Dr. Chris Mauki: Mambo 3 mumeo ana kiu kuyaona kwako

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Mahitaji ya mume wako kutoka kwako yana tofauti sana na mahitaji yako kutoka kwake, ukishindwa kumpa kiu yake unaweza kumpoteza na kuipoteza ndoa yako. Haya hapa mambo 3 mumeo ana kiu sana kuyaona kwako. Jitahidi umpatie

КОМЕНТАРІ • 156

  • @GladiceMwamburi
    @GladiceMwamburi 2 місяці тому

    Asante mtumisha wazidi kuntia moyo kwa mafunzo yako barkiwa sana

  • @luciamwanda3246
    @luciamwanda3246 Рік тому +10

    Huwa inahuzunisha kama unajitahidi kuhudumia mtu alafu anafanya kuwa mazoea , hata ukiwa mgonjwa yeye hajali bali anasisitiza apewe huduma tu. Kuna wanaume wanafiki na wakatili wa moyo. Dr. Chukua mda pia uweze kufunza wanaume jinzi ya kutunza wake zao.

  • @zuwenasalim7059
    @zuwenasalim7059 Рік тому +2

    Asante dr nitazid kujitahid hayo kwa mumewang...nakushkur kwa video zako za ukumbusho kwenye ndoa zetu..

  • @LightnessAyo-n9l
    @LightnessAyo-n9l 7 місяців тому +3

    Mungu nisaidie niwe mke bora kwa mume wangu jamani ❤

  • @agnesmkepule8331
    @agnesmkepule8331 Рік тому

    Kaka Chris Mauki..watching from Germany...

  • @evaurio8681
    @evaurio8681 Рік тому +27

    Asante kwa hizo point:nimekuwa mnyenyekevu sana staha vilevile miaka9 na nimekuwa na mhudumia mume wangu kila kitu anachostahili kufanyiwa hadi na mkata kucha lkn hajawaikuona umuhimu wangu nikaishia kufukuzwa. Sasa hivi nimeamua tu niishi peke yangu.dr cris lbd nisaidie pengine siko sahihi

    • @drvidah7030
      @drvidah7030 Рік тому

      Duh😢😢😢 pole sana

    • @princessleonard9522
      @princessleonard9522 Рік тому

      I'm sorry 😞 😔 😟 nimeumia sana jaman.

    • @bilalybarisesa5206
      @bilalybarisesa5206 Рік тому +12

      Huyo hakua Rizki yako Sister, Amini mwanaume aliekupangia Mungu, hawezi kukosa kuthamini jitihada zko hata ziwe ndogo kiasi gni, Muombe sna Mungu utakuj kkutana na mtu sahihi, na utakuja usahau hayo yte ulio yapitia ndani ya muda mchache🙏kikubwa usikate tamaa wanaume sahihi wapo, na wakwko yupo pia atakufkia soon, just keep praying

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Рік тому

      @@bilalybarisesa5206 kabisaaa

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Рік тому +7

      @@bilalybarisesa5206 yaan umeongea point, unaeza ukafanya kila kitu lkn akakudharau, haki mtu akiwa ubavu wako unaeza ukawa Simpooo, na mkadumu hatari ukapendwa vibaya mnoo

  • @MozaMohammed-l4z
    @MozaMohammed-l4z Рік тому +2

    Mungu akubariki tutajitahidi kuyafata maneno yako

  • @KhadijaSultan-q8y
    @KhadijaSultan-q8y Рік тому

    Mashallaah nzur sana mimi nataka kitabu icho nakipataje nipo Zanzibar

  • @neemamunuo9002
    @neemamunuo9002 9 місяців тому +1

    Asante kwa mafundisho barikiwa

  • @RahmhRr-d9v
    @RahmhRr-d9v 8 днів тому

    Merçi kwa point zako

  • @RoseMGONJA
    @RoseMGONJA 2 місяці тому

    Asante sana kwa Somo zuri

  • @LailatJuma-c9c
    @LailatJuma-c9c 6 місяців тому

    Mungu anijalie niwe make Bora Kwa mume wangu

  • @Vinnerdecute
    @Vinnerdecute Рік тому

    Ubarikiwe sana baba nakukubali sana💪💪

  • @RahmhRr-d9v
    @RahmhRr-d9v 8 днів тому

    From Burundi ❤

  • @HelleMwery
    @HelleMwery Рік тому

    Me nakuelewa sana ubarkiwe san❤

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Рік тому +1

    Shukran Dr kwa mafunzo ❤❤❤

  • @natachaminguandrea2618
    @natachaminguandrea2618 Рік тому +1

    Ubarikiwe sana baba

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula3805 Рік тому

    Nimejengeka sanaaaaaaaa, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @StellaWilliam-d2i
    @StellaWilliam-d2i Рік тому +2

