UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI - "HII Sio ya HISANI, ni SHERIA"...
    RAIS Magufuli leo Oktoba 18, amekabidhi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, nyumba ambayo imejengwa na serikali kwa mujibu wa Sheria..
    Aidha Rais Magufuli ametembelea Ujenzi wa nyumba ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, ambapo amekiri kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa nyumba hiyo..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 789

  • @jacobmark5140
    @jacobmark5140 3 роки тому +98

    Leo ndo nimeamini kuwa magufuri siyo mnafiki angekuwa mwingine angesubiri mwinyi na JK wafe ndo aanze kuwasifu na kujifanya kuwajengea nyumba Mungu akubariki JPM kWa huo moyo

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 роки тому +3

      Hiyo sio yeye bali ni kwa mujibu wa sheria na ni lazima ifanyike hvyo kwa baba wa taifa si alijengewa akiwa hai..

    • @davidsimtaji8192
      @davidsimtaji8192 3 роки тому +6

      HV nyie watu MNA akili kweli HV mwinyi na Kikwete ni maskin kias cha kujengewa nyumba, Rais wetu si rais Wa wanyonge HV inakuaje watu waliopatwa na maafa Kagera hawana hata kwa kulala tena watu walichanga wanalala kwenye mahema halafu useme marais wastaafu ambao asilimia 100 wana uwezo

    • @christinamalime2175
      @christinamalime2175 3 роки тому

      Mmmmh

    • @jacobmark5140
      @jacobmark5140 3 роки тому +5

      @@lirastanley390 mhuu kwa nin mkapa hakumjengea mwinyi na kikwete hakuwajengea mwinyi,mkapa kwani wakati huo sheria haikuwepo si na yeye JPM angekausha tu akajifanya haoni kumbe anaona bas tuseme tu ya kwamba JPM ni mzee wa sheria hapindishi pindishi mambo

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 3 роки тому

      @@christinamalime2175kwa mujibu wa sheria

  • @gasparchipeta1526
    @gasparchipeta1526 3 роки тому +60

    Ni sahihi sana kuwajengea Marais wastaafu nyumba nzuri. Lazima kurudisha shukrani. Hongera!

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 3 роки тому +1

      Si wajenge wenyewe mishahara si wanapewa

    • @simbashakur1644
      @simbashakur1644 3 роки тому

      Kawajengea kwa hela zake au hela za Serikali ?

    • @gibsonkabusola6923
      @gibsonkabusola6923 3 роки тому

      Kwani wanafanya kazi ya uraisi bure? Si tunawalipa? Basi wajengee hela za mishahara yao

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 роки тому +12

    Waaaau, President Magufuli knows in-out what's is happening underground, that's great supervision , keep it up Sir....from Kenya.

  • @majyamberesilas9117
    @majyamberesilas9117 3 роки тому +3

    HE magufuri Arifanya kazi muzuri mijyi sana kumucaguwa nimuzuru sana kwa TZ nakwa Duniya yote muzima mumucaguwe kwawejyi sana iko mutu yawatu amen amen

  • @costantinemihayo
    @costantinemihayo 3 роки тому +8

    Angelikua Hana pa kukaa ange kaa wap
    Si mpaka ningelimpeleka chato akaishi huko.
    Salut kwako Dr magufuli

  • @abeliisaya4680
    @abeliisaya4680 3 роки тому +49

    Duuuuu,,,, acha wanyonge tuendeleee kusota na maisha yetu magumu

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 роки тому +4

      Nchi zote zinafanya hivyo rais anastaafu lakini bado anaendelea kutumikia nchi, marekani pia wanamjengea rais

    • @saidbakari7476
      @saidbakari7476 3 роки тому +8

      Kula Kwa urefu wa kamba yako usitamani vitu vilivyo nje ya uwezo wako sasa wewe ulitaka rais aishi kama wewe kama jinsi mungu alivyotuumba hatufanani na maisha hivyohivyo

    • @samasob8233
      @samasob8233 3 роки тому +1

      @@eischerschwederm7876 hakuna hiyo acheni uongo

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 3 роки тому +2

      We acha tu , ttzo nilichogundua kinachotukwamisha africa ni ubinafsi yaan mtu anataka amiliki kila kitu

    • @samasob8233
      @samasob8233 3 роки тому

      @@prettyh7509 you are right, amiliki kwa anacholipiwa mshahara na mitkas zake siyo hivyo. wanasema eti sheria iliwekwa na mkapa mwaka 1999, ushenzi tu. Kwa taarifa yake ndugu hapo juu, hakuna raisi marekani uunigereza ufaransa, na nchi nyingi tu africa anayejengewa nyumba baada ya kustaafu hakuna, tunatumia hizo ncchi kama vigezo ndio maana nimetoa huo mfano, hakuna, obama alinunua clinton, the bushes matajiri tu, wanajinunulia nyumba wenyewe wakitaka siyo and never serikali, halafu nyuumba zenyewe sasa, hata wakizigawa size mara tatu basi wapewe mawaziri wakuu na mamakamu wa kwanza wa raisi. uroho mtupu

  • @kiatu
    @kiatu 3 роки тому +4

    Magufuli ni kiboko, amemaliza kiporo alichokiacha Kikwete(Nyumba ya mstaafu Mwinyi). Sasa anashughulika na ya Kikwete. Magufuli is a serious performer.

