Zumbe Shauri kanywe kret ya soda umalize yote bill itumwe kwangu!! watu kama nyie nawapenda sana!! Mungu akutunze mwaya ningeongea mengi juu yako ila nakuombea Allah akutunze!!
Makonda pambana mpaka mwisho wako...Maana hii ni safari ndefu sana tena mapambano makubwa sana .....M/mungu akulinde na akusimamie katika jambo hili la kuzuia Ushoga
kwa walio wa rohoni watakuelewa vizuri Mheshimiwa.....mbele ya Mumgu aliye amiri jeshi mkuu hakuna kujikaza kiume.... na kama ulivyosema baada ya ibada huwezi elezea kilitokea nini
Hassan!! Pole sana nilifikiri unaweza kuwa mtu. Mwenye busaraha na hekima katika hili, yaani unaanza kuleta na maeno ya dini ya kweli au unataka nikukumbushe kuwa we we ndio umepotea? Hebu soma vizuri quarn yako mtume wako Mohammed anaulizwa juu ya hatima yake na wafuasi wake anasema yeye hajui mwisho wake ni nini na Hata wamafuata hajui anakowapeleka na akatoa ushauri kuwa juu ya hilo waulizeni wenye vitabu yaani( Wakristo). Pili Allah unayemuita mungu wako kwenye huyo quaran anasema "naapa kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi" kumaanisha kuwa yeye si mungu muumbaji, jitambue uache kukashfu imani za wenzako tunaijua zaidi imani uliyo nayo. Mungu tunaye muabudu wakristo yeyw mwenyewe anasema " naapa kwa nafsi yangu" ikijitambulisha kuwa yeye ndie. Juu ya utume wa Mohammad na Yesu Kristo, Yesu Kristo alitumwa na Mungu toka mbinguni na kisha baada ya huduma yake ya miaka 3 na nusu akafa akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akapaa mbinguni alikotokea mpaka yu hai . Mohammad wako wewe alizaliwa akajiita mtume akaoa na akawakiri kutokujua mwisho wenu akafa na akazikwa hadi leo yumo.kaburi. Nikushauri tu Mr. Hassani ulitakaiwa utoe maoni yako tu pasipo kujihesabia haki kwenye imani yako ambayo inakuambia pepo yenu mtakuta kila mmoja ameandaliwa wanawake wa kutosha, hiyo pepo yenu ni ya uzinzi kwa hiyo Hata sasa mnafanya maandalizi juu ya kuingia kwenye hiyo pepo. Wakristo Yesu alituweka wazi kanisa akasema mbinguni hakuma kula, kuoa, wala kuolewa maana wote tutabadilishwa na kuvaa mwili wa utukufu. Jitahidi sana Mr. Hassani kuwa mtaraabu juu ya imani za watu wengine. Na Mungu akusaidie
Kusema kweli, zamani nlikuwa simkubali kabisa huyu mtu.ila nimemfuatilia sana nilichogundua ni kwamba huyu kaka amekulia kwenye mazingira ya maumivu ktk maisha yake.ni kama mtu ambae alinyanyasika sana.kwa hiyo amepata nafasi kubwa serikalini anatamani kuwasaidia wale wote ambao anahisi kwa sasa na wao wanapitia maisha ya kuumia kama aliyopitia yeye.anajisikia uchungu.lakini mijitu haimuelewi.
Mimi nahisi watu wanakuonea gere,suala la kulia kanisani halina ukuu wowote Mungu akusimamie kwenye kazi zako kama ni mapungufu wanadamu wote tunayo lkn kwa hili lakwako basi watafute lingine
Kila siku nami nalia kwa ajili ya mambo ya ajabu yanayoendela, anachokifanya ana thawabu kubwa maana ubinadamu sasa hivi umepungua watu wamebaki kama wanyama. ni nani mwenye ujasiri wa kukemea hayo???/ kila mtu ana sehemu anaudhaifu wake.
