Dr. Chris Mauki: Mwanaume Mwenye Tabia hizi 7 kamwe usimuache

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @rianamunishi2701
    @rianamunishi2701 Рік тому +13

    Mungu nijalie nimpate mweny hzo sifa amen

  • @helenwailly1558
    @helenwailly1558 2 роки тому +151

    Umesahau point ya muhimu sana Mcha Mungu, God fearing 🙏

    • @eunicenjeri3393
      @eunicenjeri3393 2 роки тому +9

      Kuna pretenders

    • @jenniferojango7823
      @jenniferojango7823 2 роки тому +5

      Je mwenye haongei hakushugulish na mambo yake anayo Fanya mpaka umulize huyo utamu chukuliaje

    • @Ashsultana
      @Ashsultana 2 роки тому +9

      Kumcha Mungu sio tabia na amesema tabia

    • @calebmutiso8387
      @calebmutiso8387 Рік тому +3

      @@eunicenjeri3393q

    • @happinessjuvenile2349
      @happinessjuvenile2349 Рік тому +2

      Asante sana Dr nimejifunza vitu vingi sana kutokana kwako is good blessings

  • @sarahdamian5043
    @sarahdamian5043 3 роки тому +28

    Ooh Asante Yesu kwaajili ya mume wangu, anazo zoteeee, mwaka wa nne sasa hajawahi kubadilika toka tuoane🙏🤗

    • @sweetymamu6568
      @sweetymamu6568 3 роки тому

      Kwamfano izo tabia zote zipo ila hana uwezo landa wa kipesa iyo inakuaje

    • @belak999
      @belak999 2 роки тому

      Hana nguvu za kiume huyo wakah ndio pungufu lake sema hauwezi kusema hapa. HAWEZI KUWA NA SIFA ZOTE HIZO UONGOOO

    • @theodoratesha7065
      @theodoratesha7065 2 роки тому

      Tafuteni pesa pamoja.

    • @winfridapeter9455
      @winfridapeter9455 2 роки тому +1

      Mjengee sanamu japo la mbao ndani 😂

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Рік тому

      @@belak999 😆😆😆😆😆

  • @Esthermwalimu7732
    @Esthermwalimu7732 Рік тому +3

    Asante kwa ushauri huu,umenipa motisha wa kuzidi kumpenda aliyepo

  • @zaitunkhamis5943
    @zaitunkhamis5943 3 роки тому +14

    Namshukulu mungu kwahakika mme wangu alikua n mtu kajkatia tamaa na alikua mwenye kuzalaulika sana na nlpoanza nae watu had ndugu wa kalbu walsema ctoweza kwa dua na kumtegemea mungu nlimwambia mungu ikiwa nmekuomba mme umenpa huyu kwa ridhaa yako naomba mbadlshe ww Hakika amekua mme mzur sanaaaaaaa had watu wakasema nmemloga ila Kiukwel ndugu zangu haijalsh kwa dn gan ukimtegemea muumba WA vyote anatenda mungu akubalk sana mauki

  • @NajmaSaid-p1n
    @NajmaSaid-p1n Рік тому +1

    Sifa nying zoztaj mpenz wang anazo nashukuru kwa kuligundua hilo na mungu ampe maish maref na penz letu lizd kudumu inshallah🙏🙏

  • @badriyahemed3663
    @badriyahemed3663 3 роки тому +7

    I got this men after so much struggle am glad

  • @lilianemmanuel7144
    @lilianemmanuel7144 Рік тому +1

    Asante sana kwa somo lako zuuuri doc umefanya niwe happy nimemwelewa mpenz'wng

  • @hashilalkharusi5926
    @hashilalkharusi5926 3 роки тому +4

    Asante dr duuuu ninae wallah hizi sifa zooote anazo i swear to Allah Alhamdulillah to have him in my life 😘😘😘😘😘

    • @priscerjohn5788
      @priscerjohn5788 2 роки тому

      Mwenye sifa izi amasharudi kwa baba,
      Ebu tuangalie huyu🙄🙄

  • @macrinacaesar1564
    @macrinacaesar1564 Рік тому +2

    Thanx dr.and i thank God naona zote 7 mume wangu anazo.ubarikiwe kwa darasa

  • @miriamogada5097
    @miriamogada5097 3 роки тому +42

    I thank God almighty my husband Ako na zote Saba, thank you Jesus for giving me that kind of a man 🙏🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +5

