Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya wanawake yanayo waudhi wanaume

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • Je uko kwenye mahusiano au ndoa? Una yafahamu mambo ambayo huwaudhi sana wanaume na yamkini huyo wa kwako anakereka sana ila haja kwambia tu. Labda haya mambo ndio chanzo cha mikwaruzano yenu ila hujajua chimbuko lake. Nifuatilie nikudadavulie haya mambo 5 ya wanawake yanayo wakera sana wanaume. Jifunze uokoe mahusiano na ndoa
    Mambo 5 ya wanaume yanayo waudhi sana wanawake, • Dr. Chris Mauki: Mamb...
    yako.#DrChris#Wanawake#Wanaume

КОМЕНТАРІ • 363

  • @doricedavid5551
    @doricedavid5551 2 роки тому +71

    1.kulalamika Au kulaumu
    2.kukumbushia makosa ya nyuma
    3.kushuku Kila kitu (doubts )
    4.kulinganisha (comparison)
    5.usimuhadhibu mume wako kwa kumyima tendo la ndoa

    • @luciasoko9354
      @luciasoko9354 2 роки тому +17

      Na sidhani kama kuna MTU ambaye hajawaj kulalamika utakuta naudhi kwelikweli ukimuuliza nakwambia unalalamika sana wakati yeye ndo chanzo aisee asikwambie mtu

    • @mwanaishamkazi7870
      @mwanaishamkazi7870 2 роки тому +5

      Mm hapa nmefeli 😂😂

    • @faithandati3229
      @faithandati3229 2 роки тому +5

      😂😂😂hapa mm nimeangukako

    • @birusidesmond3245
      @birusidesmond3245 2 роки тому +1

      Mimi hapa💯

    • @bethjohn928
      @bethjohn928 2 роки тому +5

      Vyote hivi ninavyo na siwez kuacha mana Kila mala uwa analudi ludi makosa kusaliti dharau uchoyo ubibafsi majibu mabaya ila akibanwa akitaka unyumba ndio anajishusha tena tendo likiisha analudia kuachana hataki vitisho vingi basi inabidi iwe ivyo ivyo ingawa moyo umechoka

  • @salomeezekiel734
    @salomeezekiel734 2 роки тому +21

    Kiukweli umenifunza kituu asante baba kwasababu umeniokolea ndoa yangu pia kwanzia Leo nabadilika mungu akutangulie katika Kila ufanyalo

    • @TundaSacto
      @TundaSacto 7 місяців тому

      We ndio kama me nimeacha naongeaga usiku kucha mpaka anamka anatoka njeee

  • @AshaAmeir
    @AshaAmeir 2 місяці тому

    Dr Christ unanifurahisha sana,tufunze tubaki na wababa wetu wapendwa milele.

  • @maygasper-uw5bo
    @maygasper-uw5bo Рік тому +8

    Asantee sana kaka nimejifunz sana yaaan umeniongelea mimi kabisa hizo mambo 5 zote za kwangu MUNGU AKUBARIKI NA AKUTUNZE SANA

  • @SikituKamwambi
    @SikituKamwambi 2 дні тому

    Amen Asante san yn kama pr. Mmbaga vile masomo ayo ayo

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 2 роки тому +18

    🤣😂😂😂😂😂😂Nime semwa hapa tobaaa hahha asante san

  • @AshaAmeir
    @AshaAmeir 2 місяці тому

    Yaani unanimaliza Dr na mazuri Yako kwetu.

  • @SikituKamwambi
    @SikituKamwambi 2 дні тому

    Mungu atusaidye wanawake mn tunamidomo san n kulalamika jmn fuh

  • @happynessemanuel5173
    @happynessemanuel5173 Рік тому +3

    Dr kwenye kipengele Cha kukumbusha mambo ya nyuma sio kwamba tunapenda unakuta mtu kila Mara anachepuka unajua anaomba msamaha unamsamehe hamjakaa sawa anarudia Tena kosa lile lile Sasa anakuadhiri kisaokojia yaan mpaka unafanya vitu ambavyo huelewi Mungu atusaidie kwakweli

  • @ramlati7646
    @ramlati7646 2 роки тому +4

    Daa,hapo kwa kukumbuka yalopita ,na kucomplain mungu anisamehe

  • @hekimacharles1048
    @hekimacharles1048 2 роки тому +15

    Asante doctor umenisaidia sana, naweza sema kila siku nabadilika kupita clip zako🙏

  • @roswitaegogo5098
    @roswitaegogo5098 2 роки тому +8

    Ongera mauki you touch it,Ni kweli kabisa Ni Kama unajua exactly maisha ya watu....

