місяці тому +1

    Asant kwa elim nzuri,unatufundisha tujisahau.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@JudithLoserian karibu sn

  • @SalomeJustine
    @SalomeJustine 8 місяців тому +5

    Ila mke wako anaraha Sana kapata mwanaume anaejitambua kwenye mahusiano na ni mbunifu pia hongera🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  8 місяців тому +2

      Na mimi pia ni binadamu mpendwa so sijakamilika saaaaana😀

  • @GraceWayua-s1h
    @GraceWayua-s1h 10 місяців тому +3

    Thank you for your good advice

  • @vss-du8ne
    @vss-du8ne 9 місяців тому +1

    Asante kwa mafunzo mazuri kweli❤❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @maryupendo8706
    @maryupendo8706 11 місяців тому +8

    Yeye ndio huniosha miguu,niko na mimba kubwa hata mguu siwezi kuosha,,,wanaume sometimes mtushughulikie hata nyinyi,,,wacheni kutusumbua hapa,,

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Zamu yao kuwaambia itafika ila kwasasa. I zamu yenu kwanza

  • @faredamobilo3678
    @faredamobilo3678 3 місяці тому

    True ,wakimbushee,ni haki.kumpa kitumbua kwa style zote yeah nimo sawa kwa .kote ya rabbil amina

  • @JanethMadios-oe5ue
    @JanethMadios-oe5ue 11 місяців тому +245

    Kuna wanaume pia wachafu sana, mwanaume ananuka mapumbu, ananuka mdomo , ananuka kikwapa cha hatari hao pia wapooooo

    • @JacklinePoyongo-xe7io
      @JacklinePoyongo-xe7io 11 місяців тому +4

      😂😂😂😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      @@JacklinePoyongo-xe7io 😂

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 11 місяців тому +21

      Ndo hapo sasa. Wewe uwe msafi yeye mchafu how come? Wanaume ndo wachafu kuliko wanawake

    • @mercyndoli5296
      @mercyndoli5296 11 місяців тому +19

      Kama mkenya ako hapo aniambia 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @maureensunguya8779
      @maureensunguya8779 11 місяців тому

      ​@@vanessalaizer4363 kwakweli

  • @ummibabysalim9522
    @ummibabysalim9522 3 місяці тому +1

    Asante kaka nimejifunza kitu 😊nikiolewa tena ntamfanyia mume wangu na atafika vilele vyote😂😂ila kwa sasa bado niko mbioni

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@ummibabysalim9522 Mungu atakubariki😊🙏

  • @wardazamzam8463
    @wardazamzam8463 11 місяців тому +9

    Shukra kwa ushauri mzuri sana ubarikiwe

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karibu sn n usiache ku subscribe

  • @StellahGodfrey-o1v
    @StellahGodfrey-o1v Місяць тому +1

    Ahsante kwakutuweka wazi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Місяць тому

      @@StellahGodfrey-o1v Karibu😊

  • @upendokweka8381
    @upendokweka8381 10 місяців тому +12

    Hata umfanye vp mwanaume Hana akipendacho Ni zumbukuku tu

  • @SelinaImma
    @SelinaImma 3 місяці тому +2

    Jamani 😂😂apo kwenye chupi zakutoboka haaaa 🤣🤣🤣 mambo yangu ayo 😂😂😂sema mimi sina mume 😂😂

  • @NeemaEnock-di2pc
    @NeemaEnock-di2pc 8 місяців тому +5

    Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu,wewe mwanamke ukiweza kuwa msafi unashindwaje kumfanya mumeo awe msafi,
    Kaka ,nmependa elimu yako,Mungu akubariki

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  8 місяців тому

      Kweli kabisa mpendwa una mawazo mazuri👏

    • @jasminselemani62
      @jasminselemani62 6 місяців тому +1

      swadakta umeongea point sana 🥰❤️

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  6 місяців тому

      @@jasminselemani62 asante sna😊

  • @MariagorethLupala-u2q
    @MariagorethLupala-u2q 9 місяців тому +2

    Asantee kwa somo zuri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @emmyaketch8598
    @emmyaketch8598 4 місяці тому +4

