KUTOKA COMORO: Uko tayari kukaa ktk nyumba ya WIFE? maisha yao je?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 лют 2017
  • Inawezekana kabisa upo Tanzania au popote pale duniani lakini umekua tu ukisikia kuna sehemu inaitwa Comoro lakini hujawahi kufika wala kujua pakoje na tamaduni zao.
    Camera ya AyoTV ipo na wewe time hii kutoka Moroni kukuelezea na kukuonyesha upande huo ukoje.

КОМЕНТАРІ • 141

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 років тому +13

    Kuzuri kwa kutembea huko. My next holiday destination is Comoro .😎

    • @tkvlogs3969
      @tkvlogs3969 7 років тому +1

      ni vizuri kusafiri ...

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Рік тому +2

    Comoro mm nishaenda kwel mtandao shida Sana kumetulia Sana mji upo kimya Ila chakula Chao sio vizur Sana Ila hela yao inasaman

  • @attoumanemouayad6509
    @attoumanemouayad6509 5 років тому +2

    I'm about to cry😅😅😅illa ni nna imani kwamba kunasiku mungu atatusaidia

  • @harounali1626
    @harounali1626 7 років тому +3

    Kuhusu sim siajabu hata sisi tulianza hivyo hivyo
    Ningekuomba ufanye Tour na hivyo visiwa vingine.
    Mimi gari yangu ya kwanza ilikuwa ni Renault Clio CUMPAS nime ziona hapo nime furahi sana kuona hapo zina tumika Taxi
    Tatizo Afrika kupata kiongozi anae jali wananchi ndiyo maendeleo yana kuja sisi watanzania tumshukuru Allaah pia mzee Rukhsa kwa kutufumbuwa macho

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Рік тому +1

    Wahoji wacomoro, sasa umekazana kumhoji mtanzania! Huo uduanzi

  • @mudrik1852
    @mudrik1852 Рік тому

    Safi sana kutujuza taarifa kama hizi

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 років тому +7

    Ila nasikia wanawake wa kikomoro wanaheshima sana

    • @khadigaomri8747
      @khadigaomri8747 7 років тому +1

      Kweli kabisa

    • @malota2138
      @malota2138 3 роки тому +1

      itabidi nikatafute mchumba uko

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 3 роки тому

      Hata mm km napata mwenyeji huko niko tayari nikaoe please

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 3 місяці тому

    Ina jina kuuuuubwaaa lakn kumbe n nch maskn sana!!

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 2 роки тому +1

    Comores! Home sweet home!

  • @abdallahkawambwa9041
    @abdallahkawambwa9041 3 роки тому

    Napatan kweli inshallah tutafika tu.

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 5 років тому +3

    Comoro n kama zanzibar

    • @karthala6676
      @karthala6676 3 роки тому +1

      Zanzibar is prettier than Comoros.

  • @ramadhanpakei2766
    @ramadhanpakei2766 7 років тому

    nakukubali san millard ayo napanda san kaz zako ni nzuur san nakukubali nami nahtaji siku moja niwe kama wew

  • @lalasheloisheye1154
    @lalasheloisheye1154 Рік тому

    Nimeenda sana. Mij.huu

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 роки тому +1

    Comores ni nchi ambayo inaanza kutoka katika mashîmo makubwa but let' us going slowly

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 років тому +3

    kaka millard huko ni nomaa ukinunua ki2 mpaka balozi ajueee nimishidaaa hakufai huko...💃💃💃💃

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 7 років тому

    Ahsante

  • @zingahassan5851
    @zingahassan5851 5 років тому +3

    Nice and fine place to be in vacation..how much you need to spend in comoro for week

  • @fetysaleh5022
    @fetysaleh5022 5 років тому +14

    wakomoro wote gonga like hapa

  • @user-fy6dc6zb8w
    @user-fy6dc6zb8w 3 місяці тому

    Wow

  • @abdillahabdubakar9336
    @abdillahabdubakar9336 7 років тому +1

    uko home comoro

  • @frankiedebrilliant
    @frankiedebrilliant 5 років тому

    Vizuti Sana

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 7 років тому +1

    duh huko kuko nyuma snaaa

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 3 роки тому

    Karibuni COMORE island Ni nchi yenye Amani na watu wa huruma.na pia hewa nzuri.

