MRISHO GAMBO NA MAKONDA WOTE NGEDELE NA NYANI|MAKONDA AMEMZALILISHA ENGINEER|MAKONDA AMEPOTOKA PELE
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- #nembo #fidovatonembo #nemboyounglung#kaligraphjones #kenyavstanzania #khaligrajonessongs #fidovatosongs #papamafido #fidovato #johmakini #chindoman #jcbwatengwa #chaba #stopa #johmakonibobea #bobea #rasomega #johmakini #weusi #rivercampsolders #maggav #frestyle #frestylebattle #cypher #cyprus #hiphop #rayvanny #fidovatoftrayvanny #kiswahilitv #fidovatochugahio #rayvanny #rayvany #rayvann #ray
#mario #mimimars #paula #mimimarsmarioo #marionamimimars #burudani #entertainment #mapenzi #wasanii #kingwendu #msaniikingwendu #wimbowakingwendu #vichekeshovyakingwendu #komedizakingwendu #kingwendu #komedi #komedian #vichekesho #burudani #comedy #comedyvideo #comedia #juakalialhamisi #juakaliseries #juakalileousiku #juakali #juakalijumatano #juakali #juakaliseries #juakalileousiku #firauni #farao #egypt #egyptian #mfungo #ramadhani #ramadhani #ramadhan2023 #ramadhankareem #taifastars #taifastarsvsuganda #gizauwanjawataifa #raissamia #raissamiasuluhuhassan #raissamiasuluhu. #taifastars #taifastarsvsuganda #taifa #tanzania #tanzanite #caf #car2023 #magoliyataifastars #video #samatta #golilataifastars #bondia #boking #boxing #mwakinyo #myweather #floydmayweather #floyd #floydmayweather #ngumi #vitasa #mandonga #single #singleagain #singles #singleagain #harmonize #harmonize_tz #mario #mariotz ##singleagainremixftmario #burudani #harmonizeftmario. #mandonga #mandongakenya #ngumi #ngumizamandonga #vitasa #boxing #boxingtraining #burudani #harmonize #entatenment #chama #simbasc #sport #mpira #harmonize #ramadhan #ramadhani #mfungo #mwezimtukufu #mwisilamu #waislam #mafuriko #arusha #mtongarenaro #sikatitamaa #kiswahilitv #inatisha #inauzunisha #itakutoamachozi #ukimwi #virus #virusi #virusivyaukimwi #mapenzi #dawazaukimwi #magonjwasugu #ngono. #ottoman #ottomanempire #ottomanempirehistory #ottomanbattle #ottoman_empire #revenge #revengeseries #revengekill #juakali #juakaliepisode #inswahili #kwakiswahili #mwendelezo #mario #harmonize #single #singleagain
#chama #simbasc #simba #simbafc #golilachama #prank #pranks #prankvideo #prankfreefire #prankcall #prankcall #prankindonesia #prankinindia #swahiliprank #kiswahili #kiswahiliprank #inswahili #kwakiswahili #movie #movies #movies #bubu #bubuwamchongo #wimbo #harmonize_tz #harmonizetz #harmonizenakajala #harmonizediamond #muziki #ziikimedia #diamond #diamondplatnumz #diamondplatinumz #diamondplantnumz #chitaki #wimbo #harmonize #wasafi #alikiba #shabiki #muziki #burudani #burudanikemkem #wasanii #trending #trendingshorts #trendingvideo #msanii #feisal #feisalsalum #taifastars #yangasc #yangaleo #michezolive #michezo #sports #sport #taifastarsvsuganda#uwanjani #kwamkapa #ugandavstaifastars
#alikiba #diamond #ligikuu #chitaki #harmonize #harmonize #shabiki #burudani #burudani #burudanikemkem #diamondplantnumz # livematch #ajinyonga #inatisha #itakutoamachozi #mshituko #hatari #video #chama #simbasc #chamamchezajibora #caf #mchezaji #yangasc #cafinal #usajilisimba #usajilileo #usajilisimbaleo #harmonize #harmonize_tz #harmonizenakajala #harmonizemusic #mpeziwaharmonize #wimbowaharmonize #wimbo #nyimbompyayadiamo #mario #mariokart #nyimboyamario
#alikiba #alikibasalute #darasa #burudani #burudanikemkem #trending #trendingshorts #trendingvideo #trend #treanding #video #video #videogames #videoshow #videoshort #audio