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @pastoreliedhahaule4562
      @pastoreliedhahaule4562 3 роки тому +2

      Una fundisha vizuli yani nikwer kabisa

    • @richaelmichael2655
      @richaelmichael2655 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 Mimi nyingi anazo ila moja umenigusa kweli nilifanya kosa moja akanisamehe lakini sasa unalitumia kunichapa kila siku naumia mnoo

    • @selechacha8283
      @selechacha8283 2 роки тому +1

      mm mume wangu nilifiwa na baba angu muzazi alinite lekezea

    • @selechacha8283
      @selechacha8283 2 роки тому

      kilasiku ugovi nalawa manyingi

  • @mwalisuleih1164
    @mwalisuleih1164 3 роки тому

    Shukrani xn kw maelezo ak nampenda xan mme wang maan sifa zote saba anazo xan na ya muimu zaidi ni mcha Mungu xan ak nimefurai ushauri wako

  • @josephmartinswai151
    @josephmartinswai151 2 роки тому +6

    Asante sana Doctor Chris Leo nimepata lesson nanimetokea kumpenda sana mume wangu kiukweli huwa ananifanyia haya yote nkajua nikunifunika nisijue mambo yake kumbe huwa serious Thank you God for the kind of a man you gave me Leo nimefarijika sana I deserve to love him so much nakupenda sana Joseph wangu you deserve to be loved by me

  • @florencefaida1495
    @florencefaida1495 2 місяці тому

    Mungu azidi kukuza kipaji chako, na kizidi kufunza pia vizaza vya kesho 🤝🙏🙏👊congratulations, DR MAUKI

  • @winnieombaire1918
    @winnieombaire1918 3 роки тому +4

    Thanks again and again,, am also grateful as well juu hvo ndivyo my husband yuko🙏🙏🙏🙏

  • @restutamfoi7325
    @restutamfoi7325 Рік тому +1

    Asante sana dr ninejifunza kitu kupitia somo lako

  • @janethlaban9407
    @janethlaban9407 3 роки тому +15

    Ahsantee, nimejifunza anazo sifa 6 ulizozitaja simuachi ng'ooooo tena SIMUACHIIIIIIIII

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +6

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @FfFf-yb9cp
    @FfFf-yb9cp 8 місяців тому

    Amina .mungu akubariki kwa ushauri wako wa kutia nguvu nasikia nikibarikiwa na ushuhuda wako.barikiwa ❤❤🎉

  • @annashem3263
    @annashem3263 3 роки тому +5

    Asant sana kaka namshukuru mung nipo kwwnye mhusiano nimwaka namiezi sits rakini mwanaume Wang haja wahi kubadirika nahizo tabia urizo zisema zote anazo mung akubariki kwa mafundishi yako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @stelladaud9788
      @stelladaud9788 3 роки тому

      mshukuru sana mungu maana wengine tunawanaume lkn hata pesa ya matumizi ujitegemee mwenye unaweza kukwama lkn hana msaada wowote hata asikie mama yako anaumwa awezi uliza wala kujali zaidi anajali ndugu zake tu muda mwingine unapatwa na matatizo unaona bora unyamaze tu bila kumwambia

    • @beatricemariki7529
      @beatricemariki7529 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 Nimesikiza Dk.lkn naomba msaada wa kibinafsi kama itawezekana..jamani ili roho yangu ipone

  • @rahelmhezi
    @rahelmhezi 4 місяці тому

    Nashukuru sana Dr mimi nashukuru Mungu kwakweli sifa zote mume wangu ananzo ❤🙏🙏🙏

  • @yvonewere4012
    @yvonewere4012 2 роки тому +5

    I learn more about this video, thank you very much 😘😘

  • @HusnaNogi
    @HusnaNogi 7 місяців тому

    Dah! Nashukulu sana .kwa kunifafanulia .wangu anatabia zote ulizozisema.

