Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MWAMPOSA ATAJA VIGEZO UKITAKA AKUOMBEE PRIVATE "NAUZA MAFUTA YA UPAKO, MAJI, JAMBO NYETI NJOO"
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 4 сер 2024
КОМЕНТАРІ • 697
Наступне
Автоматичне відтворення
MWAMPOSA AFUNGUKA YOTE, NAPENDWA NA WAMAMA, MUUJIZA MKUBWA ALIOFANYAMillard Ayo
Переглядів 171 тис.
HAWA ALIKUWA MKE WA PILI WA ADAMU| ADAMU ALIANZA KUUMBWA NA LILITH KABLA YA HAWA, HAKUWA MNYENYEKEVUWasafi Media
Переглядів 55 тис.
SIMBA KUMKOSA MANURA KIZEMBE/MWENYEKITI AFUNGUKA KILA KITU SAKATA LAKESAM ONLINE TV
Переглядів 4
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000MrBeast
Переглядів 90 млн
Опасность фирменной зарядки AppleSuperCrastan
Переглядів 12 млн
🔥Огненный фокус с зажигалкой Zippo! #обучениефокусам #александрнапорко #напоркоАлександр Напорко
Переглядів 6 млн
Лукашенко демонстрирует не лучшую форму #беларусь #dwбеларусь#лукашенкоDW Беларусь
Переглядів 688 тис.
MWAMPOSA AFUNGUKA MISAFARA NA ULINZI “YESU ALIKUWA NA MABODYGUARD 12”Millard Ayo
Переглядів 17 тис.
UTACHEKA UFE DOTTO MAGARI NA ISSA TAMBUU WAMCHANA MAKAVU MWIJAKU KWA MUONEKANO WAKE HUUBinaTv
Переглядів 25 тис.
Wanaopinga huduma ya kuuza mafuta ya Mwamposa wao wamefanya nini?ALEX MWANGOSI
Переглядів 741
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"BBC News Swahili
Переглядів 119 тис.
UKIKUTA MWANAMKE HANA BIKIRA HUYO SIYO MKE WAKO| DAMU YA BIKIRA NI AGANO LA NDOA, HAKUNA MWENYE MKE.Wasafi Media
Переглядів 49 тис.
KUNYWA POMBE NI MAKOSA LAKINI SIYO DHAMBI| KUNYWENI BAADA YA KAZI| POMBE NI MLANGO WA SHETANIWasafi Media
Переглядів 27 тис.
PROPHET IPM AWAUMBUA WACHUNGAJI WANAOTUMIA MAFUTA YA UPAKO NA MAJI HUWEZI PATA UTAJIR KWA MAFUTAMaks Media
Переглядів 84 тис.
MCH :HANANJA AMTOLEA UVIVU NABII KIBOKO YA WACHAWI SIRI ZA KUTOA MAPEPOBongo Touch
Переглядів 226 тис.
CHIEF GODLOVE,APANIA KUFUNGUA KANISA LAKE LA KUHUBIRI MAFANIKIO NA KUPINGA UMASIKINIBONGO 24
Переглядів 9 тис.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro maxЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Переглядів 8 млн
«Hummer - ласа ціль для окупанта» #shorts #війна #зсуСуспільне Запоріжжя
Переглядів 97 тис.
Fast and Furious: New Zealand 🚗How Ridiculous
Переглядів 44 млн
У ТЦК втік "улов"ТРК Аверс
Переглядів 254 тис.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
Переглядів 29 млн
Як морпіхи ЗСУ проривалися на «Азовсталь» на машинах із ZРадіо Свобода
Переглядів 1,3 млн
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣DADDYSON SHOW
Переглядів 49 млн
Huyu baba ni habari ya Dunia ! Mungu akuongezee hekima Mtume,kupitia ww Mungu amenitendea vingi sana. Amen
Tupo wengi yaan abarikiwe saana
Kwa nini hufundishi masomo ya uzima wa milele? Kwa maana Hao watu hata wakipata miujiza, lakini ipo siku watakufa. Lingine washirika wako mbona wanashika watu uchawi. Nisaidie sielewi hapo!!!!!
siyo habari ya Mbingu ni ya Dunia
@@anevelymkambi5389 hata hao wanaosifia ni watu wake maandiko yanasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
❤
Kamaa hujawahi kupata matatizo ukasaidika na huyu baba kamwe huwezi kumwelewa....
