BARUA YA KUNYIMWA VIZA YA USA NA SABABU ZAKE HII HAPA
Вставка
- Опубліковано 17 лип 2022
- Kama umeshawahi kuomba viza (visa) ya kwenda USA, na ukanyimwa visa, utapewa barua. Barua hiyo inaelezea sababu za kunyimwa visa.
Tuipitie barua yenyewe na ujue sababu za kunyimwa visa
Ahsante kaka kwa taarifu tunajifunza vitu vingi muno
Safi sana kaka pamoja kwa elimu
Asante Sana.
Asante sana, kwa elimu hii
Thanks EBM,from Zanzibar 🙏
EBM God bless you your very special kweli wewe ni baraka kwetu
Da! Kweli kbs kaka mm juzi nimetoka kunyimwa nilikua nimeomba ya kutembea na nilikua na mwaliko lkn nimekosa sijui nitapataje hiyo ya green card
Kweli kaka mm juzi nimeomba visa ya kutembea lkn nimekosa sasa nilikua nataka kujua hii green card napataje
Kama ukishinda DV na ukanyimwa visa kuomba tena visa uta hitaji kuomba Dv rotary ndy ukaombe ten DV
Hello
Umeniangusha sana bro, nimetafuta mawasiliano yako mpaka basi
Yan we kama mim mwanang jamaa nimetafuta namba yake mpaka nimekata tamaa
Hivi hauwezi kuelezea biashara za kutoka marekani kuja afrika mashariki au kutoka afrika mashariki kuja huko marekani, maana wengine wanataka fursa kama hizo tu
Kwema kaka me naitwa alpha Elly nahhato nimefanya application mwaka Jana ya dv lottery naomba nisadie niwe na vigezo vip kupata visa
Am akenyan man wants ajob united state can you assist me
#EBM FOREVER
Asante sana
Kaka nilitaka nijuwe viza ya ukiowa marecan unapataje viza
Mimi hata kigezo hakutiki alijaza tu tarehe 😸😆😹
Hatari, though kikawaida anatakiwa ku-tick
Alikua na speed huyooo atakua alisahau tu.
Inachukua muda gan tena kuomba visa kama umenyimwa?mwezi,miezi au mwaka?
Hua ni uamuzi wako binafsi lakini unahauriwa ubadilishe situation yako kwanza kabla ya kuomba. Uongeze ushawishi na vigezo ili usikose tena.
@@Witnessvlog 🙏
Hii viza ya marekani kuna haja kabla ya kuomba inabidi ukasali rozali
Kabisa kusali Rozari ni muhimu sana
Hahahhaha hizo barua ninazo kadhaa hivi maana kabla ya kupewa viza nilinyimwa mara kadhaa
Kama mara ngp?
Brother EBM ahsante kwa huduma yako.
Nina swali, mfano nimechagua kukana uraia wangu na kutaka kuhamia marekani jumla kisha kuanza maisha mapya huko US ili nijenge uchumi wa huko! ili baadae nije kua raia wa huko! hili linawezekana?
Ndio inawezekana baada ya kutimiza vigezo mfano kutimiza miaka mitano mfululizo ukiwa marekani
Ilo swali ndo naomba ufafanuzi
@@raffeiystar2870 kama hauko ndani ya US haitawezekana?
Vipi Kama umemaliza form four halafu umefanya diploma halafu haujapata ajira ya serikali lakini umehudumu kwenye sekta binafsi zaidi ya miaka miwili unatakiwa uwe na ducument ya privet secta au CV (Kama umeshinda green card)
Unatakiwa uoneshe tu ushahidi hapo kama umefanya hiyo kazi kwa miaka miwili au zaidi, haijalishi kama ni kazi ya serikali au private
Unapoingia USA kwa vissa ya green card unatakiwa kusubiri miaka mitano ndipo uweze kuomba uraia kama unataka, je unapoingia tu USA na ukaamua kujiunga na Jeshi, wakati ukiwa ndani ya jeshi pia itakulazimu kusubiri miaka mitano ndipo uombe uraia au wewe utaruhusiwa kuomba kabla ya hiyo miaka mitano?
Jibu ni ndio hupaswi kusubiri miaka 5