Huyu mchungaji wa mchongo aiseee!!! Nusu muislam na nusu Mkristo!!!😂😂😂 Ukisikia kufeli kwa mwandishi ndo hapo sasa!!! Hebu rekebisheni apo aiseee!!! Wachungaji huwa hawavai vibaragashia
Kakosoo ndani ya nyumba 😂 Hii shetan kama ya moto hivii Yan akiwepo bhailam naomy na timu nzima ya comedy plus bac ujue mambo yanakua hot 🥵🔥🔥❤ Ep ya kwanza tu tumefunguliwa na dakika 23 we uogopii😂😂😂😂🔥
Team Bailam ni moto Sana wote tunawapenda hongeleni sana Mzee simba anajuwa jamani tena tunamupenda apewe mauwa yakee 🎉🎉🎉🎉🎉From malawi japo nipo south africa hila sijawahi kukosa kaz zenu ❤❤❤❤
Hakika ni kweli shetani yupo kazini na kafika, hakika inatupasa tutubu kwa bidii na kumrudia Mungu, Mungu akuongoze bhailam uufunue ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia
hii ilikuwa nzuri zaidi na ina mafundisho makubwa lakini yule msichana aliyekupa kitabu akakwambia ukifiche yule shetani asije akakikamata na mimi niongezewe tafadhali hicho kitabu kichunge sana tusije tukasikia habari mbaya kwamba hicho kitabu kimefika mikononi mwa shetani dunia hii yote itaangamia hivyo vitabu vikifika mikononi mwa shetani jitahidi kuficha hivyo kitabu kwa sababu ndiyo ndicho kitakacho okoa watu wote ya watu wote😊😊
Maua kwa mwasi jamani kama unamfahamu kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂😂
Mwasi the best ❤❤❤❤
Tunamjua aiseeee
Mwasi kajiunga na bhailam mashallah
Kakoso🤪
Nampenda sana mwasi jaman sijui anaish wapi
Wangap tumefurahi kuona KAKOSO wa mchongo kwenye COMEDY PLUS 😂😂😂😂😂😂😂😂 ONGEREN NYTE GUYS ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kakoso kwenye umbo la mwasi😂😂😂😂
Alieona kwamba Mzee ndooo uzuli nikucane shetani agonge like hapa👍👍
😂😂😂
Naona km ni Bhailam uyo
@@mohammedkidody5618 eee ni yy
Number 1 today much love from BURUNDI 🇧🇮 team Strong mkowapi gong Likes 5 Guys 😢😢
Tupo kama kahawa❤
Team strong 😊
Huyu mchungaji wa mchongo aiseee!!! Nusu muislam na nusu Mkristo!!!😂😂😂
Ukisikia kufeli kwa mwandishi ndo hapo sasa!!! Hebu rekebisheni apo aiseee!!! Wachungaji huwa hawavai vibaragashia
😂😂😂
hahaaa yani hatar na nusu
Boraaa umenisaidiaaa
Nimefurahi kumuona mzee simba dhahili nimuisilam lakin hajaibagua dini mauwa yako🌷🌷🌷
MUNGU amuongoze tena sana ankitu ndani yake
Wapi likes za naomi. Nguvu za Mungu ziko very powerful kuliko za shetani😂😂
Alieona pastor kavaa kibaragashia ngonga like
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Hapooooo Sasa....
Wanao mpenda mzee ndo uzuli nikuchane gonga like apa ❤❤
😂😂😂NDO UZURI UO❤
😂😂😂
Ndo uzuli
😂😂😂😂😂
😂😂
Ohooo Amkeni uko mambo yeshakua mambo huku
Picha linajisoma hv ss *SHETANI❤❤*
Haufananishwi nakitu kingine amen mzeee simbaaa huyooo gongeni like hapa wapendwa!😂😂🎉🎉
Tatizo hapo Simba ni Moja tu balakasheee. Na bibilia wapi na wapi mi nikajua atapiga kiarabu lakini kapi kiratini.
Usikute uyo shetani mwenyewe nywele ni Rechoo😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂yani natamani ni yy akii mana nikivurugee yule
😅😅😆😆😆
😂😂😂😂😂😂😂
Mwasi km mwasi
❤❤❤❤❤❤
mm nimefurahi kumuona Mzee Simba ni Wa ngapi wamefurahi kama mm waweke likes hapa hata 5
Ila kofia hiyo akiwa anasali na Biblia. Director kachemka..
Kila ulimi utakiri ya kwamba YESU ni BWANA . Nahona ata waislam mnaanza kukiri, Amina Sana .
Acha ukuma umbwa wewe ,,dini ni moja tu na yesu ni mtume wa mungu sio mungu kama munavyo sema labda waislamu wa huko kwenu
Sio kosa lake muelewe uoni ana itwa selemani….amna sele alie zaliwa mrefu akawa na akili sio kwl
@@saumbliz8983 ndo dini yenu inavyo wafunzaga ivyo kutukana watu? Maana kila mwislam akitaka kuutetea uislam lazima atukane.
