Dr.Chris Mauki: Maneno haya 6 yatakufanya upendwe Zaidi.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 472

  • @Fatima69Ng
    @Fatima69Ng Рік тому +13

    Kweli kabisa chris haya maneno yanafanya kazi mm apa mpaka na nenepa ❤❤❤❤😂😂😂

  • @SharonwayuaMwendwa
    @SharonwayuaMwendwa Місяць тому +8

    Mungu nipe mpenzi namii nifurahie na wengine😢

  • @janetmasasi703
    @janetmasasi703 3 роки тому +14

    Asante kunizindua kifikra.Nimejifunza vitu, mwanadamu tunajifunza kila siku.Mungu akubariki Dr Mauki

  • @faithmsungu3272
    @faithmsungu3272 2 роки тому +14

    Thanks so much Dr,Kupitia masomo yako mahusiano yangu yanazidi kuwa mapya kila siku,Mungu akubariki sana

  • @lilianelisamehe9586
    @lilianelisamehe9586 9 днів тому

    My Lord my father we Dr uishi Tu, asante Kwa madini haya Aseee❤❤❤❤

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 3 роки тому +32

    Walk with wise so that you can be like them...I'm learning more from you Dr Chris...God bless

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +5

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @rahmamwinyimkuu3273
      @rahmamwinyimkuu3273 2 роки тому +1

      @@ChrisMauki1 kpp⁸888iì8

    • @queenmchapi1281
      @queenmchapi1281 2 роки тому

      asantee Kaka😘

    • @salha.d5060
      @salha.d5060 Рік тому

      DR MIMI NINA SHIDA YA WIVU MKALI SANA NIMESHAACHWA NDOA 2 LAKINI SIJUI KAMA NTAWEZA DUMU KWENYE NDOA YANI NINATAKA NIMONTE MWANAUME RATIBA ZAKE ZOTE MIMI SIJAWAHI CHEAT KABISA YANI MFANO NIKIPIGA SIMU MTU ASIPOKEE MUNGU WANGU MPKA NAKWENDA KUHARISHA ASIPOPATIKA MPKA MAPIGO YA MOYO YANABADILIKA NAISHIWA NGUVU NAWEZA HATA KUPOTEZA FAHAMU NISAIDIE NIFANYE NINI

  • @Esthermwalimu7732
    @Esthermwalimu7732 Рік тому +3

    Asante kwa ushauri wako,nmetumia haya yote na kwa kweli yanafanya kazi

  • @betricevictor447
    @betricevictor447 3 роки тому +7

    Asante Dr Chris ila daah kuna wengine hata ufanyeje ni shda

  • @JunitaMwasambungu-zm8sl
    @JunitaMwasambungu-zm8sl 10 місяців тому +1

    Asante sana doctor ubarkiwe sana Mungu akuimarishe zaidi

  • @preciousnyange7151
    @preciousnyange7151 3 роки тому +8

    Kwakweli nashukuru maneno mazuri yakujenga nilikua natumia maneno matano kati yasita uliofundisha kasoro lakujua Siku yakeimekwrndaje but nashukuru ananipenda Sana'a naminajua hivyo nitaongeza zaidi thanks

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Рік тому +15

    Kweli ww ni zawad kwetu mungu alietupa maana unajua kutupa madini❤hongera sana

    • @DoriceRamadhan
      @DoriceRamadhan 2 місяці тому

      Nashukuru doctor naona naelekea kupata uponyaji

  • @WitnessOchora-dd1gm
    @WitnessOchora-dd1gm Рік тому +2

    😯 jaman amazing ❤❤❤ daah ntayfnyia kazzz

  • @eunicefalex4403
    @eunicefalex4403 Рік тому +8

    Dr Chris mie mume wangu hata ukimuandika hajibu meseji hata ukimwambia mambo mazuri hakujibu

  • @catherinekabora6766
    @catherinekabora6766 2 роки тому +2

    Habari Dr Asante sana Kwa Masomo yako naomba pia uongelee SoMo linalohusu 'Controlling woman'

  • @aysherrashidy1265
    @aysherrashidy1265 Рік тому +1

    Nashukuru nmekuerewa nitafanya ivyo nampenda et

  • @nancypeter4300
    @nancypeter4300 Рік тому +1

    Ngoja ebu nipunguze ukali kweli thanks

  • @SikituKamwambi
    @SikituKamwambi 3 місяці тому

    Amen mtumish Mungu akuwek wanawake wa ndani tunajisahau San

  • @KelvinMziwanda
    @KelvinMziwanda 19 днів тому

    Asante mwalim unatusaidia sana mimi mume wangu anaend kazn lkn antmn mda wote awe na mimi