    Iyo ndoa wacha ikae,bora tuandikiane mkataba,keee

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 місяці тому +1

    Tena mtahukumiwa na mandoa yenu hayo sana wanaume sijui mijanaume ikoje mbona mihuni.sana shetani anaitumikisha mimiana ndoa mm nachukia

  • @NISHAMTEGA
    @NISHAMTEGA 10 місяців тому +9

    Ahsante kwa elimu nzuri

  • @AkimanaDomie
    @AkimanaDomie 10 місяців тому +2

    😂😂😂😂😂😂 my God ni mecheka kwenye madira 😂😂😂😂😂 ss tusie juw kujipodoa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      Fanya kitu cha kukufanya uvutie

  • @KeruboIrene1333
    @KeruboIrene1333 11 місяців тому +2

    Nakwambia haya mafunzo kwa mwenye anapenda ndoa yake ,,yana faida 💯
    Kwa kweli niko 95 percent ,hiyo tano ni saa zile nimechoka/kukasirika.
    But i appreciate my husband ananishukuru hadi sometimes ananisaidia kupika.kwa yale nimeyafanya😂😂❤❤

  • @KezeaChacha
    @KezeaChacha 4 місяці тому +2

    Daaah ni kweli unachosema bro lakin mahusiano n fumbo mm naona damu ziendane tyu ilihsia zwepo kwa wenza pande zote

  • @africa7479
    @africa7479 10 місяців тому +11

    hata ukirembaa mtu hata hakusifii mmmmh! unachoka ati

    • @jescasamson1123
      @jescasamson1123 10 місяців тому

      hahahahaa bora useme mama angu hakuna kitu hapo

    • @reginasawe3356
      @reginasawe3356 2 місяці тому

      Nmeeeecheeeka kma mazuuur

  • @Valentne-p8n
    @Valentne-p8n 9 місяців тому +1

    Yes yes good thanks 🎉🎉❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu katika darasa letu la WhatsApp 0659152333

  • @PaschalJohn-d9j
    @PaschalJohn-d9j 10 місяців тому +3

    Kujifunza ni vizuri jamani kuliko kupinga jamani watanzania lililo la kwako toa la kwako na ujitafute

  • @JenifridaJawabu
    @JenifridaJawabu 3 місяці тому +1

    Asante sana kaka yangu Mungu akutunze inategemeana na mwanaume

  • @LenathdeujiLendeuj
    @LenathdeujiLendeuj 2 місяці тому +3

    Mh MTU akikupenda kakupenda tu kuna mama hapa mtaani kwetu nimchafu atali miguu imempasuka ukiingiza 200 inazama lakinianapendwa na mumewe atali mumewe msafi yuko smati ila sasa uyo mwanamke mchafu atali akienda kuoga dk2 nying atakama umebanwa natumbo rakuhala akiingia chooni msubili maana akawii kutoka ila sasa anapendwa atali

  • @zenab3700
    @zenab3700 3 місяці тому +1

    Asante kwamafunzo mwenyekusikia naasikie

  • @dubai8594
    @dubai8594 11 місяців тому +30

    Fundisha wanaume mwezako usafi
    Kuosha pumbu mkundu wakitoka kunya wajioshe vizuri mikundu yao
    Kusugua meno na KINYWA Kwapa kunyoa na Kuosha vizuri
    JAMANI WA BABA NI WACHAFU HALAFU UKUTANE MUBABA MJEULI HATAKI KUAMBILIKA
    KABEBA UJEILI KWENYE DAMU