Ubarikiwe sana Mh mkuu wa Mkoa na Hongera kwa kutambua kwamba sehem pekee ya suruhisho na matatizo yako ni Mungu. Hata Musa aliomba toba kwa niaba ya wana Israel na Mungu akawasamehe. Kutoka 14:1_
Safi sana makonda Julia kanisani kipindi cha maombi una uwenzo Wa kuzama sana ndani ya maombi jinsi roho mtakatifu anavyokutumia endelea na maombi makonda mwangalie mungu usimwangalie binadamu hawajui walinenalo
Watu Wa imbaji wanjili kwanini. Musitumie maneno hayo yabusala. Kutengeneza nyimbo nzuli. Amejieleza vizuli sana nikweli we we unaloho wamungu. Tanzania itapona kwa ajiliyako. Amen from Burundi. Tuna kupenda Sana
Uko sahihi mkuu, mbele za Mungu hakuna kuleta uheshimiwa, nikunyenyekea na kujikabidhi kwake akuhudumie, Ukuu wa mkoa pembeni kwanza linapokuja suala la Ibada. SAFII
Mm we bb nakupenda sana zaid ya sana hakuna kitu kizur bila kupitia majalibu .kumbuka hata ayubu alijalibiwa .lakin hakukata tamaa. . ili ufike unapo taka lazima upitie misuko suko
Ukiona mtu anatetea USHOGA, USAGAJI fahamu ni shoga au msagaji, au anadhaminiwa na mashoga! USHOGA na USAGAJI ni CHUKIZO KWA MUNGU na Unajisi kwa eneo au Nchi YENYEWE! Warumi 1:18-32 Mwanzo 19 Wana washetani hufurahia uovu unapoenea,na mtu anapoinuliwa kupinga uovu huo,mara nyingi huchekwa,hudhiahakiwa... ILA mwisho asipokata tamaa,hushinda na kushangilia! GIZA haliwezi kushinda Nuru. Yohana 1:2-5. Kila mwenye akili nzuri na timamu atapinga USHOGA, USAGAJI,uwaji,utekaji,......!
Mkuu achana na blaa blaa za watz.... Endelea tu kumuomba mungu... Km ulivosema kwa mungu hakuna ukuu wa mkoa wala rais. Nasi wa kwanza ww kulia ktk kuomba dua au kitu chochote kwa m. Mungu hata masheikh wasomapo Quran hulia Mbele ya kadamnasi....na huwa hawaangalii nani ananitizama au nani atasema nn juu ya hiki kilio changu....so piga maombi km kawa na m. Mungu atayapokea ishallah! Kiukweli watanzania sijui tukoje kwani kulia ni jambo la ajabu jmn au kwakua kalifanya mwenye jina.... Aaaaah jmn tuache ushamba au sijui ndo tuije ujinga!
Aisha Mohammed ubarikiwe sana unaona mbali my dear!! wanadamu hatukosagi jambo ila kwa wachache wanaoelewa uzito Wa machozi ktk ibada hawawezi kujiuliza kwa nn alishindwa kujizuia!! Allah akuweke miaka mingi umeubariki moyo wangu
WOOOOOW!!! MAKONDA KWANZA HONGERA SANA MKUU WA MKOA WA DA ES SALAAM.. NIMEPENDA JINSI ULIVO TUELEWESHA WATANZANIA.. KWAKWELI KILA UNALO FANYA MUNGU AKULINDE .. U DO THE GREATEST JOBS AMBAZO BILA MUNGU PUMZI YAKO INGEKUWA HADITHI, KWANI SHETANIN ANAKUWINDA KILA IITWAPO LEO.. MUNGU MMBARIKI MAKONDA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Mm nimekuelewa xanaa mkuu umeongea point kubwa xanaa kwa wale wakristo wamekuelewa unachokisema wale wasio kuelewa watakuelewa to one wakimkibizi Yesu maisha yao
Ameen. Nakukubali sana mheshimiwa na Mungu azidi kukulinda na mkono wake husikupungukie na Mungu akupe hitaji la moyo wako. Wasio na maono hawaoni nini unafanya ila Mungu amekuchagua kukomboa mataifa ya vizazi vilivyopo na vijavyo , sitaacha kukuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu maana Daudi vita si yetu bali vita ni ya Mungu mwenyewe na wasikuone hivyo vita unavyopigana navyo wakadhani upo peke yako, mi naona husiwajibu bali wambie neno moja tu kuwa,SI WEWE UNAYEISHI BALI ALIYEKO NDANI YAKO YESU KRISTU WA NAZARETH ALIYE HAI. Barikiwa sana Mh! Paul Makonda, majeshi ya Mungu yaliyokuzunguka Makonda ni mengi mno kuliko haya ya dunia , wasamehe hawajui walitendalo hata Bwana wetu Yesu alihukumiwa kifo katikati ya watuhumiwa na hali yakuwa yeye nakuwa na hatia itakuwa wewe? Achana nao yupo Mungu anaepigana na adui zako wala husiwajibu Mungu atawajibu kwa wakati wake wewe ni mti wenye matunda lazima uzoee mawe. Ubarikiwe sana mpaka shetani ashangae na majeshi yake.