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 роки тому +4

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @subirangoleka6572
    @subirangoleka6572 3 роки тому +1

    Mimi nakuunga mkono msh raisi, viongozi wetu kwa ngazi ya maraisi ni muhimu kupewa makazi Kama shukrani kwa sababu wamevumilia mengi kazi ya uraisi ni ngumu saaana, msipowajengea watakuwa wanafikiria njia nyingine hata mm ningeifikiria.Nakupongeza jpm.

  • @samigothe-chemist9375
    @samigothe-chemist9375 3 роки тому +51

    Dah mwenye nacho atazidi kuongezewa

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 3 роки тому

      kwani leo ndio unajua

    • @catherinejumanne9378
      @catherinejumanne9378 3 роки тому

      Ama kweli watu wanaumwa mpak wanaomba michango Kwa wananchi wa kawaida lakin wao wanasamili kujijengea nyumba kuliko kujali utu duuh dunia mapito

    • @fx-farm6888
      @fx-farm6888 3 роки тому

      @@catherinejumanne9378 hiyo ipo kisheria wewe

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 3 роки тому +4

    Tunaomba hiyo sheria ifanyike kwa sekta zote please, watu wengi wakistaafu wanatumia pesa za kiinua mgongo kujenga nyumba wanakosa hata hela ya kula, jengeni nyumba nyingi kabidhini wafanyakazi za bure, najua utawezekana huko mbeleni Tanzania tunapesaaa hongera Rais wetu John Pombe Magufuli mitano tena

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

    • @fatmaothman5627
      @fatmaothman5627 3 роки тому

      Na waalim pia

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 роки тому +32

    Dah! Mzee kwenye kipindi hiki Cha kampeni amekuwa mpole sana aise zingekuwa siku za nyuma wangekunya hapo.

  • @pasilsalusala3917
    @pasilsalusala3917 3 роки тому +3

    Ni vyema kumtetea mfalme vizuri kuongoza inchi sio mchezo hawa watu wanafanya kazi ngumu ya uongozi.msiongee vibaya sarpoti Raise kwa hilo. namuombea hata miaka ishirini uongose Tanzania .huko vizuri Raise wetu unatengeneza TZ Ijayo yenya nguvu .Mungu fungue Wa Tz macho waone Maisha mazuri ya mbeleni unaye watengenezea..

  • @nicksonkorosso1557
    @nicksonkorosso1557 3 роки тому +5

    Hongera sana JPM kwa kuonesha upendo wa dhati kwa Rais mstaafu Kikwete.

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 3 роки тому +12

    Baba yetu hivi kweli umetuachaa ninalia sana Mimi mnyonge kabisaaa

    • @sanimoclassic1917
      @sanimoclassic1917 3 роки тому +1

      Unajiita mnyonge wakat unamiliki smartphone na unauwezo wa kuweka bando pumbav

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 3 роки тому +1

      @@sanimoclassic1917 pumbavu mama mwenyewe huna adab kwani kumiliki smart phone inakuhusu nini kwenda zako limbukeni wew

  • @boazlaizer7161
    @boazlaizer7161 3 роки тому +1

    Mzee wetu yuko vizuri maana naona anawatambua waliomtangulia Mwenye Mungu akupe hekima na maarifa.

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 3 роки тому +3

    Good job

  • @kilalaurio9922
    @kilalaurio9922 3 роки тому +1

    Mungu iweke roho ya JPM mahali pema peponi. Wenye husda na wale walilomtakia mabaya Mungu huyo huyo akabiliane nao Amen.

  • @tabuboone934
    @tabuboone934 3 роки тому +1

    Mnao kosoa eleweni JPM anatimiza wajibu wa sheria. Usiangalie wastaafu walifanya nii. kuwa rais haina maana kuwa utaenda kwa kila nyumba ya maskini na kuwajengea Au kumaliza ufukara nchini. Hata hapa USA maskini wako wengi uwezi amini!! Muunge mkono rais wko he is trying his best bana!! 🇺🇸🙌🏽🇹🇿😍

  • @salumkassim7949
    @salumkassim7949 3 роки тому +20

    Uh haingii akiliniii nishidaaa

  • @kalufunyangenyakinyungu5087
    @kalufunyangenyakinyungu5087 3 роки тому +5

    Hata niongozwe kwa mtindo wa mtutu kini kiukweli siwezi kuruhusu nchi hii iongozwe na muunga mkono ishu za ushost..👌👌 Mm ni kidume ntaendelea kula burudani tuliyoachiwa specifically na Mungu tu(wanawake). SO ITS JPM 5 AGAIN.

