Dr. Chris Mauki: Mambo 3 mumeo ana kiu kuyaona kwako
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Mahitaji ya mume wako kutoka kwako yana tofauti sana na mahitaji yako kutoka kwake, ukishindwa kumpa kiu yake unaweza kumpoteza na kuipoteza ndoa yako. Haya hapa mambo 3 mumeo ana kiu sana kuyaona kwako. Jitahidi umpatie
Asante mtumisha wazidi kuntia moyo kwa mafunzo yako barkiwa sana
Huwa inahuzunisha kama unajitahidi kuhudumia mtu alafu anafanya kuwa mazoea , hata ukiwa mgonjwa yeye hajali bali anasisitiza apewe huduma tu. Kuna wanaume wanafiki na wakatili wa moyo. Dr. Chukua mda pia uweze kufunza wanaume jinzi ya kutunza wake zao.
Asante dr nitazid kujitahid hayo kwa mumewang...nakushkur kwa video zako za ukumbusho kwenye ndoa zetu..
Mungu nisaidie niwe mke bora kwa mume wangu jamani ❤
Amen
Kaka Chris Mauki..watching from Germany...
Asante kwa hizo point:nimekuwa mnyenyekevu sana staha vilevile miaka9 na nimekuwa na mhudumia mume wangu kila kitu anachostahili kufanyiwa hadi na mkata kucha lkn hajawaikuona umuhimu wangu nikaishia kufukuzwa. Sasa hivi nimeamua tu niishi peke yangu.dr cris lbd nisaidie pengine siko sahihi
Duh😢😢😢 pole sana
I'm sorry 😞 😔 😟 nimeumia sana jaman.
Huyo hakua Rizki yako Sister, Amini mwanaume aliekupangia Mungu, hawezi kukosa kuthamini jitihada zko hata ziwe ndogo kiasi gni, Muombe sna Mungu utakuj kkutana na mtu sahihi, na utakuja usahau hayo yte ulio yapitia ndani ya muda mchache🙏kikubwa usikate tamaa wanaume sahihi wapo, na wakwko yupo pia atakufkia soon, just keep praying
@@bilalybarisesa5206 kabisaaa
@@bilalybarisesa5206 yaan umeongea point, unaeza ukafanya kila kitu lkn akakudharau, haki mtu akiwa ubavu wako unaeza ukawa Simpooo, na mkadumu hatari ukapendwa vibaya mnoo
Mungu akubariki tutajitahidi kuyafata maneno yako
Mashallaah nzur sana mimi nataka kitabu icho nakipataje nipo Zanzibar
Asante kwa mafundisho barikiwa
Merçi kwa point zako
Asante sana kwa Somo zuri
Mungu anijalie niwe make Bora Kwa mume wangu
Ubarikiwe sana baba nakukubali sana💪💪
From Burundi ❤
Me nakuelewa sana ubarkiwe san❤
Shukran Dr kwa mafunzo ❤❤❤
Ubarikiwe sana baba
Nimejengeka sanaaaaaaaa, ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Watu wako tofaut wakwangu hataki kuhutumiwa anasema Kwan Sina mikono
Ubalikiwe sana Dr, Mauki
MUNGU akubariki sana
Asante Sana mauki
Daaah
Asante Sana 🙏🙏
Mungu akubariki kwa mafunzo yako 🙏🙏🙏🙏
Mafunzo mazuri Sana lakini wengine ukijinyenyekeza anakuona we punguani
Asante baba🙏
Ahsante sanaaa
Asante baba kwa somo lako
Barikiwa Sana
asante sana dr tumejifunza
Uwiiii niliishia kuambiwa sina akili ya kutafuta hela nikapiga magot namuomba nitaishije akanijib mnafik mkubwa, akaamua kuishi na aliekuwa mfanyakaz wake wa kampun, pigo la 1, Gari ilipata ajali ikaua dreva akaambiwa kamtoa sadaka, pigo la 2 kila akienda kwenye mabenk hawampi hela na ni mfanya biashara mkubwa, nikaamua kusimama ktk zam yangu maana nilizaliwa peke yangu, kila ninacho kifanya kinaenda, nikajenga frem na kufungua biashara nikamalizia fance, na ninaongeza biashara jaman kisicho rizik hakiliki tumuache MUNGU afanye kazi yake.
Pole sana
😊
Kipenzi hata mim ananiambia ivo
Bg up sana kk n kwel
Kabisa acha mungu atende kama hakupendi muache endelea na yako Kwan ye nan😢😢😊
💯 % point 3 zilizoenda shule
Asante Sana Dr!
Mungu nijaalie niwe make mwema Kwa mime wangu
Uko vizur kk maan nimejifunza mengi san yananisaidia kwenye mausiano yng
Ubarikiwe sana.
Mm nanashuru kwa maelezo haya mazuri na ya busara. Naomba sisi wanawake tubadilike kwa kuhudumia waume zetu ipasavyo.
