Assalaam alaykum ustadh Abdurrahim. Asante sana kwa maalumati muhimu kama haya. Umenitia hamu kuifanyia utafiti zaidi lugha ya baba yangu - kimakunduchi. Allah akujaze kheri na akupe umri na afya.
Abdurahim asante sana kwa kutusimulia historia ya Waswahili. Na ninakuomba kwamba, kwa vile unaufahamu mkubwa wa historia ya Waswahili jitahidi uandike kitabu iwe kama kumbukumbu la utamaduni wenu. Hakuna lugha marufu kama Kiswahilli Africa.
Great knowledge from abdurahim, what a great scholar. Plz document all these for posterity. As a bajuni, I find we are limited on sources of our culture that is not on print or online
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
Harar city was established by sheikh Abaadir the ancestor of assorted communities called Harari and somali clan sheeqaal. Harar communities included mixture of arabs, Greeks, Turks, Ethnic Ethiopians and Somalis.
Waswahili ni wahabeshi ama waethopia walioishi pamoja na mijikenda shungwaya lakini asili ya hawa waswahili ni uhabeshi...wao wana lugha asili na kwa vile waliishi pamoja na minikenda kule shingwaya wana maneno ambayo wamegawa na ni marafiki wa tangu jadi....asili haswa ya watu wenye nywele za singa ni bara la kati japo baadhi ya makundi walivuka hadi kazkazini mwa Afrika na kutawala eneo pana la kazkazini mwa bara la Afrika
@@viva0015 waswahili wapo aina nyingi kunao wa mvita, amu, wa manga na makundi mengineyo na kila kundi hapa lina asili yake...hawa wa manga ndio kundi kubwa lililochanganyikana na mijikenda na pia walitawanyika hadi pemba kwasababu wao walikua wafanyi biashara.. baadhi ya wa Amu wana uhusiano na kiasilia na wasomali,wa ethopia wa eritrea..wanaitwa watu wa (kush) cushites
@@aliathuman2078 wamanga ni waomani na wayemen ni hadhrami. Hadhrami ndio walifika mbele ya waarabu wengine wote. Indonesia kuna hadhrami wengi kuliko walioko yemen, India mpaka Madagascar. Hao unaowazungumzia ni daraja la pili bali sio wambari au waasili au wanati. Waasili ni watikuu na wabarawa ambao wako Barawe (banadir coast of somalia), kismayu ni wabajuni na Gobweyn ni wa kuday pia moja wapo jamii ya wabajuni hadi Kisiwa cha Koyama
Vp unasema watu wa unguja.na.wapemba sio waswahili sisi ni waswahili halisaaa kimila.na kilugha pia. Tunajiita wapemba kwa kua tumezaliwa pemba. Ni kama ulivosema kuwa hao wangozi walipoitia baraka wameziita wabarawa.au walipofika ami wakaajiita.amu.
Warabu walikuta watu wakishi mwambao wa pwani ndio hao waswahili kuishi na wao kwa mda mrefu ndio lugha pia ikaingiliwa na kua mix na kiarabu. Kama kiswahili cha leo kimekua kama cja kibara kama kinyesi, buriani hizi lugha zimetiwa katika kiswahili kwasababu ya wageni
Kiswahili kisukuma Moja. Solo Mbili. Bhili Tatu. Lyato NNE. Nhine Tano. Satu Sita. Tandatu Saba. Pungati Nane nane Tisa. Kenda Kumi ikumi Kutoka Tanzania bara northern western Tanzania southern of the shores lake victory
Kimijijenda Moja - Mwenga Mbili - mbiri Tatu - tahu Nne - ine Tano - tsano Tendatu - tendahu Kenda - chenda, Haya maneno yote ni ya kimijenda yakageuka kuwa kiswahili baadae
Mengi unayoeleza kuhusu historia hasa kwa zanzibar unguja ukimwambiamtu moya haelewi nimuongowwe na lughayoyote inamchanganyiko baadhiya maneno yanaingiliana
Hapo kashatia Kipare aliposema ' mfungate' maana yake ya Saba! Pia kasema Kipare 'mtange Athumani' , maana yake Muite Athumani'....Sasa mbona Kiparee!!!