  • @abasadmtopa6246
    @abasadmtopa6246 3 роки тому +6

    Duh mzee magu uko vizuri mpaka bei yatofali inajua

  • @asiamuhamed7394
    @asiamuhamed7394 3 роки тому +3

    Jamani muogopeni mungu kuna vikongwe na mayatima huku jini njaa tupu tunakula mlo mmoja ukipata wa pili unashukuru mungu

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @luhendepaulo1468
    @luhendepaulo1468 3 роки тому +29

    Daa pamoja na kuiba hela za watanzania bado tu mnajengeana nyumba here emungu saidia

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 3 роки тому +1

      Hahahahaha umenichekesha sana

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 роки тому +1

      Masikini hatuna letu duniani

    • @maryr4033
      @maryr4033 3 роки тому +1

      Unafikiri za wizi zinabaraka hazina kabisa.@Luhende Paulo

    • @mecksonjoseph7892
      @mecksonjoseph7892 3 роки тому

      We baki na vumbi lako we namba yako ya mwisho...labda mwanao ana weza nae kuja kuwa mwizi uta nufaika..

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 роки тому

      @@maryr4033 ingekuwa hazina baraka Mungu ange waletea mafuriko ili zi zame hizo nyumba ama ziungue lakin nyumba zetu maskini ndo kila siku zina jikuta kwenye mitihani

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 3 роки тому +12

    Daah kuna watu hapa roho zinatuuuma 😁😁😁 ,pw haina noma mwenye nacho anaongezewa yaan hilo jengo lote daah inauma mjue 😁😁watu tunapigika mnaongezeana majengo

  • @diirestraits4881
    @diirestraits4881 3 роки тому +2

    Love Tanzania!

  • @clemencmmassy3924
    @clemencmmassy3924 3 роки тому +8

    Daaaa kweli mwenye nacho uongezewe asie kuwa nacho unyanganywa hata kile kidogo alicho okoteza raisi wawa nyonge😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤮🤮 wanyonge mpooooooo

    • @herrysonk.edward609
      @herrysonk.edward609 3 роки тому

      Tukimbilie wapi sasa tupo tuu

    • @nassormohammed1743
      @nassormohammed1743 3 роки тому

      tokea awamu hii wanyonge sote tumekua matajiri tunaishi kama raisi wetu na group yake .hii ndio tanzania hii ndio africa

    • @naytharykhanny8499
      @naytharykhanny8499 3 роки тому

      Jpm je wewe huna mtoto wa kurisi vyeo .maana watoto wa wakala hoi hawawezi na hatapewa nafasi

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 3 роки тому +2

    Jamani leo ndionimejua mm nimchawi wanapewatena majumba roho imeniuma kweli watu wanakufa natetemeko mafuriko nyie mnapeana mungu afanye kitu kwakweli😥😥😪

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 3 роки тому +1

    Mwenyezi Mungu anawaona eti uyu ndiye rais wa wawanyonge wanyonge wanakosa hata ela ya kula wao wanagawana km nchi yao

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 3 роки тому +9

    Kweli uzembe kweli wafanye kazi

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 3 роки тому +3

    Mungu bariki wanyonge

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI

  • @samops1074
    @samops1074 3 роки тому +2

    A president who knows his country and how his people play games

  • @alfredaloyce6835
    @alfredaloyce6835 3 роки тому +19

    Hapo baba umemwaga maji bahari ni haadi zetu za milioni hamsini ziko wapi

    • @neemamwangosi2043
      @neemamwangosi2043 3 роки тому

      Kwani magu babayako

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 3 роки тому

      Hayo yanafanyika kwa mjibu wa katiba hata wewe siku ukiwa raisi utajengewa hahaaaa

    • @mkiryamadebe7678
      @mkiryamadebe7678 3 роки тому

      Tunataka mil 50

    • @neemamwangosi2043
      @neemamwangosi2043 3 роки тому +1

      @@mkiryamadebe7678 tafuta za kwako km nirahisi

    • @hassanirajabu5453
      @hassanirajabu5453 3 роки тому

      @@neemamwangosi2043 🤣🤣🤣🤣🤣 hatare Sana anataka za kupewa huyo dadaangu

  • @bekososo9778
    @bekososo9778 3 роки тому +2

    Big love ❤️

  • @avand4237
    @avand4237 3 роки тому +12

    Duuuh maisha yanabadilika leo jk mpole kama hakuwaga boss wa magu .......duuuuuuh

  • @mahnalamry
    @mahnalamry 3 роки тому +4

    Kabla ya kuwa raisi alikuwa anakaa wapi?
    Mbona mzee Mkapa amejengewa mwazo kuliko Mwinyi?
    Huyo Kikwete lile hekalu chalinze halimtoshi?

