Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

DUH! JPM AMVAA MFUNGWA ALETOKA GEREZANI "ALIKAA MIEZI SITA, MSHIKENI TENA, AKALIME MZURURAJI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 лис 2019

КОМЕНТАРІ • 290

  • @AsiaMkusa
    @AsiaMkusa 4 роки тому +31

    Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu

  • @johnkillango7850
    @johnkillango7850 4 роки тому +8

    Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa

  • @doricegabriel2610
    @doricegabriel2610 4 роки тому +9

    Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu

  • @dianafyondi3265
    @dianafyondi3265 4 роки тому +31

    Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 4 роки тому +11

    Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 4 роки тому +25

    Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru9399 4 роки тому +1

    No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.

  • @lightmbasha6404
    @lightmbasha6404 4 роки тому +6

    Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee

  • @thadeiminja1855
    @thadeiminja1855 4 роки тому +19

    Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko

  • @ibrahimuhamzab.7129
    @ibrahimuhamzab.7129 4 роки тому +3

    Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi.
    Mungu ibariki Tanzania ,
    Mmungu mbariki
    Mh, Raisi John Pombe Magufuli

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 4 роки тому +100

    🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like

  • @oscarkasalile9367
    @oscarkasalile9367 4 роки тому +2

    Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.

  • @mugenzijean
    @mugenzijean 6 днів тому

    tunawapenda sana Raisi magufuli🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @abbasally6288
    @abbasally6288 4 роки тому +1

    Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu

  • @kenicemkaka2824
    @kenicemkaka2824 4 роки тому +4

    Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana

  • @giftnyakipande1253
    @giftnyakipande1253 4 роки тому +1

    Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 роки тому +1

    Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina

  • @emmakelvinmeinyi1439
    @emmakelvinmeinyi1439 4 роки тому +16

    Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 роки тому +1

    Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪

  • @mugenzijean
    @mugenzijean 6 днів тому

    Huyu Ni Raisi kweli❤️❤️❤️❤️❤️🇷🇼

  • @dominikishilali194
    @dominikishilali194 4 роки тому +1

    Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi

  • @jackleenmandary2632
    @jackleenmandary2632 4 роки тому +4

    Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho

  • @joycehagman5622
    @joycehagman5622 4 роки тому +1

    Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu

  • @monicamonica4597
    @monicamonica4597 4 роки тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 роки тому +25

    Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 4 роки тому +1

    Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona

  • @bonifacepontian1391
    @bonifacepontian1391 4 роки тому +5

    Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 4 роки тому +22

    Mpiga debe kayataka mwenyewe

  • @walikidali596
    @walikidali596 4 роки тому +1

    Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki

  • @rahmakatotok3489
    @rahmakatotok3489 4 роки тому +1

    Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa

  • @AmiHaji-r4h
    @AmiHaji-r4h 16 днів тому

    Tuta kukumbuka milele rais jpm❤❤,

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +3

    Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu

  • @banazoone2744
    @banazoone2744 4 роки тому +5

    Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc

  • @ramadhanindevu6006
    @ramadhanindevu6006 4 роки тому +16

    Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana

    • @stantz1798
      @stantz1798 4 роки тому +3

      Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm

    • @merryjulius4098
      @merryjulius4098 4 роки тому

      Haaha,alisahau jamani.

    • @saidinhomarwa5575
      @saidinhomarwa5575 4 роки тому

      Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.

    • @mwanaisha522
      @mwanaisha522 4 роки тому

      Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live

    • @ommylamam1463
      @ommylamam1463 4 роки тому

      @@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 4 роки тому +2

    Mungu akubariki mh Rais

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 4 роки тому +12

    MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote

  • @akwillahsegwa6940
    @akwillahsegwa6940 4 роки тому +1

    Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia

  • @oscarkasalile9367
    @oscarkasalile9367 4 роки тому +10

    Mheshimiwa Hawa nida ni shida mheshimiwa

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 4 роки тому +5

    Jaman Nchi jiran wanatuonea kijicho kupata Rais Kama huyu jamani ukiona ww huoni kuwa huyu ni Rais Bora dunian ,haki ya Mungu ww umetoka kuzimu kuja kutugombanisha na mzee wetu.

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 4 роки тому +2

    Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.

