RC PAUL MAKONDA ASEMA! 'HATISHIKI' AENDELEA KUWAPIGA SPANA NA WALA HAOGOPI KITU.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 тра 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 124

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Місяць тому +19

    Safi sana Mh Makonda. Jeshi la mtu mmoja nguvu kazi 💪💪💪 Piga spana hao

    • @PoulMarwa
      @PoulMarwa Місяць тому +2

      Namkubali sana namwona kuwa Rais wa miaka ijayo

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g 11 днів тому

      @@PoulMarwa Naam

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Місяць тому +22

    Arusha imepata raisi wake hakika pamoto hatari Arusha

  • @oliashoo4675
    @oliashoo4675 Місяць тому +6

    Nawaza tu lakini
    Mh Raisi wetu mama Samia angempa nafasi mh, Makonda awape semina, Wakuu wote wa mikoa, wafanye kama afanyavyo yeye, Hakika taifa letu Mungu angeliinua zaidi.
    Eee Mungu Mlinde Raisi wetu, Mlinde Mh Paul Makonda
    Ilinde Tanzania
    Amen

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 Місяць тому +4

    Safi sana Mh.Paul Makonda.Wengine wamelala na kupokea mishahara bila kuwahudumia Watanzania ipasavyo.Mh.Makonda achape kazi.

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Місяць тому +5

    Makonda fanya kazi,Nakupenda na umewapa za uso.Hawana utetezi bali kiki ,Wanawake tunapigwa, tunabakwa,tunauwawa Sijasikia haki za binadamu,wala U WT nk.Wasimpunguzie kasi Makonda.PIGA SPANA Makonda.

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania Місяць тому +11

    Arusha rahaaaaaaaaaa na Mh Makonda

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Місяць тому +7

    Kitenge umezege mate😅😅😅😅😅 wallah nimecheka sana. Arusha imeanza kunawiri kwa nguvu ya Mh Makonda 🎉🎉🎉.

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i Місяць тому +7

    Sana na awapige TU hongera sana mhe makonda wewe ni tumaini la watanzania

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Місяць тому +1

    I love makonda ❤ god protect him pls🙏🏿

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Місяць тому +2

    Kweli waje waongelee arusha waone halooo hakuna atakaewaelewa mama samia asante kutuletea makonda ubarikiwe sana

  • @NeemaJuma-os6uo
    @NeemaJuma-os6uo Місяць тому +2

    Safi sana tz tungepata watu kama hao 10 tu tungefika mbali Kwa kweli

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 Місяць тому +6

    Tunajua kitenge umpend makondq,ila najua ipo sku utamkubal tu

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Місяць тому +8

    Sio Arusha Tu hata Sisi katavi tunamhitaji makonda

    • @JanethKavishe
      @JanethKavishe Місяць тому

      Wee Kilimanjaro tumeshamuwahi ohoo

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Місяць тому +2

    Mnafki mkubwa na liupara lako hilo shoga maulidi kitengo bwana ako nape kakutuma,Paul CHRISTIAN makonda hamuwezi huna malinda kitenge maulid

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Місяць тому +3

    Wanyooshe baba hawakufanyi chochote watu wanateseka nchini kwao.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Місяць тому +1

      Kwel awanyoshee tu achane na hao wanafikii

  • @octiminja5260
    @octiminja5260 Місяць тому +1

    Mama SAMIA PLZZZ KUWA NA MSIMAMO THABITI KWA KIJANA WAKO WATENDAJI WAMEKUWA LEGE LEGE SAAAANA KAMA MILENDA WANA KUPIMA IMANI MH RAISI. Aaacha SINDANOOO YA CRISTAPEN IWAINGIE WAVIVU WALA RUSHWA WEZI WOTEE. DADA ZUUU FUMBA MASIKIO NA MACHO KWA WAPIGA KELELE WANAOMPINGA MAKONDA PLZZZZZ

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Місяць тому +7

    Ila nyie jamaa 😂😂 sema Makonda ni mtu wa maana kbs hana baya baba wa watu apge kazii