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +2

      Sawa mpendwa asante kwa maoni nimeyapokea

    • @janechaula2870
      @janechaula2870 11 місяців тому +4

      Jaman nimecheka sanaaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +2

      @@janechaula2870 😀

    • @MariamAlly-c4f
      @MariamAlly-c4f 10 місяців тому +8

      Mungu wangu jmn kuhusu mwanaume kutoosha pumbu na mkundu jmn ukifua boksa unakuta mavi jmn mm nilishafikiria vby mwenzenu jumlisha mwanaume kujamba kulko mwanamke jmn mm cjui mwenzenu🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️

    • @hijamwinyi3233
      @hijamwinyi3233 10 місяців тому +1

      Hahahaha

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 11 місяців тому +3

    Apo kwa chupi 😂😂😂😂zina matobo ndio mm ssa😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️hoooowiiii

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      😅

    • @FelisterOnderi
      @FelisterOnderi 11 місяців тому +1

      😂😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      @@FelisterOnderi msisahau ku subscribe jamani😀

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 9 місяців тому +1

      Hahahaha na sidiria moja kila siku ....

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      @@joycehaule9717 Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @janerosempeta5662
    @janerosempeta5662 10 місяців тому +2

    Numependa sana somo lako! Tstizo langu ni wake wanawake mtu anaamka na night dress kutwa mpaka jikoni anaingia nayo! Mie utakosana na mie na chakula chsko sili! Good advice brother continue to educate more women ❤❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому +1

      Asante sn🙏

    • @ElizabethMasamu
      @ElizabethMasamu 10 місяців тому +1

      Tengeneza na topic ya wanaume pia. Sometimes I advise you to prepare a topic which will benefit people /society. You seem to be a man of diginity so try to maintain your profile please.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  10 місяців тому

      @@ElizabethMasamu Asante kwa ushauri.. but ukitembelea videos zangu utaona mafundisho mengi sana yamewalenga wanaume so nafanya hivyo n nitaendelea hivyo nashukuru

  • @Munahi-99
    @Munahi-99 Рік тому +6

    asante sana 🎉🎉nimejifunza kitu kbsaa nshkr

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому

      Karibu sna na usikose sehemu ya pili

    • @Darling99booo
      @Darling99booo 11 місяців тому

      Sauti gani Tena Kama mtu Una hisia

  • @AgnessKomba-qg1es
    @AgnessKomba-qg1es 3 місяці тому +2

    Mafundisho mazuri ,asante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@AgnessKomba-qg1es asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @edwinacyril3611
    @edwinacyril3611 11 місяців тому +3

    Asante kwa masomo mazuri

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Karibu sn mpendwa, na usiache ku Subscribe kwa mengi mazuri

  • @rejinaglory
    @rejinaglory Місяць тому +1

    Ahsante jamaa yangu

  • @nuruomary257
    @nuruomary257 Рік тому +10

    Imeeleweka kungwi..😍 wenye wapo na mahusiano watajifunza hapa... Lakini hata nje ya mahusiano ni muhimu pia.. haswa suala la usafi

  • @selemaniseif7767
    @selemaniseif7767 3 місяці тому +1

    Sawa kabisa anatokaje sasa mwanaume kwa mfano kitanda kimenyoka ahsante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@selemaniseif7767 😀

  • @tumainpetre6596
    @tumainpetre6596 9 місяців тому +8

    Inategemea yeye anajitoa vipi kwako ndoa ni kupendana sio utumwaaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

    • @RoseMGONJA
      @RoseMGONJA 2 місяці тому

      Safi sanaaaaaaa nimeipenda

  • @ErickAndrew-lr4ls
    @ErickAndrew-lr4ls 10 місяців тому +1

    Asante kua chauriwako❤❤❤❤

  • @ZahraYahya-lh2lb
    @ZahraYahya-lh2lb 11 місяців тому +7

    Dila limechanika kwenye kwapaaaaa khaaaaa umenichekesha 🤣🤣

  • @جنئكينيا
    @جنئكينيا 2 місяці тому +1

    God bless u kaka.nimejifunza mengi kwako

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@جنئكينيا asante sn mpendwa

  • @maryMWENI-t8y
    @maryMWENI-t8y 3 місяці тому +5

    Mwanaume mwenyewe naye anatakiwa atoe matumizi ilimwanamke aweze kujipanga kama kama amaacha 200 ya mboga unajigmngarisha na nini sasa.

