UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...
RAIS Magufuli leo Oktoba 18, amekabidhi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, nyumba ambayo imejengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria..
Aidha Rais Magufuli ametembelea Ujenzi wa nyumba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, ambapo amekiri kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa nyumba hiyo..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Leo ndo nimeamini kuwa magufuri siyo mnafiki angekuwa mwingine angesubiri mwinyi na JK wafe ndo aanze kuwasifu na kujifanya kuwajengea nyumba Mungu akubariki JPM kWa huo moyo
Hiyo sio yeye bali ni kwa mujibu wa sheria na ni lazima ifanyike hvyo kwa baba wa taifa si alijengewa akiwa hai..
HV nyie watu MNA akili kweli HV mwinyi na Kikwete ni maskin kias cha kujengewa nyumba, Rais wetu si rais Wa wanyonge HV inakuaje watu waliopatwa na maafa Kagera hawana hata kwa kulala tena watu walichanga wanalala kwenye mahema halafu useme marais wastaafu ambao asilimia 100 wana uwezo
Mmmmh
@@lirastanley390 mhuu kwa nin mkapa hakumjengea mwinyi na kikwete hakuwajengea mwinyi,mkapa kwani wakati huo sheria haikuwepo si na yeye JPM angekausha tu akajifanya haoni kumbe anaona bas tuseme tu ya kwamba JPM ni mzee wa sheria hapindishi pindishi mambo
@@christinamalime2175kwa mujibu wa sheria
Ni sahihi sana kuwajengea Marais wastaafu nyumba nzuri. Lazima kurudisha shukrani. Hongera!
Si wajenge wenyewe mishahara si wanapewa
Kawajengea kwa hela zake au hela za Serikali ?
Kwani wanafanya kazi ya uraisi bure? Si tunawalipa? Basi wajengee hela za mishahara yao
Waaaau, President Magufuli knows in-out what's is happening underground, that's great supervision , keep it up Sir....from Kenya.
What happened here , I love Tanzania but dont speak swahili from Drcongo living in Usa
Xxx
Xxx
HE magufuri Arifanya kazi muzuri mijyi sana kumucaguwa nimuzuru sana kwa TZ nakwa Duniya yote muzima mumucaguwe kwawejyi sana iko mutu yawatu amen amen
Angelikua Hana pa kukaa ange kaa wap
Si mpaka ningelimpeleka chato akaishi huko.
Salut kwako Dr magufuli
Duuuuu,,,, acha wanyonge tuendeleee kusota na maisha yetu magumu
Nchi zote zinafanya hivyo rais anastaafu lakini bado anaendelea kutumikia nchi, marekani pia wanamjengea rais
Kula Kwa urefu wa kamba yako usitamani vitu vilivyo nje ya uwezo wako sasa wewe ulitaka rais aishi kama wewe kama jinsi mungu alivyotuumba hatufanani na maisha hivyohivyo
@@eischerschwederm7876 hakuna hiyo acheni uongo
We acha tu , ttzo nilichogundua kinachotukwamisha africa ni ubinafsi yaan mtu anataka amiliki kila kitu
@@prettyh7509 you are right, amiliki kwa anacholipiwa mshahara na mitkas zake siyo hivyo. wanasema eti sheria iliwekwa na mkapa mwaka 1999, ushenzi tu. Kwa taarifa yake ndugu hapo juu, hakuna raisi marekani uunigereza ufaransa, na nchi nyingi tu africa anayejengewa nyumba baada ya kustaafu hakuna, tunatumia hizo ncchi kama vigezo ndio maana nimetoa huo mfano, hakuna, obama alinunua clinton, the bushes matajiri tu, wanajinunulia nyumba wenyewe wakitaka siyo and never serikali, halafu nyuumba zenyewe sasa, hata wakizigawa size mara tatu basi wapewe mawaziri wakuu na mamakamu wa kwanza wa raisi. uroho mtupu
Magufuli ni kiboko, amemaliza kiporo alichokiacha Kikwete(Nyumba ya mstaafu Mwinyi). Sasa anashughulika na ya Kikwete. Magufuli is a serious performer.
