“Watanzania wengi wanathamini kingereza kuliko kiswahili”. powerful statement Huyu Dada kaongea vitu vingi sana vya msingi ambavyo kama wabongo na wenye lugha yetu ya kiswahili inabidi kuvitafakari kwa kina..
@@hillarytindi8883 correcting you again .mombasa we dont speak sheng at all..nai and upcountry mumeharibu kiswahili chenu by mixng sheng englsh and swahili togthr...
Sana mm namshukuuru kwa ushauri wake ni kweli kabisa wagen wengi wanaingia Tanzania ata kiswahili awajui kuongea na wengi wao Wana paspot ya Tanzania ata kiswahili awakijui kuongea zaidi jamboo na habari
Kweli kabisa kiasi kwamba hata wazaliwa wa Tanzania wamekuwa na fikra potofu kwamba kiswahili hakiwasaidii hadi wanaongea kiswahili na kuchanganya na kiingereza wakidhani ndiyo maendeleo.
Usimlaumu muendeshaji wa kipindi kwa kukosa ufasaha wa matamshi kumbuka kwamba yeye pia kiswahili ni lugha yake ya pili baada ya lugha ya kabila lake lahaja zetu zinatofautiana kutokana na maeneo tunayotoka, kuna kiswahili cha wasukuma, wamasai, jaluo, wandengereko, wazaramo, wahaya wa Arusha, wakigoma nk lakini tunafahamiana pamoja na kuwa hakuna ufasaha wa matamshi
Hakika huyu dada ameongea vizuri sana inabidi serikali iweke vipingamizi kwa wageni ili waingie Tanzania inabidi wajue kuzungumza kiswahili ikibidi wajifunzie ikibidi wajifunzie huko kwako kuwe na slogan no kiswahili no viza kwa kuishi Tanzania.
Lakini kuna waAfrika wengi ambayo wana ongea Kifaransa, Kiingereza, na luga wengine ya wazungu na hawapati attention kama hivi. Hii nii kitu ya kawaida kabisa
Huyu Mtanzania naye anapaswa kurekebisha lugha yake. Anafanya nakosa kuita neno Ajira. Badala yake anasema Hajira. Hili ni kosa kubwa sana. Na hili ni kosa kwa watu wengi wa kizazi hiki ambao hawajasoma kiswahili fasaha.
@@perisiverympwenku139 sivyo, kwa ufupi yuamaanisha kama kunayo nafasi ya kutumia lugha mbili, tumia lugha ambayo utaeleweka kwa ufasaha, kuliko kuchagua ile lugha nyengine kisha usieleweke. Ila kusoma vitu vipya, ni jambo kila binadamu afaa kufanya.
Hayo ndio maajabu yanayo thibitisha kuwa mungu yupo, na ameumba wanadamu tofauti tofauti kama vidole vinavyotofautiana, watu aina ya Rebecca wapo na huwa ni watu wanaochukiwa sana wakiwa wadogo hata wakiwa wakubwa kwa sababu tu huwa wanasimamia UKWELI. Truth is an offence, but not a sin. Au TRUTH is a self evidence which stands alone without public support.... Rebecca hafichi ukweli na anajisikia fahari kuongea ukweli tu. Mzazi hampendagi mtoto anayesema ukweli muda wote, na jamii haipendi ukweli muda wote japo wakati mwngne utasikia " sema kweli" 🙄🙄🙄🙄
“Watanzania wengi wanathamini kingereza kuliko kiswahili”. powerful statement
Huyu Dada kaongea vitu vingi sana vya msingi ambavyo kama wabongo na wenye lugha yetu ya kiswahili inabidi kuvitafakari kwa kina..
Tunakijua kiswahili, lakini english ni muhimu huko duniani
Yuko vizuri sana dada rebeca katika kuzungumza kiswahili.
Mtangangazaji kk Geoffrey umevumbua mada nzuri sana. Napenda kiswahili
She is more fluent in swahili than most Kenyans
Wewe sisi tumezowea Sheng
Labda nyinyi watu wa nairobi na bara..sisi mombasa we speak fluently.
@@mohammediddi7255 sio Ati hatujui lugha I speak fluent Swahili but nimezowea Sheng actually most kenyans..
@@hillarytindi8883 correcting you again .mombasa we dont speak sheng at all..nai and upcountry mumeharibu kiswahili chenu by mixng sheng englsh and swahili togthr...
@@mohammediddi7255 well then I do and am born and raised in Mombasa for your information
Samahani nitaandika kingereza kidogo "this woman is genius"
Sana mm namshukuuru kwa ushauri wake ni kweli kabisa wagen wengi wanaingia Tanzania ata kiswahili awajui kuongea na wengi wao Wana paspot ya Tanzania ata kiswahili awakijui kuongea zaidi jamboo na habari
Hahahaha kabisa hii ni moja ya changamoto kubwa
Watanzania tunao ishi marekani tujuane kwa like
Ahsante Sana kwahayo
Kweli kabisa kiasi kwamba hata wazaliwa wa Tanzania wamekuwa na fikra potofu kwamba kiswahili hakiwasaidii hadi wanaongea kiswahili na kuchanganya na kiingereza wakidhani ndiyo maendeleo.