Nakupenda sana Apostle na Mungu akutunze zaidi❤❤❤
Kama hujawahi kupata matatizo ukasaidika na Mungu kupitia watumishi wake huwezui kuwa kuwaelewa sio wao wanaoponya bali ni Mungu
@@user-yb3kx5gw7f upo sahihi sana, ni Mungu ty, ila unamkuta mtu anamuabudu mtumishi wa Mungu kuliko Mungu mwenyewe
@@Thisisgrace979😂😂😂😂😂hatar
Sikuzote wachawi ndo wanaowapinga watumishi wa Mungu coz wanaharibiwa mambo yao kwa upako Amen 😂😂
Mwamposa una hekima sana kwenye kujibu maswali mungu aendeleee kukupa hekima zaidiiiii❤
Amina
Sanaaa this man he is so wise watu kumuelewa wanajizima data tu
Vibaya mno kuna mmoja akihojiwa kwanza anaangalia kwa dharau na pia anaongea huku kaweka mikono mfukon
Mimi sisalali kwako lakini sisubutu kumtukana mtumishi wa Mungu kama anadanganya hayanihusu mimi ninachojua anaponya kwa jina la yesu ole wako unesubutu kumtukana mtumishi wa Mungu
Nilikuwa namsema vibaya sana huyu mtumishii ila kuna siku Mungu alisema na mm kupitia mtu juu ya huyu mtumishii aisee niliomba tobaa kwa machozi nikasema sitarudia kuongea jambo lolote kwa mtumishi yoyote wa Mungu
kwakweli ujui mtu anapatano ghn na mungu tusihukumu wacha mungu aonae sirin ndio ajuwaye yupi aliemuit nayupi aliejiita mwenyewe
Thank you so much apostal My God bless you ,through your ministry i and my family we are nolonger the same the Jesus you have has changed our life for good we love you
May God Keep on blessing you true Man of God🙏🏿Huna baya Baba yetu mpendwa ,umeokoa Wengi mno ndani na nje ya Nchi,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na kukubariki sana sana.
Mm Mungu amenitendea mambo mengi sana makubwa,kupitia madhabahuu hii ,nasonga mbele
Hivi ashawahi kuhubiri habari ya wokovu kweli au anatangaza tu miujiza.
Amina
@@fredykanju8811uatilia mahubiri yake ni Moja ya watu wanafafanua Neno kinaga ubaga
wewe songa ila Mbinguni utapasikia
@@fredykanju8811 Miujiza sio Habari za wokovu? Unamjua Simioni Mchawi wa kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume aliokoka kwa sababu ya kuona miujiza, watu Wana matatizo una hubiri wokovu unamwacha bado karogwa huyo ni Yesu kweli? Yesu alikuwa anahubiri na kuwaweka watu huru.
Mafutaaaa majii haaaa mbunguni ni mbali tutubu dhambi na kuacha baada ya kifo ni hukumu. Mmhhh MUNGU AIKUMBUKE TZ
Umeongea kitu cha maana mpedwa
Hunabaya mwamposa wet tunazidi kukuombea mungu akupe maisha marefu uzidi kutufungua
Asante Yesu kwaajili ya mtumishi ulietupa ninatembea kifua mbele chini ya Upako wa Mungu alie hai,glory to God🙏
Duh hahahahahah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ooooh hah😂😂 haha aahhaah 😂😂😂oouuhuuuhahaa wajinga ndiyo wakowao haah😂😂huuuu
unaushaidi gani Yesu kakupa huyu?
Injili ya kweli ni ile inayoanza kuziponya Roho zinazoangamia wala si kuuponya mwili tu kwa kuudanganya kwa vitu vizuri vya muda hapa iko siri Ajuwae Mungu wala tusihukumu tukaja kuhukumiwa.
