Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana. Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
Hii movie ina mafunzo mengi aswa kwa wanawake jameni jifunze kufanyia mwenzio hata kama ni ajiwezi tupendane please,anyway nipe hata likes kumi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
Movie nzuri mno Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
mm nimejifundisha mambo mengi sana mafundisho yangu ni maombi Kwa watoto wetu sana tumwamini mungu sana Dunia imeisha kaa nimeongea ukweli like kumi hapo
Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana.
Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
Asante sana tunakupenda mno Mtu wa Mungu
@@busatitv Msikate tamaa pambaneni kwani nimeona mnakitu ndani yenu Sr God awe pamoja nanyi msitengane🙏
Himefikia maali Pake wao Asante mungu
Candy tena bado
❤❤❤ candy hapo Bado hujaona mauzauza 😂😂😂utajuta kwenda kwa mganga
Kama unahiman zuuh ata apatikana nakuzungushiwa kibuyu kichwan tujuane kwa like zakutosha❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤
🥰🥰🥰🤣🤣
😂😂😂@@busatitv
😂😂😂 ndio mambo yako nini
@@RutaRubedi😂😂😂😂
@@busatitv❤❤❤
Tunae fulahi uamuzi wa bibi zuuu gonga like
team zuu naona tuko na kahopes sasa wapi like za zuuu tukiamini atakua poa soon❤❤❤❤❤
Tushafikiwa😂😂 raha ilioje🎉🎉🎉
Tuko hapa mbna raha
❤❤❤❤❤❤❤❤@@SamiaMwachumba-xf8wo
Tuko apa tupo rada sana
Hebu jaman leo Ndo fainal cndy kuumbuka kma unakubali weka like hpa team felus 😂 🇴🇲
Hi
Leo niwai likes zenu bas😂
@@AishaSudi-pu9xy😂😂😂😂
Leo Nini sijaelewa nieleweshe bas ndyo nikupe like 😂😂😂😂
😅😅😅😅
Wangapi wanatamani candy na yeye awe kama zuuuh like nyingi
Mm nahitji candy awe km zuu nitafrh 🎉😂😂😂😂
Mimi natamani ata Leo jamn ananikela uyo dada
Mimi natamani zuu apone aolewe na kai afu kandi awe mzima ashuhudie ndoa
Mbonaaa wengiii whats comes around goes around malipooo n ha pa hapa
Me hapa
Ebu munuachie likes mashabiki wenzangu tunao fatilia house girl nawapenda Sana
Mmmmm
Hii movie ina mafunzo mengi aswa kwa wanawake jameni jifunze kufanyia mwenzio hata kama ni ajiwezi tupendane please,anyway nipe hata likes kumi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana🙏
candy na bado macho haijakutoka itakutoka timu zuu mwaga likes zako hapo🎉🎉🎉
😂😂😂
Jmn wa2 wako faster. Naomben like at 3 ty kwa ajl ya bib ake zuu🎉🎉
Wapili naomba like 5
nimewahi jamani naombeni like zengu timu zuuuh
Watu wangu wa nguvu naomben like zenu basi leo wa kwanza👌
Mapema ndio best n kama unamkubali bibi gonga like nifurahi❤
🥰
Nimewahi jamani like zangu
𝐖𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚𝐡 𝐜𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚𝐦𝐫𝐚𝐦𝐛𝐚😂😂😂😂
❤❤❤miye nakubali kama zuuu wangu atapona munipe like zangu apa kutoka congo
🙏🙏
@@busatitv asante
Nafurahi jamani kend kinamkuta kutoka kwa bibi AMA kweli ukimfanyia mtu ubaya malipo hapa hapa duniani movie hii ni darasa tosha
Kabisaaa
Ila sania amenifurahisha sana jmn❤❤❤❤❤
Wa kwanza toka kenya wapi likes zangu jaman❤
Nam leo nimewahi jomn
Wana wa burundi tujuane kwa like bs
Tupate wapi Tena waigizaji kama Hawa walai sioni kwahapa TZ🇹🇿🇹🇿 wengine wataiga hapa2😅 like her