    Watu wako tofaut wakwangu hataki kuhutumiwa anasema Kwan Sina mikono

  • @estamichoromichoro5634
    @estamichoromichoro5634 Рік тому

    Ubalikiwe sana Dr, Mauki

  • @zawadipeter7152
    @zawadipeter7152 Рік тому +2

    MUNGU akubariki sana

  • @catherinemutiembu5611
    @catherinemutiembu5611 Рік тому +1

    Asante Sana mauki

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Рік тому +2

    Daaah
    Asante Sana 🙏🙏

  • @joyce2635
    @joyce2635 Рік тому +2

    Mungu akubariki kwa mafunzo yako 🙏🙏🙏🙏

    • @WinfreyEmmanuel-rw3iw
      @WinfreyEmmanuel-rw3iw Рік тому

      Mafunzo mazuri Sana lakini wengine ukijinyenyekeza anakuona we punguani

  • @AxellaDusabe-ce5hv
    @AxellaDusabe-ce5hv Рік тому +3

    Asante baba🙏

  • @LovenessLima-nm3en
    @LovenessLima-nm3en 10 місяців тому

    Ahsante sanaaa

  • @JamaryShabani
    @JamaryShabani Рік тому

    Asante baba kwa somo lako

  • @judithnyantikanyaboke6363
    @judithnyantikanyaboke6363 Рік тому

    Barikiwa Sana

  • @sarahasekile3864
    @sarahasekile3864 Рік тому +1

    asante sana dr tumejifunza

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 Рік тому +23

    Uwiiii niliishia kuambiwa sina akili ya kutafuta hela nikapiga magot namuomba nitaishije akanijib mnafik mkubwa, akaamua kuishi na aliekuwa mfanyakaz wake wa kampun, pigo la 1, Gari ilipata ajali ikaua dreva akaambiwa kamtoa sadaka, pigo la 2 kila akienda kwenye mabenk hawampi hela na ni mfanya biashara mkubwa, nikaamua kusimama ktk zam yangu maana nilizaliwa peke yangu, kila ninacho kifanya kinaenda, nikajenga frem na kufungua biashara nikamalizia fance, na ninaongeza biashara jaman kisicho rizik hakiliki tumuache MUNGU afanye kazi yake.

  • @muba6699
    @muba6699 Рік тому

    💯 % point 3 zilizoenda shule

  • @aminabarandagiyezahera4307
    @aminabarandagiyezahera4307 Рік тому +1

    Asante Sana Dr!

  • @LailatJuma-c9c
    @LailatJuma-c9c 6 місяців тому

    Mungu nijaalie niwe make mwema Kwa mime wangu

  • @saramwenge1791
    @saramwenge1791 Рік тому

    Uko vizur kk maan nimejifunza mengi san yananisaidia kwenye mausiano yng

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 Рік тому +1

    Ubarikiwe sana.

  • @susankaaya8175
    @susankaaya8175 Рік тому

    Mm nanashuru kwa maelezo haya mazuri na ya busara. Naomba sisi wanawake tubadilike kwa kuhudumia waume zetu ipasavyo.

  • @GladnessmeshackMsechu
    @GladnessmeshackMsechu Рік тому +1

    Asante sana dr

  • @JescaGand
    @JescaGand Рік тому +2

    Mm hanijal, hanithamin moyo wa kumfanyia hayo utatoka wp

  • @KostansiaKinyunyu
    @KostansiaKinyunyu Рік тому

    Asantee

  • @nancyaroko4572
    @nancyaroko4572 Рік тому

    Ubarikiwe

  • @zubedamunezero8559
    @zubedamunezero8559 Рік тому +2

    Vizuri sana

  • @RehemaJumanne-j1d
    @RehemaJumanne-j1d Рік тому

    Ubarikiwe sana ❤❤❤

  • @MarriaAlexander
    @MarriaAlexander Рік тому +1

    Asant dokta mung aendelee kukupa uwez dokt

  • @christophersunguti8957
    @christophersunguti8957 Рік тому

    Ushauri nasaha dah pongezi dr

  • @AngelNdezi
    @AngelNdezi Рік тому

    Ubarikiwe 🙏🙏

  • @dorahmwaqsa168
    @dorahmwaqsa168 Рік тому +1

    Nyieèe nilifanya haya yote kuna muda nilikuwa namsaprise hata kwenye siku yake ya kuzaliwa namnunulia cake akirud nyumban nasema pole na kaz lkn haitikii,, alikuwa na shida ya miguu nikawa namkanda kila akitoka kazin jaman akilewa namvua mpk viatu,, nampepelea,, alichokuja kunilipa
    zaid ya Maumivu sitaman hata kupenda tena mtoto wa mtu acha maisha yaendelee 😭😭😭

