Hii ilinikuta brother nilicho kifanya ni kufuta namba yake ya simu lkn pia hata yeye nili mwambia kama kweli ana niheshimu afute namba yang.Nashukur alifanya hivyo na hajawahi knitafta tena na nimeoa tayari.
Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante
Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu
Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..
Kaka kiukweli nam nimiongon mwa watu wanaopitia changamoto hii ila kupitia dara lako kunakitu nimejifunza,asante pia mungu akujalie upeo wakuelendela kutoa masomo kama haya adhim
Njia nyengine ambayo huwa inasaidia kwa kiasi kikubwa ni kutafuta mpenzi mwengine na uzuri zaidi baada ya kuwa naye ni vizuri umuelezee huyo mpenzi wako mpya hali ulikuwa ukipitia punde tu baada ya kuingia na yeye kwenye mahusiano ili ajuwe vipi akusaidie kuondoa stress ambazo umekuwa nazo. Ni njia nzuri sana na mie ni mmoja ya waliowahi kufanya hivyo
Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi, sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri
Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran
Mim nilikuwa na mwanamke mmoja mzuri tuu nilikuwa nasoma nae chuo na nilimsaidiya vitu vingi sana tena sana tu na kumpa ushauri maana alikuwa alishaanza kukata tamaaa na nikamtafutiya hadi na field na kuniambiya haya maneno TRUSTLY I REALIZE THAT THE ROMANTIC CONNECTION I INITIALLY FELT WITH YOU HAS FADED AWAY niliumiya sana na kuniambiya tena THANK YOU FOR EVERYTHING but mim nikamwambiya KUNA MAISHA BAADA YA CHUO 😢😢😢😢😢😢😢😢
Bro umenigusa sana leo kwenye nyimbo nimeimba sana mpaka nyimbo za kwaya nimepona kiasi ila sijamsahau hadi leo mwaka wa 7 licha ya kuwa mbali nae bado namkumbuka bro
Hata mm limepitia maumivu makali xnaaaa tumefunga hadi ndoa ila ndoa yetu mwaka haikutimiza mwezangu alibadilika ghafla nimebaki n mtoto namshukuru Mungu kwa kunisimamia ila ngumu kumsahau ila niweza kutoka kwenye jeraha la moyo
Asante sana nami nilishawahi kupitia huko na njia niliyoitumia ni kuwa mbali nae kwa mawasiloano kwa maana niliblock kuanzia yeye hata familia yake na marafiki zake kwa kwl ilinisaidia sana na sasa nimesha msahau
Naomba ushahuri niko na rafiki wakiume na sasa nimyaka 6 tangia tufahamiane kwa kweli sikuwahi kuwaza kama ipo siku ntakuja kumpenda ila cha kushangaza sasa ivi naanza kuhisi kumpenda nikiona anaongey na mwanamke mwingine na jihisi kua na wivu nikilala na muota yani izi siku hakuna kitu ninachafanya zaidi yakumuwaza yeye nimejaribu hata kuwa mbali naye ila bado hisia zinanipeleka kwake na mimi sitamani kua naye katika mausiano kwa kua tuliwekeyana mipaka ya wurafiki wetu na sijuwi nifanye nini natesaka kabisa😌😌.Mishawaka pls🙏🙏
Kweli kabisa ulivyoongea hata mm nimetoa mapema energy kwa mazoezi na kusikiliza music na kucheza inasafisha kbsa moyo Nimeona nataka kuwekeza hisia zangu sehemu isiyo sahihi
Me nimejaribu sana kufuta namba zake lakini ikipita mda kidogo nazitafuta tena cz niliwah kumtumia pesa Mara kadhaa sasa details zake zote zimebaki kwangu na hazifutiki so kila nikiingia kwenye hio app Yang lazm nione no yake na Sitoweza kuacha Kumtext
Umeachwa wee Umeachwa..KUBALI KUBALI utampta wako mtapendana kwa dhati😂😂😂 Brother JOEL 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
😂
Eeh banaee😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hii ilinikuta brother nilicho kifanya ni kufuta namba yake ya simu lkn pia hata yeye nili mwambia kama kweli ana niheshimu afute namba yang.Nashukur alifanya hivyo na hajawahi knitafta tena na nimeoa tayari.