Asante sana dr
Mm hanijal, hanithamin moyo wa kumfanyia hayo utatoka wp
Asantee
Ubarikiwe
Vizuri sana
Ubarikiwe sana ❤❤❤
Asant dokta mung aendelee kukupa uwez dokt
Ushauri nasaha dah pongezi dr
🇰🇪
Ubarikiwe 🙏🙏
Nyieèe nilifanya haya yote kuna muda nilikuwa namsaprise hata kwenye siku yake ya kuzaliwa namnunulia cake akirud nyumban nasema pole na kaz lkn haitikii,, alikuwa na shida ya miguu nikawa namkanda kila akitoka kazin jaman akilewa namvua mpk viatu,, nampepelea,, alichokuja kunilipa
zaid ya Maumivu sitaman hata kupenda tena mtoto wa mtu acha maisha yaendelee 😭😭😭
Njoo kwangu
Pole mamy
Wao wanafanya
Duuuuh raha sana kusikia mafunzo yako wanawake kama hatutaelimika ni shida
Mmi nina swali hivi mpenz wako asipokusave ni ana maansha nn au ana nia gan?
asante sana
Shukran
Allah Ibariq
Asant kwa ukumbusho
Dr christ asante sana ,naona safari yangu ya maisha itafika vizuri licha ya mabonde na mashimo yaliyomo.
Mm nitazd kukufatilia maana nataman ndoa nmechoka kukaa single kwa mda mlef
Ata mimi nayitamani usingle unachokesha ooh God tupe wa naume sahihi
Upewe maua yako baba nimekuelewa kupitiliza
Kwa somo hili sitoki safarini.
Ni shida tu had ninataman kuachika maana kila ninapomjal kwake ni sifuri tu, what shall I do!
Mm kuna mwanamke ananipenda sana na anayo yote haya but mm simtaki ata cjui ninatatizo gani ananipenda mpaka mimi mwenyewe najua ananipenda nifanyeje kumuokoa na kulazimisha moyo sijui. Nilishatendwa huko nyuma saivi sihisi kama mapenzi ni kitu muhimu tena kwangu ninachoweza ni kufunua nikaenda but sio kuganda na hisia, natibuje tatizo hili?
Ni wachache wanaume wanaotendewa hayo na kuridhika lkn walio weng hawathamin mchango wa mwanamke zaid ya kuambiwa mjinga, una nini na wewe hapa, jadilin niko pale nimekaa mtaniambia
💯💯💯
waiting
Huna baya mtumishi 😚🤗🤗
Uko sahihi
Kama mimi ikobali naye😢😢😢😢😢😢
Wow
Asante sana
amazing
🤝
Kunyenyekea, makubwa hata Kwa kuigiza siwez , msitufanye marobot bwana
Mh jamani
Nimebarikiwa hata kama sijaingia kwenye ndoa ila nitayaishi siku moja nikiwa
Aise mm hapa nimepona
❤❤❤
Sipendi mume ameshaowa
Amen
Hii Video iwekewe laminanation! Wengi wanakwama kwneye iyo point ya kwanza! Mwanamke akipata mwanaume anayejitambua akizingatia iyo point ya kwanza basi hata utajiri unakuja wenyewe kwenye familia!
Natamani utajiri kwenye familia yangu.😂
Uhakika yani unakuja mwanamke anabishana na mwanaume
Somen comment ya mtu hapo juu,,,aliyafanya yote na akatimuliwa😂😂😂😂😂😂😂😂
@@drvidah7030 waambie warudie kusoma
Tayari umesema anayejitambua rfk siku hz wanaojitambua wachache sana sasa hadi ubahatike utambemba na mbeleko😅😅😅
You don't answer calls that is my problem
MUNGU akutunze wewe mtumishi wa MUNGU
No ya cm naomben
Nataka kitabu nakipataje nipo bukoba
Asante sana kaka
Barikiwa sana kaka
@@novatakamala9083 Haya somo kwa wanaume nao.
Ukwel unaogea ukweli
Apokwenye staha ume nigusa
❤
asante sana kaka chriss
Mbona kila mada inahusu tu kufanyiwa wanaume mambo mazuri?kwani wanawake hawana hakki yakufanyiwa mambo mazuri? Kila siku ni nyie tu mridhishwe mbonaaa?
Nilikuwa nawaza kama ww kila siku wanaune
Shukran saaana
Wabongoo?mmmmh,mwalimu siyo kwa hawa ?😅😂😂
Na mambo 3 anayotaka kufanyiwa mkeo ni yapi ? Ivi mbona kila siku mnataka kufanyiwa mazuri nyie tu?
Shangaaa na wewe labda sisi tuna mioyo ya chuma
😂😂😂😂😂
Yaani we acha tuu wameshatuona wanawake hatuhitaji hivyo vitu 😂😂😂
Kabisa😢😂
😂😂😂😂😂😂😂
Wakati alonambia sina akili ata mtoto wake ana na akili kuniliko hapo ndo nilijua dunia c duara n mchwara
😂😂😂🙌🙌....
Ok ok
Hiyo ya ya tatu ndyo yenyewe wanawake wapewe somo sana hapo
😂😂😂😂
Kama bwai na iwe bwai.Mnashindwa majukumu yenu,wamama wanateseka na watoto kutwa,Kisha eti upewe huduma!!?
Amen 🙏🙏🙏
🙏
Naanza kujifunza leo
Woiiiiii so mimi mda wote niwe mtumwa wa mwanaumeee na wanaumee jee mtatunyenyekeaje
Ubarikiwe sana
Asante sana
Asante
Nimekuelewa sana
🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana
Asante