Umefika mda wa mataifa makubwa kuzifinya Nchi masikini zinazotegemea wazungu zitakufa njaa Maneno ya Mungu yanasema Amelaniwa mtu Amtegemeae mwanadamu maana moyoni amemwacha Mungu, Afrika tuache kutegemea wazungu,hiyo Ni Rana,
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
mazoe hayo. yanazidi kuletasula. 😢 duniani. kwani. vita. dio ilioenea kwaviongozi wengi duniani na kilanhichi. ujiona nibebelu. kwachi zingine. ????????
Ndugu yangu Tarimo kitu kama hukijui ni bora uwe kimya usiwe una comment ujinga ujinga kwa mfano mm nipo huku UK 🇬🇧 yaani mpaka nakuonea huruma hii nikuonyesha kama umefunikwa kwenye mtungi na hujui kinachoendelea nnje pole sana ndugu yangu we kaa hivyo hivyo na ujinga wako hii ni kuonyesha huwa unakesha kuangalia 📺 za cnn na bbc tafuta kitu kinaitwa RT yaani Russia today 📺 ili uondoe matongo tongo kwenye mijicho yako
wanao comment ujinga vita ikianza huko America ndo mtajua kurud kwenu tena mnao ishi nchi za nje mkakimbia nchi zenu acha vita ianze kweli tuone mtakimbilia wap asa rangi nyeusi kila mmoja anze kujianda kurud aliko toka hi vita ikianza ndo mtajua kua wachina na Russia na iran India mwoto utakua balaaaa mnao penda America apo ndo mtaisoma number waswahili wanasema dilili ya mvua mawingu sasa hivi izo nchi zinajianda vita
Kabisa maana hizi nisiku za mwisho YESU KRISTO anarudi na razima kutokee vita kama arivyo sema nikikaribia kurudi taifa ritaondoka na kwenda kupigana nataifa ringine
Waswahili wanasema asiekubali kushindwa so Mshindani Ila sisi waafrica tujitahidi kwenye kilimo, ufugaji, na shuhuli nyengine za kiuchumi kwani Kuna dalili ngumu zinotukabili. Tusisahau kuimarisha ulinzi wa mmoja mmoja, jamii, taifa na kikanda kwani vita havichagui
Urus na China ninchi zenye utawala wakipuuzi kabisa Tena wanamkakati wakuangusha utawala wakiloma ,wanaoshabikia bila kuogopa/kutafakali tutakujakujuta,nasikitika sana!!!!!
Kwani roma ni nchi au niutawala ww ndio ujui ulipo sasa Dini yakweli iliyobaki ni orthodox ambayo ipo urusi Bible yao haikubadilishwa kama yetuyakiroma yakiroma kilasiku wanabadilisha vifingu mwombe Mungu akuonyeshe njia sahihi kwanza urusi akuna mashoga lakini roma wapo na israel wapo
Umenena ukweli. Warusi wanapinga New World Order ambayo Marekani na washirika wake wanataka kuileta itakayoongozwa na Ant Christ(666) ambayo inataka kuleta dini moja, serikali moja hadi jeshi moja. Warusi ndio watetezi wa mwisho wa imani. Wamarekani ambao kiasilia ni Freemasons wanaotaka kuleta NWO kwa kumshusha Kristo fake pale Israel wanawaona Warusi ni nuksi. Ila warusi watasimamia wanachokiamini
Urusi ime ishiwa nguvu ina itajaji msahada sasa hahaha 🤣🤣🤣🤣 Ukrainian nyama zingine zile za Kichina zina kuja kule kwenu ila mukuwe makini muzi vaccines kwanza mbele zikuye pigana Ukrainian juu zina yala Corona virus 🦠 American 🇺🇸 super power please Mufukuze ba immigration kwanu na ba Refugees bote muba fukuze juu habana shukrani bana ba Africa and student 👩🎓 bote mufukuze kwenu
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
Hunaakili hujuwi maana yakuwepo kwa taasisi mhimu duniani,Au wewe unamatatizo kiakili,kuwakiongozi nikuonyeshanjia,unasumbuliwa naubinafusi hupendi haki
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
Imekaa powa Pyongyang Viva Beijing Viva mosico Viva atauku mitaani tunaleta mapindunzi mapya yani Wana kuja Wana mapindunzi wapya daima tutapinga ubabe wanyonge wote tuungane
Mazoezi ya mgambo,waguse moto wa marekani waonemoto,hao wanaokula mizoga watapigwa mpaka watapike panya
Hilo jina tu eti Talimo ndio wale wale 🤣🤣🏃🏃 ili yamradi nawe u comment
Moscow
Asante kwa taarifa
Asante saana kwa taarifa
Big up sana broo upo vizuri
Umefika mda wa mataifa makubwa kuzifinya
Nchi masikini zinazotegemea wazungu zitakufa njaa
Maneno ya Mungu yanasema Amelaniwa mtu Amtegemeae mwanadamu maana moyoni amemwacha Mungu,
Afrika tuache kutegemea wazungu,hiyo Ni Rana,
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
Hata mimi pia
utanipitia na mie naandaa mabegi
ohooo NATO ,mmekwisha khakika
Aisee mmepotea wapi..? Habari zimeisha huko..?
