Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya wanawake yanayo waudhi wanaume
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Je uko kwenye mahusiano au ndoa? Una yafahamu mambo ambayo huwaudhi sana wanaume na yamkini huyo wa kwako anakereka sana ila haja kwambia tu. Labda haya mambo ndio chanzo cha mikwaruzano yenu ila hujajua chimbuko lake. Nifuatilie nikudadavulie haya mambo 5 ya wanawake yanayo wakera sana wanaume. Jifunze uokoe mahusiano na ndoa
Mambo 5 ya wanaume yanayo waudhi sana wanawake, • Dr. Chris Mauki: Mamb...
yako.#DrChris#Wanawake#Wanaume
1.kulalamika Au kulaumu
2.kukumbushia makosa ya nyuma
3.kushuku Kila kitu (doubts )
4.kulinganisha (comparison)
5.usimuhadhibu mume wako kwa kumyima tendo la ndoa
Na sidhani kama kuna MTU ambaye hajawaj kulalamika utakuta naudhi kwelikweli ukimuuliza nakwambia unalalamika sana wakati yeye ndo chanzo aisee asikwambie mtu
Mm hapa nmefeli 😂😂
😂😂😂hapa mm nimeangukako
Mimi hapa💯
Vyote hivi ninavyo na siwez kuacha mana Kila mala uwa analudi ludi makosa kusaliti dharau uchoyo ubibafsi majibu mabaya ila akibanwa akitaka unyumba ndio anajishusha tena tendo likiisha analudia kuachana hataki vitisho vingi basi inabidi iwe ivyo ivyo ingawa moyo umechoka
Kiukweli umenifunza kituu asante baba kwasababu umeniokolea ndoa yangu pia kwanzia Leo nabadilika mungu akutangulie katika Kila ufanyalo
We ndio kama me nimeacha naongeaga usiku kucha mpaka anamka anatoka njeee
Dr Christ unanifurahisha sana,tufunze tubaki na wababa wetu wapendwa milele.
Asantee sana kaka nimejifunz sana yaaan umeniongelea mimi kabisa hizo mambo 5 zote za kwangu MUNGU AKUBARIKI NA AKUTUNZE SANA
Amen Asante san yn kama pr. Mmbaga vile masomo ayo ayo
🤣😂😂😂😂😂😂Nime semwa hapa tobaaa hahha asante san
Yaani unanimaliza Dr na mazuri Yako kwetu.
Mungu atusaidye wanawake mn tunamidomo san n kulalamika jmn fuh
Dr kwenye kipengele Cha kukumbusha mambo ya nyuma sio kwamba tunapenda unakuta mtu kila Mara anachepuka unajua anaomba msamaha unamsamehe hamjakaa sawa anarudia Tena kosa lile lile Sasa anakuadhiri kisaokojia yaan mpaka unafanya vitu ambavyo huelewi Mungu atusaidie kwakweli
Daa,hapo kwa kukumbuka yalopita ,na kucomplain mungu anisamehe
Asante doctor umenisaidia sana, naweza sema kila siku nabadilika kupita clip zako🙏
Ongera mauki you touch it,Ni kweli kabisa Ni Kama unajua exactly maisha ya watu....
Nimeanza kujifunza kitu kutoka kwako asante kaka Chris kwa mafunzo yako.
wanaume mmezid sana unaeudia swala hlohlo kila mwaka mnatia hasira sana tamaa za mwili nimewachoka
Ww ni mm 😂😂😂
😁😁😁
na kweliiii
Malaya sana mbwaa hawa
Ahsante Dr Chris endelea kutufundisha
Nimekufwatiliya sana Salut uko sahihi
Mungu akuzidishiye kibali
Asante nitabadilika na mambo 3 hayo ya mwanzo umenifunza sanaaaa dr mambo yako safiiii👌
Mhh docta yaan haya Mambo wasio penda wanaume Mambo matati huwana mm nayafanya lakin kwaelimu uliyotoa nimejifunza na nitajirekebisha Asante docta mungu akurinde
Asante kaka yng nimejifunza meng kutoka kwako mungu akuongezee miaka buku uzid kutuelimisha
Shukran Doctor Kweli ulio sema Kwnye kulaumu Nitaachaa shukran sn
Mungu akutunze sana❤
ubarikiwe sana 🙏 daah Mungu anisamehe sana
Asanteee kwasomolako kaka hakikaa umeongea nitakuwaaa mwanafunzii wakooo kwa sasa
Asante kwasomozuri asantesana
Asante kwa somo zuri nimebadilika kiukweli kuanzia Leo nimepona
Yes, this is the best Media Online TV
Shukran sana kwa mafundisho yako Sasa ndo nimeelewa alhadhulillah
Asante Dr hua nasoma kitu kwa mafunzo yako
Dr,wanaume ni stress sanaaa anaweza kukufanya ukakimbia kichaa,wana dharau balaaa tena wenye ndoa ndiyo tatizo kubwa sijui hawa viumbe wanataka nini hawaeleweki.