Sheikh wangu hapo unakosea hujatenda haki kabisaa. Najua we ni mkubwa unayatambua mambo mengi ila nakuomba hili usilete ubinafsi tafadhali uswahi umezaliwa Zanzibar, Tanganyika kikafika nakunawili mi sioni Kenya hapa. Kenya waswahili wenyewe wako hapo Mombasa nawengine wachache kando kando, sasa unataka kuleta hoja kama zile za wale wasemao eti Kilimanjaro ni mlima wa Kenya? Samahani mkuu. Ila inawezekana kabla ya wazungu kugawanya Africa inawezekana Mombasa ilikua ipo upande wa Tanzania lakini sio uswahili umetoka Kenya, Wakenya wenyewe kiswahili wanabangaiza bangaiza tu na kukisikia kwa taarifa tu afu unawapa uswahili wasiousihali lahasha.
Jamani ukweli mbona hamuutaki ? Mswahili Ni mbajuni ndie babuuu Mijikenda mukiambiwa siwaswahili sinakosa nyie na waswahili ni watu mbali mbali Lugha tamaduni mila dini mikoa tafauti na waswahili sasa Muna lazima gani mutake kuitwa waswahili???
Unguja.wapo indigenous people wamakunduchi tena wazungumza kiswahili chao. Watumbatu. Wahadimu. Washirazi Pemba kuna wabajuni, washirazi ,wakojani. Tena tunazo hata family tree ya family zetu kuwa wengine walitoka barawa .ama kuhusu Ethiopia namekuskia wewe.
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
kiswahili kilizaliwa kenya na asili ya waswahili ni wanaoishi pwani ya East Africa from Southern Somalia to Northern Mozambique. Sio wanaoishi bara ya kenya na Tanzania
ikiwa chanzo cha uswahili na kiswahili ni shungwaya na eneo la shungwaya liko kusini mwa Somalia kuanzia Kisimaiyu na zisiwa zake Koyam Ngumi chula chovae Chandaa na mji uitwao shungwaya mpka Leo uko (Burikao )karibu na ras Kiomboni mpakani Kenya yani mijii hii ndio ilo kuwa ikiitwa shungwaya ! leo iweje kuwa kiswahili kiliazia Kenya ???
@@bestfitpro874 kenya ili aanza juz juzi hata miaka 40 haija fikisha una maanisha kenya ilikuwa kabla ya waswahili na kiswahili imeletwa na wazungu weusi aka kenya
@@hassansalim9498 kenya ilibuniwa na wazungu huyo alizaliwa ndani ya ukoloni ya wazungu weusi aka kenya ya ki ukristo east africa company AKA kenya ngereza mpya! hajui kusoma ramani !
Wamijikenda ni wageni walitokea shungwaya 400 years ago. Mijikenda walitoroka vita baina yao na wagalla huko Shungwaya na walipofika pwani ya afrika mashariki walikuwa wakilipa ada za wanati na Walifika 1592
Leta evidence wacha porojo za shule taja kitabu cha historia wacha mawazo za chuki mzungumzaji anataja vitabu na ushahidi wewe waleta porojo hapa leta ushahidi au utowe clips zako tuone uhodari wako Ronald ngala mwenyewe alitunga Kitabu 1950 kinaitwa this is my country ametaja haswa wamijikenda walipokelewa na waswahili hapa pwani hata miaka 300 hawana hapa.leta ushahidi wacha uropokaji hapa
@@muhammadmochenje1409 nimesoma vitabu na nimezungumza na wazee wakanipa historia ,wamijikenda walikuwa singwaya ambayo ni pwani ya somalia na hapo ndipo waswahili walipozaliwa
@@muhammadmochenje1409 ronald ngala hajakosea manake waswahili walikuwa tayari wametoka shungwaya na kushuka pwani ya kenya,wamijikenda tulipotoka tukapatana nao lamu ndo wakasema ndo kule kwa wayamu (mashemeji) jiulize mbona mmjikenda aitwe mswahili shemeji,hatukupokelewa na waswahili tulipokelewa na waata na wasokoke makabila yanayoitwa walangulo hivi leo
@@muhammadmochenje1409 kabla mswahili aje pwani ya kenya alikuwa wapi? jibu ni singwaya pale alipozaliwa .washirazi walipokuja pwani ya somalia waliwapata mmijikenda na mpokomo na wakachukua wake wa makabila haya wawili na wanao wakawa waswahili ,ndo maana mmijikenda alipofika lamu akaiitwa lamu wapokomo wakaita yamu kumaanisha mashemeji zao
I can listen to this elder all day long without getting tired. He is a walking history book
Assalaam alaykum ustadh Abdurrahim. Asante sana kwa maalumati muhimu kama haya. Umenitia hamu kuifanyia utafiti zaidi lugha ya baba yangu - kimakunduchi. Allah akujaze kheri na akupe umri na afya.
i do love my fellow swahilis do you?
