Lugha ya Kiswahili yazidi kukua

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 січ 2022
  • Ni dhahiri kuwa lugha ya kiswahili sasa inazidi kwenda kimataifa. katika taarifa hii mtangazaji Salim Kikeke ameangazia namna watu wa mataifa mbalimbali wanavyojifunza lugha na jinsi walivyomudu kuzungumza kiswahili
    Vedeo: Salim Kikeke/Instagram
    #bbcswahili #kiswahili #tanzania

КОМЕНТАРІ • 72

  • @estherandherlittleworld7821
    @estherandherlittleworld7821 2 роки тому +7

    Poaaaaa, mambo toka Brazil, ninapenda kiswahili sanaaa😍

    • @happysharma2510
      @happysharma2510 2 роки тому +1

      Hongera sana karibu Zanzibar jamuhur ya muungano tanzania upate kujifunza zaidi

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 роки тому +11

    Magufuli alikuwa na maono sana. Wamemuondoa lkn kwa maslahi ya mtu mmoja mmoja na sio kwa maslahi ya Taifa zima.
    Lakini Mungu yupo, kila kitu kitajulikana na kufungua yote. Kiswahili Magufuli alihitaji kuwa lugha ambayo itazungumzwa kila kona ya dunia kwa kuanzia kwenye umoja wa nchi za Africa ambako aliongea vizuri na walimsikiliza na wengi walipenda hata mpaka South Africa wakapewa na vitabu vyenye muongozo wa kutengeneza silabasi katika masomo yao nchini humo.
    RIP MAGUFULI wewe utabaki kuwa ndiye jemedali wetu wa siku zote na ambaye kwa sasa hawakuinui wala kukusema wanachukulia kawaida lakini kuna siku Magufuli utainuliwa na jina lako litawaumiza wengi na kufungwa wengi.

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 2 роки тому +3

      Kwani hiyo issue ya kiswahili kidunia alianzisha huyo?

  • @Saidi1581
    @Saidi1581 Рік тому +2

    Kiswahili ni lugha nzuri sana napenda sana kuhongea kiswahili pia nime furahi sana tu

  • @vistowilla305
    @vistowilla305 2 роки тому +2

    Nakupend sana kiswahili ntakitumia hikihiki hata nkiwa nnje ya nnchi yangu

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 2 роки тому +28

    Kwa sasa kiswahili ki kasi balaaa, hapa USA 🇺🇸 heri ujuwe ki swahili kuliko kifaransa,kwa sasa hapa MAREKANI kifaransa kiko chini sana,Kiswahili njoo kiko juu kabisa.mimi ni mkongomani nina miaka 15 🇺🇸 🇺🇸hapa USA

  • @nyalusofficial8673
    @nyalusofficial8673 2 роки тому +2

    Ongera sana

  • @djwizztyga
    @djwizztyga 2 роки тому +3

    Safi sana

  • @Saidi1581
    @Saidi1581 Рік тому +1

    Kiswahili ni lugha nzuri sana tu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +4

    Mashallah, nice 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @katotopesaofficial
    @katotopesaofficial 2 роки тому +2

    Hatarani "Hatarini"

  • @annaanyosisye8682
    @annaanyosisye8682 2 роки тому +7

    Naipenda lugha yangu

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 2 роки тому +11

    Wahoooo jamaniiiii am so proud to be Tanzanian lady

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 2 роки тому +6

    Safi Kabisa!!
    Kiswahili kidumu

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 роки тому +4

    Inakua kwa kasi sana

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 2 роки тому +9

    Kiswahili kitukuzwe. Papa hapa jijini New York, Marekani Kiswahili kimevuma sana. Ndio lugha kubwa ya kuzungumzwa kutoka barani Afrika. Waafrika wote mahali mlipo dumisheni na kuenzi lugha yetu adhimu na azizi ya Kiswahili. Tamaduni, kaida na turathi zetu za kiafrika zimegubikwa ndani ya lugha ya Kiswahili.

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetz 2 роки тому +12

    Kabisa kiswahili na kizidi kupaa mpanka siku Moja iwe lugha ya Dunia nzima

  • @hizzarashidi1118
    @hizzarashidi1118 2 роки тому +2

    Hongereni.

  • @adamiddi6402
    @adamiddi6402 2 роки тому +1

    Big up

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 2 роки тому +14

    KUTOKANA NA KASI KUBWA YA WATANZANIA WENGI KUJIFUNZA NA KUPENDA LUGHA ZA KIGENI KIKIWEMO KINGEREZA, ITAFIKA WAKATI WAZUNGU WATATUFUNDISHA KISWAHILI !

    • @lennartlennartson33
      @lennartlennartson33 2 роки тому

      Jinsi roho ya ukoloni inavyoonekana kudumu baina ya ulaya, Marekani na Afrika huenda kwa kuhuzunisha ukawa sahihi

  • @onesettv8749
    @onesettv8749 2 роки тому +4

    Swahili to the world

  • @bwiznation
    @bwiznation 2 роки тому +4

    Nilikiskiza Kiswahili kwenye Tamthilia yo Boba Fett

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 роки тому +3

    Ma sha Allah beautiful vzur

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 роки тому +4

    R,I,p JPM shujaa wa Africa

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 2 роки тому +7

    Basi tuseme, "ni vyema"

  • @alkhalilmussa5633
    @alkhalilmussa5633 2 роки тому +3

    Safiiiiii sanaaa

  • @romanushyera3635
    @romanushyera3635 2 роки тому +1

    Wahoooooo,

  • @masterke536
    @masterke536 2 роки тому +1

    Asante

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 роки тому

    Safiii ineka safi

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 2 роки тому +2

    Amani amani sana, Amen,

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 2 роки тому +1

    🇹🇿🤝

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 2 роки тому +2

    Dah bora

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria 2 роки тому +4

    Kiswahili kitukuzwe

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 роки тому +3

    Binti wa kijapan ndio kanikosha xn, aje akae kwangu nitamfundisha zaidi

  • @kefaopiyondede6459
    @kefaopiyondede6459 2 роки тому +7

    Hi ni challenge kubwa kwa baadhi ya watanzania wajinga wanaoongea KISWA-ENGLISH wakifikiri huo ndio Usomi, kumbe Ujinga mkubwa....Tubadilike, tuipende lugha yetu adhimu, hata Vyuo vyetu vikuu kiswahili kiwekwe kuwa ndio lugha yetu ya Masomo yote.

  • @ndingimwananzeki5776
    @ndingimwananzeki5776 2 роки тому +5

    Hhhhhj kiswahili lugha ya africa nzima

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 2 роки тому +2

      wazungu wote wanajua africa ni wamoja umesikia wenyewe wanasema lugha la africa sio la inchi fulani, kuja sasa Africa lenyewe wabagunzi kupitilizia hatupendane hata kidogo

    • @devothasimbi1055
      @devothasimbi1055 2 роки тому

      @@nyembomajidi3027 UKo sawa ninaishi Ufaransa nikiwa likizo nilikirudi kazini naulizwa ikiwa nilikuwa Africa wala Hawa mpango wa kujua africa nchi gani .

  • @modelka222
    @modelka222 2 роки тому +4

    alafu pumbavu wa insta kutwa kujishaua kwa kuongea kama hawajui kiswahili vizuri..

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 2 роки тому +4

    Naskia Raha Sana lkn nammisi Sana Rais Magu...

  • @davidelias3986
    @davidelias3986 2 роки тому +2

    Wow!!!

  • @viviansalem2611
    @viviansalem2611 2 роки тому +3

    Mcheza kwao hutuzwa

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 2 роки тому +2

    Huyo Jesika ameolewa? Nimempenda

  • @eliyanibitanga4770
    @eliyanibitanga4770 2 роки тому +2

    Damn

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 роки тому +2

    Amakweli kila moja ana shida yake wengine wanataka kujua kiswahili mm nataka kujua ingilishi Mungu anisaidie

  • @georgemoshy2660
    @georgemoshy2660 2 роки тому +1

    *HAWA MASETLA HAWAFANYAGI MAMBO KIHOVYO HOVYO, WAPO KWENYE MAANDALIZI YA FAIDA YA KUDUMU*

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 2 роки тому +3

    Hao wamarekani Ushuzi tuu walitukoloni na sasa wanajimilikisha na maneno yetu

  • @henrypambisa5483
    @henrypambisa5483 2 роки тому +2

    Mzuka sana

  • @devihasani110
    @devihasani110 2 роки тому +4

    Hao wazungu wana soma kiswahili na wana jifunza mbini mpya ya kuimba

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 11 місяців тому

    Wakenya tafadhali tujumuike kupambaja na lugha ya Kiswahili. Ni dhahiri kwamba ni kanzi au dafina yetu kutoka majaliwa ya Mungu. Tusiendelee kukibweza, tutukuze Kiswahili sasa na kesho.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 роки тому +3

    sasa utashangaa mtu yuko Kenya tu hapo na hawezi kuzungumza kama hao jamaa alafu kiswahili ni lugha yao ya Taifa

    • @AT-wz8xx
      @AT-wz8xx 2 роки тому

      kiswahili ni lugha ya Taifa nchini Tanzania sio Kenya

    • @husseinchea5524
      @husseinchea5524 2 роки тому

      Kenya ni wabara ndo hawajui kuzungumza Kiswahili lkn mkoa wa pwani (Mombasa, Kilifi, Lamu, Malindi n.k)wanakijua vizuri sana maana huku ndiko makazi ya waswahili

    • @juma272
      @juma272 2 роки тому

      Wacha kuwa mshenzi, ushawahi kuja Kenya ukaona watu hawajui Kiswahili

    • @juma272
      @juma272 2 роки тому

      Blad fuckin, nyi wote

    • @dylankanyubi3700
      @dylankanyubi3700 11 місяців тому

      Ubaya ya Wakenya kwa ujumla no kuitehemu lugha hii adhimu. Sikitiko kubwa.

  • @allansk1035
    @allansk1035 2 роки тому +1

    Old video

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 роки тому +4

    Mbona kama mnailudia hii habari

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 12 днів тому

    Hatuwezi sifia kiswahili kinapaa duniani hamna walimu kutoka tanzania wakifundisha kiswahili gramer akili za serekali yetu kutoa kingereza ktk shule za msingi na kukiua kingereza Sasa kutafsiri vipi umelemishe mgeni aekewe kifasa. Kiswahili badala yake wakenya ndio wanafundisha kiswahili lakini sio fasahaa ujinga wetu kuweke nafasi za watoto wa wakubwa badala yake tukaaua kingereza nchini

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 12 днів тому

      Mkenya anasema Swahili hatuna neno Swahili tanzania tuna kiswahili hawajui maneno ya proposition za kiswahili alafu mnasema kiswahili kinapaa ulimwenguni hicho Cha Kenya tuache ujinga ktk taifa letu tufute masomo mengi ktk shule za msingi na kufundisha kingereza ili watanzania wengi wapate kazi ya kufundisha kiswahili fasahaa duniani