SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo #comedy

КОМЕНТАРІ • 2,3 тис.

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Місяць тому +46

    Wangapi tumependa mjomba mfupi alivomaliza ugali wote akanywa na maharage , 😂😂😂

  • @KapendFiston
    @KapendFiston Місяць тому +22

    Clam Vevo kwa kweli wewe pamoja na timu Yako muna juwa kazi nzuri sana ongereni

  • @user-ew4nz8lx2j
    @user-ew4nz8lx2j Місяць тому +22

    Kazi nzuri sana mungu aendelee kukubariki na kukufanya uwe juu zaid

  • @user-eo1qy1zh7r
    @user-eo1qy1zh7r Місяць тому +24

    Movie nzuri sana master ❤❤❤😂😂🎉🎉😢😢😮😮😅😅😊😊😊

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx Місяць тому +23

    Siku nyingine tena tuna kila sababu ya kumushukulu mwenyezi munguuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 Місяць тому +42

    Wa Mia tisa. Kama umekuwa hapa tangu ep 1 nipe like

  • @dominicomari7040
    @dominicomari7040 Місяць тому +27

    N WA ngapi wamengojea hii series mbaka kuwa tumechoka kufutilia mahali tulikuwa tumeanjia ❤❤❤😂😂😂❤

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 Місяць тому +25

    Shisha ooh lala ola ola lala
    Shisha ooh lala ola ola lalaa
    Nan anapenda nyimbo

    • @nickluca1512
      @nickluca1512 Місяць тому +1

      Sema unapenda shishaa acha kujifanya unapenda nyimbo 😂😂😂

    • @fey-ge9pm
      @fey-ge9pm Місяць тому +1

      Na Mimi naipenda sana😂😂

    • @MiriamKolagwa
      @MiriamKolagwa Місяць тому +1

      😂😂😂😂😂

    • @ZainaIsihaka
      @ZainaIsihaka 13 днів тому +1

      ​mimi. appa. napenda. kuwa. msanii. kwelikweli. bye❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉😢😮😅😊

  • @SiviriSuisse-yz2sp
    @SiviriSuisse-yz2sp Місяць тому +65

    kz nzuri sana, wanao mkubali clam wekeni like apa tujuane

  • @tonydancer1111
    @tonydancer1111 Місяць тому +10

    Mungu awabaliki awawote walie cheza move hii awape maisha marefu na yenye mafanikio amen

  • @SalimaJaribu-tw9qf
    @SalimaJaribu-tw9qf Місяць тому +18

    Good clamkwaunavyovifanya munguakuzidishie palepalipo pungua naakuepushiena viinimacho vyawaja mwisho mi nimgeni kwaiyo naombeni leik hatamoja tafanzali watanzania

  • @NatureMw155
    @NatureMw155 Місяць тому +26

    Clam tumemisi comedy zako umenifuilasha ulivyo sema nimzunguka nikatokea hapa😂😂😂😂😂😂

    • @andrewkasiga
      @andrewkasiga 4 дні тому

      Jamaa kila akitoloka ana rudi pale pale

  • @user-hg1zd6kg9s
    @user-hg1zd6kg9s Місяць тому +89

    Tunaho Isi aliye mbaka kim ni zumba gonga like apa 😂😂😂

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Місяць тому +34

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo

  • @MsomaliBeka
    @MsomaliBeka Місяць тому +113

    Tunao miss kumuona zinga goga like 😄 😆

  • @saudasada6379
    @saudasada6379 Місяць тому +40

    Naomba likes zangu leo wa mwisho kazi nzuri sana clam naipenda sana snake boy kutoka 🇰🇪 kenya❤❤❤❤

  • @Tariqgandu
    @Tariqgandu Місяць тому +59

    Watu badala ya kuangalia muvi wanawaza kutafuta like ukichunguza comments nyingi sanah za snake boy watu wanaomba like 😂😂😂😂

