Galilaya Central SDA Choir(GC)-Sheria. (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Zingatia maneno saba tu katika wimbo huu utakuwa umeelewa wimbo wote.
    Tungejua vipi DHAMBI bila kuwepo SHERIA ndipo NEEMA ikashuka ikaletwa na MWOKOZI na hiyo INJILI yake yeye aliyokuja nayo MWOKOZI ikatengeneza KANISA na WACHUNGAJI wahubiri.
    Hitimisho ni kwamba twaokolewa kwa neema yake Yesu Kristo,bila kupuuzia sheria yake Bwana maana sheria inaonyesha dhambi zetu na neema ya Bwana inatuokoa.

КОМЕНТАРІ • 383

  • @user-ho8wh6xp1f
    @user-ho8wh6xp1f Рік тому +4

    Kwanza hamuna mambo mengi sana hamsuki hamjipambi sana kweli nawapenda sana

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Рік тому +5

    Wimbo mzuri, fundisho bainifu la wimbo, mavazi yapatanayo na uchaji Mungu wa kweli, muonekano wa kicho. Basi ashukuriwe Mungu aliyewaongoza kufanya hivyo, maana suala la mavazi ni upepo mkali sana unaosomba wanawake wengi jehanamu. Waimbaji wanaovaa kama wa kidunia na mapambo ya nywele za bandia, ni mawakala wa kuwafukuza waislamu wasione kuwa ukristo ni dini ya adililifu katika unyenyekevu wa kweli unaowezekana kadri ya ufanywaji upya wa moyo kupitia neema yake. Maadui wakubwa wa wapagani na waislamu ni wakristo wenyewe kwa mienendo yao miovu isiyopatana na utauwa. Ashukuriwe Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetiwa Muhuri na Baba afaye upya ndani yetu. Neema iongezwe kwetu katika kumjua ipasavyo ili walio nje ya Kristo wasione makwazo kwetu.

  • @piusmwandu8352
    @piusmwandu8352 Рік тому +4

    Naisubr kwa ham sheria kutoka galilaya

  • @thomasasiago3308
    @thomasasiago3308 Рік тому +2

    kwanzia nywele, long dress,white attire, utunzi na ubunifu WA kipekee, Mungu awahifadhi na awinuie siko zote za maisha na mzidi kumtumikia

  • @rosemsemo1291
    @rosemsemo1291 Рік тому +3

    Mungu awabariki sana, mzidi kumuinua Yesu watu wote wamwone 🙏🙏

  • @johnsonjuliusmassaka5519
    @johnsonjuliusmassaka5519 Рік тому +2

    Mvp hongereni kwa nzuri.picha nzuri, (mpangilio) mwonekano na n.k

  • @IssackMhandi-qx8xv
    @IssackMhandi-qx8xv Рік тому +2

    Amina; Barkiweni sana watumishi WA Mungu Kwa KAZI NZURI na NJEMA.
    "Kwa pamoja we are one in the family of God"

  • @meshacknyabasa6648
    @meshacknyabasa6648 Рік тому +3

    Wimbo ulio na mahubiri tosha, hubiri kamilivu.

    • @meshacknyabasa6648
      @meshacknyabasa6648 Рік тому

      A whole sermon Law,sin, grace , Savior (Christ), Good news (Salvation), Church and Pastors. How they relate.Wonderful!

  • @riockychacha
    @riockychacha Рік тому +2

    Get blessed wimbo mzuri,inspired by you spread the gospel

  • @releiabby6201
    @releiabby6201 Рік тому +3

    Amen and Amen. Twaokolewa kwa neema bila kupuuza sheria...

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Рік тому +2

    Waoooo wimbo mzuri sana hauchoshi kusikiliza,Mungu awabariki sana.

  • @ZacharyNyaraja-oz6nh
    @ZacharyNyaraja-oz6nh Рік тому +2

    Barikiweni Sana Kwa kujitoa kwenu kumtumikia MUNGU 🎤🎶🙏

    • @jessicalarsen9609
      @jessicalarsen9609 Рік тому

      Hakika nyimbo zenu huwa zinanibariki naipenda sna hii kwaya

  • @elwinmlaponi1084
    @elwinmlaponi1084 Рік тому +2

    KAZI zenu ni nzuri Sana MUNGU awalinde

  • @edinahochiche4718
    @edinahochiche4718 Рік тому +2

    Congrats sana kwa wimbo mtamu

  • @hagaimwakalukwa9279
    @hagaimwakalukwa9279 Рік тому +2

    Mungu awa bariki wapendwa🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @elizabethmakemo7928
    @elizabethmakemo7928 Рік тому +1

    Jamani twaisubiria kwa hamu sana

  • @ayubudancan4434
    @ayubudancan4434 Рік тому +27

    Nawapendaga sanaaaa galilaya choir hakika wimbo ni mzuri songeni mbeleeee kwa kazi ya MUNGU tuzidi kuombeana nankutiana moyo.

