PUTIN ASAINI MKATABA WA KUISHUGHULIKIA MAREKANI KWENYE UKANDA WA BAHARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 лип 2022

КОМЕНТАРІ • 221

  • @omaryiddimonna4236
    @omaryiddimonna4236 2 роки тому +6

    Kiukweli mpo vizuri sana SIASA ZA KWELI, taarifa safi za uhakika zinazosomwa kwa ufasaha sana, lugha yetu ya kiswahili ikitamkwa kwa ufasaha kabisa. Kichwa cha habari kikiambatana vyema na taarifa husika, Kongole siasa za kwetu.

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 2 роки тому +16

    leo mi kwanza from mozambique nahomba ka 20 zinatosha..mbona putin anawachelewsha awo mbuwa ushoga ufike mwisho..si tushakimbiya sana uku msumbiji cabo delgado kisa awo washenzi gas yetu mafuta yetu na wamitiuwa kwa lazima na viongozi wetu wabovu ....one africa stamos juntos yani tuko pamoja...kazi kazi bwana adamu...muito obrigado. asante sana

    • @shodristvtv6121
      @shodristvtv6121 2 роки тому

      Sasa hivo ndo umeongea nini swali moja mtetezi wa africa niputin

    • @Dizzolee1993
      @Dizzolee1993 Місяць тому

      Vivo Putin

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 роки тому +6

    Kifo cha Putin hakitakuwa kizuri na wale wanao msapoti nawapa pole Sana.

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 2 роки тому +2

      Ufahamu wako bado mdogo Sana,Sio Libya au Iraq hile ni Russia

    • @bertrandniyonkuru8523
      @bertrandniyonkuru8523 2 роки тому +1

      Putin kwandaa.hata sadam aliropoka na kujigmba hatimae slinyongwa

    • @bertrandniyonkuru8523
      @bertrandniyonkuru8523 2 роки тому +1

      @@ezekielkandonga9238 q

    • @bertrandniyonkuru8523
      @bertrandniyonkuru8523 2 роки тому +1

      Nahs historia ya irak huijui umezaliwa miaka 20 ilyopita.huwez kushindana na marekan na tunaiombea putin ni mama wa jehanamu

    • @petermutuku1289
      @petermutuku1289 2 роки тому +1

      Wanaosapoti Putin wajiandae kumsaidia kuomboleza hahaha!!!!!!

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 3 місяці тому +1

    Vita dhid ya Ukren February 2022 had Leo 2024 may MAREKAN WAKO KIMYA HAWASEM AJARIBU ITAKUWA MZIKI MZITO

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh 2 місяці тому +1

    Safi sana puting piga wasenge haoooo...

  • @EmanuelelisaGidion
    @EmanuelelisaGidion Місяць тому

    Safi sana urusi goooood goood😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @matukiomedia191
    @matukiomedia191 2 роки тому +1

    Achen uongo ...na acheni ....kudanganya watu....... hawezi kuifanya lolote Marekani .....ajichanganye aone

  • @kassimmurji632
    @kassimmurji632 2 роки тому +5

    Putin mwanaume pambana na mashoga hao wanaoitawala dunia kwa nguvu na ulaghai wa umagharibi dhini ya Africa na dunia nzim

  • @braveboy4249
    @braveboy4249 2 роки тому +2

    Haya yote ni dalili ya siku za mwisho acha maneno ya Mungu yatimie tu maana yeye sio muongo kamwe.
    Ila Russia anajigamba sana hajui kuwa kuna mwisho wa ke.

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s Місяць тому

    Urusi anadhoofishwa kiuchumi nk anawekewa vikwazo sana yéyé hawezi weeks vikwazo marekani

  • @bakarinassoro5513
    @bakarinassoro5513 2 роки тому +4

    Wewe unapenda kumsfu Putin na kumuongelea Sana Ila utakujapata aibu chezea NATO na putn wako muda utaongea

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 2 роки тому +1

      Leta hiyo nato yako hapa nimtwange.

    • @barakamwakapoma2702
      @barakamwakapoma2702 2 роки тому +1

      Nadhani huijuwi russia ndugu soma historia ya Putin uone

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 2 роки тому

      Ata bujuskii vibaya kuongea ivyo ....washirika kupambana na kijamaa kimoja,ndio unatitambia ???

