CHINA YAPELEKA MAJESHI YAKE URUSI| YATANGAZA KUWEPO KWA MATAIFA MENGINE KUUNGANA URUSI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 94

  • @sharonyclement9457
    @sharonyclement9457 2 роки тому +7

    Imekaa powa Pyongyang Viva Beijing Viva mosico Viva atauku mitaani tunaleta mapindunzi mapya yani Wana kuja Wana mapindunzi wapya daima tutapinga ubabe wanyonge wote tuungane

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 2 роки тому

      Mazoezi ya mgambo,waguse moto wa marekani waonemoto,hao wanaokula mizoga watapigwa mpaka watapike panya

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 роки тому

      Hilo jina tu eti Talimo ndio wale wale 🤣🤣🏃🏃 ili yamradi nawe u comment

    • @salehkombo8205
      @salehkombo8205 2 роки тому

      Moscow

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 2 роки тому

    Asante kwa taarifa

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 2 роки тому

    Asante saana kwa taarifa

  • @ramirezsaane7444
    @ramirezsaane7444 2 роки тому

    Big up sana broo upo vizuri

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 2 роки тому +1

    Umefika mda wa mataifa makubwa kuzifinya
    Nchi masikini zinazotegemea wazungu zitakufa njaa
    Maneno ya Mungu yanasema Amelaniwa mtu Amtegemeae mwanadamu maana moyoni amemwacha Mungu,
    Afrika tuache kutegemea wazungu,hiyo Ni Rana,

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 2 роки тому +3

    Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Рік тому +1

    ohooo NATO ,mmekwisha khakika

  • @donizzo9570
    @donizzo9570 2 роки тому

    Aisee mmepotea wapi..? Habari zimeisha huko..?

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 2 місяці тому

    Hapo ndo pazur sasa mana marekani amezidi kuonea watu sana na yeye ndie anae chochea mizozo duniani

  • @jumamalkio4210
    @jumamalkio4210 5 місяців тому

    Tumechoka kutungiwa Sheria wenyewe hawazifanyi hizo sherea

  • @metisonkajange8734
    @metisonkajange8734 Місяць тому

    mazoe hayo. yanazidi kuletasula. 😢 duniani. kwani. vita. dio ilioenea kwaviongozi wengi duniani na kilanhichi. ujiona nibebelu. kwachi zingine. ????????

  • @eriasorina5119
    @eriasorina5119 2 роки тому

    Kwani mlienda wapi sioni apdate zenu siasa za kweti ni Elias

  • @sharonyclement9457
    @sharonyclement9457 2 роки тому +4

    Mwana tupo pamoja mdukuzi wabongo tuna kupata

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 роки тому +1

    SAFI komesha nato muuwaji wa viongoz wa africa wasio na hatia

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 роки тому

    Asante kwa taarifa Putin 🤛🤛

  • @jumamalkio4210
    @jumamalkio4210 5 місяців тому

    Huo ndio upendo wa dhati

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 2 роки тому +1

    Kama wangap iv?, nimeisubir Sana iyo Bado n korea

  • @eliaelialugongo9617
    @eliaelialugongo9617 2 роки тому

    Wacha kinuke

  • @elishantelekwa9793
    @elishantelekwa9793 2 роки тому

    Hata hvo hatua hyo ilichelewa unganeni then perish manyangau

  • @naimanjoshuazakaria2009
    @naimanjoshuazakaria2009 Рік тому

    Weka mlio mwingine toa gunji gunji

  • @EdwardNgogo-lg1zz
    @EdwardNgogo-lg1zz 2 місяці тому

    God bless Russian president

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 2 роки тому +6

    Urusi, China na N. Korea ni Mikwara tu, Marekani wanapajua lkn wanaishia kupiga kelele tu.. Wajaribu hata kupiga kombora mpakani mwa Marekani tuone

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 2 роки тому +1

      Mie nashangaa watu kama nyie marekani unaitwa mweusi sio nchi yako na bado unawatetea hao sijui unapenda mbooo zao?

    • @saidmathayo872
      @saidmathayo872 2 роки тому

      @@nasseralhatmi1762 ww mbona unafirwa mkundu na baba yako mzazi hatusemi. Shoga mweusi we.

    • @omarsaid4702
      @omarsaid4702 2 роки тому +1

      Marekani anamuogopa mrusi mbona ameshindwa Ukraine urusi ni supa power ataichkua Ukraine yote

    • @saidmathayo872
      @saidmathayo872 2 роки тому +1

      @@nasseralhatmi1762 punguza ujinga fala ww, wale weusi kule sio kwao Kivipi. Si bora marekani wanaishi weusi wenzetu.

