MAKONDA Amuwashia Moto Mkurugenzi, Unataka Niharibu kazi Yangu? Ngoja Utaona
Вставка
- Опубліковано 16 кві 2019
- MAKONDA Amuwashia Moto Mkurugenzi, Unataka Niharibu kazi Yangu? Ngoja Utaona
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi mbalinbali ya serikali inayotekelezwa katika mkoa wake..
RC Makonda leo Aprili 17, amefanya ziara hiyo katika wilaya ya Temeke na kukagua ujenzi wa barabara, ambapo amewataka wanaosimamia miradi yote Dar kuhakikisha fursa za ajira zinaanzia kwanza kwa Watanzania wenyewe kabla ya kuwafikia wageni...
#RCMAKONDA
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Big up. Mh. RC. Hivyo ndivyo unavyotakiwa, lazima miradi ya wananchi ifuatiliwe na viongozi katika utekelezaji wake. Kwenye ufuatiliaje hapo ndipo viongozi wengi wanafeli.
Hongera mheshimiwa MUNGU aendelee kukulinda na kukuongosa vyema na pia azidi kuku bariki kweli
Hongera
hamkumbuki.. mkurugenz wa jiji alfanyiwa nini..... go ahead.. makonda .....wafanye kaz
Hongera keep it up, ukifanya vizuri tunakusifia na ukizingua tunakwambia
Huyu jamaa bwana 😂😂😂
Viongozi wetu Crowd chasing
Mwenyewe anahusudu kiki km hizi
kuna taratibu zauwajibikaji na kiutendaji ktk serikali.Izi mass popularity sio nzuri jamani.
waoneshe
Yaaani kila kitu Camera ,
Safety helmet hujaivaa boss
Jafo yuko wapi? hapo tumeshapigwa tayari. Mkataba uvunjwe
We nani?
Tupate rais kama konda itakuaje lake
Haaahaaaa hii dunia hii
Wasikumize kichwa fukuza uyomtu mzembe hatumtaki
Jitahidi uwe president.baada ya Magu kumaliza Kumi
Presidaa Wa koromije labda