  • @furahadickson4056
    @furahadickson4056 2 роки тому +3

    Nimeanza kujifunza kitu kutoka kwako asante kaka Chris kwa mafunzo yako.

  • @angelamos8545
    @angelamos8545 2 роки тому +8

    wanaume mmezid sana unaeudia swala hlohlo kila mwaka mnatia hasira sana tamaa za mwili nimewachoka

  • @ZiadaRashidi
    @ZiadaRashidi Рік тому +1

    Ahsante Dr Chris endelea kutufundisha

  • @ramazanihakizimana9291
    @ramazanihakizimana9291 4 місяці тому

    Nimekufwatiliya sana Salut uko sahihi

  • @BINWAAmina
    @BINWAAmina 11 місяців тому

    Mungu akuzidishiye kibali

  • @swalhazira8533
    @swalhazira8533 Рік тому +1

    Asante nitabadilika na mambo 3 hayo ya mwanzo umenifunza sanaaaa dr mambo yako safiiii👌

  • @RoswintaLovenus-wp4dv
    @RoswintaLovenus-wp4dv Рік тому

    Mhh docta yaan haya Mambo wasio penda wanaume Mambo matati huwana mm nayafanya lakin kwaelimu uliyotoa nimejifunza na nitajirekebisha Asante docta mungu akurinde

  • @ThomasMollel-m7h
    @ThomasMollel-m7h 7 місяців тому

    Asante kaka yng nimejifunza meng kutoka kwako mungu akuongezee miaka buku uzid kutuelimisha

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 7 місяців тому

    Shukran Doctor Kweli ulio sema Kwnye kulaumu Nitaachaa shukran sn

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Рік тому +1

    Mungu akutunze sana❤

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 6 місяців тому

    ubarikiwe sana 🙏 daah Mungu anisamehe sana

  • @rehemalugenge7718
    @rehemalugenge7718 Рік тому

    Asanteee kwasomolako kaka hakikaa umeongea nitakuwaaa mwanafunzii wakooo kwa sasa

  • @khadijaramadhan1796
    @khadijaramadhan1796 2 роки тому +1

    Asante kwasomozuri asantesana

  • @skorahmgala8736
    @skorahmgala8736 Рік тому

    Asante kwa somo zuri nimebadilika kiukweli kuanzia Leo nimepona

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 роки тому

    Yes, this is the best Media Online TV

  • @رحيمهكينيا
    @رحيمهكينيا Рік тому

    Shukran sana kwa mafundisho yako Sasa ndo nimeelewa alhadhulillah

  • @roseamukhono9150
    @roseamukhono9150 2 роки тому +3

    Asante Dr hua nasoma kitu kwa mafunzo yako

  • @magrethmwambu3637
    @magrethmwambu3637 Рік тому +8

    Dr,wanaume ni stress sanaaa anaweza kukufanya ukakimbia kichaa,wana dharau balaaa tena wenye ndoa ndiyo tatizo kubwa sijui hawa viumbe wanataka nini hawaeleweki.

  • @Gellefaroolle
    @Gellefaroolle 5 місяців тому

    Thanks kwa kunifundisha

  • @KhadijaKarani-ji6nc
    @KhadijaKarani-ji6nc 3 місяці тому

    Asante nimejifuza sana

  • @biumbemohamed7945
    @biumbemohamed7945 2 роки тому +1

    Thanks ubarikiwe

  • @frankthomas2867
    @frankthomas2867 Рік тому

    Asante, Dr.chris ,nimejifunza kitu. Naimani nitakuwa mke bora

  • @OZANAJOSEPH
    @OZANAJOSEPH 5 місяців тому

    Ubarikiwe sana hapa kulalamika daah

  • @besthatchincubators2786
    @besthatchincubators2786 Рік тому +1

    Asante,,be blessed 🙌

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 Рік тому

    Asante dr Chris Mauki👍🏽👏👏🙏🙏

  • @kissajohn8676
    @kissajohn8676 2 роки тому +1

    Asante kwa SoMo zuri

  • @mynameisname8805
    @mynameisname8805 Рік тому +1

    Ubarikiwe sana Dr

  • @mutulilawrence727
    @mutulilawrence727 Рік тому +1

    Asante Sana kwa mafundisho yako, unafanya poa pia kukosoa wanawake, maana tulikua tuna wafanya Hao ndio wanao stahili Bali c wanaume, nakutizama nikiwa qatar