#wasafi #wasafitv #wasafifm #wasafimedia #wasafibet #wasafidigital #cludstv #cloudsfm #cloudsmedia #millardayo #millardayosports #millardayoupdates #mpira #match #livestream #livestream #live #yangasc #yangafc #yanga #yanganasimba #yangatv #simbasc #simba #simbafc #ligikuu #ligikuunbc #ligikuutanzaniabara #ligikuuyanbc #mayele #golilamayele #chama #golilachama #tamthilia #series #mchezo #juakali #juakaliepisode #juakaliseries #juakalidstv #juakalileo #juakalileousiku #ourstory #revenge #revengeseries #reversemoviefx #ottoman #theottoman #azamtv #azamtvupdates #azamtv #azam #diamond #diamondplantnumz #diamondplatinumz #diamonds #costatitch #costa #costatitch #msaniicostatitch #afariki #harmonize #harmonize_tz #harmonizenakajala #harmonizemusic #mpeziwaharmonize #wimbowaharmonize #bongofavour #bongofavourkhaligraph #khaligraphdistrack #kenyarappers #tanzaniarappers #trending #trendingshorts #trendingvideo #trend #treanding #video #video #videogames #videoshow #videoshort #audio #wasanii
#wasafitv #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz,#good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm,#wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv #jrtvtanzania #jrtvonline #jamaicandreadlocksarusha #jrtvtanzania #arusha
Poleeee sana kaka huku zambia watanzania tunkushanga we kwaza ni chadema we upoteza mda wa kujiuliza kwamba mafuta ya magali kwan magali yanini na mtu mmoja atakaguaje kazi pole sana kaka makonda.mwache afanye kazi na sasa we uko alusha lakin wa TZ wliowengi ndani nainje ya nchi wote tunamunga mkono.makonda kwa kazi za uongozi kwa anshika nafasi ya tatu wakwanza nyerere wpli mgufuli na wtatu ndie pool krstan.makonda yani utakeusitake .mimi.niko huku zambia dua zangu na taka Akawe Ris sasa wewe kaka unasema mambo yakatiba eti mafuta niyanani kwani mgali niyanani pole
Wee acha afanye kazi sisi tunamkubali sana
Huyu fala ata simwelewi
Mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe... Wananchi tujiongeze.. makonda is unstoppable
Waliotoa hayo magar wanajaza wenyewe mafuta ondoa shaka ndugu
Jamaa jinga sana linawaza kuhusu mafuta sasa hayo magari yamenunuliwa kwakazi gani,uchadema unamsumbua huyo
Jinga wewe
JINGA NI CHADEMA CHAGA BAND WANAMBAGUA MPAKA MSIGWA. DUU KWELI CHAGA BAGUZI NA ROHO MBAYA@@JosephuSwai
Dah kweli wabongo tumashida sana, gharama za hayo mafuta na matatizo yale yanayotatuliwa unaona sawa. Pima tofauti ya utu na vitu
Tunawapata vizuri sana kufuatilia kazi zake tukiwa hapa marekani
Huyo ni mufilisi wa mawazo,, hawezi kupenda kazi zinazofanywa na makonda Kwa kuwa anaakili za kipinzani zaidi si za kimaendeleo
Ukweli kwa upande wangu makonda ajanishaushi maana najuwa amelenga n.n utakuja Kuna uyo jamaa Yuko sawa
Nani kasikia makanda Anasaidia wanyonge Naombeni like
Kichwa chako siyo sawa
Makond mungu kamnyanyua kwa Arusha hii
Jr acha kufanya interview na wanywa kvant na waliokimbia majukumu
This guy has big thinking capacity. Anazungumza vitu sensible. Yaani tuwekeze katika mifumo na siyo utashi wa watu
Hilo mbona kama limelewa
Huyo mwambie ale akalale
Makonda mwache tu. Huyo ni mkuu wa mkoa wa Tanzania. Sio Alusha tu
Huyo ni mwongo makonda yuko sawa toa upambafu w
Wewe mahabusu inakuhusu huwezi fananisha binaadamu na nyani na ngedere
We mzee vp kusoma hujui hata picha huoni kazalilishwaje? Kuhojiwa ndiyo kuzalililisha?
Hongera sana msukuma
Lipi bora ukae ofisini sure ukaende field?