Good
Safi
Maashallahu Alla akubrk uko vzr
Ulifanya cha maana
❤
Uko sahihi Joel Ila nashukuru kufatilia video zako nimekua nikimove on ,,,,,,,asante kakka joel mungu akutie nguvu na pumz ndefu kaka
Ahsante sana 😍Alfu kaka Uje kutu fundisha na, afya! Ya akili 🤦♀️maana ai wezekena' umpend mtu wakati 'Yeye a kupenda!??? 💔
Kupenda sio jambo la akili
Umenikumbusha kitu kweli kuna sababu kubwa sana ya kuitibu akili kila mtu ana sitaili yake ya ukichaa kwahiyo hilo somo lije maana atujielewi
Jaman mm Kuna kaka nampenda nimemueleza lkn naona Kam vile bd hajanielewa nfanyaj
@@abdulyshabany8502 Huyo akupendi alf unakubali vp ww kumweleza hisia zako wakati ni mwanamke?. Eeeb acha utampata wako tu. Huko nikujipunguzia thaman km mwanamke.
@@sarahsaimon4095👀
Nilikua na msongo wa mawazo hususani juu ya mada hii ya mahusiano lkn baada ya somo hili akili yangu kunakitu imekitua hakinitesi tena
Be blessed with this song
ua-cam.com/video/syQCeCNTHRo/v-deo.html
Mwenye mapenzi ya kweli aje kwangu am single hayo mambo yanatesa sana ,natafuta wa kuwa nae .mtu aliyepevuka akili
Asante sana Kaka mimi pia ni muanga na hilo kwa somo lako naamini nimepata tiba halisi ubarikikiwe sana
Kabisa hasa kupenda kwa sana asiekupenda ni ngumu sana!!
Yani sana, kumpata mtu akupende nikazi sana. Mungu atusamehe sana
Unanisaidia sana Joel, Mwenyezi Mungu akubariki.Unatusaidia sana kwa hizi elimu.
Ahsante
Mzee upendo sio hisia.....marekebisho tu! Watu wengi wanachanganya hisia na upendo....hisia hua zinabadirika kila dakika.....na hubadirishwa na vitu vingi ndani ya mwili...so upendo sio hisia, upendo ni nguvu inayotoka ndani ambayo hutokana na maamuzi. Asante
Ahsante sana Kwa somo lako hakika unatuponya wengi, mimi ilinitokea alionekana kunipenda ila baada ya mda aliniacha nkawa siwez kumsahau ila baada ya kuchukua maamuzi nkamua kufuta Kila chake , ila bado yeye aninitafuta na aliniacha , iyo Hali najikuta namrudia Bado ananiumiza na me nampenda Bado , kaka angu ili limekuwa tatizo kubwa sana kwangu
Asante doct ukweli mie nimesota sana niliachwa na ujauzito mpka nimejifungua hakutaka mazoea na mimi kabisa lakin nilijitahidi kumpotezea mpka saiv ndo naenda nikipona mara nyingi apenda kuangalia muv na kusikiliza music,,,dah ila namtoto wake ila sijalii naiman na kwa somo lako hili nitazidi kumwona wa kawaida tu..
Duh , yaani mahusiano yangu Mimi na mpenzi Wangu yalipo fikia mungu nishahidi jamani.
😂😂Mungu akupe nguvu
Ahsante sana. Umefanya nicheke kidogo, " si Kila anayefanya maziezi anajenga afya ya mwili" wengine wanajenga moyo.... Congraturation
Kaka kiukweli nam nimiongon mwa watu wanaopitia changamoto hii ila kupitia dara lako kunakitu nimejifunza,asante pia mungu akujalie upeo wakuelendela kutoa masomo kama haya adhim
Njia nyengine ambayo huwa inasaidia kwa kiasi kikubwa ni kutafuta mpenzi mwengine na uzuri zaidi baada ya kuwa naye ni vizuri umuelezee huyo mpenzi wako mpya hali ulikuwa ukipitia punde tu baada ya kuingia na yeye kwenye mahusiano ili ajuwe vipi akusaidie kuondoa stress ambazo umekuwa nazo. Ni njia nzuri sana na mie ni mmoja ya waliowahi kufanya hivyo
Hapana, usijaribu kujiponya kwa kuanzisha mahusiano mengine, kwanza hayatodumu hataaa
Kuna ki2 nimejifunza thanks brooh halki kama iyo ilisha nitokea nimejua namna ya kukabiliana nayo.