@@JonathanNtauta anaeumwa mwili ni ngumu kupona roho. Mwenye njaa anahitaji chakula ndipo umpe neno la Mungu. Asiposhiba hata uongee vp hakusikilizi hata Mungu anajua hilo ndo maana Yesu alifanya kazi kubwa ya kuponya miili ya watu
Umeongea ukweli mimi nilikuwa mtu wa Dunia nikafatilia mtumishi aneitwa Bishop elibariki sumbe nikwa na hofu na Mungu kwanza ndio nikaacha tibia mbaa unalolisema upo sahihi
@@RobertsonNandime-eo9fp sijaelewa kwa sumbe ulivuna nini?? Kwamini kwa sumbe nilivuna kikubwa mnoo namshukuru mungu sana
@@abelmbata37kakwamia nani ni ngumu😂 muujiza yesu alifanya kwa wakati wake ila the news was Ufalme wa Mungu
@@richardcastromzena5136 kama rahisi nenda kawaambie wale walio hospitali watoke waende kuhubiriwa injili maana wanatakiwa kupona roho. Uponyaji wa roho unaanza na utayari wa anayeponywa nani aliye tayari kuhubiriwa injili akiwa ana maumivu? Mwenye uwezo huo ni yule aliye na roho wa Mungu ndani yake. Hata Yesu alipoletewa wagonjwa hakuwahubiria kwanza bali aliwaponya ndipo alipohubir habar za ufalme. Hata wachungaji tulio nao wakiumwa wanaenda hospitali hata kama ni siku ya ibada huo ndio ukweli.
Waru wengi hatufaham uponyaji ni sawa na kuhubir maana wapo wanaomwamin Mungu kupitia watu walioponywa.
Hata watu walijaa kumsikiliza Yesu na kumwamini kwa miujiza aliyoifanya.
Mtumishi anasaidia wengi sana sababu huwezi kusema kwamba watu elfu tano wote wakose akili kumfata mtumishi ukiona una akili za hivo ujue hujakutana na matatizo barikiwa sana mtumishi 🙏🙏
Soma biblia Mathayo 24:15-30
@@manswetitsuut sasa mbona ulichojibu hakiendani na andiko ulilosema wasome?
Sorry nime note vibaya
Mtumishi mungu akuongezee siku za ishi hapa duniani unaokoa wengi na unaponya roho za watu kwa kupitia jina la yesu
Abarikiwe saana
MUNGU akupe maisha marefu mtumishi mwamposa, asante sana baba kwa kutukomboa 🙏🏾🙏🏾
Bwana Yesu alitumia neno kumponya mgojwa wa yule akida, katika kitabu cha Mathayo 8:5-13. Alimwambia yule akida, enenda zako, iwe hivo kama ulivyoamini. Yule mgojwa alipona. Petro na Yohana walitumia neno la Mungu kumponya yule kiwete ambaye alikuwa anakaa mlangoni mwa hekalu, alisema nilichonacho ndicho nikupacho, simama uende zako, katika jina la Yesu Kristo, . Yule kiwete alianza kutembea vizuri. Matendo ya Mitume3:1-9. Sasa mwamposa hii mafuta ya upako umetoa wapi? Watumishi wa Mungu hawatumii mafuta ya upako. Wanatumia jina la Bwana Yesu Kristo. Haleluyaaaa.
Katika Marko 6:13, wanafunzi wanawapaka mafuta wagonjwa na kuwaponya. Katika Luka 7:46, Maria anatia mafuta miguu ya Yesu kama ibada. Katika Yakobo 5:14, wazee wa kanisa wanatia wagonjwa mafuta ya uponyaji. Katika Waebrania 1: 8-9, Mungu anasema kwa Kristo Anaporudi kwa ushindi mbinguni, "Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitakaa milele na milele ..." na Mungu anamtia mafuta Yesu "kwa mafuta ya furaha".