  • @DorisSamwel-hv2uk
    @DorisSamwel-hv2uk 5 місяців тому

    Wao wanafanya

  • @AlfonsiaKawonga-r6e
    @AlfonsiaKawonga-r6e Місяць тому

    Duuuuh raha sana kusikia mafunzo yako wanawake kama hatutaelimika ni shida

  • @MwasityAndrew
    @MwasityAndrew 26 днів тому

    Mmi nina swali hivi mpenz wako asipokusave ni ana maansha nn au ana nia gan?

  • @UpendoLukumay-e9z
    @UpendoLukumay-e9z Рік тому

    asante sana

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Рік тому

    Shukran

  • @Hemeddymeddy
    @Hemeddymeddy Рік тому

    Allah Ibariq

  • @bintsaid1772
    @bintsaid1772 Рік тому +2

    Asant kwa ukumbusho

  • @AshaAmeir
    @AshaAmeir 6 місяців тому

    Dr christ asante sana ,naona safari yangu ya maisha itafika vizuri licha ya mabonde na mashimo yaliyomo.

  • @JeniferJunior-qi3le
    @JeniferJunior-qi3le 11 місяців тому +2

    Mm nitazd kukufatilia maana nataman ndoa nmechoka kukaa single kwa mda mlef

    • @RahmhRr-d9v
      @RahmhRr-d9v 8 днів тому

      Ata mimi nayitamani usingle unachokesha ooh God tupe wa naume sahihi

  • @anethmshahara8519
    @anethmshahara8519 Рік тому +3

    Upewe maua yako baba nimekuelewa kupitiliza

  • @AshaAmeir
    @AshaAmeir 6 місяців тому

    Kwa somo hili sitoki safarini.

  • @JescaGandi-ee2ec
    @JescaGandi-ee2ec Рік тому

    Ni shida tu had ninataman kuachika maana kila ninapomjal kwake ni sifuri tu, what shall I do!

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 3 місяці тому

    Mm kuna mwanamke ananipenda sana na anayo yote haya but mm simtaki ata cjui ninatatizo gani ananipenda mpaka mimi mwenyewe najua ananipenda nifanyeje kumuokoa na kulazimisha moyo sijui. Nilishatendwa huko nyuma saivi sihisi kama mapenzi ni kitu muhimu tena kwangu ninachoweza ni kufunua nikaenda but sio kuganda na hisia, natibuje tatizo hili?

  • @JescaGand
    @JescaGand Рік тому +1

    Ni wachache wanaume wanaotendewa hayo na kuridhika lkn walio weng hawathamin mchango wa mwanamke zaid ya kuambiwa mjinga, una nini na wewe hapa, jadilin niko pale nimekaa mtaniambia

  • @carolchitech4244
    @carolchitech4244 Рік тому +2

    waiting

  • @HellenLema-j3y
    @HellenLema-j3y Рік тому

    Uko sahihi

  • @BechoullaVanina
    @BechoullaVanina 2 місяці тому

    Kama mimi ikobali naye😢😢😢😢😢😢

  • @JaneKiyaka
    @JaneKiyaka Рік тому

    Wow

  • @GloryLyimo
    @GloryLyimo Рік тому

    Asante sana

  • @masumbukomabala9256
    @masumbukomabala9256 Рік тому +1

    amazing

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 3 місяці тому

    Kunyenyekea, makubwa hata Kwa kuigiza siwez , msitufanye marobot bwana

  • @GrolySeleman-zz1hg
    @GrolySeleman-zz1hg Місяць тому

    Mh jamani

  • @shalonelias4256
    @shalonelias4256 Рік тому +1

    Nimebarikiwa hata kama sijaingia kwenye ndoa ila nitayaishi siku moja nikiwa

  • @GladnessmeshackMsechu
    @GladnessmeshackMsechu Рік тому +1

    Aise mm hapa nimepona

  • @RICHMINDEDSKILLS
    @RICHMINDEDSKILLS Рік тому

    ❤❤❤

  • @RahmhRr-d9v
    @RahmhRr-d9v 8 днів тому

    Sipendi mume ameshaowa

  • @tulinagwembelo867
    @tulinagwembelo867 Рік тому +1

    Amen

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Рік тому +7

    Hii Video iwekewe laminanation! Wengi wanakwama kwneye iyo point ya kwanza! Mwanamke akipata mwanaume anayejitambua akizingatia iyo point ya kwanza basi hata utajiri unakuja wenyewe kwenye familia!