Sasa apo waislam waingiaje apo yan watu wengine bwana
Tuko pamojaa jaman adii mwishoo wa season❤❤❤
Waoooo nime furahi kumuona baba angu Simba nagupenda sana baba angu simba
Mzee siba amevaa kibaragashia arafu anahubir jaman
Mi sijapenda kwa kwel
Shida iko wp icho kikofiy nikama fashen two
Hataa me sijapendaa
Wallah tena sijapenda hta mm😢
Ametaja jina la mwenyezi Mungu, hajajalisha dhehebu.
Finally mmetoa ingine nilikuwa nimengoja Kwa hamu Sana asanteni🎉🎉🎉
kama umemuona Naomi na JoJo gonga like hapa! this is an extraordinary movie with high standard. I from 254🇰🇪
Yan sijapenda kbs mzee simba nusu mkiristo nusu muislam mwandishi rekebisha sijapenda
Move Kali kinyama Sema Mzee simb umebug kuhubili uku ukiwa umevaa kofia ya kiislam 😂😂😂😂😂
😂😂
Kofia ni vazi tu jamani
Much love from saudi kazi njuri sana nawapenda sana
saw mzee simba nakukubali kinoma mnoooo tenaaa mzee simba ushakuwa mchungaj
😂😂😂😂❤❤❤❤
Na kibarakaeshe juu 😂😂
Jamana COMEDY PLUS tunawapenda sana Maana mmeanza kutuburudisha Toka Kwenye WAKE WENZA mpaka Sasa na SHETANI hongereni sana ❤❤❤❤❤❤❤
New season ❤❤❤ team bhailam pendwa kaz nzuriiii 🎉🎉🎉
Kakosoo ndani ya nyumba 😂
Hii shetan kama ya moto hivii Yan akiwepo bhailam naomy na timu nzima ya comedy plus bac ujue mambo yanakua hot 🥵🔥🔥❤
Ep ya kwanza tu tumefunguliwa na dakika 23 we uogopii😂😂😂😂🔥
😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Team Bailam ni moto Sana wote tunawapenda hongeleni sana Mzee simba anajuwa jamani tena tunamupenda apewe mauwa yakee 🎉🎉🎉🎉🎉From malawi japo nipo south africa hila sijawahi kukosa kaz zenu ❤❤❤❤
Hakika ni kweli shetani yupo kazini na kafika, hakika inatupasa tutubu kwa bidii na kumrudia Mungu,
Mungu akuongoze bhailam uufunue ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia
Kazi nzuri sana na mzee simba na bint Naomi endeleeni kueneza injili ya yesu kristo aliyehai🙏🏽🙏🏽
Kbx weny macho ya roho wanajua nini maana yahii cinéma
Ila asingevaa hio kofia .... wachungaji hawavai iyo 😅@@AbcDef-p3q6v
Hayo ndio mambo na yoyapenda kazi nzuri boss
Team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi nawasalimu mko poa nyote aya tusiwe karibu na shetani jamani.
hii ilikuwa nzuri zaidi na ina mafundisho makubwa lakini yule msichana aliyekupa kitabu akakwambia ukifiche yule shetani asije akakikamata na mimi niongezewe tafadhali hicho kitabu kichunge sana tusije tukasikia habari mbaya kwamba hicho kitabu kimefika mikononi mwa shetani dunia hii yote itaangamia hivyo vitabu vikifika mikononi mwa shetani jitahidi kuficha hivyo kitabu kwa sababu ndiyo ndicho kitakacho okoa watu wote ya watu wote😊😊
😂😂😂😂Una nini lakini
@@gyslaineiradukunda6731 kwa nini unasema una nini lakini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
and if I have done wrong writing this, please forgive me 🙏🙏🙏🙏😢😢
and if I have done wrong writing this, please forgive me 🙏🙏🙏😢😢
Hii kali ya mwaka jmn Tumeanza mwanzo km team strong n tutamalizana nayk love from 🇰🇪🇸🇦🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 like zangu please 🙏
🇹🇿🇴🇲✌️
Tupo wenye wafii.yabure😂😂😂😂
🇹🇿🇴🇲
😂😂😂😂 hhhhhh ah😅 Jamani leo nimecheka sanaaa MZEE WA NDO UZURI Leo umenikosha htry wallahi 😅 umekula rungu kwa naomi unawahdithia wenzako wanakucheka unajidai kukaza😂😂😂😂❤
Movie nzur sana sana
Thanks for the show mach blessings from Allah
Hatareeeee ndani ya mjengo,mko vifresh wadau🎉🎉🎉🎉❤❤❤#mwasi uwepo wako nautambua 💋
Me n fun mkubwa wa clam na snake boy lakini hii Iko top ...Kali sana 🔥
Moto sana aky hongera kwa mzee simba
Manshallah Movie Nzuli😮😮🎉🎉🎉🎉
😂😂😂apo kwamzee simba kua mchungaj Alf kavaa kibaragashia mmefeli
Kbs ata mm sijapenda
Kwani mzee Simba ni pastor au ni sheikh 😊😊😅😅😅😅😅
Nampenda sana huyu mdada kakoso(mwasi) maua yako dada❤🎉🎉🎉
Yaani anajua na anajua tena mpaka anakera❤.