  • @SIKURICHAShop
    @SIKURICHAShop 10 місяців тому

    Asante sana mungu akubaliki

  • @taushilal590
    @taushilal590 2 роки тому +1

    Dah nilichelewa wapi kwahaya mambo mazur kabisa mungu akubarik dr

  • @JaniferSehha
    @JaniferSehha Рік тому

    Namshukru sana mungu akubriki ntajibadilsha Sasa dah nimechelwe kujua thanks 🙏

  • @suzanmwanja7071
    @suzanmwanja7071 2 роки тому +1

    Hakika haya mambo ndo ninayoyafanya binafsi najivunia sana pia Asante kwako mwalimu

  • @lamarashrashid3860
    @lamarashrashid3860 3 роки тому +8

    This really makes sense 😃.... I used it much and it gave my .......a very wonderful ... feelings...... congrats doctor 👏

  • @OmbeniMichael-w9y
    @OmbeniMichael-w9y 3 місяці тому

    Asante kwaelimu unayotowa yanajenga sana

  • @niwaelnathaniel5450
    @niwaelnathaniel5450 3 роки тому +4

    Wonderful teaching,Dr Chris,inauma sana unaondoka mpenzi wako hakuulizj umefikaje ina uma sana.

  • @SaùlKizabi-f3t
    @SaùlKizabi-f3t 20 днів тому

    Tatimiza dr🇨🇩🇨🇩

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 3 роки тому +6

    Yani Baba unamalizaga bando yangu asante🙏❤

  • @mohamedsuleiman7215
    @mohamedsuleiman7215 3 роки тому +1

    dr.nakuelewa haya maneno huyatumia ila nilikua sijui na cku zote i drive women crazy...na cjawah kuwachwa na nahongwa sana na mwanamke akiondoka hurudi kwangu ila changamoto yangu mi niko bize na life wanawake huniona dharau na mwisho husepa lakin huwa moyon mwao hawajaridhika...am proud of you.

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 3 роки тому +2

    Asante dokta kwa som zuri sana ila.mimi naona kunawanaume wenye kujuwa dhamani ya hayo maneno wangu hata nimulize ntajibiwa shoti hadi naishiwa pozi kabisa anacho juwa ni kuniuliza umeamkaje na umeshindaje na umetoka kazini umekula na.usiku mwema basi mengine ntajuwa mimi na mungu wangu naumiya ila basi tu

    • @binthawa2973
      @binthawa2973 3 роки тому

      wew kama wangu na litakula block mana shida

  • @mugishabella5193
    @mugishabella5193 3 роки тому +1

    Shukran Sana ka somo lako Mimi ndo nataka kujifunza sasa kumwambia hayo maneno

  • @barakazagabepaulin1549
    @barakazagabepaulin1549 3 роки тому +6

    shukrani za zati kwa mafundisho haya mwalimu.

  • @vanessamollel9950
    @vanessamollel9950 3 роки тому +4

    Thank you so much doc mim nlishakata tamaa kabisa but once nlionabaadhi ya video zako for sure naskia aman japo kuna vitu nkiskia naumia sanaa kwan nampenda sanaaa and thank u so much you change me 🙏🏽🙏🏽

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @joseKende
    @joseKende 5 місяців тому +1

    Asante sana kwa funzo nzuri🙏

  • @Caro-g3z
    @Caro-g3z 4 місяці тому

    Exactly, Mr. Chris but
    it's works kwa upande wangu imenisaidia, barikiwa sanaaa kwa huduma yako

  • @Jastinewilbard
    @Jastinewilbard 19 днів тому

    Na mim mungu anipe mpenzi nifanye hivo😊

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 3 роки тому +2

    Asante Dr Chris Mauki kwa mafundisho mazuri ya kutujenga ktk mahusiano

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @lazaroamanimakungamakhirik1342
    @lazaroamanimakungamakhirik1342 3 роки тому

    We ni mwalimu wa kipaji Asante kwa masomo mazur

  • @rehemalameck5283
    @rehemalameck5283 3 роки тому

    asate san mwalimu mungu aku barikii sana

  • @charlestz
    @charlestz 4 місяці тому

    Asante saana kwaushaul wak

  • @paulineimary8355
    @paulineimary8355 Рік тому +21

    Mpenzi wangu uniambia haya yote🥰🥰mungu akatuunganishe pamoja 🙏

  • @AhmedSalim-i7j
    @AhmedSalim-i7j Рік тому

    Mungu akubariki Doctor 🙏

  • @stelambezi9971
    @stelambezi9971 3 роки тому +2

    Asante Doctor Chris I have used them alot but I have not seen it's positivity.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      May be something is wrong to the one you are saying to or may be the approach