وقل رب زدني علما
Asante sana kwa Elimu nzuri
Mungu akupe maisha marefu na yeny kher ndan yako umetufunuwa vichw tulioweng tulikua hatufaham
Mimi ni mngozi yaani mswahili mbari yangu ni mklilindini.
Eeh! I really like the way you educate us. Twataka kitabu kuhusu hii history. Be blessed Amoo.
Abdurahim asante sana kwa kutusimulia historia ya Waswahili. Na ninakuomba kwamba, kwa vile unaufahamu mkubwa wa historia ya Waswahili jitahidi uandike kitabu iwe kama kumbukumbu la utamaduni wenu.
Hakuna lugha marufu kama Kiswahilli Africa.
nakuona Jatelo (David Ng'wesa)
Great knowledge from abdurahim, what a great scholar. Plz document all these for posterity. As a bajuni, I find we are limited on sources of our culture that is not on print or online
Abdulrahim ali bakathir wakiungana na istanmbuli aah kwisha tushachukua pwani yetu
This knowledge should go on wazanzibari twaupenda uswahili wetu
Ni huko ndiko Uislamu umepamba moto na Ujanja mwingi
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
Harar city was established by sheikh Abaadir the ancestor of assorted communities called Harari and somali clan sheeqaal. Harar communities included mixture of arabs, Greeks, Turks, Ethnic Ethiopians and Somalis.
Ww hujui histori bajuni ni mwarabu na bantu kutoka shungwaya huna hata haya nenda ukafundishwe histori vizuri
@barghashbinsaid9414 Nikafundishwe historia ya urongo? Mutadananywa inni vadhuka mukose hakizenu
Waswahili ni wahabeshi ama waethopia walioishi pamoja na mijikenda shungwaya lakini asili ya hawa waswahili ni uhabeshi...wao wana lugha asili na kwa vile waliishi pamoja na minikenda kule shingwaya wana maneno ambayo wamegawa na ni marafiki wa tangu jadi....asili haswa ya watu wenye nywele za singa ni bara la kati japo baadhi ya makundi walivuka hadi kazkazini mwa Afrika na kutawala eneo pana la kazkazini mwa bara la Afrika
True and not true. Waswahili wameingiliana na mijikenda 400 years ago ndio hawa waswahili daraja la pili
@@viva0015 waswahili wapo aina nyingi kunao wa mvita, amu, wa manga na makundi mengineyo na kila kundi hapa lina asili yake...hawa wa manga ndio kundi kubwa lililochanganyikana na mijikenda na pia walitawanyika hadi pemba kwasababu wao walikua wafanyi biashara.. baadhi ya wa Amu wana uhusiano na kiasilia na wasomali,wa ethopia wa eritrea..wanaitwa watu wa (kush) cushites
@@aliathuman2078 wamanga ni waomani na wayemen ni hadhrami. Hadhrami ndio walifika mbele ya waarabu wengine wote. Indonesia kuna hadhrami wengi kuliko walioko yemen, India mpaka Madagascar. Hao unaowazungumzia ni daraja la pili bali sio wambari au waasili au wanati. Waasili ni watikuu na wabarawa ambao wako Barawe (banadir coast of somalia), kismayu ni wabajuni na Gobweyn ni wa kuday pia moja wapo jamii ya wabajuni hadi Kisiwa cha Koyama
Vp unasema watu wa unguja.na.wapemba sio waswahili sisi ni waswahili halisaaa kimila.na kilugha pia. Tunajiita wapemba kwa kua tumezaliwa pemba. Ni kama ulivosema kuwa hao wangozi walipoitia baraka wameziita wabarawa.au walipofika ami wakaajiita.amu.
