Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MR MONEY_EP 01

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • #mzeelikoma#mrmoney#kpnazebuu

КОМЕНТАРІ • 743

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 24 дні тому +159

    Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q 25 днів тому +43

    Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 25 днів тому +29

    Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move

  • @user-ex6tg6di7r
    @user-ex6tg6di7r 25 днів тому +22

    Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪

  • @NipherKwamboka
    @NipherKwamboka 25 днів тому +154

    Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani

  • @simbeyrugata8745
    @simbeyrugata8745 24 дні тому +5

    The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma

  • @OUTLAWDRILLERS
    @OUTLAWDRILLERS 24 дні тому +32

    Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu

  • @nasorohusein-uz4hv
    @nasorohusein-uz4hv 24 дні тому +9

    Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa

  • @tobiaschirwa9364
    @tobiaschirwa9364 24 дні тому +6

    Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg 25 днів тому +38

    Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪

  • @JohariJohari-rv5js
    @JohariJohari-rv5js 24 дні тому +18

    Nguo zashule zimewapendeza

  • @modostar
    @modostar 25 днів тому +20

    Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi

  • @madymag6926
    @madymag6926 24 дні тому +9

    Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @ShanBaby-dy4db
    @ShanBaby-dy4db 24 дні тому +8

    Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤

  • @ruth1377
    @ruth1377 24 дні тому +8

    Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯

  • @yohanemwanzalima2777
    @yohanemwanzalima2777 24 дні тому +10

    Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 24 дні тому +8

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo

  • @user-xd8qy1cx2b
    @user-xd8qy1cx2b 24 дні тому +6

    Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪

  • @JanetSanga-b6p
    @JanetSanga-b6p 25 днів тому +13

    Kazi nzuri nawapenda nyote

  • @MauaroseMauarose
    @MauaroseMauarose 24 дні тому +9

    Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma

  • @lucyrif-np8ik
    @lucyrif-np8ik 25 днів тому +10

    Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZitoAntonioNhanga-ms6uj
    @ZitoAntonioNhanga-ms6uj 25 днів тому +10

    Nampenda sana mze likoma❤

  • @MarcygloriaIbrahim
    @MarcygloriaIbrahim 25 днів тому +50

    Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. 25 днів тому +6

    Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤

  • @Mariamjaromedevu
    @Mariamjaromedevu 19 годин тому +1

    Mzee likoma na kibozi mnanifurahishag san❤❤

  • @user-md2ct5fl7h
    @user-md2ct5fl7h 24 дні тому +5

    Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana

  • @jacksonminani9782
    @jacksonminani9782 25 днів тому +16

    Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 25 днів тому +5

      Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮

    • @mary-lx3hr
      @mary-lx3hr 24 дні тому +1

      😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 24 дні тому

      @@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏

    • @jacklinefatma6263
      @jacklinefatma6263 20 днів тому

      ​@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 20 днів тому

      @@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi

  • @LinetOpio-uj2eb
    @LinetOpio-uj2eb 22 дні тому +5

    😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆

  • @user-lf5ud8vb5j
    @user-lf5ud8vb5j 25 днів тому +17

    Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 20 днів тому +1

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c 24 дні тому +3

    Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-dy2zp2iw6z
    @user-dy2zp2iw6z 25 днів тому +9

    Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂

    • @user-yg7dy8ls9e
      @user-yg7dy8ls9e 11 днів тому

      😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa

  • @AmosBudoya
    @AmosBudoya 24 дні тому +3

    Jaman from Tanzania nipen likes zang

  • @user-rl5zb1jc9k
    @user-rl5zb1jc9k 25 днів тому +2

    Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘

  • @johnfilbert5915
    @johnfilbert5915 25 днів тому +7

    Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine

  • @CarolinePeter-gc8fp
    @CarolinePeter-gc8fp 24 дні тому +2

    Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys

  • @user-op7tg4wq2g
    @user-op7tg4wq2g 24 дні тому +5

    Nakubali wapi like za mzee likoma

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 24 дні тому +1

    😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz 24 дні тому +2

    Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂

  • @user-dt9uc7wj1y
    @user-dt9uc7wj1y 22 дні тому +1

    😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 16 днів тому

    Muze Rikoma na Ribozi munachapa kazi😂😂🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @BrayMark-d3z
    @BrayMark-d3z 22 дні тому +3

    Tupe hii baba achana na plan b

  • @zainzain1163
    @zainzain1163 24 дні тому +1

    Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri

  • @Asia-dq3rt
    @Asia-dq3rt 24 дні тому +4

    Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂

  • @janepaul-pu3ds
    @janepaul-pu3ds 24 дні тому +1

    Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or 24 дні тому +3

    Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 24 дні тому +2

    Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @user-jd9jb3ri4u
    @user-jd9jb3ri4u 24 дні тому +1

    Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍

  • @user-zo8lz3wm7n
    @user-zo8lz3wm7n 24 дні тому +1

    😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja

  • @FaithAdela
    @FaithAdela 6 днів тому

    Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz 24 дні тому +2

    Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali

  • @user-gg5ed4wt2v
    @user-gg5ed4wt2v 24 дні тому +2

    Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤

  • @PedrocesarmsuyaMsuya-k9p
    @PedrocesarmsuyaMsuya-k9p 24 дні тому +3

    Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤

  • @user-xm4uu7he9c
    @user-xm4uu7he9c 24 дні тому +2

    Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤

  • @jacquelineboniface1145
    @jacquelineboniface1145 25 днів тому +4

    We are waiting ❤❤❤❤

  • @FREDRICKotieno-li2vo
    @FREDRICKotieno-li2vo 25 днів тому +3

    Gained a new subscriber ❤❤

  • @metrinenyakoe1764
    @metrinenyakoe1764 21 день тому

    Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 24 дні тому +2

    Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai

  • @NAOMICOM-my4ql
    @NAOMICOM-my4ql 24 дні тому +2

    Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane

  • @JerryGebiyr-dv6jp
    @JerryGebiyr-dv6jp 24 дні тому +1

    From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever 17 днів тому +1

    From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉

  • @agapitshayo-cy7vy
    @agapitshayo-cy7vy 25 днів тому +4

    Sijachelewa big up likoma

  • @juliusshauri4498
    @juliusshauri4498 20 днів тому +1

    Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma

  • @ALAINMUFUNGIZI-gb2gs
    @ALAINMUFUNGIZI-gb2gs 24 дні тому +1

    Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo

  • @brenduemmanuel7540
    @brenduemmanuel7540 18 днів тому

    Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen

  • @DianaKatyetye
    @DianaKatyetye 24 дні тому +2

    Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 24 дні тому +2

    Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 19 днів тому

    Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝

  • @salehmutuwalazima
    @salehmutuwalazima 21 день тому

    Vraiment bon ❤ toka DRC 🇨🇩

  • @user-yu9qn4oi3g
    @user-yu9qn4oi3g 25 днів тому +3

    ❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥

  • @MalakiKapesa
    @MalakiKapesa 5 днів тому

    Kazi nzr Sana likoma nakubali sana

  • @user-dv2wl3gh4n
    @user-dv2wl3gh4n 25 днів тому +3

    😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana

  • @AbdulBushiri-b6o
    @AbdulBushiri-b6o 3 дні тому

    Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh

  • @maimunarajab6826
    @maimunarajab6826 22 дні тому

    Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-hq5dc4hs8k
    @user-hq5dc4hs8k 24 дні тому +2

    Puritysyombu@ Kali kalii🎉🎉🎉

  • @AnoriteMungusa
    @AnoriteMungusa 24 дні тому +3

    Nawakubali sana ❤💪

  • @user-ck7fi3bh3i
    @user-ck7fi3bh3i 24 дні тому +3

    Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣

    • @Stardinyo
      @Stardinyo 24 дні тому

      Yaan mi ntalitafut shangaz kaja

    • @EmmyMo
      @EmmyMo 22 дні тому

      Imenzidi umrii😂😂😂

  • @AmosBudoya
    @AmosBudoya 24 дні тому +2

    Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka

  • @tommroverdose1242
    @tommroverdose1242 25 днів тому +3

    mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome

  • @TamashaAwadhi
    @TamashaAwadhi 13 днів тому +1

    Nawakubali sana haswa kp

  • @JuliaAyuma-z5w
    @JuliaAyuma-z5w 21 день тому

    Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara4048 22 дні тому +1

    Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 24 дні тому

    Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba

  • @ThumahSalush
    @ThumahSalush 9 днів тому

    Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa

  • @MorkidTz
    @MorkidTz 25 днів тому +3

    Likoma shamban leooo
    Hiii Iko vipi wadau

  • @Bizo-hd
    @Bizo-hd 23 дні тому

    Beat kali🎉 amazing

  • @AnoriteMungusa
    @AnoriteMungusa 25 днів тому +13

    Wakwanza please 🎉🎉🎉🎉

  • @fatuma46ramadhan18
    @fatuma46ramadhan18 25 днів тому +2

    Wow alipo KP na timu yake nami nipo🎉🎉🎉❤

  • @EstherwakioWukanda
    @EstherwakioWukanda 22 дні тому

    😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 22 дні тому +1

    Kazi nzuri ila Hawa wazee wawili Huwa mwanifurahisha sana

  • @MomoDarucy-tw2ti
    @MomoDarucy-tw2ti 24 дні тому +1

    Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂

  • @user-fb8cd2kc8l
    @user-fb8cd2kc8l 24 дні тому +2

    Nafurah mko pamoja kazi nzuri

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 4 дні тому

    Likoma ume perform vzur ktk senior yko good

  • @user-qv9ju5jc7u
    @user-qv9ju5jc7u 20 днів тому

    pochi nene pochi nene 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 daaa likoma mr money

  • @desirempawenimana2031
    @desirempawenimana2031 25 днів тому +2

    Aki mnanibamba likoma na dibozi

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 25 днів тому +7

    Likoma na dibozi nawapenda sana halafu dibozi unajua kulima sana

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma 20 днів тому

    Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤

  • @issakabezi
    @issakabezi 22 дні тому +1

    😂Salfate tam saana

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 21 день тому

    Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂

  • @JemaMsule
    @JemaMsule 25 днів тому +4

    🎉🎉🎉kazi kazi jaman