Galilaya Central SDA Choir(GC)-Sheria. (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 10 вер 2024
- Zingatia maneno saba tu katika wimbo huu utakuwa umeelewa wimbo wote.
Tungejua vipi DHAMBI bila kuwepo SHERIA ndipo NEEMA ikashuka ikaletwa na MWOKOZI na hiyo INJILI yake yeye aliyokuja nayo MWOKOZI ikatengeneza KANISA na WACHUNGAJI wahubiri.
Hitimisho ni kwamba twaokolewa kwa neema yake Yesu Kristo,bila kupuuzia sheria yake Bwana maana sheria inaonyesha dhambi zetu na neema ya Bwana inatuokoa.
Kwanza hamuna mambo mengi sana hamsuki hamjipambi sana kweli nawapenda sana
Wimbo mzuri, fundisho bainifu la wimbo, mavazi yapatanayo na uchaji Mungu wa kweli, muonekano wa kicho. Basi ashukuriwe Mungu aliyewaongoza kufanya hivyo, maana suala la mavazi ni upepo mkali sana unaosomba wanawake wengi jehanamu. Waimbaji wanaovaa kama wa kidunia na mapambo ya nywele za bandia, ni mawakala wa kuwafukuza waislamu wasione kuwa ukristo ni dini ya adililifu katika unyenyekevu wa kweli unaowezekana kadri ya ufanywaji upya wa moyo kupitia neema yake. Maadui wakubwa wa wapagani na waislamu ni wakristo wenyewe kwa mienendo yao miovu isiyopatana na utauwa. Ashukuriwe Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetiwa Muhuri na Baba afaye upya ndani yetu. Neema iongezwe kwetu katika kumjua ipasavyo ili walio nje ya Kristo wasione makwazo kwetu.
Ahsante sana..
Naisubr kwa ham sheria kutoka galilaya
Touching beats good n blessed song
kwanzia nywele, long dress,white attire, utunzi na ubunifu WA kipekee, Mungu awahifadhi na awinuie siko zote za maisha na mzidi kumtumikia
Ahsante sana
Mungu awabariki sana, mzidi kumuinua Yesu watu wote wamwone 🙏🙏
Mvp hongereni kwa nzuri.picha nzuri, (mpangilio) mwonekano na n.k
Amina; Barkiweni sana watumishi WA Mungu Kwa KAZI NZURI na NJEMA.
"Kwa pamoja we are one in the family of God"
Wimbo ulio na mahubiri tosha, hubiri kamilivu.
A whole sermon Law,sin, grace , Savior (Christ), Good news (Salvation), Church and Pastors. How they relate.Wonderful!
Get blessed wimbo mzuri,inspired by you spread the gospel
Amen and Amen. Twaokolewa kwa neema bila kupuuza sheria...
Waoooo wimbo mzuri sana hauchoshi kusikiliza,Mungu awabariki sana.
Barikiweni Sana Kwa kujitoa kwenu kumtumikia MUNGU 🎤🎶🙏
Hakika nyimbo zenu huwa zinanibariki naipenda sna hii kwaya
KAZI zenu ni nzuri Sana MUNGU awalinde
Congrats sana kwa wimbo mtamu
Mungu awa bariki wapendwa🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Jamani twaisubiria kwa hamu sana
Nawapendaga sanaaaa galilaya choir hakika wimbo ni mzuri songeni mbeleeee kwa kazi ya MUNGU tuzidi kuombeana nankutiana moyo.
Amen
So nice song
Mungu awabariki sana Galilaya kwaya kwa wimbo/ ujumbe mzuri sana unaotusogeza Mbele za Mungu.
Vizuri sana wapendwa katika kristo
Amen
Your songs are so blessing and encouraging....keep the fire burning
MUNGU aitwe tu MUNGU mnahubiri sana maana wanavutwa naye roho wake njonii tukamilishe kazi yake aliyo twambia i really blessed.