  • @fatmayussuf6125
    @fatmayussuf6125 6 років тому +1

    home

  • @mariamushi1529
    @mariamushi1529 7 років тому

    duh aisee ..huko ni kuzuri sana kufanya tours ..kwa kweli

  • @salmasaid7254
    @salmasaid7254 7 років тому

    asante ayo tuletee mechi ya jana burundi le mesenger ngoz& kvz kama itawezekana

  • @faidasemitende8147
    @faidasemitende8147 Рік тому +1

    Broo mm Niko huku

    • @dseven7094
      @dseven7094 8 місяців тому

      mzee natka nije nitembee huko niandae kam bei gani hivi

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 29 днів тому

    " The results of decades os communisim! They must understand communism is the source of chaos and poverty!! They must open their country to investors otherwise "Umasikini hautoki kwao!!

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 2 роки тому +2

    Shilling alf5 ni zaidi yaalf20 bongo sasa kwa nn hela ya comoro inathamani zaidi ya dola na paund wakati dola 100 tu ni zaidi ya laki

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano7938 7 років тому

    asante millard ayo huko wakonyuma sana daa nahizo sheria za mwisho mungu azidikukupa uwezo zaidi iliutulee habari mbalimbali

  • @dseven7094
    @dseven7094 8 місяців тому

    mbona vts nyingi sna

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 7 років тому

    hapo ndio waahaendelea ao

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 3 місяці тому

    Taifa ili ukienda kuanzisha maisha unatoboa chap

  • @vigezo
    @vigezo 5 років тому +1

    It is three islands Mayotte is part of France

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 роки тому

    Huko Comoros ninoma wanadari kam wahindi mwanaume kuolewa khaa sikuwez huko pia maish yao mitihani na matumiz ni makubwa khaa

  • @chayamhicham7202
    @chayamhicham7202 4 роки тому

    Huyu siyo mtanzania hâta kiswahili chake bado huyu tunamjuwa vizuri sio mtanzania

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 3 роки тому +1

      Huyo mwanamke anae JIBU Ni mfanya biashara Moroni Ni TZ.BUT SIO MKOMORO .LAKIN ANATUFAHAMU SIE WAKOMORO VIZURI SANA.YUPO COMORE MIAKA MINGI KWA BIASHARA.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 роки тому

      Ukienda rorya au usukumani ndio utajua huyu Ni Mtanzania

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 роки тому

    Mazingira yake kama Zanzibar

  • @minzamabula3551
    @minzamabula3551 7 років тому

    ahahahaaaa et linbwata jamani lakini bado wako nyuma bwana

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 3 роки тому

      Usiali.baada miaka.utaskia tu tupo mstari wambele.tunaanza chini kwenda juu.

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 років тому +1

    Da!! huo ndio mji mkuu!!
    kama Bukoba

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 3 місяці тому

    Ukitaka kufanya biashara na kuishi vizuri msingi unatalkiwa uwe na bei gani

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 7 років тому

    Ni kwetu kwa mamanguuu

    • @binaliy6456
      @binaliy6456 4 роки тому

      Hikma Haji kumbe

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 3 роки тому

      Naomba uenyeji ili nitembelee kujifunza huko nakufanya daawa alau hata week 2 0717519111 wasap cjui upo wapi ndugu?

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 7 років тому

    Jazirat maut....

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 років тому

      Hata dubai wanao jiweza wanamitandao miwili nyinyi mmeanza kusajili simu juzi juzi
      Line mtu ulikuwa unanunua barabarani kama unanunua karanga.

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 7 років тому

    Bas wanaume woote wata owa ma fast born kwa kupenda kutafuniwa na atakae zaliwa mwisho mwisho imekula kwake kaazehekea home ocz wanaume woote watakimbilia Kula ma fast born

  • @mkemkwama2362
    @mkemkwama2362 2 роки тому

    Mimi nahitaji kufika naomba uongoz

  • @user-sm5tt3fv9z
    @user-sm5tt3fv9z 3 місяці тому

    Mayotte ni sehemu ya Ufaransa

  • @user-zm5wq1gk8k
    @user-zm5wq1gk8k 4 роки тому

    duuuh

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 4 роки тому

    vits za kutosha huko

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 років тому +2

    Ni Moroni, Millard.. Si Moron! Haha! That's ma home, buddy!