Wabarawa sio waswahili boss..., Usidanganye watu
Chimbaa
Sasa wabarawa nani
Si ujitokezee bwana utwambie nini sahihi
Muongo sana huyu mzee analazimiaha wabajuni eti ni waswahili
Hakuja mswahili daraja la pili.....waarabu walioa waafrika ndio akapatikana mswahili
Masjid Kiblateyn ipo SOMALIA pia Wasomali ni watu wa kwanza kukubali Uislamu
M'barawa mwenyewe kiswahili hakijui wala hakielewi alafu walazimisha waitwe waswahili
Anakijua
Ila mashallah uko vizuri
Hapo kwa wamtang'ata nimekukubali ni ela nenda au awa yaani kuenda ukantangie ni kutafuta asumani mswahili haswa athmani humuita asumani
Huwezi kuutoa uarabu katika uswahili. Lugha,mila na desturi za kiswahili zimetoka ndani kwa waarabu
Warabu walikuta watu wakishi mwambao wa pwani ndio hao waswahili kuishi na wao kwa mda mrefu ndio lugha pia ikaingiliwa na kua mix na kiarabu. Kama kiswahili cha leo kimekua kama cja kibara kama kinyesi, buriani hizi lugha zimetiwa katika kiswahili kwasababu ya wageni
Uyu mzee nimubishi anaonekana kbsa.
waswahili tuwe pamoja tusitafute sababu za kubaguana
Kiswahili kisukuma
Moja. Solo
Mbili. Bhili
Tatu. Lyato
NNE. Nhine
Tano. Satu
Sita. Tandatu
Saba. Pungati
Nane nane
Tisa. Kenda
Kumi ikumi
Kutoka Tanzania bara northern western Tanzania southern of the shores lake victory
Kimijijenda
Moja - Mwenga
Mbili - mbiri
Tatu - tahu
Nne - ine
Tano - tsano
Tendatu - tendahu
Kenda - chenda,
Haya maneno yote ni ya kimijenda yakageuka kuwa kiswahili baadae
Ila unazungumza kiswahili cha ZANZIBAR HASAA
Kwly kabisa asili zetu zinapotea
Beautiful🥰
Aaaah
Where is the history he is talking about? Which books?
Hey! Eti mpaka Mogadishu ni swahili land. Sisi hatuna shida na ndugu zetu waswahili lakini msidae ardhi ya wenyewe.
Wabajuni safii wako somalia kenya hakuna wabajuni wote ni wagunya
kuna tofauti ya wabajuni na wagunya
Hakuna mgunya
Weww acha kuzalilisha wamijikenda uswahilin kwetu
Mijikenda watu wajuzi tu
Mengi unayoeleza kuhusu historia hasa kwa zanzibar unguja ukimwambiamtu moya haelewi nimuongowwe na lughayoyote inamchanganyiko baadhiya maneno yanaingiliana
Wabarawa sio waswahili
Wewe hujui lugha halisi ya kibarawa ni chimini ni dialect ya kiswahili
@@zeyanaharmisuleiman696 hawafanani hata waswahili
hawafanani kisura au culture au maongezi au kivipi?@@blessingchanne1866
Cc:wallah bin wallah et al
Hapo kashatia Kipare aliposema ' mfungate' maana yake ya Saba! Pia kasema Kipare 'mtange Athumani' , maana yake Muite Athumani'....Sasa mbona Kiparee!!!
Assalaam aleikum.mimi niko na suali.mbona hawa wa morroco hili jina la fatma waliita fatima..kama sisi watu wa amu?
Sheikh wangu hapo unakosea hujatenda haki kabisaa. Najua we ni mkubwa unayatambua mambo mengi ila nakuomba hili usilete ubinafsi tafadhali uswahi umezaliwa Zanzibar, Tanganyika kikafika nakunawili mi sioni Kenya hapa. Kenya waswahili wenyewe wako hapo Mombasa nawengine wachache kando kando, sasa unataka kuleta hoja kama zile za wale wasemao eti Kilimanjaro ni mlima wa Kenya? Samahani mkuu. Ila inawezekana kabla ya wazungu kugawanya Africa inawezekana Mombasa ilikua ipo upande wa Tanzania lakini sio uswahili umetoka Kenya, Wakenya wenyewe kiswahili wanabangaiza bangaiza tu na kukisikia kwa taarifa tu afu unawapa uswahili wasiousihali lahasha.