Kwa kwelimnanibariki sana
Huu wimbo wa kiinjilisti kabisa huu, mbarikiwe waimbaji
Mungu baba awasimamie nyimbo nzuri sana imetulia hadi inanipa amani ya Moyo 🙏👏
Amen Mungu ashukuriwe
Hata mimi nafurahi sana mnavyomwimbia Mungu kwa furaha na Amani. Mungu awabariki mno mno
Ni kitu cha kuigwa
Galilaya nawapenda sana Mungu awabariki sana kwa mahubiri yenu jina la yesu kristo liinuliwe
Hakika Mungu awabaliki kwa huu ujumbe mkali.Kwa ukweli injili imesambazwa Kila pembe la dunia.
Bwana awabariki Sana Sana azidi kuwainua ili muenderee kumtumikia bwana kwaunyenyekevu zaidi unyenyekevu wenu unalipa
Amen Pr .
Mbarikiwe sana wapenzi.Mungu aende mbele yenu
wimbo huu nimeupenda natamani siku moja tuimbe pamoja mungu awabariki
blessed alot,,,Mungu azidi kuwabariki saana
Piga kazi na mbarikiwe sanaaaaaa ♥️
Amina sana edina
Wimbo mzuri sana, Mungu atusaidie tukaimbe mbinguni
Nimewapata vyema nimebarikiwa mnoo
Ooh waoooh aminaaa barikiwenii sanaaa
Hakika mnanibariki sana Mungu awabariki mnooo ktk kuifanya kaz yake
Asante Bwana Yesu sasa nmeelewa kupitia wimbo huu
Muzidi barikiwa nawapenda
Jamani huuu wimbo unanibariki saana,, na umenifundisha mahisiano kati ya shetlria na neeema,, galilaya barikiweni mnoo,,
Amen
Mbarikiwe sanaa bando lanqu linaishiaqa kwenye huo wimbo unaniqusa sanaaa
Aliyetunga huuu wimbo Mungu ambaliki Kwa kipaji hiki pia waimbaji Mungu awabariki Sanaa kwakwel ninabarikiwa Sanaa na huu wimbo
My first encounter with the sweetest voice 2024 August 30th. Na neno litasimama. Wapi wakenya 🇰🇪🇰🇪 sending hugs from Singapore
Mbarikiwe mnoo kwakweli ninyi ndio waimbaji Sasa wasabato harisi hamchezi hamsuki kwakweli mbarikiwe
Nakubaliana nawe Kabisa,they are the only SDA members that have remained standing
Barikiweni Sana wapendwa 🙏
Wimbo huu unanifariji mungu. Awasaidie msoge mbele
Amen
Karibu sio muda tutakuja na wimbo unaoenda kwa jina la vitakatifu
Mubarikiwe sana wimbo muziri yani nashinda nausikiriza hata sichoki
Amen
Asanteni sana kwaya ya garilaya kutubariki mazimbu
Mungu awabariki sana
Tubarikiwe wote
Mbalikiwe wimbo unaujumbe
Yani kwaya hii mmeimba vizuli Sana mung awape nguvu msonge mbele
Amen
Na uku kwetu Burundi nyimbo zenu zinatufulahisha sana ❤❤
Amen karibu sana Tanzania
Hakika mmetengeneza video nzuri love you guys
Safi Sana,ongera wana wa Mungu
Nawaombea sana watumishi wa Mungu kwa huduma yenu njema
Amen ubarikiw
Mungu awabariki sana ❤❤
Mmeimba vzr Sana songeni mbele
Really men and women of God. Be blessed brethren & sisters.