🥰🥰🥰🥰
Wow Wow 💪💪💪💪🙏🙏🙏🇧🇮👌👌👌🔥🔥🔥🔥🔥
Wakwanza leo nipeni maua yng
Me nahc huyo shetani ni rechoo maana😂😂😂😂
Nime pendezwa sana na Hio na fasi ameicheza mzee simba Mungu awabariki
Kakoso by Mwasi uko juu nkukubali Dadangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Move love from 🇰🇪❤❤❤❤
Ndugu zangu naomba niulize kitu pasta naiyo kitu kicwani na bible sielewi ni chehe au pasta😂😂😂😂
Jmn ivi ile ngoma ya mganga na ile pete ziliishia wp😢
Hongera sana bhailam hii movie imetulia sana❤❤❤
Munaweza sana kàbisa Mungu azidi kuwaimalisha❤❤❤
Hongera mxeee simbaaa kote kote upo hubagui dini bravooooooo ❤❤❤
Jaman ninzur sana mno mwendelezi tu
Wakwanza frm Burundi🇧🇮🇧🇮
Afu kinachouma zayindi sana iyokofiya unava 😭😭😭kuweni naheshima nakivazi maana inauma sana mwisho wako siyo muzur hata kindongo
saw asant nasisi tunawakaribisha Burundi tushikamane
Kakoso mke uko leo nakupenda
bure ❤❤❤
Kazi kazi imeanza❤❤❤❤🎉
Yani ni fireeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana mzee simba nawakubali sana❤❤❤❤❤
😅😅😅 dhaaa ndouzurii kawa mchaw😅😅
Mwasi Kama mwasi much love from kenya 💞
Mwasi wa snekboy
kali sana🔥
Uku ciyo wachoyo Mnavo wafaham mtanipa alau like 20
Bailam ujawahi kutuangusha hili ni bonge la story na ni maisha yakweli tumludie mungu dunia iko ukingoni shukln sana bailam❤
Wow ni nayo ni Moto🔥🔥🔥🔥wa kuotea mbali team Bailam hongereni sana nawatazama nikiwa inchi ya 🇰🇪 ❤❤❤
I love the way you guys act keep it up
Kazi nzuri. Kenya Watching, twapenda
Mmh mzee simba ni pasta 😂😂😂😂😂 hii kali ya mwaka
Jamn km yumo mzee Simba mbona pambeeeeee
Kama umegundua hio sebule ni ile ya my love tujuame kwa kopa ❤❤❤
Mkovixuli Daah 🤣 tamu sana🇴🇲🇴🇲
Wow nice movie congrats❤❤
Sema mzee Simba kaferi hapo kwenye icho Cha kichwani mwake ajapendeza kuwa mchungaji
Comedy plus nawakubali, kila tym mnajipya Tena🔥🔥🔥 but Jojo jamani umefungukiwa kuonja utajiri nawe walipiza. Maisha kutesa Kwa zamu sio?
Mubarikiwe saaaana kwa jina la Yesu
Nampenda sana kakoso😅😅😅😅
Mwasi😂😂😂
@@mobastian5050 huyo dad Yuko vzr sana Kila secta
Anafanya kazi nzuri sanaaaa❤️❤️
Mzee Simba umechemsha yani umevaa Cha wallah kisha huku umebeba bibilia
Nmemuona mwasi mashavu jmn wa snake boy kaz nzuri
Kama nimala yako ya kwanza kuangalia akili maisha tv nakuomba subscribe share koment na like.
Nimependa mzee Simba now umekuwa mchungaji na mume act dini ya kikristo kila siku munaigiza dini ya kislam nimependa
Nawapenda Sana karibu mukue kama Nigeria
Mzee Simba, Simba wa masimba, pastor 😂😂 , uko vizuri baba npe like hp
Mpegijaje humu Padri anavaa kibarakaa sheikh😇😇
Haha mzee hamzaa imekula kwako hiyooo shetani na Mungu wapi nawapi🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️viboko sio vaichii hiyoo..hadi kibaraka amecheka
Napenda sana iyi movie ❤
Sasa mzee simba jaman mchungaj na kibagarashia wap na wap apo mmetupiga😂😂😂😂 lkn twawapenda❤❤❤
Japo nmechelewq naomba like zangu jmn ata 5 tu😢
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
New series first ☝️🔥🔥
Bien vraiment ❤❤🎉🎉
Waoooo🎉🎉🎉🎉🎉 mzee simba
Kweri nimzuri zana yanii wanajuwa sana kueekiti
Nzuri ila ushauri....
Mchungaji asivae kibagarashia Ili aendane na Uhalisia
Uzuri wa iyo kofia inatumika Kila sehem
Sema mzeezsimba umekosea unakemea unatumia biblia unakemea mapepo wakati umevaa balakasheee
Good job
Chombo kwa hewaa😂😂
Mzee simba amefeli kavaa kofia ya kiisilamu na zigda anayo alafu eti anahubiri apo mmefeli alikua anafaa kuwa sheikh jamani