  • @AngelinaKayoka
    @AngelinaKayoka 2 місяці тому +1

    Mfyuu!
    Somo zuri
    Lakn kwa mwanamme anae kitambua anastahil kufanyiwa hivyo.
    Sio mwanamme hajui nahitaji ya mkeo hata shopping Kwa mwanamke hajawah kufanya hata siku moja,
    Kwa nn asivaliwe dela la kuchanika.

  • @angeliqueangelique9279
    @angeliqueangelique9279 11 місяців тому +36

    Hiyo yote hayasaidii kaka mwanaume akiamua kukuacha atakuacha tu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Fanya kwaajili yako

    • @alexbayingana7879
      @alexbayingana7879 11 місяців тому

      Kwanini mwanaume akuache unakua hujitambui mwanamke

    • @angeliqueangelique9279
      @angeliqueangelique9279 11 місяців тому

      @@alexbayingana7879 Achana na hizo habari wanaume hawana shukrani

    • @Mnyalu94
      @Mnyalu94 11 місяців тому

      ​@@mbekitv693kwaajili yangu ndo nini?😂 ukishakuwa unamfanyia hivyo mtoto wa mtu lazima uwe na expectations.. sasa matarajio yakiwa ndivyo sivyo unaachaje kuumia😅 yaan mimi nikuhangaikie kias hicho alafu unichukulie poa aah we!

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija 11 місяців тому +3

      Ila ukijitahidi atamkiachana atakumiss

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 4 місяці тому +1

    Asante sanaaa nimejifunza kitu kikubwa sanaaa mungu akuzidishie inshallah

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 9 місяців тому +11

    Hongera kaka mafunzo mazuri ila yataka moyo. ndoa za sasa zina mengi.Wanaume wengi wao ni wasaliti sana wana tamaa sana.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому +1

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @BenimanaJeannette-b3r
    @BenimanaJeannette-b3r 2 місяці тому +1

    Be blessed

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@BenimanaJeannette-b3r asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @gladohgladoh
    @gladohgladoh 11 місяців тому +9

    This is only applicable for house wives, a woman who has nothing else to do, Ila ndoa tu. Huu ndio Mimi huita upuzi wa hali ya juu…siku hizi kila mtu amesoma,kazi,sote tuko busy. Once in a while we spoil each other but isiwe mwanamke ndie wa kufanya tu na yeye hafanyiwi chochote. Wanaume watoa uvundo kwenye miguu, Pia SISI tumechoka na harufu mbaya.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Nakuelewa sana mpendwa. Ila nakuomba utafute video moja hapa hapa inaitwa Kosa la Mwanamke humo nimeeleza vizuri sana kuhusu huu mtazamo ulionao na natumai utanielewa vizuri sna.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Umenichekesha Uvundo kwenye miguu.

    • @RaymaYahya
      @RaymaYahya 8 місяців тому +1

      Mh mungu atusaidie ilitukiopewa kwenye ndoa zetu tuwafanyie il nas tudumu 0:00

  • @ZuriBeautyparlour
    @ZuriBeautyparlour 10 місяців тому +1

    You deserve a subscription..one pup!

  • @HelenMadimba
    @HelenMadimba 11 місяців тому +5

    Jamani huyu mkaka noma. Du,

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Місяць тому +1

    Wanaume nao wachafu sana

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 Рік тому +7

    🎉🎉😂Shida sio huo usafi shida huyo mwanaume anamtunza mwanamke wake kwa vitu hivyo?