  • @reubenshikulu3189
    @reubenshikulu3189 Рік тому +1

    Your songs are so blessing and encouraging....keep the fire burning

  • @amosmramba
    @amosmramba Рік тому +1

    MUNGU aitwe tu MUNGU mnahubiri sana maana wanavutwa naye roho wake njonii tukamilishe kazi yake aliyo twambia i really blessed.

  • @edwardmlay994
    @edwardmlay994 Рік тому +1

    Huu wimbo wa kiinjilisti kabisa huu, mbarikiwe waimbaji

  • @franksimo8214
    @franksimo8214 Рік тому +1

    Mungu baba awasimamie nyimbo nzuri sana imetulia hadi inanipa amani ya Moyo 🙏👏

  • @loycep7785
    @loycep7785 Рік тому +1

    Hata mimi nafurahi sana mnavyomwimbia Mungu kwa furaha na Amani. Mungu awabariki mno mno
    Ni kitu cha kuigwa

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 Рік тому +1

    Galilaya nawapenda sana Mungu awabariki sana kwa mahubiri yenu jina la yesu kristo liinuliwe

  • @zablon-bp1he
    @zablon-bp1he Рік тому +1

    Hakika Mungu awabaliki kwa huu ujumbe mkali.Kwa ukweli injili imesambazwa Kila pembe la dunia.

  • @prmasinde1773
    @prmasinde1773 Рік тому +1

    Bwana awabariki Sana Sana azidi kuwainua ili muenderee kumtumikia bwana kwaunyenyekevu zaidi unyenyekevu wenu unalipa

  • @EstherMayenga-oh9wg
    @EstherMayenga-oh9wg Рік тому +1

    Mbarikiwe sana wapenzi.Mungu aende mbele yenu

  • @EvaSosola-qj3mo
    @EvaSosola-qj3mo 11 місяців тому +1

    wimbo huu nimeupenda natamani siku moja tuimbe pamoja mungu awabariki

  • @JUMANNEKIMIRA-kx8zs
    @JUMANNEKIMIRA-kx8zs Рік тому +1

    blessed alot,,,Mungu azidi kuwabariki saana

  • @edinatabonwa3155
    @edinatabonwa3155 Рік тому +1

    Piga kazi na mbarikiwe sanaaaaaa ♥️

  • @chedielmseli8017
    @chedielmseli8017 10 місяців тому +1

    Wimbo mzuri sana, Mungu atusaidie tukaimbe mbinguni

  • @elizabethmakemo7928
    @elizabethmakemo7928 Рік тому +1

    Nimewapata vyema nimebarikiwa mnoo

  • @zuuyonah-mk8xr
    @zuuyonah-mk8xr Рік тому +1

    Ooh waoooh aminaaa barikiwenii sanaaa

  • @MarryMbwamboameen-gl7lt
    @MarryMbwamboameen-gl7lt 8 місяців тому +1

    Hakika mnanibariki sana Mungu awabariki mnooo ktk kuifanya kaz yake

  • @Ldm7846
    @Ldm7846 Рік тому +1

    Asante Bwana Yesu sasa nmeelewa kupitia wimbo huu

  • @dollamarwa7890
    @dollamarwa7890 Рік тому +1

    Muzidi barikiwa nawapenda

  • @rosecharles6821
    @rosecharles6821 Рік тому +1

    Jamani huuu wimbo unanibariki saana,, na umenifundisha mahisiano kati ya shetlria na neeema,, galilaya barikiweni mnoo,,

  • @yelivideoproduction9599
    @yelivideoproduction9599 9 місяців тому +2

    Aliyetunga huuu wimbo Mungu ambaliki Kwa kipaji hiki pia waimbaji Mungu awabariki Sanaa kwakwel ninabarikiwa Sanaa na huu wimbo

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh 13 днів тому

    My first encounter with the sweetest voice 2024 August 30th. Na neno litasimama. Wapi wakenya 🇰🇪🇰🇪 sending hugs from Singapore

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 Рік тому +1

    Mbarikiwe mnoo kwakweli ninyi ndio waimbaji Sasa wasabato harisi hamchezi hamsuki kwakweli mbarikiwe

    • @simionlumwachi7651
      @simionlumwachi7651 Рік тому

      Nakubaliana nawe Kabisa,they are the only SDA members that have remained standing