    • @lilianraynertarimo9650
      @lilianraynertarimo9650 2 роки тому

      Asante sana Criss am proud of you God bless you

  • @IsmaBandali
    @IsmaBandali 3 місяці тому

    Dr shuqran Sana kwa kutufundisha sana mm niko uganda

  • @barakabeatud5630
    @barakabeatud5630 2 роки тому +1

    Asante kwa somo zur

  • @AbubakarHamisi-vj9wb
    @AbubakarHamisi-vj9wb Рік тому

    Chris mauki wew n noma sana🎉

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 2 роки тому +3

    Hakika wewe ni zaidi ya mwalimu , mungu akuongezee maarifa

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke Рік тому

    Thank you so much kakangu unafunzo nzuri sana

  • @elizabethrichard5185
    @elizabethrichard5185 3 роки тому +17

    Am 18 years but you're my best teacher 🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @CleverTz-h5x
    @CleverTz-h5x 5 місяців тому

    Thank you Chris for another day 🙏🏾🙏🏾

  • @DainessMchomvu
    @DainessMchomvu 5 місяців тому +1

    Una kipaji kikubwa Sana Mungu akubariki

  • @juliethhoseamnyambi6080
    @juliethhoseamnyambi6080 Рік тому

    Kwakweli umenifundisha mungu anisaindie

  • @chamdomalukua1032
    @chamdomalukua1032 Рік тому

    Ahsante..kaka nimejifunza

  • @Rahma-r1y
    @Rahma-r1y 11 місяців тому

    Shukrani Sana my brother ❤

  • @philemonmtangi1692
    @philemonmtangi1692 3 роки тому

    Dr ninahitaji sana kuonana na wewe ninashida imefika pabaya sana naomba mawasiliano yako, Ahsante sana kwa masaada wako nilikuwa ninakufuatilia sana vipindi vyaki Radio C, Lakini kwa sasa sijakusikia kipindi kirefu. Nakutakia maisha mema.

  • @Priscahonyango-f2o
    @Priscahonyango-f2o 5 місяців тому

    Nashkuru sana Dr...kwa mafunzo yako

  • @saudacharles2480
    @saudacharles2480 2 роки тому

    Asante Sana naendelea kujifunza mambo mengi Sana

  • @EmmanuelyMsangawale
    @EmmanuelyMsangawale 4 місяці тому

    Live amazing words

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 5 місяців тому

    Shukran Dr Chris ❤❤

  • @Dreamchaser6692
    @Dreamchaser6692 2 роки тому +3

    I always learn alot from your teachings, God bless you . Have been your silent follower

  • @euniceomaore6442
    @euniceomaore6442 3 роки тому

    Najifunia wew wouh good teacher nafuatilia vixur

  • @ngazarajab4101
    @ngazarajab4101 3 роки тому

    Asante doctor kwa kutufundisha mambo muhimu nafarajika sana nitajitahidi maana mahusiano nikitu muhimu kwenye maisha y amwanadamu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @janethmrema2431
    @janethmrema2431 10 місяців тому

    Mungu asaidie haya yawe mahusiano ya mwisho😢

  • @mercyadangahi1991
    @mercyadangahi1991 3 роки тому +6

    Thanks so much for the words of wisdom. Be blessed

  • @GeorgiaMacherengo-h6f
    @GeorgiaMacherengo-h6f 26 днів тому

    Nitumieni hizo vide

  • @MikeMakame
    @MikeMakame 3 місяці тому

    Upo vzl your very good

  • @baltazarmsungu9605
    @baltazarmsungu9605 2 роки тому

    Thanks docta kwa mafundisho ,nimejifunza kitu kwenye comment kwamba hutakiwi kujibu short unatakiwa kuonesha na wewe unamjali kwa kumjibu vizuri .

  • @nkwimbamwigulu2052
    @nkwimbamwigulu2052 2 роки тому

    Ahsante Sana kwa kipindi kizur mwalimu Chris mm nna swali.... Nataman kuwan mtu wa tofauti au mtu mpya kila nnapowasiliana na mpenzi wangu,ili kulitimiza hili ni mambo gan ambayo napaswa niyazingatie?