  • @zuwenajuma8944
    @zuwenajuma8944 Рік тому +27

    Sifa zote ziko kwa mchumba wangu!😊 Mungu asimamie uhusiano wetu 🙏🏾

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Рік тому

      Hongera sana

    • @maryamChumas
      @maryamChumas 2 місяці тому

      Mashaallah mashaallah hongera inshaallah khery kwenu nyote❤❤❤❤❤❤niombee nami

  • @JehovanessDarabe-hm6tv
    @JehovanessDarabe-hm6tv 6 місяців тому

    Dear Lord... Protect my man this is more than my prayers ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jonisiamdulingwamdulingwa3336
    @jonisiamdulingwamdulingwa3336 2 роки тому +7

    Nakushukuru Sana Mungu kwa kunipa mume wa aina hii🙏🙏🙏 na simuachi.

  • @shamilakatumba1701
    @shamilakatumba1701 Рік тому

    Alhamdulillah asante mung baba watot wang amejaaliwa sifa zot nimebalikiwa mno asante mungu mikon kwa mikon had pepon nakupenda san baba jay wangu akuna kam weh ❤❤❤:

  • @lianim3370
    @lianim3370 Рік тому +18

    The Guy am dating has all of this but we are in long distance relationship ,One thing I love about him He corrects me whenever am wrong ,He's a guy who listens more than talk.

    • @davidlaidoson4038
      @davidlaidoson4038 Рік тому +1

      He is can not have all these characters at the same time no no

  • @OmegaNelson-ho1no
    @OmegaNelson-ho1no 11 місяців тому

    thank you God i have got what i wanted,,all these characters are with my hubby

  • @mercyadangahi1991
    @mercyadangahi1991 3 роки тому +29

    Truly speaking . This is the kind of a man am looking for in my life

  • @VastPhiri-ep2gx
    @VastPhiri-ep2gx Рік тому

    Thank you i learn more be blessed papa am Lusaka Zambia

  • @lucyezekiel3755
    @lucyezekiel3755 3 роки тому +5

    Barikiwa sana Dk Chris kwa mafunzo yako mazuri sana unawafungua wengi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @happyadam512
    @happyadam512 3 роки тому

    Thnx God for this gift,,, aliyenipa Mungu ndie nliyestahili kuwa nae tabia zote hapo anazo,,, SIMUACHI hakiii

  • @agnessmathias8546
    @agnessmathias8546 3 роки тому +7

    Umeiimarisha sana Ndoa yangu Dr., kunawakati nilipitia mambo magumu sana kupitia post zako Hakika nikaelevuka,nikajifunza mambo Mengi ambayo siwez kuorodhesha yote MUNGU Akutunze uwe mwenye Afya njema,.

  • @FaridaMhina-wi3on
    @FaridaMhina-wi3on Рік тому

    Asante doctor kwakwel namshukuru mungu azidi kumrinda inshallah

  • @eddasamwely820
    @eddasamwely820 3 роки тому +7

    Lord this is what am looking for bring him

  • @tumuuhassan6856
    @tumuuhassan6856 3 роки тому

    Ww n mtu muhmu xan Dr Chris yan umejua kuinua upya ndoa yngu mn ilikuw km jino bovu....mungu akuongoze inxhaallh akuepuxhe n maradh uzid kudumu ktk dunia hii

  • @dorothyxavery6178
    @dorothyxavery6178 2 роки тому +13

    Thank you so much teacher, for the first time kukujua, umekuja kutufindisha counselling mwaka huu, today I was just passing through UA-cam I saw your video, mefurahi na nimesubscribe na kulike..keep it up My teacher 👏👏👏👏✍️👊.

  • @Eunice-fx2ls
    @Eunice-fx2ls Рік тому

    Asante MUNGU Kwa kunipa mume Bora nakuomba zidi kuitunza ndoa yetu

  • @happinessm1919
    @happinessm1919 3 роки тому +3

    1.Sio mwaminifu hata kidogo +muongo sana
    2. Sio mgunduzi
    3.Sio mbunifu
    4.Sio msikivu lakini ni mwenyew huruma, naweza mtegemea na anasamehe. Sasa sijui km huwa anajilazimisha kuyafanya haya maan simuamin kabisa. Dr ni ngumu sana kukupata nina shida ya huduma zako lakimi imekuwa ngumu sana kukupata, tafadhari nisaidie siko salama.