  • @godwinbakaza2441
    @godwinbakaza2441 Рік тому +1

    Barikiweni Sana wapendwa 🙏

  • @JoyceNyamoita-bk3sl
    @JoyceNyamoita-bk3sl 4 місяці тому +1

    Wimbo huu unanifariji mungu. Awasaidie msoge mbele

  • @MaburamiyanoMiyano
    @MaburamiyanoMiyano 16 днів тому

    Mubarikiwe sana wimbo muziri yani nashinda nausikiriza hata sichoki

  • @AmosiYoyo
    @AmosiYoyo 2 місяці тому +2

    Asanteni sana kwaya ya garilaya kutubariki mazimbu

  • @PhabianDaniel-sj5yx
    @PhabianDaniel-sj5yx Рік тому +1

    Mbalikiwe wimbo unaujumbe

  • @TrynessAbed
    @TrynessAbed 11 місяців тому +1

    Yani kwaya hii mmeimba vizuli Sana mung awape nguvu msonge mbele

  • @JamesNdayiragije-qh4td
    @JamesNdayiragije-qh4td 20 днів тому

    Na uku kwetu Burundi nyimbo zenu zinatufulahisha sana ❤❤

  • @NipaelJackson-qy3sq
    @NipaelJackson-qy3sq 8 місяців тому +1

    Hakika mmetengeneza video nzuri love you guys

  • @user-ex2li6rz9o
    @user-ex2li6rz9o Рік тому +1

    Safi Sana,ongera wana wa Mungu

  • @user-fh1gh4eo9r
    @user-fh1gh4eo9r Рік тому +1

    Nawaombea sana watumishi wa Mungu kwa huduma yenu njema

  • @nancycharles4294
    @nancycharles4294 Рік тому +1

    Mungu awabariki sana ❤❤

  • @nyamgarurijaphet4003
    @nyamgarurijaphet4003 Рік тому +1

    Mmeimba vzr Sana songeni mbele

  • @samweloricho4577
    @samweloricho4577 11 місяців тому +1

    Really men and women of God. Be blessed brethren & sisters.

  • @user-gm2ii9xx9l
    @user-gm2ii9xx9l 4 місяці тому +1

    Bwana awabariki sana

  • @brianmbusiro1651
    @brianmbusiro1651 Рік тому +1

    Wimbo mtamu sana naomba nimjue mtunzi wa huu wimbo anitungie hata mmoja. Hongera sana kwake

  • @MagrethHagai
    @MagrethHagai 18 днів тому

    Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe

  • @stevenbamba7489
    @stevenbamba7489 Рік тому

    Wìmbo safiii, Ujumbee full na video swafii. Mbarikiwe

  • @MatridaBange-qw9ll
    @MatridaBange-qw9ll Рік тому +1

    Bwana awabariki songa mbele

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius Рік тому +1

    Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri

  • @WeisikoCK
    @WeisikoCK Рік тому +1

    Absolute truth in this inspired piece! 💯
    Your songs are a blessing. 🙏
    #KENYA

  • @neemaherman5834
    @neemaherman5834 Рік тому +1

    Kwaya yangu pendwa❤

  • @3STube
    @3STube 4 місяці тому +1

    May God bless you
    From Ethiopia

  • @wilfred6309
    @wilfred6309 7 місяців тому +1

    THIS SONG IS NUMBER ONE , AMEN. SO LOVELY TO ALL PRESENTERS .

  • @user-pk4rc1uv6l
    @user-pk4rc1uv6l 7 місяців тому +1

    Love the simplicity and natural beauty. God bless you all.

  • @marthaamosimaduhu1206
    @marthaamosimaduhu1206 Рік тому +1

    Mungu awabariki wimbo unangsa

  • @EunyGati-cw6yl
    @EunyGati-cw6yl Рік тому +1

    Amazing good song🙏💦

  • @user-qo5hy5ll8z
    @user-qo5hy5ll8z 7 місяців тому +1

    Amen alléluia félicitations

  • @user-nh7ln7ic8p
    @user-nh7ln7ic8p Рік тому +1

    Glory to God give us all your songs in English all thanks to the mighty

  • @brighsonrwegasira
    @brighsonrwegasira 10 місяців тому +1

    Mbarikiwe sanaaaa❤❤❤❤❤

  • @risperachoki2017
    @risperachoki2017 4 місяці тому +1

    Woooooow more love from 🇰🇪

  • @brunotullo8238
    @brunotullo8238 3 місяці тому

    Wimbo mzur sana nimeutafuta kwa muda mrefu sana Mbarikiwe sana Watumishiiii

  • @user-op6uz9rr2l
    @user-op6uz9rr2l 3 місяці тому +1

    Hakika muko vizuri MUNGU awabariki

  • @user-un1bf1mo5r
    @user-un1bf1mo5r Рік тому +1

    Kazi jema

  • @josephonyoni109
    @josephonyoni109 Рік тому +1

    Powerful message

  • @joanmogaka404
    @joanmogaka404 Рік тому +1

    Amazing beautiful 🥰

  • @user-do2mj3wo8l
    @user-do2mj3wo8l 10 днів тому

    Natamani sana kuimba hiii kwaya au nyarugusu

  • @user-gd3ir7pg1r
    @user-gd3ir7pg1r Рік тому +1

    Mbarikiwe jamani

  • @franklinoogaatuma3849
    @franklinoogaatuma3849 2 місяці тому +1

    Wonderfully sang.God bless you.