Kabisa Asha
Usimlaumu muendeshaji wa kipindi kwa kukosa ufasaha wa matamshi kumbuka kwamba yeye pia kiswahili ni lugha yake ya pili baada ya lugha ya kabila lake lahaja zetu zinatofautiana kutokana na maeneo tunayotoka, kuna kiswahili cha wasukuma, wamasai, jaluo, wandengereko, wazaramo, wahaya wa Arusha, wakigoma nk lakini tunafahamiana pamoja na kuwa hakuna ufasaha wa matamshi
Hakika huyu dada ameongea vizuri sana inabidi serikali iweke vipingamizi kwa wageni ili waingie Tanzania inabidi wajue kuzungumza kiswahili ikibidi wajifunzie ikibidi wajifunzie huko kwako kuwe na slogan no kiswahili no viza kwa kuishi Tanzania.
Kabisa
Lakini kuna waAfrika wengi ambayo wana ongea Kifaransa, Kiingereza, na luga wengine ya wazungu na hawapati attention kama hivi. Hii nii kitu ya kawaida kabisa
Ndio wazungu sio maalum
Hongera sana
Mhhhhhhh I have liked her hongera zako mswahili mpya
Ameongea point🤞
Waliokosa kazi kwa rebecca wajitathmin kuwa bdo hawajajua kingereza vizuri
upo vizuri Sana Dada tunashukulu kwa ushauli wako Viongizi walifanyie kazi
Arqam Haiadar Iyo kweli kabisa
Arqam Haiadar ni "tunashukuru" na "ushauri" kwenye "r" umeweka "l"
@@wechemakambo2182 Yaani hili ni tatizo kubwa kwa watu wengi pia utakuta mtu kaandika mfano ata badala ya hata au apa badala ya hapa nk
Mimi napenda kiswahili pia! :) Nataka kuongea kiswahili kama yeye
Karibu sana Kiswahili ni lugha muhimu sana kwa maendeleo endelevu
Nitakufundisha
WhatsApp number +225622162569
Yupo sahihi sana..nawewe upo nchi Gani?
sasa tumekuelewa sister.... viongozi walikuwa wamelala....
nimependa sana hii interview
Asante sana Gilberty
Yuko juu
🤝Kweli kabsa
Yuko vizuri sana huyu dada ni mtu ambae anajielewa sana
Nimemuelewa sana dada. Maisha ya marekani si mchezo mimi ndiko niko kwasasa ila anachokisema ni ukweri.
Ooh aisee
Kweli kbis
Rebecca upo vizuri sana
Namkubalia sana Rebecca
Huyu Mtanzania naye anapaswa kurekebisha lugha yake. Anafanya nakosa kuita neno Ajira. Badala yake anasema Hajira. Hili ni kosa kubwa sana. Na hili ni kosa kwa watu wengi wa kizazi hiki ambao hawajasoma kiswahili fasaha.
Ni bore kuzungumza lugha ya kwanza kwa usahihi kuliko lugha ya pili kwa makosa...
Saaaafi sana
Lakini tunajifunza KWA kupitia makosa..
Interested
Rebeka Mandichi Nimekupenda
Wow!
Ameyazungumzia mambo muuhimu kweli
Kachkua miaka mingapi kusoma Kiswahili .mbona yupo vizuri sana duh
"Heri kuzungumza lugha yako ya kwanza kwa ufasaha sana kuliko kujilazimisha na kuzungumza lugha ya kigeni kwa makosa mengi", kauli hii imenigusa.
Tusijifunze vitu vipya hio ndio maana nyingine au
@@perisiverympwenku139 sivyo, kwa ufupi yuamaanisha kama kunayo nafasi ya kutumia lugha mbili, tumia lugha ambayo utaeleweka kwa ufasaha, kuliko kuchagua ile lugha nyengine kisha usieleweke. Ila kusoma vitu vipya, ni jambo kila binadamu afaa kufanya.
Tatizo ni ccm hili lichama ni shiida
Kuja tujue hayo hadi malaika washuke toka mbinguni
umehoji vizuro sana ndugu yangu, mzungu ameeleza ukweli sana, na ametoa mila potofu, naomba mawasiliano yako 0672148290
Asante sana kaka Issa mawasiliano yangu ni 0765899161 karibu sana kaka
Kawashinda hata Wakenya kuzungumza lugha yao ya Taifa.
Mtangazaji hujui kiswahili,unasemaje hajila mnatuharibia
Huyu mama hajalaza damu.
Ndugu Mtangazaji Naomba Niunganishe Na Rebeka Naona Tunaenda Katika Swala Kukuza Lugha Ya Kiswahili
SHAFII MKEREMI swala au suala?utakuza Kiswahili kweli?
Sawa kaka email yangu ni geof.julius@gmail.com nitakutumia mawasiliano yake kaka
Niunganishe namm kaka kuna vitu nataka anielekeze.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
Safi sana mzungu..nimekuelewa.
Interesting . If Americans could balance the trade in language USA would be heaven on earth.
Pongezi sana
Mtangazaji ni nmependa unajali wanakusikiliza,unajibu comment
Hayo ndio maajabu yanayo thibitisha kuwa mungu yupo, na ameumba wanadamu tofauti tofauti kama vidole vinavyotofautiana, watu aina ya Rebecca wapo na huwa ni watu wanaochukiwa sana wakiwa wadogo hata wakiwa wakubwa kwa sababu tu huwa wanasimamia UKWELI. Truth is an offence, but not a sin. Au TRUTH is a self evidence which stands alone without public support.... Rebecca hafichi ukweli na anajisikia fahari kuongea ukweli tu. Mzazi hampendagi mtoto anayesema ukweli muda wote, na jamii haipendi ukweli muda wote japo wakati mwngne utasikia " sema kweli" 🙄🙄🙄🙄
safi sana
Asante sana Aron