@@ASANTEMAMAHERBALhawezi kurudi huyu umempa nyundo kwelikweli
@@Leeeeeeee-96 nisirudi? Acha ushamba
@@ASANTEMAMAHERBAL mafuta inayozungumzwa hapa sio hiyo mafuta kama mafuta. Ni swala la uelewa tu. Ww bado ni kiongozi kipofu.
@@ASANTEMAMAHERBAL Yakobo 5:14, inasema hivi, mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa, nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Hapo hamaanishi mafuta kama mafuta, ila jina la Bwana ndio mafuta. Afu tafsiri nyingine ya mafuta bac ujue ni neno la Mungu. Oky? Kwanini umepotoka kiasi hiki? Yesu Kristo akusaidie. Amen.
Mungu bariki mtume Mwamposa.Wengine mafuta ni Gali Sana na kumuona ningali Sana.Ila yeye ni bure.
Siandiki kitu😮 maana watu wanafoka tukikosoa miujiza ya. Maji na mafuta😂
Amazing how the whole message not a single mention of Jesus.
JESUS IS HARMFUL TO HIS ALTAR.YOUR OBSERVATION IS VERY SPIRITUAL.THE BLIND DON'T SEE THIS!
He was not preaching..but interviewed
@@bernardmushi4869...shame on you being a fake witnessed 😅😅speaking without evidence...he has been mentioning Jesus Christ in his altar a thousands times
@@bernardmushi4869usilitaje bure Jina La Bwana Munguu wako😂😂😂
Ni hapo sasa!
❤❤❤naomba Mungu aendelee kukuweka kwa ajili yetu ubarikiwe saana baba yaan ❤❤❤❤
Maji, mafuta ndio nini uchawi, au unaagua, hakuna mungu hapo, hapo unapotosha watu
Hivi kwanini watu wanaenda kuhijj macca na kwanini wanachukua maji ya zamu zam?
@@johnsyonetz8323 have respect don't insult other people religion mind your business
Bora wewe ni Mkristo lakini unae akili ningeandika mimi muslim wangesema sana😂😂😂🎉🎉
@@GodfridMbele-sb1ks umelazimishwa kuangalia au kwenda mshamba ww
Vipi kuhusu ndugu zetu na maji ya zam zam? Vipi yesu alivyomponya yule kipovu kwa tope alilolitengeneza kwa mate? Vipi kuhusu kwenda kunawa mtoni mara 7?
Huyu mtumishi ni wa kweli kabisa,ni mtumishi wa kweli wa Mungu
Kweli apostle barikiwa baba tunafuraha kwa hajili yko tunapona na kufunguliwa 🙏🙏🙏
Namkumbuka sana akiwa Moshi Machame mianzini 🎉🎉kwa mzee massawe 😊😊
Huyu ni mtumishi wa Mungu kweli hakuna wakupinga na hata anayepingq anajua moyoni mwake
Swala la muda tu ngoja inyeshe tujue panapo vuja
Word
Naunga mkono pia kauli hii
Unacbria anguko lamtu bado aujaawa mtu mzima bado unahtaji maziwa
Hakika ni suala la muda tu
Unachukulia historia ya Babu wa roliondo😂
Mungu akuongezee baba yetu miaka mingi akuzishie
Mungu amubariki sana mtumishi
Mungu azidi kukuinua baba ubalikiwe
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mungu ampe maisha marefu sana mwamposa
Mungu akupe maisha malefu sana❤
“Ikabidi Mungu anipe hekima” kweli watu wanopotea kwakukosa maarifa.
@@goodluckkiget6359 we maarifa unayo? Basi wasaidie hao wanaoenda kwa Mwamposa ili waje kwako
Unajuwa bei ya kuandaa hayo mafuta?
We mjinga,mafuta yachangiwa sadaka ili ipatikane garama yakuandaa mengine,we nenda dukani ukachukue bure,ukatumie nyumbani kwako,nyie ndio mashoga mnaotaka vya bure,loh aibu,kaa kimya Mungu atakudhalilisha na uzao wako,uwe kichekesho,
@@joycefrances4516 mmmh!