Acheni unafiki watu wote wanaweza tu
😂😂😂usisahau AZ PRO ban
Wengi sana sana ujasili na usubutu ndio unatakiwa kwenye maisha
Alakey umemuacha wapi
Wakwaza leo naomba like zang jmn from burundi😊😊😊
Wanawake wenzangu jistirini hakuna dini inatoruhusu mavazi kama hayo mnatutukanisha filam nzuri sana
🙏
Jamni mko vizuli sana mnatuwaishia move zetu ongereni
Candy 😂 Dunia inazunguka momy Leo yamekufika😅
Daaaah jamni jamni mpaka raha 😅😅😂😂😂😂😂🎉❤🎉❤ candy amehaha atli bibi kiboko😊
Jamani watatu ni pewa likes nimejificha chooni mdoss wangu asinione bwana nyie😊,more love from qatar ❤
Mi nko na zuu apa jaman nipen like zangu nimlete apooo❤❤
Jamani nipeni like mm ndo wa kwanza leo
Bado hujasema 😂
Kilicho wekwa gizani siku siku kitaonekana peupe rafikiye Cain safi sana honger❤❤❤❤😊
Number four jamani naombeni likes zangu
😂😂😂😂😂 candy lakusema cna ata nawapenda bure😂😂❤like flani amba hapa hata km nmechelewa namuuliza candy vp plan ya kufungua supermarket bado ipo ama
😂😂😂😂😂😂
mukiambiwa usiende kwawaganga hamuelewi😅😅😅
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
Mojawapo mie Nimefurah mno acha likukute na mganga Kunywa soda barid naja lipa. Kimekulamba Candy oooh
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
Hongereni sana muvi nzuri yakuelimisha 🎉🎉🎉🎉❤
Asante sana
Malipo ni hapa duniani tenda mema mungu atakulipa
Dah uyu kay niuchawi tu au kapewa na vingine😢😢 like zenu jaman
Sasa imekuwa tamu zaidi....hongera kwenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🥰🥰
❤❤❤❤❤naipenda xnaaa jmn piah naifatilia xnaaa wako vizuri xnaaa hawa watu jah bless u guys . Kila ckuu naweka bando kwajili yenh
Mungu akuweke director unatumia akil nyingi san 🥰💓🙏
Ila duh mpo vizuri sana mnajuwa kutuelimisha inshaallah M/mungu hawalind mzdi kutuelimisha 🎉
Na me naombeni like timu zuuh❤🎉🎉
Wallah Busati TV mmewezaaaaa tena mmewezaaa tenaaa🔥🔥🔥🔥💐🇹🇿 peperusha dunia nzima wajue kazi yakoo % haya yanafanyika katika jamii tunaziishi nazo
Inakuja zamu candy kuwa chiz mda so mrefu
Movie nzuri mno
Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi
Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
Wasipo fanya haraka ku watibia kay na zuuu basi mali ime liwa 😅😅😅
Zuu na Kai wapone haraka,mana wakipona utamu wa movie ndo unakolea sasa👌...candy ateseke na yeye😎
🙌
@@busatitv Ndy team Kai na zuu zamu yetu sasa😂
Hii ndio nzuri sana dawa ya ubaya ni aibu
Naombeni like leo
Likes zangu pia watu wa house girl jameni
Hii movie inafundisha sana i like it
🙏🙏
I like the video ❤❤❤❤🎉
bibi honger mkomesha uyo candy❤❤
Much love from saudi ❤❤❤yn nafurahia sana katika hii move juu inanifunza katika maisha ya upendo wenu ❤❤❤cendy kitakuramba saii
🥰🥰
Bibike zuu ni vip mchawi ama na iyo kibuyu ni Cha nin uchawi sielewi Ako amesimama wapi❤
Kwakweli na mm nimejiuliza hivohivo😢
Hii movie yafundisha jamani ukifanyia mwenzako ubaya usitarajie kulipwa mema ❤❤
Hii movie mumetusha sana bbi zuuuu yaani nakuamini huezi kuniangusha maana unaweza sana kazi nzuri ❤❤❤❤
Movie ni nzuri
Marekebisho ni kupunguza kukaa kwenye sceen ya aina moja kwa muda mrefu.