    • @yohanamasebo3478
      @yohanamasebo3478 2 роки тому +2

      UNAONGEA KAMA MLEVI MAREKANI NAYE HANA UWEZO WA KURUSHA KOMBORA URUSI ITAKUWA NDO MWISHO WA MAREKAN

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 2 роки тому

    Acha wafinyane eeeyetu niatari mno yetu macho na masikio

  • @amirinestory
    @amirinestory 2 роки тому +4

    Vita ya tatu ya dunia inanukia,hizo Ni lasha lasha mvua kubwa inakuja

    • @kassuqutbi2199
      @kassuqutbi2199 2 роки тому +2

      Kweli kabisa

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 2 роки тому

      Hakunakitu,kunamchezo marekani anawachezea hawa mabwege,urus,na China,anataka kuzishusha kiuchumi,ziwe masikini,ili azitawale,subr ucheke

    • @reubenbushiri1753
      @reubenbushiri1753 2 роки тому

      @@geraldtarimo3210 we ndo umenena kweli kabisa exactly

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 роки тому +1

      Ndugu yangu Tarimo kitu kama hukijui ni bora uwe kimya usiwe una comment ujinga ujinga kwa mfano mm nipo huku UK 🇬🇧 yaani mpaka nakuonea huruma hii nikuonyesha kama umefunikwa kwenye mtungi na hujui kinachoendelea nnje pole sana ndugu yangu we kaa hivyo hivyo na ujinga wako hii ni kuonyesha huwa unakesha kuangalia 📺 za cnn na bbc tafuta kitu kinaitwa RT yaani Russia today 📺 ili uondoe matongo tongo kwenye mijicho yako

    • @geraldtarimo3210
      @geraldtarimo3210 2 роки тому +1

      Kuwa UK hakumanishi kuwa na uelewa,kilamtu anaukomo wa uelewa wake,ndiyomaana kilamtu anauhuru wakutoa maoni kulingana nauelewa alionao

  • @abdallahyusuph8715
    @abdallahyusuph8715 2 роки тому +1

    Vita vya tatu Dunia vinanukia.

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 роки тому +1

    wanao comment ujinga vita ikianza huko America ndo mtajua kurud kwenu tena mnao ishi nchi za nje mkakimbia nchi zenu acha vita ianze kweli tuone mtakimbilia wap asa rangi nyeusi kila mmoja anze kujianda kurud aliko toka hi vita ikianza ndo mtajua kua wachina na Russia na iran India mwoto utakua balaaaa mnao penda America apo ndo mtaisoma number waswahili wanasema dilili ya mvua mawingu sasa hivi izo nchi zinajianda vita

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 2 роки тому +1

    Haya viinchi vya kiafrika ndio vitajifia tu njaa zao vita ya mataifa makubwa ikipamba moto miongoni mwa mataifa makubwa na tajiri

  • @pastorygeraz9582
    @pastorygeraz9582 2 роки тому +1

    Asia's powerful
    2new world order
    America nao wafanye kwao sio Korea ..watakoma wamaks na ukoloni

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 2 роки тому +1

    Sikumoja tutashuhudia kama walivyoshuhudia watu wa sodoma nagomola, vilevile wakati wamafuriko ya Noah tujitayalishe,!!!

    • @amiriforjesus8689
      @amiriforjesus8689 2 роки тому

      Kabisa maana hizi nisiku za mwisho YESU KRISTO anarudi na razima kutokee vita kama arivyo sema nikikaribia kurudi taifa ritaondoka na kwenda kupigana nataifa ringine

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 2 роки тому +2

    Mrusi na mchina ni masheitwani wawili

    • @maulidipingika4452
      @maulidipingika4452 2 роки тому

      Na ww ni nan

    • @yohanamasebo3478
      @yohanamasebo3478 2 роки тому +1

      MAREKANI JAMBAZI SANA ndiye shetani hao wengine ni wasafi sama nyakati imetabiriwa kwenye biblia soma ezekiel 38:7

    • @sadyrajabu9318
      @sadyrajabu9318 2 роки тому

      Unaumwa nyie ndo mnaohitaji mapenzi ya jinsia moja

    • @johnabel4308
      @johnabel4308 2 роки тому

      Unaongea2 maana hujui atakinachoendelea.

  • @tinangimba8909
    @tinangimba8909 2 роки тому

    Tuyaonapo haya tuchangamshe vichwa vyetu

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 2 роки тому +2

    Mikwala2 hamna kitu

  • @josephmasenga3517
    @josephmasenga3517 2 роки тому

    Uwingi si kitu. NATO kiboko. Hawezi kukubali kushindwa.....