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
🎉
Fact
Mimi nakuunga mkono msh raisi, viongozi wetu kwa ngazi ya maraisi ni muhimu kupewa makazi Kama shukrani kwa sababu wamevumilia mengi kazi ya uraisi ni ngumu saaana, msipowajengea watakuwa wanafikiria njia nyingine hata mm ningeifikiria.Nakupongeza jpm.
Dah mwenye nacho atazidi kuongezewa
kwani leo ndio unajua
Ama kweli watu wanaumwa mpak wanaomba michango Kwa wananchi wa kawaida lakin wao wanasamili kujijengea nyumba kuliko kujali utu duuh dunia mapito
@@catherinejumanne9378 hiyo ipo kisheria wewe
Tunaomba hiyo sheria ifanyike kwa sekta zote please, watu wengi wakistaafu wanatumia pesa za kiinua mgongo kujenga nyumba wanakosa hata hela ya kula, jengeni nyumba nyingi kabidhini wafanyakazi za bure, najua utawezekana huko mbeleni Tanzania tunapesaaa hongera Rais wetu John Pombe Magufuli mitano tena
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Na waalim pia
Dah! Mzee kwenye kipindi hiki Cha kampeni amekuwa mpole sana aise zingekuwa siku za nyuma wangekunya hapo.
Eeeeeeeeh mbavu zangu jamani
😂
😂😂😂
😄😄😄😃😃😃😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baada ya dhiki faraja alishamalizana na mafisadi acha ale pozz
Ni vyema kumtetea mfalme vizuri kuongoza inchi sio mchezo hawa watu wanafanya kazi ngumu ya uongozi.msiongee vibaya sarpoti Raise kwa hilo. namuombea hata miaka ishirini uongose Tanzania .huko vizuri Raise wetu unatengeneza TZ Ijayo yenya nguvu .Mungu fungue Wa Tz macho waone Maisha mazuri ya mbeleni unaye watengenezea..
Hongera sana JPM kwa kuonesha upendo wa dhati kwa Rais mstaafu Kikwete.
Sawa mkuuu tunakukubali
Baba yetu hivi kweli umetuachaa ninalia sana Mimi mnyonge kabisaaa
Unajiita mnyonge wakat unamiliki smartphone na unauwezo wa kuweka bando pumbav
@@sanimoclassic1917 pumbavu mama mwenyewe huna adab kwani kumiliki smart phone inakuhusu nini kwenda zako limbukeni wew
Mzee wetu yuko vizuri maana naona anawatambua waliomtangulia Mwenye Mungu akupe hekima na maarifa.
Good job
Mungu iweke roho ya JPM mahali pema peponi. Wenye husda na wale walilomtakia mabaya Mungu huyo huyo akabiliane nao Amen.
Mnao kosoa eleweni JPM anatimiza wajibu wa sheria. Usiangalie wastaafu walifanya nii. kuwa rais haina maana kuwa utaenda kwa kila nyumba ya maskini na kuwajengea Au kumaliza ufukara nchini. Hata hapa USA maskini wako wengi uwezi amini!! Muunge mkono rais wko he is trying his best bana!! 🇺🇸🙌🏽🇹🇿😍
Uh haingii akiliniii nishidaaa
Hata niongozwe kwa mtindo wa mtutu kini kiukweli siwezi kuruhusu nchi hii iongozwe na muunga mkono ishu za ushost..👌👌 Mm ni kidume ntaendelea kula burudani tuliyoachiwa specifically na Mungu tu(wanawake). SO ITS JPM 5 AGAIN.