  • @user-lw7jj8fw1z
    @user-lw7jj8fw1z 10 місяців тому +1

    Amazing God bless all 🙏🇰🇪🇺🇸

  • @UshindichoirMusique
    @UshindichoirMusique 5 місяців тому +1

    Nawapenda sana❤❤❤❤❤

  • @VecorandaMafuru
    @VecorandaMafuru 6 місяців тому

    Hakika mkuu wa mavazi anajua jinsi ya kuwapendezesha napenda nyimbo zenu sana mbalikiwe sana

  • @WitnessMahembea
    @WitnessMahembea 11 місяців тому +1

    Stlye yenu nmeipenda San mnahubri injil kutokan na muonekano wenuuuuuu

  • @shemokongo9379
    @shemokongo9379 2 місяці тому +1

    So wonderful ❤...May God uplift you in the ministry 🙏🏽🙏🏽

  • @ladykabula
    @ladykabula Рік тому

    Nimebalikiwa sana nawimbo wa shelia mungu awabaliki sana tukopamojaaa sana namkazane mkaimbe nambinguni pia asanteniii sana 🐦🐦🐦

  • @nchimunyamainza9668
    @nchimunyamainza9668 6 місяців тому +1

    God bless and go forward

  • @MbitheKithome
    @MbitheKithome Рік тому +1

    Well done

  • @chrisshonga
    @chrisshonga Рік тому

    Ufafanuzi na ufunuo mzito jinsi kazi ya MUNGU inavyotenda kazi chini ya mbingu!
    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri wana wa MUNGU na kwa sauti zilizofanana na malaika wake mbinguni wanaomwabudu MUNGU usiku na mchana

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому +1

    AMINA

  • @danielalfred6841
    @danielalfred6841 Рік тому

    Daah ukisikiliza nyimbo za kumtukuza Mungu zinatutia nguvu zinatuliwaza ata kama ulikuwa na mawazo yanaondoka

  • @benardotuoma59
    @benardotuoma59 Рік тому

    Ujumbe mzuri sana,you humble my heart,Mungu awabariki sana

  • @justusmomanyi2930
    @justusmomanyi2930 Рік тому +1

    Choir smart

  • @NtiranyibagiraJemus
    @NtiranyibagiraJemus 10 місяців тому

    Mungu awabariki galilaya choir nimeumpenda wimbo n mzuri msonge mbele

  • @ezramairura7813
    @ezramairura7813 Рік тому

    May God bless the choir. Just summarized the Law and Grace❤❤❤

  • @rutharanda4772
    @rutharanda4772 26 днів тому

    Napenda wimbo Huu sana..mbarikiwe waimbaji

  • @user-jf1yd4oi4w
    @user-jf1yd4oi4w Рік тому

    Waoh!wimbo wenu umenibariki sana,Hongereni sana🥰,Thanx Anecia Pontian for the link’ u shared

  • @user-qx6hl4yd8i
    @user-qx6hl4yd8i Рік тому +1

    Blessed always

  • @KeilaRaphaeri
    @KeilaRaphaeri Місяць тому

    Jaman mungu awazidishie maisha malefu muzidi kumutumikia bwana mubakikiw sana tunazidi kubalikiwa❤❤❤

  • @AlliMtongole-vx1gc
    @AlliMtongole-vx1gc Рік тому

    Mmeupiga Mwingi sana.MUNGU Azidi kuwatumia kupeleka ujumbe.

  • @rifasiedward1445
    @rifasiedward1445 4 місяці тому +1

    Wimbo murua

  • @mulendabenjamin4273
    @mulendabenjamin4273 Рік тому

    SHALOME WAPENDWA KATIKA KRISTO.
    Kwa kweli Mungu azidi kuwa nanyi katika safari ya wokovu na azidi kuhimarisha huduma hiyo ambayo hadi sasa ni Mungu peke yake ndiye ajuwaye myoyo inayo okolewa piya inayo rejeshwa kupitiya kazi hiyo Mungu awajaze zahidi nguvu za roho mtakatifu injili ifike pote.
    Nime barikiwa.

  • @fredyjohn7499
    @fredyjohn7499 Рік тому

    Amina kubwa sana hakika inapendeza sana kuwaona ndugu zangu wa damu na marafiki zangu tulosali pamoja kipindi nipo mazingira ya karibu na Kanisa hili nawapenda sana wote❤