    • @rizikimshindo2177
      @rizikimshindo2177 2 роки тому

      NATO alishindwa kupiga Syria ndo ataweza kumpiga Urudi bro unachekesha.

    • @leonardgodliver9043
      @leonardgodliver9043 2 роки тому

      Putin ni shoga tu, kwanza kashaanza kuchemka Ukraine

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 2 роки тому +4

    Kelele za chura azumuzuwii tembo kunywa maji

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 роки тому +4

    Marekani hamwezi Russia!! Nimeshajua. Putin ana huruma sana!! Hataki kuwaua watu wasio na hatia!! Anapigana kwa akili sana!! Pale ukrein wanajeshi wamejificha nyuma ya raia. Sasa inakuwa ni vigumu kidogo kushambulia kwa mara mmoja. Watu wengi sana wasio na hatia watateketea. Lkn kinachokuja kipo!! Itafikia sehemu sasa ataanza kuwaangamiza. Russia ina nguvu kubwa sana!!

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 2 роки тому +7

    Dah nashangaa Sana wanaoishabikia marekani ?? SOMALIA sudani Libya Iraq AFUGHANISTAN, idi Amin alivamia tz nato marekani walikaa kimya urusi na uchina wakatusaidia vifaa Iraq ikatusaidia mafuta. Haki ya MUNGU Kama hujui historia utabaki kuwa shabiki maandazi

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 2 місяці тому

      We unataka wakikosa adabu wasishuhulikiwe? Tangu kuumbwa Dunia Mungu alichagua taifa moja kuwatiisha wengine na kuwatia adabu hiyo ni kanuni haitakoma Hadi ajapo Yesu Kristo siku ya kiama ,mataifa yenye viongozi wenye kiburi ,na kuua raia wake hovyo na kuwatesa kwa kuwanyima haki stahili ,kufunga watu magerezani hovyo kwa ubabe Ili kuwatiisha watu ,kutesa nk we unafikiri hayo mataifa na watu kama hao hawastahili kuadhibiwa? Ziko nchi duniani ni katili haswa na hazifai kuishi hata raia wao wanakimbia kwenye nchi zao kutokana na utawala mbaya, wewe kama kwako Kuna amani usidhani ndivyo ilivyo Kila mahali.

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 2 місяці тому

      We unaweza kishi Afghanistan?? Au unajisemea tuu kwa kua hujui madhila watu wanapata,Kila siku watu wanauaw na kupigwa Risasi kwa amri ya viongozi ,sijui Kama unajua au umewahi kutembea nchi mbalimbali ,hebu we nenda somalia Leo uone kama utaishi,alshabab Leo wanaua waislamu wenzao kwa kisingizio eti wanapigania dini we unaona ni akili hiyo ?? Dini ya nani wanapigania ilhali Mungu anao malaika kibao wakutosha ,kwanza upiganie dini kwaajili Gani ? Kama mtu ameamua kuingia jehanam si nimapenzi yake? Wewe unae ua watu mbona hata wewe tayari umemwaga damu na moto unakusubiri?? Ujinga unatawala watu ,haiwezekani watu waachwe wafanye wanavyopenda Kisha mataifa yenye nguvu wapenda amani eti wanyamaze Ili kufurahisha watu no no no haitawezekana ,lazima marekani na nchi za magharibi ulaya ziingilie kati na hiyo ni sawa kabisa, huwezi kuelewa haya mambo wengi wanamaisha ya vijiweni na story za ushabiki pasipo uhalisia wa mambo ,Kaishi urusi wewe mwafrika uone huo ubaguzi ndio ujue ,hata kazi hawataki mgenk afanye labda uwe umepelekwa na serekali ya nchi yako.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

      Acha uongo wako.Ile vita ya Idd amini na Tanzania waliotusaidia sana ni Israel ambao walikuwa nyuma ya Marekani.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +1

      ​@@nicksonlyimo1562hongera sana kwa kumuelimisha huyo mjinga asiejua kitu.