@@joycefrances4516 Hili jibu ni kama mtu aliyepotoka 😂
business kam business zingine 😂😂😂
Be bless servant of JESUS
Ubarikiwe sana baba. Nakuelewa
Mganga wako mzuri mm napokea upako, tuwaache waangamie kwa kukosa maarifa, Mungu akubaliki Sana mtumishi
Wapo wapi akina Kakobe?wapo wapi akina Mzee wa Upako mpaka leo?na huyu naye atapita....watu wetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa.karama za Mungu huwa aziuzwi.bali karama za muovu zinapangiwa bei.
Elewa alichosema 😂😂 hizo kopo za kuwekea majii unampaga wewe!? Yeye na waumi wake walikubaliana kuchangia hela ya kopo sio maji wala mafuta asa unaumia nini
Alfu kijana Mwamposa umeanza kumskia leo au 😂😂😂😂 usifananishe na kina mzee wa upako....
@@iamnick8547Mafuta ya nini??Amuombe Mungu asitumie Maji au Mafuta
@@iamnick8547mmh Ndugu
Ni kweli YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai ndo Mwenyezi MUNGU
Ngozi nyeusi Shida hatutumi Akili kabisa Dini watu Saizi ni biashala ibada Nzuli Ni kufanya yaliyo Mapenzi Ya Mungu Vinana saizi wamejua wa kinga wengi mmoo paka wana kela
Akil mingi
Nyie watu, hamkumbuki maneno ya Yesu? Manabii wengi(sio wachache) watatokea duniani na kudanganya wengi ( sio wachache) maneno ya Yesu lazima yatimie. Kwa hiyo ya mwamposa na wengine wengi wao ndiyo wanaojua kama wanamtukia au la, Sisi wengine hatuelewi siku moja itajulikana tu. Ila elewa mahali dunia iko ni hatari kuliko kawaida.
Munguu akulindee mwaposaaa
Ee Mungu utuokoe kwa njia ya msalaba wako mtakatifu amina
Wewe ni mfanya biashara kupitia Jina la MUNGU.. hakuna tafsiri nyingine..endelea kula hela za wajinga kwani imeshaandikwa "watu wanaangamia kwa kukosa MAARIFA" ni wizi tu.
Kwan biashara ni dhambi.....foolish mind
@@user-hy4zb3eg1z you're as brainwashed as everyone else.... bogus mind...
Kwanini na ww usiifanye hiyo biashara mkuu,kaifanye uone utaingiza pesa kiasi gan
Si ni bora anatumia jina la Mungu kufanya biashara kuliko nyie mnaotumia waganga. You gotta be reasonable
Kafanye na ww upate faida Muraaa
Unafanya biashara kwa jina la Mungu...Yesu hakuwa mjinga kufukuza wale wafanyabiashara sinagogi
Usichukue sadaka tokakwa masikini😢😢.Yesu hakuwa hivyo
sisi tutaangaikia ufalme wako ee YAHWEH,YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai na ikikupendeza Mungu wetu hayo mengine tutazidishiwa , Asante YESU maana ni MUNGU hakuna kama Wewe,ni mwema, mpole na wala umhukumu mtu ila asiye liamini jina lako
Hata Yesu alifanya miujiza mingi zaidi ya hii ya Leo. Tatizo hujawahi pata shida wewe!. Siku utamtafuta TU mwamposa
Aliyeandika NENO kuwa AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU ni nani mjomba wako?????
We nae ni zuzu... so tukipata shida kimbilio letu ni Mwamposa na sio kupiga magoti ku muomba Mungu?
@@chrisshongaYesu anaaminiwa ila watumishi wake kama huwaamin Yesu utamuamini 😂😂😂 ulitaka Yesu aje umuone
@@user-cd9nd9wd5q kila kitu kinamtumikia YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai-mwenyezi Mungu jamani sisi ametuonesha kwenye roho na mwili kuwa haka ni kapepo ka kuzimu
MCHAWI ORIGINAL, Mwenda KUZIMU.... MTAALAMU WA KAFARA TANZANIA
Uponyaji na miujiza ni products sikuhz 😂😂😂
Tatizo watu wanaamini miujiza wala siyo kuamini kuwa Yesu anaponya hapa kuna siri nzito
@@JonathanNtauta umejuaje kama hawaamini uponyaji wa Yesu? Kwani yesu si anaponya kupitia watumishi wake? Kwa hiyo walioenda kwa mitume akina Petro na Paulo nao hawakuamini kuwa Yesu anaponya?
