Hapo si sahihi, kikundi kilichovamia michezo ya Olympic huko Munich mwaka 1974 wakateka wachezaji wa Israel na kuwaua hawakuwa Hamas bali Black September!
Israel bana kumbe mungu wake ni marekani yaani marekani ndio anasaidia Israel kila kitu..hapo mwanzo tuliongopewa sana kuhusu Israel kijeshi eti wana power kubwa lakin leo kiko wapi wanapigana na kundi dogo tu hamas vita inakata mwaka sasa huku Israel ikisaidiwa na USA na nchi za ulaya...noma sana
Mazishi ya Ismael ya mefanyika, uko irãn, na kiongozi wa ki siasa ata patikina, Tena, Na kazi bado tipo insha Allah, wa zayuni wa ta kula chunvi na hao
Tatizo nimeona wafrica hatusom history tukiamin izrael ni wenzetu somen utaona wakristo na waislam wanabaguliwa sana pil wanaamin yesu ni mtoto wa haram hawamin ukwel wa yesu kristo hakuna aman kati ya utawala wenye aman kama ukristo na uislam sasa hawa wanaamin ushoga
"Alikuwa na wazo la kupambana na Israel.."!! Vipi kaishia wapi? Hiyo historia wewe umejifunzia wapi mbona hatujawahi kuisikia katika huga wa kimataifa? Isije kuwa ni uchawa unatulisha matunda pori!!
Acha uongo wewe Israel tishio wapi..hamas tu peke yake mpaka leo analilia msaada wa kijeshi kutoka marekani.. yaani Israel hawezi kuingia vitani bila msaada wa USA na nchi za ulaya..
Asanteni sana bros
Mkuu wa mwanamgambo bila shaka ni mwanajeshi, sasa shida iko wapi kuuliwa maana kwa mwanajeshi kuua maadui au kuuliwa vitani ni sehemu ya maisha yao.
Hapo si sahihi, kikundi kilichovamia michezo ya Olympic huko Munich mwaka 1974 wakateka wachezaji wa Israel na kuwaua hawakuwa Hamas bali Black September!
Kasema ni plo
Huyu bwn yuoo vzr
Nimejifunza kwamba ISRAEL 🇮🇱 haina uwezo wowote bila ya msaada wa Marekani 🇺🇸 na washirika wake.
Huyu kichwa sana unaongea fact bila mihemko ya kidini wala kiushabiki yaan kanyooka,duh hii hata mimi nisingeweza😂
Israel bana kumbe mungu wake ni marekani yaani marekani ndio anasaidia Israel kila kitu..hapo mwanzo tuliongopewa sana kuhusu Israel kijeshi eti wana power kubwa lakin leo kiko wapi wanapigana na kundi dogo tu hamas vita inakata mwaka sasa huku Israel ikisaidiwa na USA na nchi za ulaya...noma sana
Hapa kwenye mahandaki ameongopa kidogo
Mazishi ya Ismael ya mefanyika, uko irãn, na kiongozi wa ki siasa ata patikina, Tena, Na kazi bado tipo insha Allah, wa zayuni wa ta kula chunvi na hao
Rampage Ina mhusu
@@OnesmoEphrata Sasa hivi ni li kuwa nna iangalia vídeo moji ili postiwa, na Hamas wa kilipuwa ki faru, Allahu wa illah il hámdu
Acĥa ujinga palestrina haihusiani na ishmael
@@walker-96 ina husiana na nani?
Kumbe alikua na nia ya kupambana kweli kapambana
Azrail tishio wapi sikiza mkuu majeshi yao anasema nini vita wame shindwa kuuwa raiya ovyo wanajua gaza ndogo tu mpaka leo mda gani vita
Nampe orest kawawwuu
Wapalestina walipigwa 2000 Bc,wanapigwa na wataendelea kupigwa mpaka mwisho wa Dunia
60% of explained content is wrong, and totally a lie..
Mchambuz nomempenda sn
Hawa jamaa waongo
Tatizo nimeona wafrica hatusom history tukiamin izrael ni wenzetu somen utaona wakristo na waislam wanabaguliwa sana pil wanaamin yesu ni mtoto wa haram hawamin ukwel wa yesu kristo hakuna aman kati ya utawala wenye aman kama ukristo na uislam sasa hawa wanaamin ushoga
"Alikuwa na wazo la kupambana na Israel.."!! Vipi kaishia wapi?
Hiyo historia wewe umejifunzia wapi mbona hatujawahi kuisikia katika huga wa kimataifa? Isije kuwa ni uchawa unatulisha matunda pori!!
ISRAEL ATAWAMALIZA NI TISHIO KWENYE VITA🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Hawawezi ng'ooo!
Haki haishindwi na dhulma.
Ilo msahau, MwenyeziMungu ndio mjuzi wa kila kitu.
Acha uongo wewe Israel tishio wapi..hamas tu peke yake mpaka leo analilia msaada wa kijeshi kutoka marekani.. yaani Israel hawezi kuingia vitani bila msaada wa USA na nchi za ulaya..
@@humudmarhoon8044 kwel