  • @mrdeniskomba2596
    @mrdeniskomba2596 3 роки тому +20

    Hiyo ni shukurani kwa kutuletea jpm maana bila wewe tusinge mpata jpm. Japo ni utaratibu wa kukengewa maraisi

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 роки тому

      Hata hivyo ni logic kuwapa nyumba itapunguza tamaa ya kuiba mali za umma, Rais anaweza kuiba trillions..so nyumba ni kitu kidogo

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 3 роки тому +1

    Hatutaki tena kuendelea kuwa wanyonge kiasi hiki Kama mtu Kama huyu anauhakika wamaisha nabado anafanyiwa haya wewe unawaza nini, KUNA WATANZANIA WANAFANYA KAZI WANAKATWA KODI, WANAKATWA NSSF ILA WAKIACHA KAZI HAWALIPWI NSSF ZAO KWAWAKATI, KWAKWELI NAHISI KITEFUTEFU

  • @peterjohn8405
    @peterjohn8405 3 роки тому +16

    Kikwete anasema "utatusaidia sana "

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 роки тому

      Very humble Man

  • @sadickbakary1197
    @sadickbakary1197 3 роки тому +4

    JPM apew PONGEZI qkwel anajitoa na kupamban xan👏👏👏

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 3 роки тому +1

    Hongera kwa kazi nzuri Mkuu🙋👍

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila8727 3 роки тому +1

    Hii sheria ya kuwajengea Rais wastahafu nyumba, inabidi iangaliwe vizuri; kuna mahali itafika isitekelezeke.
    Ushauri ingekuwa kuwapa mikopo ya ujenzi wakati wakiwa madarakani, hiyo ingetekelezeka zaidi kuliko ilivyo sasa.
    Nyumba ya Baba wa Taifa ilikuwa zawadi hapakuwa na sheria.
    Kwa hiyo iangaliwe upya isije ikawa mzigo mkubwa kwa Taifa.

  • @kamalissabig2429
    @kamalissabig2429 3 роки тому +13

    Yan huyu mzee ana chezea pesa zetu sana ina maana hawa marais hawana uwezo wa kujenga nyumba kwa pesa zao mbona munatuchezea sana

    • @georgenyamsenda217
      @georgenyamsenda217 3 роки тому +1

      Unachangia pesa gani kwenye nchi wewe? Uongozi wa nchi ni kazi ngumu kwa hiyo sheria iliweka hilo kuthamini mchango wake kwa Taifa

    • @utajirihalisi1011
      @utajirihalisi1011 3 роки тому

      G nyamsenda dunia ndivyo ilivyo anasema hela zake bill hata aibu

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

    • @kamalissabig2429
      @kamalissabig2429 3 роки тому

      @@isaachayes9783 kwel kaka wastaafu wanateseka sana hawamu hii ili mtu mjinga asie jielewa hawez elewa

    • @filberthabashi3366
      @filberthabashi3366 3 роки тому

      @@georgenyamsenda217 haha kwan wwe huchangii kodi yyte kwenye hii nchi???

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 роки тому +12

    Watu wana roho mbaya sana wanaumia na nyumba ya Kikwete kule msoga ni kwa baba yake sio kwake hapo ndio kwake sasa kwa mujibu wa sheria.

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 роки тому +4

      Roho mbaya sana hawana jema oh kikwete tumekumiss leo kuona nyumba roho zinawatoka

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 3 роки тому +1

      @@ibel4lfumeonaeee roho za watu weusi hizo tunachukiana wenyewe kwa wenyewe kwani nyumba kitu gani wanaona kapata

    • @hamisrichard1633
      @hamisrichard1633 3 роки тому

      Xheria ya kixenge hii

    • @rahimjuma7293
      @rahimjuma7293 3 роки тому +3

      @@mwanajumaomahundumla6504 wabongo tuna roho nyeusi km ngozi zetu zilivyo,mzee magu yupo sahihi kabisaa wala hajakosea

    • @patsonkasimba7520
      @patsonkasimba7520 3 роки тому +1

      Ni kweli watz ndiyo tulivo

  • @NyumbaniHabariMedia
    @NyumbaniHabariMedia 3 роки тому +7

    Wanapeana tu Dah!

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 3 роки тому +12

    Ndio maana watu wana lilia ikuru😂😂😂😂😂ikuru oyeeee

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 роки тому

      Hii ni kufanya marias wasiwe wezi pia, tais anaweza kuuza nchi..hii inapunguza tamaa yabkuiba hela

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 3 роки тому

      iyo ni ritaya meti au sawadi wacha kiburi wewe

  • @GsmMrsoft
    @GsmMrsoft 3 роки тому +13

    Kama ni sheria bas sipati picha LISU atavo mjengea magufuli 😄😄😄😂😂😂 cjui itakua gorofa au nyumba ilio na vyumba kama shule

  • @allyabdalla4228
    @allyabdalla4228 3 роки тому +24

    Kweli nyongeza huja juu ya fungu

  • @khadijamohd1216
    @khadijamohd1216 3 роки тому +4

    Hhhhhh kazi kweli kweli huyu mtu kiumbe weee acha tu, Magu ww noma.

