Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MR MONEY_EP 01
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 11 лип 2024
- #mzeelikoma#mrmoney#kpnazebuu
КОМЕНТАРІ • 743
Наступне
Автоматичне відтворення
MR MONEY_EP 02LIKOMA
Переглядів 177 тис.
MR MONEY_EP04LIKOMA
Переглядів 77 тис.
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 06 | Love StoryDONTA TV
Переглядів 36 тис.
нельзя мучать животное!!!! мой тг «хей! это марьяна!» #шортс #марьяналокель #юморMaryana Lokel
Переглядів 2,2 млн
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 8 млн
Schoolboy - Часть 2⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 4,5 млн
SAKATA LA MSICHANA KUBAKWA AKIREKODIWA, AYO TV YAFIKA MTAANI KWAKE, WATU WAFUNGUKA MAZITOMillard Ayo
Переглядів 61 тис.
MPAKA HOME KP NA ZEBUU MJENGO WANAO MILIKI USICHUKULIE POA MAISHA YA KIFAHARIMpalla Updates
Переглядів 81 тис.
KUNA SIRI NZITO IMEFICHUKA KUHUSU MAKONDA KUMBA.. SAMIA ......Mzawa Media
Переглядів 11 тис.
PLAN B _ Episode 9kp wa Aquino
Переглядів 84 тис.
HUYU DADA MCHAWISteve Mweusi
Переглядів 1,4 млн
BABA YANGU KIPOFU Full episode /23/ #loveBabaJoan
Переглядів 221 тис.
"MAPYA" LEMA ALILIPUA SAKATA LA MAKONDA UKWELI WAFICHUKA SASA AMNA SIRIYuhai media
Переглядів 4,6 тис.
MTOTO WA SHEIKHE (Ep 1)Comedy Plus
Переглядів 79 тис.
EXCLUSIVE NA MZEE LIKOMAKp&Zebuu Media
Переглядів 39 тис.
Ядерное озеро #ссср #россия #пермьПослезавтра
Переглядів 2,3 млн
Я обещал подарить ему самокат!Vlad Samokatchik
Переглядів 9 млн
Почему саморез не держится в дереве. Столярные секреты.Стройхак
Переглядів 1,8 млн
ДИНАМО - ПАРТИЗАН | ОГЛЯД МАТЧУФК «Динамо» Київ
Переглядів 511 тис.
Jerry Heil & Volodymyr Dantes - ГУБИ У ГУБАХ (ПРЕМʼЄРА 2024)Jerry Heil
Переглядів 537 тис.
Советы на всё лето 4 @postworkllcИстория одного вокалиста
Переглядів 3,8 млн
Алексей Воробьев - Всё остальное - лишь товар. «Профессор Тод Лебен» (лекция №5) Автор - А.ВоробьевАлексей Воробьев
Переглядів 1,6 млн
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
Muwe mnaniita mapema😁
Kabisa jaman let's support likoma
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
together
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
Kufa tena ?😂😂
Umekufa namba 5😂😂😂😂
aya bwn
Musalimie yesu 😂😂😂
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
Nimeipendasana
Nguo zashule zimewapendeza
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
Why message kama hii huwa hawaijibuu
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
Kazi nzuri nawapenda nyote
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
Kwann likuume❤
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Nampenda sana mze likoma❤
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
Vp
Mdada
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
Mzee likoma na kibozi mnanifurahishag san❤❤
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
Jaman from Tanzania nipen likes zang
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
Nakubali wapi like za mzee likoma
Dog sele
😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
Muze Rikoma na Ribozi munachapa kazi😂😂🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tupe hii baba achana na plan b
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
We are waiting ❤❤❤❤
Gained a new subscriber ❤❤
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉
Sijachelewa big up likoma
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
Kazi safi sana mzee likoma🎉🎉
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
Vraiment bon ❤ toka DRC 🇨🇩
❤❤❤ kazi nzuri sana 👍🔥🔥
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
Mzee likoma daah unanifurahisha kweli😂😂😂😂😂😂😂
Puritysyombu@ Kali kalii🎉🎉🎉
Nawakubali sana ❤💪
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
Imenzidi umrii😂😂😂
Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka
mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome
Nawakubali sana haswa kp
Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania
Hahhaha mawanafunzi majinga sana😂😂😂😂😂😂😂
Mzee likoma umeua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeyatimba
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
Likoma shamban leooo
Hiii Iko vipi wadau
Beat kali🎉 amazing
Wakwanza please 🎉🎉🎉🎉
Vipi bb
Wow alipo KP na timu yake nami nipo🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
Kazi nzuri ila Hawa wazee wawili Huwa mwanifurahisha sana
Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂
Nafurah mko pamoja kazi nzuri
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
pochi nene pochi nene 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 daaa likoma mr money
Aki mnanibamba likoma na dibozi
Likoma na dibozi nawapenda sana halafu dibozi unajua kulima sana
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
😂Salfate tam saana
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
🎉🎉🎉kazi kazi jaman