Kai naye ni mshamba sana kila kitu akiambiwa anamwambia kendi,angewatafuta wazazi wa kendi na kuwaleta ndo lingekuwa bonge la suprise yani kwa kendi aiii.... unawafelisha wanaume bro .Tunaoona anafeli Kai gonga like...
Kwakweli nimeipenda sana hii movie ❤yani huwa nikiwa naiangalia natamani isiishe mapema mnakipaji sana 🎉 Like kama nawewe unajifunza kitu ukiwa unaiangalia hii picha
Je unajifunza nini kupitia hii movie 1, tujifunze kuishi vzr na watu maana kendy asinge munyanya zuu ayoyote yasingelitokea 2, tuwaeshimu wazazi wetu maana kendy angekuwa anamuheshimu mama yake wende agelikuwa na baraka kutoka kwa wazazi wake 3,wanawake wawawshimu wanaume zao kendy alikosa heshima 4,kumbu ulicho pamba ndicho utakacho kivuma kendy bado unavuma maana uliyapanda mengi BIG UP TEAM BUSADI TV
Hongera bibi zuuuh kwakumsaidia zuuuh na Kai kurejea kwenye akili zao zakawaida, pia ninawapongeza kwamafundisho yenu mazuri mnayotupatia wanajamii wenzenu. Ninawaomba nawatazamaji wenzangu tujifunze kwahaya yanayojidhihirisha kwenye maisha yetu Halisi yandoa zetu. Tunavoamuru kuyaishi maisha yandoa basi tuhakikishe tunaishi katika Imani nakweli pia tukiona bado tusubirie wakati ufike ndipo tuingie kwenye maisha yandoa Ili kuyaepuka matatizo yasiyo naulazima.
Guys ingekuw vyema kuwarch movie hadi mwisho ndio tuazde coment kulengana na movie,lakini nyinyi mwakimbilia kuomba like,huwa mwaziprleka wapi??❤❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂😂
Whatsapp Channel 👇👇
whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
Oyooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Episode 38 jamani msituache njia panda
@@busatitv jamn move nzur sana lakin jamn toka zuu awe chizi mmeanza kutukwanza story nyingi sna ogezen dk kam mwanzo
Mimi hata sisemii😂😂😂
@@busatitv mambo niyapendayo mimi Aya nasemaje 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 38 chapu
Wanao penda wawe natoa vipande viwili kwasiku wagonge like 👍 🎉🎉 apa
😂😂hope jioni walete 38😅😅tupate painkiller ya jioni tulale vizuri 😝😝😝
❤❤❤❤❤😂
😢Hata wangetoa vitano Iko vzr
We utoe vipande viwili we Nan?😅
@@SuzanneOg-yj1nr 😀😀😀twategea ya Leo☺☺
Ndo nn jan mukatufanya tukeshe jamni waliokesha wote like hapa wajue kam tumemind
Yani had kichwa chauma juyausingizi 😅😂wakukesha macho nikingoja
Yan nimeingoja sana Jan . wanatfanya tuamke asubuhi kama mateja macho yanauma kwa usingzi 😂😂😂
Mm nililala Saa nane imagine 😂😂
Poleee
Khaaaah jaman kazi mnayo😂😂😂😂
Walio furahi uchawi kuisha gonga like hapa
🎉🎉
Kai naye ni mshamba sana kila kitu akiambiwa anamwambia kendi,angewatafuta wazazi wa kendi na kuwaleta ndo lingekuwa bonge la suprise yani kwa kendi aiii.... unawafelisha wanaume bro .Tunaoona anafeli Kai gonga like...