Duh mzee magu uko vizuri mpaka bei yatofali inajua
Chezeaa magufuli wew mpk bay ya tofali ya kitaa
Jamani muogopeni mungu kuna vikongwe na mayatima huku jini njaa tupu tunakula mlo mmoja ukipata wa pili unashukuru mungu
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Daa pamoja na kuiba hela za watanzania bado tu mnajengeana nyumba here emungu saidia
Hahahahaha umenichekesha sana
Masikini hatuna letu duniani
Unafikiri za wizi zinabaraka hazina kabisa.@Luhende Paulo
We baki na vumbi lako we namba yako ya mwisho...labda mwanao ana weza nae kuja kuwa mwizi uta nufaika..
@@maryr4033 ingekuwa hazina baraka Mungu ange waletea mafuriko ili zi zame hizo nyumba ama ziungue lakin nyumba zetu maskini ndo kila siku zina jikuta kwenye mitihani
Daah kuna watu hapa roho zinatuuuma 😁😁😁 ,pw haina noma mwenye nacho anaongezewa yaan hilo jengo lote daah inauma mjue 😁😁watu tunapigika mnaongezeana majengo
Love Tanzania!
Daaaa kweli mwenye nacho uongezewe asie kuwa nacho unyanganywa hata kile kidogo alicho okoteza raisi wawa nyonge😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤮🤮 wanyonge mpooooooo
Tukimbilie wapi sasa tupo tuu
tokea awamu hii wanyonge sote tumekua matajiri tunaishi kama raisi wetu na group yake .hii ndio tanzania hii ndio africa
Jpm je wewe huna mtoto wa kurisi vyeo .maana watoto wa wakala hoi hawawezi na hatapewa nafasi
Jamani leo ndionimejua mm nimchawi wanapewatena majumba roho imeniuma kweli watu wanakufa natetemeko mafuriko nyie mnapeana mungu afanye kitu kwakweli😥😥😪
Hahahaha!!
Mwenyezi Mungu anawaona eti uyu ndiye rais wa wawanyonge wanyonge wanakosa hata ela ya kula wao wanagawana km nchi yao
Kweli uzembe kweli wafanye kazi
Mungu bariki wanyonge
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI
A president who knows his country and how his people play games
Hapo baba umemwaga maji bahari ni haadi zetu za milioni hamsini ziko wapi
Kwani magu babayako
Hayo yanafanyika kwa mjibu wa katiba hata wewe siku ukiwa raisi utajengewa hahaaaa
Tunataka mil 50
@@mkiryamadebe7678 tafuta za kwako km nirahisi
@@neemamwangosi2043 🤣🤣🤣🤣🤣 hatare Sana anataka za kupewa huyo dadaangu
Big love ❤️
Duuuh maisha yanabadilika leo jk mpole kama hakuwaga boss wa magu .......duuuuuuh
Madaraka
Hamna anamtii kwa vile Rais...madaraka ni kupokezana
Eee alijisihau acha Magu amuonyeshe anachojua
Kabla ya kuwa raisi alikuwa anakaa wapi?
Mbona mzee Mkapa amejengewa mwazo kuliko Mwinyi?
Huyo Kikwete lile hekalu chalinze halimtoshi?
Hiyo ni shukurani kwa kutuletea jpm maana bila wewe tusinge mpata jpm. Japo ni utaratibu wa kukengewa maraisi
Hata hivyo ni logic kuwapa nyumba itapunguza tamaa ya kuiba mali za umma, Rais anaweza kuiba trillions..so nyumba ni kitu kidogo
Hatutaki tena kuendelea kuwa wanyonge kiasi hiki Kama mtu Kama huyu anauhakika wamaisha nabado anafanyiwa haya wewe unawaza nini, KUNA WATANZANIA WANAFANYA KAZI WANAKATWA KODI, WANAKATWA NSSF ILA WAKIACHA KAZI HAWALIPWI NSSF ZAO KWAWAKATI, KWAKWELI NAHISI KITEFUTEFU
Kikwete anasema "utatusaidia sana "
Very humble Man
JPM apew PONGEZI qkwel anajitoa na kupamban xan👏👏👏
Hongera kwa kazi nzuri Mkuu🙋👍
Hii sheria ya kuwajengea Rais wastahafu nyumba, inabidi iangaliwe vizuri; kuna mahali itafika isitekelezeke.