Hongera sana mkuu.nimekuelewa Mungu wa mbiguni aendelee kukulinda na ushiishie hapo endelea kuliombea Taifa zima la Tanzania . wewe ni kiongozi naamini ukimlilia Mungu katika roho na kweli tutafanikiwa.
Kwa mungu hakuna cha mwanaume wala mwanamke mungu ni zaidi ya nafasi zetu napenda sana kuona makonda analia kwa kuomba msaada toka kwa mungu tunakombea sana kwa mapambano makubwa mbele yako
Mh. KWA HII SPEECH YA LEO NIMEKUAMINIA 100%, ofcoz hilo jambo hata ukilivutia hisia lazma ulie hata km hujawaona, INAUMA ACHENI USHABIKI WA KINAFK WABONGO
Stay blessed RC-MAKONDA, you are humble Man..!! Press on..!! Bible says : " My people perish because of lack of God's knowledge-Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa" . Amina..!!
Well said Makonda you Trusted in God and in God we Trust and in God you will be Blessed umejielewesha vizuri mnoo yaani Spritually you are With JESUS keepitupBOSS And I am praying for you as well
Pole Sana mkuu wa mkoa uko sai Sana unapotafakari kwa undani unalia bila kujua uko sai kabisa ,ni kweli wewe bila Mungu usingekwepo omba Mungu Lia Sana mbele za Mungu kwa Mungu hakuna Cha kiongozi wewe Lia kwa Mungu yupo na wewe
KEEP UP Sir. Am Praying for you..hata watakapo kupeleka mabarazani usijiulize nini cha kusema maana Roho Mtakatifu atakuwa msemaji wako. Hata watu wa nyumba yako wamekukataa lakin Mungu hajakukataa tena atainua Mataifa kuwa upande wako..!!
Yapo mambo huwa kama ckusomi vile lakini kwa pointi hii du! Nimekuelewa mtumishi wa mungu. Ni kwakua nguvu zangu ndogo nami ninge kusaidia vita hii. Basi kiongozi ikishindikana kausha kwa kua kila mtu ata ubeba msalaba wake mwenyewe.
Mimi nakukubari sana kwa uthubutu wako maana kwa jinsi unavyo simamia jambo zito wakati mwingine kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama uko peke yako lakini wewe unaamini hauko peke yako kwa sababu Mungu yu pamoja nawe. Ubarikiwe.
Makonda leo nimekuelewa kabisa piga kazi huo ni ushenzi na upuuzi mpaka hao wanaokupinga kwa hili waone mkono wa Mungu unaandika km. Kipindi cha mfalme Belshaza?
Piga kazi baba kulia nimoja ya kuwalilia waliompigia l lazima uwalilie mungu hapendi uchafu kulia mbele za mungu Ni ishara ya kuomba msada hakusadie kuwakombowa binadamu walopotea
mkuu mimi sio mkristo lakini nimekuelewa pili jambo unalo pigania nikubwa sana pili unavita kubwa lazima umlilie mungu wala usijali wanavyo kudisi
Zumbe Shauri kanywe kret ya soda umalize yote bill itumwe kwangu!! watu kama nyie nawapenda sana!! Mungu akutunze mwaya ningeongea mengi juu yako ila nakuombea Allah akutunze!!
Makonda pambana mpaka mwisho wako...Maana hii ni safari ndefu sana tena mapambano makubwa sana .....M/mungu akulinde na akusimamie katika jambo hili la kuzuia Ushoga
Umeonae mkuu yuko sahihi kabisa
Mungu akubariki sana ningekua karibu nawe ningekuunga bando la mwezi
Umeongea ukweli mno na kulia ni ishara ya kujishusha saana mbele za Mungu.