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 роки тому +3

    Mashalllah magufuli nampenda sana

  • @tinopeter4289
    @tinopeter4289 3 роки тому +2

    Excellent huku nikuwasifia na kutambua mchango wao angali wapo hai sio tusubiri wafe ndo tuanze kutoa sifa,good sign for better Africa

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 роки тому +44

    Ama kweli mzee Bilali wa Tabora enzi ya kupigania uhuru na hayati mzee Nyerere nyumba yake mbovu kwanini serikali isimsaidie mzee Bilali

    • @saidbakari7476
      @saidbakari7476 3 роки тому

      Mzee halfan kikwete baba wa jakaya pia alipigania Uhuru na nyerere alimpa ukatibu mkuu wa wizara baada tu ya uhuru

    • @allyabdalla4228
      @allyabdalla4228 3 роки тому

      Kaka mwenye macho ndie anaemurikiwa .......au hujui hilo✍️✍️✍️

    • @dionsangoa1428
      @dionsangoa1428 3 роки тому +1

      Wanagawana keki ya taifa dada acha wagawane ila siku tukianza kuwagawana wao sijui kama watatutosha ila wakati ni sasa kapige kura linda kura yako😡😡

    • @giitidaniel3471
      @giitidaniel3471 3 роки тому +1

      Huyo ni rais msitaafu ng'ombe wewe??

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 роки тому

      @@giitidaniel3471 sasa wakistaafu mpaka wajengewe? Mapesa mangapi wameiba? Wana majumba kila corner . Basi tu

  • @tusajigwekanemela4784
    @tusajigwekanemela4784 3 роки тому +4

    Asante magufuliii

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 3 роки тому +2

    safi sana JPM,wakumbukeni na wanajeshi waliostaafu chini ya miaka ya 90,japo walipigna vita wana maisha magumu sana

  • @nairatz
    @nairatz 3 роки тому +1

    Much love

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 3 роки тому

    Mzee Jk is very honest and fair .

  • @chrismoyo1222
    @chrismoyo1222 3 роки тому +1

    Safi sana our Presidents 🙏🏽

  • @mehmet-ho8zj
    @mehmet-ho8zj 3 роки тому +2

    Nahisi 10 haitoshi kwahuyu shujaa
    Mungu atamlipa naimani nay.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 роки тому +1

    INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 3 роки тому +2

    Magufuli umefanya wajibu wako kwa mujibu wa sheria watangulizi wako walifanya hivyo pia watu wataongea sana tena na kampeni hizi loh!! ukweli utakuweka huru umetimiza wajibu wako ukifuata sheria kama walivyofanya Kikwete serikali yake kumjengea Mkapa na serikali ya Mkapa kumjengea Nyerere wastaafu wetu wanastahili hii heshima

  • @sandaychacha9754
    @sandaychacha9754 3 роки тому +1

    Msije mkasahau kumujengea mwalimu nyerere tafadharini sana

  • @bazilkisibo5811
    @bazilkisibo5811 3 роки тому +13

    Hivi nyie wananchi mnadhani mtu mwenye level ya Rais anakaa sehemu za hovyohovyo?

    • @goodmorningafrica6409
      @goodmorningafrica6409 3 роки тому

      We sio mwananchi?

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 3 роки тому

      Aibu sana kwasababuakili yake ilikua imelala kizembe hadi Tingatinga limeamua toa msaada 😁😁😁😁😁

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 3 роки тому

      Yaani mie hata siwaelewi ni haki yao sio level zetu hiyo angalia hata kwenye vitabu vya dini wafalme

    • @hamisrichard1633
      @hamisrichard1633 3 роки тому

      Mhhh!

    • @HASASON
      @HASASON 3 роки тому +1

      Kila mtu ale urefu wa kamba yake

  • @davallamchambe5275
    @davallamchambe5275 3 роки тому +42

    Wakumbukeni na mayatima pamoja na watu wasio jiweza

    • @mandwashija4992
      @mandwashija4992 3 роки тому +12

      Tuanze na wewe kwanza, ulishawakumbuka wangapi?

    • @davallamchambe5275
      @davallamchambe5275 3 роки тому +3

      @@mandwashija4992 Nataka nianze na ww 🤣🤣🤣

    • @shedadiabdul6585
      @shedadiabdul6585 3 роки тому +3

      @@mandwashija4992 Safi saana maana Binadamu tupo wengi rohoo mbaya hajui hii Ni Sheria kwa kiongozi mkuu aliemuongoza

    • @zuberiadamu3684
      @zuberiadamu3684 3 роки тому +1

      @@mandwashija4992 😂😂😂hakikaaa

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 3 роки тому

      Apewae ndoo aongezwayee 🙄

  • @jogoomohamed2652
    @jogoomohamed2652 3 роки тому +1

    Mkuu,kweli unawajali watangulizi wako.Naamini nawe hakuna atakaye kutupa kwa moyo wako.Hakika nakuombea mema salama mhe Rais wetu John Pombe Joseph Magufuli. Ww Rais wa kweli hapa Tanzania yetu papaa

  • @maryr4033
    @maryr4033 3 роки тому +3

    Safi sana JPM JPM

  • @astelialugano8143
    @astelialugano8143 3 роки тому +8

    Wewe mzee wangu MAGUFULI ni zaidi ya RAIS

  • @rehemaa597
    @rehemaa597 3 роки тому +1

    Mashahara wake alikuwa anafanyia nn hii magufuli haijanifurahisha kwa kweli masikini kibao hawana sehemu za kulala vizuri

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @kelvinmbena5796
    @kelvinmbena5796 3 роки тому +1

    Daaaaaah tutaishia kuzunguka na vyeti mkononi wengine huku wanaongezewa hifadhi.