Jamani like ata moja
Jamani house girls pambe❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤🎉
Nex Bwana Iwe Ewani Saabili Usiku Au Tatu Tusilale Bila Kutazama❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Yaani nmefurahia sana
Sijachelewasana namimi laik zang
Bibi ameamua sasa patamu hapo😂😂😂😂😅
Ni motoo lkn episode inayo fata bb ake zuu lazima afanye K2 ili Kai akili yake irudi kabla nyumba haijauzwa😢
Muda umekua mwingi tangu nmuone amenunuliwa sambusa amegawiwa na jacket sijamuona tena😥 u're missed Zuu ❤
Hongerani kwa Kaz nzuri hampoi 🎉🎉🎉
Hatari sana hongereni team BUSATI TV
Bi zuuh kayayuka Leo chezea mjukuu ww, wapi team bibi tujuane😅
🤣🤣
Ahh fresh show iko poa ina bamba sana ❤
Hivi kai akijua mauzauza yote hayo aliyo ya fanya cendy siatamfukuza kama mbwaa 😂😂😂😂
🤣🤣
@@busatitvhili ni bonge la movie kwann msipeleke dstv au azam jmn uwiiiii much love❤❤❤
Kai kendi anakupoteza kwenye direction ya maisha yaan Mungu aksimamie
Good job 👏
Hongera sana bibi❤❤❤ Wa kwanza kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪Naomba like basi
🥰🥰
Candy umeyatimba mateso kwako ss movie nzuri sana hongereni sana mungu awatangulie
Hongera sana kwa movies nzuri
Iyi movie nikali nayipendasana kinoma
Mashallah Mashallah
Nawakubali mko chap. Kama unaniunga mkono angusha like
Canndy wachezea bibi ya boss mchawi wewe......ngoja ujikubali kuwa ulironga watu😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅huyu nikiboko huyu bibi....kwa boss mchawiiii sana😊
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
@@user-jl2er1nb2p 🤣🤣🤣yy canndy ndio aloanza kumuharibia🤣🤣nayy hakutqka kabisa akaharibuuu kabisa saii atajua hajui
@@ZaithuniNassir mm nilisha juwa bibi ya boss mchawi akiingia atapata aibu
Iike yangu jamani Niko zambia
Team zuuh 🥰🥰🥰🥰Aya candy ndo mwanzo😢 nipee mbili
Hii movie inahistoria ya kweli na wenye tunatizana hii filamu bs tutapanuka ki akili na kuwa wabunifu sana katika maamuzi
Number two jaman
Ahsante kwa episode nyingine chukua 🎉🎉🎉 nawapenda sana
Jamannn leooo nimewahiii
We jaman ❤❤❤❤
Nashukuru sana kai Mungu awazidishieni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Waaa mkofasta aje ❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉
Leo sema furaha ya kendy kimekuramba sana pole dada mchawi mzuri ni mungu wachana na mzimu kitakuramba
🙏🙏🙏
Jamn kwan mwalala humu😂😂😂
🎉🎉🎉🎉Kaz nzuri sana
Hii movie sio ya level za UA-cam pekee ipelekwe hata Netflix na kwenye ving'amuzi hii movie sio ya nchi hii nawapenda busati tv❤❤
Umeona eee iko poa Sana hii movie
Anayekubali kuwa siri ni ya mtu mmoja naomba Like jmn
Kazi nzur ❤️❤️👏👏
Candy iyo pua itapungua mara hii😂
😂😂😂😂na ataongea vizurii siyuaongea na ulimi😅😅😅
mm nimejifundisha mambo mengi sana mafundisho yangu ni maombi Kwa watoto wetu sana tumwamini mungu sana Dunia imeisha kaa nimeongea ukweli like kumi hapo
Kimeumana SS olewako kendi mdaniwako SS moto hooo🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