    • @martinemifuko71
      @martinemifuko71 2 роки тому +1

      Marekani hawaijui kwakweli wanajihami tu

    • @mohammedbinjumaabinaweisal9188
      @mohammedbinjumaabinaweisal9188 2 роки тому +1

      Wale walioshindwa pale Afghanistan na Syria ni necta sio NATO

    • @rahmajaffar794
      @rahmajaffar794 2 роки тому

      Waswahili wanasema asiekubali kushindwa so Mshindani Ila sisi waafrica tujitahidi kwenye kilimo, ufugaji, na shuhuli nyengine za kiuchumi kwani Kuna dalili ngumu zinotukabili. Tusisahau kuimarisha ulinzi wa mmoja mmoja, jamii, taifa na kikanda kwani vita havichagui

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 2 роки тому

    Mnatoa faraja ulimwenguni napenda hizo taarifa zenu zina furahisha hao mabeberu yanaipata ukoloni umeisha

  • @jabuhamisi4015
    @jabuhamisi4015 2 роки тому

    Mabutu seseseko kukungwendu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 2 роки тому

    Urus na China ninchi zenye utawala wakipuuzi kabisa Tena wanamkakati wakuangusha utawala wakiloma ,wanaoshabikia bila kuogopa/kutafakali tutakujakujuta,nasikitika sana!!!!!

    • @chazy7ya216
      @chazy7ya216 2 роки тому +1

      Kwani roma ni nchi au niutawala ww ndio ujui ulipo sasa Dini yakweli iliyobaki ni orthodox ambayo ipo urusi Bible yao haikubadilishwa kama yetuyakiroma yakiroma kilasiku wanabadilisha vifingu mwombe Mungu akuonyeshe njia sahihi kwanza urusi akuna mashoga lakini roma wapo na israel wapo

    • @hilarylaurian7896
      @hilarylaurian7896 2 роки тому

      Umenena ukweli. Warusi wanapinga New World Order ambayo Marekani na washirika wake wanataka kuileta itakayoongozwa na Ant Christ(666) ambayo inataka kuleta dini moja, serikali moja hadi jeshi moja. Warusi ndio watetezi wa mwisho wa imani. Wamarekani ambao kiasilia ni Freemasons wanaotaka kuleta NWO kwa kumshusha Kristo fake pale Israel wanawaona Warusi ni nuksi. Ila warusi watasimamia wanachokiamini

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 2 роки тому

      @@chazy7ya216 unapendasana dictator wewe nijamii yamaccm nimekwelewa,

  • @bertrandniyonkuru8523
    @bertrandniyonkuru8523 2 роки тому

    Andka kinachoeleweka

  • @gervasexavery2977
    @gervasexavery2977 2 роки тому

    Anatafutwa mtawala wa dunia MWENYE no 666 anakuja Wala si mda mrefu. lazima uwepo mlango wa kuingilia .

  • @alinekasinyabo4959
    @alinekasinyabo4959 2 роки тому

    Urusi ime ishiwa nguvu ina itajaji msahada sasa hahaha 🤣🤣🤣🤣 Ukrainian nyama zingine zile za Kichina zina kuja kule kwenu ila mukuwe makini muzi vaccines kwanza mbele zikuye pigana Ukrainian juu zina yala Corona virus 🦠 American 🇺🇸 super power please Mufukuze ba immigration kwanu na ba Refugees bote muba fukuze juu habana shukrani bana ba Africa and student 👩‍🎓 bote mufukuze kwenu

    • @amarali05
      @amarali05 2 роки тому +1

      Ukute huyu ni guy

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 роки тому

      Nahisi una firwa na mmarekani si bule ndugu yangu tena pole sana

    • @rosemuhandoofficial5676
      @rosemuhandoofficial5676 2 роки тому +1

      Ndugu zako wa Congolese refugee's wamejazana huku tz NAO tunawafukuza,jipange

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 2 роки тому +2

    Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 2 роки тому

      Hunaakili hujuwi maana yakuwepo kwa taasisi mhimu duniani,Au wewe unamatatizo kiakili,kuwakiongozi nikuonyeshanjia,unasumbuliwa naubinafusi hupendi haki

    • @jambiajuma7199
      @jambiajuma7199 2 роки тому

      @@josephmakutano7067 nani hana akili? Ulitaka nishobokee Wenda wazimu kama wewe? Peleka uhanisi wenu huko.taasisi zakukomba Mali za wengine? Poyoyotu usie jielewa

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 2 роки тому

      @@jambiajuma7199 wewe hunauwezo wakubuni chochote unategemea Nini zaidi yawazungu kujakukukomba, ujinga unakusumbua tu,

  • @EdwardNgogo-lg1zz
    @EdwardNgogo-lg1zz 2 місяці тому

    God bless Russian president

  • @jambiajuma7199
    @jambiajuma7199 2 роки тому +1

    Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa