Lugha ya kwanza ni ile lugha unaojifunza kwanza baada ya kuzaliwa. Kwa mzungu huyo itabidi azaliwe tena ili kiswahili iwe lugha yake ya kwanza. Tambua hilo.
Yani anaongea kiswahili kuliko mswaili mwenyewe sisi ,, kazi yetu utaskia una baya baba ,,kama kawa baba ,,Dua baba,, nipange jembe langu ,, nakubali kaka,, imeisha iyo 😆😆😆
Mtasha wa kitaa👊👊👊
Jamani hadi raha
Jamaa ana confidence Masha Allah ...naongea and he is proud to be an African japo sio mwafrika
Muafrika uyoo
Safi sana
Waah! Kiswahili kisaaaaaaafi sana👌👌
amewezaa sana
Huyu anaongea kiswahili vizuri kuliko bongo zozo
Anajua vizuri hana ile ya kwetu la na ra ngumu
Jamaa anachapa lugha poa sana... Hata huwez jua...
Mwandishi Yuko emotional alafu emotional inamblock kupata content jinsi inavyotakiwa
Unaongea kiswahili kitamu sana
Safi kabisa💯✅️👏👏👍
Duu kweli aliamu kuijifuza kiswahili anaonhea vizuri tu
Hy
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍。
Mashallah unaongea kiswahil fasaha
Nakumbuka Wimbo wake wa Shika bomba
Unaongea vizuri kwa adabu na kistaarabu sana kuliko hata vijana wetu watanzania wenyewe au wajitia uzungu au waongea kihunihuni tu!!
Kiswahili cha Zanzibar kabisa
Yuko vizuri Kwa kiswahili
Hongera
Ushanielewa anavo isema kma utasema mtoto wa mzee vuai😁😁
Duu mashallah
Huyu makame safi mana mbongo. Ila umekosea kusema Raisi ni msichana.ungesema ni nama ila powa
Hii video ya 2020 kabla hata ya Rais kuchukua kiti. Hamzungumzii Rais wa sasa. Ni kiongozi wa vikundi vyao.
Vizuri
Upo FACT in SHWAHILI
mashaallah unaongea vizuri
Angekua mbongo noma
👍😍
Bilashaka amezaliwa Tanzania!
kiswahili sanifu cha kwetu zanzibar..
Tanzania nzima lugha ya Kiswahili ni sanifu si Zanzibar pekee
@@simonkobero3601 zanzibar pekee ndio tunazungumza kiswahili sanifu
@@simonkobero3601 Raia ww unaandik laiya sas usanifu uko wap apo
@@bahatihassan5413 nani kakudanganya
@@malota2138 kijana mbona pia unamakosa ya kimaandishi
Bass haya
Wabongo aisee eti ujachanganya lugha na hapo je anapo sema sometimes kaongea lugha ya kiswahili au ilo neno ni la kimatumbi
mshamba tu uyu mtangazaji
huyu Mzungu anaongea kiswahili fasaha kuliko huyo mtangazaji
Maskini mzungu anapendakiswaili
Uko vzr mzungu wewe
Jaman huyu c mzungu kabisa 🤣🤣🤣
Sit the band ndio wap mbona siwajui
Lugha ya kwanza ni ile lugha unaojifunza kwanza baada ya kuzaliwa. Kwa mzungu huyo itabidi azaliwe tena ili kiswahili iwe lugha yake ya kwanza. Tambua hilo.
Vipi ikiwa lugha ya kwanza katika lugha za kigeni?
@@ibnayub2374 hapo Sawa lugha ya kwanza ya kigeni. Sio lugha ya kwanza. Ni lugha ya pili na lugha ya kwanza ya kigeni.
@@alikanji5900 ali wewe lugha yako ya kwanza ni ipi?
africa yangu naipenda lakini viongozi wetu wanafki, mzungu anapenda africa ni watu waupendo
Mzungu huyo,,,japo ni mzungu ila anaongea kiswahili bila kuchanganya kiingereza,,,ingekuwa mbongo hapo" u know,,ofcoz
Exposure ni neno la kiswahili,,
hahahah mtangazaj wenu mshamba
Toka zake spy tu na wizi manager
Yani anaongea kiswahili kuliko mswaili mwenyewe sisi ,, kazi yetu utaskia una baya baba ,,kama kawa baba ,,Dua baba,, nipange jembe langu ,, nakubali kaka,, imeisha iyo 😆😆😆
Kawaida tu hiyo ipo kwenye lugha yoyote ndugu inaitwa lugha ya mtaani
Tembea wewe unafikiri lugha inaishi kwa maneno yaleyale ebu acha ushamba na mambo ya kizee
Eti anapenda mwanamke mwenye Akili, kuna mwanamke asiye na akili?
😂😂😂😂
Wengi wao hawana akili
Wapo Eeh Wingituu
Umenichekeshaaaaa, tupo wengi tuuuu mbonaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂mbavu zanguu jamaniiiii cjui mm ninazooo
Anaongea fasaha kuliko hata wakenya
kweli kabisa bro
Ona mjinga😂😂