Kweli kabisa
Naona mapema ndio best 🎉🎉🎉🎉 from Kenya 🇰🇪🇰🇪 kama wewe ni team Zuuu pita nami 🙏🙏
Hahaha usijali tuko tu
@@AminaKavuo-gj3oc thanks 🙏🙏
Kwakweli nimeipenda sana hii movie ❤yani huwa nikiwa naiangalia natamani isiishe mapema mnakipaji sana 🎉
Like kama nawewe unajifunza kitu ukiwa unaiangalia hii picha
Jamn mkimaliza faino mtoe nahio nyimbo wanao ipenda iyo nyimbo gonga like ❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
Kwa kwel 😂
Jaman na me leo nimewah wale tunao taka kai na zuu waonane like kwengu
Team strong team zuu kma furaha imerudi gonga likes 😁😁😁caddy kimemramba na asubui siku zote penzi la dawa halidumu kweli
Weweeeeee 💃 💃 fulu shangwe apana chezea team zuu🎉🎉
😂😂a m here
@@Rahema123twatoa madera ya harusi ya rangi gani 😂😂
@@user-qq6mv6vh3e😂😂😂❤❤
🎉🎉🎉❤❤😂😂
Je unajifunza nini kupitia hii movie
1, tujifunze kuishi vzr na watu maana kendy asinge munyanya zuu ayoyote yasingelitokea
2, tuwaeshimu wazazi wetu maana kendy angekuwa anamuheshimu mama yake wende agelikuwa na baraka kutoka kwa wazazi wake
3,wanawake wawawshimu wanaume zao kendy alikosa heshima
4,kumbu ulicho pamba ndicho utakacho kivuma kendy bado unavuma maana uliyapanda mengi
BIG UP TEAM BUSADI TV
Nice comment🌟🌟
Wanaopenda vipande viwe vilefu gonga like hapa wadau wangu😊
Sema kuwai nakupatan n kofi kwa kendy vile ilifaa mnipe likes 5 bas😂😂😂
😂😂😂😂😂 jmn wee
Wanaemkubali Kai like nying kwangu
Mimi natakaa kubaki tu nikitizama khaii venye anamupa makavu Yake candy 😂 candy nakucheka kwa sauti 😂😂😂😂😂❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nimewai Leo naombeni ata like mbili 👌
Watu 100 kwanza kukoment tupeane like na kila 1 atakuwa na 100 like
I love the movie
Wakwanza like tafadhari😂😂😂
Hongera bibi zuuuh kwakumsaidia zuuuh na Kai kurejea kwenye akili zao zakawaida, pia ninawapongeza kwamafundisho yenu mazuri mnayotupatia wanajamii wenzenu. Ninawaomba nawatazamaji wenzangu tujifunze kwahaya yanayojidhihirisha kwenye maisha yetu Halisi yandoa zetu. Tunavoamuru kuyaishi maisha yandoa basi tuhakikishe tunaishi katika Imani nakweli pia tukiona bado tusubirie wakati ufike ndipo tuingie kwenye maisha yandoa Ili kuyaepuka matatizo yasiyo naulazima.
Ni kwanza leo naomba like zetu
🎉🎉🎉
Wa kwanza 🎉🎉🎉🎉jamanii utamu wa house girl naomba likes zngu
Wa kwanza leo like za zuu wapenzi
Haya sasa jaman kila mtu anaomba like , kila mtu anadai yeye niwakwanza basi jaman mimi leo nimechelewa😂😂😂naombeni ata moja tu😊
kama unadhania hiyo suprise ni zuu kama mm Gong like tukisonga😂😂😂
Jaman na mimi nataka like 😢😢
Hongera Sana Kai nafurahia jinsi unavyo jipapania kama Mume pokea maua yako ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wakwanza leoooo like zenu apaaa
Watu badala mtoe maoni na najinsi move inavyofindisha mnakazi yakuomba like mtadhani nyie ndotunawatizama
Yani weaca tu 😅
Wsnachisha Akili,unapoteza time kushoma comet Ili upande fuzdo kumbe upuuzi tu WA like
Yan watu hawamalizii move wanawah kucoment tu nimewah nipen like...c mtengezee move zenu😏... naingojea surprise ila nahc km zuuh wangu😂🥰
Naisi ni dadake zuu
😅😅😅
Ambao walimkia simi like 😂😂😂
Ayaaaa kumekucha uku kendy leo atakula kipondo muje mumuombee
Wakwanza naombeni like jamani
Jamna nlinifanya nkalal sa kumi nangojea movie lakin nyinyi waongo
Surprise naona ni Zuu tu ,hongereni sana kwa kazi nzuri❤❤❤❤
jaman mumenifanya sikulala juu nasubiri kumbe munachelewesh 🎉🎉munipee like kwa kaz yenu nzuri nakutufanya tukeshe