Kaka, Mungu akubariki huwa najifunza vitu vingi kikubwa zaidi huwa unatoa elimu ya kuonya,kushauri na kunibadilisha.be blessed.
Kwa kweli maumivu niliyonayo nataman kubadilisha no ya simu l😢😢😢
😢😢😢
Habari jaman, hapa brother Nanauka ameongelea pale unapompenda mtu lkn yeye hakupendi,
sasa kinacho nikuta mm Kwa sasa ni tofauti na hilo, mm ninampenda mwanamke na nimesha mwambia ukweli siku kadhaa zilizopita, alinikataa akidai tayar Yupo na mahusiano, lkn bado ananitafuta tunaongelea maisha na kadhalika, nahisi pengine haniamini lkn najiuliza nifanye nn ... Naomben ushauri
Asante kwa ushauri wako kaka Nanauka, sasa kama upo nae ndani unafanyaje? Tafadhali
Umenifurahisha sana hapo kwenye kusikiliza muziki
😄😄😄
Mungu Asimame nawe Uzidi kutujenga mana unamchango Mkubwa SANA Katika hii Dunia Kaka angu
Nakukubali sana kaka unatufundisha vyema mungu azidi kukujalia maarifa na maisha malefu.
Mungu akubariki sana mafundisho yako yananipa kupiga hatua moja zaidi
Asante mwalimu, nashukuru kwa saa hii nakaa makini katika hili,nisimuumize na yeye asiniumize
Be blessed with this one
ua-cam.com/video/syQCeCNTHRo/v-deo.html
Nimekuwa nikisikiliza sana nyimbo na pia kufuta no yake vile kufanya mazoezi ila mazingira bado yamekuwa changamoto cjui unanisaidiaje
Napenda unavoelimisha kaka.yalinikuta hayo uliosema yote nimefanya hadi leo mwaka a tano.sijaweza kumsahau.
Kama hayo ya kisaikolojia yameshindikana tafuta msaada wa kiroho MUNGU aweza yote.
Asanti Sana nimefurahi atah Niko karibu kumweka block Kali sana 😂, uzuri nafurahi Sana Mimi sijawahi weka mtu 💯 kwa roho , because itakuja kukusumbua , Mimi Sina stress Niko free stress siwezi jipa pressure, namwomba mwenyezi mungu , asanti Sana kaka Mimi mwenyewe Niko kufikiria hivyo unavvyo sema , asanti Sana nimefurahi umetufunza Sana shukran
Mim nilikuwa na mwanamke mmoja mzuri tuu nilikuwa nasoma nae chuo na nilimsaidiya vitu vingi sana tena sana tu na kumpa ushauri maana alikuwa alishaanza kukata tamaaa na nikamtafutiya hadi na field na kuniambiya haya maneno TRUSTLY I REALIZE THAT THE ROMANTIC CONNECTION I INITIALLY FELT WITH YOU HAS FADED AWAY niliumiya sana na kuniambiya tena THANK YOU FOR EVERYTHING but mim nikamwambiya KUNA MAISHA BAADA YA CHUO 😢😢😢😢😢😢😢😢
Mume wangu akifanya kosa hajui kuomba msamaha,anakosea yeye ukimuuliza kistaarabu yeye ndo anakuwa mkali,ananuna,hapo nimeona upendo hakuna kbs,nifanye nn pls nisaidie!!
MME,we mvumilie ipo siku yake atajuta makosa yake
Tatizo langu mimi kila siku namuona na haliepukiki mana nafanya nae kazi sijui hata nifanyaje
Nilifanya mazoezi sana na kiukweli nilikaa nae mbali sana na nilikata kabisakabisa mawasiliano.
Niko na zawadi ya sm niko na nguo pia nifanyaje natamani hata kujiua maana bado nampenda sana nikavichome moto au nivigawe 😭
Ukivichoma moto utajipatia laana ww kitu cha kufanya vigawanye Kwa wedzako tuu
Pole sana ,mapenzi Yana umiza sana
Mungu akupe Uhai Mrefuu
Bro umenigusa sana leo kwenye nyimbo nimeimba sana mpaka nyimbo za kwaya nimepona kiasi ila sijamsahau hadi leo mwaka wa 7 licha ya kuwa mbali nae bado namkumbuka bro
It's like me,kuna mtu bado sijameahau kwa kweli,nimeoa na ameolewa
@@BGHaule mmmh alikupa mapenz ambayo huyapati kwa ulienae nazan
Mwaka wa 7 usimsahau MTU looo James wajina LA babangu acha uongo MTU yupo mlishaachana kwani alikupatia mapenz ambayo hujawahi kuyapata lol
Ahsante kaka Mungu akubariki sana, umenifundisha nimepata kitu kipya kwenye maisha uangu
Ahsante kwa kushukuru Tausi
@@joelnanauka nahitaji namba zako za whatssap maana nimetuma 5000 kwa kutaka ofa ya watoto Afrika )muamala ntakutumia whatssap nikipata nambazko
Anayependa na mwanaume, mwanamke hana upendo mwanamke anatii.
Dawa ni kumtaka rafiki yake na kusaka mapene sanaa
Hata mm limepitia maumivu makali xnaaaa tumefunga hadi ndoa ila ndoa yetu mwaka haikutimiza mwezangu alibadilika ghafla nimebaki n mtoto namshukuru Mungu kwa kunisimamia ila ngumu kumsahau ila niweza kutoka kwenye jeraha la moyo
Utampata wa kufanana na ww inshallah n swala la muda tu!.utasahau😊❤
Ubarikiwe kaka yangu nilipitia iyo changamoto, kwakweli ukovizuri bro anae kuponda ni chuki zake tu
Doctor hilo somo limenigusa mwaka flan iv nilikua ilinikuta hiyo
Daaah big up brother Sabrina kwakweli kwaheri acha niwapokehee wanao nipenda nakupenda saaana ila now way
Mungu akubariki sana baba.
Naitaji kuongea Na wewe in box plz.
I'm from Burundi
Hili lijamaa linaakili Sana limesalitiwa huko likatengeneza somo
😂
Mimi Niko kwaiyo Hali nampenda anipendi nateseka sana
Ubalikiwe kwa mafundisho yako yanani saidia
Bro unatusaidia sana watu wengi tunapitia hiyo hali
Mashallah Elimu ni nzuri iliyoitoa
Be blessed with this song
ua-cam.com/video/syQCeCNTHRo/v-deo.html
mabarikiwa sana na elim yako brother 🙏
Nimekuelewa sana kaka na nakuelewa sana, hapo katika namba 3 hapo kwenye umbali kama mna watoto inakuwaje?
Hii imetokea kwangu mimi najitahidi sana kufuta picha zake kwenye simu yangu lakini bado nakutana naye kila mara inaumia sana
Mm napitia huu mkasa mgumu
Daaaaah umenifurahisha kwelii ulivo imba Apooo🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🙌🙌🌹
😂😂😂 umependa uimbaji wangu
Hiyo nyimbo kweli naimbaga
Ahsante mwalim Kwa mafundisho yako
Nilitumia hii naleo nimejua kua nilichukua uamuzi mzuri
Nimejikuta nakupenda napenda kufatilia darasa lako kwa sababa unauponya moyo wangu🙏Mungu akubariki
Hello
Umeolewa?
Nimepitia kwa ugumu sana lakini niliamua kukaa mbali yeye
unapompenda mtu sio lazima na yeye akupende, Kipende unachopaya
Detachment katika ulimwengu wa leo ni somo Muhimu.
Ni muhimu sana
@@joelnanauka if u can develop detachment kama unavofanya!
