Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
Amen paster Mungu akunze
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
Mungu amuongeze nguvu amuweke
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
Nahitaji no za pastor nisaidien
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika.
Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
Amen
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
Ulisaidika
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
Mungu akubariji
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
Bwana aturehem
Powerful sermons
May the Almighty God continue blessing you for us
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
God bless you pastor for your great job
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
Amen
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
Amen Pr.
Mungu atatenda
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid.
Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
Asante kwa mafundisho mazuri, umenitia nguvu na shetani hanibabaishi tena nitamkanyaga vibaya.
Mungu akutiye nguvu sana pastor
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
Amina sana pastor 🙏. Mungu akubariki
🙏
Thank you pr.
Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
Amen
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
Amina pr!
Mungu akubariki sana!
Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
You are wonderful pastor
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
Barkiwa
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
Am blessed pr.
Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi.
Paul from meru Kenya
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
Amina
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
Mungu akubariki kw kuwa mbaraka kwetu paster
Iam blessed pastor 🙏 May almighty God 🙏 bless you abundantly, from Nairobi Kenya
Mungu akubariki sana mtumishi
Thanks mtumishi
Nmefurahia sana mafundisho yako haya, Mungu akubariki sana na uniombee mimi na mke wa rafiki yangu, we omba tu ujuavyo kwa kulingana na fundisho hili
This is amazing grace from God for His people
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
Be blessed
God is power barikiwa sana mchungaji
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri 🙏🙏
Asante Sana Mtumishi wa Mungu,
Good job pastor, Mungu akubariki, uendelee kuuvunja ufalme wa adui
Barikiwa sana mutumishi wa mungu kwa mafundisho yako ninabarikiwa sana Amen kutoka kenya
Oh powerful.
Remain blessed Pastor.
Thanks for the somo barikiweni servants of God
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
Asante pasteur
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
Amina mchungaji bwana akubariki sana
Thank you Pastor, God Bless you
Hello pastor am bonny from Kenya after listening to your sermon I wish to talk to u sijui how
Nashukuru sana mchungaji, umenipa ujasiri kweli kweli na mungu aendeleze kazi yako, Amina!!!
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
Ubarikiwe sana Mtumishi
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
Ahsante na barikiwa sana mtumishi.
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
Selfa btogether ana fii Oman
Mungu akubariki sana pastor 🙏
Amen nalifuatilia xn kila mahuburi yako n nabarikiwa mno moyo watulia mungu akujalie n nguvu uendelee kuhubiri neno lake n kutuelimisha
Praise God pastor am in Kenya and am blessed by your teachings
Mungu aibariki familia yako pr pamoja na team yote ya mahubiri Tv na somo hili Bwana azidi kulipenyeza zaidi kwa wokovu wa wengi wapate kufunguliwa
Barikiwa sana mchungaji Mungu akubariki sanaa
Amen
Amen pastor
I love your Word of God.Thank you Pastor. From Kenya.
Baba mbaga jmn Mungu akubarikie n akupe maisha marefu sifa n utukufu n kwako Yesu mwana wa Mungu
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
Kama kuna mtumishi amenisaidia kukua na kunifundisha nikaanza kuelewa kukua ni wewe Pastor Mbaga Mungu azindi kukutumia maana unabariki wengi
Ubarikiwe mtumishi
Asante ,Mungu akubariki..umenitia moyo
Nabarikiwa sana kupitia channel yako. Mungu akubariki sana Mchungaji
Amen
Mungu akubariki Mtumishi unatuinua wengi🙏🙏🙏
Pastor nashukuru Sana, umenipa encouragement
Somo zuri,nimebarikiwa mno
Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake
Mungu atusaidie...ubarikiwe pastor😍