  • @Mido-eh9vz
    @Mido-eh9vz 3 роки тому +2

    Jamani ss wanyonge hatuna pakukaa jaribuni kuwafikiria na maskini hawana maisha nyinyi mna tumia vzri haya ahsanteni

    • @zuberiadamu3684
      @zuberiadamu3684 3 роки тому

      Mwenye nacho uongezewa

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 3 роки тому

    Kikwete rahasana. Roho nzuri mpaka azeeki. Safi

  • @muzerwadeo638
    @muzerwadeo638 5 місяців тому

    Waouuh Tanzania. Sheria nzuri sana hiyo ya kuwajengea ma raisi waastafu. Pia Magufuli alikuwa mtu mwema sana. Mema haya ozi .

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 3 роки тому +6

    RAISI MAGUFULI ASANTE SANA...UMEMJENGEA WAKATI WAKO RAISI MSTAAFU MWINYI,RAISI MSTAAFU KIKWETE,,,ASANTE KWA UTENDAJI WAKO

    • @georgemaji7915
      @georgemaji7915 3 роки тому +1

      Kwani hawana nyumba wao??
      Kikwete na mwinyi kweli ni wa kujengewa nyumba na UTAJIRI WOTE WALIOUCHOTA MIAKA KENDA RUDI WAKIWA KTK SIASA??
      HII NI KASHIFA KUBWA KWA NCHI...na waTz hawana makazi, ccm wanaitafuna nchi, kweupe eee! Sawa yanamwisho!

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 роки тому

      George Maji sheria ilipitishwa na bunge yy anaitekeleza waliopitisha waliona inafaa

  • @muganyizikamafa3555
    @muganyizikamafa3555 3 роки тому +1

    Ww baba nakupenda basi tu

    • @emmabyamungu4190
      @emmabyamungu4190 3 роки тому

      Sasa kwani mngefanya kwa siri, kwanini mnaweka hadharani, kumbuka wengine nyumba zetu zimeenda namaji, kumbepesa zipo eheee, alafu muheshimiwa ungesubiri uchaguzi upite kwanza

  • @janengota3902
    @janengota3902 3 роки тому +2

    Jpm rest in peace 🕊️

  • @bernardbenedicto1373
    @bernardbenedicto1373 3 роки тому +2

    Anaaga vizurii mzee wanguu,wakqbidhii na wew lisu atakuaja kukukabidhi ya kwako kama ni sheria.

    • @colinmhema530
      @colinmhema530 3 роки тому +1

      Lisu hawezi kuruhusu udisasi huu

    • @thegreatboss2482
      @thegreatboss2482 3 роки тому

      @@colinmhema530 huu ujinga lisu hawez kuusapoti

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 роки тому

    Mungu akubariki Mh. Rais

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus8582 3 роки тому +18

    Hii miradi wangekabidhiwa jeshi JKT hii nyumba ingekuwa imekwisha siku nyingi

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 роки тому +1

      Baadae ingeanza kubomoka

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 роки тому +1

      @@Munyama675 kwann mnatukama jkt ni kweli wanapiga kazi na nidhamu ipo juu wawapo kazin

    • @lightrich790
      @lightrich790 3 роки тому

      @@lirastanley390 aaah ok

    • @theemperor8229
      @theemperor8229 3 роки тому

      @@lirastanley390 kama ipi maana hata ikulu imekaguliwa kwa standard za kimataifa

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 3 роки тому +6

    Kuchezea pesa tu wallahi daaa hii serikali ina mambo ya ovyo sanaa

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 роки тому +1

      Roho mbaya tu ungekuwa wewe ndo unajengewa ungekenua meno

    • @chugachugambuli8879
      @chugachugambuli8879 3 роки тому

      wa hovyo n ww uliyejaa wivu

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

    • @conteh2558
      @conteh2558 3 роки тому

      We mwenywe wa ovyo

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis6684 3 роки тому +3

    💯👏

  • @irenelibuma8930
    @irenelibuma8930 3 роки тому +3

    Sisi uku tunaishi maisha magumu Sana jamn lakn kwanini mnatukosha hivi nyie watu........tutaonana trh 28 mzee baba

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @fahimbakari420
    @fahimbakari420 3 роки тому +1