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 7 років тому +2

    Nimeyapenda sana mazingira yake ila sio kwa vits zile 😋😋😋😋 ukiwa na vogue lazima uitambulishe jamhuri

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 років тому +2

      hahahahhahah umenichekesha sana

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 7 років тому

      Yan documentary nzima sijaona hata Prado....kweli hiyo ni COMMORO hhahahahha

    • @islamnurdin389
      @islamnurdin389 6 років тому +1

      Millard Ayo uyo dada anawadanganya kidogo sijuw kiswahili kinamsumbuwa

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 років тому

      Yah lazima jamhuri yamagu ijulishwe

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 років тому

      Millard Ayo tafuta mzaliwa wa comoro sio mpita njia halafu mtu mwenyewe haeleweki anakurupuka tu. Sisi hapa tangu tuanze kutumia simu zamkononi lazima ufike ofisini na kitambulisho chako ukasajiliwe halafu ndio upewe line.huko tz line watu walikuwa nawanunua barabarani kama unanunua nyanaya tu unanunuwa unaweka kwenye simu yako. Ilikuwa 2009 ndio mlioanza taratibu zaku sajili.
      Mimi nilipitia hiyo ishu.

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 7 років тому +5

    Comoro hata kwa limbwata siwezi kuishi.

    • @attoumanemouayad6509
      @attoumanemouayad6509 5 років тому

      Hayo maneno yamenuumiza sana sana....😢😢😢😢😢

    • @samwa9496
      @samwa9496 Рік тому

      Usiseme huenda mwanao akawaoa huko au kuolewa

  • @hadjiabassi9649
    @hadjiabassi9649 6 років тому

    Kisiwa cha Mayotte ni kisiwa cha Ufaransa nasi cha comoro 😉

  • @altamyanfane9850
    @altamyanfane9850 Рік тому

    Magorofa ya tanzania nia waarabu pemba na wahindi

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 2 роки тому

    Wajaclia mali mpo hapo. Fursa hio comoro kuna neema.

  • @nassorjabry5655
    @nassorjabry5655 7 років тому

    Hahaha haha ayo huko siomchezo yani full utelezi ukioa unakaa kwa mkee dwaaaaaax sema nn ukibahatika kwenda tena wambie waongeze sheria namatumizi ataoe mkee ntanunua BMW hihihihi vitz zimezidi 😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee 26 днів тому

      😂😂😂Mnapenda vya bure mhh

  • @QuartierNord13015
    @QuartierNord13015 6 років тому +1

    Komori

  • @mgenisana7610
    @mgenisana7610 7 років тому

    Pesa yetu kweli karatasi😂😂

  • @decodesttz
    @decodesttz Рік тому

    sasa uko s wawaachie tu samak waish

  • @karthala6676
    @karthala6676 7 років тому +2

    Ahsante sana Mylard kwa kwenya Comoro. Nimekuliya huko na nimefurahi koona Moroni kidogo. What you said about the wedding is absolutely true. Left Moroni 40years ago and thank you for going there

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 років тому

      comoro

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 років тому

      thanks Karthala

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 років тому

      Mimi siyo mutanzania ila napenda sanaa kipindi cako sanaaa .na napenda sanaa wasana watanzania sana sana muigizaji Wema

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 років тому +1

      Namupenda sanaa Wema sepetu

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 5 років тому

      +Rahma Said wema yupo n mke wa daimond

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk 7 місяців тому

    Mh

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 7 років тому

    Hapo kwenye thamani ya pesa ndo panatakiwa kuwa darasa kwa Magu. Aje huko apewe darasa.

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 років тому

    Milady nauli ya tz kwenda huko sh ngap?

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 7 років тому +2

    Kama umewahi kufika Zanzibar basi Utakuwa huna tofauti na Ayo. Hakuna tofauti kati ya Zenji na Comoro.

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 7 років тому

      Kihanda Tv kweli ni sawa na zanzibar mji mkuu darajaani😅😅loooh lakini ndio home love zanzibar

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 4 роки тому

    tutajie fursa za huko tuje kufanya biashara

  • @alawithebestconcept231
    @alawithebestconcept231 2 роки тому

    Please go back to making a video nowadays because something it's readying change 🇰🇲🇰🇲😁😁

  • @kingroller5456
    @kingroller5456 7 років тому

    usafiri ukoje kutoka dar mpaka comoro? unasafiri kwanjia gani ?

