Dr. Chris Mauki: Maswali matano ya kujiuliza kabla ya kuamua kuachana

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024
  • Wapenzi wengi sana wame wahi kuamua kuachana lakini baadaye wakajikuta badala ya kutatua tatizo wameongeza shida, kwa sababu tu hawakupata muda wa kujiuliza mambo ya msingi sana kabla ya kuachana kwao. Je unajua ni mambo gani hayo? Nifuatilie.
    #DrChrisMauki#KablaYa#Kuachana

КОМЕНТАРІ • 284

  • @SeuriWilliam
    @SeuriWilliam 10 днів тому +2

    Jamani we dokt mungu akutunze siwezi ongea zaidi maan nikm unaishi na mm

  • @sophiajackson5001
    @sophiajackson5001 2 роки тому +14

    Atukuzwe Mungu kwaajili ya Dr. mauki.... Kusudi la Mungu lizidi kuimarika katika maisha yako... Mungu akutunze sana na uzao wako kaka Chris Mauki

  • @WinfridaJose
    @WinfridaJose 8 місяців тому +1

    for real kuna namna napata ujasiri ss wa kuamua baada ya kusikiliza hii content, thank u

  • @MariajosephMkomwa
    @MariajosephMkomwa Місяць тому

    Nimekuelew Dr chrismauki mungu akulind na nakuombea uish miak miaaah❤❤❤

  • @MariajosephMkomwa
    @MariajosephMkomwa Місяць тому

    Dr chrismauki mamb unayoyazungumz niyakwel. Mung akibark my brther❤

  • @ZainaRajabu-m8i
    @ZainaRajabu-m8i 10 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana Dr pia god bless akupe maisha marefu kwasababu unafanya vizuri sana kuelimisha sisi tusojua🙏🙏

  • @MaryDaniel-dj1hv
    @MaryDaniel-dj1hv Рік тому +1

    Dr its my first time to learn with you I real enjoy your lesson and I am about to stand and fight for my family be blessed

  • @NdayizeyeAudrinerebecca
    @NdayizeyeAudrinerebecca Місяць тому

    Kweli Dr umeongea vizuri God bless u

  • @NayisengaVenus
    @NayisengaVenus Місяць тому

    Napenda sana mashauri yako mungu akubari

  • @NellypearsonMadeje
    @NellypearsonMadeje 5 місяців тому

    Mungu akutunze sana D Chris mungu akupe maisha marefu sana 🙏❤️❤️❤️

  • @EliabAmon-w7o
    @EliabAmon-w7o Рік тому +1

    Hakika Dr ninakushukur sana topics zako ni nzuri sana, hongera sana!!!!

  • @officialvinjunga5682
    @officialvinjunga5682 2 роки тому

    Dr.mauki masomo yako ninayaelewa na kuyapenda Kwan bado ni kujana mdogo na mwenye safar ndefu katika maisha maisha niliyonayo sas samahan naomba urafiki na ukaribu wak hata wa kimawasiliano yako ili kupata mtindo mzur wa kimaisha katik safar yang kipnd cha uhai wang
    Naomba hvy kam hutojal pia naamin ww n mtu muhm na rafik bora ktk maisha ya vijana weng
    🙏🙏🙏🙏😔

  • @Happynesibarongo
    @Happynesibarongo 2 місяці тому

    Asante.kwa ushauri. wako. Dr. chriis. mauki. ubalikiwe

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 роки тому +1

    Yaaani nilikuwa kwenye process lakini kupitia SoMo nimejifunza na sitaondoka tena Asante baba

  • @Mkundeshirima
    @Mkundeshirima 2 роки тому +2

    Thank you Dr. Chris, kweli umesave mahusiano yangu. Leo nilishapanga mizigo yangu iliniachane na mwenzangu lakini somo lako hili limenifanya nibadili maamuzi

  • @justblackcode
    @justblackcode 2 роки тому +5

    Thanks... always building me both emotionally and mentally, God bless you Dr.

  • @FatumaKaposo
    @FatumaKaposo Рік тому

    Shukrani Dr alitaka nimuache mtu lkn kuishi bila yeye sitoweza nimeshapata jibu

  • @gracemutayoba4958
    @gracemutayoba4958 2 роки тому +4

    Thanks brother for a good lesson, imenipa nguvu sana

  • @dorissmrosso7420
    @dorissmrosso7420 2 роки тому +1

    Asante baba mungu akubariki ,ninamaumivu ya kutosha ila kwa SoMo lako nipata nimepata majibu .