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun (hapa ndipo ninapoamini kuwa lolote lenye kumpata mtu halikuwa ni lenye kumkosa na lenye kumkosa halikuwa ni lenye kumpata

  • @musadavid9938
    @musadavid9938 3 роки тому

    Katiba ya Tanzania inatoa mamlaka ya kipuuzi sana,, kunahitajika mabadiliko makubwa ya kisheria aisee dah hii mijitu mijiizi mitupu.. Huyu bishoo kapiga Richmond magufool kapiga kwenye vitambulisho na mirad isiyopitishwa bungeni yaani ni ujinga ujinga tu..✌️✌️

  • @user-rw2oo3mk7j
    @user-rw2oo3mk7j 3 роки тому +1

    mashaallah kila lakher

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 3 роки тому +10

    hahaha magu kwa utani,et angekuwa hana kwa kukaa tungempeleka chato hahahaha

  • @allykiyanga5402
    @allykiyanga5402 3 роки тому +4

    Jembe mzeee piga kazi

  • @emmanuelmosha2278
    @emmanuelmosha2278 3 роки тому +3

    Inamaana miaka kumi ya uwazir na miaka kumi ya urais alikua hajajenga mpaka ajengewe? Jamani kama raisi alishindwa kujenga nyumba yake ya kuishi vipi mwananchi wa kawaida?

    • @stewardjacob1945
      @stewardjacob1945 3 роки тому

      Nawee unAmin hiloo ndugu

    • @emmanuelmosha2278
      @emmanuelmosha2278 3 роки тому

      @@stewardjacob1945 mm siamini huyo jamaa ni bilionea anauwezo wa kujijengea mwenyewe

  • @chidymswti3604
    @chidymswti3604 3 роки тому

    The rich also cry....

  • @williamngazija7284
    @williamngazija7284 3 роки тому +1

    Hapa kazi tu

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 роки тому +8

    HAPA RAISI WETU UMEFANYA HILI TUKIO WAKATI SIO MUAFAKA MTAWAPA WAPAYUKAJI HOJA YA KUONGEA

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 3 роки тому +3

      Wapayuke tu tushawazoea

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 3 роки тому +4

      Hivi nyie watu ,mnajua Magu ni rais hadi muda huu,na yale ni majukumu yake ya kikazi .

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 роки тому +4

      Tushawazoea hawana jema

    • @yenibirdunya92
      @yenibirdunya92 3 роки тому +1

      "Tar 30 January 2021 atamkabidhi akiwa anatokea nyumbani kwake chato sio ikulu dodoma."

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 3 роки тому +1

      @@yenibirdunya92 mawazo chechefu

  • @mosesevarsta2578
    @mosesevarsta2578 3 роки тому

    Mungu, akulinde, jpm, kwakaziunayofanya

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 3 роки тому +5

    Ndio maana unambembeleza ili akupigie kampeni. Sasa ni maji ya shingo mbona wengine huwafanyi hivyo sasa ni maji ya shingo hupati kitu mnamatumizi mabaya

    • @justinemgeni8716
      @justinemgeni8716 3 роки тому

      Acha ujinga hiyoo ni Sheria ya nchi rais akistaafu anapewa nyumba, gari, na ulinzi

    • @josehkasuru7244
      @josehkasuru7244 3 роки тому +1

      Kazi ilishakwisha bro, JPM mitano tena, wamepiga kampeni za kisomi.

    • @abdallahyasin6829
      @abdallahyasin6829 3 роки тому

      @@josehkasuru7244 mmezoe miaka hiyo sasa siyo zamani tusiishi kwa mazoea

    • @mbarikiwambarikiwa3988
      @mbarikiwambarikiwa3988 3 роки тому +1

      Fatilia historia wote wamepewa nyumba sema labda wakati huo smartphone hazikuwa nyingi km Sasa.

    • @hellenrumisha2183
      @hellenrumisha2183 3 роки тому

      Jamani kampeni kumenogaaa

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 10 місяців тому

    La-la salama BABA MUNGU akupe pumuziko laamani

  • @georgemaji7915
    @georgemaji7915 3 роки тому +4

    Hawa ndio wanaoitafuna nchi...nfo maana wapo tayari kwa yote...HATA KWA KUUA NA KUIBA, wabaki madarakani.
    Hawa ndio wanaitafuna nchi!

    • @ugulumsaid2850
      @ugulumsaid2850 3 роки тому

      Acha ujinga huyu ni rais mstaafu

    • @georgemaji7915
      @georgemaji7915 3 роки тому +2

      @@ugulumsaid2850
      Nyerere alijengewa na Jeshi kwa sababu mzee wa watu ALIKUWA NI RAIS MASIKINI...HAKUJILIMBIKIZIA MALI..HAKUJENGA MAGOROFA BUTIHAMA...ALISTAAFU AKARUFI HOME KULIMA. Nyerere ni MJAMAA HALISI!
      Mkaba, Kikwete, Mwinyi, hawajajenga kwao hadi wajengewe na pesa za walala hoi??
      Kikwete na Mwinyi wananyumba makwao....hii ni nini kuendelea kulitafuna taifa masikini bila kikomo?
      Pesa zao za mafao kama rais mstaafu zinafanya nini??? CCM MSITUFANYE WAJINGA WEZI NA MAJIZI YA KUTUPA NINYI....mwisho wenu umefika!