Kweli kabisa
kwa walio wa rohoni watakuelewa vizuri Mheshimiwa.....mbele ya Mumgu aliye amiri jeshi mkuu hakuna kujikaza kiume.... na kama ulivyosema baada ya ibada huwezi elezea kilitokea nini
Hassan!! Pole sana nilifikiri unaweza kuwa mtu. Mwenye busaraha na hekima katika hili, yaani unaanza kuleta na maeno ya dini ya kweli au unataka nikukumbushe kuwa we we ndio umepotea?
Hebu soma vizuri quarn yako mtume wako Mohammed anaulizwa juu ya hatima yake na wafuasi wake anasema yeye hajui mwisho wake ni nini na Hata wamafuata hajui anakowapeleka na akatoa ushauri kuwa juu ya hilo waulizeni wenye vitabu yaani( Wakristo).
Pili Allah unayemuita mungu wako kwenye huyo quaran anasema "naapa kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi" kumaanisha kuwa yeye si mungu muumbaji, jitambue uache kukashfu imani za wenzako tunaijua zaidi imani uliyo nayo. Mungu tunaye muabudu wakristo yeyw mwenyewe anasema " naapa kwa nafsi yangu" ikijitambulisha kuwa yeye ndie.
Juu ya utume wa Mohammad na Yesu Kristo, Yesu Kristo alitumwa na Mungu toka mbinguni na kisha baada ya huduma yake ya miaka 3 na nusu akafa akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akapaa mbinguni alikotokea mpaka yu hai .
Mohammad wako wewe alizaliwa akajiita mtume akaoa na akawakiri kutokujua mwisho wenu akafa na akazikwa hadi leo yumo.kaburi.
Nikushauri tu Mr. Hassani ulitakaiwa utoe maoni yako tu pasipo kujihesabia haki kwenye imani yako ambayo inakuambia pepo yenu mtakuta kila mmoja ameandaliwa wanawake wa kutosha, hiyo pepo yenu ni ya uzinzi kwa hiyo Hata sasa mnafanya maandalizi juu ya kuingia kwenye hiyo pepo. Wakristo Yesu alituweka wazi kanisa akasema mbinguni hakuma kula, kuoa, wala kuolewa maana wote tutabadilishwa na kuvaa mwili wa utukufu.
Jitahidi sana Mr. Hassani kuwa mtaraabu juu ya imani za watu wengine. Na Mungu akusaidie
Ni kweli amkimbiliaye na kumtumainia mungu hata aibika mngu atakupiginia ktk kazi yako
Kusema kweli, zamani nlikuwa simkubali kabisa huyu mtu.ila nimemfuatilia sana nilichogundua ni kwamba huyu kaka amekulia kwenye mazingira ya maumivu ktk maisha yake.ni kama mtu ambae alinyanyasika sana.kwa hiyo amepata nafasi kubwa serikalini anatamani kuwasaidia wale wote ambao anahisi kwa sasa na wao wanapitia maisha ya kuumia kama aliyopitia yeye.anajisikia uchungu.lakini mijitu haimuelewi.
saitoti saitoti sana
MKUU MUNGU HATOKUACHA NA MUNGU NDO KILA KITU KWAKO
Nimekuelewa sana Mkuu wa mkoa. Mungu akubariki sana ktk malengo yako
kweli kabisa kaka mungu hakulinde
Mimi nahisi watu wanakuonea gere,suala la kulia kanisani halina ukuu wowote Mungu akusimamie kwenye kazi zako kama ni mapungufu wanadamu wote tunayo lkn kwa hili lakwako basi watafute lingine
Nakuelewa sana...... Kikubwa Mungu akupiganie brother. Sisi tulio wa Rohoni tunakuelewa.
Kwa jinsi jambo la mashoga lilivyokubwa na baya mi nilitegemea alie Hata saa Moja, nyie kalia kidogo tu mnashangaa, mi namlaumu alilia kidogo
We msenge
Wallai binadam wanatabu sana kulia ni kitu muhimu sana
Kila siku nami nalia kwa ajili ya mambo ya ajabu yanayoendela, anachokifanya ana thawabu kubwa maana ubinadamu sasa hivi umepungua watu wamebaki kama wanyama. ni nani mwenye ujasiri wa kukemea hayo???/ kila mtu ana sehemu anaudhaifu wake.
Mungu akubaliki sana mkuu wa mkoa
May Holly Spirit keep guiding u Sir
Ubarikiwe sana Mh mkuu wa Mkoa na Hongera kwa kutambua kwamba sehem pekee ya suruhisho na matatizo yako ni Mungu. Hata Musa aliomba toba kwa niaba ya wana Israel na Mungu akawasamehe. Kutoka 14:1_
inaonekana ameona mashoga walivyo wengi dar. Yeye kama binaadam na mzazi pia anaumia sana
Kaka Paul nimekuelewa umevunja gospel ya maana sn lazima majibu mazuri yaonekane
ww mtangazaji hauna vya kuuliza,muache mkuu apige kazi kulia kanisani ni njema
Safi sana makonda Julia kanisani kipindi cha maombi una uwenzo Wa kuzama sana ndani ya maombi jinsi roho mtakatifu anavyokutumia endelea na maombi makonda mwangalie mungu usimwangalie binadamu hawajui walinenalo
Watu Wa imbaji wanjili kwanini. Musitumie maneno hayo yabusala. Kutengeneza nyimbo nzuli. Amejieleza vizuli sana nikweli we we unaloho wamungu. Tanzania itapona kwa ajiliyako. Amen from Burundi. Tuna kupenda Sana
Wanakuonea wivu wengi wameshindwa ila wewe nisawa na Daudi MUNGU akubariki kaka
Usifikiri alikua anajililia tu ingia kanisani ndio utajua
jose jacob kabisa
Mungu azidi simama na wewe Mkuu wa Mkoa
Amen
Upo sahihi sana mkuu
Mimi sio mkristu ila makonda nimemuelewa
Uko sahihi mkuu, mbele za Mungu hakuna kuleta uheshimiwa, nikunyenyekea na kujikabidhi kwake akuhudumie, Ukuu wa mkoa pembeni kwanza linapokuja suala la Ibada. SAFII
Ulishukiwa na Roho Mtakatifu, kwa macho ya nyama wanaona kama unalia, kwa macho ya rohoni ulikuwa umezama kwenye maombi mazito, ubarikiwe sana
Waache tu wanaoongea we chapa kazi TU! Kama umependezwa hebu like Basi!
Piga kazi muheshimiwa tuko pamoja
Kulia inaonesha how strong a guy is..bravo RC
Mm we bb nakupenda sana zaid ya sana hakuna kitu kizur bila kupitia majalibu .kumbuka hata ayubu alijalibiwa .lakin hakukata tamaa. . ili ufike unapo taka lazima upitie misuko suko
jackrin aman kweli kabisa Dada Jack
jackrin aman kweli kabisa Dada Jack
Lava nimepita 👏
Songa mbele tunakuombea ushindi lazima in Jesus name
🤓🤓
Mwenyezi Mungu akujaze nguvu zaidi mkuu uendelee kupambana na hao wakupingao
Ukiona mtu anatetea USHOGA, USAGAJI fahamu ni shoga au msagaji, au anadhaminiwa na mashoga!
USHOGA na USAGAJI ni CHUKIZO KWA MUNGU na Unajisi kwa eneo au Nchi YENYEWE!
Warumi 1:18-32
Mwanzo 19
Wana washetani hufurahia uovu unapoenea,na mtu anapoinuliwa kupinga uovu huo,mara nyingi huchekwa,hudhiahakiwa... ILA mwisho asipokata tamaa,hushinda na kushangilia!
GIZA haliwezi kushinda Nuru.
Yohana 1:2-5.
Kila mwenye akili nzuri na timamu atapinga USHOGA, USAGAJI,uwaji,utekaji,......!
Mkuu achana na blaa blaa za watz.... Endelea tu kumuomba mungu... Km ulivosema kwa mungu hakuna ukuu wa mkoa wala rais. Nasi wa kwanza ww kulia ktk kuomba dua au kitu chochote kwa m. Mungu hata masheikh wasomapo Quran hulia Mbele ya kadamnasi....na huwa hawaangalii nani ananitizama au nani atasema nn juu ya hiki kilio changu....so piga maombi km kawa na m. Mungu atayapokea ishallah!