Ww huna ujuwalo nyamaza
Harar used to be somali city not habesha
mbona ngazija lugha yao kama kigiriama?
We wapromote ugunya na ubajuni mzee...
Umeonaee
Mzee unatoa elimu ila unaongea kwa chuki na kiubaguzi sana,unaongea kifikra zako zaidi ili kutaka kujifanya bora, hayo ndio yaliyomfelisha ibilisi
Aus na khazraji ni warabu,mpk vitabuni tumezisoma,
naam lakini aus na khazraj ni makabila ya makkah na Madina na wasaudi hawana historia ya kusafiri kuja africa mashariki
Nyie waswahili hamuelewi histria yenu!
ramsey hussein khamis si nyiye na wewe ni nyinyi.
Waswahili hawana historia ni mchanganyiko wa kabila tofauti
Mswahili si wahili wala lile ,lazima awe muongo akipita mwanamke lazima angalie makalio yake ,alphabeti lugha ya kiswahili haina
Jamani ukweli mbona hamuutaki ?
Mswahili Ni mbajuni ndie babuuu
Mijikenda mukiambiwa siwaswahili sinakosa nyie na waswahili ni watu mbali mbali
Lugha tamaduni mila dini mikoa tafauti na waswahili sasa Muna lazima gani mutake kuitwa waswahili???
No Qiblatein is not in Lamu, but Zeila, town
There is one in Lamu Archipelago
Naam! Nimekukubali sana mzee wangu 🙏🏽... lakini swali langu ni mbona somalia kuna kabila ambao usemi wao wafanana na wadigo na wagiriama?
What's the name of the tribe in Somalia???
@@romancymancyomarcom189 mushunguli
@@Issa_negro Ok, thanks, i know them but as Wazigula people, thanks anyway...
@@Issa_negro Because Wangazija also in Comoros island their dialect very close to Wagiriama and Wapokomo people...
Unguja.wapo indigenous people wamakunduchi tena wazungumza kiswahili chao. Watumbatu. Wahadimu. Washirazi
Pemba kuna wabajuni, washirazi ,wakojani. Tena tunazo hata family tree ya family zetu kuwa wengine walitoka barawa .ama kuhusu Ethiopia namekuskia wewe.
Eti Mogadishu ilikua ikiitwa Swahili land😂😂😂 hatutaki ubajo boss.... Waswahili hawajijui wametoka wpi😂😂😂 mixture of long time
Wee nini doko
@@ramadhanmusa2878 kogo wew haujijui, mwana haramu
@@user-ye9er3gr5k tumbiri Tu ww karukia mitagaa uko,ya waswaili achana nayo
@@ramadhanmusa2878 mie ni mwaraabu na tumbiri ni wewe mswahili mnao firana mkundu Basha mkubwa wewe Tena mwana haramu hata hujui asili yako
@@user-ye9er3gr5k mwarabu wawapi😅😅 house boy Tu ww waosha chupi zawamanga usjiite mwarabu
Muongo sana wewe mzee kasome tena
Muongo sana huyu mzee kweli nakubaliana na wee izo ni.lugha za makabila zao tu asituchanganye
Kwanini watu watoke bara waje Wawa andikie historia Waswahili. Wawahili kwanini hawakuandika wenyewe?
Kwa Ujumla woote ni Waswahili tuu! Waafrika basi. Popote Duniania mtaitwa Waafrika tuu! Basi.
Kiswahil asili yake zanzibar
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
wrong
Kiswahili asili yake wapi kenya 🇰🇪 acha zako wee mi nakata muongo
Kiswahili asili yake kenya
wewe Mkenya or Mtanzania?
Sasa hii hekaya yako bwana na wa Somali uliwaweka wapi na uasilia wao !?
Wapitakana wapi Sheikh Bakadhir?