    • @alexjackson5960
      @alexjackson5960 2 місяці тому

      @@nicksonlyimo1562 ni haki yako kwa uliyosema. Na mimi ni haki yangu kwa niliyosema

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 2 роки тому +2

    Maximum TV mko vizuri kwa habari za kimataifa.

  • @StellaCharles-zk4kb
    @StellaCharles-zk4kb 2 місяці тому

    Ajaribu ukutane na mwamerika bomu la nyuklia lenyewe ameiga kwa marekan

  • @user-ci4el6vw3d
    @user-ci4el6vw3d 2 місяці тому

    Mbona habari ni tangu mwaka mmoja nyuma acheni kuupotosha ulimwengu.

  • @humphreykarua5241
    @humphreykarua5241 2 роки тому +1

    Ni muhimu sanacvita kuisha kwa sasa ucjumi was dunia no bwya sana

  • @jambiajumayagwa5129
    @jambiajumayagwa5129 2 роки тому +2

    Safi sana

  • @emanuelmsigwa1927
    @emanuelmsigwa1927 Рік тому +1

    Mashoga wameenea nchi zote dunian Africa mashoga wapo nchi za kiarabu wapo magaribi wapo mashariki wapo hii vita nikitu cha kina bii lazima itimie taifa kubwa kupigana na taifa dogo nataifa kubwa kupigwa

  • @JamesYohana-p6i
    @JamesYohana-p6i Місяць тому

    Kiukwelinimependa vizulisana

  • @ATHUMANIHUSSEINI-te6xx
    @ATHUMANIHUSSEINI-te6xx Місяць тому

    Duu kazi ipo watu wafaa njaa wengine watumia matirioni kutengeneza silaha

  • @DuniadjumaKatanangwajr-yh2dl
    @DuniadjumaKatanangwajr-yh2dl Місяць тому

    Mkombozi wetu putin

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 2 роки тому +3

    Nduguzangu msijidanganye,Putin anatoavitisho tu,mm nawaambia,ukimwa wamarekani unajambo,pia ikumbukwe,marekani inakambi zaidi ya 800 dunianikote,nakilakambi inajeshi kamili na vifaa vyahaliyajuu,huundiomwisho was putin

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому +1

      Pia hao walitoa vitisho kwamba Putin asiingie Ukraine lakini aliingia, Kama wanajali Sana Ukraine mbona wasiingie wote wapigane na urusi, ukimya wa Urusi pia so wa kuchukuliwa hivi hivi, watu si wajinga as you think, kama sanctions walivyoekewa Urusi utasemaje?

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому

      Wacha waendelee kujaribu labda watafaulu huku Ukraine, maybe hawatashindwa tena Kama huko kwengine

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 2 роки тому

      Unajidanganya.

    • @musakihama7205
      @musakihama7205 2 роки тому

      @@sharonnyabuto8091 nimefuatilia sana comment zako bro uko vizuri sana,muongeze tu kuwa watu hawapati taarifa sahihi,vilevile hawaoni kabisa kwamba putin anaenda kuifanya dunia iwe na mifumo ya kujiendesha,kuanzia mifumo ya fedha,siasa,biashara n,k.utabiri au wachunguzi wa mambo wanasema ifikapo 2040_2050 Marekani na ulaya magharibi itakuwa sio stori tena.mataifa yatakayokuwa na nguvu za kiuchumi itakuwa ni china na india,huku mastermind akiwa ni urusi mwenyewe.

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому

      @@musakihama7205 tatizo ni wanalishwa habari kila mara na kuzimezea bila hata kuuliza maswali yoyote, bundles pia wanazo lakini hawawezi kutafuta habari pia hata tuseme ni wapuuzi yote hayo wanayo, ukweli tu ndio usemwe hata kama ni mchungu kiaje kwa mashabiki flani, wanasema Putin ni mbaya, hivi wamejiuliza hao viongozi wao wanaowashabikia ni wema kweli?