Ushauri ingekuwa kuwapa mikopo ya ujenzi wakati wakiwa madarakani, hiyo ingetekelezeka zaidi kuliko ilivyo sasa.
Nyumba ya Baba wa Taifa ilikuwa zawadi hapakuwa na sheria.
Kwa hiyo iangaliwe upya isije ikawa mzigo mkubwa kwa Taifa.
Yan huyu mzee ana chezea pesa zetu sana ina maana hawa marais hawana uwezo wa kujenga nyumba kwa pesa zao mbona munatuchezea sana
Unachangia pesa gani kwenye nchi wewe? Uongozi wa nchi ni kazi ngumu kwa hiyo sheria iliweka hilo kuthamini mchango wake kwa Taifa
G nyamsenda dunia ndivyo ilivyo anasema hela zake bill hata aibu
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@@isaachayes9783 kwel kaka wastaafu wanateseka sana hawamu hii ili mtu mjinga asie jielewa hawez elewa
@@georgenyamsenda217 haha kwan wwe huchangii kodi yyte kwenye hii nchi???
Watu wana roho mbaya sana wanaumia na nyumba ya Kikwete kule msoga ni kwa baba yake sio kwake hapo ndio kwake sasa kwa mujibu wa sheria.
Roho mbaya sana hawana jema oh kikwete tumekumiss leo kuona nyumba roho zinawatoka
@@ibel4lfumeonaeee roho za watu weusi hizo tunachukiana wenyewe kwa wenyewe kwani nyumba kitu gani wanaona kapata
Xheria ya kixenge hii
@@mwanajumaomahundumla6504 wabongo tuna roho nyeusi km ngozi zetu zilivyo,mzee magu yupo sahihi kabisaa wala hajakosea
Ni kweli watz ndiyo tulivo
Wanapeana tu Dah!
Kua raisi na wewe upewe.
Ndio maana watu wana lilia ikuru😂😂😂😂😂ikuru oyeeee
Hii ni kufanya marias wasiwe wezi pia, tais anaweza kuuza nchi..hii inapunguza tamaa yabkuiba hela
iyo ni ritaya meti au sawadi wacha kiburi wewe
Kama ni sheria bas sipati picha LISU atavo mjengea magufuli 😄😄😄😂😂😂 cjui itakua gorofa au nyumba ilio na vyumba kama shule
Haipo hyo lissu hafik ikulu
Mpe urais nyumbani kwako
Hahaha
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣😂
Kweli nyongeza huja juu ya fungu
hahahah nimeipenda hii
Hata maandiko yamesema
Swadakta
Mungu humuongezea mwenye nacho . Na humnyima asie nacho .
Hhhhhh kazi kweli kweli huyu mtu kiumbe weee acha tu, Magu ww noma.
Mashalllah magufuli nampenda sana
Excellent huku nikuwasifia na kutambua mchango wao angali wapo hai sio tusubiri wafe ndo tuanze kutoa sifa,good sign for better Africa
Ama kweli mzee Bilali wa Tabora enzi ya kupigania uhuru na hayati mzee Nyerere nyumba yake mbovu kwanini serikali isimsaidie mzee Bilali
Mzee halfan kikwete baba wa jakaya pia alipigania Uhuru na nyerere alimpa ukatibu mkuu wa wizara baada tu ya uhuru
Kaka mwenye macho ndie anaemurikiwa .......au hujui hilo✍️✍️✍️
Wanagawana keki ya taifa dada acha wagawane ila siku tukianza kuwagawana wao sijui kama watatutosha ila wakati ni sasa kapige kura linda kura yako😡😡
Huyo ni rais msitaafu ng'ombe wewe??