Wakwanza leo like zangu
Team zuu naomben like sijachelewa jaman
Kiukwel nmekesha 😂😂yote sababu naipenda sana movie yenu hongera sana
Movie nzuri sanaaa...hadi natamani iendelee.....but nasubiria ya next,gongeni likes kwa wingi hapa msipite 😊
Atamimi wakwanza naomba like ❤❤🇧🇮🇧🇮
Sema kimeumana kendy 😢😢😢mwimba ya kujinduka hauna pole samahani dada kendy😢😢😢
Ngoereni wana busati mungu hawaongeze kipaji chenu
Nimempenda San kendi kwenye hii move amenikosha San safisan kendi
Watu jomn mnaamkia humu kwel nam like kwangu atakam nimechelew so saan
Yaani inafundisha aki nawapenda sna wana busati❤❤❤nasubiri hio surprise kwa kai😂😂😂😂
Hata mm wakwaza jmn weee😅🎉❤
Nakukubli sana kai na ka sele na mm naomba like
Ukisikia majini binadam cand no1
Jaman angalieni move bwana like za nini sasa
Kai 😂😂😂bana kachaluka hongeleni kwakazi nzr
Weeeeh Leo nimejaribu kukimbia like zangu
Hongera bibi zuuu kuwaponya wajuku wako
Suprise bila Shaka n zuuu
Waoooh hongera Sana kwa Kazi zenu nzuli mashallah❤❤❤❤❤
Daaaaahhhh yaaani brooo nakukubali sana kwa maamuzu yako
Jamn mm amnion mbn sipat like jmn nipen 🎉🎉🎉🎉
Kai lew umenfrahish kuliko hat siko zotw❤❤❤❤❤🎉🎉
Sijawahi Pata like anyway nani kaibahatisha kama mimi 😂
Mimi ap 😢😂😂
Kendi moto umeuwasha ujue nakuuzma
Movie nzuri kabisa hongera🎉🎉
Ambao tuna shauku ya kujua sapraiz ya kai gonga like hata kumi nienjoy kidogo 😂😂😂😂
Daaaah jamani nimesubili sana muda mrefu Ahsantee my brother 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
Wangapi wanaamini penzi LA dawa Lina mwisho❤❤
Wakwanza jamn ❤❤❤
Kazi nzuri sana mungu awabariki sana
Wenye walikuwa wanasubiri na. Kukesha like me... Moment chinini na mnilke... Baci🎉....
Wale tunao amini Cendy ana achika like apa
Mnipe like jamani Mimi 😢 haaaaa
Na mmi naombeni like ata 2 tu jamani 😰😰
Kai hindio maamuzi ya kiume nakupa✅✅ ✔️💯
Wangap tulikesha kuisubur EP 37
Imeisha patamu iyo surprise ni gany tena😊
Can u imagine kukaa macho toka Jana hdi sahii
Me kilasiku wa mia na jmn🎉ata like 5
Duuh wa2 mnalala online
Wakawanza leo...team gen Z
Wakwanza leo naomba like
Kuna chakujifunza humu n maisha halisi tunayoishi humu dunian jamnii hongeren sana woote Kaz nzur sana❤❤❤🎉🎉
Hatimae kai kajitambua sasa😊😊
Yan hii movie natamani hataishie haraka jamani daah nlipenda sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wowo❤❤❤❤❤❤❤
Namimi nimetia timu wanaotamani kendi aondoke aje zuu gonga like hapa🔥🔥🔥
Thanks so much Busati yaani haya ni mambo ambayo yapo kwakweli jaza zenu zipo kwa Allah ❤❤❤❤❤
𝐓𝐞𝐚𝐦 𝐳𝐮𝐮 𝐡𝐨𝐲𝐞𝐞𝐞𝐞𝐞𝐡
Hoyee 🎉🎉🎉🎉🎉
Leo I must be number one
Kwani uwa inatoka xaa ngp jmn mi nachelewa kuangalia siwi wa kwanzaaaaaa😂😂😂😂😂
Hongeren San Kwa Kaz nzur🎉🎉🎉❤❤❤
Nimechelewa nipen hata like 10
Sija chelewa naombeni like
❤ jamn japo vipande viwil kwasiku
Tamuu sana
Mimi wa kumi Leo, naombeni like zangu 😂😂😂
❤
Jamani Tasha kaongea point wanao mkubali Tasha gong lake hapa
Jameni weka vipande viwili kwa siku maana tunangoja sana gonga like hapa please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Guys ingekuw vyema kuwarch movie hadi mwisho ndio tuazde coment kulengana na movie,lakini nyinyi mwakimbilia kuomba like,huwa mwaziprleka wapi??❤❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂😂
jaman haiishi tu hii movie🙈🙈🙈🙈🙈
Very nice 🎉🎉🎉🎉 team strong tuko rada waiting for the next part nikiwa Dammam 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Good good jaman io suprise ah nimeumia kdg ila jitahidin bhan kuilet🥰 good job ✊💯