Kigugumizi utapata sana ,na bado makonda atafika mbali sana
Hayo Magari yapo Mitaani kila siku, bila kuwajibika kwa Wananchi waliolipa Kodi yakanunuliwa.
Kwenye Msafara wa Makonda, kwa mara ya kwanza, tunawasikia wakijieleza mbele ya walipa Kodi.
Manufaa, Kitaifa, ya anachokifanya Makonda, mbele ya safari, kama ataendelea KUPIGA SPANA, kwa kuazima lugha yake mwenyewe Makonda, MATUNDA YATAONEKANA
Hata yangekuwa 100
Kwer kaka wew ni Akili kibwa hizo ni salakas za mdomo maana hayo matatzo wameyasababisha nchi nzima
Makoooooooooooooooooooooooonda❤❤❤
Msenge..huyo..jammaa
Msishabikie mtu bila kujuwa aliko azia kumbukeni alichofanya daa ni mtu mwenye tamaa sana uyo makonda ata mweshimiwa marehemu akamtema mm nasema amshukuru sana raisi tofauti na ivyo angepotea kwenye sura ya siasa
Jamani tusimbeze anahoja. Tujibu hoja yake kwa busara na siyo kejeli
Kuna siku tutamkumbuka hii hoja
Magari si yanachukua wahusika kutatua morogoro
We kuma unajuamatusi apo nimekusifia sana au nimekutukana we mtangazaji tangazeni vitu vamsingi
Acha wivu roho mbaya mbona mkienda na chama chenu magar mengi acha uzaman ww
Mskuma gani mjinga hivo mlevi hata shule hujaenda umeishia kuchunga mbuzu
Kama mnayaonea mafuta uchungu, mtafutieni fisi wa kichawi; Magari mengi anatembea mwenyewe? Hao wanasheria na Viongozi wengine wanakaaga huko anakokwenda?
Jitu lenyewe jeusi km lami chefuu. Mnywa gongo ww
Sura yako, sauti yako, jina lako, muonekano wako na maneno yako vinakuonesha we ni jisenge tu
Ndiyo makonda MUNGU kamnyanyua kwa arusha
Mtu ukishakuwa mpinzani hata mtu afanyeje mazuri huwezi kuyaona ndo maana Mimi ntakaa sana bila chama Ila kusema kweli Makonda ni Jembeeeeee
Jamaa Yuko righty
Ww mlevi pumbavu zako umetumwa na mafisadi au. Magari 30 watalii ndiyo wamempa kumsindikiza popote kukagua miladi. Ww baba umetumwa na mafisadi utakuwa kwenye kundini la vibaka. Tutokee hapo Muache Makonda afanye kazi spana zitawapitia hadi mnyooke.
Kama huoni anachofanya Makonda hujitambui umetumwa Rais amemwamini nasi tunaona ameona mbali kumpeleka Arusha.
We mtangazaji ni mwehu, endelea kufanya hiyo interview kama huja.......
Wewe uache uwenda wazim wako makonda yupo vizuri acha muwasho wa roho mbaya ya kwanini afanye
Hata magufuli pamoja na mambo mazuri na makubwa aliyofanya walikuwepo watu kama hawa.
Sio unajiuliza kama mtanzania ..bali unajiuliza kama masikin mwenye roho mbaya.,😂😂 kinachokutesa hapo ni umasikin umekutengenzea roho mbaya
Sure😂😂😂😂
Ndomanaa uko hivyo
Hili jamaa ni Chadema kabisa.... Roho inamuuma sana...
mwenye nacho ataongezewa na asiye nacho atapokonywa
Kengeee kwenye msafara wa mamba
Weeeeeee pumba kweli
Sidhani kama huyo anajisikia anachozungumza,mpuuzi sana kwanza arudishwe kwao ana mawazo finyu sana huyu kenge.