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Місяць тому +7

    Makonda tunakupenda,

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 Місяць тому +2

    Kitenge ipo siku utagongwa bila parachute

    • @geey7893
      @geey7893 25 днів тому

      😂😂anawashea Mikundu saana

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Місяць тому +4

    GO MAKONDA GOOOOO..WAPELEKEE MOTO...WABANE SPANA😂

  • @user-ge3ni4qn4u
    @user-ge3ni4qn4u Місяць тому +2

    Kitenge hongera sana

  • @EneaMbogo
    @EneaMbogo Місяць тому +7

    Mwamba anapiga kazi,,,,asisikilize polojo ili aendelee kuwatumikia wana Arusha 💪

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Місяць тому +2

    Yaaaan nchi hii hakuna kuleana aisee kama kuleana ni miaka 60? Kwel? Nchi yenyew bado maskini,,, pesa inatumika vibaya kiongozi asiseme??? Tena makonda watamkoma

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 Місяць тому

    Yani nafurahia Tu, Nitoshe kusema apo alipo anastaili.....SASA KWA MSAADA MUNGU WETU MAKONDA ANARUKA UKUTA, MUNGU AMESHAINGILIA VITA YAKE, KILA ANAYEINGILIA VITA YAKE, SAA HII KUPIGANA ANAKUFA.🙏🙏🔥🔥💐💐💐

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Місяць тому +4

    Hii nchi ilipofikia inabidi viongozi wa aina ya makonda waruhusiwe kutumia viboko kucharaza viongozi wapumbavu kama yule dada

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv Місяць тому

      Umenifanya nicheke,mpaka napata wazo wananchi tuungane tuwakamate tuwachape wenye viboko hawa wapuuzi sana

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp Місяць тому

      😂😂😂😂kabisa yani tuwapigee mbwaa awaa ​@@DeogratiusAndrew-zi7zv

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Місяць тому +1

    Ni heri kutolipunguza au kutoliongeza jambo! Hawa ndio waandishi wa sasa🙌

  • @mathiasduduru628
    @mathiasduduru628 Місяць тому +1

    Wazalendo wapo sema vita dhizi yao ni kubwa.Mungu msimamie Makondawise wadudu saivi mambo shwari na wanapiga doria kumlinda kijana mwenye upeo wa uongozi Makonda ni kiongozi na nusu.
    Mama muongezee nguvu mpe ukuu wa wilaya Lengai Ole Sabaya hawa vijana wakiungana Arusha na Tanzania kwa ujumla tutaona sura ya uongozi.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Місяць тому +9

    Makonda saaafiii. Kile kibibi cha uwt ndio vilaza wanaoturudisha nyuma kama taifa, mizigo

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland Місяць тому +1

    ❤❤❤ hahaha tuko nae pamoja na makonda

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Місяць тому +1

    Hando anaongea kimzaha lakin anaongea lililo kwel...arusha akiondoka makonda ccm inahamia makumbusho kwa ajir ya watalii

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Місяць тому +2

    Sasa hizi taasisi watumishi wakiiba wao huwa wanafanya nn? Na kama Wana wanachama wao basi wanapopoteza au kuiba fedha za serikali ninyi huwa mnaongea nao na kuwapa maonyo hadharani? Yaan mm niko na Makonda Benet Makonda nyoosha Arusha Upinzani Arusha kumbe ilikuwa ni kwa sababu ya mateso wananchi walio nayo

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 25 днів тому

    Tupo wanaharakati mbeya tutawasha moto nakukubali sana

  • @bellaseverua609
    @bellaseverua609 Місяць тому +1

    Mungu arena makonda .amen.

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Місяць тому +2

    😂😂😂😂😂😂
    Hawa jamaa wamenichekesha
    Jamani mm nipo Arusha kiukweli watu wa Arusha hauwaambii kitu kuhusu makonda anapendwa na wananchi kuliko mtu yoyote

  • @kingngojea
    @kingngojea Місяць тому +1

    Ao wanao pazisha saut kumupinga makonda watetez wa mafisad

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 Місяць тому +4

    Mitano tena

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz Місяць тому +1

    Habari ipo Arusha dar imelala

  • @StevenKisanga
    @StevenKisanga Місяць тому +1

    Arusha sa hiv Ni Paradise ndogo

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Місяць тому +1

    Mama anatukanwa mpo wapi 😂😂😂😂😂😂Makonda na wewe una sema naenda Arusha 😂😂😂😂😂

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Місяць тому

    Hii nchi viongozi wengi ni kama Mafgari mabovu nati zimeregea wanapaswa kupigwa spana mpaka wakae sawa.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Місяць тому +1