  • @georgenzioki
    @georgenzioki Рік тому

    Safi Urusi wewe ndio watchman wa.dunia dhidi ya marekani

  • @salimwanga
    @salimwanga 2 місяці тому

    Good news❤❤

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 2 роки тому +2

    Urusi nimdomo tu mbona ajawapiga watu wanaho saidiya ukrene tumechoka na wongo wenu akuna kitu kwa urusi maneno tu

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo5572 2 роки тому +2

    USSR mchumba tu mbele ya USA

  • @snoopyundwoodstock8275
    @snoopyundwoodstock8275 2 роки тому +3

    Putin tumeshsmzowea abspenda kujisifu Hana lolote

  • @emanuelmsigwa1927
    @emanuelmsigwa1927 Рік тому +1

    Hahaaaa Ukreni imemshinda ndo ataiweza Marekani Bebelu lenye pembe mashuhuri

    • @user-yb9cl6fr6l
      @user-yb9cl6fr6l 2 місяці тому

      Wewe unawashabikia mashoga pole shee huyo ukraini si anasaidiwa na ulaya nzima au huoni hatakusikia kua NATO namarekani ufaransa,uingereza,ujerumani,NATO wote wanamsaidia nakama sihiyvo murusi alikua kashamaliza uperesheni yake lakina pia pamoja nakumsaidia lakini bado majeshi yaurrusi yanazidi kuchukua maeneo naidadi kubwa yamajeshi ya ukreni yaliyouliwa nikubwa Sana

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 2 роки тому +1

    Unashabikia km vile ushakagua silaha za urusi

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 2 роки тому +2

    Vita ni pesa, marekani wanapesa,mrusi hanakitu

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 2 роки тому

      Kupigana haihitaji pesa!! Ni matumizi ya akili tu!! Na marekani atapigwa na Russia.

  • @JoyceWiliam-jj6zj
    @JoyceWiliam-jj6zj Місяць тому

    Gaza

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi7288 2 роки тому +1

    Yaani hiyo button ya Nuclear si atuletee sisi waafrika tubonyeze tu Fasta maana tumechoka

  • @Masaga_Jr
    @Masaga_Jr 2 роки тому

    Mwalimu Pumzika Kwa amani ungekuwepo Hadi leo Rafiki yetu angekuwa Russia na China.
    uliowaacha ndo wametupeleka kwenye democrasia uchwara ya Marekani

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 2 місяці тому

    Kila siku anatishia tuu kuwa atawashambulia wamarekani Ukraine bado anahangaika miaka miwili itakuwa Marekani
    ? Hayo ni manenono yakanga tuu kila mtuayasome, Ajjarbu aone Wamarkani kwa sasa hapigani vita kubwa ya silah bali ni ya kisaikolojio kumdhofisha adauli kiuchmii . Mrashia alitishia kumaaliza Ukraine siku moja mbona sasa mika miwli.. wasoma nyakati waache kulipukalika kama moto wa gas.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

    Putin kama anataka maangamizi kwenye nchi yake aiguse Marekani aone cha mtema kuni.

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 Місяць тому

      Iv ww unaweza kupigwa na shoga?

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Місяць тому

      @@msafirimaulidi5054 kwa hiyo ww unavyotumia huu mtandao wao hao unaowaita mashoga huwa unafiwa mknd wako kwanza ndio unaruhusiwa uutimie.

  • @jumakitutu4062
    @jumakitutu4062 2 роки тому +3

    🤲🤲🙏🙏

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 2 роки тому +1

    Abari zawa Tanzania bwana niatari kabisa tumewachoka sana nawongo wenu

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 роки тому +2

    Urusi sasa itaangamizwa kupitia Putin

    • @iddykitundu7767
      @iddykitundu7767 2 роки тому

      Acha uoga dogo mwogope muumba mbingu na ardhi tu

  • @KizitoAnthony-tv3fl
    @KizitoAnthony-tv3fl Місяць тому

    ila mnajua kupumbaza watu

  • @emanuelkenethkanyela9137
    @emanuelkenethkanyela9137 2 роки тому +4

    Urusi piga hao mashoga mimi simpendi américain

    • @revocatuskalumuna5789
      @revocatuskalumuna5789 2 роки тому

      kuichukia marekan ni sawa na kuichukia ccm maana mpaka uje umtoe kwenye ubabe sio leop

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 2 роки тому

      Usimfananishe Marekani na CCM Upuuzi huo,Unaiona rangi nyekundu wewe kwenye bendera ya CCM

    • @revocatuskalumuna5789
      @revocatuskalumuna5789 2 роки тому

      @@ezekielkandonga9238 uspanik bro hapa tunacompere nje na ndan hapa hatuangalii rang hapa tunaangalia nguvu siasa kimataifa na kitaifa sasa ww usilete mawazo yoko ya ovyo kwenye coment yangu

    • @musakihama7205
      @musakihama7205 2 роки тому

      @@revocatuskalumuna5789 inawezekana huna taarifa sahihi kwa yanayoendelea duniani.