Wewe kuku kafe huko😊
Ww mlevi
Ivi najiuliza huyu jamaa ana kosa gani kutoa maoni yake kweli kutembea na msafara gari thelathini ni ufisadi japo mjinga ataelewa ila mpumbavu awezi kuelewa hii hoja
Uyo jamaa anayejiita makonda anapenda tu sifa
Mahojiano ya kupangwa hayo
Jamaa ni mavi kabisa
Kalewa huyuuuu
Ww kakojoe ulale ..ucfananishe bnadamu wenzako na nyani. Ww mwenyewe hy sura yako ipo km hao wanyama. Ww upo kisiasa peleka ushuzi huko
Mlevi
Kama umetumwa useme
Nyau wewe umetumwa ametukana saa ngapi wewe na wewe ndio walewale kwenda Makonda hataki ubabaifu kwenye ukweli atasema tu kaza supana baba isikilize ya watu hata yesu walimpinga sembuse wewe
Wewe kalale au kavute bangi zako huna adabu mwache mheshimiwa makonda achape kazi
Sio wazee wote wanajitambua
Kama umekosa cha kuongea tulia mzee
Wewe una jipya
Wewe jinga sana ngo'mbe wewe
Hivi huyo jamaa anajielewa kweli
Hili ni jinga fulani halijui kwamba msafara ukuu wa idara wanaotakiwa kujibu hoja za wananchi wanazokutana
kuma hilo limelaaniwa hilo
Sukuma hili linaaibisha kabila bora lisingetaja kabila huna lolote kachunge ng'ombe
Yaani hili jamaa lina tatizo la nguvu ya akili
ndo unaosikia watanzania mbumbu ndo hawa
Huyo jamaa anahoja ya msingi sana ila watu wanamtukana ,wanamwonea
chizi ww
huyo jamaa atakua muuza madawa . mapingo ya makonda yamemchanganya wapi akauzie madawa yake
Hili jamaa chizi kweli.....
Katiba siyo isani za watu tena mtu mwenye tuhuma mbaya
NILIJUA UNAPOELEKEA , KILA KITU MNAPONGA
Nenda karime bangi
wee msukuma unahangaika2 acha uchadema wewe Mimi naishi Dodoma Ila natamani makonda aje kwenyemkoa wangu wee uzakahawa2 bhana hunajipya hizo no kelele zachura2 ulitaka akupemtaji wakahawa!! muache makonda tafadhali.
Pumbavu zako....
Huyu anamponda makonda kwa uwelewa wake mdogo makonda ni suluhisho la matatizo ya wana Arusha huyu jamaa anae ongea ni mhanga wa uchama Sasa makonda kwa taarifa fupi tu hangalii uchama makonda ni wawote Nina uhakika kwamba Tanzania tungekua na viongozi 50 kama makonda hili taifa lingekua mbali mno huo ndio ukweli makonda anafanya kazi unaweza ukathani au ukawa unajiuliza maswali kwamba je kwani kiongozi ni makonda peke yake ? Huo ndio ukweli
Acha siasa mzee mnyonge mnyingeni haki yake mpeni usikubali kutumiwa na wana siasa japo kidigo ulitaka kuongea point ila umefeli sorry
Wewe omba cheo kwa makonda acha bwebwe.
ACHANA NA HUYO KICHAA ANATAFITA KIKI APATE FOLLOW S ILI APATE HELA ,MWEHU NA HISI NI KICHAAA
Huyu msukuma bado atasukumwa sana akili kisoda
Imeisha hiyo ata 2025 huyo lema hapati kitu mmbwa wewe kaletwa ili awamalize suala la magar anatumia mafuta ya kodi za wananchi anaowatumikia mshenzy kabisa
Hataka yana tumia mafuta maana anafanikisha wanachi haki zao
Makonda alisema kuwa mkimgusa mvivu wavivu wote watajitokeza kumtetea,mwizi wezi wote watatokea, mjinga mmoja, wajinga wote wataamka, ndiyo hayo. Umeona anavyowatetea wanyonge, 9 utafanya mazuri, 1 ukiharibu ndio hilo gumzo la jobless.😂
toka hapo mbwa wewe
Msemaji huyu ni msukuma hajui anachokikosoa kabisa na mwandishi chujeni mambo ya kurusha hewani sio upuuzi kama huu
Kweli kaka izi ni sarakasi
Ojagani za kisenge izo umekosa vya kuoji
Nimepata shida kukuelewa. Ila uliposema TU katiba nikajuwa kumbe ni wale wale best looser every year
Kinyago hili linaongea nn? Makonda ni mkuu wa mikoa yote
Wewe huyu makonda anafanya KAZI nzuri wewe unaepinga inaonekana nimpinzani makonda anafaa hata kua waziri mkuu
asilaamiwe sio yeye ni gongo na wanzuki zinamsumbua
Kwani wewe unachangizwa pesa za mafuta?
Mlevi huyu
KERO-KERO+KERO×KERO =????