    • @EstaMwakasala
      @EstaMwakasala 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂 nimekamatwa

  • @EstherMisheck
    @EstherMisheck 10 місяців тому

    Mungu akubariki sana,umenichanua sana

  • @elzdeus2365
    @elzdeus2365 Рік тому

    Asante Dr.nimejifunza k2

  • @solomonmassangya8187
    @solomonmassangya8187 2 роки тому +1

    Hongera Sana kiongoz nashukuru sana mafundisho mazuri Mungu akubariki.

  • @rebeccqhnyqngoso3772
    @rebeccqhnyqngoso3772 4 місяці тому

    Thanks for good advice God bless you 🙏

  • @MmMo-i2g
    @MmMo-i2g Місяць тому

    Asante kwer mimi ndo gisi nipo kabisa napendaga kumwambia ibyo bitu kwer Asante kwaushauli

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 роки тому +2

    Asante unatufungia macho,barikiwa Sana,

  • @EvonaNzogela-f3c
    @EvonaNzogela-f3c Рік тому

    Asante umeniokoa

  • @salamasalum6956
    @salamasalum6956 8 місяців тому

    Asante sana kaka umenielimisha

  • @RedentaMichaelmfilinge
    @RedentaMichaelmfilinge 5 місяців тому

    Asnte nmepata somo🙏🙏

  • @JanethWilliam-m3t
    @JanethWilliam-m3t Рік тому

    Mungu akubariki Sana

  • @deborahapolnary1433
    @deborahapolnary1433 2 роки тому +7

    God bless you ever brother, you teach us the important thing to have in our relationship 💞

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Рік тому

    Asante sanaaaàa doctor umeniponya mungu akulinde sana

  • @beera.g5302
    @beera.g5302 8 місяців тому

    Thqs very much 🙏, nimejifunza sana😬

  • @EmeliaSambala
    @EmeliaSambala Рік тому

    Asante kwa mafundisho,God bless you

  • @dorisbosibori8126
    @dorisbosibori8126 2 роки тому

    Thanks my brother had Vai's

  • @rispermuli3292
    @rispermuli3292 2 роки тому

    Waoh thanks pastor hakika kupitia kwako nabadilika and saving ndoa yangu

  • @munikomarwa2025
    @munikomarwa2025 2 роки тому

    Hapa umeniokoa kabisa thanks pastor kwa mafunzo yko

  • @gracesamwely8178
    @gracesamwely8178 2 роки тому

    Asante kwa nondo za kutosha

  • @irenebarukwatamu-fo1qs
    @irenebarukwatamu-fo1qs Рік тому

    Yesu nisaidie.

  • @sammgnnko4379
    @sammgnnko4379 2 роки тому +1

    Be blessed brother hili somo Ni la ♨️♨️ San linafundish saba

  • @rehemaibrahim8758
    @rehemaibrahim8758 2 роки тому

    Mungu atusaidie kwakwel🙏

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 2 роки тому

    Ahsante

  • @dorcusmlinga862
    @dorcusmlinga862 2 роки тому +2

    Dr Mwenyezi Mungu akubari sana sana

  • @pendorensam9680
    @pendorensam9680 2 роки тому +1

    Asante kwa somo

  • @kuruthumually3786
    @kuruthumually3786 Рік тому

    Thanks alots.unanbadlsha kila wakat.

  • @banguha
    @banguha Рік тому

    Ngoja nijaribu hili la kushuku kwa kweli ninalo Mungu anisaidie

  • @leinashabani1386
    @leinashabani1386 2 роки тому

    Daaaa dockta Asante kwa kunielimisha

  • @blamotz2000
    @blamotz2000 2 роки тому

    ahsante kwa somo zuri ambalo limegusa miongoni mwa jambo mambo matatu ambayo dhahiri yatanisaidia kuelewana.