    • @esteralan5241
      @esteralan5241 3 роки тому

      Afadhal wewe hata moko

    • @SadaHashimhadoswa
      @SadaHashimhadoswa Місяць тому +1

      Wengine ndo mahusiano yetu yapo ICU 😢

    • @zaudahalisi2241
      @zaudahalisi2241 17 днів тому

      If huna imani nae hutakuwa na imani nae..Mungu akupe maamuzi sahihi

  • @bskumekuchahamza9865
    @bskumekuchahamza9865 2 роки тому +2

    BabaB wangu Mungu akuweke rehemani sifa zote ulikua nazo Mungu amekupenda zaidi

  • @damarlswanjlru6935
    @damarlswanjlru6935 3 роки тому +3

    Niko na boyfriend ako hivyo ...hizo umetaja zooote he is like that aki nimelearn more ..thank you...😘😘

  • @faithmsungu3272
    @faithmsungu3272 2 роки тому

    Asante Dr Mauki,Kupitia somo hili nazidisha Upendo kwa mchumba wangu jaman,Anasifa zoooote hizo.

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 3 роки тому +4

    Nashukuru Sana Dr Kati ya saba anazo tano na yupo makini sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @irinenanciebarasa5566
    @irinenanciebarasa5566 3 роки тому +1

    Ooh mm sina nikipata mungu amsaidie awe na hiso sifa 7 saa nitahasa kumwombea sana mahali alipo mungu asikie maombi yangu asante sana baba kwa mafundisho mazuri mungu akubariki........ .sana.............you have good advice...

  • @marysola5302
    @marysola5302 3 роки тому +18

    I am very happy you have address this. I just found one with these manners thanks simuachi🥰

  • @sumayiakaniya2749
    @sumayiakaniya2749 23 дні тому

    Daktari asante sana kwa mafunzo ambae nime pata najua itanisaidia ubarikiwe

  • @annireri8814
    @annireri8814 2 роки тому +43

    I never got it clear the kind of boifred I have. I left him 2yrs ago thinking he's not the kind of husband I need. 2 yrs away has proved it all. I thank God for meeting my man... Soon getting married. Pray for us🙏🏾🙏🏾❤️

  • @d.abigail.j4127
    @d.abigail.j4127 Рік тому +2

    I thank God for this 🙏 my man 👞 keep going 🙏
    I pray for you 🙏
    Oh God maintain my man ,asije akabadilika
    Yaani hizo tabia zote anayo❤❤❤

  • @mwanaidimwinyi7081
    @mwanaidimwinyi7081 3 роки тому +6

    Masha Allah ninependa somo mungu akubariki Sana

  • @nadiakabamba7373
    @nadiakabamba7373 3 роки тому +2

    Namu shukuru mungu kupata mume hakweli zote 7 Quality lakini ana tano❤️ thank you Dr Chris mungu akubariki zaidi

  • @kayombog1694
    @kayombog1694 3 роки тому +89

    1. Mugunduzi/mtambuzi wa hisia zako
    2. Msikivu
    Anasikiliza ushauri& anakusikiliza
    3. Mwenye huruma
    4. Mwaminifu
    Anaweza kusimamia maneno yake
    5. Unayeweza kumtegemea
    6. Anayeweza kusamehe
    7. Mbunifu
    Kufanya namna tofauti ya malezi, Ndoa et cetera
    Karibu tuendee kujifunza

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +13

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @maulidnuhu7733
      @maulidnuhu7733 3 роки тому +3

      Asante docta mauke naomba msaada mke wangu hana hisia na mimi baada ya kumkosea ila nilijirejebisha makosa yangu naomba ushauri wako nifanye nini ili ni rudi she mapenzi yetu kama mwanzo

    • @kharidmushangan3320
      @kharidmushangan3320 3 роки тому +2

      Namshukur mungu aslimia 98 anazo mwenza wangu,ni kam baba kwangu anajali san

    • @leahmagaiwa9099
      @leahmagaiwa9099 3 роки тому +2

      @@maulidnuhu7733 Mpe muda, Endelea kumpenda hata kama yeye anakupotezea, mjali na ufanye vitu anavyo vipenda bila kuchoka,,, taratibu atarudisha moyo,,, onesha kwamba unalijua KOSA lako na usimlaumu kwa kuchelewa kukusamehe maana hujui alitumia jitihada gani kukufanya umpende badala yake ukamkosea! So, Muda Ni Tiba. Kuwa mvumilivu na onesha kumpenda kweli