    Viva viva makonda

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i Місяць тому +1

    Wote hao wanakuwa wapi watu wanapokosa haki zao miaka nenda Rudi ingekuwa ni ndugu zao wanakosa haki hizo

    • @mrdeniskomba6199
      @mrdeniskomba6199 Місяць тому

      Kabisa... natamani kutemea mate... watu wanateseka wapo kimya eti leo wanaibuka

  • @abuilmailma3534
    @abuilmailma3534 Місяць тому +2

    Kama kuna mtangazaji mchunia tumbo Tanzania nzima ni huu kicha Kitenge.hiv anamchukia Makonda kwa sababu gani? Yaani hili lisenge likipata taarifa la kumshambulia Makonda yaani kwa Kitende ni cku ya furaha kama vile mke wake kajifunguwa

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Місяць тому

    KEEP IT UP MAKONDA

  • @user-ch7fp4ve9s
    @user-ch7fp4ve9s 29 днів тому

    Wewe kitenge ata uongee kwa kukazia muacheni makonda afanye kazi yake tunajuwa kuwa wewe kitenge una bifu na makonda muache achape kazi yake kwa wewe nani yeye yupo kwenye aki na kuwatetea wananchi

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Місяць тому

    Mama samia ungejuwa huku mitaan ulivokuwavunachambwa kumbe viongo wako ndo walikuwa wanasababisha utukanwe mama wawatu huna baya, ungempa ruhusa makonda awe anawapa semina wakuu wenzie namna yautendaji kaz nahali za wananchi

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Місяць тому

    Masajii😂😂😂😂 upepo wa Arusha mkali Sana Masaji😂😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Місяць тому

    Awa Nao Wanaongea Lakini Wamejaa Chuki Ushusha Kitenge

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Місяць тому

    Jana nilikua sina bando na sikopesheki😭mnaweza kuniambia Mhshmw na team yake walikua wapi?...

  • @yunuskizundu4707
    @yunuskizundu4707 Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂
    eti wakaongelee Arusha

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 Місяць тому

    Makonda jembe 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Місяць тому +1

    Hii media ya kisenge sna

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Місяць тому

    Nadhani Kama viongozi wote wa Tanzania watakuwa hivi hatuna haja ya upinzani haya ndio yanayofanya kuwebna upinzani

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому

    Ahaaa ahaaa

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 Місяць тому

    Jeladdi leo umenifurahisha

  • @TWENZETUEDEN
    @TWENZETUEDEN Місяць тому

    Huyu kiongozi wa Cwt amekurupuka hiyo nadhani sio kauri ya chama hebu afute kauli yake Ili chama kibaki salama, chama kinataka watu kama Makonda,Chalamila na wengine wanaosukiliza wanaNchi

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Місяць тому

    Kitenge unaanza kuboa

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g Місяць тому

    😂😂😂 waende A town wakaongee hayo wanayo ongea waone moto wa raia wa Arusha😂😂

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Місяць тому

    Masajii hiyoooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @goodluckminja9101
    @goodluckminja9101 Місяць тому

    Zembwela wapi?

  • @user-tz8hj1sd5o
    @user-tz8hj1sd5o Місяць тому

    Ameanza na wa dudu😭😭😭

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Місяць тому

    Hahaha Arusha pameanza kuchangamka Gaza makonda usiwasikirize wanawake haoo tupo nyuma yako

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 Місяць тому

    Mbona mjachambua aliposema mama katukanwa na hawakusema chochote mjaongelea nanyinyi walewale wanafiki tu nyinyi.