Kiukweli watanzania sijui tukoje kwani kulia ni jambo la ajabu jmn au kwakua kalifanya mwenye jina.... Aaaaah jmn tuache ushamba au sijui ndo tuije ujinga!
Aisha Mohammed naomba uangalie kasida yangu ua-cam.com/video/VEbezgrNzHw/v-deo.html
Aisha Mohammed ubarikiwe sana unaona mbali my dear!! wanadamu hatukosagi jambo ila kwa wachache wanaoelewa uzito Wa machozi ktk ibada hawawezi kujiuliza kwa nn alishindwa kujizuia!! Allah akuweke miaka mingi umeubariki moyo wangu
Aisha upo vizuri Sana, u muelewa sana
Wanaokukejeli hata maana ya maombi hawaijui wapo wapo tu,ndio maana wanakushangaa ukilia kanisani
AIMEN
Wa tz tuna kasoro ya kuona udhaifu tuu mnaniboa sana #kwenye vitu vya maana tumuunge mkono sio kila kitu ni kupinga tu
#piga kazi brother
kwa hapo nmekuelewa mkuu
WOOOOOW!!! MAKONDA KWANZA HONGERA SANA MKUU WA MKOA WA DA ES SALAAM.. NIMEPENDA JINSI ULIVO TUELEWESHA WATANZANIA.. KWAKWELI KILA UNALO FANYA MUNGU AKULINDE .. U DO THE GREATEST JOBS AMBAZO BILA MUNGU PUMZI YAKO INGEKUWA HADITHI, KWANI SHETANIN ANAKUWINDA KILA IITWAPO LEO.. MUNGU MMBARIKI MAKONDA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kumcha Mungu nichazochamarifa barikiwa. Songambele. Mtangulize Mungu wako bila Mungu minute🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu wa Mbinguni aendelee kukutia nguvu mkuu wetu wa Mkoa ili kusudi la Mungu aliloweka ndani yako juu ya huu mkoa wa Dar es salaam likatimie, Amina
Grace Valentine mh. Makonda na imani icpokuwa na matendo imekufa mungu aendelee kukuongoza amina
Amen
Mm nimekuelewa xanaa mkuu umeongea point kubwa xanaa kwa wale wakristo wamekuelewa unachokisema wale wasio kuelewa watakuelewa to one wakimkibizi Yesu maisha yao
Hapo ni kweli kabisa. Mkuu upo sahihi.
Vita cyo vyetu bali ni vya Mungu so endelea kumsihi Mungu nae atakushindia Mkuu, kwani hakuna jambo lolote linaloshindikana kwa Mungu
Makonda hakika mungu atakufanya kuwa mkombozi wa nchi yetu, kiongozi kuiombea nchi yake hakika mungu anaikomboa Tanzania
Amina kweli kabisa
Mungu akusaidie Makonda. Hakuna kosa kulia kanisani.
Mku wew ni mtu wa muimu sana broooo saluti piga kaz mungu akulind kwa kila jmbo broooo
Ameen. Nakukubali sana mheshimiwa na Mungu azidi kukulinda na mkono wake husikupungukie na Mungu akupe hitaji la moyo wako. Wasio na maono hawaoni nini unafanya ila Mungu amekuchagua kukomboa mataifa ya vizazi vilivyopo na vijavyo , sitaacha kukuombea kwa Mungu azidi kukutia nguvu maana Daudi vita si yetu bali vita ni ya Mungu mwenyewe na wasikuone hivyo vita unavyopigana navyo wakadhani upo peke yako, mi naona husiwajibu bali wambie neno moja tu kuwa,SI WEWE UNAYEISHI BALI ALIYEKO NDANI YAKO YESU KRISTU WA NAZARETH ALIYE HAI. Barikiwa sana Mh! Paul Makonda, majeshi ya Mungu yaliyokuzunguka Makonda ni mengi mno kuliko haya ya dunia , wasamehe hawajui walitendalo hata Bwana wetu Yesu alihukumiwa kifo katikati ya watuhumiwa na hali yakuwa yeye nakuwa na hatia itakuwa wewe? Achana nao yupo Mungu anaepigana na adui zako wala husiwajibu Mungu atawajibu kwa wakati wake wewe ni mti wenye matunda lazima uzoee mawe. Ubarikiwe sana mpaka shetani ashangae na majeshi yake.