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 3 роки тому +3

      @@ChrisMauki1 nimepata mwaume was aina hiyo, , na ana nipenda sana, Ila Alisha kuwa na mwanamke mwingine, ambae huwa ambaealisha zaa naye, na huwa anamzungumzia vibaya na kwa miaka yote wameish mbalimbali hukutana likizo tu, ,, na sasa anataman waachane aanzishe mahusiano mengine, awe na furaha ,ila anaogopa kwao mwanamke asije fanyiwa vibaya , kwa hiyo yuko njia panda nikama anataka Tuoane, akikumbuka yule mke wambali anasita, basi Mimi nilimwambia ningetamani wayamalize kwanza wenyewe then ndo aendelee na Mimi maana najiona kama namkosea mwanamke mwenzaangu, nikimwambia nimpe nafasi afanye maamuzi hataki, basi nimebaki njia panda , kumpenda nampenda ila sikuwahi taka kuchangia mume maishani, pia sikuwahi taka kutembea na mume wa MTU, nikmueleza hayo yote anasema nivumilie , nisikate tamaa mapema, na tuendelee na mahusiano, naomba ushauri

  • @lilianotieno5816
    @lilianotieno5816 4 місяці тому

    Asante xna mwenyezi mungu kwakuni panguza machozi,ni kwarehema yako eewe yesu🙏🙏🙏

  • @naumiwilliam6270
    @naumiwilliam6270 3 роки тому +4

    Ubarikiwe sana Chris coz umetufungua wengi akil🙏🙏👍👍

  • @thedyanthony2071
    @thedyanthony2071 Рік тому

    Mungu atuongoze tufike mbali zaidi kuelekea malengo yetu sifa zote anazo piah anajua nn maana ya ibada na imani yake kwa Allah

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 роки тому +7

    Thank you Dr. My boyfriend anazo zote tabia7 MUNGU ni mwemaa sn🙏🏽❤️

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @MwakaMngumi
    @MwakaMngumi Рік тому +1

    Asante sana naona pia wangu anazo kama zote mungu ajalie maisha mema❤❤❤❤

  • @happinessm1919
    @happinessm1919 3 роки тому +7

    Ubarikiwe kwa kazi zako

  • @CosmaAngel
    @CosmaAngel 4 місяці тому

    Asante Sana kaka kwa mafundisho mazuri umenipa ufahamu

  • @princessa3060
    @princessa3060 3 роки тому +3

    Waaaaau doc,,,I got 1 in my life 😀😀😀 may our Almighty God bless him sanaaaa n keep him in Jesus name...🙏🙏🙏 Danke shun doc

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @mwashiuyayoshuatv9829
    @mwashiuyayoshuatv9829 Рік тому

    Thank you very much Daktari. Mungu wa Mbinguni akubariki Sana

  • @thozyceethemama6052
    @thozyceethemama6052 3 роки тому +8

    I thank God for my fiancee Brian, he has all this characters,,,,i juc love him sooo much ❤❤❤❤🥰Brian you deserve love hunie,,

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @geraldanthonchuwa3068
      @geraldanthonchuwa3068 3 роки тому

      Gerald Chuwa ninazo sifa zote nahivi sasa Nina miaka 35 yenye amani

  • @RachelCharlesKasiatila
    @RachelCharlesKasiatila 7 місяців тому

    Mwenyez Mungu azd kukuwek uish miak ming xn Dr. Mauki

  • @SesiliaJosephat-zr1ki
    @SesiliaJosephat-zr1ki Рік тому +14

    Neema ya Mungu imuongoze popote alipo may be one day atatokea mwenye sifa hizo🙏

  • @ibahatimoses6431
    @ibahatimoses6431 3 роки тому +2

    Asante Dr. Kwa somo zuri nitajitahidi kutembea katika nguzo hizo

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @Mindsetting4success
      @Mindsetting4success 3 роки тому

      May the Lord grant your wish

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 3 роки тому +9

    Doct mimi niko na mpenzi hakika Kati ya hizi nyingi anazo, shida ni moja tuu nimemzidi umri, naa wazazi wake hawakubaliani na Hilo la mimi kumzidi,,, nimesikiza haya umesema nimesikia machozi kama maji yananitoka,,,, nisaidie nisimpoteze mtu muhimu maishani mwangu

  • @salomemasue5506
    @salomemasue5506 Рік тому

    Amina Mtumishi wa Mungu!! Tunajifunza mambo mazur @ leo Mungu akulinde Dct.