    • @Ambwene
      @Ambwene Місяць тому

      Kasema broo sikiliza vizuri

  • @asunigohagi5177
    @asunigohagi5177 Місяць тому

    Safiii makonda

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Місяць тому

    SPANA❤

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw Місяць тому

    Mm muongeze Makonda ulinzi

  • @user-xv7mo8tw7c
    @user-xv7mo8tw7c Місяць тому +1

    Makondo jembe tena nchi zma hakuna kama makondo

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Місяць тому

    Tunatia ubani uwe na afya njema kamanda makonda piga spana kodi zetu zinaliwa tuu Arusha kama Dubai sasa watu hoyoooooo

  • @Gehohamis
    @Gehohamis Місяць тому

    Acha awapige spana had waelewe umuhimu wa kuhudumia wananchi

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 Місяць тому

    Ngoja awanyoshe kwasababu yeye ndoo kabak mwenyetimamu wakuu wamikoa wengine hawajielewi wanajifungia ofisin tu

  • @kamuliShija-rb6ju
    @kamuliShija-rb6ju Місяць тому

    Nimefurahia na kipd hik

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Місяць тому +1

    Mitano tena 😂

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Місяць тому

    😂😂😂 hawa jamaaa maneno yao bhana hatari sana.
    Makonda wamuache tu Silaha ya kivita ile.

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234 Місяць тому

    Mmmh mbona hicho chama kisipige vita kikokotooo... mtu wa hovyo

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Місяць тому

    Wakuu wa Mikoa Wengine Wafanye Vivyo Hivyo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Місяць тому

    wale wamama hatuwataki kwenye nchi yetu ya Arusha tena wanyamaze kabisa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Місяць тому

    😂😂😂😂 NCHI imehamia ARUSHA

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Місяць тому

    Ngoja niungane na maulid kitenge na hando kuchekaaa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-kz1rx3rk1b
    @user-kz1rx3rk1b Місяць тому

    Ukiona unapgwa vita ujue umewashika wezi pabaya

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Місяць тому

    Uwt kaeni msifuge waizi hasa wanawake ni aibu

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 Місяць тому

    We kitenge acha uongo Makanda hajasema hiyo kauli uliyoitoa ww ya kwamba hakuna (hakuna mtu yeyote atakae mfanya chchote)

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Місяць тому

    Mtangazaji acha Fitina.

  • @user-bz2yc2td3c
    @user-bz2yc2td3c 26 днів тому

    Mukimgusa mako tuandamana kudai aki

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f Місяць тому +1

    Wewe mtangazaji acha kukuza jambo dogo,,mtuachie makondo wetu ashulike na wazembe,wala rushwa,,,, kwahiyo nyie mnaona hizo milioni 460 ni kidgo???kwanza hyo Eng afukuzwe kazi na kupelekwa mahakamani takukuru ifanye kazi yake,,,dont talk much about makonda

  • @PoulMarwa
    @PoulMarwa Місяць тому +1

    Hiyo imeenda chezea makonda wewe

  • @user-xy1jn7iq9m
    @user-xy1jn7iq9m Місяць тому

    Ww kitenge nimbeambea

  • @kingngojea
    @kingngojea Місяць тому

    Makonda hakuna kulala ikilala ngonjwa wanyoooooshe mzeee mpaka wakojoe dagaa

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Місяць тому

    Na anawapiga spana kweli wamekalia kutii kavu

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad6842 Місяць тому +5

    Mtuache na makonda wetu. Tunampenda na tunamwamin. Achen propaganda zenu

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Місяць тому

    Na nyie mnamambo 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Місяць тому

    Na wewe peponi😂😂😂😂

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Місяць тому

    Arusha pamoto hapakwepeki piga spana wote mpaka waseme hao wote😂😂😂😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Місяць тому

    SASA SIO AKAE MKOA MIAKA 5 ACHUKUE NCHI MIAKA 5 ULAYA YOTE UTAZIZIMA WATAJUA MTOTO WA MAKUFULI KACHUKUA URAISI 😂😂😂

  • @andreaonesmo4907
    @andreaonesmo4907 Місяць тому

    😂😂😂😂

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Місяць тому

    Mskonda piga spana tupo pamoja na wewe

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v Місяць тому

    😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu Місяць тому

    L

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 Місяць тому

    Makonda ni jembe😂😂😂

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 Місяць тому

    Mmetisha vijana wangu Gerard na kitenge