    • @dodomikleni9299
      @dodomikleni9299 7 років тому

      king roller ndege ..meli pia

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 роки тому

      Unakwenda kwa kuogelea ukijitosa baharini utazamkia Moroni

  • @shabanidigalu6683
    @shabanidigalu6683 2 роки тому

    Vitz kama bodaboda

  • @famffamf40
    @famffamf40 7 років тому

    She's not the first Why didn't ask the first

  • @shabanramadhan3940
    @shabanramadhan3940 7 років тому

    Yaaan nyuma tena sanaaa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Рік тому

    Hii interview ya kipuuzi ni sawa na historia ya jamii fulani, kuandikwa na jamii tofauti, mwandishi ilitakiwa a wahoji wenyeji, huwezi ukaja kwetu wanyakyusa, ati ukataka historia yetu kule busokelo ati ukaanza kuwahoji wahehe wa iringa! Idiots

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 7 років тому +1

    upande wa mama yangu

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 4 роки тому

    Hakufai uko

  • @philipomakanamabilikaathum6394
    @philipomakanamabilikaathum6394 7 років тому

    hiyo nchi bado inatecnelojia ndogo inamitandao Miwili daah noumer

  • @islamnurdin389
    @islamnurdin389 6 років тому +1

    comores hamna dala dala muini ndio maana unaona izo gari ndogo afu uyu dada anae hojiwa hapa ni muongo sijuw kiswahili kinamsumbuwa au

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 років тому

      Islam Nurdin anakurupuka tu

    • @sadikimgassa4215
      @sadikimgassa4215 5 років тому

      Islam Nurdin Dada anae hojiwa anaitwa mwanjuma Ismael ni mcomoro mwenye makazi Yale dar es salaam Tz,na anaishi Kigamboni,na ameolewa na mwanaume Wa kicomoro anayeishi ufaransa

    • @hooswengosha2985
      @hooswengosha2985 3 роки тому

      Tupe kweli yko

    • @lydiampayo597
      @lydiampayo597 4 місяці тому

      Yupo facts,,ila ww ndo hujui

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 років тому

    Wame tawala Wafaransa huko hivyo marndeleo ni big issue. Waambie kuhusu ADA, Millard. Kwa Comoro kwa mke ndo kwenye familia na si kwa mume.

  • @fatimayoussouf4878
    @fatimayoussouf4878 6 років тому +4

    Halafu wewe ayo,huyo dada nimuongo, kwanza ukitaka kujuwa vizuri katika nchi yoyote unatafuta mzaliwa sio mtu ambae anaishi. hata kama aliishi miaka 100 hawezi kukwambia ukweli halafu hilo dada muongo kabisa anajifanya mjuaji mtu mwenyewe hajui chochote kuhusu mila na desturi za comoro anakurupuka kuelezea asioyajuwa . Eti lazima mwanaume aishi kwa mkewe.
    Mboba kuna wanaume wanajenga nyumbazao na wana wachukuwa wakezao wanaishi pope .
    Cha pili wewe ayo kila kitu kinachofanyika nchi yoyote kuna kuwa na hikma ndani yake yake
    Kwanini hujamuulizia hikma yakuwa mwanamke anajengewa?
    Ndio mana nilisema pale awali kwamba ungetafuta mzaliwa, sio mtu wakuiishi.
    Hayo magorofa mnayo yavunia
    Moroni tuna papenda kama valivyo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому

      Je wewe ni mkomoro

    • @decodesttz
      @decodesttz Рік тому

      kubaya bwana hyp nchi mlitakiwa muwaachie samak nao waishi so kwakuish watu huko😊✌KUBAYAAAA

    • @lovenessmushendwa1230
      @lovenessmushendwa1230 Рік тому

      Ni kweli: yupo sahihi

    • @JanethMadios-oe5ue
      @JanethMadios-oe5ue 8 місяців тому

      Mbona imekuuma dada, kubaya ndio kwani uongo???? Tena kubaya haswaaaa hapo mjini kwenu ndo kama kijijini kwetu tuu ni kubaya kubaya kubaya hata kama mnajivunia lazima mjivunie ndo kwenu tena ila kiuhalisia ni kamji kabaya afu kanatisha sijui kapoje kapoje mimi siwezi ishi huko bora niende nikaishi kijijini kwetu tuu

    • @abedysteven4930
      @abedysteven4930 3 місяці тому

      ​@Janethhahaha🤣🤣🤣🤣Madios-oe5ue