  • @Rosemary_Obadiah
    @Rosemary_Obadiah 2 роки тому +4

    I don't regret meeting him😊💞♥️he is such good man. Hajawahi change..

  • @rehemaibrahim8758
    @rehemaibrahim8758 2 роки тому +2

    Mungu akubariki sana dr. Kwakwel simuachi mume wangu na mungu azidi kumbariki sana🙏

  • @agnesmwizarubi7479
    @agnesmwizarubi7479 2 роки тому +7

    That is exactly what God has given me.
    I thank God.🙏

  • @marthabuhele8429
    @marthabuhele8429 4 місяці тому

    Asante MUNGU umenipatia mwny sifa hizi endelea kuzilinda zisipotee

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 3 роки тому +4

    Dr.Thanks for this.

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 Рік тому +2

    Am thanking God for he has done something in my life, giving me the man with the same character, may God keep him for me

  • @estermiseyeki3722
    @estermiseyeki3722 3 роки тому +8

    Thanks Dr. For your lesson its so good

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @annamushi1057
      @annamushi1057 Рік тому

      Woooiii

  • @priskamayange8708
    @priskamayange8708 День тому

    Nashukuru mungu wakwangu anahivyovyote mungu nakushukuru utukufu ukurudie mungu❤

  • @nurumosha9216
    @nurumosha9216 3 роки тому +3

    Asante kwa somo zuri

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @NicholausKikoti
    @NicholausKikoti 6 місяців тому

    Kaka unatufundisha vitu Vingi nainjoi
    Naninge penda kujifunza zaidi sank you❤❤

  • @leahhyera4836
    @leahhyera4836 2 роки тому +11

    Kwakwel Ni ngumu Sana kupata mtu mwenye qualities za kipekee namna hiyo..Mungu aingilie Kati tu😥

  • @ReeneeWilliam
    @ReeneeWilliam Рік тому

    🧘🧘eeh mungu nijalie nimpate mume mweny sifa zote hizoo hakika Ni somo kubwa Sana🙏🙏🙏🙏

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan Рік тому +4

    He promised to be a father figure after he knew i lost a father , he talks and then asks me babe what do u think give me yo opinion,he knows when am angry and pretend am ok🤣, he says sorry when he knows kakosea , faithful beyond.
    heee he has a Sharp mind,very creative. Wee Dr am grateful he has all those . I am grateful for having such a husband

  • @veronicapaul7865
    @veronicapaul7865 3 роки тому +2

    Mungu ni mwema na muaminifu. Tabia nne Kati ya ulizozitaja ubavu wangu anazo. Asante kwa SoMo zuri Dr.

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 роки тому +3

    Wachache Sana.. Mungu akubariki Dr

  • @marwafuncha
    @marwafuncha 6 днів тому

    Dr chriss mauki leo nimeamini mafundisho yako 100%

  • @ruthjuma8302
    @ruthjuma8302 3 роки тому +8

    Aah,, bwanangu alikua nazo zote, sifa hizo zilinifanya nimpende kweli, ila mungu kampenda zaidi, endelea kupumzika kwa amani mme wangu.

  • @florencengaruiya8724
    @florencengaruiya8724 3 роки тому +33

    My boyfriend has the 7characteristics while my xhusband has only one. Now am convinced that I made the right decision to separate with him. Thank you Jesus for giving me such a wonderful boyfriend. I pray that our marriage plans come true.

  • @bayoubsmart6854
    @bayoubsmart6854 3 роки тому +1

    Asante kwakweli kupitia illi somo nimejifuza kitu na nimegundua nipo na mwanaume imara

  • @momonyange6513
    @momonyange6513 Рік тому +3

    I wish i knew this earlier😣, nilkua na mwanaume wa namna hii lakin nilidanganywa na urembo nikidhan ntampata mwanaume yeyote muda wowote coz at that time nlikua napata marriage proposal nying na mm sikua tayari now naona ningum sana namkumbuka nataman nisingemuachia aoe now nawish ingekua ni mimi 28yrs na sina ndoa hata wa kuzungumza nae akaniskiliza kama yey na kunielewa kama yeye sina. Sina wa kumlaum tho and am still praying to the Almighty God i beleive one day ntampata mwingne atae nifaa.