  • @rehemampangala5544
    @rehemampangala5544 Рік тому

    Asante Dr ubarikiwe sana

  • @sacg9783
    @sacg9783 Рік тому +1

    Be blessed Dr 🙏🙏🙏🙏

  • @mercylinekerubo6425
    @mercylinekerubo6425 Рік тому

    Kweli kabisaaa be blessed alot 🙏

  • @OmmyNaaly
    @OmmyNaaly 8 місяців тому +1

    asnt sana jmniiiiiiii saiv kwl ntabadilika cz kwl nna tabia ya kulalamikaaa duuuh

  • @kulwakipuga5487
    @kulwakipuga5487 2 місяці тому

    Ahsante kwa ushauri,ila kaka unakuta mwanaume mwenyewe akikosea ataki kabisaa kuombaa msamahà kabisaa na wala ukikaa kuzungumzaa nae anabadilishaa makosaa yake yanakuwaa ya kwako,ni Mungu tu anayebadishia MTU sidhani ata ukifanyaa vyote atakuonaa wa maana.

  • @dianandabirorere6365
    @dianandabirorere6365 2 роки тому

    Shukran kwa mawaidha

  • @happyazizi6044
    @happyazizi6044 Рік тому

    Duuh!! Tabia yangu kabsa ....ahsante nmepona

  • @christinasiikon4708
    @christinasiikon4708 2 роки тому +6

    Mawaidha mazuri sana.God bless

  • @lettygirl08
    @lettygirl08 2 роки тому

    Thanks

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard8106 2 роки тому +2

    Asante sana
    Barikiwa Dr. Mauki 🙏

  • @neemashao4749
    @neemashao4749 2 роки тому +3

    Asante nimejifunza kitu kizuri mno. Nashukuru maana Kuna vitu baadhi skuwa nimevipata leo nimejifunza

  • @lydiabosibori4116
    @lydiabosibori4116 2 роки тому

    Asante kwa mafundisho yako mazuri kabisa 🙏

    • @millymatere
      @millymatere 2 роки тому

      ua-cam.com/channels/gOAVSGHfZVwKvYugy52iMQ.html

  • @alwaladorcus3809
    @alwaladorcus3809 2 роки тому

    Be blessed

  • @aminamgaya7511
    @aminamgaya7511 Рік тому

    Asante baba barikiwa mnooo nimejifunza kitu kikubwa sana leo

  • @rehemarusunzu804
    @rehemarusunzu804 2 роки тому +1

    Asantee sana

  • @NoelMmbando-sg2ev
    @NoelMmbando-sg2ev Рік тому

    Very facts bro.darasa zaidi kwa somo hili.

  • @ElizabethMutuku-qt2vj
    @ElizabethMutuku-qt2vj 7 місяців тому

    So nice ilove this channel

  • @jfr2444
    @jfr2444 2 роки тому

    asante na jifunza kutuko kwako Mungu akubariki

  • @florencehaluwa2191
    @florencehaluwa2191 Рік тому

    waaah asante hyo n mimi kbsa nitarekebisha

  • @ayshaaisha7630
    @ayshaaisha7630 2 роки тому

    Shukrani

  • @aishahassan4142
    @aishahassan4142 2 роки тому +2

    Shukran sana Dr...🙏

  • @lulumdoe919
    @lulumdoe919 Рік тому

    Asante kaka mimi napenda kulumu na kulalamika

  • @teddylameck21
    @teddylameck21 2 роки тому +1

    Asantee mnoo

  • @mukembanyikalinda8908
    @mukembanyikalinda8908 2 роки тому

    I like. You my brother

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 2 роки тому

    Ncee piece of a dvice boss thxz

  • @paqchatygaga7276
    @paqchatygaga7276 2 роки тому +4

    Asant dokta mm izo ndio tabia zangu na ndio mana mpnz wangu amechoshwa na ameniacha ..ntabadilika kuanzia sasa.

  • @racheljoseph5192
    @racheljoseph5192 2 роки тому +40

    Yaani Mbona Hizi Dalili Anafanya Mwanaume Wangu Na Sio Mimi Sasa Inakuaje hapo 😟😟😟

  • @luciayohana3035
    @luciayohana3035 2 роки тому

    asante sana kaka kwa mafundsho yako bora

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 2 роки тому

    Asante chirss

  • @catherinekerubo9734
    @catherinekerubo9734 2 роки тому

    Ghi asante sana nimejifusa kitu na nimeaja hiyo tabia

  • @TantineSarahSadika
    @TantineSarahSadika Рік тому

    kweli kabisa ❤❤

  • @domitilarwakunda807
    @domitilarwakunda807 2 роки тому

    Asante sana baba