    • @revocatuskalumuna5789
      @revocatuskalumuna5789 2 роки тому

      @@musakihama7205 kwahiyo unatakaje nikusaidie

  • @dennyosellison4846
    @dennyosellison4846 2 роки тому +2

    mwaka huu litakufa jitu

    • @Adamshaban-ww7pz
      @Adamshaban-ww7pz Рік тому

      Msishabikie marekan kwani dunia imeharibiwa maadili na marekan ushoga ndio ajenda muungen Putin ashinde dunia itulie

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

      ​@@Adamshaban-ww7pzulaya na marekani kuna maadili sana.Afrika ndio hakuna maadili kabisa.

  • @taylorminton228
    @taylorminton228 2 роки тому

    Congratulations niwewakwanza kupata

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 роки тому +1

    Baba nampenda huyu anawapamba tu

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 2 роки тому +2

    😁😁😁😁😁😁❤️Putin

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 роки тому +2

    Russia 🇷🇺 msulimoto

  • @hamisikisiwa721
    @hamisikisiwa721 2 роки тому +1

    Jamani chondechonde vita jamani malizeni vita jamani

  • @atrick.
    @atrick. 2 роки тому +2

    Time is tell,Russia is fell down unakariri ww

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 2 роки тому

      amekariri nini sasa ebu wewe na mashoga wenzako tujuze bas

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 2 місяці тому

    Huyu anacheza kasahau urusi ilisambalatika kupitia marekani

  • @user-wg2jr8vw4m
    @user-wg2jr8vw4m 4 місяці тому

    Ok

  • @mwadhinjuma7370
    @mwadhinjuma7370 2 роки тому +5

    Kelele za chura putini kaishiwa

    • @shodristvtv6121
      @shodristvtv6121 2 роки тому +2

      Wajinga wanamuna putini mkubwa anawanajeshi milioni3 Ukrainian wanajeshi laki 3 ila ameshindwa kuikamata kwasabaabu wanasapotiwa namarekani

    • @rahmajaffar794
      @rahmajaffar794 2 роки тому

      Ewe Mola wetu wewe pekee ndio unaemjua Nani mwema na Nani mwovu? inshaAllah Mungu wajaalie ushindii mkubwa wanaopenda haki na wadhalilishe na wape hasara kubwa wanaodhalilisha watu, wanaodhulumu watu na wanaotakabar katika dunia, kwani hakuna nguvu Wala uwezo isipokuwa kutoka kwako.

    • @ndizindeleti761
      @ndizindeleti761 2 роки тому

      @@shodristvtv6121 Putin hayuko vitani anafanya operesheni ila urusi inapigana na nato co uklein uklein ni km kimvuli tu km ni uklein kwann wakamatwe wanajeshi kutoka mataifa tofauti na vifaa vya nato ? hapo ndio utajua mziki w urusi alishindwa hitla waingeleza walimuogopa akaangushwa na urusi watakua hao nato? Nato kila siku wanapigwa na kukamatwa jeshi la urusi

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому

      @@shodristvtv6121 hao wanaolipwa kupigania Ukraine na silaha zinazotumwa kila mara je utasemaje, wacha Putin apigane peke yake kwa nguvu anazo either nguvu kubwa au ndogo ili kulinda security ya nchi yake, ila si wangejiingiza wapigane na Putin tuone nani mbabe, wameshindwa Aghanistan na Libya na wanajaribu Urusi, anyways ninachokisema ni don't be a bully to someone else, walidhani Putin atakaa kimya bila kufanya chochote,,,,,,,

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому

      @@ndizindeleti761 hawaelewi na yu can't force anyone to reason with yu, wacha wabweke tu na wanadhani hao ni marafiki zao, laiti wangalijua wasingeongea chochote