    • @HappinessGeorge-z4n
      @HappinessGeorge-z4n Рік тому +1

      Natamani utajiri kwenye familia yangu.😂

    • @younglionmsafi3367
      @younglionmsafi3367 Рік тому +1

      Uhakika yani unakuja mwanamke anabishana na mwanaume

    • @drvidah7030
      @drvidah7030 Рік тому

      Somen comment ya mtu hapo juu,,,aliyafanya yote na akatimuliwa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @JasminMneney
      @JasminMneney Рік тому

      @@drvidah7030 waambie warudie kusoma

    • @gloriaatupele9090
      @gloriaatupele9090 Рік тому

      Tayari umesema anayejitambua rfk siku hz wanaojitambua wachache sana sasa hadi ubahatike utambemba na mbeleko😅😅😅

  • @RICHMINDEDSKILLS
    @RICHMINDEDSKILLS Рік тому

    You don't answer calls that is my problem

  • @vailethdaniel1241
    @vailethdaniel1241 3 місяці тому

    MUNGU akutunze wewe mtumishi wa MUNGU

  • @ArafaHamad-o9z
    @ArafaHamad-o9z Рік тому

    No ya cm naomben

  • @ShalonEdimndi
    @ShalonEdimndi 2 місяці тому

    Nataka kitabu nakipataje nipo bukoba

  • @ElizabethAmos-c5q
    @ElizabethAmos-c5q Рік тому +1

    Asante sana kaka

  • @NaumiBaya-wr7ri
    @NaumiBaya-wr7ri Рік тому +1

    Ukwel unaogea ukweli

  • @luqman.expert
    @luqman.expert 2 місяці тому

    Apokwenye staha ume nigusa

  • @SubirahatibuHatibu
    @SubirahatibuHatibu Рік тому +1

  • @nicehonesty912
    @nicehonesty912 Рік тому

    asante sana kaka chriss

  • @zuleikhaabdhallah-bu1sg
    @zuleikhaabdhallah-bu1sg 4 місяці тому

    Mbona kila mada inahusu tu kufanyiwa wanaume mambo mazuri?kwani wanawake hawana hakki yakufanyiwa mambo mazuri? Kila siku ni nyie tu mridhishwe mbonaaa?

    • @veronica-n9y
      @veronica-n9y 2 місяці тому

      Nilikuwa nawaza kama ww kila siku wanaune

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Рік тому

    Shukran saaana

  • @thegraceofgodint.ministrie8811

    Wabongoo?mmmmh,mwalimu siyo kwa hawa ?😅😂😂

  • @happysamwel3880
    @happysamwel3880 Рік тому +2

    Na mambo 3 anayotaka kufanyiwa mkeo ni yapi ? Ivi mbona kila siku mnataka kufanyiwa mazuri nyie tu?

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 Рік тому +1

    Wakati alonambia sina akili ata mtoto wake ana na akili kuniliko hapo ndo nilijua dunia c duara n mchwara

  • @SharifaOm
    @SharifaOm Рік тому

    Ok ok

  • @romanuskunzugala2096
    @romanuskunzugala2096 Рік тому +1

    Hiyo ya ya tatu ndyo yenyewe wanawake wapewe somo sana hapo

    • @drvidah7030
      @drvidah7030 Рік тому

      😂😂😂😂

    • @happysamwel3880
      @happysamwel3880 Рік тому

      Kama bwai na iwe bwai.Mnashindwa majukumu yenu,wamama wanateseka na watoto kutwa,Kisha eti upewe huduma!!?

  • @RuthEtyang
    @RuthEtyang Рік тому

    Amen 🙏🙏🙏

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 Рік тому +1

    🙏

  • @FaridaMchata
    @FaridaMchata Рік тому +2

    Naanza kujifunza leo

  • @ProchesSamba
    @ProchesSamba Рік тому +1

    Woiiiiii so mimi mda wote niwe mtumwa wa mwanaumeee na wanaumee jee mtatunyenyekeaje

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke Рік тому

    Ubarikiwe sana

  • @marymutua5970
    @marymutua5970 Рік тому

    Asante sana

  • @mariamukibeyo5994
    @mariamukibeyo5994 Рік тому

    Asante

  • @ZawadiJoshwa
    @ZawadiJoshwa Рік тому

    🙏🙏🙏

  • @NathanMuyigwe
    @NathanMuyigwe 8 місяців тому

    Ubarikiwe sana

  • @tinahwilliam1918
    @tinahwilliam1918 Рік тому

    Asante