MAKONDA Amuwashia Moto Mkurugenzi, Unataka Niharibu kazi Yangu? Ngoja Utaona

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 кві 2019
  • MAKONDA Amuwashia Moto Mkurugenzi, Unataka Niharibu kazi Yangu? Ngoja Utaona
    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi mbalinbali ya serikali inayotekelezwa katika mkoa wake..
    RC Makonda leo Aprili 17, amefanya ziara hiyo katika wilaya ya Temeke na kukagua ujenzi wa barabara, ambapo amewataka wanaosimamia miradi yote Dar kuhakikisha fursa za ajira zinaanzia kwanza kwa Watanzania wenyewe kabla ya kuwafikia wageni...
    #RCMAKONDA
    www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

КОМЕНТАРІ • 19

  • @hojajmagingila1099
    @hojajmagingila1099 5 років тому +1

    Big up. Mh. RC. Hivyo ndivyo unavyotakiwa, lazima miradi ya wananchi ifuatiliwe na viongozi katika utekelezaji wake. Kwenye ufuatiliaje hapo ndipo viongozi wengi wanafeli.

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 років тому +2

    Hongera mheshimiwa MUNGU aendelee kukulinda na kukuongosa vyema na pia azidi kuku bariki kweli

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p 3 місяці тому

    Hongera

  • @modestusndunguru4479
    @modestusndunguru4479 5 років тому +1

    hamkumbuki.. mkurugenz wa jiji alfanyiwa nini..... go ahead.. makonda .....wafanye kaz

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 5 років тому

    Hongera keep it up, ukifanya vizuri tunakusifia na ukizingua tunakwambia

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 5 років тому +1

    Huyu jamaa bwana 😂😂😂

  • @heavymachineproduction.4613
    @heavymachineproduction.4613 5 років тому +1

    Viongozi wetu Crowd chasing

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 5 років тому +1

    Mwenyewe anahusudu kiki km hizi

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 5 років тому

    kuna taratibu zauwajibikaji na kiutendaji ktk serikali.Izi mass popularity sio nzuri jamani.

  • @ayubuakim783
    @ayubuakim783 5 років тому

    waoneshe

  • @heavymachineproduction.4613
    @heavymachineproduction.4613 5 років тому

    Yaaani kila kitu Camera ,

  • @faidamanoni2285
    @faidamanoni2285 5 років тому

    Safety helmet hujaivaa boss

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga7455 5 років тому

    Jafo yuko wapi? hapo tumeshapigwa tayari. Mkataba uvunjwe

  • @xarverymange1706
    @xarverymange1706 5 років тому

    We nani?

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 5 років тому +1

    Tupate rais kama konda itakuaje lake

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 років тому

    Haaahaaaa hii dunia hii

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 років тому

    Wasikumize kichwa fukuza uyomtu mzembe hatumtaki

  • @johnjplusfood2135
    @johnjplusfood2135 5 років тому +1

    Jitahidi uwe president.baada ya Magu kumaliza Kumi