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  Рік тому +3

      Usafi mpaka usubirie kutunzwa kweli? Inamaana bila mwanaume utakuwa hauogi wala haupendezi kweli? Usafi ni jambo muhimu sana mpendwa ata kama upo Single mpendwa sawa mamaa.

    • @johariabdalla3099
      @johariabdalla3099 Рік тому

      @@mbekitv693 sio kwamba usafi hadi kusubiri kuolewa laahasha
      Kuna vitu vingine tu ulivyo vinzungumzia

    • @ezekielbkuyeko5241
      @ezekielbkuyeko5241 11 місяців тому

      😂😂😂🤣 usafi wako mwenyewe mpaka utunzwe!!! Mmmh mapenz shikamoo🙉

  • @HamidMuhammed-go2sk
    @HamidMuhammed-go2sk 8 місяців тому +1

    Piano wanaume wanauka kola sehem napia hawatosheki hata ufanyeje viruka njia nyinyi sana mapumbu yananyata kama asali hakogi ila kwa kulala usijidai nass hatuwapendi pia upo bwamdogo tupishe uko muendekeze nyie tu kwalipi muhim umechelewa subutu aaaaa!

  • @LilianMakokha-r1j
    @LilianMakokha-r1j 11 місяців тому +8

    ❤ I love it

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Thnks mpendwa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Usisahau Ku Subscribe🙂

  • @DEVIABUHINDA
    @DEVIABUHINDA 10 місяців тому +1

    Ahsante kwa ushauri

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 11 місяців тому +7

    Mwanaume akipenda kapenda tu unaweza fanya yote na bado akakuchukia 😂😂

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Hiyo haitabadili uzuri wako wewe fanya kwaajili yako

  • @MonnaclassicFashion
    @MonnaclassicFashion 3 місяці тому

    Asante sana kaka yangu nimejifunza mengi asante

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@MonnaclassicFashion good

  • @angelfortunatus117
    @angelfortunatus117 9 місяців тому +3

    Hahahahahahah ila kaka unamdomo wew balaaa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому +1

      Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333

  • @MwanaharusiAlly-t2c
    @MwanaharusiAlly-t2c 11 місяців тому +5

    Atar aiseee ila Kuna watu wako perfect na wanachukiwa😔

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Hilo sio tatizo lako, kama utakuwa sawa na mtu atashindwa kuliona hilo basi hiyo ni hasara yake na wala sio yako na lazima atakuja kujutia.

    • @happynessmitanda6470
      @happynessmitanda6470 11 місяців тому

      Kweli hawana jema

    • @Räqýïbü
      @Räqýïbü 10 місяців тому +1

      Kaka umeongea point saan...mungu akubariki 🙏

  • @josephinerajabu8657
    @josephinerajabu8657 10 місяців тому +2

    Vizur

  • @ZakhiaMiraji
    @ZakhiaMiraji 10 місяців тому +23

    Toeni pesa hakuna mwanamke mchafu😅

  • @adelajames6119
    @adelajames6119 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂 jamani nimecheka ila pia ili somo uwape nawanaume kwani wanaume nishelia kuoga kutwa mara moja sipendi mwanaume asiye penda kuoga jamani

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@adelajames6119 sawa 😀

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 11 місяців тому +5

    Wanaume wengine wananuka mikojo kwa kweli

  • @zawadimohamed-i1d
    @zawadimohamed-i1d 3 місяці тому +1

    Pia hongera sana kaka kwa ushauli ubalikiwe

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@zawadimohamed-i1d asante sana mpendwa, ila usisahau ku subscribe😊

  • @AaAa-s5k2g
    @AaAa-s5k2g 11 місяців тому +3

    Ushauri mzuri kabisa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Karibu sn mpendwa