Hapo ndo pazur sasa mana marekani amezidi kuonea watu sana na yeye ndie anae chochea mizozo duniani
Tumechoka kutungiwa Sheria wenyewe hawazifanyi hizo sherea
mazoe hayo. yanazidi kuletasula. 😢 duniani. kwani. vita. dio ilioenea kwaviongozi wengi duniani na kilanhichi. ujiona nibebelu. kwachi zingine. ????????
Kwani mlienda wapi sioni apdate zenu siasa za kweti ni Elias
Mwana tupo pamoja mdukuzi wabongo tuna kupata
Hii ndoimekaa vyema wangu
SAFI komesha nato muuwaji wa viongoz wa africa wasio na hatia
Hawawezi kitu watapigwa kipigo cha mbwa koko
Marekani atawafanyakitu mbaya,
Asante kwa taarifa Putin 🤛🤛
Huo ndio upendo wa dhati
Kama wangap iv?, nimeisubir Sana iyo Bado n korea
Wacha kinuke
Hata hvo hatua hyo ilichelewa unganeni then perish manyangau
Weka mlio mwingine toa gunji gunji
God bless Russian president
Urusi, China na N. Korea ni Mikwara tu, Marekani wanapajua lkn wanaishia kupiga kelele tu.. Wajaribu hata kupiga kombora mpakani mwa Marekani tuone
Mie nashangaa watu kama nyie marekani unaitwa mweusi sio nchi yako na bado unawatetea hao sijui unapenda mbooo zao?
@@nasseralhatmi1762 ww mbona unafirwa mkundu na baba yako mzazi hatusemi. Shoga mweusi we.
Marekani anamuogopa mrusi mbona ameshindwa Ukraine urusi ni supa power ataichkua Ukraine yote
@@nasseralhatmi1762 punguza ujinga fala ww, wale weusi kule sio kwao Kivipi. Si bora marekani wanaishi weusi wenzetu.
UNAONGEA KAMA MLEVI MAREKANI NAYE HANA UWEZO WA KURUSHA KOMBORA URUSI ITAKUWA NDO MWISHO WA MAREKAN
Acha wafinyane eeeyetu niatari mno yetu macho na masikio
Vita ya tatu ya dunia inanukia,hizo Ni lasha lasha mvua kubwa inakuja
Kweli kabisa
Hakunakitu,kunamchezo marekani anawachezea hawa mabwege,urus,na China,anataka kuzishusha kiuchumi,ziwe masikini,ili azitawale,subr ucheke
@@geraldtarimo3210 we ndo umenena kweli kabisa exactly
Ndugu yangu Tarimo kitu kama hukijui ni bora uwe kimya usiwe una comment ujinga ujinga kwa mfano mm nipo huku UK 🇬🇧 yaani mpaka nakuonea huruma hii nikuonyesha kama umefunikwa kwenye mtungi na hujui kinachoendelea nnje pole sana ndugu yangu we kaa hivyo hivyo na ujinga wako hii ni kuonyesha huwa unakesha kuangalia 📺 za cnn na bbc tafuta kitu kinaitwa RT yaani Russia today 📺 ili uondoe matongo tongo kwenye mijicho yako
Kuwa UK hakumanishi kuwa na uelewa,kilamtu anaukomo wa uelewa wake,ndiyomaana kilamtu anauhuru wakutoa maoni kulingana nauelewa alionao
Vita vya tatu Dunia vinanukia.
wanao comment ujinga vita ikianza huko America ndo mtajua kurud kwenu tena mnao ishi nchi za nje mkakimbia nchi zenu acha vita ianze kweli tuone mtakimbilia wap asa rangi nyeusi kila mmoja anze kujianda kurud aliko toka hi vita ikianza ndo mtajua kua wachina na Russia na iran India mwoto utakua balaaaa mnao penda America apo ndo mtaisoma number waswahili wanasema dilili ya mvua mawingu sasa hivi izo nchi zinajianda vita
Haya viinchi vya kiafrika ndio vitajifia tu njaa zao vita ya mataifa makubwa ikipamba moto miongoni mwa mataifa makubwa na tajiri
Hakika
Asia's powerful
2new world order
America nao wafanye kwao sio Korea ..watakoma wamaks na ukoloni
Sikumoja tutashuhudia kama walivyoshuhudia watu wa sodoma nagomola, vilevile wakati wamafuriko ya Noah tujitayalishe,!!!