@@abelmbata37anaponya bila watumishi
Sasa yesu akikuponya hiyo SI ndo miujiza
Changanoto ya Hawa watu hawajui miujiza ni nini
Wakristo mtatuonyesha mambo kwani anaeponya ni mungu au yesu??@@abelmbata37
The world icon🌍
kati ya vitu ulivyovifundisha ee YAHWEH, YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu ni kuangaikia mwili
Jamaa anawapiga sana wamama hela
Yupo smart kichwani.
Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
amina ❤
Namshukuru mungu ameniponya kupitia huduma hii ya madhabahu yainuka uangaze
Mungu akuzidishie baraka umenitoa mbali
Tapeli aliejipata
Anakula vichwa vya watu 😂😂😂
Na watatapeliwa sanaaa😂 mpaka wakome
YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu ametuonesha haka ni kashetani tukiwa katika roho na mwili
Hallelujah!
Tunao kuelewa tupo Mtumishi wa Mungu, sio lazima kila mtu akuelewe. Ndomana kuna imani tofauti dunian, ukristu wenyew umegawanyika -walokole,waingrikan,wakatolik,wasabato, mashahid wa yehova nakazalika......
Wanaoelewz na waelewe wasio elewa ba waacheee..
Kuna njia nyingi za uponyaji, tuwe makini sana kwenye kuwatuhumu watumishi wa MUNGU, Nabii Mtumishi wa MUNGU wa kweli Boniface Mwamposa ametusaidia wengi, Chondechonde muacheni msimvunje moyo
Anasaidia au anawapoteza
@@fredykanju8811 amekupoteza wewe na ukoo wenu 😏
Mungu akubariki baba
Mzee una hekima sana Ktk kujibu maswali
Kabisa
Hekima ya kipepo na kuzimu.
Kaja na akili tu mjini 😂
We akili unayo na hela huna😂😂😂masikini wa kutupaaa
huyu jamaa anatumia jina la MUNGU kuleta uharibifu kwenye roho za watu,nalichukia hili li shetani, Asante YESU KRISTO wa Nazareth uliye hai kwa kunifunulia la sivyo ningekuwa kama wao wajinga
@@magrethmbuma3045 maskini ni nini? maskini ni kuwa mbali na YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai,sisi wakristo wa kweli hatuhitaji chochote
Mungu anakwelewa na anakweshim sana baba uzidi kuinuka
Wetapeli hunalote majibu yatapatikana
Nakukubali mtumishi shida yangu ni haya mambo ya mafuta na maji mmmh😏
Ndo Nini unapenda nyama hutaki mchuzi wake?
Msikilize akifundisha na soma maandiko utamuelewa
Kweli tanzania ndio nchi yenye wapumbavu wengi duniani
Ha ha ha ha ha ha ha! hakika
kweli bro, lakini huyu jamaa ashaamua kumtukana YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai -mwenyezi Mungu,ni ka shetani ka motoni
Imani huja kwa kusikia, kusikia neno la Mungu, mara nyingi watu wanaocomment vibaya, walisikia jambo kuhusu yeye ambalo si zuri, na bila kufuatilia wakasema ni kweli na kuendeleza sumu waliyoipata kwa wengine, Maana Chuki siku zote hupandikizwa, na wanaocomment vizuri walisikia, kuhusu yeye habari njema, wako hapa. wanaoamini na wanaopinga Amani iwe nanyi.
umezifupisha siku zetu,miaka yetu ni michache, BWANA hatutauhangaikia mwili unaokufa kesho ila ufalme wako na watu wote ni watumishi wako ila kuna mashetani wala kondoo kati yetu ambao sehemu yao ni kwenye ziwa la moto na wao wanajua hilo,wakakufulu kwa kulitumia jina lako wakadharau damu yako pale msalabani na YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai uwaondoe na watu wote waone
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
Mungu akutunze Mwamposa
Ok
Kubali kataa haijalishi umetendewa jambo gani kupitia huyu mtumishi lakin ukweli ni kwamba hajaitwanna mungu kwa vigezi vya kibibilia
Kwahiyo Nguvu za Mungu zinauzwa?