@@giitidaniel3471 sasa wakistaafu mpaka wajengewe? Mapesa mangapi wameiba? Wana majumba kila corner . Basi tu
Asante magufuliii
Tanzania forward
safi sana JPM,wakumbukeni na wanajeshi waliostaafu chini ya miaka ya 90,japo walipigna vita wana maisha magumu sana
Much love
Mzee Jk is very honest and fair .
Safi sana our Presidents 🙏🏽
Nahisi 10 haitoshi kwahuyu shujaa
Mungu atamlipa naimani nay.
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Magufuli umefanya wajibu wako kwa mujibu wa sheria watangulizi wako walifanya hivyo pia watu wataongea sana tena na kampeni hizi loh!! ukweli utakuweka huru umetimiza wajibu wako ukifuata sheria kama walivyofanya Kikwete serikali yake kumjengea Mkapa na serikali ya Mkapa kumjengea Nyerere wastaafu wetu wanastahili hii heshima
Msije mkasahau kumujengea mwalimu nyerere tafadharini sana
Hivi nyie wananchi mnadhani mtu mwenye level ya Rais anakaa sehemu za hovyohovyo?
We sio mwananchi?
Aibu sana kwasababuakili yake ilikua imelala kizembe hadi Tingatinga limeamua toa msaada 😁😁😁😁😁
Yaani mie hata siwaelewi ni haki yao sio level zetu hiyo angalia hata kwenye vitabu vya dini wafalme
Mhhh!
Kila mtu ale urefu wa kamba yake
Wakumbukeni na mayatima pamoja na watu wasio jiweza
Tuanze na wewe kwanza, ulishawakumbuka wangapi?
@@mandwashija4992 Nataka nianze na ww 🤣🤣🤣
@@mandwashija4992 Safi saana maana Binadamu tupo wengi rohoo mbaya hajui hii Ni Sheria kwa kiongozi mkuu aliemuongoza
@@mandwashija4992 😂😂😂hakikaaa
Apewae ndoo aongezwayee 🙄
Mkuu,kweli unawajali watangulizi wako.Naamini nawe hakuna atakaye kutupa kwa moyo wako.Hakika nakuombea mema salama mhe Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli. Ww Rais wa kweli hapa Tanzania yetu papaa
Safi sana JPM JPM
Wewe mzee wangu MAGUFULI ni zaidi ya RAIS
Mashahara wake alikuwa anafanyia nn hii magufuli haijanifurahisha kwa kweli masikini kibao hawana sehemu za kulala vizuri
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Daaaaaah tutaishia kuzunguka na vyeti mkononi wengine huku wanaongezewa hifadhi.
Jamani ss wanyonge hatuna pakukaa jaribuni kuwafikiria na maskini hawana maisha nyinyi mna tumia vzri haya ahsanteni
Mwenye nacho uongezewa
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Kikwete rahasana. Roho nzuri mpaka azeeki. Safi
Waouuh Tanzania. Sheria nzuri sana hiyo ya kuwajengea ma raisi waastafu. Pia Magufuli alikuwa mtu mwema sana. Mema haya ozi .
RAISI MAGUFULI ASANTE SANA...UMEMJENGEA WAKATI WAKO RAISI MSTAAFU MWINYI,RAISI MSTAAFU KIKWETE,,,ASANTE KWA UTENDAJI WAKO
Kwani hawana nyumba wao??
Kikwete na mwinyi kweli ni wa kujengewa nyumba na UTAJIRI WOTE WALIOUCHOTA MIAKA KENDA RUDI WAKIWA KTK SIASA??
HII NI KASHIFA KUBWA KWA NCHI...na waTz hawana makazi, ccm wanaitafuna nchi, kweupe eee! Sawa yanamwisho!