    • @mwanashamwalim-dx6wb
      @mwanashamwalim-dx6wb Місяць тому

      Tuko kumoja 😅😅😅

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz Місяць тому +1

      Na sijui ht hizo like zinakua na mtaji au vp maana wamezid

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 Місяць тому

      Kabisa yn wanaboa asa

    • @goshenaman
      @goshenaman Місяць тому

      Ata ww umeandika ivyo ili upate like

    • @goshenaman
      @goshenaman Місяць тому

      ​@@B.M-ix4rzmtaji ni bilion ndomana haujapata ata moja

  • @modex_0376
    @modex_0376 Місяць тому +73

    Wa KWANZA Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa wa Snake Boy

  • @MayengDulu
    @MayengDulu Місяць тому +13

    Mnatufulaisha sana wakaka na madada fanyeni kazi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ip4vu8qw3r
    @user-ip4vu8qw3r Місяць тому +22

    Kiukweli sasahivi imepoteza mvuto hii snake boy wanaokubaliana na mimi ili clam vevo ajirekebishe na kutuwekea vitu tunavyovipenda like kama zote wakuu

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 27 днів тому +2

      Unadhani muda wote itakuvutia tu,na sio lazima ikuvutie wewe tu, uandishi wa script sio mrahisi kama unavyifikiria, Mwandishi wa Script na Director Kakoso wanajitahidi sana.

    • @TshabalalaShabalala
      @TshabalalaShabalala 6 днів тому

      Vunga kama imepoteza mvuto ss tuna ipenda

  • @clemensiadaniel8479
    @clemensiadaniel8479 Місяць тому +17

    Toka lini ugali na maharage vikaisha mapema jaman hapa kitu kizito🤣🤣🤣

  • @PurieMakena
    @PurieMakena Місяць тому +22

    Watching from Kenya 🇰🇪 any Kenyan here gonga like tukisonga nawapenda Bure ❤❤❤

  • @Ammary-
    @Ammary- Місяць тому +255

    Unaye soma koment hii muda huu mola mwenyezimungu akubaliki ww na kizazi chako inshaallah

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Місяць тому +23

    Hiko kiandunje kinakula ugali maharage sekunde tu 😂😂😂😂😂😂

  • @Chazbaba_tz
    @Chazbaba_tz Місяць тому +22

    Double tap🎉 uone maajab ya ujumbe wang snake boy kabsa

  • @ibrahjokes5055
    @ibrahjokes5055 Місяць тому +13

    Nasema clam asipomla huy Dem hata kweny kuigiza najiua😢😅😅😂🎉

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg Місяць тому +9

    Jamani Vevo mungu Amlipe maan sio kwa Mafunzo haya❤❤

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl Місяць тому +6

    Hii snake boy n moto Zaid y 🔥🔥🔥🔥sijui kwa nin huag mnachlewa kutuletea mpka tunaisahau ila hongereni kwa kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PostaMoisesinyeri
    @PostaMoisesinyeri Місяць тому +49

    Mimi na tokeya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩na taka like❤5 tano tuh !

  • @user-su9hn8es9n
    @user-su9hn8es9n Місяць тому +8

    🎉,❤ kazi nzuri kutoka kenya

  • @traviegrey3434
    @traviegrey3434 Місяць тому +31

    Kama umegundua hua na like nisisahau kua episode hiyo nishaiona twende pamoja😂😂

  • @siamejerry9239
    @siamejerry9239 Місяць тому +6

    I love the way clam is combining the actors

  • @Linus-kn7tj
    @Linus-kn7tj Місяць тому +20

    M wa mwisho nataka like 1 tu

  • @vee4296
    @vee4296 Місяць тому +12

    Hivi nyie mnaoomba like kwan nyie ndo mmegiza .....asante clam kwa kaz nzuri❤

  • @jescawadelanga8657
    @jescawadelanga8657 Місяць тому +5

    Nikatokaa kushangaaa yaaan mbona mapenz mahaba hamnaa umuu kumbee yapooo😂😂😂😂

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv Місяць тому +165

    Leo nimekuwa wa mia tatu na 33 😅😅😂😂 Em naomba nisaidie likes zangu please tuzidi kusupport snake 🐍 boyyy

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads Місяць тому +13

    Jamani Huyu VEVO na team yake wamedhamiria kufanya makubwa kwenye hii tasnia TUMPE nguvu hatutajutia, jamaa wanajituma yaan Hadi kufikia hii episode stor haijaharibika na Bado wanaonesha Energy Ile ile.
    Big up Team VEVO..