Mungu aendelee kkusaidia kutambua kuwa pasipo yeye hakuna linalowezekana.
(Yohana 15:5 )
Kwani kulia ni jambo la kushagaza Tz nanyi mko na mambo...Mungu asimame na wewe mueshimiwa umalize kazi ya mashoga salama
Nimekupenda mtangazaji umesomea haswaaa huna uoga maswali yako kuntu
Excellent Mr RC. Hilo jibu ndilo linalofaa sana kupita majibu yote ambayo hao walitegemea. Nimefurahi sana mkuu. Mungu akubariki sana.
Hongera sana mkuu.nimekuelewa Mungu wa mbiguni aendelee kukulinda na ushiishie hapo endelea kuliombea Taifa zima la Tanzania .
wewe ni kiongozi naamini ukimlilia Mungu katika roho na kweli tutafanikiwa.
MUNGU akubariki makonda nakupenda sana my brother
Kwani kulia ajabu? Nyie vipi mh makonda achana nao kwani umelia bara barani? Umelia mbele za mungu tena kwenye nyumba ya ibada! Sasa tatizo nini?
Kwa mungu hakuna cha mwanaume wala mwanamke mungu ni zaidi ya nafasi zetu napenda sana kuona makonda analia kwa kuomba msaada toka kwa mungu tunakombea sana kwa mapambano makubwa mbele yako
Hongera Kaka umetoa elimu Kwa kila ambaye hajamjua ROHO MTAKATIFU
Mh. KWA HII SPEECH YA LEO NIMEKUAMINIA 100%, ofcoz hilo jambo hata ukilivutia hisia lazma ulie hata km hujawaona, INAUMA ACHENI USHABIKI WA KINAFK WABONGO
Mungu akusimamie katika hili.
Stay blessed RC-MAKONDA, you are humble Man..!! Press on..!! Bible says : " My people perish because of lack of God's knowledge-Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa" . Amina..!!
Mungu yuko Upande wako,pambana Mungu Atakusaidia Nasi tunakuombea,Akulinde Akutie Nguvu.
Umeongea piont leo
Nimekuelewa Sana Mh Paul Makonda. Mungu akupe nguvu zaidi inshaallah 🙏🙏🙏🙏
Well said Makonda you Trusted in God and in God we Trust and in God you will be Blessed umejielewesha vizuri mnoo yaani Spritually you are With JESUS keepitupBOSS And I am praying for you as well
mungu amsimamie huyu brthr
kumwelewa mtu sio mpaka awe dini fulani yeyote yule aweza kumwelewa bila tabaka lolote ...stay blessed
Sasa chaajabu kitu gani ?mbona hata masheh wana somaga Qraan mpaka analia sasa yy kulia mnaona hajabu?
Bravo mheshimiwa, halelluya count your blessing name them one by one,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Well said comrade! Asante sana.
Hakika umeyapata mamlaka yako kwa Mungu.
mtumishi anaumia sana moyoni kutokana naanayo yaona
Pole Sana mkuu wa mkoa uko sai Sana unapotafakari kwa undani unalia bila kujua uko sai kabisa ,ni kweli wewe bila Mungu usingekwepo omba Mungu Lia Sana mbele za Mungu kwa Mungu hakuna Cha kiongozi wewe Lia kwa Mungu yupo na wewe
Mungu aendelee kukutia nguvu mheshiwa
Mkuu mi binafsi ckupendi kiukweli iko ivo tu, ila katika ili mkuu tuko pamoja! May Godbless you
Kweli kabisa baba makonda nakupenda sana hakyamungu mungu akulinde sana
Mungu azidi kukupigania kaka yangu ni bora kulia mbele za mungu kuliko kumlilia binadam asiyejua thaman ya binadam mwenzie mungu akutangulie
Pole sana ndugu yan kwanza unavyo ongea namm nalia wallah pole sana mungu akusimamie katka vitu vyote unavyo fanya inshaallah
Nimekuelewa sana Mheshimiwa,Mwenyezi Mungu akupiganie katika vita vyako vyote.
mtangaz una akil au acha izo bwana hy kidume yupo ma mungu eee mungu pigana naaadui wanaompiga kiumbe wako mak Fanya kazi aisee
KEEP UP Sir. Am Praying for you..hata watakapo kupeleka mabarazani usijiulize nini cha kusema maana Roho Mtakatifu atakuwa msemaji wako. Hata watu wa nyumba yako wamekukataa lakin Mungu hajakukataa tena atainua Mataifa kuwa upande wako..!!