George Maji sheria ilipitishwa na bunge yy anaitekeleza waliopitisha waliona inafaa
Ww baba nakupenda basi tu
Sasa kwani mngefanya kwa siri, kwanini mnaweka hadharani, kumbuka wengine nyumba zetu zimeenda namaji, kumbepesa zipo eheee, alafu muheshimiwa ungesubiri uchaguzi upite kwanza
Jpm rest in peace 🕊️
Anaaga vizurii mzee wanguu,wakqbidhii na wew lisu atakuaja kukukabidhi ya kwako kama ni sheria.
Lisu hawezi kuruhusu udisasi huu
@@colinmhema530 huu ujinga lisu hawez kuusapoti
Mungu akubariki Mh. Rais
Hii miradi wangekabidhiwa jeshi JKT hii nyumba ingekuwa imekwisha siku nyingi
Baadae ingeanza kubomoka
@@Munyama675 kwann mnatukama jkt ni kweli wanapiga kazi na nidhamu ipo juu wawapo kazin
@@lirastanley390 aaah ok
@@lirastanley390 kama ipi maana hata ikulu imekaguliwa kwa standard za kimataifa
Kuchezea pesa tu wallahi daaa hii serikali ina mambo ya ovyo sanaa
Roho mbaya tu ungekuwa wewe ndo unajengewa ungekenua meno
wa hovyo n ww uliyejaa wivu
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
We mwenywe wa ovyo
💯👏
Sisi uku tunaishi maisha magumu Sana jamn lakn kwanini mnatukosha hivi nyie watu........tutaonana trh 28 mzee baba
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun (hapa ndipo ninapoamini kuwa lolote lenye kumpata mtu halikuwa ni lenye kumkosa na lenye kumkosa halikuwa ni lenye kumpata
Katiba ya Tanzania inatoa mamlaka ya kipuuzi sana,, kunahitajika mabadiliko makubwa ya kisheria aisee dah hii mijitu mijiizi mitupu.. Huyu bishoo kapiga Richmond magufool kapiga kwenye vitambulisho na mirad isiyopitishwa bungeni yaani ni ujinga ujinga tu..✌️✌️
mashaallah kila lakher
hahaha magu kwa utani,et angekuwa hana kwa kukaa tungempeleka chato hahahaha
Jembe mzeee piga kazi
Inamaana miaka kumi ya uwazir na miaka kumi ya urais alikua hajajenga mpaka ajengewe? Jamani kama raisi alishindwa kujenga nyumba yake ya kuishi vipi mwananchi wa kawaida?
Nawee unAmin hiloo ndugu
@@stewardjacob1945 mm siamini huyo jamaa ni bilionea anauwezo wa kujijengea mwenyewe
The rich also cry....
Hapa kazi tu
Business as usually ndugu zangu, tuchape kazi :))
HAPA RAISI WETU UMEFANYA HILI TUKIO WAKATI SIO MUAFAKA MTAWAPA WAPAYUKAJI HOJA YA KUONGEA
Wapayuke tu tushawazoea
Hivi nyie watu ,mnajua Magu ni rais hadi muda huu,na yale ni majukumu yake ya kikazi .
Tushawazoea hawana jema
"Tar 30 January 2021 atamkabidhi akiwa anatokea nyumbani kwake chato sio ikulu dodoma."
@@yenibirdunya92 mawazo chechefu
Mungu, akulinde, jpm, kwakaziunayofanya
Ndio maana unambembeleza ili akupigie kampeni. Sasa ni maji ya shingo mbona wengine huwafanyi hivyo sasa ni maji ya shingo hupati kitu mnamatumizi mabaya
Acha ujinga hiyoo ni Sheria ya nchi rais akistaafu anapewa nyumba, gari, na ulinzi
Kazi ilishakwisha bro, JPM mitano tena, wamepiga kampeni za kisomi.
@@josehkasuru7244 mmezoe miaka hiyo sasa siyo zamani tusiishi kwa mazoea
Fatilia historia wote wamepewa nyumba sema labda wakati huo smartphone hazikuwa nyingi km Sasa.