Total ignorance
Kiswahili kinaanziaje Kenya kivp ndungu! Vp Tanga pangni, Bagamoyo na kilwa. Haipngk kwamba nny ni wswhili... Ila Tanzania pia ni wswhili mno kama nny
kiswahili kilizaliwa kenya na asili ya waswahili ni wanaoishi pwani ya East Africa from Southern Somalia to Northern Mozambique. Sio wanaoishi bara ya kenya na Tanzania
ikiwa chanzo cha uswahili na kiswahili ni shungwaya na eneo la shungwaya liko kusini mwa Somalia kuanzia Kisimaiyu na zisiwa zake Koyam Ngumi chula chovae Chandaa na mji uitwao shungwaya mpka Leo uko (Burikao )karibu na ras Kiomboni mpakani Kenya yani mijii hii ndio ilo kuwa ikiitwa shungwaya !
leo iweje kuwa kiswahili kiliazia Kenya ???
@@bestfitpro874 kenya ili aanza juz juzi hata miaka 40 haija fikisha una maanisha kenya ilikuwa kabla ya waswahili na kiswahili imeletwa na wazungu weusi aka kenya
@@hassansalim9498 kenya ilibuniwa na wazungu huyo alizaliwa ndani ya ukoloni ya wazungu weusi aka kenya ya ki ukristo east africa company AKA kenya ngereza mpya! hajui kusoma ramani !
@@haadroon wewe hujui historia
Huyu anapoteza watu
Tandatu/fungate Kwa kimijikenda ni tandahu na fungahe alafu wasema hamukutoka Kwa wamijikenda
Nashangaa pia
Wamijikenda ni wageni walitokea shungwaya 400 years ago. Mijikenda walitoroka vita baina yao na wagalla huko Shungwaya na walipofika pwani ya afrika mashariki walikuwa wakilipa ada za wanati na Walifika 1592
Distorted history of my people.
Ati sita ni tandatu loh, muongo huyu Mzee,mijikenda pia sita uita tandahu na sio Kiswahili
Ww mkweli si useme ww mijikenda mulikuja mukuwa watumishi na mukaolewa kasome kitabu cha Ronald ngala hamjafikisha hata miaka miatatu
Kiswahili ni chetu ZANZIBAR🤣🤣msitwambie kiswahili kimeanzia kenya huku kimeteremka tu io sio Ukweli, UFASAHA tunao sie sio nyie
Kiswahili cha kale ni kingozi, wangozi ni Kabila ya kenya
Jirani hata kingereza kmeanza kwke .. usishtuke
Hauezi zungumzia Kiswahili na kuwaacha wamijikenda nje, wamijikenda ndo kizazi cha waswahili ila nyie mwataka kuwa waarabu
Leta evidence wacha porojo za shule taja kitabu cha historia wacha mawazo za chuki mzungumzaji anataja vitabu na ushahidi wewe waleta porojo hapa leta ushahidi au utowe clips zako tuone uhodari wako Ronald ngala mwenyewe alitunga Kitabu 1950 kinaitwa this is my country ametaja haswa wamijikenda walipokelewa na waswahili hapa pwani hata miaka 300 hawana hapa.leta ushahidi wacha uropokaji hapa
@@muhammadmochenje1409 nimesoma vitabu na nimezungumza na wazee wakanipa historia ,wamijikenda walikuwa singwaya ambayo ni pwani ya somalia na hapo ndipo waswahili walipozaliwa
@@muhammadmochenje1409 ronald ngala hajakosea manake waswahili walikuwa tayari wametoka shungwaya na kushuka pwani ya kenya,wamijikenda tulipotoka tukapatana nao lamu ndo wakasema ndo kule kwa wayamu (mashemeji) jiulize mbona mmjikenda aitwe mswahili shemeji,hatukupokelewa na waswahili tulipokelewa na waata na wasokoke makabila yanayoitwa walangulo hivi leo
@@muhammadmochenje1409 kabla mswahili aje pwani ya kenya alikuwa wapi? jibu ni singwaya pale alipozaliwa .washirazi walipokuja pwani ya somalia waliwapata mmijikenda na mpokomo na wakachukua wake wa makabila haya wawili na wanao wakawa waswahili ,ndo maana mmijikenda alipofika lamu akaiitwa lamu wapokomo wakaita yamu kumaanisha mashemeji zao
Mm mpaka xaxa najuiliza mbona hawa wabajuni ama hicho kiswahili kina maneno mengi ya kimijikenda