Mungu atakuinilia watu na mataifa kuwa upande wako. Keep up sir
Natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya God bless you
Yapo mambo huwa kama ckusomi vile lakini kwa pointi hii du! Nimekuelewa mtumishi wa mungu. Ni kwakua nguvu zangu ndogo nami ninge kusaidia vita hii. Basi kiongozi ikishindikana kausha kwa kua kila mtu ata ubeba msalaba wake mwenyewe.
Unalilia taifa lako kweli baba roho mtakatifu amina mimi nakuelewa roho mtakatifu
Mungu yupo nawe makonda acha wakuulize hayo maswari hawajui watendalo
Jamani mambo ya Mungu hayaitaji kuchanganywa na kitu chochote please!
Ubarikiwe sana kwa utumishi kwa wasio elewa hawataelewa maana ya kulia
Mimi nakukubari sana kwa uthubutu wako maana kwa jinsi unavyo simamia jambo zito wakati mwingine kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama uko peke yako lakini wewe unaamini hauko peke yako kwa sababu Mungu yu pamoja nawe. Ubarikiwe.
Sawa kabisa hata mie nkiendaga mbele za Mungu wakati naomba nkakumbuka mema aliyonitendea najikuta nalia tu. Nimekuelewa mkuu
duuuùh .hapo sawa..mkuu acha kuyasikiliza maneno ya watu..we piga kazi ..
Ubalikiwe sana kaka yangu.
upon sahihi nimekuelewa mungu akutie nguvu
Nice talk..very deep mh Paul
Mtu yeyote mwenye imani ya kweli zalima hisia ina kuja mbona masheik wetu wana lia wacheni maneno yenu
Makonda leo nimekuelewa kabisa piga kazi huo ni ushenzi na upuuzi mpaka hao wanaokupinga kwa hili waone mkono wa Mungu unaandika km. Kipindi cha mfalme Belshaza?
Piga kazi baba kulia nimoja ya kuwalilia waliompigia l lazima uwalilie mungu hapendi uchafu kulia mbele za mungu Ni ishara ya kuomba msada hakusadie kuwakombowa binadamu walopotea
Safi sana Paul Makonda....mungu yupo
I never knew you're such a great Pastor!
Kwa hakika umapata thawabu baba tukemeeni ushoga inauma jamani unazaa mtoto anakua shoga inauma tuombe mungu atuepushie vizazi vyetu amiin
mungu akubariki mkuu makonda
Kweli kaka
Somo la roho mtakatifu hilo mkuu kukuelewa ishu sana.
Kila mtu kwa tukio hilo,watu na wajue siku ya kiaama haina cha mfalme, Rais wala mbunge na wala mkuu wa mkoa akili mkichwa-tafakarini hilo
Kulia mbele za mungu hakuna shida lia sana kwamungu nae atakusaidia ila mashoga hatuwataki
Mungu akutumie kweli mkuu wa mkoa umenena ambayo wachache sana watakuelewa
Amina sana Makonda mtukuze mungu wako mwanadamu Ananini
hata muonekano wako kama patri ubarikiwe sana mtumishi wa bwana
hkk vingine vinaumiza.nilazima wazazi,wa tumishi wamungu maasikofu na machee.wa tafusiri vizuri uwepo wamungu ndani ya waumini wao.
Amen mtumishi wa Mungu
Mwenyez Mungu akubariki na akutangulie
Mungu akubariki ...nakuelewa
Ni kweli ni kweli tupuuuuuuu daaah !!! Mungu tu akuhifadhi kiongozi wetu
Uko vizuri mheshimiwa Makonda 👍