    • @user-bx1eo2wc4h
      @user-bx1eo2wc4h Місяць тому +2

      Bora ww umetoa ushauri siyo hao wanaopambana na like❤

  • @user-oj7jv2sf9y
    @user-oj7jv2sf9y Місяць тому +5

    Yeeeee nimewahi team strong kujeni nimewawakilisha vizuri leo❤❤❤❤❤kazi nzuri sana Vevo❤❤😊

  • @AllenMwalimu
    @AllenMwalimu Місяць тому +10

    Snake girl ipo vizuri mnazingua sana

  • @EstasiusBahama
    @EstasiusBahama Місяць тому +7

    mnazingua sanaaa nyie muv mnacherewesha kam kitu gan

  • @KaisiMwakyusa
    @KaisiMwakyusa Місяць тому +64

    Jaman kwa ivi vifo si wataisha wote gonga like apa from mbeya kyela

  • @Samwel486
    @Samwel486 Місяць тому +60

    wakwanza gusa like zangu hapa nyingi sana dondosha

  • @azizahmohamed3495
    @azizahmohamed3495 Місяць тому +12

    Ubaya ubwela kwa tanu jamani,,,n uyo jamaa ambae mkewe anapigwa dana dana ni mpuuzi tu kwanini tangu mala y kwanza kwa mgaya asimwambie kuwa yule ni mkewe n badala yake akamwambia kuwa n dadaake

  • @user-gi7cx2no2g
    @user-gi7cx2no2g Місяць тому +5

    Zumba zumba nakuhisi jambo kijana wa hovyo sana😂😂😂n'a clam utagombanisha watoto wa shahidi😅ani moovie kila sik utam unazidi❤mnajua bhana🎉mauwa yako clam n'a. Team.yako kwaujumla🎉🎉🎉🎉from burundi❤

  • @MohaChai
    @MohaChai Місяць тому +5

    Safii jamaa zangu tuendelee kusapot🔥🔥

  • @nicholausmissana2018
    @nicholausmissana2018 Місяць тому +23

    Wakwanza leo naomben maua yangu

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l Місяць тому +185

    Kama unampend clam ntanzi gonga likes hapa

  • @user-yp3sm7gm2t
    @user-yp3sm7gm2t Місяць тому +66

    Clam hi leo wakwanza like zangu nuchemshe nile sapa

  • @AbdulMussakabagambe-qd6lv
    @AbdulMussakabagambe-qd6lv Місяць тому +3

    Clam sehemu hii umenichekesha sana hadi mikono haitaki kutoka kwenye suluari mh unaweza sana bwana clam🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍💪💪💪💪🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @wakunigeriafather
    @wakunigeriafather Місяць тому +7

    naombeni hii snake isifike mwisho iendelee mole daima🎉

  • @mrambastephen5
    @mrambastephen5 Місяць тому +21

    ❤❤❤ vevo kazi zako nazikubali kabisa salimia darector kakoso hongera

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. Місяць тому +62

    Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😮❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @Joramkatana
    @Joramkatana Місяць тому +14

    Nasemaje...am very happy comrades.This is the best series ever on this planet... Congratulations to Ntanzi,Kakoso, Famau..and all the actors and actresses.
    •Zumba impregnanted Kim.
    •Tanu killed kapera's wife.
    •Kapera revenged back by killing Tanu's children.
    •Ntanzi loves Sanura.
    °
    .......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @LysonMshan-kf7rg
    @LysonMshan-kf7rg Місяць тому +5