  • @bandolatztrump2470
    @bandolatztrump2470 3 роки тому +2

    Habari yako dr. Chris Mauki
    Naomba unielekeze Namna ya kukupata moja kwa moja

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
      0713407182

    • @josephinafredson2085
      @josephinafredson2085 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 kama anana mke mingene

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 3 роки тому +6

    Ilove u my husband mungu adumishe hizi tabiya zako 7 mungu alizo kukupatiya yani sina lakusema kwako ila kukuombeya duwa kwa mungu atulinde kwenye ndowa yetu amin

    • @AminaJuma-t9t
      @AminaJuma-t9t 3 місяці тому

      Mwananae huyo sijawahi kk tananae namtafuta katika maisha yang sijawahi kipata kabis

    • @AminaJuma-t9t
      @AminaJuma-t9t 3 місяці тому

      Hapana hawez kusimama mm kila wakati

  • @queenlisapherooz7321
    @queenlisapherooz7321 Рік тому

    Moja kat ya zawadi bora muhimu nilio wahi kuipata Ni kua na
    ♥️ na mume bora ❤️ Asantee mungu kwaa zawadi hii

  • @dorothyxavery6178
    @dorothyxavery6178 2 роки тому +5

    You're so talented 👊👏.

  • @joyceuhinga6050
    @joyceuhinga6050 2 роки тому

    Ahsantee sana Dkt. Kwa somo zuri ubarikiwe

  • @monicaadam5283
    @monicaadam5283 3 роки тому +3

    Daaah Asante Sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @nisejuma7087
    @nisejuma7087 2 роки тому

    Nashukuru kwa kunielimisha vizuri umeongea mambo ya muhimu kwa sisi wanawake mungu azd kukubark mtumishi

  • @shakilashak3337
    @shakilashak3337 3 роки тому +3

    Jaman mm nimempata anazo zot asant san nitamganda mno ❤❤❤❤

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Рік тому

    Asantee,,,,,, hubby wangu katika hizo sababu Hana zote ila ana 4 tu lakini nashukuru MUNGU kwani maisha yanaenda,,,simuachi,,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @khadijatynoorshahajat479
    @khadijatynoorshahajat479 3 роки тому +3

    Great i like it sir thnks so much

    • @omansaham6362
      @omansaham6362 2 роки тому

      Mimi mupenzi wangu ananiumizaga sana

  • @MarthaMario-k3z
    @MarthaMario-k3z 7 місяців тому

    Thats my hubby to be!!may God keep him nampenda sana ❤

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 роки тому +3

    Yaan ww ni lulu kwa kweli♥️🙏🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @yonzyonz7343
    @yonzyonz7343 Місяць тому

    Asante kwa ushauri wako my dear ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @damarinjeri4407
    @damarinjeri4407 3 роки тому +8

    Oooh my goodness ,,mi mgeni Hana nimekam kutoka tiktok ,,,,I was married 2010 ,,,,and by the look and listen to your words ,my husband has none of them he's a don't care ,,,we have now been separated for 3yrs now nikaenda Dubai nikamwacha ,,tuko Na watoto wawili ,,,,Ni mtu mwenye huskiza sisters Na mamake so I couldn't not do anything but to let him go ,,untill he desides what's good for him ,,,but he's begging for forgiveness ,,should I forgive or move on with my life ??

    • @jaengideon5683
      @jaengideon5683 3 роки тому +1

      Pole dear, kama amebadilika mpe another chance

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +2

      Pole sana, inawezekana kubadilika
      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @damarinjeri4407
      @damarinjeri4407 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 Nisha subscribe you are amazing and wise words as well ,,God bless you 🙏🙏🙏

    • @mimifineliving2022
      @mimifineliving2022 2 роки тому +6

      Huyo hawezi badilika ni tabia yake tena zaidi kama anafata ya mama yake na ndugu zake. Mausiano yenu si ya wawili bali yamekuwa ya yeye na ndugu zake,ndoa kama hiyo kamwe haiwezi kuwa ya furaha, labda wote wafe na hata wakifa atasema wewe ndiye uliye wauwa

    • @annaseverine500
      @annaseverine500 2 роки тому +1

      @@damarinjeri4407 habit is like a skin it never change my dear ❣️