  • @JohariJuma-r1o
    @JohariJuma-r1o Місяць тому

    Malekani. Inaubavu. Kupana. Naputini

  • @bertrandniyonkuru8523
    @bertrandniyonkuru8523 2 роки тому +1

    Ww ni chocolate hujui lolote nyamaza

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому +1

      Tupe yako pia sisi tukusikilize, kila mtu ana fursa ya kutoa ya moyoni ama vipi

  • @JohariJuma-r1o
    @JohariJuma-r1o Місяць тому

    Malekani. Anaubavu. Wakupana. Napuni

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 роки тому +1

    Putin piga hao mashoga yalomwasi mungu hadi yajutie uovu wao.

    • @stivutitus963
      @stivutitus963 2 роки тому

      falaww mwambie ajarbu uyobwanaako alafu ataona kitakacho mtokea

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 2 роки тому

      @@stivutitus963 pumbavu shoga wewe

  • @saidmngana5263
    @saidmngana5263 2 роки тому +1

    Atakama iweje putn tunamuamini na tunampanda Kwanza anahuruma na watu hapigi silaha ovyo

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 2 місяці тому

    Marekani hawaongei wanateKeleza yeye ndiyo anashituka kushakucha

  • @StellaCharles-zk4kb
    @StellaCharles-zk4kb 2 місяці тому

    Marekan hoyeeeeee

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 4 місяці тому

    Kwa wale wanao ushabikia ushoga lazima wamsapoti marekani na wambeze urus ila kaeni na mjue mrusi ndie kiboko ya mashoga

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 2 місяці тому

      Urusi Hana la zaidi msifie tuu utaona ,Hana ubavu mmekariri jina la Enzi za Soviet union likiwa taifa kubwa ,kwa Sasa Hana lolote ,hata uchumi wake una haha tuu na wenzie wamemtenda kwa akili ajitie vitani na Ukraine Kisha wamtende baada ya kudhoofika , Kuna muda utafika mtanyamaza kimya na hamtasubutu ku coment Tena kwa atakacho fanyiwa kama ataendeleza kiburi nakutishia nchi nyingine kua atatumia nuclea kwani nani Hana nuclear ni nani asieweza kutumia ? Nani atakae subiri atumie Ili ajifurahishe ,nani ambae anamuogopa? Mbona anajidanganya tuu ,silaha zake zimeshindwa vita na marekani ndizo zimeharibiwa ,Afghani Stan ,Ukraine ,Libya ,Irak ,Iran mmeona zilivyozuilika zisilete madhara hiyo yote tecnolojia ya urusi Sasa kifua Cha Nini? Ngoja aonyeshwe mchaka mchana na anao waona wajinga ,

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +1

      Ndio ujinga na upumbavu wenu timu urusi ,kuingiza hoja ushoga.ww kama huishabikii marekani mbona unatumia hii you tube yao na intanet yao ina maana na ww ni shoga.Serikali yetu inakopa huko huko ina maana hawa viongozi wetu wanaokwenda kukopa huko ni mashoga?Acha ujinga ww.

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 2 місяці тому

      @@MathewNathan-yb2bz ujue tuu kua sodoma na gomoras ni uarabuni ,nenda miji yote ya pwani na visiwani uone vile walivyojaa humu

  • @jamesmwansa3385
    @jamesmwansa3385 2 роки тому +2

    Don't play with America atakumaliza Putin

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 2 роки тому

      Ngumu sana!! Russia wako gudiii sana bby

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr Рік тому

      Mpaka. Leoo. Putin. Domo. Jingiiii. Kwa. Marekani.

    • @daudkhatib-qn5tr
      @daudkhatib-qn5tr Рік тому

      Kwani. Marekani. Hakuna. Izoo. Manuwati. We. Mtangazaji. Unasifia. Warusi. Kijinga. Tuu

  • @user-xl7yv7hr3z
    @user-xl7yv7hr3z 4 місяці тому

    apaa putinn mpaka kifo

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 роки тому +1

    Patamu hapo😏😏😏😏😏

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 3 місяці тому

    Wapige hao wamarekani kwani nisawa na mashoga tuu

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 роки тому +1

    Mweye hii sini vita ya dunia lakini?