    kua makinii inaonekana unaa maadauii mengiii 👍👍👍👍

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Місяць тому +5

    😂😂😂😂😂Kua makini inaonekana una maadui wengi sana 😂

  • @user-cu4ik3lb6x
    @user-cu4ik3lb6x Місяць тому +5

    Oya mdogo wangu kipenz upo vizuri sana💪💪

  • @Aloysdotosindiho-mb1mb
    @Aloysdotosindiho-mb1mb Місяць тому +115

    Wakwanza kutoka Lusaka zambia naomba like zangu jamani

  • @moisecishahayo3408
    @moisecishahayo3408 Місяць тому +152

    tangu nianze kucomment kuhusu snake boy sijapata likes ila nawapenda nyote

  • @ClaudeDagiri
    @ClaudeDagiri Місяць тому +13

    Tanu anaiweza siasa✍️

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 Місяць тому +6

    We chizi nini 😂😂😂😂😂
    Nawasubiri finally mtakavyo haribu

  • @halifamkindi2102
    @halifamkindi2102 Місяць тому +70

    Wapenz wa 🐍 boy tuliokua tukiisubili woteeee naombeni like na mm jmn❤️❤️❤️

  • @Chudo_boy_Zombie
    @Chudo_boy_Zombie Місяць тому +120

    Bila kusahau like za clam vevo zote ziwekwe hapa jamani sijawai kupata hata like 1k
    Kazi nzuri clam vevo tupo nyuma yako bro...🫶💪💪
    Tuzidi kusapot kazi ya kijana wetu 🥰

  • @MohamediMuome
    @MohamediMuome Місяць тому +37

    Wakwanz nipen like zangu

  • @AbdulkareemMtinge
    @AbdulkareemMtinge Місяць тому +21

    Mm jamani Sina ata like 1 wapenzi wa snake boy

  • @mariethajoseph6538
    @mariethajoseph6538 Місяць тому +5

    Kutoka @TABORA nawapongez @clam na kundi lake lote🎉🎉🎉

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Місяць тому +19

    Oyaaa unategea snake boy ukiwa mm Niko apa Riyadh 😂🇸🇦🇰🇪 alafu mmesahau saaana big boss 😢😢bana mnaboo n mnatoa ham mkieka bihide scene bana nawapenda Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee ♥️♥️♥️♥️

  • @Hassan-gq3ft
    @Hassan-gq3ft Місяць тому +68

    Mapema sana nipeni like zangu watu wa Burundi

  • @MASUNGANJILENGIDINGI-es6tn
    @MASUNGANJILENGIDINGI-es6tn Місяць тому +50

    Kila mmoja anaomba like 👍 jamani sasa mnazifanyia nn😅😅😅😅😅

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Місяць тому +10

    Daaah ebhn nimechelewa sn kwasabab ya bando nipo porini congo kifurushi kimeisha hapa nimeomba wifi kwa mwana nimeburudika aswaaa niombe angalau like kazaa wandugu 🤝🙏

  • @DelachanceKiza
    @DelachanceKiza Місяць тому +3

    Mimi nimekuwa wamwisho ss kwasababu kilamutu yee wakwaza 😂😂😂😂 congratulations Brother 🎉🎉 VEVO 🎉

  • @wamuyungustarboy127
    @wamuyungustarboy127 Місяць тому +31

    Wakwanza leo nipen like zangu

  • @ChedeBou
    @ChedeBou Місяць тому +10

    Jamani jamani leo mm wakwanza naomba lakes wapendwa

  • @titochakaya3357
    @titochakaya3357 Місяць тому +12

    Nimekuwa wa Kwanza Leo big up wapy like yangu jamen

  • @chrisitineamutala2043
    @chrisitineamutala2043 Місяць тому +2

    😢😢 ntanzi ameanza kupendana oooh😂😂😂😂❤

  • @paullluhanyapaullluhanya2446
    @paullluhanyapaullluhanya2446 Місяць тому +3

    Mnachelewesha Sana mpaka tunasahau tulipoishia

  • @princejonasgeorge5836
    @princejonasgeorge5836 Місяць тому +12

    Mnachelewa Sana kutoa muendelezo basi jitahidini kipande kiwe kirefu DK hata 50

  • @covertv8081
    @covertv8081 Місяць тому +13

    Mimi nimependa hy ngumi

  • @user-ej6dg7ug3c
    @user-ej6dg7ug3c Місяць тому +6

    Kazi nzuri Kwa Wana Sanaa hongereni

  • @user-qx2pe8mr7n
    @user-qx2pe8mr7n Місяць тому +2

    Kazi nzuri sana kweli watching from USA Illinois

  • @ramsboyasingemambagang3966
    @ramsboyasingemambagang3966 Місяць тому +25

    Waoooh! Wakwanza toka uganda munipe laik zangu hapa alafu muni folllower please kwasapoti yenu