Jamani kampeni kumenogaaa
La-la salama BABA MUNGU akupe pumuziko laamani
Hawa ndio wanaoitafuna nchi...nfo maana wapo tayari kwa yote...HATA KWA KUUA NA KUIBA, wabaki madarakani.
Hawa ndio wanaitafuna nchi!
Acha ujinga huyu ni rais mstaafu
@@ugulumsaid2850
Nyerere alijengewa na Jeshi kwa sababu mzee wa watu ALIKUWA NI RAIS MASIKINI...HAKUJILIMBIKIZIA MALI..HAKUJENGA MAGOROFA BUTIHAMA...ALISTAAFU AKARUFI HOME KULIMA. Nyerere ni MJAMAA HALISI!
Mkaba, Kikwete, Mwinyi, hawajajenga kwao hadi wajengewe na pesa za walala hoi??
Kikwete na Mwinyi wananyumba makwao....hii ni nini kuendelea kulitafuna taifa masikini bila kikomo?
Pesa zao za mafao kama rais mstaafu zinafanya nini??? CCM MSITUFANYE WAJINGA WEZI NA MAJIZI YA KUTUPA NINYI....mwisho wenu umefika!
Takataka!
@@georgemaji7915 daaah inaboa kichiz
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
Safi sana
Eti nilipopanga mheshimiwa msimdanganye muumba
Alisema ametania tu boss.
Matumizi mabaya ya fedha.
Fedha ipi ya ccm au unafikili kila fedha ni ya serikali au unafikili ccm kama cdm hkina mipango na miradi
Hiyo ni sheria ndio inaeleza hivyo sio maelekezo ya Rais
Matumizi yako mazuri yako wapi ,wakati hiyo n sheria
Chuki tu.
Kweli kabisa
Pesa zote Mulizo Piga Richmond Mulishindwa kujenga Nyumba zenu binafsii....mpaka Sasa......😁
Muwe mnasikiliza kwa makini,, inajengwa kwa mujibu wa SHERIA. Raisi yoyote nchini akishatoka madarakani lazima Serikali imjengee nyumba hii ni kwa mujibu wa sheria na haijalishi una nyumba ngapi au maghorofa mangapi unayomiliki mjini.
Sheria namba moja ya raisi usitangaze mali zako
Mie sio Rais namiliki nyumba mbili ww Rais unataka urahisi chefuu kweli Tanzania
Kule Soga nyumba ya nani
Kapanga kashasema 😂😂
@@abdallahramadhani860 haya yote majiz tuu mnajitungia sheria mjinufaishe Wennyew
@@abdallahramadhani860 wewe ndiye mpangishaji wake
Kuleni tu Ela za wajinga ndyo maana sikuwai kufikiri kumpigia mtu kura
@@thegreatboss2482 ni bunge liliopitisha hiyo sheria..hivyo ukitaka madiliko pitishia bungeni
🤣🤣🤣🤣 walionacho ndio waongezewao , pesa za walipa kodi 👐🏃♂️
Na dhamana walioibeba kwa Taifa c ndogo
@@aludomakori4230 dhamana ipi ile ni kazi km kazi unayofanya ww , au ajayofanya mtu yoyote ifike.mahali wawurumie watu wa hari ya chini hao wote ni matajiri kupita maelezo watuhurumie na hasa watt wenye uhitaji na wazee na walemavu kuwapa makazi bora sio kujiongezea wao na familia zao 😭😭
INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.
@@isaachayes9783 kwa kweli mtihani, watu wanaishi mabondeni wanashindwa hata kuwajenge japo vyumba 2 hili waondoke sehemu hatarishi lakini wapi wanajengea vizazi vyao hudhuni kwa kweli, watu wanaishi kwa maumivu wao wakifa familia zao azitetereki 😭😭 so sad
Safimkuu