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Usisahau Ku Subscribe🙂

  • @samanthamalemba1414
    @samanthamalemba1414 Місяць тому +1

    Ata uwe vipi kama hupendi hupendi hupendi tuu 😅😅😅

  • @iddamollel946
    @iddamollel946 11 місяців тому +43

    Mwingine hata ungeyafanya hayo ni bure tu,mbwa ni mbwa tu hata ungemfanyia nini hata kaa aridhike,hata ungekuwa na mahaba kwa kiasi gani ni bure tu,wapo warembo lakini wameachika,hii tote sio suluhisho,suluhisho ni mungu tu aingilie ndoa zetu,tabia haina dawa,

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Kuwa Mwanamke wa namna hiyo Usiwe Mwanamke kulingana na Wanaume

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому +1

      Plz Usiache Ku Subscribe

    • @renathakalamage4931
      @renathakalamage4931 11 місяців тому +1

      Kwel kabisa mpenzi hayana ufundi

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      @@renathakalamage4931 weeeeeh ufundi upo mpenzi upo ufundi wa maeneo mengi mpendwa ukiona kaondoka kwako niamini nikikwambia kipo alichokifata kwingine

    • @TheopistaAloyce-ht8kr
      @TheopistaAloyce-ht8kr 4 місяці тому

      Ukimpenda mkeo utamrekebisha kwa upendo na ataelewa tu.

  • @NasurAli-sx3bb
    @NasurAli-sx3bb 6 місяців тому +1

    Shukran saana bro umegonga ndiipo

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@NasurAli-sx3bb 😊

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju Рік тому +4

    Kwakweli umetufunza kitu😊😊😊😊

  • @winilucas
    @winilucas 5 місяців тому +1

    Asantee kaka upo vzr sanaa❤

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  5 місяців тому

      @@winilucas asante sana😊🙏

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 11 місяців тому +4

    Kwa usafi wa nyuma na kubaliana nawe..lakini hayo mengine Nooo sikubaliani nawe.ongea na wanaume wenzako wajue mahitaji yao juu wanaume wengine hawa hudumii wanawake zao , sasa kama hata kutoa pesa ya sabuni ni shida mtu atafanya nini.. kwenda huko

    • @rhodalolela8640
      @rhodalolela8640 11 місяців тому

      Labda usafi mengine jovyooo na wanaume hao wajitafakari 😂😂😂😂

    • @Afsa-z2v
      @Afsa-z2v 9 місяців тому

      Mada yako nzuri lakini nyinyi ni wabinafsi sana mnataka nyinyi tu mfanyiweyote mbona nyinyi hamtupi hayo mahaba mnajipenda ww tu hununui pafyum nguo mwanamke akavae nn
      17:34

    • @neemakarisa1496
      @neemakarisa1496 9 місяців тому

      @@Afsa-z2v Mwanamke ukimpa nyama ya ulimi naku mheshimu nakumuonyasha upendo na kurekebishana Kwa hekima haki hata hicho kidogo umpacho ataridika na atakua.msafi Kila mahali,hakuna Mtu apendaye uchafu hutokea juu ya shida,ama wewe unapenda uchafu😅?

  • @ErickAndrew-lr4ls
    @ErickAndrew-lr4ls 10 місяців тому

    Kwanzia leo nitamfanyia mmewanguu❤❤ asante sanaaa❤❤❤

  • @bas2823
    @bas2823 11 місяців тому +4

    DERA! SIO DELA!

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 10 місяців тому +2

    Mafundisho mazuri kweli ubarikiwe kaka

  • @mercyndoli5296
    @mercyndoli5296 11 місяців тому +3

    Kama wewe ni mkenya kuja hapa hy mwalimu uko single ama😂😂😂😂😂

  • @ElizabethJoash
    @ElizabethJoash 2 місяці тому +1

    Kunguru hafugiki

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  2 місяці тому

      @@ElizabethJoash 😢😀

  • @HawaJeremiah-s2y
    @HawaJeremiah-s2y Рік тому +5

    Ahsante sana❤❤

  • @lyneteisaack2800
    @lyneteisaack2800 11 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂aise nimecheka vile unaigizia "bebi nacomee nacomee... usicome usocome mi bado😂😂😂 ...but nime-enjoy n kujifunza pia