  • @nahimanaereneste6149
    @nahimanaereneste6149 2 роки тому

    ..me

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 2 роки тому +3

    Z

  • @samuelmeley5664
    @samuelmeley5664 2 роки тому

    Acheni umbea hajui3 marekani kashamuua putin?

  • @petermutuku1289
    @petermutuku1289 2 роки тому +4

    Vita sio kitu cha kujisifia, Putin atapata anachokitafuta

    • @decoloniz_afro
      @decoloniz_afro 2 роки тому

      Magharibi wanafaa kufunzwa adabu

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому

      Kama gani, hebu tufunze kidogo pia sisi tujue atakalolipata,,,,,,,,,

    • @petermutuku1289
      @petermutuku1289 2 роки тому

      @@sharonnyabuto8091 chuma chake ki motoni.

    • @sharonnyabuto8091
      @sharonnyabuto8091 2 роки тому

      Putin hakupi usingizi au vipi, toa ya moyoni yote

    • @petermutuku1289
      @petermutuku1289 2 роки тому

      @@sharonnyabuto8091 nami nitakuuliza,unafurahia watu wakifa kwa vita?hata wwe toa ya moyoni.

  • @mayengaharun4265
    @mayengaharun4265 2 роки тому

    Vh

  • @furahafrank8267
    @furahafrank8267 2 роки тому +3

    Huu ameshindwa na Ukraine. eti ataweza Marekani. Putin kila siku kelele. lakini Marekani huwezi kumuskia hovyo.

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 2 роки тому +5

      Puttin hajatangaza vita na marekani hamuezi mrusi kwa kivita fata historia ya geografie endelea kua kibaraka, urusi sio Africa imezoea kupigwa na marekani,

    • @furahafrank8267
      @furahafrank8267 2 роки тому +1

      @@uwimanauwimana7692 Hujui kitu.urusi ameshindwa na Ukraine akitumia kila aina ya siraha hataweza Marekani. Africa inauawa na waafrica wenyewe. Putin hatabadilisha chochote Africa.

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 2 роки тому +3

      @@furahafrank8267 puttin hapigani na urkain anapigana na marekani , na puttin hajatangaza vita ,ni opereshen ndio anayo tumia fata habari mwanzo na sasa

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 2 роки тому

      @@furahafrank8267 akitangaza vita urkain angechukua kwa siku tatu , na kwa nini marekani haingii uwanjani kupigana nae kaka nyuma ya mgongo mwenye nguvu hua anaingia uwanjani kupambana sio kuka nyuma ya uwanja kuagiza silaha, yemwenye anajua akingia uwanjani atakiona cha moto kwani yeye nimjinga anajua dunia nzima hatakiwi utawala wake na watu wanasubiria angie uwanjani kama vile machale yanamcheza atakalia kuagiza silaha urkain kila siku hatoingia kivita fata maelezo usingalie ushabiki

    • @furahafrank8267
      @furahafrank8267 2 роки тому +1

      @@uwimanauwimana7692 mjinga ndio tu anakubari kwamba ni opereshini hata na Putin anajua hapigana na Marekani. Ingekuwa hari nyingine. Putin alionea tu Ukraine.

  • @filipoboazi1618
    @filipoboazi1618 2 роки тому

    Leta jambo

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Рік тому

    Putin. Huna. Uwezo. Wa. Kuipiga. Us. Ulijitamba. Sanna. Kwamba. Utawapiga. Wamarekani. Mbona. Mpaka. Leoo. Manenoo. Kama. Koko. Jaribu. Uone

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 3 місяці тому

    Vita dhid ya Ukren February 2022 had Leo 2024 may MAREKAN WAKO KIMYA HAWASEM AJARIBU ITAKUWA MZIKI MZITO

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 2 роки тому

    Safi sana

  • @stivutitus963
    @stivutitus963 2 роки тому

    maviyake anauwezo ukren yamshnd atamuez us

  • @emanuelipeter2923
    @emanuelipeter2923 Рік тому

    Yani hao wanajeshi watakua Awana akili au waambiwe fanyeni hiki wafanye tu anaesema yupo uko nchi mbali mbali akiangalia wanafanya nin punda mzigo wa bwana ufike kwa namna hiyo tutafuka kweli