Bwana awabariki sana
Wimbo mtamu sana naomba nimjue mtunzi wa huu wimbo anitungie hata mmoja. Hongera sana kwake
ukimpata na mimi namuhitaji duuuu hongera zake
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe
Wìmbo safiii, Ujumbee full na video swafii. Mbarikiwe
Bwana awabariki songa mbele
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Amina
Absolute truth in this inspired piece! 💯
Your songs are a blessing. 🙏
#KENYA
Kwaya yangu pendwa❤
Ubarikiwe
May God bless you
From Ethiopia
THIS SONG IS NUMBER ONE , AMEN. SO LOVELY TO ALL PRESENTERS .
Love the simplicity and natural beauty. God bless you all.
Mungu awabariki wimbo unangsa
Amazing good song🙏💦
Amen alléluia félicitations
Glory to God give us all your songs in English all thanks to the mighty
Mbarikiwe sanaaaa❤❤❤❤❤
Woooooow more love from 🇰🇪
Welcome madam
Wimbo mzur sana nimeutafuta kwa muda mrefu sana Mbarikiwe sana Watumishiiii
Hakika muko vizuri MUNGU awabariki
Kazi jema
Waoooh wonderful nice song
Powerful message
Amazing beautiful 🥰
Natamani sana kuimba hiii kwaya au nyarugusu
Karibu sana
Mbarikiwe jamani
Wonderfully sang.God bless you.
Amazing God bless all 🙏🇰🇪🇺🇸
Nawapenda sana❤❤❤❤❤
Ahsant sana tunakupenda pia
Hakika mkuu wa mavazi anajua jinsi ya kuwapendezesha napenda nyimbo zenu sana mbalikiwe sana
Amen
Stlye yenu nmeipenda San mnahubri injil kutokan na muonekano wenuuuuuu
So wonderful ❤...May God uplift you in the ministry 🙏🏽🙏🏽
Nimebalikiwa sana nawimbo wa shelia mungu awabaliki sana tukopamojaaa sana namkazane mkaimbe nambinguni pia asanteniii sana 🐦🐦🐦
God bless and go forward
Mungu mwema hakika
Well done
Ufafanuzi na ufunuo mzito jinsi kazi ya MUNGU inavyotenda kazi chini ya mbingu!
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri wana wa MUNGU na kwa sauti zilizofanana na malaika wake mbinguni wanaomwabudu MUNGU usiku na mchana
Amen
AMINA
Daah ukisikiliza nyimbo za kumtukuza Mungu zinatutia nguvu zinatuliwaza ata kama ulikuwa na mawazo yanaondoka
Ujumbe mzuri sana,you humble my heart,Mungu awabariki sana
Choir smart
Mungu awabariki galilaya choir nimeumpenda wimbo n mzuri msonge mbele
May God bless the choir. Just summarized the Law and Grace❤❤❤
Napenda wimbo Huu sana..mbarikiwe waimbaji
Waoh!wimbo wenu umenibariki sana,Hongereni sana🥰,Thanx Anecia Pontian for the link’ u shared
Blessed always
Jaman mungu awazidishie maisha malefu muzidi kumutumikia bwana mubakikiw sana tunazidi kubalikiwa❤❤❤
Mmeupiga Mwingi sana.MUNGU Azidi kuwatumia kupeleka ujumbe.
Wimbo murua
Karibu san
Karibu san
SHALOME WAPENDWA KATIKA KRISTO.
Kwa kweli Mungu azidi kuwa nanyi katika safari ya wokovu na azidi kuhimarisha huduma hiyo ambayo hadi sasa ni Mungu peke yake ndiye ajuwaye myoyo inayo okolewa piya inayo rejeshwa kupitiya kazi hiyo Mungu awajaze zahidi nguvu za roho mtakatifu injili ifike pote.
Nime barikiwa.
Amen
Amina kubwa sana hakika inapendeza sana kuwaona ndugu zangu wa damu na marafiki zangu tulosali pamoja kipindi nipo mazingira ya karibu na Kanisa hili nawapenda sana wote❤
Niwawapi hawa
@@LuhanyaMipawantobi-pj1iu Gezaulole-Kigamboni -Dar es salaam