  • @samkaskakongesaja-boy7837
    @samkaskakongesaja-boy7837 2 роки тому +3

    Très sage mon frère que Dieu vous bénisse abondamment.🙏🇨🇩

  • @muslimakassim4320
    @muslimakassim4320 2 роки тому +8

    Masha allah shukran may allah bless u more dr u doing great job 😍💯👏👍🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @Daimu-e9i
      @Daimu-e9i Рік тому

      ​@@ChrisMauki1kaka munguakubariki saana naomba unisaidie ushauli nakimaombipia kunamtu nampenda saana lakini nimemzidi umli miaka 14 lakini nampenda nufanyeje? Kaka NIFANYEJE

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 3 місяці тому +2

    Maswali kabla ya kuachana
    1.kuna uhalisia au ni hisia kama hisia badae utashindwa kuendelea
    2.je nipo tayari nipo tayari kuishi bila yeye
    3.nitapoteza nn nikiruhusu kuachana nae
    4.naweza kupata alie bora zaidi
    5.je kuna chochote cha mm kujirekebisha

  • @blasidafussy1364
    @blasidafussy1364 Рік тому

    Umenifunza Ving sana bro Chris Mauki

  • @scholasticamathias9224
    @scholasticamathias9224 2 роки тому +8

    Perfect blessed in abundance uishi saana jmn duh🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @sethrudovick5593
      @sethrudovick5593 Рік тому

      Asahnte sana kaka

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 місяці тому

    Yani kuna mtu namuacha leo baada ya hii video,thank you so much Mauki

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph 3 місяці тому

    Wao amaizing soma lile la kuzitekq akili za mpenzi wako limenibadilshqqq

  • @gladnessrwegalurila3843
    @gladnessrwegalurila3843 Рік тому

    Asante kwa funzo zuri. Nimekuelewa sana

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 2 роки тому +1

    Asante an Dr. kukuona inagharimu bei gani kwa ushauri wa kisaikologia?

  • @MsombaAlpha
    @MsombaAlpha 2 роки тому +3

    Thanks a lot man of GOD🙏

  • @ismailmutisya1079
    @ismailmutisya1079 11 місяців тому

    Somo nzuri sana, Shukran kaka

  • @veronicablass-x1j
    @veronicablass-x1j Рік тому

    Thanks dr. MAUKI..

  • @mariamandrea-ht4wn
    @mariamandrea-ht4wn Рік тому

    Asante sana kaka nimejifunza kitu hapa.

  • @rosemarystanny1270
    @rosemarystanny1270 Рік тому

    Asante kwa somo,Mungu akubariki

  • @DetteBernadette
    @DetteBernadette 5 місяців тому

    Baba yangu mungu akulinde sana

  • @ammt1522
    @ammt1522 Рік тому

    Asante kwa somo hili

  • @sophiamatiku5686
    @sophiamatiku5686 Рік тому

    Mungu akubariki kaka

  • @briannyerere5519
    @briannyerere5519 Рік тому

    Brother nimepona ktk hili mungu akulinde sanaaaah

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Рік тому +1

    Really fact stated, be blessed Dr.

  • @zawadipeter7152
    @zawadipeter7152 Рік тому

    Nilitaka kuzama asante MUNGU akubariki umeniokoa mapema doctor

  • @AgripinaMallya-n7x
    @AgripinaMallya-n7x 5 місяців тому

    Nimekuelewa asante

  • @AminaMohammed-q2p
    @AminaMohammed-q2p Рік тому

    Hii topic kama umeniandalia mm ubatikiwe sana

  • @MatingaTZ
    @MatingaTZ Рік тому

    Mungu akubaliki Sana ndugu yangu

  • @sekelakasole4923
    @sekelakasole4923 2 роки тому

    Najifunza mengi sana kupitia ww mengi mno uishi sana Kaka barikiwa

  • @zainabukuku3878
    @zainabukuku3878 11 місяців тому

    Ahsante sana DR

  • @AgathaJosephu
    @AgathaJosephu 6 місяців тому

    Mm nampenda sana tulikwazana kidogo kakaa kimya na mm nimekaa kimya

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Рік тому

    Mungu akuweke sana Chris mauki

  • @SalomePriscus-wr5qm
    @SalomePriscus-wr5qm 7 місяців тому

    Nmejifunz sanaaaaa❤❤❤❤

  • @gloriamkude7172
    @gloriamkude7172 Рік тому

    Sounds is great whaooooo

  • @GloryJonhson
    @GloryJonhson Рік тому

    Somo nzuri dk but naomba kuuliza swali private

  • @albertraphael5172
    @albertraphael5172 2 роки тому

    Dr nashukuru kwa ushauli wko mungu akubariki sana

  • @janethurio2453
    @janethurio2453 Рік тому

    Barikiwa Sana, nimekosa kk.

  • @mariumpeter6147
    @mariumpeter6147 2 роки тому +1

    Asante kwa somo taaamuu@ Prof.CMauki.Mungu akubariki sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @kudelysokoine8089
      @kudelysokoine8089 2 роки тому +1

      @@ChrisMauki1 duuh Dr nimrjifunza kitu na n fact kabisa kW hya uliyosema mungu akubariki

    • @ANNAMSIGWA-ji9xq
      @ANNAMSIGWA-ji9xq Рік тому

      @@kudelysokoine8089 asantee kwa xomo zuriiii na mungu akubariki

  • @rosejordan5391
    @rosejordan5391 2 роки тому +1

    Kazi nzuri Dr,mungu akubariki sana uzidi kutuletea masomo mazuri

  • @SuperTervin
    @SuperTervin 2 роки тому

    Asante sana kaka nimejifunza kitu

  • @GladnessmeshackMsechu
    @GladnessmeshackMsechu Рік тому

    Barikiwa sana

  • @SalomePriscus-wr5qm
    @SalomePriscus-wr5qm 7 місяців тому

    Jmn ubarikiwe sana 😢😢😢😢😢

  • @NeemaStephanomjengi-xq4dg
    @NeemaStephanomjengi-xq4dg Рік тому

    Nimebarikiea Saudi na kipengele cha kujirekebisha,maana naamini mi pia sio Malika Nina mapungufu yangu ,barikiea zaidi Dr

  • @christinamanota6618
    @christinamanota6618 Рік тому

    Asante kwa somo

  • @beathagurthi4432
    @beathagurthi4432 Рік тому

    Upo vzr doctor thanks alot

  • @YunisMinassshayo-pi5pq
    @YunisMinassshayo-pi5pq Рік тому

    Kweli kabisa Hana umuhimu wowote kwangu

  • @hassanshemkoe5679
    @hassanshemkoe5679 2 роки тому

    Shukrani sana dokta

  • @mwangabulakeneth5044
    @mwangabulakeneth5044 2 роки тому +1

    Thankx

  • @mrishoidd9763
    @mrishoidd9763 Рік тому

    Umenitia moyo Dr

  • @RehemaSalim-m8s
    @RehemaSalim-m8s 23 години тому

    Master plz waeza nipa no yako ya sup nina tatizo zito sana nahitaji ushauri wako sina wakunishauri hili plz plz nakuomba endapo utanikubalia utabarikiwa sana

  • @alexkornelio5560
    @alexkornelio5560 2 роки тому

    Nimekuelewa kaka angu mungu akutunze,

  • @FedinaMahenge-pc9er
    @FedinaMahenge-pc9er Рік тому +1

    Asante

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 2 роки тому

    Hili somo linagusa mnooo. Aksante sana Dr.

  • @marianapatrick5993
    @marianapatrick5993 2 роки тому +2

    Dr Nina mme wangu A nafanya kazi oman, toka ameondoka mawasiliano yanakuaga ya shida Sana kila nikimpigia anasema subir kidogo naumia Sana aliipata likizo a kaja Tanzania, amebadilika Sana hata tendo la ndoa hafanyi kama zaman,, Hana hamu na mimi kabisa, Dr ni fanyeje, tumezaa watoto wawili

    • @hidayakisensi2747
      @hidayakisensi2747 2 роки тому +1

      Kasha Pata uko oman Dada siku izi wanaoa ukouko kimyakimya walishapata kubali kutoka ubalozin niko Oman nayaona Dada pole sana

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 2 роки тому

    Nikweli Dr Chris Mauki....somo nzuri....kwakweli inachukuwaga mda sana kuwamuwa kuwachana namtu ambaye unampenda....mawazo yakuwachana na mpenzi wangu yalikuwepo before I gave birth to 2 kids with him.....nilivyo zaa mwanangu wapiri ndipo mawazo yalitimiya

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @ceciliahangu2598
    @ceciliahangu2598 2 роки тому

    Kaka uko vizuri kwa mafundisho yako

  • @asanathharuna6819
    @asanathharuna6819 2 роки тому +1

    Thank you doctor,,,be blessed tunaokota chochote mola akubleee🤲🤲🤣🤣🤣🤣

  • @domitilabarnabas2843
    @domitilabarnabas2843 2 роки тому

    Brother upo vizuri sana

  • @tabiamaheke
    @tabiamaheke Рік тому +1

    Dr mm kila ninachohisi kupoteza bado haoni! Ndo anachukua udhaifu wangu wa hofu ya kupoteza kama fimbo ya kunipigia!

  • @theresialubuva9437
    @theresialubuva9437 2 роки тому

    Dr.Chris Mauki asante sana🙏🙏🙏

  • @BirianiAbushir
    @BirianiAbushir 28 днів тому

    Habari doctor mimi niko kwenye mahusiano miaka kumi sasa ila mwenzangu kabadilika toka miaka minne iliyo pita ila sasa ivi ndio nimegundua kua anamahueiano mengine na mezalisha nampenda ila kinacho niumiza tunautofauti wa dini nasasaivi kawa mtu wa lawama sana akunazuli utakalo lifanya akusifie kama mtu anaenitafutia sababu

  • @ahmedially3198
    @ahmedially3198 2 роки тому

    Salute kwako bro

  • @ruwaidashaaban7267
    @ruwaidashaaban7267 2 роки тому +2

    I wish ungekuwa live ningekuuliza maswali

    • @laurugumba4441
      @laurugumba4441 Рік тому

      Shukran Dr. Tumebarikiwa kwakweli naweza pata no yako.

  • @rossikirossiki6518
    @rossikirossiki6518 2 роки тому +1

    Very Smart

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 2 роки тому +1

    Umesomeka Kaka👍

  • @charleslyuki691
    @charleslyuki691 3 місяці тому +1

    Ukijishusha mateso yanazidi

  • @bibisungura2448
    @bibisungura2448 2 роки тому

    Amina dr umeniponya

  • @marympango9247
    @marympango9247 2 роки тому

    Yan mda huu nilikua nafikiria kuondoka katka ndoa doctor...naingia youtube nakutana na hii kitu..........daah!!! Kuna vitu umevisema duuh...ahsantee.sana.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @OmaryNusu
    @OmaryNusu 3 місяці тому

    Asnte cna kaka

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 2 роки тому +1

    Nimecheka kwa sauti kubwa, Mungu atusaidie

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @amanpeter845
      @amanpeter845 2 роки тому

      @@ChrisMauki1 mzee me nashida yakukuona nasijui nakuonaje

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      @@amanpeter845 piga 0713407182

    • @bonifacebeatrice3981
      @bonifacebeatrice3981 11 місяців тому

      Mungu akubariki kwa kutuelimisha kwa mafundisho na ushauri ktk maisha marefu ya mahusiano 🤲🙏🤐👏❤️

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 2 роки тому

    Asante sana kwa maswali haya God bless you

  • @emmanuelpius7418
    @emmanuelpius7418 Рік тому

    Nashukuru

  • @suee2784
    @suee2784 Рік тому

    Mm hapa nmeshindwa nfanye nn nkikol simu ashiki nliuliza sababu sisemi kila ana sema n long distance

  • @kimwagamwadali7026
    @kimwagamwadali7026 2 роки тому

    kazi mzuri ndugu ubarikiwe

  • @wenceslausmassawe6848
    @wenceslausmassawe6848 2 роки тому

    Umenisusa sana dr mm hii hali inantokea mnoo

  • @AgnessDaud-jk7ro
    @AgnessDaud-jk7ro Місяць тому

    naomba namba yako Dr,nina shida plz

  • @nadinnmugisha5168
    @nadinnmugisha5168 2 роки тому

    Asante sana Dr unaujenga moyo wange

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  2 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @juliawnjeri5913
    @juliawnjeri5913 2 роки тому

    Kazi nzuri ahki...

  • @ErastoSaimoni
    @ErastoSaimoni 9 місяців тому

    Kaka mimi nakushukuru sana mana umenisaidia , ila naomba msaada natamani kujua nini mana ya kulalamika mana mimi mpenzi niliekua kuanae ninapomkumbusha kuhusu swala la mawasiliano ananambia napenda sana kulalamika

  • @salimzumamangale9843
    @salimzumamangale9843 2 роки тому

    Kweli kabisa Dr shukran sana kwa somo lako zuri

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 2 роки тому +4

    Mbona km umenisema mm Doctor🥲🥲mana ndo nilikuw nawaza kuachana na mpnz wng mana simuelew hata

  • @neemadad9843
    @neemadad9843 2 роки тому

    Asante sana

  • @TINNAMEDIA
    @TINNAMEDIA 29 днів тому

    Nilikuw natak tuachane lakini kwa hayo naona cwez ngoj tu nijishushe mambo yaishe

  • @YunicePastoli
    @YunicePastoli 9 місяців тому

    Miminataka kumuacha nifuate maisha yangu nitafte pesatu 👬👭💏💑

  • @alexmathias1608
    @alexmathias1608 2 роки тому

    Nimekubar mkuu

  • @zaitunjuma870
    @zaitunjuma870 Рік тому

    jaman mm mume wangu ni malay sn nina wtt wawili ila ninacho kifikiria nitapoteza haki za watt wangu nimevumilia tumejenga nawaz vingi nitapotez so mm ila wanangu mtihan sn