Asante kaka unazd kunipa ujasir
Asee umenigusa sana Joel mung akubarik sana
Unanisaidia sana sheikh
Asante sana nami nilishawahi kupitia huko na njia niliyoitumia ni kuwa mbali nae kwa mawasiloano kwa maana niliblock kuanzia yeye hata familia yake na marafiki zake kwa kwl ilinisaidia sana na sasa nimesha msahau
👌respect brother
Nmejufunza mno,,imenisaidia
Asant sana kwa somo zury joel
Respect kwa maneno yako
Asante brook ubarikiwe
Nape da sana your topics
Naomba ushahuri niko na rafiki wakiume na sasa nimyaka 6 tangia tufahamiane kwa kweli sikuwahi kuwaza kama ipo siku ntakuja kumpenda ila cha kushangaza sasa ivi naanza kuhisi kumpenda nikiona anaongey na mwanamke mwingine na jihisi kua na wivu nikilala na muota yani izi siku hakuna kitu ninachafanya zaidi yakumuwaza yeye nimejaribu hata kuwa mbali naye ila bado hisia zinanipeleka kwake na mimi sitamani kua naye katika mausiano kwa kua tuliwekeyana mipaka ya wurafiki wetu na sijuwi nifanye nini natesaka kabisa😌😌.Mishawaka pls🙏🙏
Mwambie ukweli ajue kuwa unampenda.👍👍👍
Hapo kwenye gosple n mimi kabisaa yaaan
Mungu hazidi kuwapa mafunuo kaka
Kweli kabisa ulivyoongea hata mm nimetoa mapema energy kwa mazoezi na kusikiliza music na kucheza inasafisha kbsa moyo
Nimeona nataka kuwekeza hisia zangu sehemu isiyo sahihi
na kweli ,ila inauma kumpenda mtu yeye hakupendi,ilishawahi nikuta ,nilibrock,nikatupa vitu vyake alivyonipa leo hii nona miez sita
Kweli ndugu unamsamini mtu kumbe moyoake unafikiria kwengine ukishamjua mtu huyu ishi nae tuu kwakua ukoa nae pia mtoe moyoni mwako ili usonge mbele
Asante kaka
Nakukubali kk joel kwa salisafa zako
Nkweli ishanitokea inaumiza moyo sana
Hapo kwenye mziki ndio kwangu
naweza kuonana na wew boss
Sasa kaka Mimi Niko nae mbali sana,but mwawasiliana yake yako chini sana....mpaka nashindwa na Mimi napenda sana
haya na sisi tulio zaa watoto nao mtihani
Kwa mfano picha za harusi?
Yan ni mm kabisa nilihama na kumurudishia zawad zake zote alizowahi kunipa na kujiondoa kwenye group ambalo nilijua nitamwona
Me nimejaribu sana kufuta namba zake lakini ikipita mda kidogo nazitafuta tena cz niliwah kumtumia pesa Mara kadhaa sasa details zake zote zimebaki kwangu na hazifutiki so kila nikiingia kwenye hio app Yang lazm nione no yake na Sitoweza kuacha Kumtext
Nilitumia njia site ila sikuwa ninajua kuwa ndizo njia sahihi
Somo zuri sana kaka nashukuru
Mimi Niko na Bibi yangu ni na mupenda lakini yeye anipendi
Big up kbs j. Nanauk
Ur so bright bro keep it up
so great bro you teachs for really
Mimi na watoto nae nashindwa nifanye je??
Nimejivunza sana
Mimi nimeolewa nafanyaje hapo?
Asant sana kaka nimekuelewa vizuri
God give you long life
You so great
Be blessed 🙏 kakangu
Kama umezaa nae itakuwaje
Nimefanya almost kila kitu hapo,ila bado hatoki kichwani
Sali kwa kuomba umsaau
Omba Sana Mungu atakusaidia kukupa tumaini jipya
Weka namba moja ,Mungu kwanza
Hata Mimi nimejitahidi ila nimeshindwa
Iyo njia ya 2 nimeitumia Mara nyingi zaidi lakini mmmm Kusahau Ni ngumu