  • @evalynekyungai
    @evalynekyungai Рік тому

    WOW greatest

  • @alwaladorcus3809
    @alwaladorcus3809 2 роки тому

    Umenena Dr hakika nimeskia, mengine ninayafanya , nanitaongezea ili nitengeneze doa yangu Asante sana ubarikiwe

  • @ashuraadam1874
    @ashuraadam1874 2 роки тому

    Shukran jambo Zur San 🙏🙏🙏🙏

  • @edsonnickernest6897
    @edsonnickernest6897 2 роки тому

    Thanks San Dr nimejifuna kitu nahis atanipenda tu na tutapendana👍

  • @gladnessmichael9384
    @gladnessmichael9384 Рік тому

    Ubarikiwe

  • @IssabellaJohn
    @IssabellaJohn 4 місяці тому +2

    Ngoja nipunguze ukal

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 3 роки тому +1

    Yaani ni mafundisho mazuri sana,ila sasa kwa waelewa Mr Mauki, yaani

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @estherdeodatus3565
    @estherdeodatus3565 3 роки тому +2

    These are important issue,thank u

  • @esthermichael3989
    @esthermichael3989 4 місяці тому +1

    Kweli haya maneno yanahamasisha mno na huleta kufurahiana.🙏🙏🙏

  • @SubiraManka
    @SubiraManka Рік тому

    Thank you baba

  • @Kalambo-bb3sh
    @Kalambo-bb3sh Рік тому

    Barikiwa

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 3 роки тому

    Shukurani saxa ...boss

  • @EzekielMalush
    @EzekielMalush Місяць тому

    I like it

  • @latifamajengo2921
    @latifamajengo2921 3 роки тому +1

    Ktyu ambach nmebe understandable well ....
    1. Take care
    2.how was ur day
    3. Am proud ov yuh
    Yn ay yamenimonivate for 💯%

  • @NadjimaUwimana
    @NadjimaUwimana Рік тому

    Asantesan

  • @evethapius5063
    @evethapius5063 Рік тому

    Nc sana asante brother

  • @AsiaAli-m3o
    @AsiaAli-m3o Місяць тому

    Asant sana

  • @sadymazige
    @sadymazige Рік тому

    Thanks dear brother.That's true

  • @AlexMbunda-ye7to
    @AlexMbunda-ye7to 8 місяців тому

    Napenda sana mafundisho yako bro

  • @revinaedward6616
    @revinaedward6616 2 роки тому

    Asante sana ila kuna wengine hawajali kabisa yan hata ubembeleze vipi

  • @LilianEliya
    @LilianEliya Рік тому

    Asante sana

  • @nasrakikombe2231
    @nasrakikombe2231 3 роки тому +8

    I really like it wallah 🥳♥️♥️

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 3 роки тому +1

    Mungu wetu azidi kukubariki zaidi

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @عايضالعتيبي-و3ظ
      @عايضالعتيبي-و3ظ 2 роки тому

      Hyln thanks bro bt wanaume wengne ata u2mie haya maneno hawaridhiki

  • @angelanderson5066
    @angelanderson5066 3 роки тому +1

    Waooo somo zuri asanteee kwa mafundisho🙏🙏

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @maduhundamo9411
    @maduhundamo9411 3 роки тому

    Umenikosha sana Chris mauki

  • @ZawadiKhamis
    @ZawadiKhamis Рік тому

    shukrani

  • @happynessswai3922
    @happynessswai3922 3 роки тому +19

    Mmmh!
    Wengine tumefanya hvyo lakn bado chenga
    Inategemea mtu mwenyewe

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +4

      Ushauri unaweza kuleta badiliko.
      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @emmymzava9445
      @emmymzava9445 3 роки тому

      @@ChrisMauki1 mm nataman kuongea nawewe lkn sion namba yako ya simu jamn mm nataka ushaur wako

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +2

      @@emmymzava9445 0713407182

  • @kuruthumrajabu2394
    @kuruthumrajabu2394 2 роки тому

    Sijutii kukujua na hasa kupitia mafunzo yako walahi Mungu akubariki mr mauki

  • @priscalwangili4278
    @priscalwangili4278 2 роки тому +7

    Dkt. Chris you're a blessing to us we get new insights every time you give a lecture. God bless 🙏

  • @ericanduye5876
    @ericanduye5876 3 роки тому

    Asante Sanaa kwa kuendelea kunifundisha, ila Sasa Kuna changamoto natumia haya maneno na huwa sichoki kutumia ila haoneshi kujali yaani unaweza muuliza Siku yako imeendaje mpenzi, anavyo jibu (poa) imeisha hiyo. Kidogo huwa inanitesa napata jibu ambalo sikutarajia

  • @moonpatienceongara5607
    @moonpatienceongara5607 3 роки тому

    Ahsante sana daktari

  • @ismailidrisa7685
    @ismailidrisa7685 3 роки тому +1

    Drive safe or fika salama
    Nijurishe ukifika or let me know ukifika
    Tunaweza kutoka wote
    Take care or be careful
    Siku yako ilikuaje or imeendaje
    Im proud of you na mshukuru mungu kwaajili yako

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 3 роки тому

    Asant sana nimefaidika sana