Mm binafsi siamini juu ya iman ya huyu jamaa
Siyo lazima uamin ww
Nikweli kaka
Unajua hujui, nenda kwa waganga wako
Watu weusi wanaangamia kwa kukosa maarifa...yan huyu ndo mtume wa kwanza kumiliki lodge😂😂😂😂
Hapo kwa mafuta ndipo hatuelewani, tulipewa bule toweni bule.😂😂😅😢
@@norbertharumukiza6574 hivi unaelewa hata maana ya sentensi hiyo? Kwa nn hujiulizi mbona biblia neno la Mungu linauzwa?
Yeye amenunua bure
Acha ujinga ww huna akili umekalili maandiko mshamba ww
Dady ❤❤❤
Shindwa kwa jina la Yesu, rikabato reee sikatelekaa, Ee Mungu tukomboe sis wanao tunaohangaishwa na matapeli wa injil
Stella😂😂😂
umeambiwa uende 😂
😂😂😂😂Sawa Mungu
Rikabato ree ndo Nini Kuma wewe, biblia imeandika walionena kwa lugha walikuwa wanaelewana na pia ukinena kwa lugha bila jamii kukuelewa ni Malaya tu😂
Paschal casian mbona nae ni shoga tu ni hao hao tu wa shetani
Mimi na Wengi tunaokupinga, tunasimamia kwamba "Siku za Mwisho watakuwepo Manabii wa Uongo" na tunakataa kabisa kwamba "Mungu anatenda Miujiza" na tunakataa na kudai kwamba "Siku za mwisho Mungu hatamwaga Roho Wake na watu hawataponywa", mimi na wote tunaokupinga tunahekima sana, tunakataa kabisa na kusema "Mungu sio mwenye huruma na Upendo hata amtendee binadamu fadhila", Tunakataa na kusema kwamba "Mungu yuko ndani ya Madhehebu yetu tu na siyo nje ya madhehebu yetu", mimi na pumbavu wenzangu tuliologwa na kulogeka, tunaamini kwamba, "wanaoweza kutenda Miujiza ni mapdri na wachungaji wa madhehebu yetu kwa kuwa wamesoma sanaaaaa biblia!" Mimi na wenzangu, tuko vizuri sana ktk maandiko na werevu sana ktk maongezi, lakini, KAMA HATUWEZI KUFANYA MUUJIZA WOWOTE, NA TUNACHOWEZA KUFANYA NI KUONGEA TU , NA KAMA WATU HAWASOMI MAANDIKO NA KUJUWA NYAKATI ZA KUJILIWA KWAO, KWANINI MIMI NA WATU FULANI-FULANI TUSIENDELEDELEEE KUWAFUNGIA WATU HAO MILANGO YA NEEEMA YA DAMU YA KRISTO?
Mwamposaaaa moto unakusubl na mganga wanu tunamjua uko nigeria paschal cassian mtumishi na mwimbaj anajua sana suala hilo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 BUKOBA TZ
Na ww nenda Nigeria Kwa huyo mganga
Mambo ya walawi,waefeso na nyakati hizi mambo zinaisha na mwisho wake mbay yuk wap Tb joshua wa nigeria kuna mtu aliwahi kukusanya umati km ule njoo uganda yupo kakande pia mwamposa cha mtoto ila the ending of dis is🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@@user-im7wv1dnISUUKUMU USIJE UKAUKUMIWA
@@user-im7wv1dn Ingekuwa hivyo basi waganga wooote wangekimbilia huko.