  • @jeuritv156
    @jeuritv156 4 роки тому

    Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 4 роки тому +9

    Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww

  • @dicksonhenricko9130
    @dicksonhenricko9130 3 роки тому

    Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 роки тому +3

    Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 4 роки тому +12

    Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji?
    Salange oyeeeeee

    • @pendomkumbo8262
      @pendomkumbo8262 4 роки тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh

    • @ratifamzima1255
      @ratifamzima1255 4 роки тому

      Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 4 роки тому +7

    Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman

    • @tanzaniteinzanzibar6655
      @tanzaniteinzanzibar6655 4 роки тому +3

      ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...

    • @alikhamisog3422
      @alikhamisog3422 4 роки тому

      @@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 роки тому

      Unataka chochote kip weye

    • @josephmsuya8124
      @josephmsuya8124 4 роки тому

      Fafanua alii hakua nn

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 4 роки тому +6

    Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.

  • @maxwellwilliam1663
    @maxwellwilliam1663 4 роки тому +12

    Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 4 роки тому +1

      Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!

    • @giftnyakipande1253
      @giftnyakipande1253 4 роки тому +1

      Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah

    • @aminasalum1954
      @aminasalum1954 4 роки тому

      Hahahahahaaaaaa

    • @ndikumanaally4952
      @ndikumanaally4952 4 роки тому +1

      Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni

    • @ndikumanaally4952
      @ndikumanaally4952 4 роки тому

      Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana

  • @immaruzige1845
    @immaruzige1845 4 роки тому +9

    Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 роки тому

      Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie

    • @lulually6722
      @lulually6722 4 роки тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 4 роки тому +7

    SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?

  • @hansimwakyoma3042
    @hansimwakyoma3042 4 роки тому +1

    Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi

  • @hamisjahar756
    @hamisjahar756 4 роки тому +2

    Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 4 роки тому +8

    Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 роки тому

      Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima

    • @allysalum7158
      @allysalum7158 4 роки тому +1

      nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 4 роки тому

      @@allysalum7158 Aisee

    • @festosanga1793
      @festosanga1793 4 роки тому

      Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +8

    Msanvu oyeeee nimepamis

  • @africa7479
    @africa7479 4 роки тому +7

    Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.

    • @alyhamadi8033
      @alyhamadi8033 4 роки тому

      Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji

    • @grfgt1930
      @grfgt1930 4 роки тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 4 роки тому +1

    Nakupenda sana makufili oyeeeee

  • @raymondysadick608
    @raymondysadick608 3 роки тому

    Huyu rais ndo maana nampenda bure.

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 4 роки тому +4

    Unaulizwa shida yako unaanza kuongea u K.. Mrugulu kachelewa wapi huyo

  • @judithwirth2256
    @judithwirth2256 4 роки тому

    The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 4 роки тому +2

    wananchi wenyewe wanafki jamaa kaelezea shida wakashanfilia alafu akageuziwa kibao tena wanashangilia mmmmh

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 роки тому +4

    Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.

  • @masuseleman978
    @masuseleman978 4 роки тому +8

    Hapo mwisho jamaa anasura ngumu.mpaka raisi kamuuliza yy ni miongoni walio ungua Moto😂

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 2 роки тому

      🤣🤣🤣😅😅😆😁😄😃😃😀😀😃😃😄😃😂😂😂😂😀😀

  • @salumnakauka5355
    @salumnakauka5355 4 роки тому +4

    Merci monsieur président.Dieu vous protage.

  • @molasmusa3609
    @molasmusa3609 4 роки тому +3

    Pga kazi mzee

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +2

    Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime

  • @mambosasatv9717
    @mambosasatv9717 4 роки тому +1

    Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?