    • @susanachieng6966
      @susanachieng6966 Місяць тому +1

      Nipitie ndugu yangu pia nitarudisha mkono 🙏

  • @fathymosscooking6755
    @fathymosscooking6755 Місяць тому +21

    Wanawo penda kazi za Clam gonga like APA nakomenty Niko🇫🇷 wewe uko wapi

  • @user-xb1co9lk3p
    @user-xb1co9lk3p Місяць тому +11

    Ubaya ubwela😅

  • @PierreHeriIlungu-ks1mr
    @PierreHeriIlungu-ks1mr Місяць тому +1

    Tatizo clam unakawiza sana bana
    Yani watu tunasubiri
    Hadi tunasahau kama
    Kuna eps tunayo
    Fata kuweni
    Fasta bwana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @pangkid999-pm4me
    @pangkid999-pm4me Місяць тому +1

    Nakaribia kumaliza hapa Hali ya. Osama sio nzuri...Nani atanambia nilikuaje

  • @ShaloMusic-qc5vl
    @ShaloMusic-qc5vl Місяць тому +13

    Nimekuwa namba Moja naomba like zangu

  • @okwomacomedy
    @okwomacomedy Місяць тому +26

    Wakwanza kutoka KENYA nipe like jamani😂😂

    • @holykidke
      @holykidke Місяць тому

      ❤❤kenya tuko ndani

  • @budoboy3359
    @budoboy3359 Місяць тому +440

    Wakwanza mta nipa nini sitaki like😂

  • @NelsonMandela-c8e
    @NelsonMandela-c8e Місяць тому +1

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩Congo. liké zangu clam criçe 🎉🎉🎉

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic Місяць тому +3

    Nimeona wakwanza wengi . Haya me wapili nipeni likes😂😂

  • @beatricesamwel9133
    @beatricesamwel9133 Місяць тому +7

    Nimezunguka sana msituni nashangaa natokezea Tena hapa hapa😂😂😂

  • @mushi6879
    @mushi6879 Місяць тому +8

    Hii ndo shida ya kumiliki demu mzuri alf huna pesa mzee utapitia changamoto nyingi sn km una moyo mdogo mbona wanakuzika

  • @annaki318
    @annaki318 Місяць тому +7

    Clam cris ni wa motomoto🎉🎉🎉🎉

  • @jeremiahngao4846
    @jeremiahngao4846 Місяць тому +2

    Na muache kuwauwa watu wenye moyo.. bwayu mzee,, farasi,,, adamu sistake shasha

  • @user-fh1fi1wl2x
    @user-fh1fi1wl2x Місяць тому +2

    Kazi nzur sana😊

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Місяць тому +26

    Nimekua wa mwanzo plz like zenu from Oman 🇴🇲

  • @HafsaShabani
    @HafsaShabani Місяць тому +15

    Leo nimekuw wa kwanza naomben like Zang jmn

  • @user-lo3ey9co9y
    @user-lo3ey9co9y Місяць тому +8

    Awa machifu nimegundua wote Malaya 😂😂😂 ndo mana mipango Yao yafeli mizimu aitaki uchafu😅😅🎉🎉

  • @YusratSalum
    @YusratSalum Місяць тому +2

    Em skizen jmn toen maon kuhus mnachoangalia me binafsi vita ya Tanu na Kapela daaah ni nzitoo mnoo wauwaji n wao wenyew lakin wao wao pia wamepewa kazi ya kuchunguza muuaji 😂😂😂 halafu kapela akarudisha msemo aloambiwa "Kuwa makini unaonekana una maadui wengi 😂😂😂" Big up sanaaa Clam ❤❤

  • @fredytv8177
    @fredytv8177 Місяць тому +2

    Kakoso fundi aise...naona mnacheza na akilo yetu tu. Movie imekuwa tamu mnoo🎉🎉🎉

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy Місяць тому +5

    Kiroho kinamuuma eti si nyoka 😂😂😂😂