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Ahaha ndio mambo yako nini hayo😎😀

    • @lyneteisaack2800
      @lyneteisaack2800 11 місяців тому

      @@mbekitv693 akuu..🤣

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 11 місяців тому +16

    Bwana wee kuna wanaume wananuka kama nini midomo mikundu na mapumbu kunanuka ajabu

    • @MamuMamu-u4c
      @MamuMamu-u4c 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @FettyAdam-s2p
      @FettyAdam-s2p 11 місяців тому

      Mapumbu 😅😅😅

    • @mememmeme7939
      @mememmeme7939 11 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂Wambieee,

  • @estalinhachisina2554
    @estalinhachisina2554 9 місяців тому +2

    Ni ukweli usemayo lakini hamtosheki anyway Acha tutimize wajibu🎉

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 Рік тому +3

    Nilimpenda kwa kila kitu ila akaniletea gono ndani😢

  • @HappinessRobert-k6z
    @HappinessRobert-k6z 9 місяців тому +2

    Kweli jaman nashukuru MUNGU anaipa hekima jinsi ya kuwa msafi hata na mpenzi wangu

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  9 місяців тому

      Karibu kutazama video yangu mpya

  • @RosaPeter-w3p
    @RosaPeter-w3p 10 місяців тому +3

    Asante kwa mafundisho

  • @mariacappelletti3323
    @mariacappelletti3323 10 місяців тому +2

    Mwanamke kazi kwanza urembo baadaye mwanamke si pambo unaonekana umekaa warabuni wewe.

  • @vomalizavomaliza746
    @vomalizavomaliza746 11 місяців тому +2

    Ka wale wanatengemea habari ndio hiyo

  • @rosedzuya6869
    @rosedzuya6869 2 місяці тому +1

    Mimi siogi, sipigi mswaki ila kwa kua kipato ninacho napendwa ajabu, hela wewe 😂😂😂

  • @aminamusa9174
    @aminamusa9174 11 місяців тому +6

    Kujitunza gharama hakuna mtu anapenda kuwa mchafu ila wanaume wenyewe hawatupi pesa tutajitu nza vipi mimi mwenyewe nauza mihogo na namtumia kuni nikipata buku ndio niwapikie watoto bamia ntanukua kweli

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      Jamani Unaweza ukawa smart sio lazima uwe kama Hamisa Ila Unaweza kuwa smart kwa level yako na unavyojiweza, umaridadi uficha umasikini sio kwasababu hauna ndio unuke moshi jamani😰

    • @marympochela7903
      @marympochela7903 11 місяців тому

      Crispin,bado u mdogo Sana katika nyanja hiyo, mahaba na michezo ipo pande zote, si kwa mwanamke tu mnaatakiwa nyote muwe hivyo. Nikwambie wanaume wengine Kama kuku, akifika mapajani tu tayari, hawana stamina.katika Hali Kama hiyo Sasa si utakaaa kwa mateso?wakati mwingine ndio sababu unakuta house boy anakusaidia kumrudhisha mkeo.
      Kama Hiyo hakîtoshi, mwanaume mkeo anaogea sabuni jamaa nakufulia na kuoshea vyombo,Sasa unategemea hiyo itaondoa kikwapa ilihali anapakaa mafuta ya nazi?. Wanaume mmbadilike kwanza ili na wake zenu wawe nadhifu.

    • @mbekitv693
      @mbekitv693  11 місяців тому

      @@marympochela7903 Kwahiyo usipokuwa na mwanaume si ndio adi sabuni ya kuogea utaikosa wewe ata mafuta nahisi hautakuwa nayo😣. Usafi ni jambo binafsi mpedwa sio hadi uwe na mwanaume Mama yangu maana mimi nimeshakuwa mdogo so wacha niongezee hapo Unatakiwa kuwa msafi ata kama ukiwa single.