    • @georgemaji7915
      @georgemaji7915 3 роки тому

      Takataka!

    • @thegreatboss2482
      @thegreatboss2482 3 роки тому +1

      @@georgemaji7915 daaah inaboa kichiz

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому +2

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 роки тому

    Safi sana

  • @yasristeven1135
    @yasristeven1135 3 роки тому +1

    Eti nilipopanga mheshimiwa msimdanganye muumba

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 3 роки тому +26

    Matumizi mabaya ya fedha.

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 3 роки тому +4

      Fedha ipi ya ccm au unafikili kila fedha ni ya serikali au unafikili ccm kama cdm hkina mipango na miradi

    • @allanedger6632
      @allanedger6632 3 роки тому +2

      Hiyo ni sheria ndio inaeleza hivyo sio maelekezo ya Rais

    • @idrisaseiph3499
      @idrisaseiph3499 3 роки тому +3

      Matumizi yako mazuri yako wapi ,wakati hiyo n sheria

    • @aganolamotoeliya2027
      @aganolamotoeliya2027 3 роки тому +2

      Chuki tu.

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 3 роки тому +1

      Kweli kabisa

  • @madpeoplezzzz5121
    @madpeoplezzzz5121 3 роки тому +10

    Pesa zote Mulizo Piga Richmond Mulishindwa kujenga Nyumba zenu binafsii....mpaka Sasa......😁

    • @tycoon9540
      @tycoon9540 3 роки тому

      Muwe mnasikiliza kwa makini,, inajengwa kwa mujibu wa SHERIA. Raisi yoyote nchini akishatoka madarakani lazima Serikali imjengee nyumba hii ni kwa mujibu wa sheria na haijalishi una nyumba ngapi au maghorofa mangapi unayomiliki mjini.

    • @Mrdigital.
      @Mrdigital. 3 роки тому

      Sheria namba moja ya raisi usitangaze mali zako

    • @khalidali1130
      @khalidali1130 3 роки тому

      Mie sio Rais namiliki nyumba mbili ww Rais unataka urahisi chefuu kweli Tanzania

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 3 роки тому +18

    Kule Soga nyumba ya nani

    • @abdallahramadhani860
      @abdallahramadhani860 3 роки тому +4

      Kapanga kashasema 😂😂

    • @thegreatboss2482
      @thegreatboss2482 3 роки тому +6

      @@abdallahramadhani860 haya yote majiz tuu mnajitungia sheria mjinufaishe Wennyew

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 3 роки тому +4

      @@abdallahramadhani860 wewe ndiye mpangishaji wake

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 3 роки тому +5

      Kuleni tu Ela za wajinga ndyo maana sikuwai kufikiri kumpigia mtu kura

    • @eischerschwederm7876
      @eischerschwederm7876 3 роки тому +3

      @@thegreatboss2482 ni bunge liliopitisha hiyo sheria..hivyo ukitaka madiliko pitishia bungeni

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 3 роки тому +8

    🤣🤣🤣🤣 walionacho ndio waongezewao , pesa za walipa kodi 👐🏃‍♂️

    • @aludomakori4230
      @aludomakori4230 3 роки тому

      Na dhamana walioibeba kwa Taifa c ndogo

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 3 роки тому

      @@aludomakori4230 dhamana ipi ile ni kazi km kazi unayofanya ww , au ajayofanya mtu yoyote ifike.mahali wawurumie watu wa hari ya chini hao wote ni matajiri kupita maelezo watuhurumie na hasa watt wenye uhitaji na wazee na walemavu kuwapa makazi bora sio kujiongezea wao na familia zao 😭😭

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 3 роки тому

      INAUMA SANAAA MIMI BABAYANGU AMESTAAFU TOKA MWAKA JANA MWEZI WA SABA HAJAPATA PENSHENI YAKE HADI LEO, KILA AKIENDA ANAAMBIWA LETA HIKI MARA LETA KADI YAKO MARA MICHANGO MINGINE HAIONEKANI KWASABABU YA KUUNGANISHWA MIFUKO, KWAKELI NCHI HII INATESA WAZEE SANAA ILA WAKUBWA WANAISHI PEPONI, MINGU ANAWAONA.

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 3 роки тому

      @@isaachayes9783 kwa kweli mtihani, watu wanaishi mabondeni wanashindwa hata kuwajenge japo vyumba 2 hili waondoke sehemu hatarishi lakini wapi wanajengea vizazi vyao hudhuni kwa kweli, watu wanaishi kwa maumivu wao wakifa familia zao azitetereki 😭😭 so sad

  • @kasimujumannekipemba3732
    @kasimujumannekipemba3732 3 роки тому +4

    Safimkuu