Maana pake kawe Vipofu wanaona, viziwi wanasikia, wasiozaa wanazaa, mapepo yanafikuzwa na vidungu vyoote kufunguliwa. Jina la Bwana litukuzwe
Kichaaa ww Ww ni mganga ndio anawachoma moto na maombi mnakuja huku mnaongea pumba😂
Aminaaa
Watu ni wavivu kufanya kazi wanakimbilia makanisani ili kupata kazi😂😂. Unafanya kazi then unaenda kanisani kutoa sadaka
Mungu anatenda jmn achane kumkashifu vbya mtumishi wa mungu
❤❤
Mimi nimempenda sana huyu mtumishi kwakua anatumia mafuta.
Mwisho wa mchezo yanakuja mambo ya bushiri wa south na tb joshua Nigeria
Kwani kazi zake si zinaendelea pamoja na kwamba hayupo , kazi ya Mungu haifi watu wanakufa
@@imanimwanjoka2671mpotevu😂
@@imanimwanjoka2671😂😂😂
Mimi nakuelewa Sana mtumishi mwamposa wanao kupinga ndo wale wenye wivu mkubwa na huduma yako
Mwanzoni ilikua ngumu kukuelewa kutokana na maneno mengi ya watu kukusema vbya nilikua sikuelew maana sikukusiliza mahubiri yako na hekima yako lakin nilipo Anza kukufuatilia baba wew ni mtumishi kbsaa wa Mungu nimeona nguvu ya Mungu kupitia wew kwenye Maisha yangu
Na utamuona sana usijali😁😁😁😁😁
@@chrisshonga tena zaid na zaid yaani
Na waenende kwa sheria na ushuhuda ikiwa hawasemi sawasawa na neno hilo, bila shaka kwao hapana asubuhi..! Waambie watu watubu dhambi yesu anarudi.
Habari za maji na mafuta na kuhubiri mafanikio peke yake ni injili iliyokinyume kabisa na neno la Mungu.
Sasa kama maandiko yanasema manabii wa uongo watatokea mnadhani ni akina nani kama sio hawa?! Wachache sana wanaiona njia ya kwenda uzimani.
Kilicho andikwa na yanayosemwa ni vitu viwili tofauti ,,, watu wa Mungu wanapingwa sana😢
Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake hata ajapo Bwana ambaye atayamulikisha yaliyo sitirika ya Giza na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo ndipo kila mtu atakapo ipata sifa yake kwa Mungu 1kor 4:5. Kwa andiko hilo niwaombeni wapendwa muachieni Mungu kazi msimseme vibaya mtumishi yeyote, Mungu ndiye atakaye wahukumu wenye haki na wasio haki soma mhubiri 3:17.
Anaponya nini sasa huyu jamaa. Kaahamponya nani jamaa serikali inabidi iingilie kati huu wizi
Usiongee usichojua ww
kakuibia nn una nini mpaka akuibie ww unaumia nn sasa
Njaa mpendwa kama serikali kuingilia kati ni jinsi watu walivyokanyagana na kufa wakati ule lakini pesa ilitembea na serikali inazidi tu kumwachia aendelee kuua na kupeleka watu shimoni
Mwamposa kamponya bibi yako umesahau? Alafu hiyo serikali unayosema iingilie kati ndo inapeleka watu kwa Mwamposa au shida zao zinawapeleka😂
@@caesar7745 kakuponya ww na ujinga wako
Hakika Wewe Mtumishi Wa Mungu Mwamposa ww ni Mti wenye Matunda ila Wanao Rusha Mawe Kwako Yawaludie Wenyewe Mungu Akupe Maisha Malefu Baba Huna Baya na Mtu
Mungu akutunze usaidie watu asiwepo wa kukuludisha nyuma
we mpumbavu husiye kuwa na roho mtakatifu akakufundisha
Katika agano jipya miujiza au zana za upako hazijawahi kuuzwa pia Yesu ameagiza tupakwe mafuta ya Roho mtakatifu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Watu wanaomsifia hata neno la MUNGU hawalijui na hawaendelei kulijua kikubwa kwao wapate miujiza tu
Yan binadamu wa dunia hiii wakion tu mtumishi mzr freemason kwakwel kama anawalipa bas mm pia ningelipwa