Kabisa maana hizi nisiku za mwisho YESU KRISTO anarudi na razima kutokee vita kama arivyo sema nikikaribia kurudi taifa ritaondoka na kwenda kupigana nataifa ringine
Mrusi na mchina ni masheitwani wawili
Na ww ni nan
MAREKANI JAMBAZI SANA ndiye shetani hao wengine ni wasafi sama nyakati imetabiriwa kwenye biblia soma ezekiel 38:7
Unaumwa nyie ndo mnaohitaji mapenzi ya jinsia moja
Unaongea2 maana hujui atakinachoendelea.
Tuyaonapo haya tuchangamshe vichwa vyetu
Mikwala2 hamna kitu
Uwingi si kitu. NATO kiboko. Hawezi kukubali kushindwa.....
Marekani hawaijui kwakweli wanajihami tu
Wale walioshindwa pale Afghanistan na Syria ni necta sio NATO
Waswahili wanasema asiekubali kushindwa so Mshindani Ila sisi waafrica tujitahidi kwenye kilimo, ufugaji, na shuhuli nyengine za kiuchumi kwani Kuna dalili ngumu zinotukabili. Tusisahau kuimarisha ulinzi wa mmoja mmoja, jamii, taifa na kikanda kwani vita havichagui
Mnatoa faraja ulimwenguni napenda hizo taarifa zenu zina furahisha hao mabeberu yanaipata ukoloni umeisha
Mabutu seseseko kukungwendu
Urus na China ninchi zenye utawala wakipuuzi kabisa Tena wanamkakati wakuangusha utawala wakiloma ,wanaoshabikia bila kuogopa/kutafakali tutakujakujuta,nasikitika sana!!!!!
Kwani roma ni nchi au niutawala ww ndio ujui ulipo sasa Dini yakweli iliyobaki ni orthodox ambayo ipo urusi Bible yao haikubadilishwa kama yetuyakiroma yakiroma kilasiku wanabadilisha vifingu mwombe Mungu akuonyeshe njia sahihi kwanza urusi akuna mashoga lakini roma wapo na israel wapo
Umenena ukweli. Warusi wanapinga New World Order ambayo Marekani na washirika wake wanataka kuileta itakayoongozwa na Ant Christ(666) ambayo inataka kuleta dini moja, serikali moja hadi jeshi moja. Warusi ndio watetezi wa mwisho wa imani. Wamarekani ambao kiasilia ni Freemasons wanaotaka kuleta NWO kwa kumshusha Kristo fake pale Israel wanawaona Warusi ni nuksi. Ila warusi watasimamia wanachokiamini
@@chazy7ya216 unapendasana dictator wewe nijamii yamaccm nimekwelewa,
Andka kinachoeleweka
Anatafutwa mtawala wa dunia MWENYE no 666 anakuja Wala si mda mrefu. lazima uwepo mlango wa kuingilia .
Urusi ime ishiwa nguvu ina itajaji msahada sasa hahaha 🤣🤣🤣🤣 Ukrainian nyama zingine zile za Kichina zina kuja kule kwenu ila mukuwe makini muzi vaccines kwanza mbele zikuye pigana Ukrainian juu zina yala Corona virus 🦠 American 🇺🇸 super power please Mufukuze ba immigration kwanu na ba Refugees bote muba fukuze juu habana shukrani bana ba Africa and student 👩🎓 bote mufukuze kwenu
Ukute huyu ni guy
Nahisi una firwa na mmarekani si bule ndugu yangu tena pole sana
Ndugu zako wa Congolese refugee's wamejazana huku tz NAO tunawafukuza,jipange
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
Hunaakili hujuwi maana yakuwepo kwa taasisi mhimu duniani,Au wewe unamatatizo kiakili,kuwakiongozi nikuonyeshanjia,unasumbuliwa naubinafusi hupendi haki
@@josephmakutano7067 nani hana akili? Ulitaka nishobokee Wenda wazimu kama wewe? Peleka uhanisi wenu huko.taasisi zakukomba Mali za wengine? Poyoyotu usie jielewa
@@jambiajuma7199 wewe hunauwezo wakubuni chochote unategemea Nini zaidi yawazungu kujakukukomba, ujinga unakusumbua tu,
God bless Russian president
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa