Dr. Chris Mauki: Maswali matano ya kujiuliza kabla ya kuamua kuachana
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Wapenzi wengi sana wame wahi kuamua kuachana lakini baadaye wakajikuta badala ya kutatua tatizo wameongeza shida, kwa sababu tu hawakupata muda wa kujiuliza mambo ya msingi sana kabla ya kuachana kwao. Je unajua ni mambo gani hayo? Nifuatilie.
#DrChrisMauki#KablaYa#Kuachana
Jamani we dokt mungu akutunze siwezi ongea zaidi maan nikm unaishi na mm
Atukuzwe Mungu kwaajili ya Dr. mauki.... Kusudi la Mungu lizidi kuimarika katika maisha yako... Mungu akutunze sana na uzao wako kaka Chris Mauki
for real kuna namna napata ujasiri ss wa kuamua baada ya kusikiliza hii content, thank u
Nimekuelew Dr chrismauki mungu akulind na nakuombea uish miak miaaah❤❤❤
Dr chrismauki mamb unayoyazungumz niyakwel. Mung akibark my brther❤
Mungu akubariki sana Dr pia god bless akupe maisha marefu kwasababu unafanya vizuri sana kuelimisha sisi tusojua🙏🙏
Dr its my first time to learn with you I real enjoy your lesson and I am about to stand and fight for my family be blessed
Kweli Dr umeongea vizuri God bless u
Napenda sana mashauri yako mungu akubari
Mungu akutunze sana D Chris mungu akupe maisha marefu sana 🙏❤️❤️❤️
Hakika Dr ninakushukur sana topics zako ni nzuri sana, hongera sana!!!!
Dr.mauki masomo yako ninayaelewa na kuyapenda Kwan bado ni kujana mdogo na mwenye safar ndefu katika maisha maisha niliyonayo sas samahan naomba urafiki na ukaribu wak hata wa kimawasiliano yako ili kupata mtindo mzur wa kimaisha katik safar yang kipnd cha uhai wang
Naomba hvy kam hutojal pia naamin ww n mtu muhm na rafik bora ktk maisha ya vijana weng
🙏🙏🙏🙏😔
Asante.kwa ushauri. wako. Dr. chriis. mauki. ubalikiwe
Yaaani nilikuwa kwenye process lakini kupitia SoMo nimejifunza na sitaondoka tena Asante baba
Thank you Dr. Chris, kweli umesave mahusiano yangu. Leo nilishapanga mizigo yangu iliniachane na mwenzangu lakini somo lako hili limenifanya nibadili maamuzi
Thanks... always building me both emotionally and mentally, God bless you Dr.
Shukrani Dr alitaka nimuache mtu lkn kuishi bila yeye sitoweza nimeshapata jibu
Thanks brother for a good lesson, imenipa nguvu sana
Asante baba mungu akubariki ,ninamaumivu ya kutosha ila kwa SoMo lako nipata nimepata majibu .
Très sage mon frère que Dieu vous bénisse abondamment.🙏🇨🇩
Masha allah shukran may allah bless u more dr u doing great job 😍💯👏👍🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1kaka munguakubariki saana naomba unisaidie ushauli nakimaombipia kunamtu nampenda saana lakini nimemzidi umli miaka 14 lakini nampenda nufanyeje? Kaka NIFANYEJE
Maswali kabla ya kuachana
1.kuna uhalisia au ni hisia kama hisia badae utashindwa kuendelea
2.je nipo tayari nipo tayari kuishi bila yeye
3.nitapoteza nn nikiruhusu kuachana nae
4.naweza kupata alie bora zaidi
5.je kuna chochote cha mm kujirekebisha
Umenifunza Ving sana bro Chris Mauki
Perfect blessed in abundance uishi saana jmn duh🙏
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asahnte sana kaka
Yani kuna mtu namuacha leo baada ya hii video,thank you so much Mauki
Jinaaaa😂😂😂😂
Wao amaizing soma lile la kuzitekq akili za mpenzi wako limenibadilshqqq
Asante kwa funzo zuri. Nimekuelewa sana
Asante an Dr. kukuona inagharimu bei gani kwa ushauri wa kisaikologia?
Thanks a lot man of GOD🙏
Somo nzuri sana, Shukran kaka
Thanks dr. MAUKI..
Asante sana kaka nimejifunza kitu hapa.
Asante kwa somo,Mungu akubariki
Baba yangu mungu akulinde sana
Asante kwa somo hili
Mungu akubariki kaka
Brother nimepona ktk hili mungu akulinde sanaaaah
Really fact stated, be blessed Dr.
Nilitaka kuzama asante MUNGU akubariki umeniokoa mapema doctor
Nimekuelewa asante
Hii topic kama umeniandalia mm ubatikiwe sana
Mungu akubaliki Sana ndugu yangu
Najifunza mengi sana kupitia ww mengi mno uishi sana Kaka barikiwa
Ahsante sana DR
Mm nampenda sana tulikwazana kidogo kakaa kimya na mm nimekaa kimya
😂😂😂😂😂
Mungu akuweke sana Chris mauki
Nmejifunz sanaaaaa❤❤❤❤
Sounds is great whaooooo
Somo nzuri dk but naomba kuuliza swali private
Dr nashukuru kwa ushauli wko mungu akubariki sana
Barikiwa Sana, nimekosa kk.
Asante kwa somo taaamuu@ Prof.CMauki.Mungu akubariki sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 duuh Dr nimrjifunza kitu na n fact kabisa kW hya uliyosema mungu akubariki
@@kudelysokoine8089 asantee kwa xomo zuriiii na mungu akubariki
Kazi nzuri Dr,mungu akubariki sana uzidi kutuletea masomo mazuri
Asante sana kaka nimejifunza kitu
Barikiwa sana
Jmn ubarikiwe sana 😢😢😢😢😢
Nimebarikiea Saudi na kipengele cha kujirekebisha,maana naamini mi pia sio Malika Nina mapungufu yangu ,barikiea zaidi Dr
Asante kwa somo
Upo vzr doctor thanks alot
Kweli kabisa Hana umuhimu wowote kwangu
Shukrani sana dokta
Thankx
Umenitia moyo Dr
Master plz waeza nipa no yako ya sup nina tatizo zito sana nahitaji ushauri wako sina wakunishauri hili plz plz nakuomba endapo utanikubalia utabarikiwa sana
Nimekuelewa kaka angu mungu akutunze,
Asante
Hili somo linagusa mnooo. Aksante sana Dr.
Dr Nina mme wangu A nafanya kazi oman, toka ameondoka mawasiliano yanakuaga ya shida Sana kila nikimpigia anasema subir kidogo naumia Sana aliipata likizo a kaja Tanzania, amebadilika Sana hata tendo la ndoa hafanyi kama zaman,, Hana hamu na mimi kabisa, Dr ni fanyeje, tumezaa watoto wawili
Kasha Pata uko oman Dada siku izi wanaoa ukouko kimyakimya walishapata kubali kutoka ubalozin niko Oman nayaona Dada pole sana
Nikweli Dr Chris Mauki....somo nzuri....kwakweli inachukuwaga mda sana kuwamuwa kuwachana namtu ambaye unampenda....mawazo yakuwachana na mpenzi wangu yalikuwepo before I gave birth to 2 kids with him.....nilivyo zaa mwanangu wapiri ndipo mawazo yalitimiya
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Kaka uko vizuri kwa mafundisho yako
Thank you doctor,,,be blessed tunaokota chochote mola akubleee🤲🤲🤣🤣🤣🤣
Brother upo vizuri sana
Dr mm kila ninachohisi kupoteza bado haoni! Ndo anachukua udhaifu wangu wa hofu ya kupoteza kama fimbo ya kunipigia!
Dr.Chris Mauki asante sana🙏🙏🙏
Habari doctor mimi niko kwenye mahusiano miaka kumi sasa ila mwenzangu kabadilika toka miaka minne iliyo pita ila sasa ivi ndio nimegundua kua anamahueiano mengine na mezalisha nampenda ila kinacho niumiza tunautofauti wa dini nasasaivi kawa mtu wa lawama sana akunazuli utakalo lifanya akusifie kama mtu anaenitafutia sababu
Salute kwako bro
I wish ungekuwa live ningekuuliza maswali
Shukran Dr. Tumebarikiwa kwakweli naweza pata no yako.
Very Smart
Umesomeka Kaka👍
Ukijishusha mateso yanazidi
Amina dr umeniponya
Yan mda huu nilikua nafikiria kuondoka katka ndoa doctor...naingia youtube nakutana na hii kitu..........daah!!! Kuna vitu umevisema duuh...ahsantee.sana.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asnte cna kaka
Nimecheka kwa sauti kubwa, Mungu atusaidie
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 mzee me nashida yakukuona nasijui nakuonaje
@@amanpeter845 piga 0713407182
Mungu akubariki kwa kutuelimisha kwa mafundisho na ushauri ktk maisha marefu ya mahusiano 🤲🙏🤐👏❤️
Asante sana kwa maswali haya God bless you
Nashukuru
Mm hapa nmeshindwa nfanye nn nkikol simu ashiki nliuliza sababu sisemi kila ana sema n long distance
kazi mzuri ndugu ubarikiwe
Umenisusa sana dr mm hii hali inantokea mnoo
naomba namba yako Dr,nina shida plz
Asante sana Dr unaujenga moyo wange
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Kazi nzuri ahki...
Kaka mimi nakushukuru sana mana umenisaidia , ila naomba msaada natamani kujua nini mana ya kulalamika mana mimi mpenzi niliekua kuanae ninapomkumbusha kuhusu swala la mawasiliano ananambia napenda sana kulalamika
Kweli kabisa Dr shukran sana kwa somo lako zuri
Mbona km umenisema mm Doctor🥲🥲mana ndo nilikuw nawaza kuachana na mpnz wng mana simuelew hata
Asante sana
Nilikuw natak tuachane lakini kwa hayo naona cwez ngoj tu nijishushe mambo yaishe
Miminataka kumuacha nifuate maisha yangu nitafte pesatu 👬👭💏💑
Nimekubar mkuu
jaman mm mume wangu ni malay sn nina wtt wawili ila ninacho kifikiria nitapoteza haki za watt wangu nimevumilia tumejenga nawaz vingi nitapotez so mm ila wanangu mtihan sn