  • @augustinojohn4764
    @augustinojohn4764 4 роки тому +5

    Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 роки тому

    Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +2

    Hahahahahaaaaaa msenge huyo sarange unaulizwa badala useme unahitaji mtaji unasema mim sarange mfyuuu

  • @magdalinangussa8643
    @magdalinangussa8643 4 роки тому

    Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana

  • @selemanivanmkungu4637
    @selemanivanmkungu4637 4 роки тому +2

    HUYU JAMAA NI CHOKO KWELI ASEE YAANI UNAULIZWA UNA SHIDA GANI UNASEMA SARANGE MARA SIMBA MTOTO ASEE WARUGURU NINYI NI ZIROOOOO KABISA AMEKOSA 5MILLION BOYA HUYO

    • @willekisamaki8709
      @willekisamaki8709 4 роки тому

      Sio waruguru tengua kabla ya 5

    • @mabodythedon1489
      @mabodythedon1489 4 роки тому

      Acha usenge

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 роки тому

      Usitukane makabira ya wtu bro,sio kisaa jamaa anakaa moro ukajuaa ni mruguru achaa mmbo ya kisalange bhana

    • @musamanyanda5112
      @musamanyanda5112 4 роки тому

      Choko sana huyo umepata bahati ya mkenge unaulizwa una shida gani et linasema mm ni sarange

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 4 роки тому +7

    Kweli jua kali mheshimiwa duuh 😂😂

  • @mselemsalim1986
    @mselemsalim1986 4 роки тому

    Axnt Mh.rais wanqu nakupenda xn!

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 4 роки тому

    Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna

  • @davidmartin5197
    @davidmartin5197 4 роки тому +10

    Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto

    • @hopesefue1562
      @hopesefue1562 4 роки тому +1

      Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani

    • @amiryhassan7143
      @amiryhassan7143 4 роки тому

      David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto

  • @lindahwazir7209
    @lindahwazir7209 4 роки тому +1

    Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.

  • @fransymwasubira.2903
    @fransymwasubira.2903 4 роки тому +7

    Kweli wanyonge tumepata mtetezi

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 4 роки тому

    Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏

  • @henrykishiwa6755
    @henrykishiwa6755 4 роки тому +2

    Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe

  • @kebumtanza5119
    @kebumtanza5119 4 роки тому +8

    Nouma Sanaaaaa

  • @magdalinangussa8643
    @magdalinangussa8643 4 роки тому +1

    Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote

  • @uswizinyanginywa2498
    @uswizinyanginywa2498 4 роки тому +7

    Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee

  • @FumorliongEagles-sl6mj
    @FumorliongEagles-sl6mj Місяць тому

    Good. Jp

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 4 роки тому +3

    This is Magufuli

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam4029 4 роки тому +4

    Mimi sarangee hahaha hahahaha

  • @user-je7jj1vi2u
    @user-je7jj1vi2u 3 роки тому

    😗from 🇧🇮

  • @ibrasound4943
    @ibrasound4943 4 роки тому

    Njoo na kilosa Mh Rais wetu

  • @laumbwana2681
    @laumbwana2681 4 роки тому +3

    Unaacha kusema nashida namtaji unasema Mimi sarange wewe kweli zoba

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +2

    Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom

  • @BontamLee
    @BontamLee 4 роки тому

    Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.

  • @maidamwaipopo7645
    @maidamwaipopo7645 4 роки тому

    Mweshimiwa vitambulisho imekuwa diri sasa ukiwa huna hella upati wanakuzungusha ulete chet vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wengine tulivyo zaliwa wazazi wetu walisha kufa sasa vyeti tuta pata wapi?

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 4 роки тому

    Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 4 роки тому +1

    Kweli atutambata kama wew

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 4 роки тому

    Makao makuu dodoma nida ni shida nani makao makuu .tusaidie raisi wetu

  • @Yi-05
    @Yi-05 4 роки тому +1

    Dah mzee kavalia gwanda kabisa nomaaaa....

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 роки тому

      Hahahhha ndo amiri jeshi mkuuu hiloo ndo vaz thabit kwake

    • @eliceshirima1740
      @eliceshirima1740 4 роки тому

      Yassini Rabhu limem fit .

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 4 роки тому +1

    Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker

  • @frankmussa195
    @frankmussa195 4 роки тому

    Ubarikiwe.raisi.wetu

  • @rajmatola8611
    @rajmatola8611 4 роки тому +1

    Magu raisi wa wanyonge piga kazi babaangu 2ko nyumayako

  • @allynuhumuina5921
    @allynuhumuina5921 4 роки тому

    Angesema nnashida na mtaj il nfanje biashara rais
    Hana bahat acha apg debe kwanz

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 4 роки тому

    Mpumbavu 1 huyu kwel unashindwa kusema mm muheshimiwa naomba unisaidie mtaji aiseee watu wengin bhn mjinga sana huyu