Kabisa Wala hujakosea
Hujakosea kabisa
Thanks kwa kunifundisha
Asante nimejifuza sana
Thanks ubarikiwe
Asante, Dr.chris ,nimejifunza kitu. Naimani nitakuwa mke bora
Ubarikiwe sana hapa kulalamika daah
Asante,,be blessed 🙌
Asante dr Chris Mauki👍🏽👏👏🙏🙏
Asante kwa SoMo zuri
Ubarikiwe sana Dr
Asante Sana kwa mafundisho yako, unafanya poa pia kukosoa wanawake, maana tulikua tuna wafanya Hao ndio wanao stahili Bali c wanaume, nakutizama nikiwa qatar
😂😂😂😂😂😂😂 nimekamatwa
Mungu akubariki sana,umenichanua sana
Asante Dr.nimejifunza k2
Hongera Sana kiongoz nashukuru sana mafundisho mazuri Mungu akubariki.
Thanks for good advice God bless you 🙏
Asante kwer mimi ndo gisi nipo kabisa napendaga kumwambia ibyo bitu kwer Asante kwaushauli
Asante unatufungia macho,barikiwa Sana,
Asante umeniokoa
Asante sana kaka umenielimisha
Asnte nmepata somo🙏🙏
Mungu akubariki Sana
God bless you ever brother, you teach us the important thing to have in our relationship 💞
Asante sanaaaàa doctor umeniponya mungu akulinde sana
Thqs very much 🙏, nimejifunza sana😬
Asante kwa mafundisho,God bless you
Thanks my brother had Vai's
Waoh thanks pastor hakika kupitia kwako nabadilika and saving ndoa yangu
Hapa umeniokoa kabisa thanks pastor kwa mafunzo yko
Asante kwa nondo za kutosha
Yesu nisaidie.
Be blessed brother hili somo Ni la ♨️♨️ San linafundish saba
Mungu atusaidie kwakwel🙏
Ahsante
Dr Mwenyezi Mungu akubari sana sana
Asante kwa somo
Thanks alots.unanbadlsha kila wakat.
Ngoja nijaribu hili la kushuku kwa kweli ninalo Mungu anisaidie
Daaaa dockta Asante kwa kunielimisha
ahsante kwa somo zuri ambalo limegusa miongoni mwa jambo mambo matatu ambayo dhahiri yatanisaidia kuelewana.
Asante Dr ubarikiwe sana
Be blessed Dr 🙏🙏🙏🙏
Kweli kabisaaa be blessed alot 🙏
asnt sana jmniiiiiiii saiv kwl ntabadilika cz kwl nna tabia ya kulalamikaaa duuuh
Ahsante kwa ushauri,ila kaka unakuta mwanaume mwenyewe akikosea ataki kabisaa kuombaa msamahà kabisaa na wala ukikaa kuzungumzaa nae anabadilishaa makosaa yake yanakuwaa ya kwako,ni Mungu tu anayebadishia MTU sidhani ata ukifanyaa vyote atakuonaa wa maana.
Shukran kwa mawaidha
Duuh!! Tabia yangu kabsa ....ahsante nmepona
Mawaidha mazuri sana.God bless
Thanks
Asante sana
Barikiwa Dr. Mauki 🙏
Lilian 🤗😍
Asante nimejifunza kitu kizuri mno. Nashukuru maana Kuna vitu baadhi skuwa nimevipata leo nimejifunza
Asante kwa mafundisho yako mazuri kabisa 🙏
ua-cam.com/channels/gOAVSGHfZVwKvYugy52iMQ.html
Be blessed
Asante baba barikiwa mnooo nimejifunza kitu kikubwa sana leo
Axante xana umenifunza mengi jamno nimeelewa xan
Asantee sana
Very facts bro.darasa zaidi kwa somo hili.
So nice ilove this channel
asante na jifunza kutuko kwako Mungu akubariki
waaah asante hyo n mimi kbsa nitarekebisha
Shukrani
Shukran sana Dr...🙏
Asante kaka mimi napenda kulumu na kulalamika
Asantee mnoo
I like. You my brother
Ncee piece of a dvice boss thxz
Asant dokta mm izo ndio tabia zangu na ndio mana mpnz wangu amechoshwa na ameniacha ..ntabadilika kuanzia sasa.
Yaani Mbona Hizi Dalili Anafanya Mwanaume Wangu Na Sio Mimi Sasa Inakuaje hapo 😟😟😟
Dah n balaa
Sisi watu wa tanga tuna muita kihiri😅😅😅yani kashindikana
asante sana kaka kwa mafundsho yako bora
Asante chirss
Ghi asante sana nimejifusa kitu na nimeaja hiyo tabia
Yaaan et umejifusa yaaan huwa. Nafurahi sana
kweli kabisa ❤❤
Asante sana baba